Maisha Ya Maiti Ndani Ya Kaburi Lake / Vitu 4 Vitakavyomtoke Maiti Ndani Ya Kaburi/ Sheikh Rusaganya
Vložit
- čas přidán 26. 12. 2022
- Maisha Ya Maiti Ndani Ya Kaburi Lake / Vitu 4 Vitakavyomtoke Maiti Ndani Ya Kaburi/ Sheikh Hashimu Rusaganya
Mashaa Allah Sheikh Hashimu Rusaganya akielezea kwa uzuri na ubora wa hali ya juu Ya Maisha Ya Maiti Ndani Ya Kaburi Lake / Vitu 4 Vitakavyomtoke Maiti Ndani Ya Kaburi/ Sheikh Hashimu Rusaganya
tizama mpaka mwisho usisahau kushare
usisahau kutu support kwa subscribe channel yetu na kutu follow kwenye social media zetu inshaallah support yako ni muhimu sana
Support us DARSA TV
M-PESA +255 765100906
Paypal 👇👇👇👇
paypal.me/DarsaTv?locale.x=en_US
Get MORE of DARSA TV:
► WATCH MORE: • Swala za Mtume Zinazop...
► FOLLOW DARSA TV on Instagram: /
► LIKE DARSA TV on Facebook: /
Subscribe
Comment
Like
And
Thanks
Tu follow katika social media zetu
Facebook @Darsa tv
Instagram @Darsatv
CZcams @Darsa tv
TikTok @Darsa tv - Zábava
Allahu Akbar, nimeguswa sana. nimepata hofu san baadaya swalatul subhi. ya Allah tujalie mwisho mema. ya Allah waongoze umati wa Mohammed ( SAW)
Aa jitahidi sana swala fajri na kuran utapata faraja na rizki kufunguka
Amiin
Ll
Ameen Ameen Ameen
Ameen
Allah waongoze uwatoe gizan hawa ambao wanakanusha uislam hakika wamepotea tubun murud katika uislam din ya haki na ukweli
Baba me n mkristu lakin hakika umeniguza bbngu Mungu akubariki sana baba yetu kutulisha chakula kisichoisha Amina ❤
Karibu katika dini ya haki kaka
Tunakuomba ya rabbi utujalie mwisho mwema....
ALLAHU AKBAR ❤SUBHANALLAH ❤MASHAALLAH NIMESOMA SANA NYAKATI ZAJUWA ZA SWALA WAKATI JIBRIL❤ AS❤AKIMFUNDISHA KIPENZI CHETU ❤SAW ❤ 😢ALHAMDHULILLAH INSHAALLAH ALLAH ATUJALIE IMANI NA MWISHO WETU UWE WA KHERI 😢😢😢😢MOLA WETU MLEZI ATUSAMEHE INSHAALLAH SAW ❤❤❤
Mawaidha maxuri sana. Allah ampe umri, afya na kheri funiani na akhera.
MashaAllah TabarakaAllah Allah atujaalie mwisho mwema na atuepushe na adhabu ya kaburi Ya Allah
Ameen Ameen Ameen
Assnte sheikh kwa mawaidha mazuri sana, uliyoyaongea yamenikaa kichwani jambo lakuzingatia zaidi na hili lipo nyumba nyingi tunawapeleka watoto kwenye shule za dini ama madrasa akirudi nyumbani.miziki, game,tamthilia .mwenyezi mungu atujalie tuweze kuachana na dunia, pia ahsante sn sheikh kwa ukumbusho wa kulipa Ramadhan.
Mashallah Allah akujalie elimu yenye manufaa uzid kuuelimisha ummat Muhamad wote sheikh rusaganya
Alhamdulillah shekhe lusaganya m, m'mungu akupe janatfildaus
mungu atujalie mwisho mwema 💔😭😭 mauti ya Tisha jamani
Amin
Allah akuhifadhi sheikh wetu Thuma Ammmyn🤲🤲
MashaAllah sh'.Allah akuhifadhi nimejifunza mengi ambayo nilikuwa cyajui Alhamdulillah nitayafanyia kazi biidhiin Allah
Mashaallah mawaidha yana mafundisho mazuri yarabb atujaalie mwisho mwema
Mashaallah...Mola tujaalie miongoni mwa watakao faidika siku ya kiama Inshallah
Amina
SHUKRAN SANA SHEKHE KWA KUTUPA MAWAIDHA MUNGU AKUBALIKI NA SISI PIA ATUPE ELIMU UNAYO SEMA YOTE KWELI
Subhanak allahuma wabihamdika nashhad anllailah illa anta nastaghfiruka wanatub ilayk.allah nijaalie mwisho mwema. Asante shekh kwa ukumbusho huu🙏
Yaa allah tujaalie kauli thabiti na mwisho mwema yaa rabb🤲🙏
Tuombeane mwisho mwema kwa muumba ishallah
Masha Allah shekh mungu akuongoze na upate maisha mema na pepo inshallah
Mungu atupe mwisho mwema yarab
Amina mungu akupe maisha marefu kwakutupa elimu maisha baada kufa nakuswali pia tuamrushane
Sheikhe wallah mawaidha ya menigusa ndugu ndugu namuachia allah
Yesu anijalie mwisho mwema
Wewe Yesu kajaliwa na Mungu. Hivi unaona yesu atakusaidia nini. Kwahiyi humuamini Mungu una muamini yesu😢
Yesu uyu ni mungu acha kukufulu ww
@Roza, chukua tahadhari mapema, don't be foolish and brain washed , kwa kweli utajuta kwasababu ya ignorance yako . fanya maamuzi sahihi kabla haujanyanganywa pumzi. utanikumbuka InshaAllah
Jamani ndugu yangu Kuna ule msemao unasema Bora unyimwe mali kuliko akili .Sasa wewe ndugu yangu nakushangaa unaomba mwisho mwema Kwa binaadamu mwenzako(YESU) badala ya mola wako aliekuumba. (ALLAH) . Hata hiyo biblia yako unayoiamini pia ni shahidi.
Shukrani shekhe Allah akujalie pepo ktk maisha ya akhera
Sema,,atujaalie sote pepo yake
Mungu atujalie mwisho mwema na atuepushe na adhabu za kaburi
Amiin
Shukran sheikh kwa ukumbusho
Allah akuhifadhi
,Ma Shaa Allah Tabaraqallah,Kwa darsa zuri lenye mazingatio ❤️
Allahu barik Sheikh wetu🙏
Jazakha Allah kheri shekh Allah akujaalie kheri Kwa Darasa hili kubwa la ukumbusho, Allah atujaalie tuweze kupata mwisho mwema, nasi pia tuwe miongoni mwa watakaojaaliwa kuweka kujibu maswali Kwa usahihi, katika kipindi hicho kigumu.
Bora kuamini na usiende kuyakuta kuliko kukaidi alafu ukayakuta
Na huo ndio uboya mkubwa.... hauwezi kufanya mambo kama umekatwa kichwa. Vitu usivyovijua hauna haja ya kudeal navyo. Ignore period... vingapi hatuvijui na hatujihusishi navyo, kosa letu nini hapo?
@@manish-fp1fb we uncheza lotto?
@@teamallyracing1780 sichezi huo mchezo, Issue hapo ni kwamba kuamini maana yake kuchukulia jambo fulani ulilosikia au kuambiwa ni la kweli bila hata kuwa na uhakika nalo..... sasa tukishakuwa tunafanya hivyo kuna uwezekano mkubwa mtu akawakaanga wenzake kama wafuasi wa kibwetere. Watu wakipenyezewa ujinga ujinga fulani kupitia njia za dini wanapotezwa na kufanya mambo ya ukatuni.
unahitaj dawa
@Manish, jina tu linatosha kujua ni muindi sio kosa lake bila shaka anaabudu ngombe
Alhamdu.lilah.Allah.akulipeni.pepo.kwa.elim.mnayotupatia.waumin.wote.
Allaah akuhifadh shkh wetu
Shukuran Sheikh! Kipenzi unanyota kali!🙏🏿
Shukran sheikh nimekusikiliza vzr nilikuwa sijui kuhusu kuitumia MashaAllah
Allha Akubarik sana shekhe wangu nimejifunza kitu kutoka kwako inshaallah mungu Akubariki sana inshaallah
Ahsante kwa kutufikishia elimu.
Allah tupe mwisho mwema
Nyie msiokuwa waislam Bora mnyamaze kwakuwa mpo ktk Giza Nene Sana Giza Totoro hapo mlipo machoni kwenu kuna pazia limewekwa n huwezi kujijua mpaka utapotoka huko mlipo yaani kusilimu kuwa waislam n hiyo n Taufiq y Allah awaongize
Kipofu anayeona
Kipofu wa vipofu ni nyie qpo na makao yenu ni motoni jehanam ya milele heri wafu wafao ktk kristo maana watafufuliwa siku ya mwisho na kuvikwa taji so kaa utqfakali diniyenu hyo ambayo hata malaika hajawah kumtokea miongon mwenu na hata anapomtokea humuondoa huko na kumleta nuluni
Tena km ww maryam unyamaze kabsa maana wanawake wakiislam hamna dini 😂 sasa ww unashadadia nn
Kimbilia kwa YESUKRISTO mnazaleti haraka sana upate hati ya kuulithi uzma wamilele
Usiwaambie watu wakae kimya, jibu hoja unazoulizwa, maana haujibu kinachokuwa questioned..... Those are nonesenses.
Ukifika kipengele cha kuongezewa mke mwenza unapanic...(kuna mambo kibao ya imani yako haujafanyi au kuyafuata) ukute mshenzi wa tabia...
ALlah tujalie mwisho mwema
Mwenyezimungu atujalie mwisho mwema na tuwe wema innshaalah
mashaa ĺlah shekh wetu
Allahu akubarikiye Shekhe wetu mawaidha mazuri yamenigusa sana Allah atujaliye mwisho mwema.
Mashaallah shekhe Mungu akuhifadhi akuzidishiye ilmu zaidi inshaallah tunafaidika sana kukusikiliza mawedha yako Alhmdulilahi ..khadija said Nahdi mld kenya
MashaAllah
Assalam alaikum
Y pumbavu zako wadanganye wajinga wenzako ivi ile mwanandani mtu anaweza kukaaa vipi yani nyie ni majinga n'a malaika anaadhibu vipi maiti wakati kuko siku ya kiama
@@bellasi349 usiseme sana ndugu utayaona tu
@@bellasi349 usiseme sana ndugu utayaona tu
Subhanallah Allah atuepushe na adhabu ya kaburini
اللهم اغفر لنا ذنوبنا و جعلنا حسن الخاتمه 🤲🤲 اللهم آمين
Maisha ya kaburi ni marefu sana. Tujijenge kiimani kujianda nayo
Nikwer shehe tumekuerewa mungu akufungurie njiya nauri hii uzidi kutuerimiaha turikuwa ngizani kwasasa namka kupitiya dini sante
Masha Allaha shee dara unayo itowa kwakweli ninzuri sana tuna tamani kuku ona tofauti ya mitandao
Allah atujalie mwisho mwema inshaallah
Ujumbe mzuri mzee Rusaganya
Barikiwa sana me had nawajukuu cjawai skia padre anahubir hili SoMo ikiwezekana naomba hivyo vifungu nisome naiman utakua umenijenga na utaponya wengi kupitia hili bbngu she barikiwa sana bba
Maa sha allah sheikh
Yallab tujalie wajja wako❤
Subhana Allah 😭Allah atufanyie wepec
Shukran
Mwenyez mngu nijalie mie na 🙏🙏🙏
Mashaallah
Asate sheikh kwa elimu
ما شاء الله
معلم هاشم رسغانى
حافظك الله
يا اخي الغالي
Jamani tumuombe allah mwisho wetu uwe mwema tujitahidi tuswari
Bwana Yesu anasema hivi "... Ile nuru iliyomo ndani yako,ikiwa ni Giza si Giza hilo !" Mathayo 6:23.
Ya Allah tujalie mwisho mwema na utuepushe na adhabu ya kaburini
Alhamdulilah shekh
Mashalah
Subahana llah mungu tujalie mwisho mwema na utuzinduwe waja wako
Mashaallah mungu akujali maisha mema ❤
Ameen kwa sote jamian muslimin
Mashaallah!
Shukran sheikh.
Jazzakallah Kheira
Allah atujariye mwishomwema
Asante sheikh mawaidhaa mazuri. Nimepata kujua
Mwenyezi Mungu akujalie. Mawaidha mazuri sheikh.
Allah tujaaliee mwisho mwemaa na utuepushe na adhabu za kabur🤲🏾😢
Yesu anisaidie na roho mtakatifu anikumbushe kipi natakiwa kukifanya nikiwa hapA duniani
Ingia katika dini ya haki Kwanza utajua kukifanya katika hii dunia na dini ya haki ni islamu kama huamini mtafute mtu akueleweshe hiyo biblia yenu vizuri mana biblia pia imeongea kweli kuhusu dini ya haki. ISLAMU ( dini yahaki)
Ya Allah ya Rasula Allah tuswabehe
Allah atupe mwisho mwema
Ee YESU WANGU NIPE NEEMA YAKUMALIZA MWENDO SALAMA NIPE NEEMA YAKUTENDA MEMA HAPA DUNIANI KABLA SIJAFA NIFANYIE WEPESI NITENDE MEMA NIPE KUSHINDA UBAYA NIJALIE NGUVU YA ROHO MTAKATIFU NIUSHINDE ULIMWENGU HUU
Masha.Allah Allah subuhana huwataara uzidi kukuongoza sheikhe akupe umri mlefu waduniani na ahera pia akujalie mwisho.mwema lnshallah shurani ustadhi 🤲🤲🙏🙏🤲🤲😭
Mashallah
Nashukuru kwa kupata kujua haya
Can I have a chance to repent now?
Never too late you still have a chance as long you breathe
Iam learning soo much alhamdulillah
SubhanaAllah
Allhamdullillahi
Ewe Mwenyezi Mungu 2pe mwisho mwema
Mashaaallah🤲🙏🏻
Allah tujaliye mwishomwema tuepushe naazabu zakaburin
Sheikh wangu Allah akupe uzima na akulipe heri
Allah Akubar sn shukrani 🤲🤲🙏🙏🙏
🌙🌙🌙🌙🌙🌙 mungu akupe maisha malefu Kwa elim
ALLAHU AKBAR ❤😢
Inshallah❤❤❤amiin
I wish!🥺
May you marry a good man, a soft-spoken man, a hard-working man, a wise man, a man who will help you get closer to Allah, a man who will teach you about Islam, a man that will make you better, a man who will understand you in every situation and a man that, no matter how mad he is, won’t hurt you intentionally, whether emotionally or physically. Ameen, Ya rabbul Al-Amin.♥️🤍
Sasa hapa ndipo tunapaswa kupata majibu ya hakika juu ya vyanzo hivi viwili yya taarifa hizi zinahusu " NINI KINAENDELEA BAADA MTU KUFA" Je ni chanzo kimoja kweli --- angalia kile kinachosemwa ktk Biblia Luka 16:19 ---- 31 na elimu hii inayofundishwa hapo --- je chnzo chake ni kimoja? Je kipi ni cha kweli?
@@albertvalentino130 KAMA UAMINI UNAAMBIWA SUBIRI UFE
Ammin thuma Amiin
Darsa zuri
Uongo someni mhubiri 9:5-6 na zaburi 146:4
Biblia siyo kitabu cha Marejeo; Kitabu cha Paulo hakina elimu ya ghaib.
@ Fredy, kama hauwmini kufa kwanza ndo ujue maharage ni mboga. shauri yako ulia na kusaga meno. endelea kubisha
M.MUNGU ALISHUSHA INJILI SIO BIBLIA , BIBLIA YA KINA PAULO NA PAULO MWENYEWE KASEMA ALIKUWA ANATAFUTA UMAARUFU TU , HUAMINI SUBIRI UFE NASIO MUDA MREFU
Sikio la kufa haliskii dawa hiv hatukuombei mabaya lakin jibadilish haraka
Mashallah.Mola.atujalie.tuwe.miongoni.mwa.waliofanikiwa.bizini.lah
Biblia ina masimlizi 9 ya watu walio fufuliwa hakuna hata mtu mmoja aliye sema kama alikuwa hivi au vile.
Na wewe awo awakufa waliwalaza usigizi wa mwaka 300 watasimulia nini wakati awakufa au uliwauwa alafu ukawafufua
Hata Quran Kuna watu walifufuliwa na hawajasema chochote ,
Aamin inshaalah
thank you very much sheikh rusaganya for this educative teachings
Did he prove that?
Wakiristo wanajuwa nn watu wapo kizani hao jitu linaambiwa eti ungama zambi zako kwa jina la yesu akiungama mchungaji anamwambia umeisha samehewa zambi zako khaa huo utahira yani mchungaji kakufutia zambi zako na wewe kwakuwa huna akili unajiona kweli huna zambi wakati huyo mchunga aliye kufutia zambi yeye zake kashindwa kuzifuta
eee mola naomba uniongozee ktk njia ilio nyooka
Manshallah
Aminaa yaraab
Aminaaa