SHEIKH ALHAD ALHATIMY AMTIA KITANZINI MUHAMMA BACHU ~ HATA TAFSIRI YA MANENO HAYA HUJUI RUDI DARASAN

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 27. 08. 2024

Komentáře • 1,2K

  • @user-yc2ys6xc1y
    @user-yc2ys6xc1y Před rokem +4

    Allah amasamehe barzanji kwa makosa mingi iliomo katika hiki kitabu na nyinyi mliobaki nyuma yake msiwai soma hiki kitabu kikona makosa mingi saana....

  • @sadofaraji5999
    @sadofaraji5999 Před rokem +12

    Allahumma salli alaa Muhamad wa alaa aali Muhamad.

  • @azgaraligulamhusseinnargis5949
    @azgaraligulamhusseinnargis5949 Před 11 měsíci +1

    Mm ustdh Mohd bachu kiukwli hadi sasa sijaona et kua umeshindwa pahali ppote mashaAllah...sema InshaAllah Allah akuepushe na shari

    • @user-we1xi4kt7e
      @user-we1xi4kt7e Před 10 měsíci

      Wewe utajuaje na utaonaje aliposuindwa na ww ni moenzi2 hauna ki2 et?.

  • @madinaidiris
    @madinaidiris Před 10 měsíci +2

    Muhammad Bachu ako sawa Allah amhifadi

    • @user-we1xi4kt7e
      @user-we1xi4kt7e Před 10 měsíci

      Kwaio unataka kusema kibri na majivuno na hacra ndo Yuko sawa et?.

  • @AliAhmed-or7is
    @AliAhmed-or7is Před rokem +18

    Naomba mashekhe wetu watumie hikma kukosoana tusianike aibu zetu kwenye mtandao,shukran.

  • @HassanAli-eq8ko
    @HassanAli-eq8ko Před rokem +4

    Mashaallah jazakumllah kheir amiin mola atuongoze ktk din y Uslam amiin

  • @ashrafkhamis1051
    @ashrafkhamis1051 Před 7 měsíci +1

    Masha Allah sheikh Al haatimy

  • @muddymtoro3929
    @muddymtoro3929 Před rokem +15

    shukran alhatimy we ni maalimu tunakujua mfundishe uyo mweny elimu ndogo ya kiburi..

    • @kibokokabisa5246
      @kibokokabisa5246 Před rokem

      Poleni nyeemna fundisha hamuelewi acheni maulidi siodini amkeni muache kupoteza wasionaelim nakuelewa

  • @khadidjasuleiman8006
    @khadidjasuleiman8006 Před rokem +6

    اللهم صل وسلم وبارك على سيدنا محمد وعلى اله وصحبه اجمعين 🥰💗

  • @naimaally6719
    @naimaally6719 Před rokem +5

    Mashaallah Al khatimy, Allah akurehemu akuhifadh, Mohamed Bachu ni kijana mdogo mwenye kibri na majivuno

    • @twahambowe440
      @twahambowe440 Před rokem

      Khatmy hajui maulid imeanza wapi,na mwaka gani,angejua hili asingelitetea kauli za namna hiyo.

    • @AbdulLiumbo-gz2qs
      @AbdulLiumbo-gz2qs Před 2 měsíci

      Mawahabi ni washenzi sana tena hawana akili

  • @mursalabdallah8139
    @mursalabdallah8139 Před rokem +8

    shekh Mohammed bachu yupo sasahi naam Allah ibarik

  • @seifkifundi904
    @seifkifundi904 Před rokem +2

    MAKAFIRI WANAFURAHI SANA WAKIONA WAISLAMU TUNAGAWIKA TUNATUPIANA MANENO YA HOVYO.JEE MNARITHISHA DINI GANI KATIKA VIZAZI VIJAVYO.ELIMU MNAYO ILA HEKIMA HAMNA

    • @nailaty
      @nailaty Před rokem

      Waislaam hatunaga umoja tumezidi unafki na makundi yasiyo na tija ni aibu kubwa masheikh kudhalilishana kama hivi kwann wasikutane hata misikitin wakawekana sawa

    • @allykombo2992
      @allykombo2992 Před rokem

      jamani eee tusomeni mana huyu mtoto wa bachu hana mbwaaaa ni kujidaiiii tu

  • @halidijuma1884
    @halidijuma1884 Před rokem +24

    USHAURI WANGU SASA :: NAWAOMBA MFANYE MJADALA HADHARANI ILI TUPATE FAIDA ,,
    NYINYI WAOTE MUNAKUBALI CAMERA MUALIKANE KI ADABU MUFANYE MJALA WA KIILM,, MUULIZANE MASWALI USO KWA USO ,, KWA TENA KWA ADABU,, INSHAALLAH

    • @fauznuhu9981
      @fauznuhu9981 Před rokem

      Hana hadhi ya kutani sha nalhahd

    • @ramadhanyusuf2401
      @ramadhanyusuf2401 Před rokem

      Umeongea hapo

    • @abdallahismael3993
      @abdallahismael3993 Před rokem +1

      Waislamu nkienda darsani msomeee mtajua alhatimey amesoma ,ingia darsani ikue balagha ingia darsani ,usiskize shekhe ingia darsani usomee huyu kijana atawapoteza ikiwa hujasoma huwezi elewa,kitambu mpaka wenyewe wakueleweshe ,pia gari zina manual book jinsi utakitumia

  • @mozasalum8742
    @mozasalum8742 Před rokem +4

    Ndo iyo shiriki mnayoambiwa sababu uyo mtume iyodini siku yake ya ALLAH kwaiyo kumpa sifa mtu miongoni mwa sifa za ALLAH nishirkibilah ambayo ndomnayoambiwa nawala muhamed bachu habishani kama mnavozania Ila anakumbusha kwa kufichua vitabu tena haina maana chanani wakati hakukosoa msahafu yupo sawa mana vyengine vitakua na udhaifu2 ALLAH ATUHIFADHI NA KAZI ZETU

  • @husseinmaalim885
    @husseinmaalim885 Před rokem +1

    Mashallah...Allah atuongoze katika ufahamu sahihi wa dini na atuepushe hatari ya elimu chache

  • @adijahmdosi5863
    @adijahmdosi5863 Před rokem +1

    Mwenyezi Mungu atujalie kheri kama makosa yametikea turekebishe kwa hekima waislamu yatakiwa tuwe kitu kimoja na tufundishane kwa upole

  • @zuberikasonso4104
    @zuberikasonso4104 Před rokem +16

    Allah akihifadhi sheikh alhatimy

  • @fatmaally7241
    @fatmaally7241 Před rokem +8

    Tatizo la alhatmiy unapenda sana wali ndomana kila kukicha unapigania barzanji na unauhakika ni kitabu kibovu andaa majibu kwa allah

    • @ashurswaleh6106
      @ashurswaleh6106 Před rokem

      Haha stiri

    • @burundiwoodfilmsproduction2008
      @burundiwoodfilmsproduction2008 Před rokem

      Huna adabu Fatima Ally, tutakapo kuwa tukizungumza kwa masheikh zetu tutumie kauli za adabu

    • @abiabi9353
      @abiabi9353 Před rokem

      Tatizo kubwa la mawahabi ni ubahili.watu wakila waliwao huona na wao watachangishwa. Ndiyo maana wanautia wali wa baraka wa maulidini. Pili ilio shamba mawahabi inawawashia nini kama siumbea

    • @alhilaltvonline
      @alhilaltvonline Před rokem

      Uwezo wa kielimu na kiadabu huonekana kwenye comment

    • @fatmaally7241
      @fatmaally7241 Před rokem

      @@burundiwoodfilmsproduction2008 adabu unazo weye

  • @uweyssjawhary5587
    @uweyssjawhary5587 Před rokem +1

    Tumswalieni MTUME MUHAMMAD (S. A.W)

  • @user-ik1dv8km8c
    @user-ik1dv8km8c Před 6 měsíci +1

    Shk Alhad unaelimugani

  • @shambaboy41
    @shambaboy41 Před rokem +3

    Vyovyote itakavyo tetewa maulid lkn mwisho siku ni kwamba hayafai kwasababu hayamo ktk mafundisho ya Mtume (SAW).

  • @omarmohammed5157
    @omarmohammed5157 Před rokem +7

    Assalam aleikum warahmatullah wabarakat Naomba tuijengeni Dini yetu mzur ,inayotufunza mazur,inayotutakia kheiry ,tuijengeni Dini yetu nasis tuwe watu wazur kwenye maisha yetu ,leo waisilam kwa waisilam tunagombna tunavunjiana heshima ili mrasimmdi mtihan je tunawajengea picha gan makafir na haya makafir ndio qanavowataka sisi tugombne ili wapate fursa ya kutuhatibia maisha yetu ,tujifunze kuwa na maneno mazur na hekma kwenye kufundishana na kuelkekezana.

    • @maalimjaffar5563
      @maalimjaffar5563 Před rokem

      Nisawa usemavyo ndugu yangu,,,lkn ikitokea mtu kama huyu anaona masheikh wote hawana wajuwalo kuliko yeye,inabidi aadabishwe kwanza tena hadharani kama yeye mwenyewe alivyotukana hadharani,,,huyu bwana mdogo hamna kitu kichwani mwake,,,ameshindwa hata kufahamu nn barzanji kakusudia aliposema neno "abduka miskiinu",jee twatarajia nn kutoka kwa mpotoshaji na mkufurishaji mkubwa huyu.

  • @nasirabdullah6227
    @nasirabdullah6227 Před rokem +1

    Huwez kuwa mtumwa wa mtume Muhammad s.a.w sisi ni watumwa wa Allah..shekhe umezidi kujidhalilisha tu

  • @othmanali3820
    @othmanali3820 Před rokem +2

    Shekh mungu akulinde na Kila Shari kwa kweli nafrahi Sana ndani ya moyo nikikusikiza

  • @alijuma4893
    @alijuma4893 Před rokem +8

    Al hatimy Allah akupe afya na umri mrefu ili uwatoe matope kwenye masikio yao

  • @ramygichero1016
    @ramygichero1016 Před rokem +11

    Tatizo hawa watoto wana kimbilia kwenye mike wakati uwezo bado ni mdogo

  • @kitosio
    @kitosio Před 10 měsíci

    Huna Lugha hapa. Hoja nyny na MASAHABA Nani Bora mpaka mkaazisha Utumbo huo. Angalieni Maswahaba njia waliyopita kumfuata mjumbe wa ALLAH MUHAMMAD (S.A.W)

  • @aliabdullahi9200
    @aliabdullahi9200 Před rokem +2

    Assalamu aleykum warahmatullahi taala wabarakaatuh.shukran laka ya sheikhy alhatimy mimi nakukubali saana achana na vijana wa zamahizi unajua we alhatimy unaheshimika mbele ya ummah. Asikuchafue yulekijana hana elimu lenye adabu. Kijana kamahuyu usihangaike kwake ni kama bendera fuata upepo.achana naye

    • @swifationlinetv
      @swifationlinetv Před rokem

      Hapo umeongea, hakuna haja ya kujibishana na mtu anaetafuta kiki

  • @user-hb8vi9fx6g
    @user-hb8vi9fx6g Před rokem +5

    😭😭😭
    WENGINE WAVUTAJI BANGI SHEIKH HATMIY WATAKUUMIZA KICHWA!!!

  • @mohamedhalake5983
    @mohamedhalake5983 Před rokem +4

    MUNGU akuhufadhi shekh m hatimmy

  • @AsiaChamzuri-ec3gy
    @AsiaChamzuri-ec3gy Před 10 měsíci

    Asant shekh muhammad alhatimy Allah awatwawilishe mashekh zetu tuzidi kustafiid

  • @johariabdalla3319
    @johariabdalla3319 Před rokem +8

    Na pia nimeangalia sana maongezi ya ALHATIMY,huwa anatumia rai yake au akili yake kuzungumzia au kuelezea analolielezea,tofauti na maana halisi ya ilivyo,bado hawezi kujibu hoja za zilizotolewa na MUHAMMAD BACHU.Na kuondosha mzizi wa malumbano kama unajiamini wekeni mjadala,Mwenzio yuko tayar wakati wowote..

    • @abdallahismael3993
      @abdallahismael3993 Před rokem +1

      Waislamu nkienda darsani msomeee mtajua alhatimey amesoma ,ingia darsani ikue balagha ingia darsani ,usiskize shekhe ingia darsani usomee huyu kijana atawapoteza ikiwa hujasoma huwezi elewa,kitambu mpaka wenyewe wakueleweshe ,pia gari zina manual book jinsi utakitumia

    • @mahersuleiman5767
      @mahersuleiman5767 Před rokem

      Fact

    • @johariabdalla3319
      @johariabdalla3319 Před rokem +1

      @@abdallahismael3993 sisi...au nyie tayar mshapotezwa huko,na bado mnaendelea kutetea kupotezwa!na pia namshukuru Mungu nimeshapita darasani..na naendelea madarasa mengine,ila ukweli uko wazi

    • @iddyjohn1032
      @iddyjohn1032 Před rokem +1

      Shida hata likitamkwa neno kariina hamlijui mtaelewa nini zaidi ya kufuata mkumbo tu,Darasa pana sana Shekh kaeleza wala hamuelewi

    • @iddyjohn1032
      @iddyjohn1032 Před rokem

      Watu wa kukata kanzu mnamatatizo sana,elimu ndogo mnaingia kwenye media,hovyooooooooooo

  • @masoudamour
    @masoudamour Před rokem +6

    HATA IMAM.SHAF NAHAMMBAKI NAMALIKI WAKIKOSOWANA ILA WALIHESHIMIANA KILA MTU AKAJUA UMUIMU WA NAFASI YAMWENZIE KWAIY NAC TUUNGANE SOTE KALIMA NIMOJA LAILAH ILLALLAH MUHAMD RASUL LLAH DINI ISONGE MBELEE

  • @djumapiliamina1139
    @djumapiliamina1139 Před 11 měsíci

    Watuu wa bidaa acheni uzushii, njoo kwenye Sunna.Hammad bachu Allah akuhifadhi kwakutuonyesha Yale tulikuwa tukiyasoma bila kujuwa .

  • @harunaamani7
    @harunaamani7 Před rokem +2

    Sheikh umetishaaa
    Wewe ndie kibokoyaoo

  • @abusihaa6396
    @abusihaa6396 Před rokem +6

    Hatimy mche Allah kila ukijaribu kufungua mdomo wako kumjibu Muhammad Bachu unazidi kujifedhehesha kua wewe ni mbumbu mzungu wa Reli yaani debe tupu

    • @ahmadymuhina6546
      @ahmadymuhina6546 Před rokem

      Kivipi ndugu yangu?

    • @hamidmau227
      @hamidmau227 Před rokem

      Abuu siha unaendeshwa na matashi na upendeleo wa moyo wako

    • @abusihaa6396
      @abusihaa6396 Před rokem +1

      @@hamidmau227 ndugu Hamid Allah akusamehe lakini inaonekana hauna Tofauti na sheikh lako yanao toka mdomoni mwako kuelekeza mwengine hua kihakika yaliyo moyoni mwako...kama alivyo ibn al qayyim Allah amrehemu ulimu hufichua yalioko moyoni

    • @ahmadmadaai1357
      @ahmadmadaai1357 Před rokem

      Ww mwendawazimu mwenzk bachu nyote elimu zero

    • @abusihaa6396
      @abusihaa6396 Před rokem +1

      @@ahmadmadaai1357 hadani Allah waiyakum hayo ni kawaida kutoka kwa watu wa sampuli yenu kwa taarifa dini sio kama time za mpira (simba na Yanga) ukashabikia bali ni dalili ambazo Alhatimy hana ni mlemba mkubwa tu pia mm sio mfuasi wa Bach bali ni Haq mtu ana faa aifuate na sio mtu

  • @saidrakwe8727
    @saidrakwe8727 Před rokem +3

    Elimu ni bahari,allah tuongoze na utusamehe kwa udhaifu wetu

  • @user-yc2ys6xc1y
    @user-yc2ys6xc1y Před rokem

    Wewe cjui alhad wajichanganya tu wataka wafwasi kwa batil....mungu akuongoze.....

  • @HemediAhmedi
    @HemediAhmedi Před rokem

    SHEIKHE ALHATIMI KWATAFSIRIZAKO ZOTE 4 AZINAUTOFAUTI NA ANAVYOELEZA MUHAMMAD YANI MUHAMMAD YUPOSAHIHI KABISA

  • @abdulkarimsalum356
    @abdulkarimsalum356 Před rokem +3

    safi sana shekh Alhatmy!

    • @is-haqmf8513
      @is-haqmf8513 Před rokem +1

      Juzi Sabas kilimramba kwenye munaqasha, tunataka pia huyu AlHatmy akaoshwe

  • @eddieeddie2755
    @eddieeddie2755 Před rokem +4

    Alhatimy acha kiburi, haki ushaoneshwa, km ni kiarabu humshindi Abulahaby nae yuko motoni, fata haki ukiiona, acha kiburi

    • @twayibshaykhmuhammad1034
      @twayibshaykhmuhammad1034 Před rokem

      Wewe akili yako je iko sawa ?? ama wakataa QUR'AANI ?? SHEKH M AL HATIMY ametowa daliili katika QUR'AANI yakuwa عبد inamaana nyingi kwahivyo huyo SHEKHE wa KIWAHAABI anaye juwa maana moja pekee kwa ukosefu ya ILIMU ndiye unaye mfuwaata kasome brother

  • @binuthaymeen9885
    @binuthaymeen9885 Před rokem

    Mbna umejibu moja na shirk nyingi Kasema shekh Muhammad Bachu

  • @ibnuomar6108
    @ibnuomar6108 Před 10 měsíci

    ♥️♥️♥️Love u Alkhatimy

  • @travy0110
    @travy0110 Před rokem +13

    Waislam wenyewe haelewi, mara sheikh mkuu katumbuliwa, mara bakwata sijui nini, mara ma ulamaa yaan shida Tu, mara Yule rafiki Ake na sharifu majini anamsema vibaya sheikh wa mwanza anasema mwizi mara hafai sijui hafungi, Leo tena bachu na mwaraaabu anaejivunia lugha.... Mambo ya kuitanana na kuyaweka Sawa... Wanatumia mitandao kuchafuana na kukosoana na kudhalilishana wao Kwa wao, daah aibu sana Mungu atusaidie😭😭

    • @adamhashim3352
      @adamhashim3352 Před rokem +2

      🤣🤣
      Mara dr mwaka. Mara jalala na mziwanda. Huu mwaka wa mashekh

    • @travy0110
      @travy0110 Před rokem +1

      @@adamhashim3352 wanazngua sana masheikh asee

    • @ramadhanmakame1328
      @ramadhanmakame1328 Před rokem +1

      Akosolewe hadharani kama alivyojifanya kukosoa hadharani. Hana adabu

    • @kassimmanaramalika8592
      @kassimmanaramalika8592 Před rokem

      Allahumma Amiin Yaa Rabbi atunusuru na hizi tabia Zao Allahumma Amiin Yaa Rabbi Mtihani mkubwa kwakweli

    • @AMIRIAMIR-gp4uu
      @AMIRIAMIR-gp4uu Před rokem

      Mbn maneno yako hayanq hekma wewe Ni Muislamu Kweli? Hizi tofauti Ni rehma Na akikosea mtu anambiwa ukweli

  • @amourmakame9795
    @amourmakame9795 Před rokem +3

    Weka mdahalo. Na sheikh wetu Muhammad Nassor bachu

    • @suleymanmadyan1730
      @suleymanmadyan1730 Před rokem

      Ww kishabiki tuu ushaonesha dalili zote maana hoja ameizungimza kwa dalili za aya za mungu tena tafsiri zote NNE na bado utaki kuelewa ss hata ukifanywa huo munakasha unaenda kutafuta hakki au unaenda kumshabikia sheikh bachu?

    • @abdallahismael3993
      @abdallahismael3993 Před rokem

      Niambie shekhe mmoja anafuraha bachu ni mwanafunzi wake hamna kwasababu amekosa nidhamu mbele ya wazee wakee

  • @muniraally4091
    @muniraally4091 Před rokem +2

    Pamoja na kutokujua lugha bin Nassor nakuelewa

  • @zainabkiarie9163
    @zainabkiarie9163 Před rokem

    Tunawaomba musikosoane.Allah alituusia kufikishiane jambo kuwa ni Aya Moja.

  • @rjqaasam4587
    @rjqaasam4587 Před rokem +23

    رحم الله إمامنا جعفر البرزنجي
    و صلى الله على سيدنا محمد وعلى آله وأصحابه أجمعين

    • @allykombo2992
      @allykombo2992 Před rokem +1

      sawa sheikh muhammad alhady mungu akuhifadhi mfunze huyo mjinga alokuwa hataki kusoma

    • @khalidmudathir4388
      @khalidmudathir4388 Před rokem

      Ndugu zangu Shirki kwani hamuijui..?

    • @hilalkhalfan1452
      @hilalkhalfan1452 Před rokem +2

      @@khalidmudathir4388 shirki inajulikana, ndio maana wanachuoni walitunga vitabu kwa uweledi ila wajinga Leo ni zogo tu.

    • @bishingwemaxime3655
      @bishingwemaxime3655 Před rokem

      @@hilalkhalfan1452 sheikh muhammad alhatimy hana mfano

    • @osmaniidrisa6290
      @osmaniidrisa6290 Před rokem

      Nasikia jafar barzanji alikua mshia

  • @aliabdalla6998
    @aliabdalla6998 Před rokem +5

    Kijana Alhatimy umepewa challenge kubali muweke mjadala watu wafaidike, nionavyo waogopa kukubali kwa sababu M Bachu atakuaibisha

  • @hassanmubarak704
    @hassanmubarak704 Před rokem +2

    Sheik M. Bachu Anafanya kazi kubwa na nzuri ya kusafisha Aqida na kutoa makosa ya Barzanji na mengi yanatokea ktk maulidi kwa sababu yake, watu wanavuka mipaka, na kutokana na maneno ya barzanji Hoja za Sh. Alhatimi sio sawa, basi ni kujitetea ktk Batil nayo ni miongoni mwa Kibri. Lkn kwanini itetewe Barzanji ya kutungwa wakati haikuwepo wakati wa mtume wala wakati wa swahaba‼️

    • @hamidmau227
      @hamidmau227 Před rokem

      Muogope mungu Hassan mubarak

    • @abdallahismael3993
      @abdallahismael3993 Před rokem

      Mimi namuone huruma bachonelimu kidogo inamuhangaisha sana ,elimu kidogo inamsumbua kijana mdogoo amabae hata mashekhe hawataki kunasibishwa na yeye

  • @musamohamed5830
    @musamohamed5830 Před 10 měsíci

    Huyu hatimy kwanza ni kalasinga na hiyo kilemba chake,kijana wa bachu anatetea dini alofundisha mtume Muhammad pbuh

  • @herimatano9636
    @herimatano9636 Před rokem +39

    Mi naona Sheikh muhammad Bachu unao uwezo wa kusoma na ukawa Sheikh mkubwa sana, ila kuwa mtafiti alafu kaa na hawa Masheikh unao wakosoa mubadilishane mawazo. Maana unaobishana nao huwafiki kiumri kama ni kukaa majamvini washakaa sana na pengine wamepitia kwa masheikh wakubwa wengi kukuliko.Mi naona utumie hikma usitumie media unawatajirisha tu hawa. Na masheikh wengi wame kukosoa lakini hutaki kubadilika, midomo ya watu sumu brother

  • @nhamoabdalanze341
    @nhamoabdalanze341 Před rokem +4

    Sheikh muhammad alhatimy muelimishe huyo kijana bado ilmu yake no ndogo, allah akuongoze muhammade alhatimy, tunakukubali sheikh huku kwetu Moçambique mocimboa da praia.

  • @nahnuissa7653
    @nahnuissa7653 Před 10 měsíci

    Wazanzibar wanadharau sana wajiona wao ndonwasomi pekeao duniani kaah....hiki ni kiburi hiki sasa

  • @Abdulracheed
    @Abdulracheed Před rokem +2

    Mimi sijakuelewa ata
    Sasa kama ni mtumwa wa Mtume. S.A.W. Unatuambia nini kuhusu yale maneno ya kumuomba Mtume.
    Sheikh Muhammad Nassoro Bachu yuko sahih kabisa ni ushirikina

    • @abdallahismael3993
      @abdallahismael3993 Před rokem

      Niambie shekhe mmoja anafuraha bachu ni mwanafunzi wake hamna kwasababu amekosa nidhamu mbele ya wazee wakee

  • @tawhiidwasunnah2023
    @tawhiidwasunnah2023 Před rokem +4

    انا لله و انا اليه راجعون

  • @SUNSHINE-fu4ec
    @SUNSHINE-fu4ec Před rokem +11

    Niko na maswali mawili:-
    1]Kwa nini sheikh Alhad Al hatimy amkosoe sheikh Mohamed Bachu ilhali zanzibar wako masheikh wakumjibu?
    2]Masheikh wakikosoana hadharani ( social media )wasikilizaji tushike njia gani sahihi?
    Nasaha:- Dini ya uislam ni dini yenye muongozo bora ikitokea ikhtilaf bax masheikh watatue kwenye msingi ulio na nidham na hishima.
    Social media ni mtandao unao tizamwa dunia nzima.Mukionekana munagombana inaleta picha mbaya kwa waislam na wasio waislam. Itaonekana uislam ni dini ya mizozo

    • @abuukilanga2249
      @abuukilanga2249 Před rokem +1

      Kaongelea kenya huyo bachu na akamtaja lazima amjibu

    • @huntermakini
      @huntermakini Před rokem

      Dini ya uislam co ya mzozo. Nna uhakika nailo. Ngoja sku ya kiama utajua

    • @DHIKRATV005
      @DHIKRATV005 Před rokem

      @@huntermakini Mjadala upo katika uislam mbona inatakiwa watu wajadilane ili upatikane ukweli dini isongembele

    • @ramadhanitwahili6837
      @ramadhanitwahili6837 Před rokem +1

      Kama mtu akiongelea jambo lolote la dini kwenye media likiwa sawa tutalisikia wote na likiwa baya pia tutalisikia wote kwaiyo mtu akialibu kwenye media lazima ajibiwe kupia iyoiyo media mana akichwa waliomsikiliza watamuona yeye yupo sawa.

    • @AbdulHassan-yq4ze
      @AbdulHassan-yq4ze Před rokem

      Dini haijabagua mzanzibar au au mmbara kam anmuek saw angetafuta nmb yake nd amkoso

  • @seifkifundi904
    @seifkifundi904 Před rokem +1

    IFIKE WAKATI MASHEIKH MUHESHIMIANE NA MUWE MNAUUNGANISHA UISLAMU SIO KUTUGAWA

  • @nassorochura7838
    @nassorochura7838 Před 7 měsíci

    sisi mamuma tunawatazama tu tunachokitaka maulidi ni katika suna na kuruani mambo ya elimu mwenyezi mungu ndiye mjuzi zaidi mkipotosha waislamu wakaacha swala nyinyi mnadhima

  • @yusufntamila541
    @yusufntamila541 Před rokem +8

    WALLAH WE MTOTO WA MOMBASA HATARI SANA MANENO MAZURI MNOOO KAMA HAJAKUELEWA NA HAPA BASI BANGI ZAKE BADO ZIPO KICHWANI 😂

    • @abdallahismael3993
      @abdallahismael3993 Před rokem +1

      Waislamu nkienda darsani msomeee mtajua alhatimey amesoma ,ingia darsani ikue balagha ingia darsani ,usiskize shekhe ingia darsani usomee huyu kijana atawapoteza ikiwa hujasoma huwezi elewa,kitambu mpaka wenyewe wakueleweshe ,pia gari zina manual book jinsi utakitumia

    • @yusufntamila541
      @yusufntamila541 Před rokem

      @@abdallahismael3993 sahii

  • @mzeerajab9154
    @mzeerajab9154 Před rokem +4

    Nakhofia,naogopa malumbano haya yasiokwisha yasije kuzaa vibri (kibri) kwa mashekhe zetu.Allwah atunusuru sote.

    • @shamimnassor3700
      @shamimnassor3700 Před rokem

      Tayari yamezaa kibri..mtazame yule aitwae dulele sijui WA Mombasa kibri sana yule mpaka anafikia kuwafananisha masheikh wenzake na hayawani wanaofaa kutengengwa ..kwa maana yeye amejiandalia Pepo tayari

  • @kitosio
    @kitosio Před rokem

    Shekhe Kilemba Amani Ya ALLAH iwe juu yako. Swali ivi nyny hamkuona Ibada zilizofaradhishwa ambazo hazina Shaka na naamini hamjazumaliza Sunna zote kwanini mnatumia mwanya ambao haukubali. Ivi mkiacha Maulidi mtakuwe mmekosa kumfuata Mtume (S.A.W). Kama hamkupita shule. Tuliyoletewa yanatosha mtu akiyafanya Kwa Ikhlas kuipata Pepo ya ALLAH.

  • @user-mp5cr5hu1l
    @user-mp5cr5hu1l Před rokem

    Maasha ALLAAHU!Sheikh Muhammadu ibnu Bacho ana elimu,lakini "PENYE MJUZI PANA MJUZI ZAIDI".

  • @badrumbaruku
    @badrumbaruku Před rokem +18

    Muhammad bachu ilimu yake ni ya ria sana ajirekebishe muda bado anao Ila mungu hapendi watu wanao penda kujivuna mm nimeona clip nying ambazo anakosowa mashekhe wengine kana kwamba yy tayar amemaliza elim yote elimu siku zote ni kama bahar ww ukiwa umefahamu ivo na mwengine amefahamu vingine mwenye elimu mzur ni yule mwenye hekma na wala c anaekashifu watu hii ni elimu ya kibri Allah aalam.

    • @azizaabeid2055
      @azizaabeid2055 Před rokem +2

      Kabisa Yani anajiona yeye huyu shekhe bachu Kila kitu anajua nakujifanya kuwakosoa wenzie tena hadharani Hana hekma kabisa huyu shekhe mtu mwenye hikma hata km mashekhe wenzie iwe kweli hawajui ilikuwa awaite wakae pamoja warekebishane ana riyaa kweli kweli huyu bachu ana sifa waislam tunaelekea wapi uislam ni hikma upole sipendi Mimi mtu mwenye sifa

    • @albassammusaalbassam7487
      @albassammusaalbassam7487 Před rokem +1

      Umepasua Moyo wake ukajuwa ni riya siyo au ndo ile tabia yenu ya kudai kujua ghaibu ??

    • @albassammusaalbassam7487
      @albassammusaalbassam7487 Před rokem +1

      @@azizaabeid2055 sheikh wako kaambiwa m bacho tukae face to face tuone Nan Ana hoja sheikh wako ameingia mitini afu mnasema Ana elm kweli mjinga hawez jua mwenye elim ndo Mana mnangangana sheikh wetu hamjui alicho nacho tumuombe Allah atupe afya na Salam tuone mwisho wake.

    • @albassammusaalbassam7487
      @albassammusaalbassam7487 Před rokem +1

      @@azizaabeid2055 sheikh wako kaambiwa m bacho tukae face to face tuone Nan Ana hoja sheikh wako ameingia mitini afu mnasema Ana elm kweli mjinga hawez jua mwenye elim ndo Mana mnangangana sheikh wetu hamjui alicho nacho tumuombe Allah atupe faya na Salam tune mwisho wake.

    • @abiabi9353
      @abiabi9353 Před rokem +1

      @@albassammusaalbassam7487 si tunamuona anavyopenda kujigamba

  • @shafydauda5
    @shafydauda5 Před rokem +3

    Kipengele ni abduka siyo abdu

  • @HemediAhmedi
    @HemediAhmedi Před rokem

    ATAKAMAHIVYO BADO AILETINAANA SHEIKHE ALHATIMI HAPOUNAJITAHIDI KUJITETEATU LAKINI BADO UJAFAULU UKWELI UPOPALEPALE BADO KITABUCHABARZANJI BAHADHIYASEHEMU KINAMAKOSA NATUNAEFANYA NDIOTUNAKOSEA

  • @suleimanahmed5571
    @suleimanahmed5571 Před rokem +1

    Muhammad Bachu Ako sawa

  • @hajiharoub8125
    @hajiharoub8125 Před rokem +6

    Huyu bwana mdogo anakuwa anazingua sana anatakiwa ajuwe kuwa kuna watu wanaelim zaid yake

    • @khalidjmaftah9449
      @khalidjmaftah9449 Před 10 měsíci

      Anaelewa madhara ya shirki, ndio maan anakutahadharisheni

  • @albassammusaalbassam7487

    Afu mbona umekimbia kule kwenye uongo wa malaika wote na roho ya mtume??

    • @kalelaonlinetv
      @kalelaonlinetv Před rokem

      Amejibu aujaona kwani?

    • @albassammusaalbassam7487
      @albassammusaalbassam7487 Před rokem +1

      Kajibu na kajibiwa au wewe hujaona tatizo hamtaki kusikiliza pande zote muelewe nenda kasikilize Hadith aliyotoa imempiga chin haihusiani na kauli yake

    • @allykombo2992
      @allykombo2992 Před rokem

      hizo pete hazkuhusu wewe

  • @sillycamara4997
    @sillycamara4997 Před rokem +1

    Allahou akbar allahou akbar

  • @AyubuYasini
    @AyubuYasini Před rokem

    اللهم صلى وسلم وبارك على

  • @UB40X1
    @UB40X1 Před rokem +5

    Baba kubali mjadala wa uso kwa uso in shaa Allah. Utajificha mpaka lini?

    • @fayeezabdallah2217
      @fayeezabdallah2217 Před rokem

      Sahih

    • @abdallahismael3993
      @abdallahismael3993 Před rokem

      Waislamu nkienda darsani msomeee mtajua alhatimey amesoma ,ingia darsani ikue balagha ingia darsani ,usiskize shekhe ingia darsani usomee huyu kijana atawapoteza ikiwa hujasoma huwezi elewa,kitambu mpaka wenyewe wakueleweshe ,pia gari zina manual book jinsi utakitumia

    • @UB40X1
      @UB40X1 Před rokem

      @@abdallahismael3993anaepoteza watu ni yule anaetetea shirki na kusema uwongo.

    • @hilalkhalfan1452
      @hilalkhalfan1452 Před rokem

      @@UB40X1 WAKUONEWA HURUMA NI YULE HAJUI KIARABU. HALAFU ANAWATAFSIRIA WATU.

    • @UB40X1
      @UB40X1 Před rokem

      @@hilalkhalfan1452 usiwe mjinga baba. Majibu hayo czcams.com/video/RGSiU8QR_lc/video.html.

  • @twaibumikidadi7377
    @twaibumikidadi7377 Před rokem +5

    Sasa shekh
    ukilera kwa maana ya MTUMWA
    haileti maana انا عبدك مسكين
    Mm n mtumwa wako masikini *
    sasa ndıo nini
    Mimi n mja wako masıkın hii ndıo maaana ya barzanji
    acha ujanja ujanja

    • @omarijawadu4047
      @omarijawadu4047 Před rokem +2

      Hiyo utaambiwa ujui maan iliyo kusudia kwa sabab hujui lugh.

    • @abiabi9353
      @abiabi9353 Před rokem

      Kunakosa gani kusema mimi ni mtumwa wa mtume.masnake nipo kwenye twaa yake.Hawa mawahabi wamerogwa nini

    • @abuukilanga2249
      @abuukilanga2249 Před rokem

      Nawewe kasome vilevile

  • @binaley6480
    @binaley6480 Před rokem +2

    Mie naona sheikh bachu Yuko sawa

  • @maryammo-gd3me
    @maryammo-gd3me Před 10 měsíci

    Sheik bachu nimekuelewa vizur

  • @yusufntamila541
    @yusufntamila541 Před rokem +10

    WE MTOTO WA MOMBASA MOTO 🔥🔥 MFUNDISHE HUYO KIJANA CHA BACHU

    • @albassammusaalbassam7487
      @albassammusaalbassam7487 Před rokem +1

      Atamfundisha nn na hajui kitu huyo macho na jazaba tu

    • @yusufntamila541
      @yusufntamila541 Před rokem

      @@albassammusaalbassam7487 unaota wewe amka utajinyea 😀

    • @abiabi9353
      @abiabi9353 Před rokem

      @@albassammusaalbassam7487 kawatajia ushahidi wa aya ya Quran.kama mnapinga toeni dalili

    • @abdallahismael3993
      @abdallahismael3993 Před rokem

      Waislamu nkienda darsani msomeee mtajua alhatimey amesoma ,ingia darsani ikue balagha ingia darsani ,usiskize shekhe ingia darsani usomee huyu kijana atawapoteza ikiwa hujasoma huwezi elewa,kitambu mpaka wenyewe wakueleweshe ,pia gari zina manual book jinsi utakitumia

    • @khalidmudathir4388
      @khalidmudathir4388 Před rokem

      Jamaa kuskiliza bila kuchagua kundi ndio utaelewa haki ipo wapi

  • @fadhilimusa9732
    @fadhilimusa9732 Před rokem +3

    Du wajua tafsiri moja kama mwanafunzi wa chumba cha kwanza nasari.rudi chuoni

    • @albassammusaalbassam7487
      @albassammusaalbassam7487 Před rokem

      Huwa hamfuatilii pande zote mnaziba masikio kusikiliza upande moja tu lini mtajua haki iko wapi nyie alivyotafsir huyo mzushi mnaona kapatia balaaa acha ije ifafanuliwe vzuri afu ndo mtaona kumbe alijificha kwenye mkaranga.

    • @abdallahamara9815
      @abdallahamara9815 Před rokem

      @@albassammusaalbassam7487 tafsiri ya 'abdu akhi...ndio ilioelezwa, mjadala wote uko hapo mmoja ajua maana moja tu.

    • @albassammusaalbassam7487
      @albassammusaalbassam7487 Před rokem

      @@abdallahamara9815 wewe bado hujui chochote sisi tupo tuna msikiliza akhy wetu m bacho amejibu Hilo Jambo kaangalie ndo ujue ushikina uko wapi na amefafanua kwa elm kuhusu hiyo mja ilivyotumika nenda utapata faida na utaachana na hao mashehena

    • @abdallahamara9815
      @abdallahamara9815 Před rokem

      @@albassammusaalbassam7487 Alhamdulillah, mm mwenyewe msomi, nasubiri kuingia 'Jami'a' na kwa elimu nilo nayo nang'amua ukweli wala siyumbishwi

  • @SA-xj8hc
    @SA-xj8hc Před rokem +2

    Quran na Sunna, discuss Quran na hadith za Mtume (SAW). Hii Barazanji ni mtihani mkubwa kuna kipindi tupo chuoni karibu na mfunguo sita nguvu ya kusoma inapelekwa kusoma mazoezi ya maulidi na kasida badala ya Quran. Pia huo wakati wetu chuoni tukisomeshwa Quran na Maulid badala ya hadithi za Mtume.

  • @solomonadams6337
    @solomonadams6337 Před rokem +2

    Huyu Alhatmy amekaa kama adui wa kihindi 💯👌

  • @fahmymasoud1205
    @fahmymasoud1205 Před rokem +3

    Muhammad anakosa adabu....kabla ya kuja hivi vitoto,,masheikh wote waliheshimiana...bora hivi wajibiwe

    • @zahorsuleyman3429
      @zahorsuleyman3429 Před rokem +3

      Km umemsikikiza alichosema Muhammad bachu vizur na huyo hatimy bac ungeelewa umechukua maneno kiushabiki Wacha mdomo wa matusi ww kumbuka utaulizwa kuwaita watu mayahudi siku ikifika hutakua na jibu usiendekeze hasira

    • @salehabood7140
      @salehabood7140 Před rokem +2

      Kwahio ww unataka mtu asiseme ukwelii,bachu yupo sahihi,

    • @abdallahismael3993
      @abdallahismael3993 Před rokem

      Niambie shekhe mmoja anafuraha bachu ni mwanafunzi wake hamna kwasababu amekosa nidhamu mbele ya wazee wakee na anawatukanishaa wanamuacha apotee

  • @khamishassan4744
    @khamishassan4744 Před rokem +3

    Shkh wangu naona unashub ha nyingi sasa si maana moja hio ww vp uko sawa lkn

  • @abdallaabdi5159
    @abdallaabdi5159 Před 11 měsíci +1

    Mashallah, ujumbe umefika , kijana hana elimu katika wenye elimu, ila Amekosa nidham na heshma ya kujifunza

  • @sanoureyaliwadoakaroyo1696

    Mim Sijui Dini ila Uyuu Sheikh Wa Mombasa Amezingua Sna Hpa Amekosea Sana kuwa Barazanji Alimwambia Mtume Salallahu Waliiyu Wasalamu Kuwa Mim Ni Mtumwa Wako Apa Kiukwel Ni kma Barazanji Alimtukuza Mtume Kumpeleka Daraja La KIMUNGU
    APA Sheikh Atimy Umekosea Kubali Tu

    • @msarama5406
      @msarama5406 Před rokem

      Anabisha lakini ukiangalia tafsiri zote alizotoa za neno a'bdu bado huoni kama kajibu hoja zaidi ya kujisifu tu kujua kiarabu na yule hajui

    • @sanoureyaliwadoakaroyo1696
      @sanoureyaliwadoakaroyo1696 Před rokem

      @@msarama5406 hawa Watu wa kupiga Maulidi Wana Zidi kutupotosha kusema Ule Ukwel

    • @msarama5406
      @msarama5406 Před rokem

      @@sanoureyaliwadoakaroyo1696 wanapenda sana kutumia akili na nahau za kiarabu ili kuzungushazungusha maneno

  • @imraniqbal00765
    @imraniqbal00765 Před rokem +3

    Kwani anazungumza na mtume uso kwa uso au alikua akimsifu kwani barazanji ni swahaba???? Jengine kuhusu kukosolewa hata kama ni ulamaa kukosolewa ikibidi kukosolewa ikiwa alikosolewa amir muumina omar bin hatwab na yule mama kuhusu mambo ya mahari na omar akasema huyu mama kapatia na omar kakosea kwa hiyo suala na kukosolewa ulamaa ikibidi atakosolewa tu

  • @hilalkhalfan1452
    @hilalkhalfan1452 Před rokem +3

    KUMBE BACHU UONEWE HURUMA WEYE HUJUI KIARABU.

    • @mrbasit4718
      @mrbasit4718 Před 10 měsíci

      Wakuonewa huruma ni ww muislamu Ambae hujuwi nguzo za dini yako nani na kutoka wapi uifuate dini sahihi. Alyauma akmaltu lakum dinukum watmamtu alaykum niimatiii waraziitul bil islamu diin. Kwa hiyo dini imekamilika na ipo safi

    • @hilalkhalfan1452
      @hilalkhalfan1452 Před 10 měsíci

      @@mrbasit4718 TAWHEED Tatu zimeletwa karne ya 7, wakati dini ILIKAMILIKA na kalimatu tawheed moja ya LAAILAA HAILALLAHU.
      ☝️Tukaanzisha BIDA'A POTOVU ya tawheed Tatu kama wasabato. Ah! Mwenye kufuata kundi hilo basi ameangamia na ametoka katika Uislamu sahihi.

  • @NMJAsaid
    @NMJAsaid Před rokem

    Huwezi kumtia kitanzini mtu wa tawheed. Mwenye kusikiliza maneno yako na ya sheikh Mohammad Bachu hana haja maelezo zaidi.

  • @mahrezyusuf6017
    @mahrezyusuf6017 Před rokem

    Muhammad yup saw

  • @husseinkazungu5101
    @husseinkazungu5101 Před rokem +4

    MashaAllah

    • @khalidsaid954
      @khalidsaid954 Před rokem

      Wote wawili wapuuzi tu Hamna shekhe hata mmoja hapo. Shekhe ni yule mwenye elimu ya dini na akawa na hekma. Cyo Kila siku vijembe tu kwenye mitandao kama harmonize na diamond. Apo wote pumba Hamna hata mmoja ana sifa ya kuitwa shekhe. Na mtakuwa na kujibu siku ya qiama jinsi munavyo pigana vijembe mitandaoni. Utafikiri wangombea demu. Mashekhe ni wachache tu sikuhizi waliyopo. Waliyo Baki ni mapumbavu yasiyo jua Nini MAANA ya uislam. Nyinyi nyote munao tupiana maneno ni wapumbavu Tena hamufai hata kusikilizwa.

  • @munirashughuli618
    @munirashughuli618 Před rokem +4

    Bachu mshindani Shukran Sheikh wetu

  • @HemediAhmedi
    @HemediAhmedi Před rokem

    ATAKAMA ALIEANDIKA BARZANJI ANAELIMUKUBWA KWANIMWENYE ELIMU AWEZIKUKOSEA NAESIBINAADAM NYINYIMASHEIKHE MUNACHELEWESHA MAENDELEO YAKIISLAMU KUUTWA KUBISHANABISHANA HADHARANI KAMANYINYI MUMESOMA NAWEWE UNASEMA MUHAMMAD AJASOMA WW NDIOUMESOMA NAALIESOMA AKOSEI MWENYE ELIMU AKOSEI MBONAWEWE UNABISHANA NAMUNADHALILISHANA NAMUISLAMUMWENZAKE HADHARANI HAPO NDIOUJUE ATAMWENYEELIMU KUMBE ANAKOSEA HIYOMAULIDI KUNASEHEMU ZIMEKOSEWA

  • @hassanmohamedabdalla4108
    @hassanmohamedabdalla4108 Před 9 měsíci

    يمضي الليل بلا قيام
    ويمر الاثنين والخميس بلا صيام ويفوتهم الفجر وهم نيام
    ويحتفلون بالمولد دون برهان
    ما هكذا كان يفعل خير الأنام

  • @imraniqbal00765
    @imraniqbal00765 Před rokem +7

    Sheikh usipande presha bure kijana mohammed bacho amekutaka muonane uso kwa uso mufanye mdahalo haina haja ya kupasuka kifua

  • @NMJAsaid
    @NMJAsaid Před rokem +5

    Hawa wazushi hoja zao kubwa husema watu hawajui lugha lakini kamwe kujibu mada ni jambo kubwa mno! Sijaskia akijikwamua kokote!!! Jibu swali

    • @yasinitwaha3192
      @yasinitwaha3192 Před rokem

      Wewe huelewii acha upuuzii lugha hamjui mtatafsir vip mkasomeee

    • @abuujibriltv5233
      @abuujibriltv5233 Před rokem

      Mawahabi ugonjwa wanu mkubwa ni uchache waelimu khaswa kw lugha na ndiyo maana mna tafsiri mbovu mbovu mki tafsri kiarabu

    • @albassammusaalbassam7487
      @albassammusaalbassam7487 Před rokem +2

      @@yasinitwaha3192 naona unajoha kubwa lkn elim huna ispokuwa ya kusomea Dua tu labda lkn tawhid hamna hapo ndo Mana mnatetea paka beiti za shirk kwasbb mmesomea kusoma maulid tu vingine hamna kitu km huyu sheikh hata mie nikiweka mnakasha naye nampiga Chino kwasbb jazba kubwa kuliko hoja je wewe mwenye johaa kubwa HV hiyo tafsir aliyotoa kwa akili yako ni sawa??

    • @albassammusaalbassam7487
      @albassammusaalbassam7487 Před rokem +1

      @@abuujibriltv5233 toeni dalili za kitab na sunna Kisha weken wanachuoni wenye nguvu waliosema hizo siyo shirk afu achen uchawa kwa masheikh kwasbb mkifanya uchawa hamtawez ona makosa yake au mtawafichia makosa yao nalo nijambo baya kwa Allah.

    • @NMJAsaid
      @NMJAsaid Před rokem +1

      Yaani amerukaruka na hakujibu hata swali moja la sheikh Mohammad Bachu

  • @allymadiru-zr5xc
    @allymadiru-zr5xc Před rokem

    Yaani wewe alhitamy muombe mungu akurejeshe kwenye taqwa maana unajikanyaga mwenyewe kwani hii daawa au mawadha ni ya mtume au Allah jiulize maswali

  • @jumaibrahim9029
    @jumaibrahim9029 Před rokem

    Shukran ya sheikh sheikh Muhammed bachu alitereza kwaku mu radi Alie sema ayo maneno

  • @ameirzapy1318
    @ameirzapy1318 Před rokem +4

    Shukran Alhad, ndio maana ninayo ielewa na kufundishwa kitabu cha maulid, nilishangaa kuwa Neno Abduu kashikilia kwenye mja tu, wakati kiarabu ni uwanja mpana sana, Bachu shirki imeiweka wewe kwa maana yako, ila sisi wa Maulid tunajua mtumwa, tunaomfuata na kuyasema aliyo yasema mtume

    • @denisnjaila2182
      @denisnjaila2182 Před rokem

      Nguvu kubwa sana matumaini hafifu

    • @albassammusaalbassam7487
      @albassammusaalbassam7487 Před rokem +1

      Ebu wee unayeshangaa hiyo tafsir ya m bacho tupe yako ktk hiz alizotoa inayoingia kubatulisha ile ya m bacho tuone km inaiingia vichwa vigumu mtaelewa lini

    • @hassanmubarak704
      @hassanmubarak704 Před rokem

      Bro, inaelekea wewe ndio ktk wanaofuata mkumbo bila ya elimu, hapo hujaelewa kitu cha maana, na hivyo ndio wanvyopotezwa watu!! Alhatmi hajajibu points zilizotajwa achana na hilo neno (Abduka) hata yeye kakosea ktk maana zake 2 za mwisho. Lkn hiyo sio point ya topic.

    • @abiabi9353
      @abiabi9353 Před rokem

      @@hassanmubarak704 hapo kakosea nini wakati kakusomea ushahidi wa aya ya Quran inayoonyesha abduka pia inaweza kutumika kama mtumwa. Wewe ping kwa dalili kama unaweza

    • @abiabi9353
      @abiabi9353 Před rokem

      @@albassammusaalbassam7487 jamaa mawahabi mnatatizo gani.mbona hamuelewi vitu.sheikh alHatimi kawasomea ushahidi wa aya ya Quran pia mnapinga? Innalillahi wa Inna illaihi rajiun

  • @mudybeka6698
    @mudybeka6698 Před rokem +6

    Sheikh kijana ameomba mjadala wakiilimu ambao utaendeshwa kwa hoja ...mkabalie basi.....

    • @abdallahismael3993
      @abdallahismael3993 Před rokem

      Waislamu nkienda darsani msomeee mtajua alhatimey amesoma ,ingia darsani ikue balagha ingia darsani ,usiskize shekhe ingia darsani usomee huyu kijana atawapoteza ikiwa hujasoma huwezi elewa,kitambu mpaka wenyewe wakueleweshe ,pia gari zina manual book jinsi utakitumia

  • @mamaryammaryam7873
    @mamaryammaryam7873 Před rokem +1

    Aslam.mimi naomba muelimishana kuliko kusemzana Kwa mitandaoo sio mafundisho ya Rasull Allah.

  • @usamaharith
    @usamaharith Před rokem +2

    Subhanallah

  • @bakariomari9304
    @bakariomari9304 Před rokem +3

    Shehe alhatimu usiwekee mjadala na huyo kijana kwan hana elimu ya lugha

    • @abiabi9353
      @abiabi9353 Před rokem

      Pia bachu hana adabu

    • @abdallahismael3993
      @abdallahismael3993 Před rokem

      Mimi namuone huruma bachonelimu kidogo inamuhangaisha sana ,elimu kidogo inamsumbua kijana mdogoo amabae hata mashekhe hawataki kunasibishwa na yeye