Video není dostupné.
Omlouváme se.

KIVULI CHA MTUME HAKIONEKANI KWENYE JUA NA MWEZI ?? || Muhammad Bachu || 23/11/2023.

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 19. 08. 2024

Komentáře • 138

  • @muniraally4091
    @muniraally4091 Před 8 měsíci +6

    Ibn Nassor Allah akuhifadhi pia akuandal i e pepo wanasikia waskie wanaokubali wakubali Allah akujaalie uzidi kutufungua fahamu asotia fahamu sasa anajidai tuuuu lkn yako wazi kama unavofafanua asokubali anajitoa fahamu tuuu

  • @abasijuma6989
    @abasijuma6989 Před 8 měsíci +10

    Kumbemtume wetu amesingiziwa mengi mno na hawa wanaoitwa eti watu wa twarika twarika gan hiyo kumsingizia mtume

  • @saadasaleh3177
    @saadasaleh3177 Před 9 měsíci +5

    Allah akuhifadhi Sheikh Muhammad na akupe siha njema tuzidi kunafaika nawe, na Allah kamwe hayupo pamoja na madhwalim, Allah atunusuru kua miongon mwao

  • @asedikombo4609
    @asedikombo4609 Před 8 měsíci +5

    Mashalw mungu akulinde najicho lahusd

  • @tausikhitentya3357
    @tausikhitentya3357 Před 8 měsíci +6

    Shekhe bachu we kiboko ya wazushi allah akupe hifadhi ya juu ktk maneno ya allah

    • @seydouside4081
      @seydouside4081 Před 8 měsíci

      Wakubwa kama bachu anakosea aya hiyo IPO inappsomwa kama kama wewe unatafsri nyengine mnamkosoa kwa aya hiyo hiyo..na sisi tusio juwa tujuwe..mkimkanusha bachu kwa kumkataa wewe sisi tusio juwa tutajuwaje pas na ayaya kukanusha

  • @tausikhitentya3357
    @tausikhitentya3357 Před 8 měsíci +4

    Asalam alaikum shekhe Muhammad bachu ,allah akukinge na shary , pia naomba kuasiliana nawe inshaallah namengi ya kuongea b idhinillah

  • @OmarAlly-iz8ot
    @OmarAlly-iz8ot Před 8 měsíci +3

    Shukran mwalimu mtafiti na mwenye kufanya taaswiil ktk mas ala, wataelewa tu

  • @ishakakhalid
    @ishakakhalid Před 9 měsíci +8

    wa kwanza mimi.
    Asante sana Muhammad bachu. ❤❤

    • @mosesmngome1357
      @mosesmngome1357 Před 8 měsíci

      Tumekuchoka Wacha usenge Kaa chino usome kwanza

    • @mosesmngome1357
      @mosesmngome1357 Před 8 měsíci

      Soma kwanza dog Wacha uchoko tumekuchoka huku mitandaoni

    • @mosesmngome1357
      @mosesmngome1357 Před 8 měsíci

      Alafu asielewa chochote akikusikiliza na huo muonekano ulionao mtu anaweza kuja shekh kweri kumbe muuza mirungi wa zanzibar

  • @OmarAlly-iz8ot
    @OmarAlly-iz8ot Před 8 měsíci +5

    Masufi ndio muelewe kua hamujuwi kitu, nahuyu munae mdharau ndie anae kufundisheni, huyu ni mwalimu kwenu

    • @fikafikan8484
      @fikafikan8484 Před 8 měsíci

      Huyo ni mwalimu wawajinga kama nyinyi huyu bachu hamjui mtume s a w wala hana heshima na mtume s a w

  • @khamisisima711
    @khamisisima711 Před 9 měsíci +3

    Jazaak Allah khair
    Allah akuhifadhi shaikh Muhammad Bacho

  • @salimbaalwy9388
    @salimbaalwy9388 Před 7 měsíci +1

    ALLAAH YAHFADHK YAA AKHIL HABIYB

  • @ayyamirubba5226
    @ayyamirubba5226 Před 9 měsíci +3

    Jazaaka llahu khayra...wa fadhaka llahu.

  • @nassirzamzam9312
    @nassirzamzam9312 Před 8 měsíci +2

    This world when a man dedicates him self to faith and dawah work, his life as a result becomes one of toil and struggle.

  • @DiudaKozi-qu8sl
    @DiudaKozi-qu8sl Před 8 měsíci +3

    Sheikh Muhammad bachu unayotuambia kuwa ya uongo ni haqi.Hayo yote masufi na Mashia wameshindwa kutubainisha Kwa Hadith sahihi.masufi wamekuwa wanayakoroga tu mazungumzo Yao kama mseto au bilau

  • @NdongaKichwa-hz7jf
    @NdongaKichwa-hz7jf Před 9 měsíci +7

    Wakwaza jamani shabiki wa shekhe bachu naomba tumuombee duwa shekhe wetu

    • @saadasaleh3177
      @saadasaleh3177 Před 9 měsíci +6

      Allah amhifadhi

    • @NdongaKichwa-hz7jf
      @NdongaKichwa-hz7jf Před 9 měsíci

      @@saadasaleh3177 Amni

    • @abdulmohd6880
      @abdulmohd6880 Před 9 měsíci +3

      Shabiki?

    • @wardinizuri
      @wardinizuri Před 8 měsíci

      Ameen

    • @NdongaKichwa-hz7jf
      @NdongaKichwa-hz7jf Před 8 měsíci

      @@abdulmohd6880 yap kwani wapo washabiki wa mpira mashabiki wamuziki mashabiki wakamari sasa mimi kuna tatizo gani kuwa shabiki wa mcha Mungu shekhe Bachu Mungu amuhifazi

  • @jumasalim6126
    @jumasalim6126 Před 8 měsíci +2

    Kajisomea mwenyewe, hakusomeshw haya ni maneno ya Walid, jibuni hoja wanyama waliongea nani alikua anajua lugha za wanyama wakati huo chukueni elimu hapa kwa Bachu sio kinanda.

  • @silimakhamis7088
    @silimakhamis7088 Před 9 měsíci +2

    Ahsant,tunaomba uchambuzi juu ya kauli ya mashekh wanaosema "Mtume atakujakaa kwenye arshi na Allah siku ya kiama?" Tafadhali shekh ufafanuzi

    • @wardinizuri
      @wardinizuri Před 8 měsíci

      Tulia kama moja, alokwambia hiyo ni kauli ya ibnu taymiyya ni nani? Kama hujui kusoma vitabu uliza kwanza. Ibn taymiyya amesema Kuna watu wamesema Kisha akabainisha kuwa Kila mtu kauli yake yeza chukuliwa au kuwatwa. Sasa unataka ufafanuzi Gani?

  • @fatmasuleiman2710
    @fatmasuleiman2710 Před 8 měsíci +2

    Mimi nashangazwa na watu WA twarika,mwailimishwa lkn washupavu sanaa, sikilizeni muilimike anaongea haki,msema kweli ni kipezi cha Allah,wengi wamerudi nyuma Kwa nn nyie washindani sanaa .wakti unaenda na umri unapunguwa fursa dhahabia itumieni ,Allah akuhifadh bachu hao wanakuamdama lkn hta wasikutie joto ww songa mbele Sisi twakuskiliza.

    • @fikafikan8484
      @fikafikan8484 Před 8 měsíci

      Tusikize chizi ww una wazimu msikize ww chizi mwenzako

    • @AliDaud-si3fg
      @AliDaud-si3fg Před 8 měsíci +1

      ​@@fikafikan8484Sunna ya mtume wetu hio ﷺ

  • @shabanbareh3824
    @shabanbareh3824 Před 8 měsíci +3

    Lkn mtume hana kinyongo kama vile ww ulivyo na kinyongo mtume ametakasika ndio maana kila akitwaja lazima tumswalie S.A.w

    • @johariabdalla3319
      @johariabdalla3319 Před 8 měsíci +5

      Tatizo sio kutakasika,au kumsalia mtume,hukukatazwa kumsalia mtume,munakatazwa kumzulia mtume kwa mambo ambayo hayakustahili au kumzushia baadhi ya mambo

  • @somosomo4860
    @somosomo4860 Před 6 měsíci

    Shekhe:kuna aya za Quran aikushuka Ardini wala Binguni,ambaye ni aya sita.tafuta Mwalimu wako akufunze utafahamu.asante.

  • @nouhamour545
    @nouhamour545 Před 8 měsíci +4

    al akhy yaani kila ninapokusikiliza naona ufahamu wako uko na shida sana na bado unamchukulia poa sana mtume, yes mtume ni kama sisi kama mifano unayotoa juu ya kuhisi mambo sababu yuko na nafsi ila daraja yake ina vitu extra ambazo kwa akili ya kawaida huwezi elewa jaribu kuifuata elimu kwa hao wanaomuelezea mtume kisha ndio utoe darsa ila hivihivi naona unaoata tabu kumuelewa mtume na watu wa twariqa

    • @badrudinsalum3139
      @badrudinsalum3139 Před 8 měsíci +2

      Kwa hiyo kwa kuwa mtume ni mtukufu kiliko viumbe vyote ndo mumpe sifa za uongo ambazo si zake?

    • @AliDaud-si3fg
      @AliDaud-si3fg Před 8 měsíci +1

      msikilize bachu, usimuangalie bachu. maana unachokizungumza tyr bachu ameshakizungumza zamani. Allaah akufahamishe

  • @mohamedumri4176
    @mohamedumri4176 Před 8 měsíci +2

    SHEKHE WANGU NAKUOMBA UKITAJA KITABU SOMA KITABU.
    USITUSOME GOOGLE.
    HIYO GOOGLE NDIO ILIKUABISHA UKIWA NA USTADH SAID.

  • @salimchimwaga8384
    @salimchimwaga8384 Před 8 měsíci +1

    جاء الإسلام غريبا وسوف يعود غريبا كما بدأ.
    Allah tujaalie waja wako mwisho mwema.

  • @DiudaKozi-qu8sl
    @DiudaKozi-qu8sl Před 8 měsíci +2

    Kweli ndo unaouma sheikh Muhammad bachu endelea kulingania Nia yako anaeijua Allah sio hao wajinga wa kisufi na Mashia.Usiache kutuambia ukweli sheikh Muhammad bachu

  • @shabanbareh3824
    @shabanbareh3824 Před 8 měsíci +4

    Wapi hadhithi imeandikwa ikaitwa uongo sababu sisi tunakuskia ww ukisema uongo
    Uongo n maneno yako ww bachu lkn
    Cjaona hapo hadhithi imeitwa oungo

  • @alwymohammed2460
    @alwymohammed2460 Před 8 měsíci +2

    Ww bachu ni hasidi hii neema ya utukufu ya utumi hukuipata ww ndio maana unakanusha

  • @fikafikan8484
    @fikafikan8484 Před 8 měsíci +1

    Mrongo ww bachu mtume s a w ni kiumbe bora kuliko sote binadamu na mtume s a w alikua akitembea kiwingu cha mfuta kikimkinga na jua tena hapo hajapewa utume ww bachu kua na hishima na mtume s a w ww chunga mpotofu mkubwa ww

  • @abasijuma6989
    @abasijuma6989 Před 8 měsíci +2

    Natamani niwe mwanafunzi wako shekh sema nipo mbali tu l

  • @alwymohammed2460
    @alwymohammed2460 Před 8 měsíci +1

    Usitusumbue ww suali moja lilikushinda na mpaka leo hutaki kulijibu hulijui na hutaki kusema sijui

  • @issamohammednassor8688
    @issamohammednassor8688 Před 8 měsíci +2

    Shika adabu yako mtume Akamtamani mtu we umesikia wapi hii kauli pimbi we hem kua na hishima kwa mtjme SAW

    • @idisaidi287
      @idisaidi287 Před 8 měsíci

      Hujuwi kiswahili

    • @wardinizuri
      @wardinizuri Před 8 měsíci +2

      Kamshikishe adabu baba Yako mpumbavu wewe, kama Mtume hatamani basi huyo si binaadamu, nyinyi masufi Muna nini lakini kwenye vitwa vyenu?

    • @suleymansalim5732
      @suleymansalim5732 Před 8 měsíci +2

      Kwahiyo wake zake hawakua wanawake??hawezi kuwa na matamanio nao hajazaa hafurahii kuishi na wakeze yani ulitaka awe mwanamke gani ndo awe mwanamke????

    • @badrudinsalum3139
      @badrudinsalum3139 Před 8 měsíci +1

      Yaani wewe ndo hujielewi kabisaaa, Kama hakuwa anatamani sasa wale wake wote aliowaoa walikuwa ni urembo tu ndani ama?, na mbona baadhi yao alizaa nao au hao watoto alisingiziwa?

  • @shabanbareh3824
    @shabanbareh3824 Před 8 měsíci +3

    Kwani buch ulipoambiwa quran n nuru ulifahamu vp kwa sababu kwenye haitoi mwangaza kutokana na ilimu yako ww

    • @AliDaud-si3fg
      @AliDaud-si3fg Před 8 měsíci

      Kw vile ulishamtoa thamani bachu bac hata husikii anachokifundisha.
      Nyinyi hammaanishi NURU KUA NI UONGOFU TU BALI YEYE MWENYEWE AMEUMBWA KWA HIO NURU NA PIA ANAMURIKA KULIKO JUA KIASI YA KWAMBA KIVULI CHAKE HAKITOKEI ANAPOMURIKWA NA JUA

    • @zeitunMohammed
      @zeitunMohammed Před 8 měsíci

      Acheni kumtetea bhachu kwani siye alienda kuongea na paka kuuliza Kama Wana habari mtume kazaliwa,fahamu zake ni hizitu akickia qurani ni Nuru anataka kuituma ucku hiyo Nuru imsaidie gizani

  • @IsmailiallyIsmaili
    @IsmailiallyIsmaili Před 8 měsíci

    Ww kausisome2 bachu

  • @mohamedbadi7742
    @mohamedbadi7742 Před 8 měsíci +1

    Asalamu aleykum warahmatu llahi wabarakaatuh Ninaombi langu kwa wasomi wa twariqa Huyu bwana haya mambo yote aliyo yasema ni yauwongo Na nyinyi munadai ni yaukweli Basi twaomba na nyinyi tuelezeni kua haya niyaukweli kwa dalili hii nahii Aya ama hadithi swahihi kama niyasawa tujulisheni kwa Dalili tutawasikia HAATUU BURHAANAKUM IN KUNTUM SWAADIQIIN (NI MAOMBI YANGU NAOMBA KWA INSWAAF MUTUILIMISHE NAYINYI)

    • @mybabyarchive2104
      @mybabyarchive2104 Před 8 měsíci

      Arudi kwenye ile meza tumueleza ana kwa ana tunataka tumueleze hadharani na yeye akiwemo

    • @badrudinsalum3139
      @badrudinsalum3139 Před 8 měsíci

      @@mybabyarchive2104 Halafu mng'ang'anie tena kwenye swali lilelile hamna kubanduka kama ruba vile?

    • @badrudinsalum3139
      @badrudinsalum3139 Před 8 měsíci

      @@osmanmanbile9327 Kama mtu (s a w) hakuwa kama sisi kumbe alikuwa kama nani, Maila ama Majini?

    • @badrudinsalum3139
      @badrudinsalum3139 Před 8 měsíci

      @@osmanmanbile9327 Hakuna anayekataa kuwa Mtume (s a w) ni mtukufu wa daraja na ni mbora wa viumbe, lakini pamoja na hayo yeye ni binadamu kama sisi, amezaliwa, anakula, anakunywa, anakidhi haja, anamatamanio na alikuwa anawaendea wake zake na alikuwa ana watoto pia, anaugua na anapatwa na umauti kama binadamu wengine walivyo, na do maana yeye mwenyewe aliwaambia maswahaba zake kuwa (mimi ni binadamu kama ninyi, ninasahau kama mnavyosahau, nikisahau basi nikumbusheni). Tatizo lenu ninyi mnamzidishia sifa ambazo si zake mpaka mnavuka mipaka. Kama Mtume (s a w) hakuwa kama sisi basi tuambieni alikuwa Malaika, Jini ama nani?

  • @fikafikan8484
    @fikafikan8484 Před 8 měsíci +2

    Wacha ujinga bachu mtume s a w tutamsifu na mtume s a w ni nuru na ni rehma kwetu

    • @madhuru2554
      @madhuru2554 Před 8 měsíci +1

      Allah Nuru samawati wal arth

    • @thefoodshaikh811
      @thefoodshaikh811 Před 8 měsíci

      Allahu nuru ssamawati wal ardh, mathali nurihi ka misbaah

  • @user-jl6pd1yp1n
    @user-jl6pd1yp1n Před 8 měsíci

    We bachu utakutana na ALLAH

  • @ashachitemo7816
    @ashachitemo7816 Před 8 měsíci +1

    Hadithi ya mwisho ya mtume muhammad aliyoitoa mke wake kuhusu kuona kivuli cha mumewe umesema ni dhaifu ila umeitumia ili kujenga hoja yako kwamba nabii muhammad ana kivuli.Hivi si tulishakubaliana kwamba hadithi dhaifu hazifai kutumika na wewe mwenyewe ulitoa elimu hiyo?nimegundua wewe una matatizo ya akili.Unapinga hadithi dhaifu halafu hadithi dhaifu nyingine unazitumia ili kujenga hoja zako.Wewe ni mpotoshaji.

    • @Hawanalugha
      @Hawanalugha Před 8 měsíci

      ww hujielewi hem sikiliza vzur kwanza unaongea ata hujielewi bwana msikilize vzur shekh au huelewi ww

  • @hamdanhamdudy2864
    @hamdanhamdudy2864 Před 9 měsíci +2

    We wajua huna KAZI ya kufanya hata ushatukirihisha Bana kuna mambo mingi ya kuongelewa kwenye dunia hii ya Leo na umma wa kiislamu waangamia wewe unkazana kushindana na hawa watu wa maulidi kama kweli Una ilmu kweli na ni shekhe kweli ongea mambo ya muhimu Bana watukirihisha tunchoka tunchoka

    • @saadasaleh3177
      @saadasaleh3177 Před 9 měsíci +1

      We unatak ummah ufundishwe vp km maulid bidaa kuufundisha ummah ucfate bidaa kazi ndogo io bc usiskilize km umechoka kisha utajuana ww na mola wako hio cku ya cku

    • @wardinizuri
      @wardinizuri Před 9 měsíci +3

      @hamdanhamdudy kwani umeambiwa na nini uje usikilize, nyinyi masufi mna hashuo sana, mnajifanya hamumpendi Bachu lakini Kila video mnakuja kuiangali, na munafaidika kichizi lakini hamtaki kusema tu.😂

    • @NdongaKichwa-hz7jf
      @NdongaKichwa-hz7jf Před 9 měsíci +2

      Mungu amlinde shekhe wetu na mahasdi kama hawa wanocomment utumbo

    • @saidsobongo912
      @saidsobongo912 Před 9 měsíci +1

      😂😂😂😂😂😂 eti kunamamb mengi yepi sasa😂😂😂

    • @suleymansalim5732
      @suleymansalim5732 Před 9 měsíci +2

      😂😂sasa hayo mengi si unayajua tayar au yapi

  • @iddswalehomar1323
    @iddswalehomar1323 Před 8 měsíci

    Yani ww ulitaka kumbana mwenzako munkar munkar dhaifu Leo ww ndio wazitaja eti zitilie nguvu kweli waswahili hawakukosea

  • @swabrianwar1020
    @swabrianwar1020 Před 7 měsíci

    bachu adui wake mkubwa ni Mtume

  • @zeitunMohammed
    @zeitunMohammed Před 8 měsíci

    Hizi comments za kumpongeza bhachu ndo inammaliza.akijiona ametosha aende Mombasa,,,,najua akimuona sheikh said roho ya enda mbio.

    • @badrudinsalum3139
      @badrudinsalum3139 Před 8 měsíci +1

      Huyo mpiga gita na vinanda mzee wa kukomaa na jambo moja tu hatoki hapohapo

    • @mybabyarchive2104
      @mybabyarchive2104 Před 8 měsíci +1

      @@badrudinsalum3139 Nyie si ndio mliotaka. Mlisema wenyewe kama swali halijajibiwa hakuna kwenda mbele

    • @badrudinsalum3139
      @badrudinsalum3139 Před 8 měsíci

      @@mybabyarchive2104 Yeye ndo alikuwa wa kwanza kuulizwa swali athibitishe kwa dalili sahihi kuwa wanyama waliongea, haya tuambie wewe huyo Said alithibitisha?

    • @badrudinsalum3139
      @badrudinsalum3139 Před 8 měsíci

      @@mybabyarchive2104 Badala ya kuthibisha yeye akauliza swali, eti kama hadithi iliyotumika ni munkar ni mwanachuoni gani amesema huyo mtu aitwe muongo? Pamoja na hayo alijibiwa kuwa yeye hajaona hiyo kauli ya mwanachuoni bado analazimisha lazima atoe kauli ya mwanachuoni

    • @badrudinsalum3139
      @badrudinsalum3139 Před 8 měsíci

      @@mybabyarchive2104 Yule Said anajua kabisa hakuna shekh yeyote duniani anayeweza kuthibitisha hayo ya Barzanj ndo maana hakujibu akatafuta swali la kujiegemeza na analazimisha ajibiwe kama anavyotaka yeye ili kukwepa fedheha

  • @jumamohamed628
    @jumamohamed628 Před 8 měsíci

    Tutajie hao wanawake waliotamaniwa na mtume,bado utwambie alizini nao kwa macho sasa,Dajjaal wewe

  • @MkindiRama-lp6hy
    @MkindiRama-lp6hy Před 8 měsíci +1

    Sheikh kubali ukasome achana na porojo kama hujui hujui tuu

    • @wardinizuri
      @wardinizuri Před 8 měsíci +2

      Ingelikuwa wewe umesoma tungekuona unasomesha, Lakini twamuona sheikh Bachu tu wewe hatukujui, Wacha mwanamme atuwe elimu swahihi, nyinyi bakieni na uongo wenu, Kisha tukutane mble ya MUNGU muone nani kasoma na nani hajasoma.

    • @user-nh2wt4yd7w
      @user-nh2wt4yd7w Před 8 měsíci +2

      Akasome ni said awache kupiga piano asome

  • @fadhilimusa9732
    @fadhilimusa9732 Před 8 měsíci

    Kila mada inayoongelewa na sheikh yoyote niyauwongo unayotoa wewe au wahabi yeyote niyaukweli ilihali elimu hamuna mutabwabwanya sana mtume ni nuru halipingiki hilo

    • @suleymansalim5732
      @suleymansalim5732 Před 8 měsíci +1

      😂😂😂😂😂kaza kichwa ndugu hao walosema hayo maneno si yeye ye ananukuu tu. Hata hao walosema ni nuru nao wamenukuu ishu nikwamba umenukuu ktk chimbuko gani je ni sahihi au sio sahihi ndo hapo wapewa mpak walosema na wnachuon wakawasema hao ni waongo sasa waje maßhekje wathibitishe ni wakweli✍🏼ikishindikan ujue ni uongo mkma wa samaki na wanyama ote kuongea mimba ilipoingia

    • @fadhilimusa9732
      @fadhilimusa9732 Před 8 měsíci

      @@suleymansalim5732 wakiristo wakiwahabi wa tauhidi 3 kilakitu uwongo danganyeni wahabi wenzenu huku ndio chimbuko la elimu hamtafaulu

  • @user-ek3zk4bx5j
    @user-ek3zk4bx5j Před 8 měsíci

    Wewe ulishakosa kazi kazi kutu potezea tu mb zetu na elimu yako ya kujisomea bila kusomeshwa

    • @AliDaud-si3fg
      @AliDaud-si3fg Před 8 měsíci +2

      Elimu ina foundtion akhy tartibu. usiwe km wakristo mpaka aseme badr.

    • @user-rb8ir9co9k
      @user-rb8ir9co9k Před 8 měsíci

      Kwani umelazimishwa kumsikiliza?

  • @user-ze7pm3ut9c
    @user-ze7pm3ut9c Před 8 měsíci

    Hiki kijamaa hakikomi aisee! Mbona akibanwa kidogo tu hujikojolea kama tulivyoona huko Mombasa ktk niqashi yake lkn bado hakomi

    • @idisaidi287
      @idisaidi287 Před 8 měsíci +1

      Hujayitwa nenda sas uko Mombasa

    • @wardinizuri
      @wardinizuri Před 8 měsíci +2

      Alojikojolea mama Yako na mke wako kama unae, mbwa wewe, tutajie mmoja tu katika hao unaowaona wewe ni Masheikh waliojibu kwa uchambuzi mzuri kama anaotowa sheikh Bachu.

    • @suleymansalim5732
      @suleymansalim5732 Před 8 měsíci +1

      ​@@wardinizurihaina haja ya matusi bhsara muhimu

    • @suleymansalim5732
      @suleymansalim5732 Před 8 měsíci +4

      Wewe unae ona SHK bachu alijikojolea umepigwa hiyo ilikua ni propa ganda naukitak kujua hakuna hata shekhe mmoja alokuwepo pale kasema hayo maneno walijifanya kujiulizisha eti hawajui kisha SHK mmoja akashika sasa swali Shekhe alishika najsi kweli? Na asijue kam ni mkojo? Hiv mkojo nikitu ambacho kitakufanya usikikue? Ile walifnya vile ili mtazamaji ndo akiri kua ni mkojo na sio wao wao hawajawahi sema hilo kwahiyo hiyo inabaki kua ni dhimma kwa msemaji ambae hakuwepo na anathibitisha ilhali walokuwepo hawakuthibitisha
      Zinduka

    • @mybabyarchive2104
      @mybabyarchive2104 Před 8 měsíci

      ni shetani

  • @NUURUL-YAQIIN.123
    @NUURUL-YAQIIN.123 Před 8 měsíci

    Ww utakufa vby sn insha Allah yetu macho tu tutaona

    • @ashrafhashim2116
      @ashrafhashim2116 Před 8 měsíci +4

      Wewe Unajua Ghaibu? Na je Wewe unajua utakavyo kufa? Muogope Allah Acha Chuki

    • @AliDaud-si3fg
      @AliDaud-si3fg Před 8 měsíci +2

      Makinika utoe hoja lkn chuki hazitokufikisha mahali. Allaah akuongoze

  • @mwalimjecha6893
    @mwalimjecha6893 Před 8 měsíci +1

    Jamaa hana majazi wala chochote. anazidi kupayuka tuuu, hajijuwi maskini, anajiona hakuna Shekhe duniani wa kumshinda yeye.

    • @wardinizuri
      @wardinizuri Před 8 měsíci

      Majazi anayo Sabab wenu, hapa ukija unapewa dalili tu, Kisha unakwenda kujiskilizia mbele kwa mbele uko

    • @badrudinsalum3139
      @badrudinsalum3139 Před 8 měsíci

      Kwani vip mbona kama mmepagawa hivi, shekh Bachu anawachoma sana nini?

  • @mohamedamiri4597
    @mohamedamiri4597 Před 8 měsíci

    Nenda ukasome wacha kujifariji

  • @issamohammednassor8688
    @issamohammednassor8688 Před 8 měsíci

    Nimejaribu kutafuta Mada ya awesu qarni ya huyu dogo wala sijakiona kuonesha huyu bado hajafanya kazi Zaid ya ufisadi tu wa kuvuruga umma

    • @idisaidi287
      @idisaidi287 Před 8 měsíci

      Nenda kwa Side boy utuachie bachu

  • @mahmudali705
    @mahmudali705 Před 9 měsíci

    Ww bachu chukia yako ni .mtume tuu jibu swali ama sema sijui

    • @suleymansalim5732
      @suleymansalim5732 Před 9 měsíci +4

      😂😂wamekupanga vzr sasa huwez kuelewa upo tu jibu swali au sema sijui sasa ktk maneno hayo jiulize yamekufaidisha nini? Muhammad bachu alisema wanyama hawakuongea na akatoa majibu kwanini hawakuongea baada ya Said kugoma kujibu. Sasa mwambie saidi majibu ya swali lake niyepi aseme . Nb:(ASIJIBU KAMA BACHU KUSEMA HAKUNA ITIFAKI HIYO) Ajibu tuone nayeye

    • @user-qm4qd8yk2x
      @user-qm4qd8yk2x Před 8 měsíci

      halafu wewe Sufi unae sema eti bachu aseme siju.i unajua wewe unajua kanuni za kuuliza? mtu silazima aseme sijui unaweza sema sijui au najua au Hilo swali la kitoto hayo yote ni aina ya majibu. bachu kashajibu Hilo swali la kitoto sasa ilikuwa ni said ajibu atoe dalili kuhusu wa nyama lakini said alionyesha uoga flani yaani hakutaka kwenda mbele ndio akashikilia hapo Kwa swali la kitoto ili mjadala usiendelee. alafu alipoona bachu amengundua Hilo swali lakitoto akalazimisha bachu aseme sijui ili apate kujipa ushindi kwa njia ya mkato. haya maneno kwa mwenye ufahamu na uadilifu ataelewa hafu unasema eti bachu Yuko na chuki na mtume wallahi hii kauli Yako inaonesha wewe hauna elmu tafuta clip za mashekh wenu kama izudin na wengine uone vile wanasema kuhusu nyinyi Sufi wadogo wadogo munaosema eti wasiosoma maulid hawampendi mtume tafuta hizo clip utaona mashekh wenu wanakuchapa wewe

    • @wardinizuri
      @wardinizuri Před 8 měsíci

      Asema hajui wakati anajuwa!!! Wewe mtoto ni chakula Cha wanaume wenzio nini?

  • @issamohammednassor8688
    @issamohammednassor8688 Před 8 měsíci +1

    Huyu jamaa simpendi ananichukiza wallah kwa sbb hana Mada kama vile baba ake alivotoa faida kwa umma ye anataka Kiki ili viewers wazidi apate kulipwa na CZcams ukitaka dunia utaipata baba

    • @ameirfaki9277
      @ameirfaki9277 Před 8 měsíci

      Tatzo elimu

    • @idisaidi287
      @idisaidi287 Před 8 měsíci +5

      Ukimchukiya wew
      ALLAH anampend kwa kusema hakki

    • @wardinizuri
      @wardinizuri Před 8 měsíci

      Wewe isss ni choko sana, hivi unadhani Mtume alikuwa hasemi ukweli? Mbona walipatikana makafiri wakamchukia kama wewe inavomchukia sheikh Bachu? Na Allah aliwaambia موتوا بغيضكم, kufeni na chuki zenu, sasa na wewe kufa na chuki zako, Kisha uone zitamdhuru ni sheikh Bachu hizo chuki zako

    • @wardinizuri
      @wardinizuri Před 8 měsíci

      Kama wewe huoni faida unakuja kufanya nini kwenye video za mwanamme wenu? Hapa tunapata faida sana tu ya kujuwa kuwa nyinyi masufi mumemfanya Mtume ni biashara kwenu, mumempakaza uongo kabla hajazaliwa mapaka kufa kwake.

    • @badrudinsalum3139
      @badrudinsalum3139 Před 8 měsíci +1

      Kama humpendi we acha bida'a au jinyonge tu ndugu yangu maana chuma bado kitaunguruma sana mpaka Aalah mwenyewe atakapokinyamazisha

  • @nouhamour545
    @nouhamour545 Před 8 měsíci

    al akhy yaani kila ninapokusikiliza naona ufahamu wako uko na shida sana na bado unamchukulia poa sana mtume, yes mtume ni kama sisi kama mifano unayotoa juu ya kuhisi mambo sababu yuko na nafsi ila daraja yake ina vitu extra ambazo kwa akili ya kawaida huwezi elewa jaribu kuifuata elimu kwa hao wanaomuelezea mtume kisha ndio utoe darsa ila hivihivi naona unaoata tabu kumuelewa mtume na watu wa twariqa