NASHUKLU SANA SHEIK WANGU NIMESIKILIZA DUA NASHUKUL MUNGU MKUBWA ALLAH AKULIPE KILA LA KHER SHEIK WANGU NIMETUMA SWADAKA YANGU LEO ELFU KUMI NINUNULIWE HATA VILOBA VYA COCOTO VITATU KWA AJIRI YA DUA HII NAOMBA NIOMBEE DUA ZAIDI INSHALLAH SHEIKH WETU MM PIA NASIKILIZA DARSA ZAKO ALHAMDULLQH
Mh unachotaka wewe nikwamba hujui maana yake Pili hujui yametoka kitabu Gani Kama upo dar jitahidi njoo nyumbani nikutafsirie nilichokisoma na pia nikuonyeshe vitabu ninavyotumia kutoa haya ila kukuwekea tafsiri humu kwenye comment inabidi niache kazi nifanye kazi yakukusomesha tatizo ni mda tu Ila kama unamakusudio mengine Mimi hua Sina mda wa kubishana mitandaoni hayo mambo waone kina muhamed bhacho
Assalam aleykum sheikh mimi suwezi kukaa Chini sababu naumwa na mgongo sasa inafaa kukaa juu ya sofa na kusikiliza hii duwa jibu kutoka kwako inshallah
Amini yarab Amin yarab Amin yarab Amin
Allahummamiin
Shukransana sekewabgu
Inshaa allah
NASHUKLU SANA SHEIK WANGU NIMESIKILIZA DUA NASHUKUL MUNGU MKUBWA ALLAH AKULIPE KILA LA KHER SHEIK WANGU NIMETUMA SWADAKA YANGU LEO ELFU KUMI NINUNULIWE HATA VILOBA VYA COCOTO VITATU KWA AJIRI YA DUA HII NAOMBA NIOMBEE DUA ZAIDI INSHALLAH SHEIKH WETU MM PIA NASIKILIZA DARSA ZAKO ALHAMDULLQH
Shukran Sana mungu akubariki inshaa allah
AMEEN AMEEN THUMMA AMEEN
Jaza kallah heri
Shukran
ALHAMDULLAH MASHALLAH MASHALLAH ALLAH AWALIPE KILA LA KHER SHEIK WETU
Ameen inshaa allah
Asante sana sheikh Muhammad ❤ Amiin ya rabbi
Shukran
Hapo hujatusaidia hayo unayoyasoma tofauti na quran hatujui hata maana yake umetoa katika kitabu gan hatujui.
Mh unachotaka wewe nikwamba hujui maana yake
Pili hujui yametoka kitabu Gani
Kama upo dar jitahidi njoo nyumbani nikutafsirie nilichokisoma na pia nikuonyeshe vitabu ninavyotumia kutoa haya ila kukuwekea tafsiri humu kwenye comment inabidi niache kazi nifanye kazi yakukusomesha tatizo ni mda tu
Ila kama unamakusudio mengine Mimi hua Sina mda wa kubishana mitandaoni hayo mambo waone kina muhamed bhacho
Shukran sanaa shehk,hayo matatizo yapo kwa watu wengi tu,
Maasha Allah thabarak Allah mungu akungoze kwenye kazi zako innsha Allah
Ameen shukran
Mashallah allah barik
Nataka nitume Sadaka kwa ajili ya kununua majuzuu chuoni nipo nje ya nchi naweza kutuma uko Tanzania nipe namba yko shehe
Hamna shida dada neema no ni hii 0713521944njoo what's app
shukran shekhe
Ahsantum
Shukrani 🤲🤲
Shukran
Assalam aleykum sheikh mimi suwezi kukaa Chini sababu naumwa na mgongo sasa inafaa kukaa juu ya sofa na kusikiliza hii duwa jibu kutoka kwako inshallah
Hamna shida inshaa allah
Sekeashantesanamunguakilipe mimileonjonamalizawikikwenenikipitawananambiyanimepenbezarhukran
Maa shaa Allah safi sana na mungu akuwawwirishe uzidi kupendeza zaidi pamoja na kung'ara Kwa Nuru ya allah
Asalamwaalaykum
Sheikh Asalaamu Alaykum warahmatullahi wabarakatuh, Je kama Siko Tohara?
Kama haupo tohara Haina shida maadam husomi wewe ila ikiwa up na udhu ni Bora zaidi
@@TURIYU Shukran,Jazaakumullah
Shehe kama je siwezi kuweka foni masikioni
Jitahidi tu uweke masikioni ni Bora zaidi ila ikiwa upo na matatizo masikioni basi hapo ndio utaweka spika ya nje
@@TURIYU sawa inshaallah