SHIA GOLO AINGIA WAZIMU BAADA YA KUBAINISHWA UONGO WAKE || Muhammad Bachu

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 26. 05. 2024
  • Hry

Komentáře • 143

  • @abdullahiiddi4109
    @abdullahiiddi4109 Před měsícem +12

    Shukran sheikh wetu Bachu kwa kutueli isha, Allah akuhifathi tuzidi kuelimika Kama Ummah. Akupe Afya nzuri na akupanulie Elimu yenye manufaa kwa Ummah. Akupe subra katika kila Hali. Na soteni Jamil Islam.
    Amin Amin

  • @jumamaulid9462
    @jumamaulid9462 Před měsícem +1

    DUU!
    Asante sana shehe.
    Leo nimeelewa rasmi,
    KUMBE HAWA MASHIA NI WAONGO HIVI, WANAKATA HATA MAANDIKO ILI KUDANGANYA WATU.
    Kuanzia leo sitawasikiliza tena.

  • @OmarAlly-iz8ot
    @OmarAlly-iz8ot Před měsícem +6

    Kwakweli Shekh Muhammad unastahiki Mashaayikh wakupe zawadi nono kwa kazi njema ulio ifanya ya kumvua kilemba huyu zindiiq shafii muongo alie bobea kwenye kupanga urongo na kuwazulia Maulamaa wema maovu wasio husika nayo.

  • @aminayusuf3051
    @aminayusuf3051 Před měsícem +5

    May Allah bless sheikh bachu

  • @mfalmenajjash2128
    @mfalmenajjash2128 Před měsícem +16

    Hawa mashiya wanajuwa kilakitu kuhusu Ibn Taymiya sema wanapimdishi ukweli kuhusu Ibn Taymiya bila shaka wanaajenda zao binafsi lakini biidhini llah hawatofanikiwa shekh Muhammad bachu Allah akuweke summa uzidi kunufaika naww

    • @ndombabaraka6498
      @ndombabaraka6498 Před měsícem

      Huyu ndugu yangu namjuwa vzr wala sikutegema kama angekuwa hivi

    • @ndombabaraka6498
      @ndombabaraka6498 Před měsícem

      Yaan Mpka sheikh wake anashangaa

    • @suleimanadim6522
      @suleimanadim6522 Před měsícem

      Tatizo kua hamna ukweli juu ya MTUME SWA AMESEMA KUA AMEMUONA ALLAH IWE USINGIZINI AU KWENYE NDOTO HAPO NDIO SUALI SABABU QUR_AN INAKATAA KWAIYO BACHU HUNA DALILI KUMUONA ALLAH IWE KWA NDOTO SASA AKIONA KWA NDOTO ATAKUA KAONA KWA KICHOGO AU WACHA KUJIZONGA MSIMSINGIZIE MTUME SWA

    • @mfalmenajjash2128
      @mfalmenajjash2128 Před měsícem

      @@ndombabaraka6498 Innallillahi wainnailaykhirajiu

    • @mfalmenajjash2128
      @mfalmenajjash2128 Před měsícem

      @@suleimanadim6522 yaani nduguyangu ww hauna hata maarifa ivi bachu aje nadalili kiasi gani unavyotaka ww amerejea vitabu nahuku unaona au alikuwa anasoma hewa ww unamacho au una matunguli yamacho hii kesi haikuhusu ww Sufi hii kesi inawahusu mashiya, mashiya wenyew wamekaa kimya kinakuwasha ww ajabu hii kesi ya Ibn Taymiya mutakoment ishu za maulidi very soon mzee kama huoni hautokaa uwone nakama huelewi hautokaa uwelewe acha ushabik tafta haqi ya Akhyyy

  • @ImamuDossa
    @ImamuDossa Před měsícem +8

    Sheikh Bachu Allah akuhifadhi ili utujibie hawa makafiri.

  • @rashidmohamed1949
    @rashidmohamed1949 Před měsícem +1

    Maa Shaa Allah.
    Shkh MOHAMED BACHOU NI KIBOKO YA MAKAFIRI NA MIISLAM MINAFIKI.
    NA HII MIJADALA NDIO INA MPAISHA SHKH BACHOU maana anaitumia fursa hii kutafuta vyanzo mbali mbali vya elimu

  • @binbuhakhamis4336
    @binbuhakhamis4336 Před měsícem

    MAASHALLAH sheikh muhammad bachu.

  • @salimuiddi3607
    @salimuiddi3607 Před měsícem

    Hakika mashia ni wa kuwapinga mana wana uchafuu mwingii na wana uchafua uislam ndugu zetuu wa maulidi ndio wana wakaribisha hawa watuu ili wazidi kupotosha watuu ilaa chuma kipo kwaajili ya kufungu macho ya wasio jua na ata wanao jua wajue zaid Allah akulipe kwa kazi kubwa unayo ifanye ili kutokomezaa awa mashia na waweze kuslimu na kuifata njia ya hakii Inshallah

  • @jaaffarabuu6750
    @jaaffarabuu6750 Před měsícem +7

    Asante sheikh bachu Allah ukupe afya na swiha

  • @OmarAlly-iz8ot
    @OmarAlly-iz8ot Před měsícem +4

    Umeingia ktk uwanja wa mapambano ukiwa tayari una ujuzi na mazoezi ya kutisha, na ume pambana kwa nguvu na akili kubwa mnoooo Maashaa Allaah.
    Wazushi weka pembeni na uvundo wao wa kuwazulia urongo Maulamaa wakweli walio simama kuinusuru Dini ya Allaah kwa Taufeeq ya Allaah Azza Wajalla...

  • @hawa6052
    @hawa6052 Před měsícem

    Shukran kwa kutuelimisha mtoto wa Bachu Allah akuongezee Elimu na Afya njema

  • @HamadHamduni
    @HamadHamduni Před měsícem +5

    Siraha ya waumini ni dua,tuombe dua Allah amuadhibu shafii na wote wenye upotofu kama huo.

    • @user-le5oi2lw7y
      @user-le5oi2lw7y Před měsícem

      Ww mbona kichwa chako kina wadudu

    • @HamadHamduni
      @HamadHamduni Před měsícem

      @@user-le5oi2lw7y chako kina mawe!

    • @BradothAdm
      @BradothAdm Před měsícem

      Na doct sule

    • @hawa6052
      @hawa6052 Před měsícem

      Wewe Nani kakupa hiki cheo cha kuhukumu WATU ? Katubu haraka kwa ushauri Wangu

    • @HamadHamduni
      @HamadHamduni Před měsícem

      Anae hukumu ni Allah,na Mimi nawahukumu wale ambao walisha hukumiwa na Allah kwa mujibu Quran na suna.

  • @CheniShauri
    @CheniShauri Před měsícem +2

    Ahllwa awahifadhi mashehe wetu hakika uko sahihi na Ahlwa akupe nguvu ya kulingania Umah!

  • @ImamuDossa
    @ImamuDossa Před měsícem +3

    Wallahi tumekuelewa sheikh.Jazaakallahu khairan.

  • @hawa6052
    @hawa6052 Před měsícem

    Tabarakallah

  • @mubaarakellofiy
    @mubaarakellofiy Před měsícem +1

    Bachu ekeni munadhara , nikashi

  • @MahamuduMdoe
    @MahamuduMdoe Před měsícem

    Allah yahfadhka

  • @fatmasuleiman2710
    @fatmasuleiman2710 Před měsícem +2

    MashaaAllah Allah akuhifadhi.

  • @shabanikibene344
    @shabanikibene344 Před měsícem +2

    Mashaallah allah akuzidishie elimu ili umma unufaike

  • @suleimanadim6522
    @suleimanadim6522 Před měsícem

    Hapo Bachu umechemka tupe aya ya QUR-AN INGEKUWA AMEMUONA ALLAH TUNGEELEZWA KATIKA QUR-AN

    • @dullahmihuri
      @dullahmihuri Před měsícem

      Yaani mtu kama ww usishagae sio shia... ila chuki zako tu maskin zinakufanya umsapoti shia

    • @dulividuli5237
      @dulividuli5237 Před měsícem

      Basi na yote aliyofanya na aliosimulia Mtume yangeliingizwa kwnye Qur'an ili muamini.

    • @husnajuma-md2uj
      @husnajuma-md2uj Před měsícem

      Wataka Aya sikiliza maudhui

    • @suleimanadim6522
      @suleimanadim6522 Před měsícem

      Misiba mkubwa uliokuwepo nikua hatutaki kusoma tunataka tu kuburuzwa soma ALLAH SURA YA MWANZO AMETUAMRISHA TUSOME ILI TUSIWE WAJINGA SASA QUR_AN INAKATAA WW UNANIAMBIA NISIKILIZE MAUDHUI MM SIANGALII NANI KASEMA ILA NN KASEMA MADHEHEBU MM HAYANIHUSU MADHEHEBU YANGU NI LAILALA HAILLAH MUHAMMAD RASULU ALLAH QUR_AN NA SUNATUL RASULU ALLAH SAW NDIO TUNAFUATA HUO UPOTOFU WA MADHEHEBU NI MAMBO YA MAYAHUDI NA MANASARA

    • @medimisi6930
      @medimisi6930 Před 16 dny

      SIKILIZA VIZURI HAYO MAWAIDHA NDIPO UONGEE. anachopinga bachu kwamba ALLAH hajawahi kuonekana kwa macho.. sasa ww unaongea nn

  • @abdulmajidabdulqadir2004
    @abdulmajidabdulqadir2004 Před měsícem

    Wewe unasoma kitabu hapo unatumia nini kuona usizunguke mfano unao hapo Mtume ni mtukufu Mungu muweza wa kila jambo hakuna lisilo wezekana kwa wao Mungu na kipenz acha wivu

  • @abdallahshabani710
    @abdallahshabani710 Před měsícem

    MashaaAllah Tabarakallah m ni mtu wa Maulid but nimefurah kwa elimu ila mashiiiia 😂

  • @PrinceSindayigaya
    @PrinceSindayigaya Před 4 dny

    Mna shambuliyaga kwa mawulidi ivi hata mumsha mbuliye aje kwa kweli hapa mme kwama shiriki yina one kana wazi wazi

  • @user-qs6pm6zi4g
    @user-qs6pm6zi4g Před měsícem

    Wallah sheikh wangu nimekuelewa, tena sana,Alhamdulillah Allah akulipe ziada,,,ya wema

  • @user-oc8uo9rl3u
    @user-oc8uo9rl3u Před měsícem +1

    MNAPINGA MAULID KWASABABU HAKUNA USHAHIDI WA AYA ILA MNAKUBALI MAMBO YA AQIDA MAKUBWA KAMA HAYA BILA YA USHAHIDI WA AYA.

    • @YahyaYahya-vp2pp
      @YahyaYahya-vp2pp Před měsícem

      Lete maulid kweny hadith yoyote or swahaba wowote or karne 3 bora ili tujue kama yapo kwenye dini... Emu niambe asa ndugu maulid asili yake yametoka wapi?

  • @hawa6052
    @hawa6052 Před měsícem

    Mimi toka nione klipu Shia anamtukana Mama Wa waumini Aysha nawachukia

  • @thelaoban6236
    @thelaoban6236 Před měsícem +1

    Mashia Golo wana shidaa sana hawa

  • @abuuyunusnassor446
    @abuuyunusnassor446 Před měsícem +1

    Mtu akisoma vitabu vya Ibnu Taymiyyah lazima awe makini kwasababu anataja mambo mengi katika mada moja pamoja na kunukuu kauli za wanachuon wengine.

  • @MasoudChoum-pp1ob
    @MasoudChoum-pp1ob Před měsícem

    Allah akabar

  • @Sidrasidra636
    @Sidrasidra636 Před měsícem +3

    Mashia alo kuja kuwadanganya wainuwe kichwa nani?😢

  • @babatidaawa6550
    @babatidaawa6550 Před měsícem +2

    Shia golo safari hii amekutana nacho ahahaha mbona atakoma

  • @HashimSalim-qj7zn
    @HashimSalim-qj7zn Před měsícem

    DUH LEO SHIA KAVULIWA KILEMBA

  • @allymbarouk5362
    @allymbarouk5362 Před měsícem

    Aya za Quran zipo wazi, bado mashekh wanazunguka zungumka
    Allah haonekani

  • @aminuddinwacate
    @aminuddinwacate Před měsícem

    Nadhani tatizo kubwa baina ya mashekh kwenye mambo wanayotofautiana ni kuchukua maneno ya mwenzie anavyofikiri mwenzie alisema kumbe sivyo.
    Hata hawa mashekhe wa Kisalafi na Wahabi wanayachukulia maneno ya Kisufi kwa maana ambayo wengine hawakusema kubishana hoja zao.

  • @HashimSalim-qj7zn
    @HashimSalim-qj7zn Před měsícem

    HUYO SHIA HATA AJE TENA HATUMSIKILIZI NA TUTAMUONA NI MWEHU TU ILA MSHIKE MPAKA AOMBE RADHI

  • @Nuru_ya_sunnah.official
    @Nuru_ya_sunnah.official Před měsícem

    😂😂😂huyu shafi sjui haelewi nini. dah yan ni mnafiki mpaka anakera

  • @YahyaYahya-vp2pp
    @YahyaYahya-vp2pp Před měsícem +3

    Hapa lazima shia apate wazimu maana hizo hoja zake unavyo zivunja sio mchezo.. Cjui kama atarud tena

  • @lubuva708
    @lubuva708 Před měsícem +1

    حياك الله أطال الله عمرك

  • @AnubakarAli
    @AnubakarAli Před měsícem

    Naomba shartti za hutba zikonnga na je mwenyekuacha shartti ibadayake huaje naombajibu

  • @abdallahmakule-bj9pn
    @abdallahmakule-bj9pn Před měsícem

    Shekhe Bachi mi binafsi nimekuelewa na nimegundua Kya naishia waongo Saidi ya ibilisi na nawaomba waislam wajihazar na mashia kwani hawana ukweli hata kidogo

  • @abdulmajidabdulqadir2004
    @abdulmajidabdulqadir2004 Před měsícem

    Kipi kinacho ona katika kiungo cha binadamu kama sio jicho mm najua kila kiungo kina kazi yake😅

  • @engraita5059
    @engraita5059 Před měsícem

    Hawa Mashia wamezoea talbiis.. Wamezoea ubabaishaji.. Wanapokutana na watu wasiojua elimu kwa undani wanawachota kama maji.

  • @king-uw8ju
    @king-uw8ju Před měsícem

    Shia Golòòooo😅

  • @OmmyJames-xn7ji
    @OmmyJames-xn7ji Před měsícem

    SHIA NI MASHETANI KULIKO SHETANI MWENYEWE WORSE THAN MAYAHUDI 😢😢😢

  • @AnubakarAli
    @AnubakarAli Před měsícem

    Shartti za ijumaa

  • @hawa6052
    @hawa6052 Před měsícem

    Kwani Washia mbona mnalazimisha kupotosha watu?

  • @user-pu2uw2ib5y
    @user-pu2uw2ib5y Před měsícem

    Hoja ikiwa ibnuttaimiyah anasema km mtume kamuona Allah akiwa na sura ya kijana sasa ikiwa mtume alimuona Allah kwa hali yeyote ile ndotoni au kawaida basi juwa huo ni wahyi sasa je ni kweli km mtume alimuona Allah akiwa na sura ya mwanadam????? Je iyo hadithi ni sahihi kwa mujibu wa mawahabi kutoka kwa padri wao ibnuttaimiyah?

  • @user-iu3me2sm2h
    @user-iu3me2sm2h Před měsícem

    Ostadhi hojaiyo ishafahamika na sisi tushapta ukweli sasa itafute hoja yke nyngine alomsingizia sheikh utueleweahe.

  • @AllyAhmad-zg2yp
    @AllyAhmad-zg2yp Před měsícem +6

    Shia koko😂😂😂😂😂

  • @ramadhansaid778
    @ramadhansaid778 Před měsícem

    Uongo ni miongoni (TAQIA) mwa msingi ya dini ya USHIA

  • @hawa6052
    @hawa6052 Před měsícem

    Shia badilikeni halafu naona mnasujudu kwenye kijiwe kidogo hiyo nayo ni nini We Shia utuelimishe ebu

  • @hassanWanjiku
    @hassanWanjiku Před měsícem +1

    Assalaam alaikum ustadh wape dawa Hawa mashia inshaallah na Allah mjuzi kwa haya unayoyafanya ni kwa iklas na wakikosa majibu wasilimu na wafanye tawba kwa Allah kwa kumzulia yy na mtume wake

  • @abdulmajidabdulqadir2004
    @abdulmajidabdulqadir2004 Před měsícem

    Wewe huwez kuwahukumu watu jihukumu wewe mwenyewe na balaaa yako

  • @khairatsaid-zu3hd
    @khairatsaid-zu3hd Před měsícem

    Mm bado sjaelewa malengo yenu naomba mnieleweshe mna malengo gani

    • @jumamohamed3168
      @jumamohamed3168 Před měsícem

      Wewe hujamuelewa muda wote huo anaofafanua na kuelezea jambo ,hukua na lengo la kujifunza na kuelewa .

    • @hawa6052
      @hawa6052 Před měsícem

      Kwa masaada shia anasema Mtume kamuona Allah kwa macho na mtoto wa Bachu anatolea maelezo

  • @HashimSalim-qj7zn
    @HashimSalim-qj7zn Před měsícem

    UZURI WA MAMBO HUKUMCHEREWESHEA BAADA YA KUSHUKA YEYE TU UMEPANDA INAONESHA UKO VZR BACHU MUNGU AKUEKE

  • @AbuuAnuwar-ip7dr
    @AbuuAnuwar-ip7dr Před měsícem

    Walisomea mabishano2 ila mashekhe wenye hekma zao naelimu zajuu wako kimyaa navinywa vyao vikitamka2 maneno huwaathiri watu sio porojo

  • @iddimutua420
    @iddimutua420 Před měsícem +8

    Mimi kama kuna kiumbe ninacho kichukia hivi sasa baada ya iblis na firaun ni huyo Shaffii Basalim Dajjal mkubwa sana huyo.

  • @xxl5239
    @xxl5239 Před měsícem

    Sheikh Bachu nataka kuuliza kidogo.
    Hadithi isemayo نور أنى أراه illa hapo ya kutoonekana Allah ni kwamba yeye ni NURU.
    Sasa inapothibitishwa kuonekana Allah siku ya kiama hile sifa ya kuwa yeye ni NURU itaondoka ili aonekane?????

  • @user-rp4eb5xw1z
    @user-rp4eb5xw1z Před měsícem +2

    Inapokuja haki bac batul inakaaa kando

  • @HamadHamduni
    @HamadHamduni Před měsícem +2

    Hao viongozi wa bakwata wanaodai wapo kwa ajiri ya kuusimamia uislaamu na waislaamu wako wapi? Hivi hawamuoni huyo mpotoshaji shafii? Na ni ipi haswa kazi ya bakwata? Huyo shafii si wakuachwa aendee na huo upotoshaji wake wa makusudi,kwasababu iwapo ataachwa aendelee na huo upotoshaji wake,atawapotosha waislaamu wengi. Bakwata mko wapi? Hivi kweli nyie bakwata mpo kwa ajiri ya uislaamu au kwaajiri ya kuuhami ushia? Kwasababu mashia kila uchao wanaipinga quran na suna na ilihali bakwata mmenyamaza kana kwamba hamsikii! Na kibaya zaidi bado bakwata mnatuhamasisha waislaamu kua mashia ni waislaamu wenzetu!! Bakwata acheni kutuhamasisha waislaamu na umoja wa mashia,bakwata muogopeni Allah kwanza,kwa sababu ukafiri wa kishia uko wazi kwa kila muislaamu anaeamini quran na suna, na kila muislaamu anaesoma vitabu vya mashia.nyie bakwata kumbukeni kua mtaenda kuulizwa nivip mliusimamia uislaamu na waislaamu!

    • @AbuabdillahUthmaan
      @AbuabdillahUthmaan Před měsícem

      Ahsante alhiy hizi rududi ni muhimu sana lakini lakushangaza. Baadh ya watu wasio elewa wanaona sio dini. Lakini nijihadi kubwa . Allah anaipenda kumrudi dharim anaye dhulumu waja wa. Allah. Kwa kuwazushia tusichoke pamoja. Na tumuunge mkono. Kila mwenye kusimama katika jihad hii

    • @HamadHamduni
      @HamadHamduni Před měsícem

      @@AbuabdillahUthmaan inshaalakheli

  • @user-le5oi2lw7y
    @user-le5oi2lw7y Před měsícem +1

    Ww bachu hueleweki mwanzo ulipotoa hadith ya ibn h
    Abbas ulisema amemuona vip tena

    • @HashimSalim-qj7zn
      @HashimSalim-qj7zn Před měsícem

      Hujamsikiliza vzr au upo kiubishani

    • @engraita5059
      @engraita5059 Před měsícem

      Kaa usikilize vizuri.. Msikilize vizuri.. Acha kuyumbisha akili yako..

  • @abdulmajidabdulqadir2004
    @abdulmajidabdulqadir2004 Před měsícem

    Kasomeee angalia amali zako acha kuhangaika na masala huna ilmu nazo kafanye yalio kuleta duniani wewe huwez kutuelimisha sisi huna unacho wewe niulimi unakusumbua na ndo utakuchoma

  • @ImamuDossa
    @ImamuDossa Před měsícem +1

    Kweli wewe ni mjukuu wa sheikh ABDALLA Saleh Alafasy.

  • @AbuuAnuwar-ip7dr
    @AbuuAnuwar-ip7dr Před měsícem

    Mashekhe wamizozo Hawa😂😂

  • @ramygichero1016
    @ramygichero1016 Před měsícem

    Kiukweli Mawahabi ni Makafiri tu hawana jipiya

  • @ashachitemo7816
    @ashachitemo7816 Před měsícem +1

    Sijaona elimu yeyote kwa Bachu zaidi ya kuongeza mparaganyiko wa hadithi kwa hadithi zinapingana na quran na hadithi zinapingana.Hapo unazidi kumpa kumpa point na ushindi Shia Shafi

    • @Nuru_ya_sunnah.official
      @Nuru_ya_sunnah.official Před měsícem

      kwa hiyo unatakaje

    • @ashachitemo7816
      @ashachitemo7816 Před měsícem

      @@Nuru_ya_sunnah.official naona anajivua nguo Kwa kutoa hadithi zinazopingana zenyewe Kwa zenyewe na Quran inapingana na hadithi.hii inaonyesha uchache wa elimu.hakuna kiumbe yeyote Kwa mujibu wa Quran aliyewahi kumuona Allah iwe ndotoni au kwa macho ya dhahiri.

    • @OmayAlly
      @OmayAlly Před měsícem

      Allah akujalie na akuongoze ktk hak

    • @suleimanadim6522
      @suleimanadim6522 Před měsícem

      Yaani ww muelewa naona anajizonga tu

    • @MB-yq3ty
      @MB-yq3ty Před měsícem

      ​@@ashachitemo7816
      Ushindi UPI unaouzungumzia kwa Shia inaonekana unasikiliza na miguu. Unajua mzozo ulipoanzia lakini.

  • @azizayassin3623
    @azizayassin3623 Před měsícem

    Mkishamaliza michambo hya kenya wameweka paybill mara 3 na kufanikisha kupeka chakula gaza je tanzania 🇹🇿 nzima na visiwani mumeshapeleka food ama ndio uhodari wa kuchambana na kutafta views yutube ndio myajuayo🙄😪nonsense

  • @idrissaomba8803
    @idrissaomba8803 Před měsícem

    na huenda huu shia hakujua na hakuelewa kitabu hiki, shia bana

  • @saadasaleh3177
    @saadasaleh3177 Před měsícem +1

    Shia golo kasema Muhammad Bachu bado mtoto ktk elim anatambaa kisha yy anapindisha maneno haogop 😅😅😅 ulidhan icho kitab atakisom km ulivyovurunda ww. mvue vilemba ivo sasa haviwafai

    • @MB-yq3ty
      @MB-yq3ty Před měsícem

      Ni maneno yaki siasa za kibunuasi yeye mbona hasemi amesoma wapi na kwa nani.

    • @saadasaleh3177
      @saadasaleh3177 Před měsícem

      ​@@MB-yq3tyama kweli nyinyi mmefungwa masikio na macho icho kitabu alosema Shia golo ndo anokisoma Muhammad kisha mnapewa nn uko kwenye ushia Mpaka mnakataa haqq mana c bure 😅😅 tamaa mbele maut nyuma

    • @saadasaleh3177
      @saadasaleh3177 Před měsícem

      ​@@MB-yq3tykasema km kitabu anokisoma ni kitabu cha Ibnu taymia

    • @Cherehanitanzania
      @Cherehanitanzania Před měsícem

      𝗦𝗵𝗶𝗮 𝗞𝗼𝗹𝗼𝗯𝗼𝘆

    • @MB-yq3ty
      @MB-yq3ty Před měsícem

      @@saadasaleh3177
      Nimesema maneno ya kisiasa Shia kusema Bachu Mtoto mdogo kielimu unaninukuu vibaya futa hiyo SMS mm sio shia

  • @AnubakarAli
    @AnubakarAli Před měsícem

    Shkh naomba hutba ya kiswahili bidaabau so bidaa je mtumekahutubu kwalugha ganii je wewe unahutubu Kwa lughagani

  • @suleimanadim6522
    @suleimanadim6522 Před měsícem

    Sasa ikiwa hakumuona kwa mcho kamuona vp bachu umechemka hunadalili unajizonga tu

    • @MB-yq3ty
      @MB-yq3ty Před měsícem

      Unasikiliza na Miguu eti

    • @shahidumaulidi9721
      @shahidumaulidi9721 Před měsícem

      huyu nadhani anasikiliza na miguu kabisa " katika dunia hii kuna watu hua hawaelewi hata wakiambia ukweli hawataki " nikama huyu "
      Allah atuhifadhi na atujalie mwisho mwema katika haqqi biidhnillah ​@@MB-yq3ty

  • @ramygichero1016
    @ramygichero1016 Před měsícem

    Mawahabi Makelele mmeshindwa kuilinda Palestine Shia ndo anapambana Mwenye eyy alafu nyie ndo waislamu wenzenu makafiri na sisi Masunni ety tumejaa bidaa nyie ni Ubwaaa tena Manguruwe wasenge wakubwa

    • @salehrashid-fx9rq
      @salehrashid-fx9rq Před měsícem

      Guruwe mamayako, na wasenge ni babayako. Pmj na wewe kenge wee

  • @kaidiSaid-ot9nl
    @kaidiSaid-ot9nl Před měsícem

    Tufaidishe. Shekh nikweli alimuona ktk sura ya kijana au umbilegani? Nikweli madai ya huyu shia au uwongo kuhusu sura, kwakua hukutaka kufasiri hio sehemu ya tatu kama yeye alivyo acha hizo mbili za nyuma,

  • @rashidhasni2112
    @rashidhasni2112 Před měsícem +1

    Lakini pia nikushauri jaribu kutafuta vitabu vya mashia uone jinsi wanavyomzungumzia mwenyezimungu

  • @dullahmihuri
    @dullahmihuri Před měsícem

    Ndugu zangu tukiacha udhaifu wa huyu shia tukumbuke kumchangia shekh wetu Muhammad. Kama si kwa kumtumia pesa bc tuskilize haya matangazo hadi mwisho ili apate kulipwa na youtube.

    • @YahyaYahya-vp2pp
      @YahyaYahya-vp2pp Před měsícem +2

      Hapa kwel hili wazo zur hata mm nimelifikiria tuanzishen hii kampen mwisho wa mwiz huu mpatie chochote kitu kila mmoja atoe kadri ya uwezo wake.

    • @dullahmihuri
      @dullahmihuri Před měsícem

      @@YahyaYahya-vp2pp Inshallah tujitahidi kufanya hivyo

    • @hassanmohamedlaizer569
      @hassanmohamedlaizer569 Před měsícem

      ​@@dullahmihurikweli kabisa

  • @suleimanadim6522
    @suleimanadim6522 Před měsícem

    ASTAGHFIRULLAH mm sio shia wala siangalii ushia wake wala simuangalii mtu sura yake naamgalia anachosema BACHU HAPO KACHEMKA SABABU MWENYEWE ANASEMA KUA ALLAH ANAKANUSHA KATIKA QUR_AN NA MAMA AISHA AMEKATAAA KUMUONA NI KUMUONA TU IKIWA NDOTO AU SASA WW UNAUHURU WAKO KAMA UNATIZAMA SURA HIO NI WW

    • @MB-yq3ty
      @MB-yq3ty Před měsícem +1

      Sio lazima uelewe leo maana hata IQ Zinayofautiana mithili ya mwendo wa Magari. Na suala la kusema wewe sio shia kuna mtu alikuuliza au umeamua ukitunuku taabu tu.

    • @salehrashid-fx9rq
      @salehrashid-fx9rq Před měsícem

      @mb, u r right

  • @user-pu2uw2ib5y
    @user-pu2uw2ib5y Před měsícem

    Mashia ni waislam bali mawahabi ndio makafiri sasa wewe unamwambia Shafii aje aslimu sasa je Shia na wahabi nani yupo kwenye kufru? Jamhuril ulamaa wamesema ibnuttaimiyah km ibnuttaimiyah ni kafiri na maulamaa hawajawakufurisha mashia

    • @hudhaifahsadru-xr2gg
      @hudhaifahsadru-xr2gg Před měsícem +1

      Tumekuzoea na wew kwa uongo, mada nying huwa unacomment utumbo, Allah akuongoze

    • @user-pu2uw2ib5y
      @user-pu2uw2ib5y Před měsícem

      @@hudhaifahsadru-xr2gg...
      Waongo ni mawahabi (wakristo no 2) vitabu vyao vimejaa uongo na itikadi za kikristo za kumfananisha Allah na mwanadam

    • @dulividuli5237
      @dulividuli5237 Před měsícem

      ​@@user-pu2uw2ib5ywapi kafananishwa Allah na mwanadamu?

    • @user-pu2uw2ib5y
      @user-pu2uw2ib5y Před měsícem

      @@dulividuli5237... Hujasoma vitabu vyenu vya kiwahabi na ndio maana ukasema ivo! Anasema ibnul kayyim. Allah ana mikino 2 miguu 2 na kila mmoja una vidole 5 pia Allah amekaa kitako juu ya arshi na miguu yake ameeka juu ya kursiyyu na pia amebebwa na malaika mzega zega nk je wewe unayaamini hayo? Je huko si ndio kumfananisha Allah na mwanadam?

    • @hudhaifahsadru-xr2gg
      @hudhaifahsadru-xr2gg Před měsícem

      Fahamu yako huenda Ni ndogo, ndo maana huelewi