Video není dostupné.
Omlouváme se.

RADDI KWA SHIA GOLO 02 JE IBNU TAYMIYYAH NI KAFIRI || Muhammad Bachu.

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 19. 08. 2024

Komentáře • 226

  • @mfalmenajjash2128
    @mfalmenajjash2128 Před 3 měsíci +21

    Shekh Muhammad bachu tunakupata mubaashara kutoka chake-chake pemba zanzibar maeneo ya vitongoji darajani mkabala na shule ya vipawa ya fidelcastro.Shekh Muhammad usichoke nandomana hadileyo Allah amekupa uhai kwaajili ya dini yake kwaiyo ww usichoke kwa wapuuzi kama hawo akina golo endeleya kuelimisha umma Naujira wako utaukuta siku ya kiu nanjaaa biidhini llah

    • @mohagurey2214
      @mohagurey2214 Před 3 měsíci +1

      Hio shule baado yaitwa Fidel Castro ni makosa

    • @mfalmenajjash2128
      @mfalmenajjash2128 Před 3 měsíci +1

      @@mohagurey2214 Ndy jina halijabadilika bado

    • @mohagurey2214
      @mohagurey2214 Před 3 měsíci

      @@mfalmenajjash2128 inastahili kubadilishwa

    • @hilalalhabsi2047
      @hilalalhabsi2047 Před 3 měsíci

      Nilifkiri weye ni mwalimu mkuu wa hio skuli, kumbe ni mtoto wa kitaani, ok

  • @YahyaYahya-vp2pp
    @YahyaYahya-vp2pp Před 3 měsíci +11

    Muhammad ulimi wako una ufasaha sana na unaweleweka vizur. Allah akulinde na shar za ulimwengu

  • @babatidaawa6550
    @babatidaawa6550 Před 3 měsíci +5

    Fact fact fact Sheikh bachu Allah akuhifadhi utuendelee kutuelimisha na kutuzindua maana hii kazi masheikh wengine wameshindwa kuitetea Sunna wanaogopa wataitwa kuwa wanawagawa watu

  • @Athumaniomari-ge2gs
    @Athumaniomari-ge2gs Před 3 měsíci +7

    Maaashaaallah sheikh mhammadi bachu usichoke kuzindua watu waijue vzr din

  • @MohammedOmar-wt3vg
    @MohammedOmar-wt3vg Před 3 měsíci +11

    Ndugu Mohammad na Abu almaan lushoto mumefanya kazi nzuri ya kujibu talbis za huyu SHIA. Baaraka ALLAH.

  • @bakariomari8758
    @bakariomari8758 Před 3 měsíci +9

    Sheikh bachu umeeleza vizuri hadi tumeelewa. Nakuombea kwa Allah akulipe kwa pepo ya, firdaus na akupe umri mrefu na afya, tele uhudumie dini hii ya haqqi

  • @abdallahmungwana8667
    @abdallahmungwana8667 Před 3 měsíci +7

    MaashaaAllah sheikh langu Muhammad Bachu umefafanua viziri

  • @user-rq3yj8vi8b
    @user-rq3yj8vi8b Před 3 měsíci +7

    Shekh wetu allah akuhifadhi umeelezea vizuri sana kabisa

  • @OmarAlly-iz8ot
    @OmarAlly-iz8ot Před 3 měsíci +5

    Allaah akuhifadhi na akulinde na shari za wazushi na waovu wote

  • @hamadali3231
    @hamadali3231 Před 3 měsíci +5

    Alla amjaalie mtoto wangu awe na elimu kama sh Ibnu Tayymi pia awe mlinganiaji ka yy ibn T . Jina la mtoto wangu ni ( ASWIM )

  • @user-yu9gy6dg3g
    @user-yu9gy6dg3g Před 3 měsíci +2

    Allah akuhifadhi yaani nimekuwelewa tena hadi raha vizuri sana, marhum nassor bachu ametuachia hazina kubwa na biidhnillah huko aliko (akhira) zitamfikia malipo makubwa.

  • @Khatib-xp6fp
    @Khatib-xp6fp Před 3 měsíci +8

    Mwalimu
    Una to motivate vijana kutafuta elimu zaidi
    Tunashukura sanaaa
    Mashaallah

  • @user-zf3fz5lf4m
    @user-zf3fz5lf4m Před 3 měsíci +9

    Mungu akuzidishie elimu sheikh Muhammad

  • @Biziman-pu4kf
    @Biziman-pu4kf Před 3 měsíci +4

    Wallahi nakupenda kwajili ya Allah
    Naapa kwajina la Allah kwahakika wanafunzi wako wananeema kubwa kukupata

  • @MasoudMasoud-ci7vc
    @MasoudMasoud-ci7vc Před 3 měsíci +3

    Nyiye munaocoment wengine sikilizeni darsa vizuri usianze kumshambulia bhachu ,muhammad haropoki anachokisema anakitoa kwenye vitabu,na M/mungu amlinde atufunue macho na myoyo yetu.

  • @ibrahimjumaa538
    @ibrahimjumaa538 Před 3 měsíci +2

    *SHEIKH MUHAMMAD SIJUI NICOMMENT NINI, ALLAH AMEKUPA FADHILA KUBWA SANA KATIKA ELMU YAKO HII*

  • @masoud744
    @masoud744 Před 3 měsíci +3

    Mashallah.. tunakupata, tunakuelewa, tunakufahamu na unatufundisha

  • @mbjunior166
    @mbjunior166 Před 3 měsíci +2

    Allah akulipe kila la kheir sheikh Muhammad Bachu!

  • @osmandunga7431
    @osmandunga7431 Před 3 měsíci +2

    Siku zote nakuelewa sana Sheikh wetu Muhammad, huyo SHIA hana jipya hiyo hoja hata mtoto wa chekechea anaelewa!

  • @saidimkwinzu9106
    @saidimkwinzu9106 Před 3 měsíci +4

    Najifunza mengi sana kupitia hii channel yako sheikh Muhammadi bacho Allah akuhifadhi

  • @sheikhabuusakakin3243
    @sheikhabuusakakin3243 Před 3 měsíci +1

    أسأل ألله أن يوسع لي ولك كلّ طريق وينجيني وينجّيك من كلّ همٍّ وضيق
    أسأل ألله أن يملأ قلبي وقلوبك بالأنوار ويحفظني ويحفظك

  • @user-fm1ys1rt7w
    @user-fm1ys1rt7w Před 3 měsíci +3

    Much ❤sh Muhammad nakupata kutoka Lusaka Zambia

  • @amazing_ERA
    @amazing_ERA Před 3 měsíci +4

    jazak Allahu kheir sheikh Muhammad Bachu. na akuhifadhi Tunakupenda kwa ajli ya Allah

  • @Nuru_ya_sunnah.official
    @Nuru_ya_sunnah.official Před 3 měsíci +2

    al akhy bachu unafanya vizuri sanaaaa
    jitahid usifanye kwa RIAA

  • @fadhilitandu7886
    @fadhilitandu7886 Před 3 měsíci +2

    MashaAllah

  • @Abuassma360
    @Abuassma360 Před 3 měsíci +4

    Sheikh m bachu Allh akujazi kheri

  • @Hamis-ks1sy
    @Hamis-ks1sy Před 3 měsíci +2

    Allah akuhifadh sheikh Muhammad

  • @Jumaamsagaty
    @Jumaamsagaty Před 3 měsíci +3

    Uko vizur sheikh umefanya niwe na msimamo

  • @khamisisima711
    @khamisisima711 Před 3 měsíci +1

    Baraka Allah fiika
    Allah akuhifadhi shaikh Muhammad Bacho

  • @ShabanHassan-td3lx
    @ShabanHassan-td3lx Před 3 měsíci +1

    Maasha Allah, akhiy Muhammad,twakupend sn kw ajil y Allah, na tumekumiss sn unguja.

  • @mustafajuma8628
    @mustafajuma8628 Před 3 měsíci +2

    mashAllah UST bachuu,usichoke kutupa elmu

  • @ramadhanngwilili6261
    @ramadhanngwilili6261 Před 2 měsíci

    Allah unamuona usingizini tena, SubhnaAllah

  • @isackwaite-uf1zy
    @isackwaite-uf1zy Před 3 měsíci +1

    MashaAllah sheikh bachu

  • @Abuushawkan
    @Abuushawkan Před 2 měsíci

    بارك الله فيك أخي الكريم

  • @iddijuma1428
    @iddijuma1428 Před 3 měsíci +2

    Allah akuhifadh shekh Muhammad

  • @user-ye3fy9kk6r
    @user-ye3fy9kk6r Před 3 měsíci +2

    Baaraka llahu fik

  • @user-wk5ju8kd3u
    @user-wk5ju8kd3u Před 2 měsíci

    Masha Allah maneno safi Allah akulinde

  • @Nuru_ya_sunnah.official
    @Nuru_ya_sunnah.official Před 3 měsíci +1

    @nuru ya sunnah pamoja sana ndugu yetu Allah akubarik

  • @user-zr2pn5uv8b
    @user-zr2pn5uv8b Před 3 měsíci

    Alhamdulillah BaarakaLLAH fiika

  • @mfalmenajjash2128
    @mfalmenajjash2128 Před 3 měsíci +2

    Nondo juu ya nondo Muhammad bachu mbona unapiga makwaju ya mbiyoni namna hii kumbuka wanamishono halafu unapiga kwenye mshono nihatar ya shek.Nasubiri Golo aje kuomba radhi mbeleyetu sihivyo hatamm nitaenda kumkandamiza uko tuendako nipo tayar kukaa ushahidi juu yahili wallah thuma wallah 😢

  • @user-yj5on8cz3e
    @user-yj5on8cz3e Před 3 měsíci +1

    Shekhe jazakum llahu khaira, allah akulinde na mahasidi kwakupambana na watu batili na maadui wa dini ya mwenyezi mungu, watandandike hao maguruwe wa motoni Shia wamekuja kuvaa vazi la uislamu kiunafiki lengo kuangamiza dini ya Allah na kuwatowa waislamu kwenye dini yao,hili lipo wazi kama kuna mwislamu anaamini shia ni muislamu atakuwa anamatatizo ya ubongo wa akili muislamu anaejuwa uislamu hawezi kuamini Shia ni mwislamu huyu ajui maana ya uislamu na vitu vinavyomuweka mtu kwenye uislamu na vitu vinavyo tenguwa uislamu, ni sawa na mtu kuchukuwa udhu ukibatilisha udhu huna swala Sasa ni ajabu mtu anakwambia tupu ya mtume itaenda motoni kisa alikuwa na wanawake wawili washirikina aysha na afsa hivi hata mtoto mdogo kiakili umuulize hivi vipi wasemaje huyu bado mwislamu anakukatalia kabisa kwa uwezo wa Allah.lakini cha ajabu kuna ndugu zetu masufi wao ndo wapambe wao mashia wapo tayari mtume adhalilishwe siyo mshia kudhalilika haya tunayaona kila siku mitandaoni wanajaa jazba Shia akisemwa vibaya ukuta shekhe anapanda jazba kumtetea mshia Sabu ya ugali wanaopewa ndo wapo razi omary anaitwa mwenda wazimu, Abubary kaitwa jambazi tapeli, na aysha kaitwa mzinifu,lakini wao hawakioni hilo sisi tukisema na kuwatetea maswahaba wamtume utasikia mawahaby waleta farka mawahaby hawataki umoja wa uislamu sisi tutaendelea kuwatandika tuu,Allah ndo msaidizi wetu pamoja na kejeri zenu hatujali wala hatujali kabisa lengo kumtetea mtume wetu na kuwahami swahaba anaona tunalofanya ni la hakki na ndomana hamueezi kuizima nuru ya mwenyezi mungu Jambo la hakki ni kama mtu aloshika Moto bwana.

    • @madrasatunnajmizzaahiral-i2478
      @madrasatunnajmizzaahiral-i2478 Před 3 měsíci

      Wewe yaonekana hata uislamu huujui kabsaa,ila wajua jina tu.Siku M/Mungu akikupa kitabu cha aamali zako na ukakuta hayo ulowasemea Shia.
      Chukua tahadhari qabla ya siku hiyo,kwa kufanya hivi:
      Kusoma vitabu vilo andikwa na shia wenyewe,utawafahamu kwasura yao ya hakika.

    • @user-yj5on8cz3e
      @user-yj5on8cz3e Před 3 měsíci

      @@madrasatunnajmizzaahiral-i2478nawao wachukue tahadhari kwa Allah dhidi ya matusi kwa maswahaba na wakeze mtume kufaru Shia najisi nguruwe wa motoni

  • @pablooo4197
    @pablooo4197 Před 3 měsíci +3

    Shukran al akhy, tunakupata vyema

  • @abalkib2866
    @abalkib2866 Před 2 měsíci

    Ilo c la kushangaza kabisa kuota umemuon mungu kipindi tuko wadogo madsani kulikuw na mwalimu mmoja Anachezesha viboko ajabu. Mpka kuna mwanafunzi mwezetu cku moja alikuja chuoni na kusema ya kwamba aliota kiama tyr na Mungu ni huyo Mwalimu. AstaghafiruLLah.

  • @omarysungi4635
    @omarysungi4635 Před 3 měsíci +1

    Allah akulipe kheri duniani na akhera pia kwani tumewajua wanaotuvurugia dini yetu

  • @saidjuma4547
    @saidjuma4547 Před 3 měsíci +2

    allah atulipe kheri nyingi inshallah

  • @yahyamaulana7791
    @yahyamaulana7791 Před 3 měsíci

    Ww bachu acha upuuzi Wewe mshenzi. Yaani ALLAAH Aonekane katika shikli ya amrad.SUBHANALLAAH. Wewe ni mbwa katika ma mbwa

    • @abuubilal2646
      @abuubilal2646 Před 3 měsíci

      Usimtusi yeye ananukuu tu

    • @muhammadkarama9996
      @muhammadkarama9996 Před 3 měsíci

      Jee na mashekhe wote kabla ya ibnu taymiyyah kama imam ahmad bin hambal ni ma mbwa? Jee baada ya ibnu taymiah kama imam suyuti ni ma mbwa?

    • @user-et9vf2ro2k
      @user-et9vf2ro2k Před 3 měsíci

      Wewe sio mbwa wewe bin aadam laaakin ni jaahili murakab bijahlika "innallaha dhwama ljahli waljuhaallaa" undhri ya juhallaa

    • @yahyamaulana7791
      @yahyamaulana7791 Před 2 měsíci

      @@user-et9vf2ro2k Wewe ambae Si mjinga hebu basi hiyo ibara andika kiarabu. Na kama hujui sema sijui.😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @user-tq1nd9md1n
    @user-tq1nd9md1n Před 3 měsíci

    Sheikh Muhammad Allah akulipe malipo mazuri na makubwa,Kuna jambo kingine ulitolee ufafanuzi,adui wa Jibril ndio alie aliekuteremshia wewe huu qurani

  • @ExcitedChefHat-ef5jt
    @ExcitedChefHat-ef5jt Před 3 měsíci

    Jazzakallah Tabarakallah shekh muhammad nassor bachu Allah akuhifadhi. Majibu mazuri kwa jahil shia golo.

  • @suleimanadim6522
    @suleimanadim6522 Před 3 měsíci +1

    Bachu hapo tuwache tupe aya ya QUR_AN UNAZUNGUKA TU HAPO HAPO HUJATUPA USHAHIDI ALLAH HAFANANI NA KITU CHOCHOTE IKIWA KUZUNGUMZA NAE ALLAH ANASEMA HAIKUA KWA KIUMBE YEYOTE KUZUNGUMZA NA ALLAH ILA WAHYI AU NYUMA YA PAZIA AU HUMTUMIA MJUMBE AMPE WAHYI ANAEMTAKA KWA IDHINI YAKE VP KUMUONA TENA UNASEMA KAVAA KANZU NA VIATU VYA DHAHABU DUH SUBHANALLAH USITUBURUZE

    • @maryamabdallah3140
      @maryamabdallah3140 Před 3 měsíci +1

      Mbumbumbu hata ueleweshwe hutakaa uelewe, tafuta madarisi ukasome @suleimanadim

    • @hassanmohamedlaizer569
      @hassanmohamedlaizer569 Před 3 měsíci

      ​@@maryamabdallah3140😂😂😂 msamehe bure

    • @saadasaleh3177
      @saadasaleh3177 Před 3 měsíci

      Fii qulubihim maradhw fazada humu Llahu maradhwa. Hawa ndio swummun, bukmun, umyun. Allah atuhifadhi

  • @saadasaleh3177
    @saadasaleh3177 Před 3 měsíci

    Maashaa Allah Jazaka Llahul khayr 🤗 hakika Allah hajaleta maradhi bila ya dawa ❤ umekua dawa ktk nchi zetu hizi Allah akuhifadhi😊

  • @huseinsuleiman1580
    @huseinsuleiman1580 Před 3 měsíci

    Allah akulipe na akusimamie ili utuzindue katika elimu ambayo hatunayo

  • @MohamedMwangare-sw3sl
    @MohamedMwangare-sw3sl Před 3 měsíci +1

    ما شاء الله.its really something

  • @omanoman-ir1ez
    @omanoman-ir1ez Před 2 měsíci +1

    jamani yee mungu hakuzaa wala kuzaliwa sasa kumwona mungu kwa sura ya kijana na nywele za kipilipili mmh hata mie napata shaka na hadithi hiikwani si kuna hadithi sahii na si sahihi mbona hii inaonekana kama sio sahihi mungu kaonekana kama mtu tena kijana mmh!! mashekh wetu muee makini bwana

  • @user-do1pq2uu1c
    @user-do1pq2uu1c Před 3 měsíci +1

    Salaam hapa ifahamike kua siwezi kumkufurisha ibn taimiyya alipoelezea alivyomuona allah kwa namna alivyomuona hapa ndopenye shida haikataliwi kua mtume s a w alimdiriki mola wake ispokua hii kuelezea alimuona kwa namna fulani hapa ndipo penye mushkil

  • @user-uv7jl2bk4p
    @user-uv7jl2bk4p Před 3 měsíci +2

    Acha kufru bachuu ,hadithi za kutunga hizo Allah haonekani kasema ktk kur aan mtume hawezi kusema kitu kinacho pinga kur aan

    • @mohagurey2214
      @mohagurey2214 Před 3 měsíci

      Wewe ndio unasema hio Hadith ni dhaifu? Mbona wanazuoni hawakudhaifisha mojawapo imam suyuti

    • @saidimkwinzu9106
      @saidimkwinzu9106 Před 3 měsíci +1

      ​@@mohagurey2214kitu ambacho hukijui ndugu yangu Hawa wanaopinga Hadith wanaitwa QUR,AAN YUUN ni mashia ambao hawaamin Hadith za mtume Swalla llaahu alayhi wasallama Bali wanaamin Quran peke yake

    • @saidimkwinzu9106
      @saidimkwinzu9106 Před 3 měsíci

      Sasa nyie QUR'AN YUUN hapa mnafata nin mana mmempinga mtume Swalla llaahu alayhi wasallama mana hamuamin Hadith zake nyie mashia

    • @binbuhakhamis4336
      @binbuhakhamis4336 Před 3 měsíci

      Umeambiwa nikuonekana kwa njia ya ndoto hiv unaijua ndotoo..

    • @HamadHamduni
      @HamadHamduni Před 2 měsíci

      Mashia ni wagumu wa kuelewa.

  • @LucasNicoraus-xi5ux
    @LucasNicoraus-xi5ux Před 3 měsíci

    Assalaam aleykum.... ndugu ktk lman.... jaman embu wote mlo msapot huyu kijana toeni shahada upya tafadhali... zindukeni waislaam haitakikani kwa muumin kuitakidi kua mungu anafanana na chochote pia haitakikani kuitakidi kua mtume kamuota Mungu alafu akahadithia , ikiwa maswahaba walishindwa kumuhadithia mtume sw sura rasmi na umbo jins alivyo waajabu, leo wew unasema mtume kaona usingizin mungu yuko sampuli fulani ... waislaam achaneni nae huyu kijana huyu mpotoshaji lngelikua Allah angetaka ajitangaze alivyo Astaghfirullah basi safari ya lsraa na Miiraji Mtume aliongea na Allah... basi angehadithia lakina hakumuona bali alikua karibu nae na wakizungumza ila ckwakumuona ....waislaam zunduken lnshallah Allah amuongoze

    • @kasimubangu1875
      @kasimubangu1875 Před 3 měsíci

      Hakika umebeba imani kwa pasipo haqi ndomana haulewi Allah akuongoze utoke kwenye ushia

  • @user-xb6tr5vq4b
    @user-xb6tr5vq4b Před 3 měsíci +1

    Waleykum salam warahmatullah wabarakatuh

  • @user-rp4eb5xw1z
    @user-rp4eb5xw1z Před 3 měsíci

    Mashallah sheh Allah akulipe kila la heri hapa ndunian nakesho akhera naiman hata huyo mbwa Shia ameelewa nn unasema

  • @universitylink
    @universitylink Před 3 měsíci +3

    Mashaallah tabrakallah

  • @saidsalum523
    @saidsalum523 Před 3 měsíci

    Muhammad namuomba Allah akulipe kheri,,kwa kweli huyu jamaa sijui ana njia ya kujitetea,,anapotosha bila ya khofu,,wewe Muhammad anatosha kumueka sawa huyu jamaa,,yaani kama hajatubia atakwenda kujibu,,kumbe Ibn Tymiya mwenyewe anakataa,,Ewe Shafii Basalim muombe Allah msamaha,,ujue umemdhulumu Ibn Taymiya.

  • @amyassyassin7909
    @amyassyassin7909 Před 3 měsíci +1

    mashia hawajitambui na hakuna watu waongo kama mashia. Mashia na Mayahudi hawana tofauti katika uongo

  • @yahyamaulana7791
    @yahyamaulana7791 Před 3 měsíci

    Weeeeeee hizi mada ni nzito sana kuliko uwezo wenu.sasa naona mwenda kwenye ukafiri kikweli

    • @user-et9vf2ro2k
      @user-et9vf2ro2k Před 3 měsíci

      Huna elimu sikiliza t wewe usiengeze lako hapa

    • @yahyamaulana7791
      @yahyamaulana7791 Před 3 měsíci

      @@user-et9vf2ro2k Mwenye ilimu hawezi kusema kua mola ameweza onekena Kwa mfano wa mtoto mdogo. Katika Hadithul Qudsi Mola asema nimewaandalia waja wangu wema pepo amabayo jicho halijawai ona Wala sikio halijawai sikia Wala haijawai hata kupita katika fikra za kiumbe. Ikiwa pepo huwezi kuiwaza kufananisha vipi mtu amfananishe Mola na shikli ya kiumbe. MOLA NI YULE ALIYE SEMA. LAYSA KAMITHILIHI SHAIUN. NI KWELI SINA ILIMU LAKINI HAYA MAMBO KIASI FLANI NAYAJUA.

  • @KhamisDaud-nz3rc
    @KhamisDaud-nz3rc Před 2 měsíci

    Zaadakallah ilma

  • @dancanmusakhionganyo4270
    @dancanmusakhionganyo4270 Před 3 měsíci +2

    Allah akupe pepo

  • @izmamuizmamu6521
    @izmamuizmamu6521 Před 3 měsíci

    بارك الله فيك

  • @hassanmohamedlaizer569
    @hassanmohamedlaizer569 Před 3 měsíci +3

    Na sema tena huyu shafii na wenzake akauze mandazi jamani..😂😂

  • @rahimmbezi9936
    @rahimmbezi9936 Před 3 měsíci

    Sheikh Muhammad Allah akuhifadhi.. lakini pia tunataka uwazungumzie kwa kina hawa hizbu salafi...madaakhila na makhajaawira... akina kassim mafuta, na wenziwe... tunaomba sheikh uchambuzi wa kina... BARAKALLAAHU FIYK.

  • @user-cx1bd1pp9o
    @user-cx1bd1pp9o Před 3 měsíci

    Kuitakidi Mungu yu ana mfano ukafiri mn inapingana n kur an iyo hadithi n ukafir kw muislam kuitakid ivo

    • @kasimubangu1875
      @kasimubangu1875 Před 3 měsíci

      Fungua moyo acha kubeba imani kwa ujinga

    • @user-cx1bd1pp9o
      @user-cx1bd1pp9o Před 3 měsíci

      @@kasimubangu1875 imani gn y kua n Mungu mwenye vipilipili n kisura n viatu vya zahabu km cy ukiristo n usheitwan huu

  • @FadhilSaid-mb2yk
    @FadhilSaid-mb2yk Před 3 měsíci

    MASHAALLAH

  • @abubakarmuhammadsaid3244
    @abubakarmuhammadsaid3244 Před 2 měsíci

    Huwezi kupata watu waongo wazushi zaidi ya mashia

  • @user-xn2yf6nv1i
    @user-xn2yf6nv1i Před 3 měsíci

    شكرا على كل خير

  • @RajabuAdam-qn2kf
    @RajabuAdam-qn2kf Před 3 měsíci

    Allah akulipe kheri

  • @RashidiIsmaili
    @RashidiIsmaili Před 3 měsíci

    Walaykum salaam warahalatullah wabarakaatuh unasema ahujaelewa nahona wewe ni mvivu wakuhelewa maana muhamed bacho yuko muwazi kafafanua

  • @yusuphmaulid3717
    @yusuphmaulid3717 Před 3 měsíci

    Fanyeni ibada usiku acheni kukeshe kuandaa matusi

  • @user-wh3et9pu3h
    @user-wh3et9pu3h Před 3 měsíci

    tunakupata vizuri na tunaona raha sana

  • @aooshosho4255
    @aooshosho4255 Před 3 měsíci

    Watajuwa hawajui wape kabisaa Kaka

  • @Chibuy-ly5kt
    @Chibuy-ly5kt Před 3 měsíci

    huko mnako kwenda kwakumuona( allaah...)
    ni uwongo kuruan haija sibitisha mfano wa( allaah..sw)
    sasa kwaelim ipi hio yakumuona( MImungu mtume.. muhamad )
    sasa swali la kipuuzi tu unaweza kuona kitu kisicho mfano ikaendelea kutokua na mfano 🎉
    hakuna hio nakama ni ndoto bas ni chafu km nyenginw
    katika juzuu 30, quruan
    muko sura mpk ziko na aya 3
    lakini hakuna hiko kitu

    • @HamadHamduni
      @HamadHamduni Před 2 měsíci

      Mashia wanapoteza Sana watu,mungu akulaani shafii

  • @salluhimuhammed862
    @salluhimuhammed862 Před 3 měsíci +1

    Assalaam alykum warhamatullah, sheikh Muhammad apa nimekwama wallah hii mara ya pile nackiliza bdo akili haijapokea haya maneno, kswabu Allah hafanan na chochote kwann aotwe kua ni kijana kavaa viatu kavaa nguo hii ipo vp na Ile Aya ya kua Allah hafanan na kitu chochote, au sabau mm elimu cna ckusoma naomba nieleweshe zaidi ya hpo km inawezekan km haiwezekan bc, nibaki tu nifanye km ckuckia hayo maneno

    • @user-wh3et9pu3h
      @user-wh3et9pu3h Před 3 měsíci +1

      na hiyo ndio itikadi ya ibnu Taymiyya kuwa Allah hafanani na chochote, rejea tena kusikiliza utafahamu

    • @dulividuli5237
      @dulividuli5237 Před 3 měsíci

      Km hujaelewa rejea tna video

    • @medinaser9712
      @medinaser9712 Před 3 měsíci

      Nahisi hii hadithi ya mtume kumuona Allah ina walakini inaweza kuwa ni uzushi....kwa sababu hasemi kwa matamaniyo yake

    • @MohammedSaid-zk7yg
      @MohammedSaid-zk7yg Před 3 měsíci

      ​@@medinaser9712mawahabi ni bangi tu wanazingua, mawahabi wanaamini mungu ana macho,mikono,miguu,

    • @KhalfanMassoud
      @KhalfanMassoud Před 3 měsíci +1

      ​@@MohammedSaid-zk7yg ata Quran inaamini hivyo

  • @rashidjuma9169
    @rashidjuma9169 Před 3 měsíci

    Twasubiri mtanange mwengine baada ya mtanange wa barzanje.

  • @saidmruu5897
    @saidmruu5897 Před 3 měsíci

    Asalaam aleikum Kaka... Allah akuhifadhi na akulinde...Naomba kama ulivo chambua hadithi...,,Naomba uchambue.. hili suala la kuinua mikono katika kila nguzo MTU akiswali..

  • @abdullahimohamudosman3695
    @abdullahimohamudosman3695 Před 3 měsíci

    Maa shaa Allah, jazakallahu kheyra, sheikh weka namba zako tukutafute kwa ajili ya maswali na ufafanuzi wa hoja mbalimbali in shaa Allah. Allah akujaalie Kila lenye kheri kwako duniani na Kesho siku ya akhera. In shaa Allah Amiin

  • @OmarAlly-iz8ot
    @OmarAlly-iz8ot Před 3 měsíci

    Shekh Muhammaad Maashaa Allaah kwa hakika wewe ni mwalimu mweledi mnoo kwa wazushi wa Tanzania😂😂😂

  • @saidimkwinzu9106
    @saidimkwinzu9106 Před 3 měsíci +1

    Huyu shia mimi nasema alikua anatafta umaarufu tu ndo mana alikua anakurupuka na sasa kwa sababu sheikh Muhammadi kamradi kapata kujulikana tayar Allah amuongoe awache chuki zidi ya wanachuoni wa kisalafi

  • @AziziMachweo
    @AziziMachweo Před 3 měsíci

    Mashalah ibn bachu

  • @Mathsconcepts495
    @Mathsconcepts495 Před 3 měsíci +2

    Katika watu ninaowachukia sana ni huyo shia golo shafii baasalim ni muongo sana anadanganya na kitabu anacho mkononi

  • @kennedybwibo6620
    @kennedybwibo6620 Před 3 měsíci

    Mwenyazi mungo hana mfanu

    • @saadasaleh3177
      @saadasaleh3177 Před 3 měsíci

      Mnajua io ndoto aloota Mtume SAW inamaana ganiii heeee

  • @saidmuhd611
    @saidmuhd611 Před 3 měsíci +1

    Haya maneno ni mazito sana, sina elimu yoyote lakini najua ndoto za Mitume ni za kweli hakuna ndoto ya uongo kwa Mtume. Kuzileta hadithi kama hizi ukazinabisha na Mtume hata kama ni ndoto, ataachaje mtu kuzama kwenye fikra za upotovu.

    • @Dhikriqadiriarazaqia
      @Dhikriqadiriarazaqia Před 3 měsíci

      Yes, yaaani mawahabi ni wajinga , eti mtume aote ndoto halafu aje amdhoofishe ibntamiya😅
      Hapa na mimi naanz kuuona ukafiri wake

    • @YahyaYahya-vp2pp
      @YahyaYahya-vp2pp Před 3 měsíci

      ​@@Dhikriqadiriarazaqiatuliza sana kusikiliza kuliko kujifany unajua wala hujui. Kama hapo hujaelewa wala uelew tena

    • @saidimkwinzu9106
      @saidimkwinzu9106 Před 3 měsíci

      Sio kua na fikra mbovu tu mtume Swalla llaahu alayhi wasallama anasema akijiwa na shetani mmoja wenu akawa anawaza kwamba hivi nan kaumba kitu falni na flani hadi akafikia kusema nan kaumba mbingu na Ardhi na viumbe wote Kisha aende mbali aseme hivi nan kamuumba ALLAH? Hapo mtume Swalla llaahu alayhi wasallama anasema mtu huyo akianza kuwaza kua nan kamuumba ALLAH bas na amuombe ALLAH ulinzi mana atakufuru.
      Sasa ndo nyie halafu muwe mnaskiliza darsa hadi mwisho mana Kuna nukta nyiiingi mmeziacha hamjaskiliza unaambiwa unachokiona kwenye ndoto sio uhalisia wake kitu kile kama alivoota nabii yusufu anasujudiwa na nyota halafu alivoamka huko baadae tafsie ya ndoto yake ilikuja kua ni ndugu zake baada ya naabii yusufu kua mfalme😊
      Kuewni na Akili basiii😂😂

    • @saidimkwinzu9106
      @saidimkwinzu9106 Před 3 měsíci

      ​@@Dhikriqadiriarazaqia sikiliza darsa hadi mwisho acha ku comment kabla hujaskiliza ukaelewa ungeskiliza usinge kurupuka kuandika haya😂😂😂 mna chuki na sisi wa wa sunna mashia wote nyie mmepotea tu

    • @MB-yq3ty
      @MB-yq3ty Před 3 měsíci

      ​@@Dhikriqadiriarazaqia
      Mijnga ni wewe. Yusufu alipoota anasujudiwa na nyota ndo zilikuwa nyota kweli eti?.

  • @user-jz5et7lb9b
    @user-jz5et7lb9b Před 3 měsíci

    Mashllah

  • @musarashid-xw1qm
    @musarashid-xw1qm Před 3 měsíci

    Allah akubalik

  • @user-qy9qx5hd2u
    @user-qy9qx5hd2u Před 3 měsíci

    Msituchanganye..1.kama mtume amemuota Allah angemsimulia mkewe bi aisha..hadithi kama kweli ingetoka kwa mkewe direct..2.Kama sisi tukimuota mtume sio ndoto ya kishetani je Allah atampaje mtume ndoto feki?3.kama mungu hana mfano LAM YA KULLAHU KUFUWAN AHAD..inakuwa mtume amuote Allah kwa mfano au umbile?je mtume anaota ndoto feki?hadithi sio aya

  • @user-ug8hc4yh5k
    @user-ug8hc4yh5k Před 3 měsíci

    Iyo ni nguruwe la kishia ndio inamkufurisha sheikh wetu Islam ibnu taimia ni nguruwe la kishki

  • @ZayanaIdrisa
    @ZayanaIdrisa Před 3 měsíci

    Ustake umarufu kwa kukufurisha wanaochuwon jitahadhar eendugu

  • @ameirameir4349
    @ameirameir4349 Před 3 měsíci

    Muhammad Bachu wape somo hao mashia murtadi

  • @juvenalymwanalyela202
    @juvenalymwanalyela202 Před 3 měsíci

    Mnabishana nin Wakati mtume ndiye aliye muona allah ni kakijana hakana ndevu natunywele twake nitwakipilipil na mwengine anasema ni mwanamke tumwamini nani

  • @Abuassma360
    @Abuassma360 Před 3 měsíci

    Lakini sheikh m bachu na je yajuzu kuzungumza au kusimulia kua kw mfano umemuona mungu au mtume kw khal moja au ingine

    • @saadasaleh3177
      @saadasaleh3177 Před 3 měsíci

      Umemuona wapi usingizin au. Ikiwa ucngizini Mtume SAW anasifa zake ukija kumuona Mtume SAW ni mweuc bc cie uyo jadhalika Allah hakuna alomuota ila Mtume SAW na hatujui io ndoto inamaana gan sasa cc tulobak ata tukimuona Mungu ucngizin tutafute wafarir wakuwaamin waiague hio ndoto

  • @yusufathman2478
    @yusufathman2478 Před 3 měsíci

    Mfundishe uyo khurafi..

  • @rashidjuma9169
    @rashidjuma9169 Před 3 měsíci

    Mshaanza mchezo mchezo sisi tunawaangalia nani mshidi,

  • @JailaniRamadhan-it3kp
    @JailaniRamadhan-it3kp Před 3 měsíci

    Njoo live kwenye mnakasha

  • @athumanali2969
    @athumanali2969 Před 3 měsíci

    Nahuyo yusufu diwani nae atiewe sufuriani anachafua sana ahlusunna kuita ni tawi la kikiristo

    • @user-ee2wd3fv1s
      @user-ee2wd3fv1s Před 3 měsíci

      Amesharipuliwa na shekh Muhammad Is haka vzr tu tunamsubir arud tena mshirikina

    • @YahyaYahya-vp2pp
      @YahyaYahya-vp2pp Před 3 měsíci

      Watu wanamuangalia tu maana hana hoja ya maana huyo yussuf diwan. Nd maana hakuna mtu anapoteza muda wake kwa mtu wa kuropoka tu

  • @user-ti6tn7bs9q
    @user-ti6tn7bs9q Před 3 měsíci +1

    Shia Koko anataka umaarufu tu yulee njaa kaliiiiii inamsumbua