SHEIKH IZZUDDIN ANASTAHIKI KUPONGEZWA KWA KUKUBALI MAKOSA || Muhammad Bachu. 4/2023.

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 15. 04. 2023

Komentáře • 304

  • @othmanali7408
    @othmanali7408 Před rokem +17

    binafsi nimefurahi mno shekh Izuddini .Allah akuongoze ktk njia iliyosawa wewe na sisi amin amin amin

  • @BarisaAli-fm2fb
    @BarisaAli-fm2fb Před rokem +5

    Ni vizuri kukubali makosa...Allah atuongoze sisi sote hapa duniani na akhera🤲

  • @nayeemn9275
    @nayeemn9275 Před rokem +4

    Hakuna aliye musafi pia Cheikh izzudin Allah akupe mema duniani na Akhera, Akupe umri mreefu wenye kheri na Baraka, nakupenda kwa ajili Yaa Allah.

  • @ramadhanitwahili6837
    @ramadhanitwahili6837 Před rokem +12

    Tatizo njia munazo zitumia kukosoana siomzuli ila wewe unawashushua wezako ila wewe pia shekhe unalekibshwaga ujai kukubali sasa sijui mashekhe wote awajui zaidi yako.usinielewe vibaya shekhe bachu insha Allah mungu atongoe sote.

  • @MustafaOyoo-qz7rp
    @MustafaOyoo-qz7rp Před rokem +10

    Allah awalipe mema masheikh wetu muhammad bachu na izudin.tusiwe kama mashabiki wa mpira.tufuateni haki tupate nuru

  • @kassimmanaramalika8592
    @kassimmanaramalika8592 Před rokem +9

    Tatizo Sio kukosowa watu ni lugha mbaya inayotumika Na kejeli ndioo hayo yanayoshusha thamani ya unayoyarekebisha watu,kama umeyaelewa hayo Allahumma Amiin Yaa Rabbi Mwenyezi Mungu atuongowe woote Na Sisi tuwe wenye kustafid na elimu zinazotolewa na Sio wenye kutiana chuki na kuoneshana vidole inshallah, waalaykum msalaam warahma tullahi taala wabarakatu ndugu yangu Muislaam Shukran

  • @fauzia4610
    @fauzia4610 Před rokem +22

    Sheikh izzudin mungu akujalie maisha marefu InshaAllah

  • @zuzadomikano3765
    @zuzadomikano3765 Před rokem +8

    NDUGU Sheikh Mohamad BACHU ,UKWELI umekoseyasana Ruska katika myenendo ya SHEIKH BUN BAZ ALIVYO KUA ANAWAKOSOA WENZIE MFANO WA SHEIKH ALBANI ,BILA KULETA TAHARUKI SAUDIA NZIMA ,UNANITIA MASHAKA KANA KWAMBA HUNA RADHI SEHEMU NYINGI WEWE ,ALLAH AKU ONGOZE KABISA.

  • @jumamuhd620
    @jumamuhd620 Před rokem +4

    Shekh izzudin tunakukubali lkn hakuna mtume hata moja alie kua hajakosea . kukosea ndio sifa za binadamu. ALLAH (SW) ndie asie kosea.

  • @jumakumala1337
    @jumakumala1337 Před rokem +4

    Allhamdhullillaih kwa kuleta najita kwa maneno hayo na marekebisho kwa masheikh wetu wote ALLAH awajalie kheir amiin

  • @abuuabdillahtv8457
    @abuuabdillahtv8457 Před rokem +1

    Shekh upo saw shekh muhamad allah akuifadh na akuongoze wanaokupnga wanafikil dini inaenda kwa rai

  • @ameirchum-qw5yv
    @ameirchum-qw5yv Před rokem +4

    Allah atujalie ikhlaasw ktk kauli na amali zetu tufanye amali kwa ajili ya allah tabaaraka wa taala❤❤❤

  • @nailaomar4810
    @nailaomar4810 Před rokem +8

    Mashaallah Allah akubarikini mashekhe wetu na akuzidishieni elmu

  • @omarmwabege
    @omarmwabege Před rokem +3

    Maa Shaa Allah.sheikh izzudeen Leo umenifurahisha sana.Allah akuhifadh

  • @chabunu3367
    @chabunu3367 Před rokem +1

    Shukran sheikh yuzzdini tumefurahi Wala usiwe na shaka na sisi shukran wabilahi tawfiq

  • @MohwaaMohwaa-x4n
    @MohwaaMohwaa-x4n Před 17 dny

    Bachu nakuelewa sheikh AALAH AKUHIFADHI

  • @tanzania_001
    @tanzania_001 Před rokem +4

    MashaAllah 😊

  • @fakihkhsaid9353
    @fakihkhsaid9353 Před rokem +3

    Allah akuhifadhi hakika kazi yako tunaiyo allah akupe akhlasi zaidi

  • @rukialulosman8945
    @rukialulosman8945 Před rokem

    Mashaallah sheikh hakuna mkamilifu isipokua Allah. Jazakallahu kheir kwa sheikh aliye mrekebisha. Shukran

  • @fahadtimimy9413
    @fahadtimimy9413 Před rokem +1

    Shekhe pia akubali kwamba mtume muhamad sallallahu aleyhi wasalam awapenda sana maswahaba zaidi kuliko sisi....shekhe kasema mtume atupenda sisi kuliko maswahaba

  • @ramadhanosman7840
    @ramadhanosman7840 Před 17 dny

    Alaah akuhidhi akhii wallah tunanufaika kwadarasa zak

  • @mesasaid-kj3nq
    @mesasaid-kj3nq Před rokem +2

    Mashallah sheikh
    Jana tulikuwa wote kwa iftar ya Hassan omar nilifurah kukuona

  • @user-cn7nm7vu1s
    @user-cn7nm7vu1s Před rokem +2

    pongezi sana sheikh izudin

  • @aishabunu6281
    @aishabunu6281 Před rokem

    Ameen 🤲 kiukweli sheikh wetu izzudin Mashaallah may Allah protect you Ust.

  • @wastarayusuf93
    @wastarayusuf93 Před rokem +7

    Shekhe izudin allah akujaze kheri na akuhifadhi na uaduwi na akupe umri twawil na wenye manufaa sana . hakika hiyo ni ishara ya uchamungu. Ila huyo bachu kajifanya kakukosowa wenziye mbona yeye huwa akubali kurekibishwa????? Wewe bachu una kibri sana na ipo siku moja alla atakudhalikisha tu na kama umemkosowa kwa kutaka kumuabisha allah atakuaibisha wewe. Maana tunavyo kujuwa wewe ni mkaidi na haukumkosowa kwa ikhlaaswi.

    • @Idri683
      @Idri683 Před rokem +2

      Ikhlass iko moyon , wajuaje wewe kma hakufanya kwa Ikhlass??

    • @abdallahsaid1968
      @abdallahsaid1968 Před rokem +1

      Waja wema hawaombewi dua mbaya ila itakufika wewe unae muombea kua making bachu anafanya kwaajili ya Allah

    • @azamomar9920
      @azamomar9920 Před rokem

      Acha dhana usimdhania mtu nikosa kubwa katika uwislam siku zote mtu asemae ukweli au kusmamia haki basi huwa na maadui wengi ilikua hivyo ivo hata kwa mtume Muhammad s.a.w kipindi analingania watu juu ya uwislaam walio muelewa nakumkubali mapema walikuwa niwachache mno hususani wale alio wachagua Allah lakini kadri siku zilivyo kwenda watu waliingia uwislaam kwa wingi basi namimi sioni sababu yawewe kumchukia mtu nakumuombea dua mbaya haliyakuwa kasimamia hakki nakuwazindua watu kuepukana na batwil je nikuulize swali lait asingemkosoa uyo sheikh unafkir ni watu wangapi wangeishi kwa kutumia hiyo kauli yake? Au ni vizazi na vizazi? nasiku zote ukiona unamchukia mtu kisa kasema nakusema kwake nikwa ajili ya Allah na Mtume wake basi jua kwamba anayo yasema yanakugusa ivyo basi yakupasa kama muislaam mwenzangu kuachana na hayo yote ambayo hakutu amrisha Allah wala kutufundisha mtume Muhammad s.a.w kwani kuzusha jambo katika dini nikumkosoa Allah na mtume kwamba kuna vitu walisahau katika dini sasa sijui yupo mwanadam au kiumbe yeyote anaweza kumkosoa Allah tuwe nahof ya mwenyezimungu ndugu zangu Allah hajaribiwi wala kufanyiwa mzaha tuache ushabiki katika dini tujitume kuisoma dini yetu kisawa sawa namuomba Allah atuongoze katika haki na atuepushe na batwil tuiache nakila tunalo lifanya liwe kwaajiliyake Allah Amiin.

    • @wastarayusuf93
      @wastarayusuf93 Před rokem

      @@Idri683 Huyu bachu huwa tunamfata kwenye mitandao sana akirekibishwa huwa hakubali kuwa kakosa na ujeuri mwingi sana. Mfano kakosolewa akitukana barzanji ya maulidi nabii s.a.w. kitabu kimetungwa na mwanachuoni mkubwa yeye eti anakirusha kua hakifai kina shirk maskini akapige goti aelimishwe aache kibri. Mfano mzuri kwa shekh izzudin huyo ndio uchamungu. Sio kua na kibri.Ndio maana hatuna uhakika kua amemrekibisha mwenziye kwa ikhlaaswi.

    • @husna34562
      @husna34562 Před rokem

      Amiin

  • @TeamKRX
    @TeamKRX Před rokem +1

    Huyu ni shekh mshari sana sana baba ake hakuwa hivi

  • @rajabjuma277
    @rajabjuma277 Před rokem +1

    Sheikhe izzudin Allah akuhifadhi sio raising mtu kukubali kosa zaidi mtu kosa lake atakutupia ubaya kwa lolote mimi nakiri mohammed bachu unapo rekebisha mm binafsi napenda mana dunia imejaa bidaa hii Allah awahifadhi

  • @HassanAli-eq8ko
    @HassanAli-eq8ko Před rokem +1

    Mashaallah jazakumllah kheir amiin

  • @yasirsaid8464
    @yasirsaid8464 Před rokem +2

    MAA SHAA ALLAH barakALLAHU FIYKA

  • @jabirkasunzu6841
    @jabirkasunzu6841 Před 5 měsíci

    Aamiiin 🤲🏼

  • @MuhammedSalim-gk3mr
    @MuhammedSalim-gk3mr Před rokem +2

    Ma sha allah

  • @preciouslanguagecentre8918

    Kama hivi mm ndo napenda masha allah . Allah ajaze Kheir

  • @balkisamisi2131
    @balkisamisi2131 Před rokem +1

    Allahuma amin

  • @saidyussuf2291
    @saidyussuf2291 Před rokem +3

    Na wewe Muhammed Bachu , ukubali kukosolewa na sio ukikosolewa ulipize kwa kukosoa tuu na wewe, na uo ni mfano wa wewe kuiga na pia tumia njia nzuri za kukosoa na kuweka sawa watu .

  • @abdulmwakubambanya9091
    @abdulmwakubambanya9091 Před rokem +2

    Barakh Allah fikh

  • @abubakaridris6186
    @abubakaridris6186 Před rokem +4

    MashaAllah shaikh bt na ww juzi uliswalisha makafiri swala ya maghrib hukmu yake nini?

  • @amina2044amin-zv2gh
    @amina2044amin-zv2gh Před 2 měsíci

    Amen amen 🕋🤲🤲🤲

  • @yusufutambala2840
    @yusufutambala2840 Před rokem +1

    Amiin

  • @i_gabbykisalo4280
    @i_gabbykisalo4280 Před rokem +3

    Naam, kazi nzuri Masha'Allah na Allah anawapenda sana wenye kutubia. Kama huyu Sheikh Izudin Allah amuhifadhi amiin.
    Swali kwako Sheikh Muhammad, je nawewe uko tayari kutubia kwa kosa lakutupa kitabu cha Sheikh JAAFAR AL_BARZANJI? Maana huyu mwenye unamsifu leo na kumuombea dua pia umekubali kama yuko na imani, anasoma hicho kitabu ambacho ulikiita kitabu cha "SHIRKI"...

    • @maheralmuayqily1900
      @maheralmuayqily1900 Před rokem

      Ndugu samahani kwani kitabu cha maulidi barazanjii kina hadhi kubwa kuliko QUR'AN mpk atubie kwa kukitupaa

    • @i_gabbykisalo4280
      @i_gabbykisalo4280 Před rokem +1

      @@maheralmuayqily1900 bila samahani ndugu yangu ki imani.. jibu ni kwamba hicho sio chakupimanisha na QUR'AN ao vitabu vikuu vya hadiths, lakini vitabu vya wanazuoni wakiislamu ambao wamefanya jitaidi kubwa kwenye dini haifai kuwazalilisha. Ao kutupa vitabu vyao kimakusudi kwakukejeli.

    • @muftishaban.a.musamombasak6577
      @muftishaban.a.musamombasak6577 Před rokem +1

      Swadakta natoe live bachu akiri kosa Hilo Kama ajua hadhi ya wanachuoni hapo tutajua anaheshima kwa ja Mii kwa Sasa Hana hadhi

    • @i_gabbykisalo4280
      @i_gabbykisalo4280 Před rokem

      @@muftishaban.a.musamombasak6577 Naam Mufti...Allah atuongoze wote amiin

  • @MussahOthman-eq6nv
    @MussahOthman-eq6nv Před rokem +1

    MashaAllah

  • @coyancodavao4004
    @coyancodavao4004 Před rokem +13

    Sheikh Izzuddin hana mshipa wa ubishi kama wako

  • @zawiaissa8912
    @zawiaissa8912 Před rokem +2

    mashaallah Allah awaongoze

  • @mgeninaima9866
    @mgeninaima9866 Před rokem +1

    Ameeeeen 🤲🤲🤲🤲🤲

  • @jumamuhd620
    @jumamuhd620 Před rokem +1

    Hata km ungekosea mara 100 tunakukubali iyo ndio moja kati ya sifa y binadamu. Mm Ahyan Othman Moh'd kutoka Zanzibar.

  • @mahsinmbarak7191
    @mahsinmbarak7191 Před rokem +1

    Huyu Muhammad bachu mjuaji sana na hawi mtu kujifanya mjuaji isipokua mwenye kutawaliwa na ujahil 🙌🏻

  • @khamissalim8708
    @khamissalim8708 Před rokem +1

    Àmeen ya rabbi

  • @suleimanabdul-karim1212
    @suleimanabdul-karim1212 Před rokem +1

    Mashallh Allah akubarik sheikh Muhammed

    • @blacknature3691
      @blacknature3691 Před rokem

      Ambariki nini kuzuwa mizozo kama nzi anadema popote kwani yeye kakamilika?

  • @HardwareMoshi1
    @HardwareMoshi1 Před rokem +1

    Mashallah tabarkallah

  • @lancetkenya6720
    @lancetkenya6720 Před rokem +5

    Wewe mtoto ni kibri kinakutawala

  • @makhanguwakhutu2408
    @makhanguwakhutu2408 Před rokem

    aamin

  • @amissandayishimiye-su4wm

    Maashaallah ndo uislam unataka hivyo.Allah akuhifadhini

  • @yassirjuma-nv1kh
    @yassirjuma-nv1kh Před rokem

    Maashaa Allah niwatakie kila la kher mashekh wetu lkn mimi nahis kukosoan mitandaon si vizur kam ungelimtafuta na kumkosoa ingelikua vizur zaid
    Allah atuongoze katik haki na tuifuate

    • @muftishaban.a.musamombasak6577
      @muftishaban.a.musamombasak6577 Před rokem

      Kabisa ndugu .lakini Hilo lakumfuata haliwezekani sababu yeye ataka dunia ijue kuwa yeye NI MTU mkubwa katika jamii. Kiufupi hakuna kwa ajili ya ALLAAH ni kwa ajili ya viumbe

  • @yes_yes1310
    @yes_yes1310 Před rokem +10

    Na wew ukirekebishwa urekebike pia 😂😂😂 kijana wetu .

    • @fauzia4610
      @fauzia4610 Před rokem +1

      😂😂😂 kwel kabsaa

    • @MrNoNonsenseYes
      @MrNoNonsenseYes Před rokem

      Akiwa kakosea mbona anakubali tu,

    • @yes_yes1310
      @yes_yes1310 Před rokem +2

      @@MrNoNonsenseYes una uhakika na ilo usemalo ? Ebu rejea mada ya haleluya ,kisha utajipa jibu.

    • @MrNoNonsenseYes
      @MrNoNonsenseYes Před rokem +1

      @@yes_yes1310 Ebwee, yani katika mada zote hiyo ndo mada uliyoichagua 🤣🤣🤣
      Kwahiyo wewe unaunga mkono Halleluyah ina maana moja na La ilaha ila Allah 🤔😪

    • @yes_yes1310
      @yes_yes1310 Před rokem +1

      @@MrNoNonsenseYes Sina maana iyo ,ila natak kujua ahadi alio itoa kwenye ile mada je alitekeleza ,na kama alitekeleza atuonyeshe iyo video alokiri kukubali kurekebishwa,Ni hilo tu... ✍🏽

  • @NaaalsGroup-us8bq
    @NaaalsGroup-us8bq Před rokem +1

    Amina rablahlamin

  • @mussajakaswaleh4383
    @mussajakaswaleh4383 Před rokem

    Kisichofanana na mwenyewe wallahi nafurahi sana ya mungu aendele kumlaza sheikh Nassor bacho pema palipo na wema sauti kabisa ya babako Masha Allah

  • @user-rz2hf5pr6e
    @user-rz2hf5pr6e Před rokem

    Maa shaa Allah

  • @saidhamad9723
    @saidhamad9723 Před rokem +7

    Kuwa makini na riyaa km amerekebeshika ilikuwa haina haja ya wewe tna kuanza kumnadi tna kuwa kakubali makosa yke na kuonekena yy hana elimu vzr km ulivo wewe

    • @sultansaidsalehe3805
      @sultansaidsalehe3805 Před rokem +2

      Haina maana hyo coz kila mwanadamu anakosea

    • @saidhamad9723
      @saidhamad9723 Před rokem +4

      @@sultansaidsalehe3805 hapana asiekosea ila ni namna ya urekebishwaji sio mzuri huyu ata kumuita shekhe alikuwa hamuiti angalau kabadlka kidg ....elimu anayo ila atafte njia nzr ya kurekebisha wenziwe

    • @MohamedSaid-wo2be
      @MohamedSaid-wo2be Před rokem

      Kweli kabisa lkn yeye hawezi kukubali makosa anadia watu lkn yeye hawezi na ndio anajifanya ajua zaidi yeye huyu bachu utafkiri hakosei yeye na yy ndio mkosowaji mkubwa sana eti mashekhe wote wakosea ila yeye hakosei

  • @FathimaZubair-jt4cg
    @FathimaZubair-jt4cg Před 10 měsíci

    😍😍😍

  • @user-rn1cm9dr8h
    @user-rn1cm9dr8h Před rokem +1

    Sasa nahisi watu wa bidaa wameanza kumuewa vzr huyu Muhammad bachu.Allah awajaze kheri

  • @jakuabdull34
    @jakuabdull34 Před rokem +3

    Sawa lkn si sawa kukosoana hadharani ni vyema kutafuta njia sahihi

  • @user-tc3bg9ln9j
    @user-tc3bg9ln9j Před 7 měsíci

    Mashallah

  • @abdullahkipeta8546
    @abdullahkipeta8546 Před rokem +1

    Huku naona wengi wanao coment ni mashabiki wa shekh huyu maana wanamkubalia kwa kitendo chake Cha kuwasema mashekhe hadharani 😭😭😭dah lakini sio nzuri maana anatafuta umaarufu kwa nguvu sana

    • @hekimasanga6028
      @hekimasanga6028 Před rokem

      Aliyekosea alikosea hadharani na watu waliondoka na huo msimamo dawa yake ni kukosoa mtandaoni ili jamii iliyoathirika ipate kurudi kwenye usahihi

    • @abdullahkipeta8546
      @abdullahkipeta8546 Před rokem

      @@hekimasanga6028 HATA JINA LAKO LINA TUJUZA KUA HAKUNA KITU KIKUBWA KAMA HEKIMA ,,YULE YULE NDIE ALIEKUA NA NANAFASI YA KUREKEBISHA IKIWA ALIKOSEA KWA MAANA ILITAKIWA AENDE KUZUNGUMZA NA SHEKH MWENYEWE NA SIO MTANDAONI AKHIL KAREEM.

  • @user-cy1od5xr8x
    @user-cy1od5xr8x Před 7 měsíci

    Masalafy Wanapenda mabishano na mashindano na wakikosea hawakubali kukosolewa

  • @zuheorsalim7759
    @zuheorsalim7759 Před rokem +4

    Mnajua km huyu kijana ametahayari sna yeye alifikiri ndo anzanzsha ligi kubwa dabble

    • @husna34562
      @husna34562 Před rokem

      😂😂😂😂ajawah izudin kujibu mtu

  • @KhalidAbdallaKassimKassim

    mashaallah she mohd bachu

  • @feisalfarsy6562
    @feisalfarsy6562 Před rokem

    Mm nakukubali sana sheh wang

  • @LukmaanSalum-ys8nf
    @LukmaanSalum-ys8nf Před rokem +1

    Ni vizur ila na ww acha ujuwaji mtu humkosoi hvyo mwite pembeni mueke sawa sio kumkosoa hvyo acha ujuwaji

  • @azuukasha3225
    @azuukasha3225 Před rokem +2

    Huyu bachu anadharau na kujua kwingi

    • @rayaali7551
      @rayaali7551 Před rokem

      AZU UKASHA. SASA HAPO SHEKHE MUHAMMAD BACHU ALICHO KOSEA NINIII. AZU UKASHA WACHA KUSIMAMISHA FITNA ZA KISHETAANI. HASA PALE UNAPO ONA WAWILI WAPONGEZANA NA DUWA NJEMA KUOMBEANA. WACHA FITNA ALLAAH HAPENDI TUNATAKIWA KUJIFUNZA NA KUCHUKUWA MFANO WA VIONGOZI WETU WA DINI KAMA HAO WAWILI HAPO. MFANO MWEMA MZURI WENYE MAENDELEO YA KIELIMU SAWAAAAA AZU UKASHA WACHA CHUKI WACHA DHARAUU WACHA UCHOCHEZI. NI KHARAAAM

  • @fauznuhu9981
    @fauznuhu9981 Před rokem +4

    Je wewe uko hivyo!?

  • @Kalaharidesertstorm
    @Kalaharidesertstorm Před rokem +2

    Izzuddin ashakuwa shekhe wetu bravoalayk😂😂😂😂😂

  • @Mwinyi-pr3re
    @Mwinyi-pr3re Před rokem +5

    Shek hmuhammedi bachu wewe kila siku anakosolewa je mbona hutaki kukubali makosa yako j mbele ya watu kama alivyo fanya shekh izzu din.. Au unaona ufakhari kurekebisha wenzako??????

    • @niffonlinetz7214
      @niffonlinetz7214 Před rokem

      INAELEKEA UMFATILII VIZURI NDO MANA UMEKUJA NA HII COMMENT

    • @binseifalsuleimaniy503
      @binseifalsuleimaniy503 Před rokem

      Fatilia darsa zake utaona kma anakubali au hakubali

    • @jumamahmoud9271
      @jumamahmoud9271 Před rokem

      Fatilia durusi zake uone akikosolewa nukta tuu anakuja kurekebisha.ukimuona hajarekebisha alupokosolewa basi tambua kua yeye ndio yupo ktk haqi.

  • @burayhin
    @burayhin Před rokem

    huyu mtoto mnafiki kwel wallah, wapi shekh izu dini kasema ukitaka umuingilie mkeo mchana wa ramdhani na ukwepe kafara basi fungua kwa kula? kama sio utovu wa adabu ni nini? atufanya sisi hatuna masikio na uwelewa kama alivo yeye mtovu wa adabu, mi siku zote nasema huyu mwana wabachu hana adabu kabisa, na in shaa allah hutoondoka hapa duniani mpaka athari za wana wazuoni uliowakosea adabu zikupate

  • @MalikshotelsMalikshotels
    @MalikshotelsMalikshotels Před měsícem +1

    Lengo lake n kumuingilia mke wake na siyo kwa maji

  • @habibumadege8187
    @habibumadege8187 Před rokem

    Izudin nawewe muhammad ALLA akulipeni wema,ilatu natoa angalizo kwako muhammad bachu Nawewe ujitahidi uache lughamaya nakujiona wewetu ndiyo shekh msomi kulikowote isijjetena wewe ndiyowewe kwakuwa IZUDIN umemkosoa na kakubali kosa baasi ukaona ee mimi ndiyomimi hatawewe yanaweza kukutokea kamavile baadhi ya wanachuoni waliopita,

  • @mansurabubakar3906
    @mansurabubakar3906 Před rokem +1

    Mh muftiwaDunia

    • @saeedmohammed4166
      @saeedmohammed4166 Před rokem

      Subhanallah!! Unaonekana una chuki juu yake, ila mwezi huu hujacherewa ni mzuri mno wa kurekebisha nyoyo zetu. Tumuombe sana Allah azibadilishe nyoyo zetu, tupendane kwa ajili yake

  • @abdulmohamed6241
    @abdulmohamed6241 Před rokem

    Imam shafi anasema"unaponikosoa nivute pembeni unieleze,ukinikosoa hadharani hujanikosoa ila utakuwa umenitukana(umenivunjia heshima tangy)hapa imam shafi alileta funzo kubwa sana Allah amrehemu

  • @hutiswalehe2444
    @hutiswalehe2444 Před rokem +2

    Na ww ndo ujifunze...uwe unakubali makosa yako mbele za watu

  • @jumakumala1337
    @jumakumala1337 Před rokem +2

    Amiin thuma amiin

  • @AbdallaMwagora-sm1rj
    @AbdallaMwagora-sm1rj Před rokem +1

    Aliyekuletea kesi kwako elimu yake ni changa kama yako .sheikh izudin ni muungwana na alielewa ni wapi alikosea ,lkn mtoto wa bachu ajiona ameibeba elimu yote .angesema tu nimepata ujumbe si kusema nimepata kesi.hapo ni kujikweza.

  • @abdullahkipeta8546
    @abdullahkipeta8546 Před rokem +2

    Hii tabia ni mbaya sana hata kama nyie mnaona sawa lakini sio hekma

  • @samirahimid205
    @samirahimid205 Před rokem

    Sheikh Izzudin ametumia hekma ya Hali ya juu,na kuziba aliye mrekebisha. Ilikuwa inatosha. Vipi leo sheikh Muhammad Bachu wewe umetengeza hoja upya sio sawa.

  • @Mwinyi-pr3re
    @Mwinyi-pr3re Před rokem +2

    Mimi siwez kufatilia darsa zake maana darsa zake huwa anawakosoa wana wa chuoni.ambao wana elimu kuliko.yeye.sasa kuna darsa hapo!!!? Mm kiufupi sio kama kuna shekh hapo!!?....

    • @zuheorsalim7759
      @zuheorsalim7759 Před rokem +1

      Hamna shekh hapo huyo anatafuta jina na kashalipata ni utoporo tu

  • @shadali7616
    @shadali7616 Před 10 měsíci

    Mbona we ukubali kushindwa weye .... pia una takiwa ukubali kushindwa ....

  • @aminamwinyi4427
    @aminamwinyi4427 Před rokem +1

    Mawazo yangu ikiwa sheikh atateleza basi, sheikh mwenzi mwenziwe ampigie simu amueleze alipokosea, alafu yule mkosa atarudi tena ajirkrbishe, kuli kuliko aibu hino please, kwa sababu nimeona clip ingine Bachu nawe unakosolewa, sasa tutaendelea ivi mpaka lini , mwishowe mutate mkiateta nyinyi sisi tuwewapi? Sasa Bachu umekosolewa. Anie kukosea nae ametowa clip pua

  • @omarabdi3604
    @omarabdi3604 Před rokem +1

    mbona ww hukubali kukosolewa uki kosolewa una leta comet tele

  • @habibumadege8187
    @habibumadege8187 Před rokem

    Kukubali makosayako nidalili ya uchamungu nawengine hasawewe yatakiwa nawewe uige mwenendohuo maana ww unatabia ya lughachafu na kibri hutaki kushindwa hatakama nikosakweli nasisi tunaoushahid ukikosolowa hatakama nikweli hukubali, nihayotu

  • @rayhannahilyas5203
    @rayhannahilyas5203 Před rokem

    Nenda kasome alaf kumbe unajua sasa kwann mkiambiwa na sheihk Abdallah humeid mnakasirika

  • @saidkipalo4427
    @saidkipalo4427 Před rokem +1

    Wewe Ushakubali hata mara moja kama Umekosea?

  • @mustafawendo6739
    @mustafawendo6739 Před rokem

    Mola atupe mwisho mwema

  • @jumamohamed628
    @jumamohamed628 Před rokem +2

    Mtu mnaafiq huyu,leo amuita Sufi Shekhe wetu😂😂😂😂😂

  • @jumashekiyao9753
    @jumashekiyao9753 Před rokem

    Mbona masheghe wa kisalafi hawataki kukosolewa

  • @alidingongo443
    @alidingongo443 Před rokem

    Lengo lako lilikua kumdhalilisha maana mumezoe mashekhe wa Tz kuteta mitandaoni amekujibu kwa ustaarabu sie watu wa Mombasa swali mbona hukuongelea zile zilizopita?

  • @hassanbakari4525
    @hassanbakari4525 Před rokem

    HUYO BACHU HAFAI 😄,,HATAKIWI KULAUMIWA WATU WASOME TU..TUSHABURUZWA SANA TUNAITIKA TU.

    • @dazzwazenji
      @dazzwazenji Před rokem

      We mwenye elimu mbon hutoe elimu yako acha unaviki ndugu

    • @iddimohamed254
      @iddimohamed254 Před rokem

      Najua watu wa maulidi hawajafurai..!lakini vumilieni tu ndio haki ilivyo.

  • @AmCool_
    @AmCool_ Před rokem

    Airtime.

  • @amritwaha-kp3hu
    @amritwaha-kp3hu Před rokem

    Unapozungumza ya mwenzako na ukamsifu ni vizuri
    Swali je wewe umekosolewa mara ngapi na hujakubali au hii kwa wenzako tu kwako haiwezekani maana we ni si mkosesji

  • @abdlaahabdalaah6911
    @abdlaahabdalaah6911 Před rokem

    Wewe mbna huahukubali unapokosea au hua hukosei pili ww hukosei jingaww ww uache

  • @canoksancomprehensivelearn7182

    Sheikh Izzuddin namjua ninmchamungu na hana kibri nilihisi tu angekubali haki na kiukweli masheikh wote tuwe kama sheikh Izzudin. Allah atufanye tuwe kama yeye hana kibri

  • @hawaramadhani4066
    @hawaramadhani4066 Před rokem +1

    Kwan ww huwa hukosea au ww ndio mrekebishaji wa wenzio

  • @rashid3562
    @rashid3562 Před rokem

    Huyo sheikh ni mchanga mungu ndo maaana Hana shida ya debate

  • @RamadhanMohamed-fi5mz

    Leo nime enjoy san