kisomo cha kuangamiza majini na uchawi (yaasin mubiyn)

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 26. 08. 2024
  • Hiki ni kisomo cha kinga dhidi ya uchawi majini hasad,
    utasikiliza kwa muda wa siku saba
    biidhnillah Allah atakufanyia wepesi
    #kisomochawiki
    #kingauchawimajinihassad
    #sheikhsharifyussuf

Komentáře • 837

  • @macho_autosound1accessorie126

    Kwa Kupitia Dua hii Allah Atusaidie Ummat Muhammad Pamoja Na Ndugu zetu walio Tutangulia🙏

  • @aishamunga3056
    @aishamunga3056 Před 3 lety +11

    Eweee muumba wangu naomba ukaniponye maradhi niliyo nayo na ukanifungulie milango ya kheri. Aamin Aamin

  • @FIRDAUSAWADH
    @FIRDAUSAWADH Před 3 měsíci +6

    Allah atuondoshee matatizo mawazo hassad majini na masheitwan atufungulie milango ya barka na mafanikio Soote jamii ummat mohd yaraaby mpe sheikh wetu umri mrefu azidi kutukomboa kwa visomo..Allah akulipe kher kwa barka yahiki kisomo

  • @fatmafarijalayusuph5338
    @fatmafarijalayusuph5338 Před rokem +21

    Mwenyezi mungu kupitia dua hii naomba uondoe husda zote mwilini mwangu na uwavunje moyo wote wanaonikusudia kwa ubaya na unilinde dhini ya nguvu za mashetwani na unipe heri katika maisha yangu unifanyie wepesi katika kazi zangu unipe watoto wema

  • @lucygasper5547
    @lucygasper5547 Před 3 lety +49

    Mashallah Molla anijalie nami niwe muislam ...

  • @gmwanaabc7492
    @gmwanaabc7492 Před 3 lety +45

    Mashallah shekhe allah azidi kukuweka maana wengi umetukomboa kwenye matatizo mazito sana mimi nilikua silali kabisa sio mchana wala usiku ndani ya miezi sita au saba nahangaika tu baada ya kusikiliza hiki kisomo alhamdullah kirakitu kikakaa sawa nalala kama kawaida allah azid kukuweka shekhe wentu amiina rambi amina

    • @iddyramadhani7202
      @iddyramadhani7202 Před rokem +2

      9

    • @rukiaomary
      @rukiaomary Před rokem +5

      Mie kuna siku nilikuwa nakabwa na ata anaenikab simuoni ila kwa uwez wa Allah akanipa ufahamu wakuingia CZcams nikakuta kitson iko nikasikiliz bas uwez amin kunakit kilikuwa kinanivuka milini mwan adi nikaa saw na sijaacha kusikiliz dua za uyo shekhe mungu ape ujila wake

    • @user-xn6hs1qk3y
      @user-xn6hs1qk3y Před 4 měsíci +1

      Kwa hakika na mm leo nitalala inshallah Mungu yupo nami

  • @MariamSaid-kl1mi
    @MariamSaid-kl1mi Před rokem +4

    Yallab nikubalie dua yng km kuna mkono wa mtu katika ndoa yng kukataliwa kwa wanangu kupitia kisomo hiki mwenyezimungu kanifungulie kila palipofungwa 😭😭🙏🙏🙏😭😭😭😭😭😭😭😭😭

  • @nasramiraji7716
    @nasramiraji7716 Před rokem +39

    Ya Allah kupitia kisomo hiki niondoshee matatizo na unafungulie kizazi changu unipe watoto wenye kher na mimi, yarabbi najua hushindwi na lolote niepushie dhati zote na unipe kila lenye kher na mimi

  • @swahibuomari176
    @swahibuomari176 Před 3 lety +12

    Ya Allah kwa kupitia kisomo hiki naomba unijaalie nikisikilize cku zte7 ili unifungulie milango ya heri na uniondoshee ziki katika familia yangu na umati Muhammad na unijaalie mm na familia yangu tuwe miongoni mwa wenye kufuata muongozo wa laa ilaa hailakahu;

  • @MauaMbaraka
    @MauaMbaraka Před měsícem +2

    Amina yarab naanza kisomo hiki nina amini nakwenda kupona nimeteseka mpka nakata tamaa basi leo naenda kupta upya wa mwili wangu amina alhamdulillah yarab❤

  • @tabumussa6705
    @tabumussa6705 Před 3 lety +23

    Yarabi M/MUNGU tuepushe na husda za walimwengu kupitia dua hiii nakuomba ya allah mpatie shekhe uyu kila kilicho chema hapa duniani kesho aelah

    • @mwanajinacayemite2336
      @mwanajinacayemite2336 Před 3 lety +1

      Alhamdulillahi rabbil a'alamina. Mwenyezi Mungu akusimamie Innshaallwah. Wengi tuna matatizo makubwa sana lakini hatujui jinsi ya kujikwamua. Mwenyezi Mungu ukujaalie kwa kila ulitakalo lenye kheri na wewe

    • @abdifatah9129
      @abdifatah9129 Před 3 lety +1

      Inshaallah

    • @pilimusa3217
      @pilimusa3217 Před 2 lety

      Amiin

    • @islamislife2556
      @islamislife2556 Před 3 měsíci

      Amin yaraab

  • @hirman2k03
    @hirman2k03 Před 3 lety +39

    Bismillah mashallah nitasikiliza dua hii kwa uwezo wa m.mungu na malaika wote aniondoshe majin na maradhi makubwa na hasada mim na family yangu na wengine wote inshallah 🙏👐😍

  • @emmygabriel2469
    @emmygabriel2469 Před 3 lety +34

    Inshaallah Mwenyezi Mungu naomba ukaniponye maradhi nilonayo na ukanifungulie milango ya kheri, Inshaallah

  • @empress236
    @empress236 Před 2 měsíci +1

    Assalam Alaikum
    Namwamba ALLAH kupitia dua hii iniondelee majini mashetwani wote ambao wamwsukumwa kstika maisha yangu wadudu kutambaa kwa mwili kuuumwa kwa kichwa Yaa Allah kupitia dua ikaondoe kila baya kwa maisha yangu wanangu jamii yangu inshaallah
    Mwenyezi mungu akufanyie wepesi kws kila jambo waitaji
    Sheikh sharif🤲🤲🤲🤲
    Amiin

  • @annakasada1454
    @annakasada1454 Před 3 lety +16

    Kwa kupitia dua hii mungu aniepushie mabaya yote na aniepushie na husuda za walimwengu maisha ni mwangu

  • @seliidrashio6968
    @seliidrashio6968 Před 3 lety +11

    Wasalamalykum twawapongeza masheikh wote mutatusaudia sana mana ubaya upo sana hapa duniani nahata uko wazi ambae hajafaninyiwa uhadui ashukuru mwenyezi."

  • @zynbtnzanya9870
    @zynbtnzanya9870 Před 2 měsíci +1

    Mwenyez Mungu kupitia kisomo hiki niondoshee shida zote zinazonisumbua zinazoniumiza nafs yangu ukanifungue kila kilichobak fungwa ktk maisha yangu amin

  • @annethmhina5731
    @annethmhina5731 Před 3 lety +12

    Mwenyezi Mungu naomba unifungulie vifungo na husda zote nilizowekewa katika Ndoa yangu na shughuli zangu kwa ujumla. Malaika wa Mbingu naomba mnisimamienkatika kisomo hiki.
    Ameen

  • @abbyits1178
    @abbyits1178 Před 3 lety +29

    A.aleykum....Namshukuru Allah kwa Dua hii kupitia Sheikh Shar Yusuf nasema asante kwani nimeteseka sana na ndoto za kuzaa kila baada ya muda zinanirudia,Mara Niko sehem za bahari, nakuwa MTU wa hasira Mara kwa Mara ugomvi kwangu hauishi muda mwingine kuhish nyakat za usiku kuingiliwa,,,,Namshukur Allah toka nimesikiliza Dua hii sijapata tena na Hata zile hali za maumivu maumiv ya mwili hakuna tena Shukran sana Shekhe Allah akuzidishie kheri ikadumu zaidi na zaidi.... Kupitia kisomo cha kinga zidi ya majini na wachawi nimepata kheri...Mwenyezi Mungu akupe mwisho mwema!!!! ISHA ALLAH ^( Habibt'y Said)~from Rwanda Kigali

  • @user-by9uv6nf1o
    @user-by9uv6nf1o Před měsícem +1

    Ya Allah nijalie mema na uniondolee kila kilichopo ndani ya mwili wangu kilichoingia kwa ubaya inshallah

  • @user-bh6rt7xm6w
    @user-bh6rt7xm6w Před 9 měsíci +2

    Yarab kupitia Dua hii niondoshea hasad zote katika mwili wangu na u ipe Nuru nameangaza unijalie ridhiki unitinizie hitaji LA moyo wangu unisamehe nilipo teleza nikakukosea mola wangu amin😢😢😢😢

  • @wombozipashua63
    @wombozipashua63 Před rokem +5

    Alhamdulilah Allah akulipe kila la kheri shekhe kisomo leo siku ya pili lakini majini wanatoka wenyewe, namshuku sana Allah kwani Quran ndio ponyo ya kweli. Amiin

    • @malak-lz6kx
      @malak-lz6kx Před rokem +1

      Quran ni ponyo la majanga yote ya dunia maana mm nimemfutilia uyu shekhe allah amzidishie maana nilikua niko kma sipo wasiwasi ulinitawala sna nimeskiliza kisomo chake alhmdullah.

  • @Niyiturinda
    @Niyiturinda Před 3 lety +7

    Allahuma amiini.....kwa kisumu hiki kinisaidie.....kwa maisha yangu...na kizazi changu...

  • @blemisheclat4969
    @blemisheclat4969 Před 4 lety +10

    Shukran Sana shekh walai nimeumwa na mkono miaka miwili nimefatilia duwa hii kwa siku mbili naendelea vzr Mola akulipe inshallah

  • @michatv239
    @michatv239 Před 3 lety +4

    Namuomba mungu anifanyie kila wepesi kopitia kisomo hiki changamoto zote mbaya ninazopitia mungu aniponye nakunibarik aaamin. Ubarkiwe Sheikh

  • @EggyMiguel
    @EggyMiguel Před 17 dny

    Ya Allah kupitia kisomo hiki naomba ukaniondolee mabalaa yote nuksi mawazo machafu kwenye moyo wangu ukaniponye maradh ya mwili wangu ukanifanyie wepesi kwa kila jambo IshaaAllah Amin

  • @rukiammangammanga1166
    @rukiammangammanga1166 Před 3 lety +12

    Mungu asaidiee yarabi❤️❤️❤️❤️❤️❤️😭😭😭

  • @mgeniali941
    @mgeniali941 Před 3 lety +4

    Allah atufanyie wepes mashallah nimeianza leo na mm

  • @hadijajohn7434
    @hadijajohn7434 Před 2 lety +3

    Shekhe unatupa duwaa nzuri mungu akujaalie afya njema shekhe yussuf

  • @asyaabas1037
    @asyaabas1037 Před 3 lety +5

    yarrab baraka zako na utukufu wako nijalie kisomo kiwe dawa kwang kiwe ndo kisomo cha kuniondolea mattz yot nilonayo na kiwe ufunguzi wa kheri kwang amin yarrab yaan nakiskiliz machozi yananitoka

  • @rizikihaji800
    @rizikihaji800 Před 2 lety +3

    Allah akupe kheri za dunia na Akhera na akuepushie kila mabalaa inshallah ,naamin Allah atanisaidia kupitia kisomo hiki inshallah

  • @khadijaahmed6411
    @khadijaahmed6411 Před 4 lety +12

    Asalam aleikum warhamtillahi wabarakat,shukran sheikh,inshallwa mungu akujaze kila la kheri,na Allah atukinge na wachawi na mahasid yarab..

  • @muhammadsalim4485
    @muhammadsalim4485 Před 3 lety +4

    Allhamdullillahi Allah atuondoshe matatizo mi na family yangu nawaislam wote amiin

  • @thuwaidamaulid3915
    @thuwaidamaulid3915 Před 4 lety +12

    Maashaallah shekh Allah akufanyie wepesi Kila Jambo na akulinde na Shari zote🙏

    • @ashamohamed8248
      @ashamohamed8248 Před 3 lety +1

      A.alykum sheikh Masha allah mungu a tupe wepesi kwa kilajambo

    • @allynassor8853
      @allynassor8853 Před 2 lety +1

      Shekh nataka kujuwa duwa ya kusomea maji kwa ajili ya mtu anaesumbuliwa na shetan

  • @delaizermsafi1442
    @delaizermsafi1442 Před 2 lety +3

    Yallabi kwadua hii niondolee khofu katika nyoyo yangu niwe yakuwa nawasiwas sn naomba uniondoree maradhi niliyokuwa nayo yalabi mimi simkamirifu nisamehe pale nilipokosea wewe ndio mjuzi wayote na mtekerezaj niwew amiin

    • @malak-lz6kx
      @malak-lz6kx Před rokem

      Assalam alaykum mm nilikua zaid yko alhmdullah naskiliza nikiwa nipo tohara natulia kwenye msala alhmdullah nipo swa leo ya tatu.

    • @salmaally2252
      @salmaally2252 Před 6 měsíci

      Hii shida hata mm naipitia

  • @sleifikhajjir262
    @sleifikhajjir262 Před 3 lety +4

    Masha allahh najifunza kitu katika maisha yangu jazaq wahu kheir Allah atakulipa kwa jambo jema

  • @khadijaidd9032
    @khadijaidd9032 Před 3 lety +4

    Mashallah sheikh yusuf.mimi nilikua naumwa na sikia kitu kinatambaa mwilini.na.gas.nyinyi.nateuka Sana mpaka nashuka.kama.mshipa waja mbele yakifua na nyumba mgogoni.leo.ni.siku.ya.tatu.na.zikiliza kisomo .naona chanisadia Sana nimekula.dawa.sikupata.nafuu.lakini.dua..ni.dawa.mashalllah.mungu.akupe.umri..ameeen

  • @hassanidaki6029
    @hassanidaki6029 Před 3 lety +5

    Naomba mahombi sheikh kwa majina ni Hassan idaki kutoka kenya

  • @Geeinitiatives-kp8fx
    @Geeinitiatives-kp8fx Před 26 dny +1

    mwenyezi mungu nisaidie nilinde uniondole maovu mimi na familia yangu unifungulie rizq

  • @ZuuhRaniya
    @ZuuhRaniya Před 7 měsíci +1

    Yah Allah nifanyie wepesi katika kisomo iki kiwe mwisho wa matatizo yangu niponye hii Hali nilikua nayo ewe mungu nisaidie

  • @samirasadasalum5974
    @samirasadasalum5974 Před 2 lety +3

    Allah akulinde na akuzidishie elimu zaidi uzidi kutusaidia,Shukrani sana sheikh

  • @umfarid247
    @umfarid247 Před 4 lety +9

    Asalaam aleykum shekh tunashukuru mungu akulinde na maadui na hasada akupe umri mrefu yaaraab shukraan

  • @aairraahseif5648
    @aairraahseif5648 Před 3 lety +3

    Allah kwa kisomo hiki tulinde Yarrabi waja wako na utuepushe na husda na shari za sheitan,na wachawi na viumbe wote walio wabaya,tunajikinga kwako subukhannah wataalah pokea dua hizi yarrabb

  • @salimajuma5530
    @salimajuma5530 Před 3 lety +3

    Jazakalahu heri Allah akupe pepo yadunia nakesho ahera ameeen

  • @amyna2024
    @amyna2024 Před 3 lety +3

    Yaa rabbi tuhifadhi na Kila baya la dunia kupitia dua hii...aaamiin

  • @tabassamhemed1027
    @tabassamhemed1027 Před 4 lety +5

    Shukran sana usdhadh.Allah akulipe mazuri hapa duniani na akhera

  • @humudingilante4460
    @humudingilante4460 Před 3 lety +3

    Allah awaongoze duniani na akhera awakinge na shari ya mahasd wa kijini na kibinadam inshallaah.

  • @adamluwambo1494
    @adamluwambo1494 Před 3 lety +2

    Kupitia kisomo hiki mungu anijalie aniepushe na wachaw na majin na anipe kheri na hitaji lamoyo wang yarabby

  • @faridamoha5796
    @faridamoha5796 Před 3 lety +2

    ewe mola wangu kupitia ichi kisomo kikavunje uchawi, usda, chuki na matatizo yote yaliyo tanda kwny kizazi chng na mm mwnyw kiwe kisomo cha kunifungua vifungo vyote mm na watoto wangu yaarabbi 😭😭 na milango ya liziki kwny maisha yng

  • @user-xn6hs1qk3y
    @user-xn6hs1qk3y Před 3 měsíci

    Kiukweli nashukuru can shekhe SHARIF dua zako zimenisaidia can wallah Allah akupe mwisho mwema inshallah 🙏🙏

  • @judymwangi9027
    @judymwangi9027 Před 4 lety +5

    Shukran sheikh Allah akupe umri Mrefu, duniani uzindi kulingania ummah.

  • @user-sq8pq1xj7m
    @user-sq8pq1xj7m Před 2 lety +3

    Laaila haila Mohammed rousolu Allah atuondoshee mitihan na awe kinga bora kwetu Ameeen ameeen inshaaAllah

  • @user-xk1xw5qo5v
    @user-xk1xw5qo5v Před rokem +1

    Inshallah sheh duana takhabballii ❤

  • @ElizabethLizzy-pk3zj
    @ElizabethLizzy-pk3zj Před 2 měsíci +1

    Ewe mwenye Mungu mponye bwanangu anamaumivu makala ya oparesheni 🤲nami uniondolee maumivu

  • @aishasaid5702
    @aishasaid5702 Před 4 lety +5

    Maa shaa Allah shukraan sana tuko pamoja in shaa Allah

  • @thuwaibahafidhjuma5848
    @thuwaibahafidhjuma5848 Před 3 lety +5

    Mashallah .mola akulinde na husda akupe na uwezo ili uzidi kutuelimisha katika mambo mema

  • @zeinabjay4047
    @zeinabjay4047 Před 3 lety +2

    Shukran shekhe sharifu najihisi mwenywe Amani mwepesi kila ninapo fuata na kusikiza dua zako Mola akujaalie kwakila Jambo lako inshallah

  • @mwanaishamwajuba2857
    @mwanaishamwajuba2857 Před 4 lety +14

    Mashallah mungu atuwezeshe kusiliza kila kheri na mungu akulinde na hasad

  • @GloriaMillinga
    @GloriaMillinga Před měsícem

    Mwenyezi Mungu naomba uniepushe na majini wote na uniondolee vifungo vya aina zote

  • @dareymcute5790
    @dareymcute5790 Před 4 lety +6

    Mashallah mashallh shukran kwa nguvu za mungu yatuondokee mana sisi wengine tunateseka na mungu akuzidishie imani ya moyo inshaallh from kenya

    • @habibadiombera7505
      @habibadiombera7505 Před 3 lety +1

      Salam aleikum warahmatullah wabarakatah, na mimi na anza kusikiliza roukiya hiyi na amini Allah na kubali bila chaka kama Coran ni chiffa, Allah atu ondoleye chari na fitna ya wa binadam na ma jini mimi lewo mwaka tano malade na nikapoteza yote kazi sina pesa akuna tena ata wakini zawadiye hayi nifayidiye nazulumiwa na kilakitu kila mutu na warafiki yote wamenitoka alhamdililah na mu chukuru ni mitihani nimekubali amri ya Allah na kwa nguvu yake ichallah ye joo yuko na wezo yaku ni ondoleya matatizo ata wa toto awapate za kuchunga wenye wanatumika. Yengine niko nabo apa akuna kazi umoja anaswali sana me anakuywa siku mojamoja paka analewa,wakwaza ame achika 15ans paka mimba ametoka nayo fille anakuwa musichana, na ye garçon wake anayiba aki ona tu franga wanachukuwa nachoka sana ,na tengemeya sana kwa mungu na aya za Coran, na duwa ya nabi ayub jo natumikicha nazingine mingi tena,na wewe ilmu enye Allah amekupa Naku omba uni fatiliye kunitunza na famille yangu, résidence yangu abidjan.unisamehe ndungu ni msg ya kutuma kwa SHEIKH SHARIF YUSUF, ika enda ku jubu zako, atafazali umutumiye nimechinda ku modifie

    • @nsabimanatonny6400
      @nsabimanatonny6400 Před 3 lety

      Assalam alaikum a

  • @bishakadhi3358
    @bishakadhi3358 Před 3 lety +3

    MashaAllah wal alhamdulilah kwa kisomo hiki Allah akujalie kla lenye kheir nawe InshaAllah👌👌👌💕❤💓💞

  • @zaitunfaizalawadh2787
    @zaitunfaizalawadh2787 Před 2 lety +4

    Assalam aleykum warrahmatulah wabbarakatuh, shukran ustadh Allah akujaze kheri ufanikiwe na ufungukiwe katika maisha yako na jamaa zako wote kwa kunifanyia wepesi kitaka shida zangu kupitia kisomo chako

    • @sharonvihenda4396
      @sharonvihenda4396 Před 2 lety +1

      Mashaallah mungu haniondolee kila maradhi na ubarikiwe sheikh yusuf

  • @zakialean3864
    @zakialean3864 Před 3 lety +4

    Mashallah mwenyenzimungu akufanyie wepesi ktk mtihani ya dunia

  • @bittybitty2712
    @bittybitty2712 Před 4 lety +3

    Masha Allah tabaraka Allah Allah akupe kila la kheri shukurani sheikh

  • @Lulu-wt9dd
    @Lulu-wt9dd Před měsícem

    Ya Allah naomba 🤲hii dua iwe tiba kwangu nipone malazi yote yanayo niandama amin🤲

  • @mariyashadiashadia714
    @mariyashadiashadia714 Před 3 lety +5

    mashallh dua nzuri mungu akupe uzima na afya ostazi wetu

  • @nyihajjialiy2287
    @nyihajjialiy2287 Před 4 lety +7

    SHAREEF... MashaAllah! MashaAllah! Tafadhali naomba ukirudie kisomo hiki kwani kuna kituo kimoja katika vituo ''MUBIIN'' uliruka bila du'a katikati yake. kama sikosei MUBIIN YA 4 AU YA TANO... Shukran, mie nasaidika na hiki kisomo ALHAMDULILLAHI..JAZAAKALLAHU KHEIR....

    • @karimasalahudeen334
      @karimasalahudeen334 Před 3 lety +3

      Assalam Aleiykum. Naomba unifahamishe MUBIIN ni nn mm ni nislimu mwaka jana

    • @pilimusa3217
      @pilimusa3217 Před 2 lety +4

      @@karimasalahudeen334 mubiin ni part ya sentence mwenye hiyo sura. Surah inaitwa yasin. Ina mubiin 6. Kila kwenye mubiin anatia dua, ila kwenye mubiin moja kaacha kutia dua

    • @munirahemedi4340
      @munirahemedi4340 Před 2 lety

      Ukamilifu niwa mwenyeezi mungu

  • @ndayizeyehafsa3473
    @ndayizeyehafsa3473 Před 3 lety +3

    Mashallah na muomba allah akujaze heri inshallah

  • @safiyaalrawahi7526
    @safiyaalrawahi7526 Před 3 lety +4

    Ahsante sana kwa kisomo chenye nguvu sana. Jazaka llahu khair

  • @sheikhmussa4421
    @sheikhmussa4421 Před 2 lety +3

    Mungu mkubwa pia mwingi Wa huluma Atuhulumie Tupate Rehema Zake IIshallah

  • @user-sm2un4jt1d
    @user-sm2un4jt1d Před 4 měsíci

    Mwenyezi mungu naomba kwenye kisomo hiki niingoshe roho zote za kichawi

  • @aairraahseif5648
    @aairraahseif5648 Před 3 lety +3

    Ameena Yarrabi ' allameen
    Shukrran sheikh Yussuf Allah akupe kheri na barka na afya na umuri i'nsha Allah

  • @user-ws9ek8dj5n
    @user-ws9ek8dj5n Před 3 lety +4

    Mwenyezi Mgu atupee shifaa na atufanyie wepesi kwa kila jambo la kheir tutakalo amilia kulifanya,na wewe Mwenyezi Mgu azidi kukupa uzima na umri mrefu kwa kutupa faida kwa kila jambo la kheir,shukraan jazzakah Allahu kheir sheikh Shariff Yusuf

  • @esmahnguzo8448
    @esmahnguzo8448 Před 3 lety +36

    Kwa kupitia kisomo hiki yarrabi nakuomba nifanyie wepes inshaallah

  • @ktggtvgvtghadijaalifanichi1301

    MashaAllah Allah akuzidishie dua nizuri sana jaza yako iko kwa Allah

  • @mariamsaid617
    @mariamsaid617 Před 3 lety +5

    Kupitia kisomo hiki yallab niondolee kila aina ya shari juu yng na familia yng

  • @naimamohammed2534
    @naimamohammed2534 Před 3 lety +3

    Allh anitatulie dhiki nilizo nazo na hasad za waja amiiiin thumma amiiin

  • @bebisheni4380
    @bebisheni4380 Před 4 lety +6

    asante Shekhe mwenyezi mungu akubarik

  • @zubedatatu7852
    @zubedatatu7852 Před 3 lety +3

    Masha Allah... Allah bless you Maana umetusaidia Sna

  • @saeedsaeed7381
    @saeedsaeed7381 Před 4 lety +28

    Masha Allah Sheikh this supplication/Dua super powerfully special when we listen wearing headphones 🎧..We truly appreciate Sheikh Barak Allah Fik and May Almighty Allah grant you Tranquility and long life including your fans Ameen yarab

    • @zaniamohammed2258
      @zaniamohammed2258 Před 4 lety +3

      Mwenyezi mungu atakulipa shekhe inshaalhah

    • @mariammwachiroho4464
      @mariammwachiroho4464 Před 3 lety +3

      Alhamdulillah Sheikh nimeanza kuisikiza kulingana na maagizo na kwa hakika nimeoona tofauti kubwa ndani ya hizi siku saba .Allah ajua Zaidi tuzo na taji la kukuvisha InshaAllah

    • @mariammwachiroho4464
      @mariammwachiroho4464 Před 3 lety +3

      Shukran jazakillah khairan Sheikh sharif yusuf

    • @elmanonline9397
      @elmanonline9397 Před 2 lety +2

      @@mariammwachiroho4464 vVqq v

    • @user-nz7mh3rk3v
      @user-nz7mh3rk3v Před 2 lety +2

      Mimi naitwa hija nimkenya naomba usaidizi

  • @rahmasaid762
    @rahmasaid762 Před 3 lety +3

    Kupitia kisomo iki mungu nionyeshe njia nipe mwisho mwema 🙏🏼♥️

  • @hamishamis922
    @hamishamis922 Před 3 lety +1

    Allah atufanyie wepesi kila la kheri shekhe wetu amiin akuulinde na fitna na husda za walimwengu amiin amijna

  • @tatuathmani883
    @tatuathmani883 Před 3 lety +2

    asante maishala nimesikiliza sikusaba leo nshaalla mungu anifungulie milngo yaheli

  • @elllyjoykathambimati7378
    @elllyjoykathambimati7378 Před 3 lety +1

    mashaaAllah ,sheikh nisaidie tafadhali kunawatu wako na pesa zangu na awataki kinipea na kwanza mmoja anadharau sana uisl nikamuambia Nita musomea Dua akasema niuchawi niliumia kwa roho yangu sana

  • @DeffoNotGarfield
    @DeffoNotGarfield Před 3 lety +4

    Shukran Shekh kwa msaada wako Allah akupe mema ya hapa duniani na Akhera.

  • @janetmutua4275
    @janetmutua4275 Před 2 měsíci

    Naomba mungu aniodolee mamjini yanayo nipa mangonjwa ata Sina amani Amen

  • @arafakiloli749
    @arafakiloli749 Před 3 lety +4

    Mashaallah shukran sana..Allah akuzidishie..kheri.

  • @SwaumuShirima-ye7qr
    @SwaumuShirima-ye7qr Před měsícem

    Yarabi aniondishee maradhi yalikuwa kwenye mwili wangu milango ya baraka na mafanikio ukanifankishe yarabi yarabi yarabi

  • @hidayahamiss2025
    @hidayahamiss2025 Před 2 lety +3

    ASALAAMALEIKUM yaaaAllah atufanyie wepesi kwa kila jambo mim na familia yangu.

  • @amiamir4619
    @amiamir4619 Před 3 lety +4

    Inshaa Allah mwenyez Mungu atulinde na husda za waja

  • @hinakhan3562
    @hinakhan3562 Před 11 měsíci +2

    I return again...sasa nataka uponyanji withini 7days...and I believe it.🙏

  • @user-ob2hk3jx7i
    @user-ob2hk3jx7i Před 6 měsíci

    Nakushukuru sana sheikh 🙏 Dua hii nayipenda sana na ni naomba Allah anipe shifaa kwa ugonjwa wangu na anisaidie ktk maisha yangu.wewe Mngu akujaze kheri 🤲🤲

  • @saumusulaiman4742
    @saumusulaiman4742 Před 2 lety +3

    Asalam Akeykum inshaalah kwa uwez wk 'Allah ntasikiliza kisomo hk naomb mng anifanyie wepes ktk utendaj wng wa kazi Aniondoshee husda na uchaw na majin na mng 'Aniondoshee maradh yng yt ya mwilin 'pmj na waisam wt' mng aka2ponye kwa dua hii'Amiin🤲🤲🙏 shukuran ''Allah akuhifadh kheikh Sharif yussuf '

  • @subirasuley6818
    @subirasuley6818 Před 3 lety +3

    Ewe M/Mungu nakuomba kupitia kisomo hiki uniodolee mabalaa yote mwilini mwangu

  • @ramilialiy3725
    @ramilialiy3725 Před 4 lety +3

    Subkhallakh subkhallakh yarrab yarrab mzidishie elim sheikh wetu ameen

  • @mamsmariam6670
    @mamsmariam6670 Před 3 lety +2

    Ishallah Allah akujalie mwishp mwema

  • @reemyaswaleh833
    @reemyaswaleh833 Před 4 lety +3

    Aslm.alkm my brother shukran.ilayka allaaah. Ebarik.feeky sheik.sharif.yusuf

  • @user-ne9uw9pp7i
    @user-ne9uw9pp7i Před 6 měsíci

    Waaleykumslm,shukran shekh wetu Allah akulinde na akuepushe na mabalaa Allah akupe maisha marefu yakupendeza apa duniani nakesho Akhera ameen Rabby❤❤❤

  • @wamugimohammed3848
    @wamugimohammed3848 Před 3 lety +11

    Asalam Alaykum warahamatulilh wabarakatuh! Shukuran Jazili! Allah atakulipa Dunia na Ahera Amin Amin Amin! Kwali kuna kaka moja yote uliyo simulia wallah anayapitia yote hayo ! INSHA ALLAH iwe dawa kwa yyte aliyo na shida kama hiyo Amin Amin

  • @khasimgange4213
    @khasimgange4213 Před 3 lety +2

    Ya Allah nakuomba inifanyie wepesi