Video není dostupné.
Omlouváme se.

SHEIKH ALHATIMY AMJIBU MTOTO WA BACHU "KUWA NA ADABU UNAPOMZUNGUMZIA MTUME"

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 19. 08. 2024
  • Majibu ya Sheikh Muhammad Alhatimiy kwa Mtoto wa Bachu

Komentáře • 1K

  • @yusuphnamkudai6721
    @yusuphnamkudai6721 Před rokem +3

    Maashallah sheikh allah akuzidishie na umri wenye afya tuzidi kunufaika.
    Allah allah ummati muhammad huyu sheikh hapa lengo la kufanya hivi ni kutuelimisha sisi ili tutoke kwenye mashaka na kuhemewa lakini kwa njia ya kumjibu sheikh bachu kwa sababu njia zipo nyinhi kwahiyo kazi ninkwetu kutafuta njia ilokuwa ya sawasawa kwenda kwa allah..
    Sikiliza elimu hiyoo ondoa hasadi kwenye moyo wako utanufaika saana dini haihitaji ushabiki.

  • @hakikwadalili
    @hakikwadalili Před rokem +9

    Asante sana kwa darsa hii muhimu.
    Allah akuhifadhi Sheikh.
    Ni jawabu tosha na ya kunyamazisha.
    Asaa Allah atampa kijana taufiki ya kutubia.

    • @abdallahismael3993
      @abdallahismael3993 Před rokem

      Natumia umeelewa vipi bacho elimu yake ni ndogo ambayo pia yeye inamhangaisha.ubaya WA elimu ndogo

    • @kasimubangu1875
      @kasimubangu1875 Před rokem

      @@abdallahismael3993 bado mwenye elm ndogo hapo ni alkhatimy sio bachu kilillahi

    • @wamburaamanimatutu7575
      @wamburaamanimatutu7575 Před rokem

      @@kasimubangu1875 Haswaa

    • @abdallahismael3993
      @abdallahismael3993 Před rokem

      @@kasimubangu1875 daaah !!. Kaka hakuna mwalimu anataka kujinasibisha na Huyo kijana kabsaa,niambie mwalimu mmoja anaweza kusema Huyo kijana ni mwanafunzi wake sidhani kwasababu ya kutotaka kujihusisha na mtu anae toa maneno machafu ,mashekhe wengi wanaweza kusema alhatimy ni mwanafunzi wao.

    • @kasimubangu1875
      @kasimubangu1875 Před rokem

      @@abdallahismael3993 kinachoangaliwa siokujinasibisha tunaangalia maneno aliyo yasema bachu na khatimy akhii

  • @Abuassma360
    @Abuassma360 Před rokem +4

    Wally bwana hatmy wajikoroga sana sheikh m bachu ako sahihi

  • @hilalbinaliy
    @hilalbinaliy Před 10 měsíci +1

    subhanaallah ewe kijana wa mtoto wa bachu kuwa makini na ndimi zako kama tulivyoambiwa na mtume kuwa tulinde ndimi zetu

  • @aminabdalla7824
    @aminabdalla7824 Před rokem +5

    Subhana Allah ewe kijana wa bachu chunga ndimi zako ...soma dini vizuri kabla mauti yako.... Allah akusemee Sana na kauli zako....hujui kitu acha ubishi .....elewa mfano mdogo huo mtu mumiin tu anapelekwa na malaika ....upo sheik bachu..

    • @yassinyassin1416
      @yassinyassin1416 Před rokem

      Mwenyezi mungu msamh muhmadu bachu ameghafilika umpe ufahamu zaidi

    • @user-sf2tg5bl3s
      @user-sf2tg5bl3s Před rokem

      sheikh Bacho yuko swahihi

    • @mahersuleiman5767
      @mahersuleiman5767 Před rokem

      Usitetee upande wowote wikiza hoja za wote wawili kisha chagua njia sahihi ,

    • @AbdillahAlly-fl4vh
      @AbdillahAlly-fl4vh Před 3 měsíci

      Unatetea ujinga nawewe anausahihi gani kukosa adabu ndio sahihi sema bacho anatafuta kik​@@user-sf2tg5bl3s

  • @abujamalaalghammawiy7470

    Maasha Allah tabaaraka Allah,
    Ndiomaana Mtume alituambia tuombe Aah atupe elimu na ufahamu wa tulichokisoma
    Kinachomtesa huyu Bachu ni ufahamu wa kile alichosoma
    Haelewi alichosoma, na hii ni tawfiq ya Allah, humpa amtakaye
    Tunamuomba Allah atuepushe na uzito wa kufahamu kwa kile tulichosoma

    • @assadyabdull5146
      @assadyabdull5146 Před rokem

      Wew kasome bhn maan unafanya Ishkali zako ambazo hazina mashiko

    • @alakhy9448
      @alakhy9448 Před rokem

      Naam kaka.
      Ndugu zetu wengi waislamu suala la ufahamu linatupiga chenga

    • @ramadhaniswalehe5569
      @ramadhaniswalehe5569 Před rokem

      Haya ndo Majibu jaman

    • @maulidimuhammed7851
      @maulidimuhammed7851 Před rokem

      Wewe ndugu yangu unaonekana si muelewa alisema malaika wote narejea malaika wote kwenye majibu yake anaongelea mengine hata hajaligusia tena hilo jee unaonaje hapo ? Au na wewe ndugu yangu unamapenzi na mtu ?Si kutaka kufuatilia hoja?Kiukweli kabisa hajajibu dhaidi ni kujidhalilisha tu kwa wenye kutumia akili na tafakuri wasalam

    • @abujamalaalghammawiy7470
      @abujamalaalghammawiy7470 Před rokem

      @@maulidimuhammed7851
      Kama kweli kasema neno *MALAIKA WOTE* kama unavyodai, basi pia hilo sio tatizo, hiyo ni katika matumizi ya lugha tu. Aliposema malaika wote alikusudia malaika wote wanaohusika na masuala ya utolewaji roho na kuisafirisha kuipeleka mahala pake ima ILLIYYIINA AU SIJJIIINA
      Namna hii ya kutumia neno *WOTE* hata Allah amesema hivyo ndani ya Qur'an
      Rejea Surat Sajda aya nambari 13 Allah anasema *NA LAU TUNGELITAKA TUNGEWAPA KILA MMOJA UONGOFU WAKE, LAKINI IMESHAKWISHA KAULI YANGU KUWA KWA YAKINI NITAWAJAZA JAHANNAMU WOTE HAWA, MAJINI NA WATU*
      Sasa hapo Allah kasema atawajaza Motoni majini na watu wote. JE NI KWELI WATU WOTE NA MAJINI WOTE WATAJAZWA MOTONI?

  • @nassirmohammed9381
    @nassirmohammed9381 Před rokem +2

    Masha Allah ahsant alhabib alhatimy naam darsa limeeleweka kama atakuwa hajafahamu itakuwa matatizo yake binafsi.
    Ikiwa swahaba wa mtume Muhammad صل الله عليه وسلم kafa katika jihad kaoshwa na malaika Una stajaabu habibu rrahman roho yake kugombania na malaika.

    • @rommyshabby3959
      @rommyshabby3959 Před rokem

      Shahidi gani huyo aliyeoshwa

    • @nassirmohammed9381
      @nassirmohammed9381 Před rokem

      @@rommyshabby3959 حَنْظَلَةُ بْنُ أَبِي عَامِرٍ (المتوفي سنة 3 هـ) صحابي من الأنصار من بني ضبيعة من الأوس، أسلم، وخرج إلى غزوة أحد بعد أن سمع النفير وهو جُنُب، فقُتل يومها، قتلهُ شداد بن الأسود الليثي وأبو سفيان بن حرب اشتركا فيهِ. وقال النبي محمد أن الملائكة غسّلته، فسُمّي غِسِّيل الملائكة

    • @nassirmohammed9381
      @nassirmohammed9381 Před rokem

      Uislamu ni kusoma naamini aliesoma hawezi kubishana Bali atajenga hoja.
      Haya nakupa na nyingine kuna watu wakifa mbingu zinamlilia Una sema je ni kweli au hakuna hadithi

  • @RaimamomedSaidi-wz1yu
    @RaimamomedSaidi-wz1yu Před 3 měsíci +1

    Me naona haina haja ya kugombana zaidi nyinyi mashekhe kwa ajil ya vitabu vya Allah sabbu nyinyi nivioo vya jamii,na shekhe kwanza kabla hajasema neno awe na uhakika nahilo jambo,ama anapomkosoa mwenzake amfuate pekee ukamulize nasio ktk mitandao munatufundisha vibaya,na ukimkosoa mwenzako usiseme kwa maneno makali sio hekma nzur.

  • @ahmadseif7241
    @ahmadseif7241 Před rokem +3

    Ahsante sheikhe ALHATIMY kwa ufafanuzi wako, huyu kijana wa bachu sio sheikh ni mpuuzi tu yupo, mimi ni mzanzibar namjua vizur tu huyu mshenzi sana.

  • @zainabmaulidi9846
    @zainabmaulidi9846 Před rokem +3

    Mwenyezimungu awasamehe kwakweli na ALLAH ndo mjuzii zaidi 🧡🧡

  • @saidgawawa8519
    @saidgawawa8519 Před rokem

    Sheikh umemjibu kifaswaha huyu kijana mwenzetu..ambapo ntasema ameteleza kidogo ki elmu .. walakin angemtafuta sheikh alhatimy wakajaribu kusuluhisha ki ubinadamu si Kwa kupigizana na kupingana mitandaoni...Allah atunusuru Ummaty Mohammad!

  • @hassanhatib
    @hassanhatib Před 6 dny

    wew sheikh muongo na mche allah sheikh bachu alichosema ni kungangania roho ya mtume, ishu sio kuja kwa malaika nilazima waje kwa mbora wa viumbe wacha kumchafua sheikh bachu

  • @canoksancomprehensivelearn7182

    Hapa hii hadithi haihusiani na jawabu la swali lililotolewa na hii hadithi haina shaka tatizo lilikuwa la kusema walikuwa wakisema nipe mimi nipe mimi ndivyo nimeelewa na masuala ya hadithi hayatakiwi kubuni au kutia kiasi chumvi. Na kila.mtu anajua daraja ya mtume na kudai kuwa.mtu anamdhaarau mtume S.A.W kwa kuwa eti hasomi maulidi au hasemi ila kile kilicho wazi katika hadithi bila.kuzidisha wala kupunguza. hapa bado suala la kungangania roho halipo katika kumvunjia mtume S.A.W maana manaswara walisema.wanamuongelea Isa wakavuka mipaka wakajikuta wanamvunjia heshima wakidhani ndio wanamuheshimu

    • @mohammedmkoma9288
      @mohammedmkoma9288 Před rokem +1

      Miwahabi hamna tofaouti na mijibwa koko

    • @canoksancomprehensivelearn7182
      @canoksancomprehensivelearn7182 Před rokem +1

      @@mohammedmkoma9288 ukosaji wa hoja hultatusi na tusi ni dalili ya kuwa mtu hana nguvu ya kielimu. Jahili jibu zake huwa matusi kwa kuwa hana elimu. Toa dalili wacha matusi kama wewe ni mtu wa elimu ikiwa jaahili tafuta watu wa kutukanana nao. Tupe dalili juu ya hiyo maulidi na hayo unayoyatetea kwa dalil za Quran na sunna na kama hujui huwezi kaa kimya kasome au ukatukanane mitaani na watu wa saiz yako huko usiingilie dini maana huna.kitu kichwani bali matusi mara mbwa koko mara uchafu uliopo.kichwani mwako badala ya elimu

    • @hansmswagara2789
      @hansmswagara2789 Před rokem

      Nipe mm ni maneno ya huyo mhabi wenu na chuki zake

    • @haridyhillaryndembo1946
      @haridyhillaryndembo1946 Před rokem

      Mtume alikua wahabi, sufi, sunni au Shia??
      Madhehebu ya nn

    • @salumally663
      @salumally663 Před rokem +2

      Inauhusiana sana inahitaji akili yako ifanye kazi kuona uhusiano...

  • @user-pq7bf7sz2h
    @user-pq7bf7sz2h Před rokem +3

    Mfundishe kijana huyo Al Alamaa,,Swaluu Alaa Nabii...❤

  • @JIMBO_MEDIA
    @JIMBO_MEDIA Před rokem +1

    Sheikh uko sahihi. Mtume Muhammad ni aula zaidi waumini wote.

    • @mahersuleiman5767
      @mahersuleiman5767 Před rokem

      Sikiliza vodeo ya meisho ya bachu na elewa kiswahili usitete upande

  • @hamzajuma1597
    @hamzajuma1597 Před rokem +2

    بارك الله فيك وجزاك الله خيرا Muhammad bachu hajajua cheo Cha MTUME iyo Hadith yataka ufahamu nauezi fahamu Kama ujui daraja ya MTUME

    • @alhajirajabujumaalhajirajabuju
      @alhajirajabujumaalhajirajabuju Před rokem

      Bacho Yuko sahh laknihuyubwana kaongea mengine hiyodthi mtumekaisema akiwamekufa au alifufuka akaongea au ilikuwkuwaje

  • @solompizo
    @solompizo Před rokem +4

    Masheikh siku hizi mukuwa mwachambana badala kukosoana kwa njia nzuri,mwatutatiza

    • @regardlessqueen2187
      @regardlessqueen2187 Před 11 měsíci

      Lakini haja mchamba huyu amechukua njia nzuri yakuelekeza na kufafanua ila mtoto wa bachu ndie alie namakosa. Nakumuita mtu muongo sio vizuri hata katika dini

  • @hudijuma4951
    @hudijuma4951 Před rokem +3

    Shekhe Muhammad bachu Yuko sawa ila tuu mimi ninachoweza kumsihi ni kupunguza ukali wa Maneno kidogo kwasababu sote ni binadam na elim ni Pana sana

  • @samxx411
    @samxx411 Před rokem +1

    Mi nadhani masheikh mvumilieni huyu kijana hajielewi, inawezekana ana elimu lakini busara yake ipo chini sana katika dini. Mungu amuongoe kwa uwezo wake

    • @mdoekibai5063
      @mdoekibai5063 Před rokem

      elimu pia hana angekua anayo bac angekua na busala yani kinatembelea nyuta marehemu babake bachu anadhani ndo kitakachomfanya aaminike mjinga sana

  • @amaroo1220
    @amaroo1220 Před rokem +2

    Wallaahi inasikitisha saana. Mashekhe wanang'ang'ania wapi kwenye hadith hio maneno "Malaika wanang'ang'ania roho". Tafadhali tumieni Logic su msitumie, dini yetu ni kamili, tusizidishe wala kupunguza. M/Mungu awape Masheikh wetu mioyo ya subra na kushikamana.

  • @budakhairun6148
    @budakhairun6148 Před rokem +6

    Allaah amrehemu sheikh Abud rogo na wenzi wake

  • @mwanaishaabubakar5013
    @mwanaishaabubakar5013 Před rokem +11

    Mimi sina elimu lakini ni Muislamu najielewa. Lakini sheikh Bachu pamoja na elimu yako uliyojaaliwa lakini huna busara kabisa na jazba imekutawala. Jazba ya kisheitwan ukiongea kwa namna hiyo utaketa mifarakano katika uislamu maana utawagawa. Elimu ni pana na elimu mnayotoa ni kusudi la sisi tulionyuma uenu kuipokee na kuoamini. Mkianza kutukanana siye tutaanza kugawana na kufata upande mmoja. Sie ni maamuma na nyie ni viongozi wetu, tafuteni maneno mazuri ya kukosoana ili msitugawanye. Nyote tunawapenda maana mnayulisha kiti kitamu ambacho utamu wake haushi hasi peponi. Allah atufikishe. Jazba Lugha uliyotumia mwanangu ni kali sana. Unafata nyayo za baba yako badala ya kuelimisha tu matusi juu. Muongo ni matusi makubwa sana. Kama unapata mtu mwenye kujua neno muongo likitafsiriwa kisheria unalokosa la kujibu ama kuomba rdhi kama utakuwa na akili ya kupambanua jna malezi bora uliyoleleqa na wazazi na walimu wako. Punguza jazba tupe elimu tukukubali.

    • @user-sf2tg5bl3s
      @user-sf2tg5bl3s Před rokem +1

      Ana jazba kwasababu hataki kupata dhimah me é ta Allha

    • @zahrannassor5184
      @zahrannassor5184 Před rokem +2

      ushasema huna elimu hasa unajielewa vipi wakati kinyume na elimu ni ujinga

    • @ahmedbadi5822
      @ahmedbadi5822 Před rokem

      Hapa mtukanaji ni mmoja tu wala sio wote wawili mmoja ansongea ki hikma.

    • @habibsempa7995
      @habibsempa7995 Před rokem

      Ww huna elimu kinachokufanya unaingia waliosoma ni kipi

    • @yasirshee3152
      @yasirshee3152 Před rokem

      Sijasikia jibu mm ila naskia ni kama ni fikra zako tu binafsi ulidhania sasa waeleza watu

  • @omarmwabege
    @omarmwabege Před rokem +2

    Swali zuri Sheikh.sasa kwetu sisi tunge baki na dhana hiyo hiyo nzuri kuwa Mtume Rehema na Amani zimshukie.kwake ni zaidi lakini tusiongezee kwa kusema moja kwa moja.kwamba kwamtume ilikuwa kadha wakadha.

  • @hassanirashidi1906
    @hassanirashidi1906 Před rokem

    Shehe alhatimy umeeleza vizuli na umenifuraisha sana amekuita muongo lakin ww haukuwq na jazba wala ujamtukana shehe kwa jambo ilo tu inaonesha dhahir una imani ya ali juu .mungu akuongoze na akujaalie elim zaidi na busara zaidi ya iyo

  • @hutiswalehe2444
    @hutiswalehe2444 Před rokem +9

    Maashaallaah allaah akubariki SHEKHE alhaatimiyy

    • @abuukilanga2249
      @abuukilanga2249 Před rokem

      ALLAHU MMA AMYN

    • @mdoekibai5063
      @mdoekibai5063 Před rokem

      Aamina

    • @thabitsaleh1258
      @thabitsaleh1258 Před rokem

      Huyu mtoto was Bachu hajasoma kitabu kiitwacho" Anwaarul Muhammadiyya min mawaahibil laduniyya" Al Haatimiy yuko SAHIHI na ni mchambuzi mahiri.

    • @IbrahimOmar-kf2cv
      @IbrahimOmar-kf2cv Před měsícem

      Hakuna kitu huna elmu ya kutosha dogo lakuonesha unàvowatukana madààwatt Bure kabisa

  • @user-ql2om7qj3v
    @user-ql2om7qj3v Před rokem +3

    Yeye amekurekebisha vizuri. Wewe alhatimy watoka kwa madaa

    • @awadhawadh5895
      @awadhawadh5895 Před rokem +2

      Kumwita shekhe mwenzake muongo tena hadharani kwenye media ndo kumrekebisha?

    • @kasimubangu1875
      @kasimubangu1875 Před rokem

      @@awadhawadh5895 ndio hata yeye ndivyo alivyo alhatimy

    • @habibumuhammad730
      @habibumuhammad730 Před rokem

      Wacha uzuka nawe tizama vzr alafu ucoment mzuka unae danganywa ww

    • @kasimubangu1875
      @kasimubangu1875 Před rokem

      @@habibumuhammad730 akhii mm msimamo wangu hatababaangu mzazi akisema isiyohaki sitoikubal acha tu huyo ibni bachu ila kwahili Alhatimy hayupo kwenyehaq mm huwaga sicoment kwamatamanio yanafsi natizama haqi ukitaka ustafidi kaa katikati usiegemee upande wowote halfu pimia maneno yapandezote kilillah

    • @habibumuhammad730
      @habibumuhammad730 Před rokem

      Mm ni mwana twariqa nasoma maulidi na nitasoma maulidi hadi nife hadithi ipo al hatimy ameitoa kama hamkufahamu ni nyinyi akili zenu ni changa kuelewa kitu haraka kwahio ndugu yangu kabige goti usome vzr

  • @abdallahdataguy
    @abdallahdataguy Před rokem +1

    Watu wa bidaa mashaikh wao ukiwaona tu unajua hapa hamna kitu. Sasa huyu utamkuta anajifanya anampenda mtume sanaaa halafu ndevu hafugi amenyoa kama wahuni mnyoo wa 'O'. Watu wa bidaa mtihani sana 😊😊

    • @abduomar8438
      @abduomar8438 Před rokem

      Nikulize mtume muhammad ni muumini au sio muumini

  • @firo0ozdawah378
    @firo0ozdawah378 Před rokem

    AL KAMAALU LILLAAH ... Mkamilifu ni ALLAH pekee ... Hili jambo Kila mtu ataliona mtazamo wake lakini shida ipo sehemu ndogo sana , aliyezungumza mwanzo aliongea Kwa kumwaga sifa Kwa mtume s.a.w kwamba mapokezi yake hayawezi yakawa kawaida kwasababu yeye ni HABIBULLAH (KIPENZI CHA ALLAH ) Nia yake ilikua ni njema ... Majibu ya Kijana ya kumkosoa yalikua ni SAWA ya kwamba iweje anaetupa khabari za ghaib amekufa na hizi khabari zimejulikana wapi mpaka ukanogesha alikua sahihi ila majibu yake yalikua makali kidogo ... Lakini mwisho wa siku wote wamekosea kukosoana Kwa majawabu yaliyopitiliza ...

  • @alhamdulillahalhamdulillah7529

    Shekh Wangu Alkhatmy usiumize moyo kwa watu kama hawa hakukuwa na Haja yakumjibu

    • @w4058
      @w4058 Před rokem

      Kweli kabisa alikuwa asiwajibu maana ndio msimamo wala hawataki kusikia jengine Bora tusikilize sie wakubwa zuka tumia hekima za kunyamaza

    • @w4058
      @w4058 Před rokem

      Bachu anataka sifa na umaarufu keshaupata maana Baba ake alikuwa ana hekima

    • @w4058
      @w4058 Před rokem

      Bachu kabachuka huo heshima hana hekima hana Allaah amsaidie

    • @w4058
      @w4058 Před rokem

      Hao malaika Kwani kawaumba yeye huyo Bachu au anawateremsha yeye au huyo mja muumin anamjuwa yeye Huyo Bachu

  • @zigzag4487
    @zigzag4487 Před rokem +4

    Swali alijajibiwa lkn yeye amesema mtume ameshakufa hio habari ya malaika kugombania roho ametoa nani

    • @hawrajehan2398
      @hawrajehan2398 Před rokem

      Tumia akili,shkh jibu ameshakitoa,mskilize kw makini then acha akil yako ifanye kazi

    • @zigzag4487
      @zigzag4487 Před rokem +1

      @@hawrajehan2398 kwa uwelewa wako wewe lbda lkn mm sijaona alicho jibu

    • @azizisulay6005
      @azizisulay6005 Před rokem +2

      @@hawrajehan2398 Hii dini haitegemei akili tu maana inatakiwa ianze dalili Kisha akili kwa ajili ya upambanuzi na akili yenyewe isiwe ni yenye kuharibu makusudio kwa kupunguza Wala kuongeza chochote( Tahwiil)

  • @mwaramimwarami1479
    @mwaramimwarami1479 Před rokem +1

    Mm sina ushabiki,hapo huenda ukawa sawa kwa mujibu wa hadithi uliyoitoa,lkn aliongelea na mambo ya ushirikina wa maulidi mbona hupngelei tena, inamana ni kweli Kuna ushirikina kwenye maulidi na hapo Muhammad bachu yupo right 100%

  • @rashidsalum4689
    @rashidsalum4689 Před rokem

    Muhamad bachu alikosea, tena alikosea, hata kama alikuwa na ushahid hakupaswa kutumia lugha ya kutumia, Muongo. Si jambo jema kumuita mtu mzima Muongo, khasa ukizingatia huyu ni Sheikh na Mashekh ndio warithi wa mitume.
    Mwenyezi mungu Atulinde waislam.

  • @hassanramadhani8527
    @hassanramadhani8527 Před rokem +5

    Mbona baba yake hakuwa hivo yeye ndio anajifanya kasoma sannna

  • @ABUU426
    @ABUU426 Před rokem +5

    نسأل الله العافية والسلامة،
    Nilikuwa nikimdhania kheri huyu alhatimy kumbe ni msanii namna hii, Allah amuongoze,ila sikutarajia kama anaweza kucheza na akili za wafuasi wake kiasi hiki,cha ajabu zaidi ni kuona watu wanatetea huu usanii katika dini ya Allah anaoufanya alhatimy,muogopeni Allah jamani,huko kuna moto,musifikirie tu kufurahisha nafsi zenu kwenye kubishana.

    • @nassirmohd2851
      @nassirmohd2851 Před rokem +2

      Ukiwa kipofu utakuwa kipofu tu na nyiny wahhaabiyya mufsidiin matusi ndio mnayoyajua

    • @haridyhillaryndembo1946
      @haridyhillaryndembo1946 Před rokem +1

      Sheikh zimenukuliwa hadith hapo
      Afalaa tafakkarun?
      Leta TAFAKARI basi
      MUUMINI wa kawaida Yule wa kweli Malaika hupokea ROHO yake na kuisindikiza mpaka mbingu ya saba
      VIPI ROHO ZA mitume??
      Tusishabikie tutafakari

    • @abuufayaadh8270
      @abuufayaadh8270 Před rokem +2

      @@haridyhillaryndembo1946
      Wapi Hadithi imesema roho za waumini wa "kawaida"???
      Unauliza "Vipi roho za Mitume?
      Nakujibu " Vipi kwenye nini? Kwani Hadithi aliyoisoma alhaatimy umesikia Hadithi hiyo imezungumzia chochote kuhusu roho za Mitume?
      Mimi nimemsikiza kwenye hiyo Hadithi na vile vile nimeisoma ilichozungumzia ni roho za Mtu Muumini kwa ujumla bila ya kukhusisha, sasa wewe unaemtetea leta TAKHSWISI ya Maneno ya Mtume إن كنتم صادقين

    • @abuufayaadh8270
      @abuufayaadh8270 Před rokem

      @@nassirmohd2851
      Lete wapi umetukanwa?

    • @abduomar8438
      @abduomar8438 Před rokem +1

      Vp mtume sio muumini

  • @abdulpires9091
    @abdulpires9091 Před rokem +1

    Mashallah sheikh upo sawa kabisa!

  • @hamisimwamtityo2327
    @hamisimwamtityo2327 Před rokem +1

    Mche mwenyezi mungu.Unaitumia hadithi ukitetea fikra zako na imagination wakati wa sakaratil_maut ya mtume muhammad(saw).sawa basi tueleze nani kaelezea mambo haya.Tahadhari huko siko kumpenda mtume.

  • @kok_official_tz
    @kok_official_tz Před rokem +5

    Me nadhan ichi wanachokifanya mashekh wetu c kitu sahih, ukiangalia dini nyngn wanaotumia kila njia kutangaza dini Yao na sio km mashekh wetu kukaa wakakosoana mitandaoni, tukikaa tukaangalia mamb haya dini haitofika mbal, yapo mamb ya msingi like muslims wenzet wanateswa uko nchi zao lakin wamekaa kmy kuongelea hili, muslims wa nchi nyngn maashaaALLAH wanafight kuitangaza dini ya ALLAH lkn awa wetu baadh yao cjui kwnn😢

    • @MmMm-hx6ln
      @MmMm-hx6ln Před rokem

      Na sasa hivi mashekh ndio wanaogombana Kila ukiangalia ,mi nahisi Kila mmoja aseme anachokijua sio kubishana alichokisema mwenzio,pia Kuna kauli zitumike nzur hata kama mtu kakosea,maana Kila binaadam anamapungufu yake

    • @abdulabdulathumani5992
      @abdulabdulathumani5992 Před rokem

      Bachu ndo anamatatizo anamuita mwenzie kijamaa na kila mtu anagombana nae

    • @MmMm-hx6ln
      @MmMm-hx6ln Před rokem +1

      @@abdulabdulathumani5992 hana nidhamu ya kuzungumza Kila kitu anasema kama mlevi,kama hakusoma kiswahili,ukifatilia mawaidha yake kama kavuta bangi kama Pana mtu unamuheshimu huwezi kusikiliza ,masheikh wote wanatoa mawaidha lkn Kwa lugha ya heshima yenye kusitiri matusi,lkn yeye hafichi,anaonesha mjuba Wala haambiliki,uyo mke anakoma Cha moto,awepole

    • @mohamedmaulid6011
      @mohamedmaulid6011 Před rokem +1

      Astaghafirullah usirudie kusema tena kua dini yetu haitofika mbali. Hii ni dini ya Allah (sw) Na hii dini imekamilika na Allah mwenyewe kasema ata ilinda.

    • @abdulmpakate6844
      @abdulmpakate6844 Před rokem

      Huyu kijana ndiyo mwenye matatizo, kwanini hatoi mawaidha ila kuwasema Mashekhe wenzie?
      Nani atakubali kudharauliwa bila ya sababu?
      Ndiyo maana shekhe Alhatimi anamjibu, ili jamii ijuwe mapungufu yake

  • @alimakame1476
    @alimakame1476 Před rokem +7

    Hujajibu hoja bado

  • @saidmuslim51
    @saidmuslim51 Před rokem +1

    Maàsha Allah umemuelewesha shekh Allah kuhifadhi lakin hasira wacha tafuta mbinu ya kuregebisha afwan

  • @omeerrasheed7192
    @omeerrasheed7192 Před rokem

    Sheikh Muhammad Al khatim, huyu mtoto bora ulivomuelimisha huenda ALLAH akamuongoza, NA Muombee dua ALLAH amuongoe huenda hajui alinenalo.

  • @IslamTv254
    @IslamTv254 Před rokem +3

    Hiyo hadith ni sahih ndiyo ukweli ❤

  • @ibrahim_427
    @ibrahim_427 Před rokem +3

    Assalamu aleykum kwaiyo kwenye swala la barzanji umeshindwa kujibu tunataka uukubari mjadala wa Hana kwa Hana kuhusu barzanji sheikhe ✍️

    • @user412
      @user412 Před rokem +1

      Kwa hapo usijali! Wakati Bachu zanzibar alipo sema akitokea mtu anaeweza kushindana nae kuhusu maulid kiganja chake ni halali yake, punde tu akajitokeza Sheikh Yusuf diwani. Naona bachu kakimbia. Kaenda kutafuta mengine. Ngoja asuuzwe kama mwenzake kishki. Bachu Hana elimu hata kidogo isipokuwa ni mropokwaji. Elimu yake ipo mitandaoni

    • @nassirmohd2851
      @nassirmohd2851 Před rokem

      Kwanza jifunze kutamka hilo neno Barzanj Ahmaq weww

    • @ibrahim_427
      @ibrahim_427 Před rokem +1

      @@nassirmohd2851 akhi kukosea kuandika hai maanishi mtu hajui Kwanza jifunze hicho kitu mfano wewe hapo tayari uko na makosa ya kiuandishi katika maandishi maneno yako ulio andika hapo 👈👉kwaiyo tukiende hivyo kwa kukosea kuandika mtu unampa Jina au una mkejri au kumtusi dharau hatuto fika kwaiyo chunga maneno yako Sana ndugu ✍️

    • @ibrahim_427
      @ibrahim_427 Před rokem

      @@user412 ngoja tusubiri ✍️

    • @mussamsuya8595
      @mussamsuya8595 Před rokem

      Hawezi uyu hatimi ana matatizo

  • @hikmajeyz8035
    @hikmajeyz8035 Před rokem +2

    Shk Alhatimy uko sawa cc pia twalujua Hilo, kijana apitie vitabu vya Hadith aone ukweli

  • @salumjuma9072
    @salumjuma9072 Před rokem +2

    ALLAH ANASEMA WALE WAFANYAO KIBRI KTK KUFANYA IBADA WATAINGIA KTK JAHANNAM WADHALILIKE HUYU BACHU INSHAALLAH ATADHALILIKA KAMA BABA YAKE ANAKUFURU ANA JEURI ANA JUA KILA KITU MWISHO WAKE HAUTAKIWA SAWA KAMA BABA YAKE

    • @issamasanjala7413
      @issamasanjala7413 Před rokem +2

      Baba yake kadhalilika nini achana ujuha

    • @salumjuma9072
      @salumjuma9072 Před rokem

      WEWE HUJUI NASSORO BACHU ALIOTA YUKO NA WENZAKE NA MTUME SAW WENZAKE WOTE WALIPEWA MKONO NA MTUME SAW YEYE HAKUPEWA ASUBUHI NDO CHANZO CHA MARADHI YAKE NA WEWE IKIWA UNAMPINGA MTUME SAW INSHAALLAH MWISHO WAKO UTAKUWA KAMA HAO

    • @omytifa6403
      @omytifa6403 Před rokem

      @@salumjuma9072 ssa alikuadithia km hakupewa mkono na mtume

    • @abiabi9353
      @abiabi9353 Před rokem

      @@salumjuma9072 Nasoro na mawahabi wote ni mujasima. Na hakuna mujasima atakaeingia peponi maana wameibadilisha Tawheed ya kweli

    • @abiabi9353
      @abiabi9353 Před rokem

      @@issamasanjala7413 mawahabi wote ni mujasima.mungu wao si Allah.maana mungu wa mawahabi ana viungo kama binadamu na anapanda nakushuka kama ndege na makao yake ni mbinguni kama mawingu. Pia mungu wa mawahabi akikaa kwenye kiti chake makalio yake hujitokeza kwa ukubwa wa vidole vinne.sasa jamani huu si ukafiri wa kiyahudi huu. Na uchafu wao wote huu alafu wanajidai wanamdomo wakuwasema mashia

  • @muhammadyussuf5393
    @muhammadyussuf5393 Před rokem +6

    إِنَّ العبدَ المؤْمن إذا كان في انْقِطَاعٍ من الدُّنْيَا، وإِقْبالٍ من الْآخِرَةِ، نزل إليه من السَّمَاءِ ملائكةٌ بِيضُ الوجُوهِ، كأَنَّ وجوهَهُمُ الشمسُ ، معهُمْ كفنٌ من أكْفَانِ الجنَّةِ، وحَنُوطٌ من حَنُوطِ الجَنَّةِ ، حتى يَجْلِسُوا منه مَدَّ البَصَرِ ، ثُمَّ يَجِيءُ مَلَكُ المَوْتِ حتى يَجلِسَ عندَ رأسِه فيَقولُ : أيَّتُهَا النَّفْسُ الطَّيِّبَةُ اخْرُجِي إلى مغْفِرةٍ من اللَّهِ ورِضْوَانٍ، فتخْرُجُ تَسِيلُ كما تسِيلُ القَطْرَةُ من فِي السِّقَاءِ ، فيَأْخذُها ، فإذا أخَذَها ، لم يَدَعُوها في يَدِه طَرْفَةَ عَيْنٍ، حتى يَأْخُذُوها فيَجْعَلُوهَا في ذلكَ الكَفَنِ وفي ذلكَ الحَنُوطِ ، فيَخْرُجُ منها كأَطيَبِ نَفْخَةِ مِسْكٍ، وُجِدَتْ على وجْهِ الأرضِ، فيَصْعَدُونَ بِها فلا يمُرُّونَ بها على مَلَكٍ من الملائِكَةِ، إلَّا قالُوا: ما هذا الرُّوحُ الطَّيِّبُ؟ فيقولُونَ : فُلَانُ بنُ فُلَانٍ بأَحْسَنِ أسمائِه التي كانُوا يُسَمُّونَه بها في الدُّنْيَا - حتى ينْتَهُوا بها إلى السَّمَاءِ الدُّنْيَا فَيَسْتَفْتِحون له فَيُفْتَحُ له ، فيُشَيِّعُهُ من كلِّ سماءٍ مُقَرَّبُوها إلى السماءِ التِي تلِيها ، حتى يُنتَهَي إلى السماءِ السابِعةِ ، فيقولُ اللهُ عزَّ وجلَّ : اكْتُبُوا كِتابَ عبدِي في علِّيِّينَ ، وأَعِيدُوا عَبدِي إلى الأرضِ ، فإِنِّي مِنها خَلَقتُهم ، وفِيها أُعِيدُهُم ، ومِنها أُخْرِجُهم تارةً أُخْرَى . فتُعادُ رُوحُه ، فيَأتِيهِ مَلَكانِ ، فيُجْلِسانِه ، فيَقولانِ له : مَن ربُّكَ ؟ فيقولُ : رَبِّيَ اللهُ ، فيَقولانِ له : ما دِينُكَ ؟ فيَقولُ : دِينِيَ الإِسلامُ ، فيَقولانِ له : ما هذا الرجلُ الذِي بُعِثَ فِيكُمْ ؟ فيَقولُ : هو رسولُ اللهِ ، فيَقولانِ له ومَا عِلْمُكَ ؟ فيَقولُ : قَرأتُ كِتابَ اللهِ فآمَنتُ به وصَدَّقْتُ ، فيُنادِي مُنادٍ من السماءِ أنْ صَدَقَ عَبدِي ، فَأفْرِشُوه من الجنةِ ، وألْبِسُوهُ من الجنةِ ، وافْتَحُوا له بابًا إلى الجنةِ ، فيَأتِيهِ من رَوْحِها وطِيبِها ، ويُفسحُ له في قَبرِهِ مَدَّ بَصرِهِ ، ويَأتِيهِ رَجلٌ حَسَنُ الوَجهِ ، حَسنُ الثِّيابِ ، طَيِّبُ الرِّيحِ ، فيَقولُ : أبْشِرْ بِالَّذِي يَسُرُّكَ ، هذا يَومُكَ الذي كُنتَ تُوعَدُ ، فيقولُ لهُ : مَن أنتَ ؟ فوجْهُكَ الوَجْهُ يَجِيءُ بِالخيرِ ، فيَقولُ : أنَا عَملُك الصالِحُ ، فيَقولُ : رَبِّ أقِمِ السَّاعَةَ ، رَبِّ أقِمِ الساعَةَ ، وإنَّ العبدَ الكافِرَ إذا كان في انقِطَاعٍ من الدنيا، وإقبالٍ من الآخِرةِ ، نزل إليه من السماءِ ملائكةٌ سُودُ الوجُوهِ معَهُمُ المُسُوحُ ، فيجلِسُونَ منه مَدَّ البَصَرِ ، ثُمَّ يَجِيءُ مَلَكُ الموتِ حتى يَجْلِسَ عِنْدَ رَأْسِهِ فَيَقُولُ: يَا أيَّتُهَا النَّفْسُ الْخَبِيثَةُ اخْرُجِي إلى سَخَطٍ من اللَّهِ وغَضَبٍ ، فَتَفْرُقُ في جَسَدِهِ فيَنتَزِعُهَا كَما يُنتَزَعُ السَّفُّودُ من الصُّوفِ المَبْلُولِ ، فيَأْخذَها ، فإذا أخذَها لَم يَدعُوها في يَدِهِ طَرْفَةَ عَينٍ حتى يَجْعَلُوهَا في تِلْكَ الْمُسُوحِ ، يخرجُ منها كأَنْتَنِ ريحِ جِيفَةٍ، وُجِدَتْ على ظَهْرِ الأَرضِ فيصْعَدُونَ بِها، فلا يَمُرُّونَ بها على مَلَكٍ من الملائِكَةِ إلَّا قَالُوا: ما هذا الرُّوحُ الْخَبِيثُ؟ فيَقُولُونَ: فُلَانُ بنُ فُلَانٍ بأَقْبَحِ أسْمَائِهِ التي كان يُسَمَّى بِهَا في الدُّنْيَا، حتى يَنْتَهِيَ بِهَا إلى سمَاءِ الدُّنْيَا فَيُسْتَفْتَحُ لهُ، فلا يُفْتَحُ لهُ، ثُمَّ قَرَأَ لَا تُفَتَّحُ لَهُمْ أبْوَابُ السَّمَاءِ قال : فَيَقُولُ اللَّهُ عَزَّ وجَلَّ: اكْتُبُوا كِتَابَه في سِجِّينٍ في الْأَرْضِ السُّفْلَى، قال : فَتُطْرَحُ رُوحُهُ طَرْحًا، قال : فتُعَادُ رُوحُهُ في جَسَدِهِ، ويَأْتِيهِ ملَكَانِ فَيُجْلِسَانِه، فيَقُولَانِ لَهُ: مَنْ رَبُّكَ؟ فيَقُولُ: هَاهَا لا أدْرِي، فَيَقُولَانِ لَهُ: ومَا دِينُكَ؟، فَيَقُولُ: هَاهَا لا أدْرِي فيَقُولانِ له : ما هذا الرَّجلُ الذي بُعِثَ فِيكُم ؟ فيَقولُ : هَاه هَاه لا أدْرِي ، فيُنادِي مُنادٍ من السماءِ : أنْ كَذَبَ عَبدِي ، فأفْرِشُوهُ من النارِ، وافْتَحُوا له بابًا إلى النَّارِ، قال : فَيَأْتِيهِ من حَرِّهَا وسَمُومِهَا، ويُضَيَّقُ عَلَيْهِ قَبْرُهُ، حتى تَخْتَلِفَ عَلَيْهِ أضْلَاعُهُ، ويَأْتِيهِ رَجُلٌ قَبِيحُ الْوَجْهِ، وقَبِيحُ الثِّيَابِ، مُنْتِنُ الرِّيحِ، فَيَقُولُ: أبْشِرْ بِالَّذِي يَسُوءُكَ هذا يَوْمُكَ الذي كُنْتُ تُوعَدُ، فَيَقُولُ: مَنْ أنْتَ؟ فَوَجْهُكَ الْوَجْهُ يَجِيءُ بِالشَّرِّ، فَيَقُولُ: أنا عَمَلُكَ الخَبِيثُ فيَقُولُ: ربِّ لا تُقِمِ السَّاعةَ
    الراوي : البراء بن عازب | المحدث : الألباني | المصدر : صحيح الجامع | الصفحة أو الرقم

    • @twaibumikidadi7377
      @twaibumikidadi7377 Před rokem

      Kaka angu mm nmekuelewa
      na nahic hukumuelewa İbn Bachu
      Subir akuelimishe

    • @abiabi9353
      @abiabi9353 Před rokem

      @@twaibumikidadi7377 ehe hakueleweka vipi

  • @abuufayaadh8270
    @abuufayaadh8270 Před rokem +46

    Alhaatimy anajaribu kujitoa kwenye Madai ya Uongo kwa mbinu chafu na watu wasio na maarifa wanaona kana kwamba amemjibu Muhammad Bachu kwa Majibu ya sawa kumbe hamna kitu
    Iko hivi alhaatimy amedai malaika walijipanga "kila mmoja aking'angania Roho" ya Mtume Swala Allaah alayhi wasallam
    Hadithi aliyo itoa haisemi "kila mmoja anang'ang'ania Roho ya Mtume"
    Hadithi inasema hukusanyika malaika na mwenye jukumu la kutoa Roho ni malakul mauti pekee.
    Wapi Dalili ya kugombania Roho ya Mtume Swala Allaah alayhi wasallam?
    Dalili toka Qur'an na Sunna zinatuonesha Roho za Viumbe hutolewa na malaika wa Kifo akishirikiana na malaika wengine waliopewa jukumu la kutoa roho za viumbe tu, na wengine husindikiza tu na hawana jukumu la kugombania roho.
    Haya ndio Mafundisho na Hadithi alio inukuu inasema hivyo kwambamalaikawakifo huja na kuichukua, kwa hiyo alhaatimy kusema "kila mmoja wanang'ang'ania" hili halipo na ndicho anacho kisema Muhammad Bachu kuwa huu ni Uongo.

    • @fikratulmuhibbonlinetvismail
      @fikratulmuhibbonlinetvismail Před rokem

      Ona majibu hayo ndugu

    • @user412
      @user412 Před rokem +5

      Sasa Muhammed bachu yeye amejuaje kama icho kitu halipo? Yeye alikuwepo wakati Mtume anatolewa Roho mpaka kumwita mwenzake muongo? Hiyo ni fimbo ya kwanza nyengine zinakuja.

    • @makamekhalfan5968
      @makamekhalfan5968 Před rokem

      unajua unach sema ww mbn hueleweki iy hadithi ushaisom na sherhe yak ww mpumbav au mjing kwel km uy bach anajua angalichemka ذهب mas dari mimi ذهاب vichekesh t naakavue dagaa huk

    • @abuufayaadh8270
      @abuufayaadh8270 Před rokem +5

      @@makamekhalfan5968 kama sieleweki kwako basi acha walioelewa watajibu! Kwani lazima uandike kwenye comment yangu?
      Pili kama mimi ni mpumbavu una comment nini ?

    • @abuufayaadh8270
      @abuufayaadh8270 Před rokem +2

      @@user412
      Sina cha kukujibu Ndugu maana ulichoandika kinaonesha uko mbali sana na hayo masaili.

  • @alifaki8741
    @alifaki8741 Před rokem

    Hadithi hii haihusu juu kifo Cha mtume, Bali ni kwa kila mtu mwema, na sio kwa mtume pekee, faham kuwa sh. Moh'd yy amekuuliza juu ya picha uliojenga kwa nabii Muhammad

  • @mohammedsaid3045
    @mohammedsaid3045 Před rokem

    M/Mungu atupe umoja siye waislam kwa tulipofika kujibishana ktk mitandao daahh wakristo wanatucheka kwelii wallah inaumiza kweli si kla mmoja afanye lake tuwe kitu kimoja

  • @hassanally5678
    @hassanally5678 Před rokem +5

    Waislamu tusomeni ndugu zangu, tutambue ya kwamba kuna dini halafu kuna masheikh. Siku hizi masheikh wetu wanatumia nguvu kubwa kukosoana na kuoneshana umwambwa katika elimu, je hilo ndio lengo la elimu katika dini? Siku hizi kila sheikh ana msikiti wake madh'hab yake. Zamani ilikuwa waweza kwenda kuswali msikiti wowote na usione tofauti zozote lakini siku hizi mambo kibao yaqni tafrani mpaka unajiuliza mimi tu ndo siendi na wakati? Kwa zama hizi ni bora ufanye ibada ndogo ambayo una maarifa nayo kuliko hivi vya kusikia sikia tu kwa hawa masheikh. Mara utasikia sheikh flani kasema hivi mara mwingine kasema vile kwenye jambo lile lile......ukiwa wa kufata fata utayumbishwa mpaka mwisho wa maisha yako.

    • @mtumwasharifa6220
      @mtumwasharifa6220 Před rokem +1

      Allah Tunakuomba Tuongoze njia ilonyooka Tuwe naadabu tusiambize Muongo tuwenaadaabu Allah tutazame kwa Jicho la Rehma

    • @ghcgreenhealthcaretanzania7527
      @ghcgreenhealthcaretanzania7527 Před rokem +1

      Hivi sasa madhehebu yameongezeka, na mengine yanatofauti kubwa baina yao.
      Kuona tofauti ni jambo lisiloepukika.

    • @hassanally5678
      @hassanally5678 Před rokem

      @@ghcgreenhealthcaretanzania7527 Naam, ndio maana tuhamasishane katika kusoma wenyewe maana kila anaekuja na hayo madhehebu anasema lake ndio sahihi na kuwaambia wenzake ni waongo na wataingia motoni. Ni bora usome na uone wanapotofautiana wao halafu uchanganye na zako. Allah atuzidishie elimu, aturuzuku ufahamu na hekima. Aamiin.

    • @hassanmubarak704
      @hassanmubarak704 Před rokem +1

      Maneno safi kabisa, inapaswa mtu aujifunze Dini yake lkn kuto kwa mashekhe wa uhakika ambao wanafuata Sunna za mtume na mafundisjo ya mtume, sio kila anaye juwa kusoma kidogo na mavazi ya kishekhe anakuwa shekhe wa kuaminika, wengine wanapenda yale mavazi na kila mtu akitaka atavaa. Muhimu Elimu ya Dini ya kisawa sawa iliyotoka kwa Mtume (S.A.W) na Swahaba zake licha ya hapo ni mambo mengi ya kuzushwa kama hivi sasa🚫🚫 Allah atunusuru.

    • @AishahMuigu
      @AishahMuigu Před rokem +1

      Mijadala hii hufaidi wanafunzi kuelewa upotovu.

  • @rashidnassoro6753
    @rashidnassoro6753 Před rokem +3

    hivi ww sheikhe umeelewa swali ulo ulizwa mbona imejibu tofauti na ulivo ulizwa jibu swali huko umeenda siko rudia kumsikiliza kijana asemaje kisha irudi kujibu acha ubabaishaji jibu swali

    • @user412
      @user412 Před rokem

      Tatizo lenu mawahabi Hamuna ufahamu kabisa. Ushindani tu ndio kazi yenu

    • @rashidnassoro6753
      @rashidnassoro6753 Před rokem +1

      makhurafi mwaelewa nn

  • @ibrahimhuza
    @ibrahimhuza Před rokem +1

    jazallah khaira shekhe alhatim hajui ktu huyo

  • @abuubakaramer7782
    @abuubakaramer7782 Před rokem +2

    Nyie mnao comments kwa ushabiki wa upande fulani pasipo na kujuw kitu ila matamanio ya nafsi zenu zinawapelekesh wallah mkae mkijua kina vigongo na moto mkali kwa ALLAH (s.w).......mtafut madarasa mkapige goti msome msikae kama ma buzi yaliyokosa mchunga tusomeniiiiiiiiiii

    • @fikafikan8484
      @fikafikan8484 Před rokem +1

      Kweli kabisa umeongea kweli habib watu hushangilia na ilimu hawana

  • @fawashamfawasham5245
    @fawashamfawasham5245 Před rokem +5

    Hakuna Hadith yasema waling'angania roho ya mtume .... Muhammad bachu Yuko sawa kabisa

    • @abdulabdulathumani5992
      @abdulabdulathumani5992 Před rokem +1

      Kuna kitu kinaitwa kutawasa ila kwajinsi alivyo elezea hadith yaonye washuka kweli . Yupo sawa ukitaka kuamini sikiliza visa utaona kuna maneno wanaongeza lakin yasiyo haribu maana sasa bachu wakumtolea maneno machafu eti kijamaa muongo mkubwa na waumini Allah kasema ni wanyenyekevu kwawaumin wenzao na mtume anasema muumin niyule ambae muumin mwenzake amenusulika na ulimi wake huyo bacho kila cku anawatoa masheikh wenzake akili pasi nasabab yamsingi hasa inaweza ikawa Allah kamkasilikia kwakuwauzi kwakewaumin nakujivuna kwake

    • @maawymuhammad6779
      @maawymuhammad6779 Před rokem +1

      Nyote nyinyi hamufahamu daraja ya Mtume.Kama Roho ya mtu muumin inang'ang'aniwa je ya Mtume.
      Wacheni dharau ndugu zangu waislam.

  • @yusuphabdallah685
    @yusuphabdallah685 Před rokem +3

    Hamna kitu apa...hata kwa kutumia akili tu skh bado unapuyunga...hakuna dalili wala nini...

    • @AK-ll5tu
      @AK-ll5tu Před rokem

      Alaa kumbe simba na Yanga .. ? Kasome basi . Ili nawe uwe na elimu japo ya kuongea mbele za watu ..

  • @habibrwegoshora6624
    @habibrwegoshora6624 Před rokem

    HUYU KIJANA HANA ADABU KABISA HATA KAMA..amewadhalilisha sana MASHEIKH

    • @abduomar8438
      @abduomar8438 Před rokem

      Iko siku atapigwa km alivyopigwa bahero

  • @issahassan8361
    @issahassan8361 Před rokem +1

    Ust humuwezi bachu.
    kwaza hukujibu hoja zake.
    Ww lete hadithi ya hayo maneno yko usilete fujo.
    Na km hukuleta jibu itakuwa ni ktk watu wa aya ya 7 سورة الحجرات
    بعد أعوذ بالله "يآأيها الذين ءآمنوا إن جائكم فاسق بنبإ فتبينوا........."
    Lkn mwisho wake bachu atakuumbuwa.

  • @abdurahmanalnaufaly3835
    @abdurahmanalnaufaly3835 Před rokem +5

    HUYU BACHO MABACHO HAFAI HATA KUJIBIWA LAKINI INABIDI AJIBIWE ILI WATU WAMUELEWE UJUHA NA UJAAHILI WAKE JAAHIL MURAKKAB MAJRUURUN BIHI

    • @khamisjuma7616
      @khamisjuma7616 Před rokem +3

      Usiseme hivi waachie wenyewe wenye elimu hapo kuna kitu cha kielimu wanapishana kuhs khabar inayohusika kwa wakati uliopo au ubashiri aloutoa mtume s.a.s kwa waja wema

    • @hassanjuma6144
      @hassanjuma6144 Před rokem

      Apumzike apishe wenye Elim zako Bwan Bachuu

    • @abiabi9353
      @abiabi9353 Před rokem

      @@khamisjuma7616 hakuna chochote kikubwa cha elimu ambacho hakieleweki hapo.sema mawahabi ni majahili wasiojitambua

  • @mirrow1983
    @mirrow1983 Před rokem +3

    Hawa vijana wanaoinukia hawana adabu na hawafundishwi adabu na mashk zao, wanapandikizwa kibri na dharau

    • @allymwinkyambi9689
      @allymwinkyambi9689 Před rokem +1

      wanajazba tuh hawana walilonalo

    • @mirrow1983
      @mirrow1983 Před rokem +1

      @@allymwinkyambi9689 nashindwa kabisa kuwaelewa, juzi tumemaliza jamaa tukiwa ktk nyiradi kijana mmoja wa upande wao kajigeuza akalala palepale kwenye safu, waumini hawakumuacha salama.

  • @triple_a3103
    @triple_a3103 Před rokem

    Tuwekee na ile aliojibiwa alhatimiy tayari ameshajibiwa inabidi uwe na uadilifu utupostie pande zote 2 sio upande mmoja laa sivyo hutokuwa unafanya uadilifu na utakuwa na dhimma ya kujibu
    Nas'aluLLAHA ssalaamah

  • @hamisiamri7477
    @hamisiamri7477 Před rokem

    Nilicho gunduwa mimi ni elimu ndogo alio nayo bachu ana taka kujifananisha na baba yake baba yake alikuwa na elimu kubwa sasa uyu mtoto kumbe ufahamu tu mimi nime muelewa vizuri sana shekh kumbe mtume ali simulia mwenywe akiwa hai kwaiyo hapa una tembea narojik tu uko sahii

  • @faudhiasaidi3669
    @faudhiasaidi3669 Před rokem +31

    Mimi iyo video ya uliyosema kuwa MALAIKA walitelemka kipindi mtume MOHAMMAD anakata roho. Niliiyonaga siku nyingi na nilijiuliza mwenyewe ilikuaje ni nani aliyekuwa anahadithia wakati mtume mwenyewe ndo amekata roho nikakosa jibu ile Leo ndo nimeelewa ulivyoleta hadith

    • @abdallahismael3993
      @abdallahismael3993 Před rokem +2

      Natumia umeelewa vipi bacho elimu yake ni ndogo ambayo pia yeye inamhangaisha.ubaya WA elimu ndogo

    • @abdiazziz8663
      @abdiazziz8663 Před rokem +3

      ​@@abdallahismael3993 si kwamba elimu yake ndogo lkn hata wakati mtume alikuwa hai jibril akimjia hakuna swahaba aliyemjua ila mtumi kawaambia yule alikuwa nami ni jibril itakuwa mtume amelala roho inatoka ndio maswahaba wataona malaika wako foleni uwongo mtupu huyu jama na masira ya uzushi

    • @salumkibari4878
      @salumkibari4878 Před rokem +3

      Muhammad bachu ni muuza sura tu hana jipya zaidi ya karaad mashekh tu

    • @salumkibari4878
      @salumkibari4878 Před rokem +2

      dogo kama huna elimu kaa pembeni waachie wanaume wazungumze acha kuuza sura mtandaoni

    • @ssntv9122
      @ssntv9122 Před rokem +4

      MAJIBU MAZURI TENA YA KIELIMU ONGERA SAANA SHEKH ALHATIMY
      HUYU MTOTO WA BACHU ALIKURUPUKA NI MBAYA SAANA KUKURUPUKA KATIKA MAMBO YA KIELIMU
      KWA KWELI SHEKH ALHATIMY TUNAMUOMBA ALLAH AKUPE UMRI MREFU NA AKUKINGE NA SHARI ZA MAADUI UNAO WAJUA NA USIO WAJUA

  • @Nufaila442
    @Nufaila442 Před rokem +4

    Umejilipua mwenyewe Muongo

    • @khelefomary4486
      @khelefomary4486 Před rokem

      Duh, hata hii hadithi huamini jamani hatari

    • @muhammadyussuf5393
      @muhammadyussuf5393 Před rokem

      إِنَّ العبدَ المؤْمن إذا كان في انْقِطَاعٍ من الدُّنْيَا، وإِقْبالٍ من الْآخِرَةِ، نزل إليه من السَّمَاءِ ملائكةٌ بِيضُ الوجُوهِ، كأَنَّ وجوهَهُمُ الشمسُ ، معهُمْ كفنٌ من أكْفَانِ الجنَّةِ، وحَنُوطٌ من حَنُوطِ الجَنَّةِ ، حتى يَجْلِسُوا منه مَدَّ البَصَرِ ، ثُمَّ يَجِيءُ مَلَكُ المَوْتِ حتى يَجلِسَ عندَ رأسِه فيَقولُ : أيَّتُهَا النَّفْسُ الطَّيِّبَةُ اخْرُجِي إلى مغْفِرةٍ من اللَّهِ ورِضْوَانٍ، فتخْرُجُ تَسِيلُ كما تسِيلُ القَطْرَةُ من فِي السِّقَاءِ ، فيَأْخذُها ، فإذا أخَذَها ، لم يَدَعُوها في يَدِه طَرْفَةَ عَيْنٍ، حتى يَأْخُذُوها فيَجْعَلُوهَا في ذلكَ الكَفَنِ وفي ذلكَ الحَنُوطِ ، فيَخْرُجُ منها كأَطيَبِ نَفْخَةِ مِسْكٍ، وُجِدَتْ على وجْهِ الأرضِ، فيَصْعَدُونَ بِها فلا يمُرُّونَ بها على مَلَكٍ من الملائِكَةِ، إلَّا قالُوا: ما هذا الرُّوحُ الطَّيِّبُ؟ فيقولُونَ : فُلَانُ بنُ فُلَانٍ بأَحْسَنِ أسمائِه التي كانُوا يُسَمُّونَه بها في الدُّنْيَا - حتى ينْتَهُوا بها إلى السَّمَاءِ الدُّنْيَا فَيَسْتَفْتِحون له فَيُفْتَحُ له ، فيُشَيِّعُهُ من كلِّ سماءٍ مُقَرَّبُوها إلى السماءِ التِي تلِيها ، حتى يُنتَهَي إلى السماءِ السابِعةِ ، فيقولُ اللهُ عزَّ وجلَّ : اكْتُبُوا كِتابَ عبدِي في علِّيِّينَ ، وأَعِيدُوا عَبدِي إلى الأرضِ ، فإِنِّي مِنها خَلَقتُهم ، وفِيها أُعِيدُهُم ، ومِنها أُخْرِجُهم تارةً أُخْرَى . فتُعادُ رُوحُه ، فيَأتِيهِ مَلَكانِ ، فيُجْلِسانِه ، فيَقولانِ له : مَن ربُّكَ ؟ فيقولُ : رَبِّيَ اللهُ ، فيَقولانِ له : ما دِينُكَ ؟ فيَقولُ : دِينِيَ الإِسلامُ ، فيَقولانِ له : ما هذا الرجلُ الذِي بُعِثَ فِيكُمْ ؟ فيَقولُ : هو رسولُ اللهِ ، فيَقولانِ له ومَا عِلْمُكَ ؟ فيَقولُ : قَرأتُ كِتابَ اللهِ فآمَنتُ به وصَدَّقْتُ ، فيُنادِي مُنادٍ من السماءِ أنْ صَدَقَ عَبدِي ، فَأفْرِشُوه من الجنةِ ، وألْبِسُوهُ من الجنةِ ، وافْتَحُوا له بابًا إلى الجنةِ ، فيَأتِيهِ من رَوْحِها وطِيبِها ، ويُفسحُ له في قَبرِهِ مَدَّ بَصرِهِ ، ويَأتِيهِ رَجلٌ حَسَنُ الوَجهِ ، حَسنُ الثِّيابِ ، طَيِّبُ الرِّيحِ ، فيَقولُ : أبْشِرْ بِالَّذِي يَسُرُّكَ ، هذا يَومُكَ الذي كُنتَ تُوعَدُ ، فيقولُ لهُ : مَن أنتَ ؟ فوجْهُكَ الوَجْهُ يَجِيءُ بِالخيرِ ، فيَقولُ : أنَا عَملُك الصالِحُ ، فيَقولُ : رَبِّ أقِمِ السَّاعَةَ ، رَبِّ أقِمِ الساعَةَ ، وإنَّ العبدَ الكافِرَ إذا كان في انقِطَاعٍ من الدنيا، وإقبالٍ من الآخِرةِ ، نزل إليه من السماءِ ملائكةٌ سُودُ الوجُوهِ معَهُمُ المُسُوحُ ، فيجلِسُونَ منه مَدَّ البَصَرِ ، ثُمَّ يَجِيءُ مَلَكُ الموتِ حتى يَجْلِسَ عِنْدَ رَأْسِهِ فَيَقُولُ: يَا أيَّتُهَا النَّفْسُ الْخَبِيثَةُ اخْرُجِي إلى سَخَطٍ من اللَّهِ وغَضَبٍ ، فَتَفْرُقُ في جَسَدِهِ فيَنتَزِعُهَا كَما يُنتَزَعُ السَّفُّودُ من الصُّوفِ المَبْلُولِ ، فيَأْخذَها ، فإذا أخذَها لَم يَدعُوها في يَدِهِ طَرْفَةَ عَينٍ حتى يَجْعَلُوهَا في تِلْكَ الْمُسُوحِ ، يخرجُ منها كأَنْتَنِ ريحِ جِيفَةٍ، وُجِدَتْ على ظَهْرِ الأَرضِ فيصْعَدُونَ بِها، فلا يَمُرُّونَ بها على مَلَكٍ من الملائِكَةِ إلَّا قَالُوا: ما هذا الرُّوحُ الْخَبِيثُ؟ فيَقُولُونَ: فُلَانُ بنُ فُلَانٍ بأَقْبَحِ أسْمَائِهِ التي كان يُسَمَّى بِهَا في الدُّنْيَا، حتى يَنْتَهِيَ بِهَا إلى سمَاءِ الدُّنْيَا فَيُسْتَفْتَحُ لهُ، فلا يُفْتَحُ لهُ، ثُمَّ قَرَأَ لَا تُفَتَّحُ لَهُمْ أبْوَابُ السَّمَاءِ قال : فَيَقُولُ اللَّهُ عَزَّ وجَلَّ: اكْتُبُوا كِتَابَه في سِجِّينٍ في الْأَرْضِ السُّفْلَى، قال : فَتُطْرَحُ رُوحُهُ طَرْحًا، قال : فتُعَادُ رُوحُهُ في جَسَدِهِ، ويَأْتِيهِ ملَكَانِ فَيُجْلِسَانِه، فيَقُولَانِ لَهُ: مَنْ رَبُّكَ؟ فيَقُولُ: هَاهَا لا أدْرِي، فَيَقُولَانِ لَهُ: ومَا دِينُكَ؟، فَيَقُولُ: هَاهَا لا أدْرِي فيَقُولانِ له : ما هذا الرَّجلُ الذي بُعِثَ فِيكُم ؟ فيَقولُ : هَاه هَاه لا أدْرِي ، فيُنادِي مُنادٍ من السماءِ : أنْ كَذَبَ عَبدِي ، فأفْرِشُوهُ من النارِ، وافْتَحُوا له بابًا إلى النَّارِ، قال : فَيَأْتِيهِ من حَرِّهَا وسَمُومِهَا، ويُضَيَّقُ عَلَيْهِ قَبْرُهُ، حتى تَخْتَلِفَ عَلَيْهِ أضْلَاعُهُ، ويَأْتِيهِ رَجُلٌ قَبِيحُ الْوَجْهِ، وقَبِيحُ الثِّيَابِ، مُنْتِنُ الرِّيحِ، فَيَقُولُ: أبْشِرْ بِالَّذِي يَسُوءُكَ هذا يَوْمُكَ الذي كُنْتُ تُوعَدُ، فَيَقُولُ: مَنْ أنْتَ؟ فَوَجْهُكَ الْوَجْهُ يَجِيءُ بِالشَّرِّ، فَيَقُولُ: أنا عَمَلُكَ الخَبِيثُ فيَقُولُ: ربِّ لا تُقِمِ السَّاعةَ
      الراوي : البراء بن عازب | المحدث : الألباني | المصدر : صحيح الجامع | الصفحة أو الرقم

    • @muhammadyussuf5393
      @muhammadyussuf5393 Před rokem

      إِنَّ العبدَ المؤْمن إذا كان في انْقِطَاعٍ من الدُّنْيَا، وإِقْبالٍ من الْآخِرَةِ، نزل إليه من السَّمَاءِ ملائكةٌ بِيضُ الوجُوهِ، كأَنَّ وجوهَهُمُ الشمسُ ، معهُمْ كفنٌ من أكْفَانِ الجنَّةِ، وحَنُوطٌ من حَنُوطِ الجَنَّةِ ، حتى يَجْلِسُوا منه مَدَّ البَصَرِ ، ثُمَّ يَجِيءُ مَلَكُ المَوْتِ حتى يَجلِسَ عندَ رأسِه فيَقولُ : أيَّتُهَا النَّفْسُ الطَّيِّبَةُ اخْرُجِي إلى مغْفِرةٍ من اللَّهِ ورِضْوَانٍ، فتخْرُجُ تَسِيلُ كما تسِيلُ القَطْرَةُ من فِي السِّقَاءِ ، فيَأْخذُها ، فإذا أخَذَها ، لم يَدَعُوها في يَدِه طَرْفَةَ عَيْنٍ، حتى يَأْخُذُوها فيَجْعَلُوهَا في ذلكَ الكَفَنِ وفي ذلكَ الحَنُوطِ ، فيَخْرُجُ منها كأَطيَبِ نَفْخَةِ مِسْكٍ، وُجِدَتْ على وجْهِ الأرضِ، فيَصْعَدُونَ بِها فلا يمُرُّونَ بها على مَلَكٍ من الملائِكَةِ، إلَّا قالُوا: ما هذا الرُّوحُ الطَّيِّبُ؟ فيقولُونَ : فُلَانُ بنُ فُلَانٍ بأَحْسَنِ أسمائِه التي كانُوا يُسَمُّونَه بها في الدُّنْيَا - حتى ينْتَهُوا بها إلى السَّمَاءِ الدُّنْيَا فَيَسْتَفْتِحون له فَيُفْتَحُ له ، فيُشَيِّعُهُ من كلِّ سماءٍ مُقَرَّبُوها إلى السماءِ التِي تلِيها ، حتى يُنتَهَي إلى السماءِ السابِعةِ ، فيقولُ اللهُ عزَّ وجلَّ : اكْتُبُوا كِتابَ عبدِي في علِّيِّينَ ، وأَعِيدُوا عَبدِي إلى الأرضِ ، فإِنِّي مِنها خَلَقتُهم ، وفِيها أُعِيدُهُم ، ومِنها أُخْرِجُهم تارةً أُخْرَى . فتُعادُ رُوحُه ، فيَأتِيهِ مَلَكانِ ، فيُجْلِسانِه ، فيَقولانِ له : مَن ربُّكَ ؟ فيقولُ : رَبِّيَ اللهُ ، فيَقولانِ له : ما دِينُكَ ؟ فيَقولُ : دِينِيَ الإِسلامُ ، فيَقولانِ له : ما هذا الرجلُ الذِي بُعِثَ فِيكُمْ ؟ فيَقولُ : هو رسولُ اللهِ ، فيَقولانِ له ومَا عِلْمُكَ ؟ فيَقولُ : قَرأتُ كِتابَ اللهِ فآمَنتُ به وصَدَّقْتُ ، فيُنادِي مُنادٍ من السماءِ أنْ صَدَقَ عَبدِي ، فَأفْرِشُوه من الجنةِ ، وألْبِسُوهُ من الجنةِ ، وافْتَحُوا له بابًا إلى الجنةِ ، فيَأتِيهِ من رَوْحِها وطِيبِها ، ويُفسحُ له في قَبرِهِ مَدَّ بَصرِهِ ، ويَأتِيهِ رَجلٌ حَسَنُ الوَجهِ ، حَسنُ الثِّيابِ ، طَيِّبُ الرِّيحِ ، فيَقولُ : أبْشِرْ بِالَّذِي يَسُرُّكَ ، هذا يَومُكَ الذي كُنتَ تُوعَدُ ، فيقولُ لهُ : مَن أنتَ ؟ فوجْهُكَ الوَجْهُ يَجِيءُ بِالخيرِ ، فيَقولُ : أنَا عَملُك الصالِحُ ، فيَقولُ : رَبِّ أقِمِ السَّاعَةَ ، رَبِّ أقِمِ الساعَةَ ، وإنَّ العبدَ الكافِرَ إذا كان في انقِطَاعٍ من الدنيا، وإقبالٍ من الآخِرةِ ، نزل إليه من السماءِ ملائكةٌ سُودُ الوجُوهِ معَهُمُ المُسُوحُ ، فيجلِسُونَ منه مَدَّ البَصَرِ ، ثُمَّ يَجِيءُ مَلَكُ الموتِ حتى يَجْلِسَ عِنْدَ رَأْسِهِ فَيَقُولُ: يَا أيَّتُهَا النَّفْسُ الْخَبِيثَةُ اخْرُجِي إلى سَخَطٍ من اللَّهِ وغَضَبٍ ، فَتَفْرُقُ في جَسَدِهِ فيَنتَزِعُهَا كَما يُنتَزَعُ السَّفُّودُ من الصُّوفِ المَبْلُولِ ، فيَأْخذَها ، فإذا أخذَها لَم يَدعُوها في يَدِهِ طَرْفَةَ عَينٍ حتى يَجْعَلُوهَا في تِلْكَ الْمُسُوحِ ، يخرجُ منها كأَنْتَنِ ريحِ جِيفَةٍ، وُجِدَتْ على ظَهْرِ الأَرضِ فيصْعَدُونَ بِها، فلا يَمُرُّونَ بها على مَلَكٍ من الملائِكَةِ إلَّا قَالُوا: ما هذا الرُّوحُ الْخَبِيثُ؟ فيَقُولُونَ: فُلَانُ بنُ فُلَانٍ بأَقْبَحِ أسْمَائِهِ التي كان يُسَمَّى بِهَا في الدُّنْيَا، حتى يَنْتَهِيَ بِهَا إلى سمَاءِ الدُّنْيَا فَيُسْتَفْتَحُ لهُ، فلا يُفْتَحُ لهُ، ثُمَّ قَرَأَ لَا تُفَتَّحُ لَهُمْ أبْوَابُ السَّمَاءِ قال : فَيَقُولُ اللَّهُ عَزَّ وجَلَّ: اكْتُبُوا كِتَابَه في سِجِّينٍ في الْأَرْضِ السُّفْلَى، قال : فَتُطْرَحُ رُوحُهُ طَرْحًا، قال : فتُعَادُ رُوحُهُ في جَسَدِهِ، ويَأْتِيهِ ملَكَانِ فَيُجْلِسَانِه، فيَقُولَانِ لَهُ: مَنْ رَبُّكَ؟ فيَقُولُ: هَاهَا لا أدْرِي، فَيَقُولَانِ لَهُ: ومَا دِينُكَ؟، فَيَقُولُ: هَاهَا لا أدْرِي فيَقُولانِ له : ما هذا الرَّجلُ الذي بُعِثَ فِيكُم ؟ فيَقولُ : هَاه هَاه لا أدْرِي ، فيُنادِي مُنادٍ من السماءِ : أنْ كَذَبَ عَبدِي ، فأفْرِشُوهُ من النارِ، وافْتَحُوا له بابًا إلى النَّارِ، قال : فَيَأْتِيهِ من حَرِّهَا وسَمُومِهَا، ويُضَيَّقُ عَلَيْهِ قَبْرُهُ، حتى تَخْتَلِفَ عَلَيْهِ أضْلَاعُهُ، ويَأْتِيهِ رَجُلٌ قَبِيحُ الْوَجْهِ، وقَبِيحُ الثِّيَابِ، مُنْتِنُ الرِّيحِ، فَيَقُولُ: أبْشِرْ بِالَّذِي يَسُوءُكَ هذا يَوْمُكَ الذي كُنْتُ تُوعَدُ، فَيَقُولُ: مَنْ أنْتَ؟ فَوَجْهُكَ الْوَجْهُ يَجِيءُ بِالشَّرِّ، فَيَقُولُ: أنا عَمَلُكَ الخَبِيثُ فيَقُولُ: ربِّ لا تُقِمِ السَّاعةَ
      الراوي : البراء بن عازب | المحدث : الألباني | المصدر : صحيح الجامع | الصفحة أو الرقم

    • @Nufaila442
      @Nufaila442 Před rokem +1

      @@khelefomary4486 kwani hadithi hiyo ilimtaja mtume au Mtu mwema

  • @MohdMohd-xo2jg
    @MohdMohd-xo2jg Před rokem +2

    Maxalhh sheikh al khattimy upo sahhh
    Umemjibu vzr sna

  • @KS-iw7qv
    @KS-iw7qv Před rokem +1

    HII NI ROHO YA MTU MUUMIN tu SASA JE MTUME NA NI MBORA WA VIUMBE wote..... Jamani Elimu ni Busara pia....😥..... TUSIPOANGALIA HIZI RADDI MWISHO TUTAMKUFURU ALLAH.... SASA WASHINDWIJE MALAIKA KUMPOKEA MTUME SAW KWA HALI HII NANI MBORA KULIKO VIUMBE WOTE.... Subhanallah Subhanallah 😥😥

    • @mgazamhina840
      @mgazamhina840 Před rokem

      Sawa je hilo amelishuhudia nan,hadithi imesema roho za waja wema husindikizwa na malaika,sasa hao ni watu wema je mtume?sasa nani anajua kuwa roho ya mtume iligombaniwa na malaika?pengine ilipelekwa tofauti na hivyo vya waja wema wengine kutokana na ubora wake,tusipende ushabiki hadithi inasema vingine mtu anaongeza vingine.

    • @muhidinzaidi1408
      @muhidinzaidi1408 Před rokem

      BACHU KASHINDWA KUELEWA
      KUWA KILA KITU KILICHOPO
      NA KITAKACHOKUWEPO
      MTUME KAISHAFUNDISHA

  • @halidijuma1884
    @halidijuma1884 Před rokem +5

    Yupo sawa Sema tu chuki za kiwahabi

  • @user412
    @user412 Před rokem +20

    Unaposhindana na wenye elimu basi daima watakuelewa na utaishinda ila ukishindana na wajinga daima watashinda wao. Hivyo, bachu hashindiki kwa ujinga wake wa mambo ya kielimu. Mambo madogo tu yanampiga chenga seuze mengine yaliyozama kielimu. Tatizo la mawahabi wakisoma vitabu vyao vichache tu na lugha ya kiarabu wanajifanya washakuwa mamufti na kuanza kutoa fatwa.
    Waliobobea kwenye elimu wamezama kwa miaka kadhaa kwa masheikh hata walipoanza kutoa darsa za kielimu tumefaidika kwa kubobea kwako.
    Bachu na mshauri kwanza, aendelee kusoma fani zote kisha nae tumuite Imamu Bachu..........

    • @babayaoyega2540
      @babayaoyega2540 Před rokem +1

      Akhy ama kweli nyie nyote na shehena wenyu al hatimy elmu hamna malaika walimuasi Allah nakuacha kazi zao wakaenda kugombea roho ya mtume S.A.W

    • @hilalalhabsi2047
      @hilalalhabsi2047 Před rokem +1

      @@babayaoyega2540 kwani malaika kazi yao ipi? NA je unajua idadi yao wewe NA kopo lako huyo bachu

    • @babayaoyega2540
      @babayaoyega2540 Před rokem +2

      Mashehena mko kibao mnao leta ufisadi kwa dini ila yenyu moja tu njaa itawatoa katika dini chungeni

    • @omarmubaomar8498
      @omarmubaomar8498 Před rokem +2

      @@babayaoyega2540 ama kwel kumbe humu wajinga wpo weng kwahyo na siku aliyozaliwa malaika waligombana na Mungu si ndio kwasbb siku alozaliwa mtume malaika wote waliteremka hpa dunian kwajinsi nuruilivyotanda kwenye mbingu na Ardhi had aarshi ya Allah ilitingishika kwa ujio wa Mtume muhammad kwann ilitingishika aarshi ya Allah kwasbb wale malaika waliokua wamebeba Aarahi ya Allah walitaman wa uwone uso wa mtume.
      Hem tzma sehem yengine pale Mtume alipo kwenda Mbingun Mtume ibrahim as alivyo kua akimrejesha Mtume muhammad mara kwa mara ili tu arud tena Mtume ibrahim aone ile sura ya Mtume muhammad ilivyokua na nuru ya ajabu..Achen ujinga wenu wakusoma mitandaon pia elimu zenu mulizo soma ukubwan zina wasumbua mm nahisi wote nyie munao ungana na mohd bachu kwanza mumesoma ukubwan pili nahisi nyie mulikua wakiristu mumesilimu juz kat

    • @babayaoyega2540
      @babayaoyega2540 Před rokem

      Sasa wewe unapiga domo tu ati asia alikuja kumzalisha mamake mtume na bibi mariam pia na maurulayn acheni kudanganya watu lete dalili ya maneno haya kwa hadithi ama quran wewe omar omar tafadhal

  • @ibnuidrisa3996
    @ibnuidrisa3996 Před rokem

    Mtoto wa bachu anatafuta umaarufu kwa jina la baba yake ALLAH amrehemu hadith ipo wazi hapo kama alivoeleza alhatmiy ALLAH amhifadhi

  • @alannceasar3444
    @alannceasar3444 Před rokem +1

    مشاءالله
    الله يحفظكم سيد

  • @bwagizoselemani8434
    @bwagizoselemani8434 Před rokem +3

    Mashekhe kwan munafeli wap jmn

  • @shabannyange2219
    @shabannyange2219 Před rokem +4

    Bachu kaingia kwenye kumi na nane😂😂,,ngoja Asomeshwe

    • @user412
      @user412 Před rokem

      Ngoja tutamuanza mpaka kwenye lugha maana ata kutafsiri anashindwa. Bachu elimu yake ni mtandaoni na sio kupitia kwa wanawazuoni

    • @saeedqaseem1283
      @saeedqaseem1283 Před rokem +2

      Hamumjui nyie huyu Muhammad Bachu........apo huyu kajibu kitu gani?
      Ameulizwa taarifa za hao malaika kazitoa wapi... ajibu izo kwa dalili km anazo aache porojo la baraza za kahawa

  • @mawaidha386
    @mawaidha386 Před rokem

    MTIHAN I KWA KWELI NAONA WW UNAMTAJA MTUME KAMA MTOTO WAKO TU .... ZAIDI YA MARA 30 UMEMTAJA MTUME LKN UMEMSALIA HAZIZIDI TANO .. UNAMTAJA TU MTUME MUHAMMAD NA WALA HUMALIZII SWALLA LLAHHU ALAIHI WASALLAM .. IKIWA KAM HAMUAMINI NINAYO SEMA NA NYINYI TIZAMENI KISHA MUTAONA....BASI KAMA NI KUCHUPWA NA ULIMI JAPO IWE MARA KIDOGO LKN INAONESHA MARA NYINGI UNAMTAJA HIVO... NDIO UNAMPENDA MTUME SALA NA SALAMU ZIWE JUU YAKE ..

  • @aliyissa9857
    @aliyissa9857 Před rokem

    Sheikh Alhatmy mpuuze huyu Bachu. Hawa ni Mawahabi. Wameletwa kuudhoofisha Uislamu. Wana modernize uislamu

  • @mustaphakawanda4138
    @mustaphakawanda4138 Před rokem +3

    Kwhyo shekh we hapo umetumia akili yako bc. Mana hio hadith uliosoma haionyesh kugombaniwa kw roho ya mtume wetu swala nasalam zimfikie.

    • @abiabi9353
      @abiabi9353 Před rokem

      Mawahabi mbona mnamtitio wa ubongo.anaposema kugombaniwa maanake nikila malaika aliitaka. Sasa malaika wasigombanie roho ya mtume.ulitaka wagombanie roho zenu chafu Mawahabi zilizojaa chuki

  • @abuuhafswamunsheedu5790
    @abuuhafswamunsheedu5790 Před rokem +3

    Duuh ngoja tu tusome

  • @mbagaherbal4796
    @mbagaherbal4796 Před rokem

    Ushauri wangu Kwa SHEIKH Hatimiy, Ndugu yangu unaelimu na uelewa mpana Sana wengi wenye kuelew Huwa tunakuelewa Sana. Ushauri wangu Huyu Mtoto wa Bachu inaonekana amesoma ilaa Hana uelewa kabisa Kisha anaamini anachosea yeye ndo sahihi, elimu haipo ivyoo Muulize mwenzako mdiskasi kwanza kabla hujamrusha kwenye Media.

  • @hafswanaaman2911
    @hafswanaaman2911 Před 11 měsíci

    A alkm Ahsante Sheikh Alhatimy mpe kweli huyo kijana asipoteze wtu.

  • @azzanalkhatry4625
    @azzanalkhatry4625 Před rokem +4

    Bachu bado kijana mdogo😂

  • @uledihassan6065
    @uledihassan6065 Před rokem +3

    Hadithi hii inaelezea mtu mwema anapokata roho vipi roho yake itapokelewa na malaika kupepekwa mbinguni na haisemi alipokufa bwana mtume malaika walipanga swafu

    • @binausiimohammed3265
      @binausiimohammed3265 Před rokem +4

      Kwa hio mja mwema afanyiwe hayo na mungu lakini mtume wa Allah asifanyuwe hayo?
      Yaan mtume na daraja yake yote au mtume yeye s katika wema.
      Elimu hatuna Basi hata kufikiri tu

    • @abdurahmanalnaufaly3835
      @abdurahmanalnaufaly3835 Před rokem +1

      HUYO AMESHIKWA NA VIRUS CORONA BACHU MUOMBEE MUNGU

    • @jimjam4148
      @jimjam4148 Před rokem +2

      Vita yenyu mahabi ni kumpiga vita Mtume wetu mohammad S.A.W)

    • @abubakarmustwafa8662
      @abubakarmustwafa8662 Před rokem +2

      Kwani weye ulichoelewa kwa mnasaba wa Hadithi hiyo,Mtume hakuwa mwema?!Yawa vipi ikiwa ni mwema roho yake isigombaniwe?

    • @khamissmohd
      @khamissmohd Před rokem +1

      Huyo kijana atawaumiza vichwa hamumuwezi Kwa ubishi , kalishwa .malezi.

  • @sharkhansaidy643
    @sharkhansaidy643 Před rokem

    Muombeeni sana dua kwamngu asije akafa vibaya mana katukana sana wanazuoni pia wengi wao wanaopenda kutukana wanazuoni hufa ndimi zipo nje kama mnyama

  • @bakariomari9304
    @bakariomari9304 Před rokem

    Watu was one na mungu aruzuku ufahamu mffano mungu ktk kiarabu chake kitukufu ana sema wake watakao sema. Mungu ndio mola wetu kisha wakawa na msimamo simu ya kids kwao hushuuka malai je siku ya kufa mtume watashuka wangapi

    • @abdallahismael3993
      @abdallahismael3993 Před rokem

      Natumia umeelewa vipi bacho elimu yake ni ndogo ambayo pia yeye inamhangaisha.ubaya WA elimu ndogo

  • @princeabuu8297
    @princeabuu8297 Před rokem +14

    Shekhe...!!! Swali lilikuwa rahisi tu apo swali lilikuwa ivi...!!!
    Ni nani aliyesimulia maneno ya mtume wakati mtume mwenye kafa....!!!?? Yani huyu aliyesema roho ya mtume yang'ang'aniwa na malaika ni nani wakati mtume kafafa na malaika ni mambo ya ghaib hawaonekani ila tu kwa yule ambae kwamba tukio likk kwake...??? Wacha kuruka mada shekhe we watueleza yale mtu aliyasema wakati wa uhai wake...!!! Elewa swali kwanza ndo ujibu sio kujibu tuu ovyo ovyo...!!

    • @hamidqullatein5878
      @hamidqullatein5878 Před rokem

      We inaonekana mgumu kuelewa

    • @abduomar8438
      @abduomar8438 Před rokem +1

      Kw hiyo mtume muhammad sio muumini

    • @AliMahmoud-tj2jb
      @AliMahmoud-tj2jb Před rokem +2

      Lakini ww bachu c vzr kama una elimu kumwambia mwenzako muongo.hizo kauli ni za makafiri walivyokuwa wanampinga mtume s.a.w

    • @abdillahussy7299
      @abdillahussy7299 Před rokem

      Sikiliza vizur hapo utaelewa

    • @alhajirajabujumaalhajirajabuju
      @alhajirajabujumaalhajirajabuju Před rokem +1

      Shekhe ukosahh Nimesoma kometi nyingii nimegunduwa wengi hatuna elimu swali lilikuwadogotu huyu bado hajamjibu bocho

  • @sheikhfirdaus6491
    @sheikhfirdaus6491 Před rokem +3

    Huyu mhamedi bachu chizi

  • @saidyissa8539
    @saidyissa8539 Před rokem

    Sheikh Shukrani sana Tunakuelewa sana. Huyu wala Asikushuhulishe Maana Inaonekana Hayuko sawa Huyu kama Kamkosoa Mpaka baba yake tena aliyeko kaburini basi Kiakili tu. Unajua ni MTU ambaye Pengine Anamapungufu fulani na kama si mapungufu basi anatafuta Umarufu. Hivyo Sheikh waweza Kumwacha tu. Usijibizane naye maana Kunyamaza napo Nijibu kubwa sana Kuliko kumjibu akajiona kama anaongea Point kumbe Ni Utopolo tu.😡😡😡😠😠

  • @MrNoNonsenseYes
    @MrNoNonsenseYes Před rokem +1

    Alafu kua makini sana, hini ni dini. Muhammad Bachu hakumzungumzia Mtume Muhammad SAW kwa dharau, chunga sana mdomo wako sheikh vilemba. Usimkufurishe mwenzio kwasababu ya ushindani kutaka kuonekana una elmu. Toa hadithi hiyo ya siku ya mtume alipokua anakufa malaika wakaigombania roho yake. Mpk sasa hujatoa hadith . Unakuja kutupa hadith maarufu sana hiyo mi mwenyewe sina ilmu kubwa na ilkua naijua hiyo hadith.

  • @abuufayaadh8270
    @abuufayaadh8270 Před rokem +12

    Kwa hiyo kama ni mkweli alete Dalili ya kwamba malaika waliacha kazi zao walizo kalifishwa na kila mmoja akaanza kugombea roho ya Mtume Swala Allaah alayhi wasallam, na wakati hayo yakiendea Malaika wa kifo na wenzake walikuwa na jukumu gani? Walikuwa wanapambana na malaika wengine au ilikuwaje? Na je kuna wakati roho ya Mtume Swala Allaah alayhi wasallam ilishikiliwa na malaika wasio na jukumu la roho? Halafu ilipofika mwisho nani aliikabidhi panapohusika?
    Yote kama kuna Dalili za wazi hakuna mtu atakataa kabisa wala kubisha, lakini kama ni Mtu anajizungumzia toka kichwani mwake tu hiyo lazima iwekwe sawa ili Waislamu wachukue dini yao kwa Dalili na si kubebeshwa Uzushi wa watu wenye Maslahi yao kwa Kisingizio cha KUMPENDA MTUME , MUHAMMAD BACHU NA WENGINE WA SAMBULI YAKE WANAMPENDA SANA MTUME SWALA ALLAAH ALAYHI WASALLAM NA NDIO MAANA WANATETEA ALICHO SEMA AU KUFUNDISHA .

    • @fikratulmuhibbonlinetvismail
      @fikratulmuhibbonlinetvismail Před rokem

      Sio bure

    • @zaydmuhammad4620
      @zaydmuhammad4620 Před rokem +1

      Mara nyingine muwe munajiongeza kidogo mawahabi heshima ya malaika jibril yatosha kuonyesha kama mtume ni nani ktk kifo chake kulikuwa na habar gani ikiwa kashindwa kufika na kutambuka alipo tambuka sayyidil bashar kwenda kuonana na allah na jibril alibaki nyuma vp roho yake ispokelewe na malaika UNAJUA UNAWEZA UKAWA NA ELIMU KUBWA LAKINI UKAKOSA UFAHAMU WA ELIMU YAKO NA NN KINAMAANISHWA

    • @fikratulmuhibbonlinetvismail
      @fikratulmuhibbonlinetvismail Před rokem +2

      Wataka dalili ipi ww

    • @abuufayaadh8270
      @abuufayaadh8270 Před rokem +2

      @@fikratulmuhibbonlinetvismail
      Dalili ya kwamba malaika kila mmoja aking'angania Roho ya Mtume Swala Allaah alayhi wasallam

    • @abiabi9353
      @abiabi9353 Před rokem +1

      Du wewe jamaa sijui darasani huwa unapata ngapi. Yani hiyo hadithi inataja malaika mmoja au malaika wengi?

  • @Toh.blogger
    @Toh.blogger Před 4 měsíci

    Mashaallah shekh Allah Skype umr mref

  • @MrNoNonsenseYes
    @MrNoNonsenseYes Před rokem +2

    Hujajibu kitu baba, tupe hadith sahih ya malaika walivyoing'ang'ania roho ya mtume, hii uliyoitoa tunaijua wala si mpya. Ni kwa waja wema wote, miongoni mwao maswahaba na mashid.

  • @iddysufiani4963
    @iddysufiani4963 Před rokem +2

    Maashaallaahh tusimeni jaman

  • @moringesokoine4614
    @moringesokoine4614 Před 9 měsíci

    Umesema kwel mwalm Wang Allah akubaarik sana

  • @allyfwady123
    @allyfwady123 Před 2 měsíci

    Huyu muhamad bachu ni kweli hana adabu ,ila pia elimu ndogo,uwezo wa kifikiri pia mdogo,darja ya mtume s.a.w hainafanani na kiumbe yoyote alieumbwa na Mungu,na ndio maana baba yetu adam a.s alipokutana na mama yetu hawa kwa mara ya kwanza toka waliposhushwa ktk dunia baada ya miaka 40 ya kutafutana ,aliambiwa na Mungu asimguse hawa mpaka amsalie mtume s.a.w mara kumi ndio amguse na ndio ikawa mahari yake ya kumuoa hawa ,leo anamchukulia mtume s.a.w kirahisi tu,

  • @w4058
    @w4058 Před rokem +1

    Allaah ndie mjuzi zaidi

  • @budakhairun6148
    @budakhairun6148 Před rokem

    SubhanaAllah ww walazimisha kumuekea taswira mbaya Sheikh bachu hafidahuallah

    • @AK-ll5tu
      @AK-ll5tu Před rokem

      Atawekewa taswira mbaya kama alivyoweka .. na hapo kafundishwa Elimu pamoja na Ubachu wake .. kama ni Muumin atakaa na kusoma .. kama ndonili mradi tena .. basi ATAZUSHA JENGINE.. SUALA LA MALAIKA LIMETHIBITI KWA KAULI YA MTUME S.A.W . LAKINI HILI BACHU HALIJUI.. HAKULISOMA . AKAMWITA MWENZIE MUONGO . SASA TUNAPATA PICHA ELIMU YA BACHU NI NDOGO . NA BADALA YA KUPINGA . BORA ANGEULIZA HUU NDIO UISLAM . TUUJUAO . HAYO MENGINE NI KUTAKA SIFA KUWA UNAJUA SASA UNAKUTANA NA MJUZI .. NDO HIVYO SOMA SASA .. AU AJE AKANUSHE HADITHI HIYO HAIPO

    • @aidarusahdaly5516
      @aidarusahdaly5516 Před rokem

      Taswira kivipi na yeye bachu Alikuweko mtume s.a.w Alipokuwa yuwakata Roho

    • @budakhairun6148
      @budakhairun6148 Před rokem

      @@aidarusahdaly5516 mnapenda mizozo lkn tunamuomba Allah awafahamisheni Hakki

    • @assadyabdull5146
      @assadyabdull5146 Před rokem +1

      Hafidahuallah ndo nini jifunze hta kuandika kwanza km elimu huna huna to jitahidi kusoma

    • @budakhairun6148
      @budakhairun6148 Před rokem

      Sawa Ndugu ukijua ww inatosha

  • @YahyaYahya-vp2pp
    @YahyaYahya-vp2pp Před rokem +1

    Yan hpo hujajibu hojaa tup hadith ya kuoa roho ya Muhammad inag'ang'aniwa na malaika usilete ujanja wa kusema ety roho ya waumin inasindikizwa na malaika. Mtume we ana darja kubwa lkn Wap umetoa roho ya Muhammad inag'ang'aniwa na malaika kama ww sio muongo

    • @hussienhalima4971
      @hussienhalima4971 Před rokem

      look pool opp look pool opp look look😊😊😊😊0p0099oooooooooooooookoooookoik

  • @alhilalymediapro
    @alhilalymediapro Před rokem

    Inshallah Majibu Ya Huyu Alhatmy Yanakujaaa Dhidi Ya Huyu Muongo Alhaatmy

  • @mohamedhozi8110
    @mohamedhozi8110 Před rokem

    Mwajua dini yetu ya uislamu ni dini ya hakki na inatufunza tuwe hekma ssa hawa mashekh hata kama n kuwarekebsha lakn tusiongee vtu vya chuki wakati ni sisi kwa sisi kama pangekuwa na mkristo ndani yake pengne lakn mapungufu yako hakuna alie kamili mungu atuongoze sote inshaallah

  • @faudhiasaidi3669
    @faudhiasaidi3669 Před rokem +1

    Ila shekh Al hatimy kipindi ilipokuwa unaongelea ilo suala ungeweka na mafundisho ya iyo hadithi
    Sasa kama uyo shekh MOHAMMAD Bachu aliyapokea kivingine ayo maneno basi itakuwa watu wengi pia uliwaacha njia panda hawakuelewa kuusu ayo maneno labda walishindwa tu kukuambia ila shekh MOHAMMAD Bachu akaona Bora aseme ukweli
    Na apo ndo tumepata funzo watu wengi tumeelewa

  • @yasiniselemani3917
    @yasiniselemani3917 Před rokem +1

    Shekhe wangu mm nakupenda sana lakini huku mtaani mm napata tabu sana eti umekataa mdahalo na huyu kijana halafu huyu kijana anaonekana anajidai sana naomba umnyooshe hadharani anyooke elimu ni bahari bhn huyu kijana anajifanya yeye ajua kila kitu shekhe mfante huyu kijana huwa anaudhi sana

    • @mgazamhina840
      @mgazamhina840 Před rokem

      Akifanya huyo na bachu Munakasha nishitue,

  • @hijahamadi5793
    @hijahamadi5793 Před 8 měsíci

    Tatizo la sheikh alhaatimy ni kutusimulia kama mkanda wa tamthilia aliouangalia au kama aliyesoma mtiririko wa kisa katika hadithi ya mtume au kitabu cha sira kinachoaminika, Afanya hivyo akiremba remba atakavyo kwenye mazungumzo yàke , utafikiri anasimulia mtu wa kawaida, pia huko nako ni kukosa heshima kwa mtume swalla allaah alayhi wasallam, hutakiwi kusimulia zidi ya mtume swalla allaah alayhi wasallam isipokuwa kilichofundishwa na kwa namna ileile uliyopokea , sio unatutilia chumvi, pilipili na Tangawizi ili uonekane wewe una elimu kumbe unaharibu.
    Ukiturembea kwa namna ambayo Wanachuoni hawajathubutu kuremba jee tukuite nani kama wewe si MUONGO.

  • @rashidjumamohamed3437

    Bachu yuko vizur
    Hataki kuongeza wala kupunguza maneno.
    Alkhatmy katoa ujumla wa watu wema wakitolewa roho...hii iko sawa nimefurahi hata sheikh Mohamed Islam alitoa kama hivi kwa watu wema wakitolewa roho.
    Lakin clip yake ya mwanzo alinasibisha sana hiyo kana kwamba ni kwa mtume tuuu.
    Lakin alichoongeza Alhatimy ni MALAIKA KUGOMBANIA ROHO YA MTUME...
    Hii ikaleta ukakasi.
    Allah awajaze elimu Masheikh wetu wote..wanatumia muda mwingi kwa ajili ya waislam wenzao na wao wenyewe.

  • @mbanomrage604
    @mbanomrage604 Před rokem

    Humuwez Muhammad Bacho we Rudi Kenya ukaendeleze Daawa zingine