Video není dostupné.
Omlouváme se.

Raddi juu ya Uongo wa Muhammad mafuta kwa Sheikh Nassor Bachu||Muhammad Bachu.

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 18. 08. 2024

Komentáře • 236

  • @jamalturky9001
    @jamalturky9001 Před 2 lety +11

    Al Marhum Sheikh Nassor Bachu alikua anaijua manhaj hayo kabla ya wao kuzaliwa wote hao... Allah ampe. Pepo Ameen

  • @mamakemusab2011
    @mamakemusab2011 Před 2 lety +3

    Allah akupe subra sheykh Mohd bachu Ila sisi waja wa mwenyezi mungu tunamtokea ushahidi sheykh nassor bachu alikua nfano mwema na kiongozi mwema Allah amrahamu na amkunjulie akhera yake.mm kuinukia kwangu nimeyaskia mawaidha ya sheykh nassor bachu iweje wanamkashif sheykh

  • @ummatchannel4300
    @ummatchannel4300 Před 2 lety +14

    HAKUNA BID-A KUBWA INAYOTAFUNA UMMA KAMA HAYA MAKUNDI YANAYOUNDWA LEO, AMBAYO HAYAKUWAPO WAKATI WA MTUMEﷺ.

    • @universitylink
      @universitylink Před 2 lety

      Sorry typing error student not students

    • @mutomubaya
      @mutomubaya Před 2 lety +1

      Dini ya Uislamu Duniani ni Dini ya tangu zama za manabii wa Zamani. inafundisha kumuamini Allah na kumuabudu na kushikamana na kamba ya Allah bila kufarikiana.
      wanaojiita viongozi hali ya kuwa wanaongea huku wakipanda mbegu mbegu za chuki wajue mbegu hizo ndizo zinasababisha kuwapo vikundi vikundi vinavyozozana. Kwa hivyo, tuwapuuzeni

    • @cheapunderage8228
      @cheapunderage8228 Před 11 měsíci

      Ni kweli kabisa akhy…ila pamoja na yote rasulli lillah swallau alley wasam alisha tabiri atakae ishii umri mrefu ataona itlaf nyingi

  • @hamzakimaro3764
    @hamzakimaro3764 Před 2 lety +13

    SHEIKH NASSOR BACHU, NIKIPENZI CHA WANA SUNNAH KWA WAJUWAO LUGHA YA KISWAHILI,
    TUNAMUOMBA ALLAH AMRAHAMU NA AMSAMEHE MAKOSA YAKE..
    WASEMAO KWA UBAYA, HAJUI SHEIKH AU HUENDA NI UHASIDI WAO TU.
    ALLAH AWAONGOZE

    • @ibnuali6857
      @ibnuali6857 Před 2 lety

      Hakuna sheikh ninaye mpenda kama sheikh nasor bachu Allah amrahamu

    • @abuuabuu4831
      @abuuabuu4831 Před 2 lety

      @@ibnuali6857 sasa hao masalafi wamepata wapi eti wao Ndio wamemlingania?

    • @saidimadzumba2266
      @saidimadzumba2266 Před rokem

      Huyo jamaa (mafuta)ni mtaka sifa! SHEIKH Nassor Bachu amefanya daawa mzuri sana!

  • @mohagurey2214
    @mohagurey2214 Před 2 lety +4

    Wallahi this boy Mohamed Bachu is a blessed boy with knowledge, wisdom na ufasaha wa lugha. Masha Allah

    • @mutomubaya
      @mutomubaya Před 2 lety

      Pongezi kwa matamshi yako mazuri. Tuweni wakweli. Tuacheni kuvunjiana heshima

    • @ashrafseif9460
      @ashrafseif9460 Před 2 lety +1

      Lakin sheikh bacho ALLAH AMREHEM HAKUWA NA TABIA YA KUPANDA KWENYE MITANDAO NA KUSHAMBULIANA NA WATU. NI BORA KUIGA TABIA HII,

    • @ashrafseif9460
      @ashrafseif9460 Před 2 lety

      Halafu nyny mashekh mnapondana mitandaoni then ET mnaombeana hifadhi ya Allah huon mnachangannya watu

    • @ashrafseif9460
      @ashrafseif9460 Před 2 lety

      Sheh bacho aliutoa ummah ktk bidaa nying tumpe heshima yake

  • @tamashamagoma2941
    @tamashamagoma2941 Před 2 lety +2

    Allah akuhifadhi, na endelea kuelimisha umma, tunakupenda kwa ajili ya Allah shekhe Muhammad Bachu

  • @TheOthmoney
    @TheOthmoney Před 2 lety +3

    MIMI SINA ELIMU KUBWA , ILA NNACHOJUA KUWA WAISLAMU NI NDUGU! WALLAHU A'ALAM

  • @mumajadkhatwab2180
    @mumajadkhatwab2180 Před 2 lety +3

    Bila kukosea watu heshima wallahy kuna namna mzuri sana yakulinganiana ila nyinyi munapenda mizozo lau ingekuwa dini mtume ametuachia sisi saa hii bac isingefika mahali kwa midomo yenu michafu yakutupiana maneno kama nyimbo za tarab.. tumeambiwa tulinganiane kwa hikma na mawaidha mema... kisha shida kubwa ni kujigamba kuwa muko kwa haki mia fil mia ni kama mulikuwa wahyi ukiteremka...Allah atuongoze sote Amiiiin

  • @jumakumala1337
    @jumakumala1337 Před 2 lety +1

    Shukran jazzaka ALLAH kheir sheikh wangu

  • @masudbasra566
    @masudbasra566 Před 2 lety +2

    Ndugu yangu achana na watu wasioijuwa dini bachu nisheikh mzuri sana mola amrehemu

  • @hassanmohamedlaizer569
    @hassanmohamedlaizer569 Před 2 lety +5

    Ukisikia tu mlio wa maji ujue unakuja kuzima moto(unao kula thamani ya sunna) 🌊~🔥

  • @najashrk3738
    @najashrk3738 Před 2 lety +3

    Sikuzote unapousema ukweli hutofurahisha watu wenye kuongeya uwongo maaana nisawa umewazibiya njiya yao ya upotovu. Utasemwa utachukiwa nahutokaa kuwapendezesha wao..Ittaki llaha. Endeleya kutuelimisha Allah akulinde nauwaduwi wakila aina Aaamin

  • @rahmaoman5122
    @rahmaoman5122 Před 2 lety +1

    Allah akuhifadhi sheikh Muhammad bachu

  • @AW-vt9pw
    @AW-vt9pw Před 2 lety +9

    Jamani kwani kama hujamjibu si atakujibia Allah?
    Mohammed Bachu Mawaidha yako ni mazuri. Sasa kama kuna watu hawapendi kukuona katika umri ulionao na kuweza kutoa mawaidha bila kubabaika huwenda wengine hawapendezewi kutokana na ufahamu wako kuwa mkubwa kuwapita wao.
    Nakusihi waache wakubeze na wala usiwajibu, Allah atakujibia.
    Maana kama utaendelea kuwajibu kila mmoja watu watakusema vibaya na watahusudu.
    Jikinge kwa Mwenyezi Mungu kisha endelea kufanya kazi ya Allah malipo yako atakulipa ‏‏Allah.

    • @abdallahmohamed8433
      @abdallahmohamed8433 Před 2 lety

      Swadakta

    • @suleymansalim5732
      @suleymansalim5732 Před 2 lety +2

      Acha wajibiwe usiifiche haki. uovu uondolewe kwamikono au kwa kusema na kuchukia .madam uwezo wa kusema haki upo basi haifai kuificha haki ili watu wabainikiwe malipo kwa Allaahu yapo palepale na ujue kunawatu wanafaa kua ubao ili kuwasomesha wengine na tujue usahihi ni upi. Ukisema akae kimya itaonekana nishutma za ukweli kikubwa tu nikutoanza ila wakianza wajibiwe ili nao pengine wakajua haki wakaifata pengine nao hawajui wakidhan wapo sahihi. Acha tuelimishane kupitia yote haya .

    • @ahmedjuma2674
      @ahmedjuma2674 Před 2 lety

      Waache wakosowane mpaka wakaesawa

    • @AW-vt9pw
      @AW-vt9pw Před 2 lety +1

      Tujikumbushe katika clip za Marhum Sheikh Nassor Bachu

  • @abuuyunusnassor446
    @abuuyunusnassor446 Před 2 lety +3

    ni maneno ya wazi kabisa na yenye kufahamka kutoka Muhammad Nassor bachu (حفظه الله) Maa shaa Allah
    Makundi katik dini yanasababish mfarakano katik din ya Uislamu bila ya shaka

    • @abuuabuu4831
      @abuuabuu4831 Před 2 lety +1

      Hii Ndio azma ya usalafi
      Maana usalafi ni fitna ya Kushughulisha waislamu wasahau changamoto zao
      Kazi yao ni mipasho na kusutana tu

  • @zaharahassan7873
    @zaharahassan7873 Před 2 lety +3

    Asalam alykum
    Shekh wangu Mohamed bachu nakuimba utubainishie matatizo ya Shekh Qasim mafuta
    Kwa sababu Mimi nikipenzi chake kama vile wewe nikipenzi changu ktk walimu ninao fadika nao ahesnte
    Mungu atuhifadh sote

    • @neemafatu7885
      @neemafatu7885 Před 2 lety +1

      Hata mimi nashangaa sana.hawa woote ukiwasikiliza ,wanaongea SUNNA tupu.sasa kwa nini walumbana.NACHUKIA SANA.

  • @matendondambwe9527
    @matendondambwe9527 Před 2 lety +1

    Ndugu zangu wasikilizaji tusiwaige mashekh wanao tukanana kielimu wanamema mengi Sana hao wakiwa sio wachawi Wala washirikina wanadaraja kubwa mbele ya allah

  • @jumaothman9449
    @jumaothman9449 Před 2 lety

    Allah akulipe kheri. Mm nakufahamu sana sheikh wangu na nakupenda kwa ajili ya Allah.

  • @binbajoun7918
    @binbajoun7918 Před 2 lety +1

    Ahsante Allah kuhifadh azidi kukuongoza

  • @ahmedhusseinshnoor1210

    Kuna ubaya gaani kusema Alijuwa haki mishoni ya umri yake ?? Sema Alhamdulilah Kama Baba yako alikufa juu yaki rahimahullaah sheikh nasir bachu .

  • @abdul_azeez_almaamir
    @abdul_azeez_almaamir Před 2 lety +1

    الله يبارك فيك يا شيخنا

  • @rsbjvjdjgh2181
    @rsbjvjdjgh2181 Před 2 lety +2

    nimesikia sauti ya kipenzi chetu mwalimu wetu hadi machozi yananitoka Allah ampe pepo ya firdaus jirani yake awe bwana mtume S.A.W mimi napenda sana kwaajili ya Allah muhhamad bachu wavumilie tu samehe wenyewe tunajua kazi aliyo ifanya baba yako Allah ampe firdaus l aallah

  • @ummesaniyah
    @ummesaniyah Před 2 lety +1

    Huyu mafuta na salafi wenzake Wana dharau na kibri kikubwa...na hii ni ishara ya upotofu wao au misguidance. Alama yao kubwa ukosefu wa ilimu, uelewaji mdogo , ukosefu wa adabu na ukosefu wa akhlaq... Allah kawanyima hizi khair zote...
    Allah awaongoze ndugu zetu hawa...

  • @mikealeck6447
    @mikealeck6447 Před 2 lety +3

    watu wengi wanashindwa kuelewa , sheikh Nassor Bachu alikuwa elimu yke ni msaada kwa ummah, hawa wasasa elimu ni msaaada kwa ajili ya vikundi vyao na nafsi zao, huko Tanga ndio balaaa.

    • @abuukwacha2438
      @abuukwacha2438 Před 2 lety

      Maalim unashughulika na watu ambao elimu zao bado

  • @shabanijuma2085
    @shabanijuma2085 Před 2 lety +1

    Allah atakulipa Maana unafanya kazi za mitume.

  • @bacteria5184
    @bacteria5184 Před 2 lety +3

    Hawa masalafiya wanachugua mashee na kuwatoa na kuwavunjia heshima mashee wengine.kundi hili la kuwachagua mashee na kuwa na kiburi halipaswi kufuatwa.

  • @JumaShundi-tn9pf
    @JumaShundi-tn9pf Před 3 měsíci

    Assalaamu alaykum warahmatullah....
    Nasaha.
    Msiwaseme marehem wénu vibaya,
    Mtume amekataza jaman
    Dunia inakwenda wapi!?

  • @alikhamis6326
    @alikhamis6326 Před 2 lety +2

    Sina la kusema ila niseme tu wallahulmustaan 🤲🤲

  • @abdulazizi2475
    @abdulazizi2475 Před 2 lety +1

    Hakika jambo kubwa kwa wanazuoni ni kuibadilisha jamii kwenda katika wema au ni kusubiri mwanachuoni ateleze adogoshwe na kufundishwa kusoma na kuambiwa hafai
    Jamii yetu inafaidikaje na midahalo ya wenye elimu

  • @abdallahmoussa614
    @abdallahmoussa614 Před 2 lety +14

    Allah atuongoze soote na nilisha fatiliya radd nyingi tofauti kwamakini mm mBurundi ila nawez kusema Ma Sheikh wa Kisalafi wa Tanzania wanafanya kazi kubwa saana East Africa kwakuilimisha watu na kuijuwa manhaj sahihi Allah awalipe kheri kwa ilo. Imma kuusiyana na Usalafi Jadida kwakweli uyo usalafi jadida sio ambao wanao kwa ushahidi wa Sheikh Qassim Mafuta Allah amuhifadhi alio utowa kweny MUHADHARA leo baada ya sala ya Asri na ambao wanamzuliya et ni hizbi,... wameamuwatu kumwita ivyo ila Haqqi itabaki kuwa haqqi

    • @hanifatanzania7258
      @hanifatanzania7258 Před 2 lety +1

      Sana Allah awaifadhi wametutoa vumbila macho kwa mambo. Mengi saba na Nassor bachu ametu vumbua Sana mm namuelewa Sana muda mwingi na sikiliza Mawaiza yake

    • @karimulahiabdullahi6816
      @karimulahiabdullahi6816 Před 2 lety

      Nataka unambie mtu anayejiingiza kwenye mataasisi sio Hizbi? Au ushabiki unakusumbua ww

    • @abdallahmoussa614
      @abdallahmoussa614 Před 2 lety +1

      wapi uliona ushabiki kweny Dini ya Allah

    • @karimulahiabdullahi6816
      @karimulahiabdullahi6816 Před 2 lety +1

      Si ww hapo ni Shabiki wa kasim mafuta. Na mna tabia ya kuyafumbia macho maovu ya kasim mafuta lakini maovu ya wengine mnayasema mpaka kesho. Mumefitinika nyie Allaah awarudishe mahizb wote pamoja na nyie katika Haqq

    • @hanifatanzania7258
      @hanifatanzania7258 Před 2 lety +1

      @@abdallahmoussa614 ndugu yangu katika Iman kunawatu siowaelewa Dunia hata umuelekezetu vipi waoni ushabikitu na sifa pepoyao Duniani kwakusifiwa ukisimama kwenye Haki uchukiwa. Kwahiyo usibishanenao kaakimya Allah atoipa kilammoja kutoka Ana anachokitanda

  • @farajimtana123
    @farajimtana123 Před 2 lety +1

    Ila tunge jibiwa lile la Million 200 watu wange rudisha Imani ila kwa sasa ngoja tukae kwanza upande wa Sheikh QASSIM MAFUTA.

  • @hassanalbasq3160
    @hassanalbasq3160 Před 2 lety +3

    Acha kibri FUATA HAQQI NAKUNASIHI KAMA MWANAFUNZI MWENZANGU!! ACHANA NA BAHIZBI HAKIKA WATU WA HAQQI HUKAA NA WATU WA HAQQI.

  • @user-ik8xv2rl9f
    @user-ik8xv2rl9f Před 2 lety +1

    ماشاء الله 🙏🙏

    • @abuuabuu4831
      @abuuabuu4831 Před 2 lety

      Nothing to translate
      This is true colour salafy
      It's here to bring chaos in Deen

  • @adensir630
    @adensir630 Před 2 lety +1

    Mie Wallahi hakuna mtu niliuekuwa na mpenda katika walinganizi was dawa salafiyya zaidi ya Nassoro bachu رحمه الله تعالى...Naumia Sana kuona watu bado wanamuhisisha katika maswaala ya Raddi..

  • @hilmialiomar1983
    @hilmialiomar1983 Před 2 lety

    Sipendi kukuona tofauti,migongano,ugomvi baina ya Masheikh wetu.

  • @HassanHamad-rf9tq
    @HassanHamad-rf9tq Před 29 dny +1

    Muhammad mafuta huyu kijana Ana maneno machafuu Sana na anajinasibisha na usalafi ila sio salaf ni hizbu salaf Ana mdomo mchafu mnoo

  • @user-qe8xp6ii1u
    @user-qe8xp6ii1u Před 2 lety

    Wew Mohammad Bachu.
    Unashubuhaati nyingi ktk Maneno yako.Na Yaonesha Hujamakinika ktk Elimu.Na ukisema wao wana kadi Nyekundu.....!Na unamtetea Barahiyaan....!Na yaonesha Huna Uamuzi mpaka ifikie hatua ya kutaka ya kumpiga mtu Makofi.

  • @arnoldisaya2907
    @arnoldisaya2907 Před 2 lety +4

    Kajifunze kwa Dr ISLAM MOHAMEDI SALIM Huenda INSHAALLAH ukatambulika wewe ni manhaji gani maana hatukuelewi

    • @jumaothman9449
      @jumaothman9449 Před 2 lety

      Nani aende kujifunza

    • @saadiashariff5377
      @saadiashariff5377 Před 2 lety

      Mashaa Allah Allah amuhifadhj Dr islam Muhammad. Ameen thumaa Ameen

    • @mgazamhina840
      @mgazamhina840 Před 2 lety +1

      Huyo Dr.ISLAM wenzio masaraf wanampinga zipo crip za Kassim Mafuta amesema Dr.Islam sio sarafu kwasababu hauzungumzii huo usarafi

    • @Zainabnoor0087-ze
      @Zainabnoor0087-ze Před 4 měsíci

      ​@@mgazamhina840majadida wamempiga Red card DK Islam bila hoja,! kweli ujadida ni uvundo

  • @hessenomary6032
    @hessenomary6032 Před 2 lety +1

    Mropokwaji umekimbilia kulingania kabla hujawa na ilmu. Kaa chini usome ibn baachu

  • @babuumaeda7671
    @babuumaeda7671 Před 2 lety +1

    Mashekh wa Leo wote Tz muigen hekima za Nasor Bacho rehmahulau nyie wengine ni makund tu

  • @arnoldisaya2907
    @arnoldisaya2907 Před 2 lety +3

    Mbona unashilikiana mashekhe waliopinda mfano shekhe kishik

  • @ramadhanmakame6313
    @ramadhanmakame6313 Před 2 lety +2

    Muhammad Buchu ndugu yangu watafute ni kina nani walomfata sh. Nasor na akaikubali dawa.
    Nani walomfata sh. Nasoro.
    Na kutumia vitabu vya sh.Alban dalili ya mtu wa sunnah.
    Kwani kuna watu wangapi wanatumia vitabu vya watu sunnah na si katika watu wa sunnah.
    Kama huna cha kusema nyamaza sio lazima useme.

  • @salmasaady3989
    @salmasaady3989 Před 2 lety

    Wewe ni fundi unajua pambana Allah atakulipa tupe elimu shekh mtoto wa nyoka n nyoka

  • @tasliyaah
    @tasliyaah Před 2 lety +1

    Hakuna kikundi kilichotengenezwa wacha kuropoka fuatilia mambo al akh hizo ni tuhuma za uongo za barahiyani
    ALLAAH akuongoze uijue Haqq manhaj salaf
    Aamiyn

  • @ahmedseif743
    @ahmedseif743 Před 2 lety

    Shukran Maalim wetu tutavumilia INSHAALLAH

  • @mwajitajunior7633
    @mwajitajunior7633 Před 2 lety +1

    Tunakuelewaaa ndugu Sheikh Muhammad endeleaa na daawah

  • @abuuyunusnassor446
    @abuuyunusnassor446 Před 2 lety +1

    Mtihan kwa kweli Hatari

  • @husseinjuma6865
    @husseinjuma6865 Před 2 lety +1

    Usiwatwani mashekh wetu sisi tunawaheshim km tunavyo muheshim babayk

  • @AbdillahSOthman
    @AbdillahSOthman Před 2 lety +1

    Wawe na adabu katika kuwakosoa masheikh zetu. Warudi wakamsome Sheikh Nassor Allah amrehemu. Sheikh kapitia vitabu vya masheikh tofauti na zaidi Kwa Sheikh Albani.. sasa hawawanaokuja wakisema sheikh kajua Haqq mwisho wa uhai sasa yy uyo Mafuta ataijua lini. Watu wasijifanye wana elimu ili waitwe aalimu. Na wafahamu.. kuna Hukumu Mbele ya Allah nani ataonekana alisoma dini kuwafahamisha watu na nani alisom kwa kutaka aitwe yeye ni Aalimu.

  • @abubakarsaidi6658
    @abubakarsaidi6658 Před 2 lety +1

    Habar zako zimeishaa kijana rudi katk mstari ziendelee

  • @nassorsalum9110
    @nassorsalum9110 Před 2 lety

    Huyo hamjui vizuri Nassor Bachu.

  • @yousufantari8776
    @yousufantari8776 Před 2 lety

    Nyie mashehe nyote wazinguaji tuu sasa, Mmekuwa hamna kazi za kufanya kufapigana vijembe tuu.

  • @hanifatanzania7258
    @hanifatanzania7258 Před 2 lety +1

    Kwani MUNGU ndiye anaejua Kwayote she He wetu ww ungeyaachatu kwani hata wakisema kweri uwongo tu acheni sifa kwa watu takenisifa kwa Allah mmebaki kusema a mm ss hivi mnauzi kusema na

  • @hassanmohdally5217
    @hassanmohdally5217 Před 2 lety

    Mm niko na wewe mdogo wangu shekhe mohamed usirudi nyumaa wape elimu mpkaa wananyooka kwa uwezo wa allah

  • @ibrahimsiddiq4018
    @ibrahimsiddiq4018 Před 2 lety +5

    Wewe ndo urudi kwenye njia ya sawa hizbiy salafiyah ipi ya Qassim Mafuta? Usalafiyah umehuishwa na Abulfadhwil qassim mafuta kutoka kwenye u Answar Sunnah!! Yaani wewe huna unalolijua maana sisi tunajua taasisi ya Answaar Sunnah na madudu yake yooote

    • @abuuabuu4831
      @abuuabuu4831 Před 2 lety

      Huu Ndio ukweli kuhusu salafi maana ni fitna ilioingizwa kwenye dini kutubabaisha

    • @ibrahimsiddiq4018
      @ibrahimsiddiq4018 Před 2 lety

      @@abuuabuu4831 wewe mfata mkumbo Wala hujui ulisemalo na madai yako ni batwil na labda upewe udhuru wa kutofaham nini Manhaj Salafy

    • @abuuabuu4831
      @abuuabuu4831 Před 2 lety

      @@ibrahimsiddiq4018
      Manhaj Salafi ni fitna iliopandikizwa kwenye Uislamu kutushughulusha na kufanya waislamu waitane Majina mabaya
      Huwezi kudikia wanazungumzia mambo ya ghaib wala changamoto za waislamu zaidi ya kurushiana vijembe. Kusutana. Kubezana n, k
      Nassor Bachu Allah Amrehemu alikua anazungumza mambo ya Mauti. Kaburi. Qiyama n, k
      Alikua anazungumzia ubaya wa Zinaa. Riba n, k
      Lakini nyie ni mabingwa wa Kusutana

    • @ibrahimsiddiq4018
      @ibrahimsiddiq4018 Před 2 lety

      @@abuuabuu4831 hayo ndio unayoyajua kwa sabb waskiliza mihadhara tu na sio darsa... We nahisi hujui tofauti ya darsa na mihadhara. Mihadhara hio ya kuraddi hayo hayatakosa na yana asili ni misingi kutoka kwenye Qur'an!!! Allah amewaraddi Wengi katika Qur'an. Ama ukija kwenye darsa walohifadhi Qur'an, hadithi na aqeeda Sina hesabu maana ni wengi mno alhamdulillah. Hii dini lazima iende kwa kukataza na kuamrisha mema. Kuraddi ni sehem ya dini kuelimisha ni msingi wa dini kwa hio usijeghurika na mitandao njoo soma dini kaa kwenye halaqat za elimu utaelewa uhalisia

    • @abuuabuu4831
      @abuuabuu4831 Před 2 lety

      @@ibrahimsiddiq4018
      Sina muda wa kusoma mipasho na kusutana
      Nitafutie speech moja ya Nassor Bachu anakufuriaha na kulaani waislamu kama hao masheikh wenu
      Leo wanakwambia TV imaan ni Haram kesho wanakwambie sio
      Yaani hawa ni fitna kubwa Sana kazi yao ni kuchanganya ummah ili tupingane na tuuane
      Kule Somalia salafy wamewasha moto nchi na hapa Tanzania bado kidogo tutaanza kuuana kwa sababu mnapandikiza chuki sana nyie

  • @bilo1106
    @bilo1106 Před 2 lety +2

    Mm nko na miaka 43na nilianza kumsikiza shekhe nassoro bachu nikiwa na miaka 19 na tayar alikua wa alhsunna kama mtu hakubal sikizen clip zaka za miaka hiyo alafu si muache hivyo vidaku vyenu kwan viko na faida gan jaman...mtu hataka hukusoma jiuulize nabii muhmmad alipiga maulid ama alipigiwa...kama kapiga yye tupige ...kama alipigiawa hiyo sio sunna maana sunna nikufanya alichokifanya basssssss...

  • @ameirameir4349
    @ameirameir4349 Před 2 lety +2

    Tumekufahamu vizuri sana. Endelea kutuelimisha tuko pamoja na wewe

  • @salahhddindasuvic6447
    @salahhddindasuvic6447 Před 7 měsíci

    Njia sahihi ni kufuata sunna .

  • @aminirashid2833
    @aminirashid2833 Před rokem

    Mohammed bachu nenda kasome chini ya wanachuoni wanaoijua hakki bado elimu yako ni changa Sana tu

  • @abishafiqabishafiq6065
    @abishafiqabishafiq6065 Před 2 lety +1

    Mawahabi hamna akili mtapigana wenyewe 😄😄😄🤣🤣

  • @khamisjuma3899
    @khamisjuma3899 Před 2 lety

    Kazi ipo

  • @MohammedAli-mf3ln
    @MohammedAli-mf3ln Před 2 lety

    Mashehena wa tanzania tende zitawatiya motoni - mtume muhamead alikuwa dhehebu gani

  • @kassimfahmiashursalim4128

    Si ukae usome Kwanza we kijana bado mdogo Hata miaka 25 hujafika. Soma kijana washindana na watu waliokua juuuu.

  • @mwajitajunior7633
    @mwajitajunior7633 Před 2 lety +2

    Hawaa wapuz kumbeee...? walikuw wapi mwanzo nassor bachu alipokuwa analinganiaaa hawa watu elimu zao haziwasaidiiii hazina faida Kwa nafsi zao watambadlisha naniiii

    • @abuuabuu4831
      @abuuabuu4831 Před 2 lety

      Hii Ndio salafi hakuna chochote Bali kuleta firqa

  • @abamohamed7092
    @abamohamed7092 Před 2 lety +2

    Mawahabi sasa mmeingia hatua nzuri ,mnapaluana nyie kwa nyie ,kwenu hakuna kheir hata kidogo

  • @khamissalum8906
    @khamissalum8906 Před 2 lety

    HATUTAKI KUGAWANYWA.. MTAFUTE UMPE MKONO TUUNGANE DINI IWAFIKIE VIZAZI VYETU IKIWA NI MOJA TU..

  • @farajimtana123
    @farajimtana123 Před 2 lety

    Hata mimi namkubali sana Sheikh wetu huyo Allah amrehem.
    Ila mimi naona una jikanyaga. Mantiki ni kafikishiwa. Je baada yako alifikishiwa hiyo dawa alikubali au alikataa jibu alikubali.
    Sasa kama walio mfikishia baba yako na akakubali na akarekebisha baadhi ya mambo vipi wewe uwakatae na uwaite majadida
    Mimi naona kijana unajikanyaga sana hebu fuata haki.
    Acha kutafuta Umaarufu

  • @jumakumala1337
    @jumakumala1337 Před 2 lety

    Sheikh Mohammed Bachu leo umenichekesha kwl wasema Mohammed mafuta afungwe kamba

  • @simaiabeidussi8138
    @simaiabeidussi8138 Před 2 lety +2

    Radi hata sumbawanga zipooo!!!

  • @arnoldisaya2907
    @arnoldisaya2907 Před 2 lety +2

    Nahaya mapichapicha mara kenye profile ya CZcams mara kwenye title ndio misingi ya manhaji salafi au ndo nini

  • @ummaumona6593
    @ummaumona6593 Před 2 lety

    Naona ulisema humjibu abul Abbas juu ya mada hii au maneno yamekaa sehemu yake weye mpumbavu jahili
    Ruwaybidwaaaaa

  • @alkhalilmussa5633
    @alkhalilmussa5633 Před 2 lety +2

    Huna jambo weeeeee salafi gani nyie saaa iviii mnagmbana nyinyi kwa nyinyi aoooi

  • @nassorsalum9110
    @nassorsalum9110 Před 2 lety +1

    hao masalafi wa siku hizi hebu wachunguzeni vizuri. ninawasiwasi wanatumia kilevi hawa

  • @thethreesistercaves6414

    Asalam alaikum ustadh

  • @eshasalim3660
    @eshasalim3660 Před 2 lety

    Alhamdulillah napenda vile unavyozungumza ukweli na kufafanua na huongopi kusema haki Allah akuhifadhi

    • @allysekondo2920
      @allysekondo2920 Před 2 lety

      Jamani kujiita salafi ni bid'a ,hakuna swahaba wala wajawema waliotangulia waliojiita salafi,je nyinyi mumepata wapi kijiita salafiy,acheni uzushi nyinyi ndiowatu w bid'a.

    • @ShilQingqingriginalsquaredance
      @ShilQingqingriginalsquaredance Před 2 lety

      Tunashkuru kumjua shekh Qassim mafuta Kama ni mtu wa sunna msikilize Zaid utafaidika

  • @Blitzplayz615
    @Blitzplayz615 Před 2 lety +1

    Jamani sipendi mashek wakujipizana mutume muhammed salallhu alehiyi wadalam alipituya mingi kwenye tawa zake aka subiru lakini masheki hawa wana jibizana 2 hiyo ni sifa mbaya

  • @mohamedamiri4597
    @mohamedamiri4597 Před 2 lety

    Maneno ya mtumi swalla Allahu alayhi yatimia umma kugawanyika vikindi 72 SASA haya simageni cha 73 ndio cha peponi musidanganyike nacho ni twariqa

  • @islamforurope2340
    @islamforurope2340 Před 2 lety +1

    WEWE UNAFATA MANHAJ SALAF IPI? MANHAJ YA SALAFI NI YA KUANDIKISHANA UANACHAMA? TANGIA LINI
    WE NI KAHIZB TU HUNA LOLOTE, HEBU TUAMBIE KADI YAKO YA UANACHAMA NI NGAPI?

  • @rwandasaid4388
    @rwandasaid4388 Před 2 lety

    Sasa hivi mmewacha watu wamaulidi mnagombana wenyewe kwawenyewe mpaka wanagombana na watu wamaqaburini subbhanallah fanyeni istighifar

    • @abuuabuu4831
      @abuuabuu4831 Před 2 lety

      Usalafi ni fitna ilioanzishwa na makafiri
      Wanetukana masheikh wengi sana sasa wamejirudia wenyewe

    • @soudsoud7330
      @soudsoud7330 Před 2 lety

      Ni shida kwa kweli

  • @user-rt1bz7lk4s
    @user-rt1bz7lk4s Před rokem

    Nyinyi mawahabi si katka Ahlu sunna wa ljaamaa mumejipachiaa tu 😂kama kweli hasaa basi hebu tufafanulieni nini uwabahi na hii madhehebu yenu imetoka wapii! Maana ni watu mlozukaa tu hatukujueni na me natamani kukujueni ! Kwahiyo sheikh muhammad bachu tunaomba muweke darsa inayo husu historia ya mawahabi tupate kukujueni ambao munajita masalafi

  • @husseinjuma6865
    @husseinjuma6865 Před 2 lety +1

    Ww mu/bachu kasomeww acha upinzani

  • @ngundejkassim3252
    @ngundejkassim3252 Před 2 lety +2

    watu waliokufa hali yakuwa kabla daawah haijaingia tunawahesabu vp??

  • @nasrikileo7291
    @nasrikileo7291 Před 2 lety

    😀😀😀 daah, itafuteni kweli ya Mwenye Vyote (Mun hunguu) sababi mmepewa akili..

  • @abubakarsaidi6658
    @abubakarsaidi6658 Před 2 lety

    Huoni kua watu wasiokua katk sunna ndio wanakupend kulik waliokweny sunna hujajijua tu kua kijana unamatatizo

  • @muhammedaloufy4086
    @muhammedaloufy4086 Před 4 měsíci

    yaani kuna watu wanawaingiza watu ktk sunna na pia wanaweza kuwatoa! nyie majamaa

  • @ngundejkassim3252
    @ngundejkassim3252 Před 2 lety +3

    muhaddith mohammed bachu??

    • @khadijajuma1928
      @khadijajuma1928 Před 2 lety +3

      Nahisi shk Kassim Mafuta Hukumtendea haki kwani aliekusema wewe ni Muhammad Mafuta, sasa Kassim Mafuta Hapo kaingiaje? Sasa wamjibu Mohammad Mafuta au Kassim Mafuta?!

    • @siafuonlinetv
      @siafuonlinetv Před 2 lety +1

      @@khadijajuma1928 AWO WOTE NI PUNDA NA PANDU YAANI JORA MOJA

    • @hanifatanzania7258
      @hanifatanzania7258 Před 2 lety

      @@khadijajuma1928 umeonaee ssa wanataka kugombanstu bas

    • @zahorsuleyman3429
      @zahorsuleyman3429 Před 2 lety +2

      @@siafuonlinetv km hao punda weye nani au ngurue?

    • @zawiyatanzaniatraders8449
      @zawiyatanzaniatraders8449 Před 2 lety

      Allah akuhifadhi na akupe upto mkubwa wa kielimu

  • @ismailyusuf3755
    @ismailyusuf3755 Před 2 lety

    Sheikh ALLAH akuhifadhi endelea kuwaeka sawa hawa wenye usalafi feki wala usichoke mm naimani watakuelewa tu siku moja japo hawa watu hata darasani pia wana akili ngumu

  • @khamissalum8906
    @khamissalum8906 Před 2 lety

    MTUME ALITUFUNDISHA NJIA HIYO KWENYE KUKOSOANA?

  • @eng.saalim8646
    @eng.saalim8646 Před 2 lety

    Mbona humjbu shekh hadi Leo. Hahahahaha. Kelele tuu

  • @mohamedasaid7910
    @mohamedasaid7910 Před 2 lety

    Sheikh wangu andika Abu Muhadith sio Muhadith Video yako.

  • @abdulkareemseif1892
    @abdulkareemseif1892 Před 2 lety

    Sasa waliomfikishia Ni Nani?si ndio hao kina qassim mafuta ambao wewe unawatukana

  • @mohagurey2214
    @mohagurey2214 Před 2 lety +1

    Hadi maiti hapati amani na Hawa washenzi

  • @siloomar7699
    @siloomar7699 Před 2 lety

    Kweli hicho ni kikund cha kasimu mafuta

  • @rajabkigo2760
    @rajabkigo2760 Před 2 lety

    kwani mtume alikuwa dhehebu gani?

  • @user-wy7om5ln7l
    @user-wy7om5ln7l Před 11 měsíci

    sasa tayari muko makundi matatu salafiyun,hizbi na sunna muhammad je lipi kundi sahihi ambalo nilapeponi?ebu tufahamisheni ss wanafunzi wenu tujue

  • @malcomx2774
    @malcomx2774 Před 2 lety

    mumekosa KAZZZZ tokeni zenu na ujinga wenu

  • @muhammadmjara6776
    @muhammadmjara6776 Před 2 lety +1

    munauwasha moto uendelee kutafuna suna badala yakuuzima

  • @hashimsaid5546
    @hashimsaid5546 Před 2 lety +2

    Eti alifikishiwa daawa Ina maana ilikuwa wapi au nyie ndio mmeileta?

  • @mhrmahir3756
    @mhrmahir3756 Před 2 lety

    mbona mropokwaji umekaa kimya tunasubir ujibu tujue km kwe una akili au huna?

  • @mhrmahir3756
    @mhrmahir3756 Před 2 lety +4

    ichi kibaleghe kijinga kwel we huku hasa unyamaze mada za watu hizi huziwez em kasome uko

    • @rahmaabdillahi2795
      @rahmaabdillahi2795 Před 2 lety +1

      Mtihani ulioingia ni viburi vya wenye elimu na kujitapa kuwa kila mmoja ni bora.... Allah awanusuru.

    • @mhrmahir3756
      @mhrmahir3756 Před 2 lety

      we dada ttzo humjui huyu ndo maana lakin watu km hawa mtu wa kawaida hawez kuwajua ila wale wenye kujishuulisha na kusoma na kuitafuta haqq

    • @rahmaabdillahi2795
      @rahmaabdillahi2795 Před 2 lety +1

      @@mhrmahir3756 Elimu ya dini humjazia mtu iimaan akawa mpole hata akitukanwa na majaahil huwa hayuko tayari kupambana ili ajiinue yeye labda kupambania haqq.... hivi vita vya ubinafsi havisaidii dini.

    • @rahmaabdillahi2795
      @rahmaabdillahi2795 Před 2 lety

      @@mhrmahir3756 Wallahu Ya'alamu

    • @kherimkose3669
      @kherimkose3669 Před 2 lety +1

      Mashaallah wewe Dada upo sahihi