Haya Ndio Majibu ya Abuu Mohamed Iddi kwa Sheikh Barayyan Kuhusu Kauli ya Mufti na Kutangaza Mwezi

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 26. 08. 2024
  • usisahau Ku subscribe channel hii kupata matukio kama haya Kwa uharaka

Komentáře • 138

  • @ramadhanabdalla1203
    @ramadhanabdalla1203 Před 5 měsíci +1

    Swadakta Sheikh Idd Mohammed Idd,Allah akulipe kheri,

  • @AhmadKambangwa-ry6qc
    @AhmadKambangwa-ry6qc Před 4 měsíci

    Mashallah sheikh Allah akuhifadh

  • @abubakarimussa9131
    @abubakarimussa9131 Před 5 měsíci +2

    Mashaallah hongera sana mwalim mwenye elim anakuelewa sana .hao jamaa wapingaji kila kitu hao wakata kanzu na salafi wanataka mamlaka

    • @cheapunderage8228
      @cheapunderage8228 Před 5 měsíci

      Acha istzai we guullaf…kwaiyo swala la kanzu unatak kujenga hoja Km ni kosa

  • @nassorochura7838
    @nassorochura7838 Před 5 měsíci +2

    siku ina masaa 24 kama kuna nchi tunapishana siku nzima basi iwe hoja ya kubishana juu ya mwezi lakini kama ni masaa siku ileile ispokuwa ni masaa tu hivyo mwezi ni mmoja na jua ni moja mungu hakuleta idadi kubwa ya miezi

    • @bagalucha
      @bagalucha Před 4 měsíci

      Ni kweli hilo hawalioni,kila aliloliumba Allah,Lina maana yake,na kwa sisi walimwengu,tumejaaliwa mwezi mmoja kwa maana yake,tarehe ina umuhimu mkubwa katika maisha,na ni sehemu kubwa ya ushahidi katika mambo tofauti,sisi wenyewe ndio tunaotaka tarehe zetu zipinde pinde,suala hili tumejaaliwa tuwe hivi,au tumelitaka wenyewe,kutegemea tarehe za Gregor/kikiristo,waislamu hapa tumepigwa bao.
      Hapa ndipo tulipoanzwa kutawaliwa na manasara,hili wao wanataka libakie hivi hivi,chini ya utawala wao wa kutegemea tarehe zao,na hapa ni moja ya jambo waislamu walizingatie na muhimu katika kuweka kumbukumbu za kisheria,waislamu amkeni.

  • @abdiomar6832
    @abdiomar6832 Před 4 měsíci

    sisi Zanzibar mwezi anatangaza Mufti Maa sha Allah hakuna magenge ya kihuni yanayotangaza

  • @abdulrahmanmwadini5925
    @abdulrahmanmwadini5925 Před 4 měsíci

    Sheikh Abuu Idd,unanifurahisha kitu kimoja tu,unazungumza kwa References, sio huyu sheikh ambae hakutuonesha hata kitabu kimoja,kwa kweli unajua unachokesema Allah akuhifadhi.

  • @user-yk6os1jm1p
    @user-yk6os1jm1p Před 4 měsíci

    Shekh uko vizuri nimekuelewa alwa akupe maisha malef

  • @MohamedKasalama
    @MohamedKasalama Před 5 měsíci

    Shekh hakika ufafanuzi umejitosheleza allah akupe kheri nyingi hawa hawaambiliki ujumbe umefika

  • @user-vs1um2cz6c
    @user-vs1um2cz6c Před 4 měsíci

    Uko sahihi shekh

  • @user-cq9iy4lf5c
    @user-cq9iy4lf5c Před 5 měsíci

    Swadaqta shekhe nnakukubali sana
    Tusichoke kuwaelimisha ipo siku wataelewa tu Insha Allah

  • @jumaally6007
    @jumaally6007 Před 5 měsíci +5

    Jee tanzania mipaka yetu tunaishia wapi katika kuangalia mwezi? Na ninani kaweka hio mipaka na kwa vigezo gani?

    • @wazirihamisi6484
      @wazirihamisi6484 Před 4 měsíci

      Hakuna atakae kujibu swali hili hao wapo kazini wanalinda ugari wao

    • @mhusinigau3231
      @mhusinigau3231 Před 4 měsíci

      Kwahiyo mtume alivyofundisha ww unataka kumfundisha mjinga wewe​@@wazirihamisi6484

  • @AliSalim-yu4mo
    @AliSalim-yu4mo Před 5 měsíci +2

    Huyu jamaa ni mtihani sana,sasa tueleze kabla ya hayo mawasiliano ya simu hapa hapa Tanzania tulikuwa tunafunga vipi?maana hivi sasa tunafunga kwa taarifa hizo munazozikataa leo ambapo huonekana sehemu moja tu ya Tanzania?

    • @ibraahmbena
      @ibraahmbena Před 5 měsíci

      Nimekuelewa inshallah 🙏

    • @AhmadKambangwa-ry6qc
      @AhmadKambangwa-ry6qc Před 4 měsíci

      Kulikuwa na viongozi wa dini ndo walikuwa wanatoa muongozo Kama leo tunavyopewa muongozo ndugu yngu, alafu fatilia vzr ata zama izo za mtume mambo ya kutofautiana kwenye mwezi yalikuwepo, ilitokea sehem mmoja uliandama na sehem nyingne haukuandama,fuatilia

    • @AliSalim-yu4mo
      @AliSalim-yu4mo Před 4 měsíci

      @@AhmadKambangwa-ry6qc Miongozo iko ktk Kitabu na Sunna,yako mambo wanatolewa fatwa na wasomi(thika)lkn yako yameshatolewa Miongozo na Mtume (saw)likiwemo hili la mwandamo WA mwezi maana mwandamo WA mwezi ni mmoja Tu haiwezekani kuwa na miandamo miwili na teh mbili

  • @Whitegsm
    @Whitegsm Před 5 měsíci +1

    Mashallah asiefaa kafaa wema hakiba waislamu wenzangu

  • @MsimbeRajabu
    @MsimbeRajabu Před 5 měsíci +1

    Tunafata dini sisi yaani mandiko marhiyan upo vizuri

  • @CharafimalisalimoAli-qw3hk
    @CharafimalisalimoAli-qw3hk Před 5 měsíci +3

    KUNAKAZI YA KUWAFUNDISHADINI MAWAHABI NA USTAARABI. KAMA MWEZI WAKIMATAIFA UNAWEZEKANA BASI ATA SWALATANO PIA INAWEZEKANA KUSWALI MDA MMOJA SAA MOJA NA IMAMU MMOJA , TENA ASIMAME PALEPALE MAKKA ATUSWALISHE DUNIAMZIMA, TUTAMUONA KWENYE VIDEO .

  • @user-ul9bn3tt1s
    @user-ul9bn3tt1s Před 4 měsíci

    Hizi elimu wanasomea wapi hawa mawahabi Wa kitanzania mtume sisi tumemuerewa asema shikeni kisichokua na shaka chenye shaka acheni mwezi wenu Wa kimataifa huu in mashaka matupu na katika elmu mmeshika mutashaabiha ktk aya za allah

  • @jumaally6007
    @jumaally6007 Před 5 měsíci +3

    jee hii mipaka ya nchi kwa nchi nani kaiweka na jee nimazingatio katika muandamo wa mwezi?

  • @yusufkisome639
    @yusufkisome639 Před 5 měsíci +1

    Tangu Sheikh ALHAD Mussa Salum Amuulize Huyu Sheikh Kama Ameacha Kuvuta BANGI Sina IMANI nae KABISA, anataka BAKWATA waondoe Ulezi wao kwa Answar sunna na Kwamba Serikali iwasiliane direct na Answar Hajui kuwa huo ndio ushindi kwa Hilo kundi,Hajui kuwa kuna Viongozi wengi wa Serikali wanaliona hilo kundi kuwa liko sahihi.

  • @nassorochura7838
    @nassorochura7838 Před 5 měsíci

    atakaetaka aamini na atakaetaka akufuru mi nadhani hakuna kumlazimisha mtu akubali kukufuru na yeye ndo ilimu yake aliyonayo mwacheni shekhe barryani na elimu yake na mungu wake kwa sababu yeye ndo allah atamlipa

    • @nassorochura7838
      @nassorochura7838 Před 5 měsíci

      haina haja sisi waislamu kumhukumu mtu allah ndo mwenye kumjua mja wake na yeye ndo alimuumba na yeye ndo atamhukumu

  • @mbwanabinmasoud3221
    @mbwanabinmasoud3221 Před 4 měsíci

    Shekh Muhammed Iddi hapa unachemsha usilazmishe lazima ufatwe weye hizi khitilafu hazikuanz leo...fuata unavoamini na waache wanavoamini

  • @user-iv6hx2xv3t
    @user-iv6hx2xv3t Před 4 měsíci +1

    Mufti kadhi ndio wenye Malala mbona mnatangaziwa na watu kutoka juu

  • @user-fu6qu6dd4x
    @user-fu6qu6dd4x Před 5 měsíci

    Sheikh wangu hawa si Answari Sunna hawa ni Mawahabi safi Hawana doa

  • @user-mj8ss5vz4n
    @user-mj8ss5vz4n Před 5 měsíci +1

    huyo barahiyani anataka kuanzisha vurugu hapa nchini

    • @AliSalim-yu4mo
      @AliSalim-yu4mo Před 5 měsíci

      Vurugu munataka kuanzisha nyie kupitia Mufti wenu au hili hamukuliona?

    • @AliSalim-yu4mo
      @AliSalim-yu4mo Před 5 měsíci

      Au nyie ndio mulioshushiwa hii dini?hakuna KULAZIMISHANA KTK dini nyie fanyeni yenu na die tufanye yetu!sasa nongwa za nini?

  • @mbwanabinmasoud3221
    @mbwanabinmasoud3221 Před 4 měsíci

    Tusilazimishane kwenye misimamo

  • @user-ff1pj3wx9t
    @user-ff1pj3wx9t Před 5 měsíci

    Mashekhe muogopeni Allah ,ukweli wa kimuogopa hii dunia tunapita jamani

  • @nassorochura7838
    @nassorochura7838 Před 5 měsíci

    jamani mbona uislamu wa sasa unakosa nidhamu wasomi wakubwa mnaupoteza ummati muhamadi shekhe barrayani yuko sawa tu ndo sehemu ya jihadi mungu atamlipa tu mungu amjalie kwa elimu yao

  • @mazartajmohamed1437
    @mazartajmohamed1437 Před 5 měsíci

    Assalam aleykum sheikh iddi wacheni makumbano tofauti ya siku moja isutupeleke kugombana ,

  • @nassorochura7838
    @nassorochura7838 Před 5 měsíci

    tusigombanie mwezi mungu ndo kila kitu uislamu ulikuja ukiwa mgeni na utaondoka ukiwa mgeni kuhusu mwezi hiyo haina shaka mwezi ni mmoja tu dunia na siyo mwezi wa mtu

    • @AliSalim-yu4mo
      @AliSalim-yu4mo Před 4 měsíci

      Hii hadithi inahitaji uwe na maono kidogo yaani "UISLAMU ULIKUJA MGENI NA UTAONDOKA UKIWA MGENI" maana yake ni kwamba Kabla ya kuja Kwa Mtume (saw)kulikuwa na mambo ya ajabu ya shirk na bidaa!alipokuwa Mtume na waliomtangulia pia wakaleta haki basi watu wakaona ni mambo mapya na magumu kwao na pia kuondoka Uislamu kuwa MGENI ndio kama hivi Leo wasomi kujitahidi kuwaonesha watu yaliyo Sawa lkn watu wakaona hayo ni mambo mapya na kuwapachika majina mabaya,kuwatukana ,kuwakashifu na hata baadhi ya wengine kuwachonganisha na Mamlaka ili wadhibitiwe!sasa hapa ndipo panapotaka tafakuri ya Hali ya juu!

    • @AliSalim-yu4mo
      @AliSalim-yu4mo Před 4 měsíci

      Na huyu Ustadh IDD yeye ni mshabiki na anaonesha wazi anafanya dini kama ni ushabiki wa Simba na Yanga

  • @rajabchaula7305
    @rajabchaula7305 Před 4 měsíci

    Naomba kujua hicho ni kitabu gani walichokisaini Masheikh????

  • @mkude
    @mkude Před 5 měsíci

    Hili jambo linakhitilafu halafu nashindwa kuelewa huku kwetu kwanini tuufuate Tanzania na Kenya tu kwanini mipaka iwepo kwenye nchi hizo mbili tu? Kwanini hii mipaka isiende basi mpaka Uganda au Somali. Kwahiyo tunaishi Kenya tu. Serikali haiwezi kuingilia mambo ya dini.

  • @IbrahimRajab-rg3vm
    @IbrahimRajab-rg3vm Před 5 měsíci

    Sisi hatufanyi ibada ki bubusa tunazo dalili zinatutosha na tuko tayari Kwa lolote mnalofikiria kufanya hii dini SI milki ya mufti

  • @user-wp3fp9ts2q
    @user-wp3fp9ts2q Před 5 měsíci +1

    Dunia ina miezi ingapi shekh

    • @hilalkhalfan1452
      @hilalkhalfan1452 Před 5 měsíci

      Ina miezi 12. Jee unataka kujibu kutumia akili zako au una kauli za wanachuoni kuhusu kufata muandamo?

  • @mwalimjecha6893
    @mwalimjecha6893 Před 5 měsíci

    Shekhe kazi kubwa unayo ya kuwafahamisha hao wapinzani. Hao hawakukubali abadan kwani nyoyoni mwao mna vizibo.

  • @user-li2el5vb8w
    @user-li2el5vb8w Před 5 měsíci

    Wewe unasema eti, mfano wamwezi wakimataifa km utakuwa sahihi.eti basi' ht muda waswala.kule.Mkka tungeswali kwamuda mmoja. Kwanza tunakujibu kuwa ndio tunaswali namakka kwamuda mmoja. Majira.yamakka na Tanzania niyale.yale! Nendeni shule mkasome.

  • @ibraahmbena
    @ibraahmbena Před 5 měsíci

    Ninacho jiuliza Kila siku ni kwamba hakuna siku wakapishana kwenye Ibada ya hijja Dunia nzima wanenda SAWA . Ila sijui sasa kwenye miezi mingine hua wanafuata utaratibu gani Kwa hijja na utaratibu gani Kwa miezi mingine.

    • @hassaniyassin1686
      @hassaniyassin1686 Před 5 měsíci

      Kwa sababu hija inafanyika sehemu moja na waislamu wote walio kwenda kuhiji, lakin Swaumu kila mtu anaanza kufunga katika mji wake na kwa majira tofauti pia.

  • @nassorochura7838
    @nassorochura7838 Před 5 měsíci

    swali mi nikiuona mwezi mufti hajauona siruhusiwi kutangaza ?

  • @user-zr5fu8qb7f
    @user-zr5fu8qb7f Před 5 měsíci

    Mawahabi wanaona dini hii ni ya saudia

  • @alifaki8741
    @alifaki8741 Před 5 měsíci

    Hizi clip mbona kama ni za kuunga unga?

  • @shabanmohamed7071
    @shabanmohamed7071 Před 5 měsíci

    SHEIKH KATOA HOJA ZA MSINGI

  • @SheikhMondbinamir26-px4ej
    @SheikhMondbinamir26-px4ej Před 5 měsíci

    Kwani Kuna nchi ambayo hakiingii kiza mpaka kwengine kuwe mchana si kweli

  • @ramadhanimtetu3656
    @ramadhanimtetu3656 Před 5 měsíci

    Sheikh wa Mwezi huyu Baba hanaga akijuacho yeye anajua Mwezi tu
    😂😂😂😂

    • @abdullahmasakata170
      @abdullahmasakata170 Před 5 měsíci

      Wewe unae jua unafuata watu wanao tukana waislam kuwa ni mbwa wanao bweka hio ndio suna yenu kama mnavyojinasibu? Au kwenu suna ni matusi kutukana mashekh na vitabu vyao na maulamaa msio wapenda hio ndio suna ya mtume MUHAMMAD S. A W? Someni uislam acheni itikadi za kigaidi ambazo hata zimeshindwa kusapoti Wapalestina wanao uawa Gaza, Nyie mnasapoti wauwaji Wa waislam wenzenu Kisa ufalme wa Saudia kwanini hivi?

    • @ramadhanimtetu3656
      @ramadhanimtetu3656 Před 5 měsíci

      @@abdullahmasakata170
      Sio Kweli Kila ansemkosoa Muhammad Eid ni Mfuasi wa Masheikh wa Kisaudia
      Hicho ni kigawanyo kibaya
      Suala la Mwezi na mgogoro wake ni Suala la Zamani mno
      Mimi nafuata Mwezi wa mji niliopo ila sipendi wanatafuta Umaarufu hapa Mjini kupitia jambo ambalo Lina ikhilaafu kwa Ulamaa wetu wa Fiqhii
      Kiasi kisheria wote wapo sawa tu
      Watu Waache kupoteza muda wa kulumbana kwa mambo kama haya wanaboha tunataka Maendeleo sio
      Kuwagawa watu kwa mambo mfano wa haya

  • @SheikhMondbinamir26-px4ej
    @SheikhMondbinamir26-px4ej Před 5 měsíci

    Hoji basi na hili kwani Kuna nchi ya kiarabu ambayo tunaopishana na Tanzania Kwa siku nzima

  • @imranbanda3963
    @imranbanda3963 Před 5 měsíci

    I think sheikh Barahiyan has only grudges its nothing about understanding Deen

  • @user-li2el5vb8w
    @user-li2el5vb8w Před 5 měsíci

    Hoja zako hazina uzito! Hebu tuambie KALENDA YAKIISLAAM DUNIANI ZIKO.NGAPI? UTUJIBU.WEWE IDDI' MOHAMED.SHEKH.WAMAULID! UKISHINDWA HILI BASI YOOTE.UNAYOYAZUNGUMZA NIUPUUZI MTUPU.

  • @nassorochura7838
    @nassorochura7838 Před 5 měsíci

    waislamu tunatabia ya kupeana makundi au mdhehebu swali mtume alikuwa kundi gani?

  • @nassorochura7838
    @nassorochura7838 Před 5 měsíci

    hata maulidi na hitima ni bidaa lakini kwa kukosa ilimu ya dini tunafanya bidaa hizo na mashekhe tunaangalia tu na wala mashekhe hutaona wanaonyesha hadith ya mtume inayozungumzia hitima wala maulidi

  • @jumanina7103
    @jumanina7103 Před 5 měsíci

    Leo unawakubali Masheikh wa Saudia ukikatazwa Maulidi Masheikh wa Saudia huwataki

  • @sadamyakubu1006
    @sadamyakubu1006 Před 5 měsíci

    Muhammad Idd mbona ulimkimbia Shaikh Kassim Mafuta???

  • @user-zr5fu8qb7f
    @user-zr5fu8qb7f Před 5 měsíci

    Hii dini si ya saudia ni ya dunia kwahio tusiishi kwa kuwangalia saudia

  • @YUSUFUFADHILI
    @YUSUFUFADHILI Před 5 měsíci

    Kuhusu kuwagawa watu nipale ambapo jamaa itakua yahaqi ila jibuni hoja ambayo sheikh aliwafunguza watu halafu yeye akafunga sasa hapo tumfuate kivipi? Anyooke kwanza asimamie haqi halafu tumfuate ila akiendelea kupokea oder kutoka serekalini hatuwezi kumfuata

  • @nassorochura7838
    @nassorochura7838 Před 5 měsíci

    elimu siyo wahabi tu ni ya kila mwislamu aliyekatika ummati muhamadi

  • @muhsinimohammad58
    @muhsinimohammad58 Před 5 měsíci

    Jibu hoja za shekh qaasim mafuta za mwaka juzi hapo huna hoja

  • @SheikhMondbinamir26-px4ej
    @SheikhMondbinamir26-px4ej Před 5 měsíci

    Lakini mbona chirsmas inakuwa siku moja Dunia nzima hebu tujibu na hili we mzeee

  • @SolomomAdams-pf5zy
    @SolomomAdams-pf5zy Před 5 měsíci +1

    Kinachozungumziwa Mwenye Mamlaka ya Kutangaza ni nani??? Naona Mwaenda mbali mpaka Mwatusi Masheikh Tuwe Makini Nyama za Wanazuoni Zina Sumu.

    • @user-dy9qw6or9e
      @user-dy9qw6or9e Před 5 měsíci

      Tatizo lenu mlishakalili sunna nikukata suluali nakufuga ndevu tu hamjui hata kutembelea wagonjwa ni sinna mlishajifanya nyie ndo mnafunguo za pepo,muache kuwachonganisha waisilam mnatabia mbaya sana nyie mnaojiita answali sunna.

    • @AliSalim-yu4mo
      @AliSalim-yu4mo Před 5 měsíci

      Hata huyo anayedai kuwa na mamlaka ya kumtangaza mwezi amekwenda mbali zaidi ya kutaka wengine wakamatwe!unadhani upande wa pili watasema nini?na hayo mamlaka kapewa na Nani?na Serikali isiyo na dini?mamlaka ya mtangazaji yanatokana na kiongozi wa Waislamu atokaye miongoni mwao!sasa je Mufti aliyechaguliwa na Mamlaka isiyo na dini ndio sahihi?mbona Wakristo hawasemi mwenye mamlaka ni yupi ktk tofauti ya madhehebu Yao!

    • @AliSalim-yu4mo
      @AliSalim-yu4mo Před 5 měsíci

      ​@@user-dy9qw6or9ekwani wewe wachukia ndevu!na kuchumia kuvaa nguo za kisheria?Kwa kweli nyie Maghulafi munaovaa nguo za kububutika kama maharusi wa kikafiri ni shida sana!hamujitambui maskini like la kisheria munalikataa na tale mepenzi yenu munayang'ang'ania

  • @nassorochura7838
    @nassorochura7838 Před 5 měsíci

    hii dini ni ya mugu hakuna kulazimishana soma suratul kahf haina haja ya kumfosi mtu aombe msamaha we unajuaje kuwa uko sahihi?

  • @nassorochura7838
    @nassorochura7838 Před 5 měsíci

    na jihadi haita simama mpaka kiyama

  • @uthmanmaluja7005
    @uthmanmaluja7005 Před 5 měsíci

    Huyu Mohamed idiy anataka sanaa uongozi hasa kwa mufti ili apewe nafasi lakini wp anajitahidi sanaa kubwabwaja hoja ya msingi hana kabisaaaa

  • @hemedimbilikila9768
    @hemedimbilikila9768 Před 5 měsíci

    Huna jipya wew na genge lako

  • @muhsinimohammad58
    @muhsinimohammad58 Před 5 měsíci

    Yaani bakwata haiwezi kukupa cheo kwa sabab wanakujua

  • @muhsinimohammad58
    @muhsinimohammad58 Před 5 měsíci

    Shekh uthaymin hajui kiswahili unamnukuu vipi kiswahili??

    • @user-jy2lo6gl9u
      @user-jy2lo6gl9u Před 5 měsíci

      Akili huna ww, kwani huwezi nukuu Aya za Qur an Kwa kiswahili!??????? Ni wazi kuwa hujui chochote

  • @alifaki8741
    @alifaki8741 Před 5 měsíci

    Ivi mtume s w a, hakujuwa wala hakujuilishwa na mola wke kuwa dunia itakuwa kubwa? Ata asitowe maelezo yanayofafanua kuwa dunia ikiwa kubwa tufanye nini?
    Mbona katueleza mengi ambayo zama zke hayapo lkn yatakuja? Ashindwe kueleza hili?

  • @SheikhMondbinamir26-px4ej
    @SheikhMondbinamir26-px4ej Před 5 měsíci

    Halafu watu wanafunga mwezi unapoindama popote nchi si lazima Saudi usizushe

    • @ahlusunna8932
      @ahlusunna8932 Před 5 měsíci

      Wewe nawe hujielewi. Kwani umeskia wao wanafata mwezi wa saudia tuu au wamesema wanafata mwezi wa kimataifa? Kwani lazima ucomment kudhihirisha ujinga wako? Do your research kabla hujaropoka kitu

  • @johariabdalla3319
    @johariabdalla3319 Před 5 měsíci

    Ustadh Shafi tuwekee na upande wa pili tusikilize,ikisha tupime,au umeweka wa upande wako?maana nyie ndo walewale

  • @MohdAliHaji
    @MohdAliHaji Před 5 měsíci

    Naona sheikh Kassim mafuta kumkimbia ww bwana mkubwa

  • @kessynassoro2847
    @kessynassoro2847 Před 5 měsíci

    kitu ambacho sikielewi ni kuwa mashehe leo ni ramadhani ya 13 bado mnasigana juu ya nani atangaze mwezi "this is bullshit" watu hawajui dini yao! watu hawajui sheria za kiislam mwezi huu mgeutumia kutufundisha mambo ya maana ya dini yetu mekaa mnasigana juu yakutangaza mwezi je mlisoma ili tuje tuwasikilize mnavyolumbana mnavyooneshana ubingwa wa kujenga hoja, mm ningesoma dini nisingebishana kwa mambo ambayo hayajengi umoja wa waislamu bali mnazidisha mipasuko kwenye jamii ya waislamu! kwa nn msiachane na hayo mambo kwani huyo shehe balayani akitangaza mwezi na mufti akitangaza mwezi kuna tatizo gani? mungu si atamuuliza huyo aliyewatangazia watu wakafunga ama kufungua nje ya muda? au kama akitangaza mufri pwkw yake nchi nzima nako kuna tatizo gani si ni yeye ataulizwa n mungu kwa nn alizuia wengine wasitangaze mwei tatizo liko wapi. kumbukeni ramadhani inaish hakuna cha maana mnachoongea ni pumba tupu. tumieni platform hizi kuwashawishi wengine wasiokuwa waislam waupende uislam lkn ninyi wiki ya pili sasa huy anasema huyu anaropoka, acheni bhana

  • @CharafimalisalimoAli-qw3hk
    @CharafimalisalimoAli-qw3hk Před 5 měsíci

    KWANZA HUOWEZI WAKIMATAIFA ATAKAEUTANGAZA NI NANI AMBAE NI KIONGOZI WA KIMATAIFA TUNAEE ???

  • @abdulykahera4273
    @abdulykahera4273 Před 5 měsíci

    Mohemedi iddi huna jipya mbona kuna siku yawanawake duniani mbona hua inakua siku moja wewe unachanganywa na muda sio siku nzima

  • @yuniskinkopela3224
    @yuniskinkopela3224 Před 5 měsíci

    Nawewe ni mnafki shke lddi

  • @SheikhMondbinamir26-px4ej
    @SheikhMondbinamir26-px4ej Před 5 měsíci

    Usitudanganye ogopa kuwapoteza watu

  • @MwajumaMkali
    @MwajumaMkali Před 5 měsíci

    Elimu nipana haina haha ya mabishano kwa waisilam

  • @bagalucha
    @bagalucha Před 5 měsíci

    Angalau siku hizi unaweka vijidevu,lakini hizo sharubu zitoe,wacha fitna hizo,Allah anakuona,wacha kujipendekeza.

    • @user-ch5xl9ou4w
      @user-ch5xl9ou4w Před 4 měsíci

      Kwani ww haunamacho allah alivomleta mtume muhammadi mbona alikua pekeake mungu hakuleta mitume wawili si kujua kama patakua na vulugu wakiongoza mitume wawili sasa balahiyan

    • @user-ch5xl9ou4w
      @user-ch5xl9ou4w Před 4 měsíci

      Balahiyan amekosea tu

  • @kagetaabdallah3712
    @kagetaabdallah3712 Před 5 měsíci

    Uyu ni mropokaji sio sheikh

  • @sudisalehe192
    @sudisalehe192 Před 5 měsíci

    Vibaraka wa bakwata,sasa we unamjuaje muft wa Oman

    • @hilalkhalfan1452
      @hilalkhalfan1452 Před 5 měsíci

      Kama humjui ni wewe. Na aliokuwa hamtambui walii wa na Kipenzi cha Mwenyezi Mungu sw MUFTI WA OMAN, basi una hasara kubwa kusikiliza mufti wa mayahudi wa saudia

  • @user-wp3fp9ts2q
    @user-wp3fp9ts2q Před 5 měsíci

    Kwani dunia ina miezi mingapi, mwezi wa kimataifa ni upi na mwezi wa tanzania ndo upi?

    • @hilalkhalfan1452
      @hilalkhalfan1452 Před 5 měsíci

      Unajibu kwa akili au kauli za maimamu na wanachuoni?. Kama unatumia akili basi Mtume saw amekataza. Mwezi ni mmoja ila machomozo ni mengi sana, Qur-an ndio imesema "MAWAQIITU" machomozo ya mwezi si mchomozo wa mwezi. Hayo Mwenyezi Mungu sw ndio kasema. Kwahio kila mtu atafata mchomozo wake sawasawa na jua ni moja ila machomozo ni mengi na kila mmoja atafata swala ya mchomozo wake

  • @SeaPower-pu1mq
    @SeaPower-pu1mq Před 5 měsíci

    Ndioo kwel shekh Salim yupo sahihi

  • @SalimAli-wz3mi
    @SalimAli-wz3mi Před 5 měsíci

    Tufuate katiba ya nchi.
    Tanzania haina dini
    Usifuate mufti wa oman

  • @user-ec9dn5mp8y
    @user-ec9dn5mp8y Před 5 měsíci

    Kwa sababu kilikuwa hakun utenda wazi simu zingekuwepo ungetekelezwa

    • @Silay1034
      @Silay1034 Před 5 měsíci

      Kwahyo uislamu wawakat wa mtume ulikuwa na upunguf kwa kuwa hakukuwa na simu we ni jaahil na hyo syo hojjah msikilize shekh maana ananukuu syo maneno yake

    • @Silay1034
      @Silay1034 Před 5 měsíci

      Hlf ujue hauhitaji utandawaz wala hauhitaji media kwasabab Allah hakushindwa kuleta utandawaz wakat wa mtume na uislam ulikamilika kwa wakat wa mtume uislamu umejitosheleza acha porojo Barakallaah fiika shekh Abuu Idd

  • @yusufkisome639
    @yusufkisome639 Před 5 měsíci +1

    Unatushauri turudi kwenye dini ya kukata mauno kwenye Maulid

  • @r.m.a7570
    @r.m.a7570 Před 5 měsíci

    Mbona maulid ilkua hamna na leo nyiny muna shadidia vp hapo shehe na ww muonga au

  • @r.m.a7570
    @r.m.a7570 Před 5 měsíci

    Arafa ngap jaman naona Tanzanian ina rafa yao

    • @Silay1034
      @Silay1034 Před 5 měsíci

      Usiropoke we ni jaahil sikilza wasomi wenye Elimu

  • @abdulykahera4273
    @abdulykahera4273 Před 5 měsíci

    Unataka cheo bakwata wewe acha kuongopea watu

    • @Silay1034
      @Silay1034 Před 5 měsíci

      Toa hojjah syo kutukana mburura wa kianswar munashikiwa akili

  • @SaidimaulidiMaulidi-lf9de
    @SaidimaulidiMaulidi-lf9de Před 5 měsíci

    Hawa answari wamechanganyikiwa

  • @manixawadh7198
    @manixawadh7198 Před 5 měsíci

    Hana jipya huyu sheikh ywajitatiza mwenyewe... Qiyama kitasimama siku moja tuu ww kimbia kule ambako siku ya Qiyama itakuwa bado haijafika kwao tuone utanusurika vipi... mambo yako wazi mwatatiza tuu watu kwa kuipiga makamama bid'ah.

  • @SheikhMondbinamir26-px4ej
    @SheikhMondbinamir26-px4ej Před 5 měsíci

    Utubie wewe

  • @MohamefMullah
    @MohamefMullah Před 5 měsíci

    Mawahabi hata uwatolee ushahid kwenye vitabu vyao 'vya kiwahabi au'vya wa wafadhil wao wamarekani na mayahud hawatakubali maana mawahabi siwaelewa

  • @user-vi7wj5ti8o
    @user-vi7wj5ti8o Před 5 měsíci +1

    hizo niakili zako mwenyewe zakwmba mwezi wa kimatahifa hakuna nyinyi bakwata nendeni mkasome kwa barahiyani sheriya hamuijui

  • @abdallahmsham-eb7jz
    @abdallahmsham-eb7jz Před 5 měsíci

    wewe akili zako zimehama kichani zimehamiya tumboni pumbavuu

  • @user-vi7wj5ti8o
    @user-vi7wj5ti8o Před 5 měsíci +1

    Sheikh hujui géographia na hakuna siku mbili dunian usidangany umma allah yuakuona

    • @AbdallahIssaShekhan
      @AbdallahIssaShekhan Před 5 měsíci

      Wewe ni kihiyo kama Baruhany

    • @yussuphsultan1400
      @yussuphsultan1400 Před 5 měsíci +1

      Hili nalo lako ni jipya, kasome tena jiografia yako hiyo

    • @matanohassan9667
      @matanohassan9667 Před 5 měsíci +1

      We nenda kajiongeze mwezi Ni MMoja tu duniani kote ila Huo mwezi uko Na chomozo Nyingi Kwa mda tofauti Kwa duniani kote hapo ndio matwali Na ikhtilafu zimeanza Na Allah ndivo alivosema katika QURAN tuku (Yas alunaka anil ahillah qul hial mawaqetu )Hadi mwisho Wa Aya so UKITAKA FUATA usipotaka Wacha usitukanae watu

    • @yussuphsultan1400
      @yussuphsultan1400 Před 5 měsíci +1

      Kuna nchi zinawahi kuingia siku na kuna wanaochelewa, Tanzania ikiwa mbili usiku kaangalie Marekani ni saa ngapi! Marekani wenyewe wana time zones ngapi?

    • @SolomomAdams-pf5zy
      @SolomomAdams-pf5zy Před 5 měsíci

      Asante

  • @user-li2el5vb8w
    @user-li2el5vb8w Před 5 měsíci

    Shekh' IDDI' tunaijua chuki.yako dhidi ya Ansar kwamuda mrefu. Wewe nimwanazuoni mbaya sn,.unayefarakanisha waislaam. Wewe NIMTU hatari sn ktk MAENDELEO.ya.Uislaam..DUNIANI.