RADDI KWA SHIA GOLO || 03 || JE IBNU TAYMIYYAH NI KAFIRI || Muhammad Bachu.

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 4. 09. 2024

Komentáře • 120

  • @OmarAlly-iz8ot
    @OmarAlly-iz8ot Před 3 měsíci +9

    Kwakweli Shekh Muhammad wewe ni Mwalimu unapaswa upewe haqi yako.
    Hawa waganga njaa hawajuwi ni kitu gani wanapaswa kukisimamia hapa duniani ili kikawafae kesho akhera mbele ya Allaah Sub'haanahuu Wata'aalaa

  • @YahyaYahya-vp2pp
    @YahyaYahya-vp2pp Před 3 měsíci +9

    Huu ulimii wa Muhammad bachu una fasaha kubwa sana Na baraka tele sana.. M/mungu amuhifadh wanafunz wake wanafaidika sana

  • @amadeomarsaide5023
    @amadeomarsaide5023 Před 3 měsíci +4

    Wallahi Sheikh Muhammad bachu nakupenda kwa ajili ya Allah kama nilivo kua ninkimpenda babaako Allah amrahamu na ampanulie qabri lake. Pia nawapenda waislamu wote waki Ahli sunnat wal jamaa kwa ajili ya Allah.
    Ahmad Umar Said Mozambique Nampula city

  • @HassanSalim-hl8qs
    @HassanSalim-hl8qs Před 3 měsíci +6

    Shekh Muhammad bachu usingemjibu huyu shia golo angetamba sana Allah akuhifadhi shekh wetu

  • @Athumaniomari-ge2gs
    @Athumaniomari-ge2gs Před 3 měsíci +6

    Maaashaaallah Allah akulipe heri nying sheikh bachu

  • @Athumaniomari-ge2gs
    @Athumaniomari-ge2gs Před 3 měsíci +8

    Sheikh bachu Allah akuhifadhi Zaid

  • @Bombwejr18
    @Bombwejr18 Před 3 měsíci +3

    Allah akuhifadh sheikh bachu m/mungu akuzidishie Elimu yenye hekima na yenye faida kwa Ummah wa kiislam Tusomesheni kama hivi msifarakane watu wa sunnah kwa sunnah 🤲🤲🤲

  • @YahyaYahya-vp2pp
    @YahyaYahya-vp2pp Před 3 měsíci +5

    MashAllah Muhammad bachu Allah yup pamoja na ww kwa kazi unayoifanya

  • @user-Anasmohammed12
    @user-Anasmohammed12 Před 3 měsíci +6

    ماشاء الله تبارك
    الله يحفظك ويحميك ياشيخ

  • @babatidaawa6550
    @babatidaawa6550 Před 3 měsíci +2

    Shia golo jibu hizo hoja Wacha kurukaruka kama chura nakukumbusha hii ni nba 3 jibu sasa hoja Wacha maneno wewe shia golo ... shukran Sheikh wangu Sheikh Muhammad bachu Allah akuhifadhi

  • @KhalfanMassoud
    @KhalfanMassoud Před 3 měsíci +5

    السلام عليكم ورحمة الله وبركاته. نسأل الله أن يهدي بلسانك الكثير من الشعوب 👅، آمين. أعلم أن الآخرين يجدون أنفسهم مشهورين من خلالك

  • @izmamuizmamu6521
    @izmamuizmamu6521 Před 3 měsíci +4

    زادك الله علما النافعا يا شيخ محمد

  • @almarwazyahaythamy4905
    @almarwazyahaythamy4905 Před 3 měsíci +5

    Yes

  • @sakinasakku8340
    @sakinasakku8340 Před 13 dny

    MAASHAA ALLAH SHEIKH ALLAH AKUHIFADHI

  • @msarama5406
    @msarama5406 Před 3 měsíci

    Allah akuhifadhi sheikh muhammad

  • @OmarAlly-iz8ot
    @OmarAlly-iz8ot Před 3 měsíci +3

    Hivi ndivyo elimu inavyo fanya kazi, na mwenye itikadi ya sawasawa unamjua kwa zaidi kwenye nondo kama hizi.

  • @NeemaSaleh-um5hd
    @NeemaSaleh-um5hd Před 3 měsíci +4

    Allah akuhifadhi

  • @saidimkwinzu9106
    @saidimkwinzu9106 Před 3 měsíci +3

    Huyo shia golo saivi anapata kichaa Kwa nondo izi mana zinashukia kwenye ubongo 😂😂 ALLAH akuhifadhi sheikh Muhammadi bacho

  • @user-zo9tv4vj7s
    @user-zo9tv4vj7s Před 3 měsíci

    Masha alla tunazidi kusoma

  • @Hamis-ks1sy
    @Hamis-ks1sy Před 3 měsíci +2

    الله يحفظك من كل شر

  • @badrudinsalum3139
    @badrudinsalum3139 Před 3 měsíci

    Barakallahu fiyka

  • @bafaaabuu
    @bafaaabuu Před 3 měsíci

    Mashaallah

  • @alkashaaiy9722
    @alkashaaiy9722 Před 3 měsíci

    و الله قد أجاد ... يحفظه الله و يهديه

  • @user-rp4eb5xw1z
    @user-rp4eb5xw1z Před 3 měsíci +1

    Mashallah Allah akuhifadhi sheh wangu Hao mashia waje nahoja so porojo

    • @KhalfanMassoud
      @KhalfanMassoud Před 3 měsíci

      Mmh kweli maana wanaporojo so mchezo, yaani mpaka unachoka kumsikiliza.

  • @user-md5tr1kg5s
    @user-md5tr1kg5s Před 3 měsíci +2

    Mashallah

  • @usudfi100.
    @usudfi100. Před 3 měsíci +1

    Ibn taymiya hawezi kutetewaaa
    Itikadi yake dhidi ya mungu ni ukafiri wallah mutake musitakeee
    Ninyi munataasub hapo ni ukafiri sijaona kilichotetewa

  • @Hamis-ks1sy
    @Hamis-ks1sy Před 3 měsíci +1

    Maa shaa Allah,endelea kuwanyoosha sheikh

  • @allyjuma9669
    @allyjuma9669 Před 3 měsíci +1

    Mashaaallah Allah akuhifadhi na akuzidishie elimu

  • @user-lf5yr9hb8c
    @user-lf5yr9hb8c Před 3 měsíci

    Allah akulinde na mahasid na akupe umri mrefu tuendelee kupata ilmu

  • @OmarAlly-iz8ot
    @OmarAlly-iz8ot Před 3 měsíci +2

    Ndiomana wanakubali kuwa watumwa kwenye iimani zao, na kubebeshwa fikra zisizokua za sawa, lkn Walimu munapo shika nafasi zenu basi mambo yanakua safi kabisa.
    Mi nimemsikiliza mwanzo hadi mwisho hili shia golo, lkn sikuona majibu ambayo yanafaa kuitwa majibu au raddi ya kielimu, bali ni kubebeshana takataka za itikadi na kubeba mijineno ya ovyo na kukwepa pwent na kujitia ujuzi asiokua nao.
    Lakini nilimwambia hapa umeingia chakike kibwengo, sasa mambo ndio haya, watu wanahitaji elimu isimame mahala pake, na ukweli uwekwe wazi, shia na sufi hawana ukweli huo, inabidi walazimishe kusema urongo na kuwazulia Maulamaa ambao qiyama kitasimama hakuna atakae wakosea adabu kwa kuwatuhumu vibaya au kuwasema vibaya, ispokua watu waovu, majitu maongo, mazindiiq.

  • @user-ye3fy9kk6r
    @user-ye3fy9kk6r Před 3 měsíci

    Baaraka llahu fik,namuomba M'mungu akupe mwisho mwema

  • @user-md5tr1kg5s
    @user-md5tr1kg5s Před 3 měsíci +1

    Maashallah vzr sana shekh allah akuhifathi

  • @suleimanmohd6759
    @suleimanmohd6759 Před 3 měsíci +1

    Allah akulinde sheikh wetu

  • @user-yj5on8cz3e
    @user-yj5on8cz3e Před 3 měsíci +1

    Ishallah shelhe bachu allah akulinde na mahasidi unajitahidi sana kutetea sunna ya mtume na kupambana na mapote ya batwili allah akumiminie rehma zake akulinde na maadui zako, akupe umri mrefu tuendelee kunufaika na ww mshushie nyundo za uso huyo shia mswahili anaewachafua wanazuoni wetu hawa jamaa mashia viumbe waovu sana wanatakia kuficha batil kudhihirisha hakki ukiingia tu kwao umeritad uislamu na umekwenda na maji maana wanaitikadi nyingi mbovu xana xana tumshauli huyu shia golo asafixhe kwani uovu wa kwenye vitabu vyao vimejaa kufru nyingi na matusi kwa mtume na kashfa nami namshangaa mtu anae wapenda mashia atakuwa nae hana akili sawa sawa watu wamemtukana mtume wako ww bado unawatetea hawa makafiri au kupata pesa ya sabuni au kufata kula vyakula njaa ndo zitawapeleka kubaya waislamu na kuangamia

  • @faharitv5763
    @faharitv5763 Před 3 měsíci

    MASHALLAH NIMEKUFAHAMU

  • @DalaAbdallah
    @DalaAbdallah Před 3 měsíci

    Mashawwa Alla akulnde shkh wetu

  • @user-xb6tr5vq4b
    @user-xb6tr5vq4b Před 3 měsíci

    Wewe bachu nimwalim kwelikweli

  • @user-lo1lb8qz4k
    @user-lo1lb8qz4k Před 3 měsíci

    Mashallah mungu akuhifadhi shekh wetu

  • @amadeomarsaide5023
    @amadeomarsaide5023 Před 3 měsíci

    Allah akuhifadh na mahasidi wote. Mimi hua naifaatilia mijadala yako yote kuanzia wa kina sabasi na Saidi mpaka hivi sasa. Kutoka Msumbiji

  • @user-zj6uz6dt9j
    @user-zj6uz6dt9j Před 3 měsíci

    Mashaallah❤

  • @Biziman-pu4kf
    @Biziman-pu4kf Před 3 měsíci +4

    Wanafunzi wako wananeema kubwa

  • @user-xb6tr5vq4b
    @user-xb6tr5vq4b Před 3 měsíci

    Tumenufaika kweli

  • @almarwazyahaythamy4905
    @almarwazyahaythamy4905 Před 3 měsíci +1

    1

  • @user-uu5qw4mm3i
    @user-uu5qw4mm3i Před 2 měsíci

    Inaskitisha sn wanapewa pesa na masĥia. Wameacha dini ya haki.

  • @OmarAlly-iz8ot
    @OmarAlly-iz8ot Před 3 měsíci +1

    Na uzuri nikua umemkamata mahala pazuri sana, tunataka athibitishe kwa kutumia vitabu vya Ibnu Taymiyyata Allaah amrahamu, mwenyewe nasio kunukuu maneno ya saggaaf na wahuni mfano wake, kumsemea mwamba Ibnu Taymiyyata ambayo haja yasema.
    Asikwepe, athibitishe kua Ibnu Taymiyyata anasema Mtume Alayhisswalaatu Wassalaam, kamuona Allaah Azza Wajalla kwa macho khasa!!!
    Ataweza wapi, na akija atakuja kwa sura ipi wakati keshavuliwa nguo muhuni huyu shia golo!!!
    Ndugu zangu wazushi niwatu waongo, khalafu niwatu wenye khiana, sio watu wakweli, hata umuone vipi, akisha kua mzushi basi sifa hizi atakua nazo tu.
    Allaah amlinde na amuhifadhi Shekh Muhammad Bachu, na amzidishie Elimu na Maarifa ktk Dini, na amnanyuwe Daraja yake na Hadhi yake, Waislamu wazidi kunufaika kwa juhudi kubwa anayo ifanya ya kupambana na watu wachafu, washirikina na wazushi, na waongo.......
    Masufi na Mashia, hawa ni watu waongo sijapata kuona kwakweli, na niwatu wenye khiana ya khatari kwakweli, na sio watu wakweli hata chembe......

  • @saadasaleh3177
    @saadasaleh3177 Před 3 měsíci +1

    Assalam Alaykum tunaridhika na majibu yako Allah akuhifadhi bali kwa yoyote anaemfata huyu Shia golo km haon tabu kusema uongo tena ktk dini ya Allah je ni mtu sahihi kumsikiliza akuongoze ktk dini yako? Ila na wewe ni muongo mwenzako au mzushi mwenzako NB Km unataka kua mbal na moto na makasirikio ya Allah itafute DINI yako kwa watu sahihi 🤗

  • @hassanmohamedlaizer569
    @hassanmohamedlaizer569 Před 3 měsíci +3

    Shia gola sijui golo akauze mandazi😂 huyu Shia si msikilizi tena aise😂😂...(alafu inaonekana hapendi wafuasi wakd huyu)

  • @ameirameir4349
    @ameirameir4349 Před 3 měsíci

    Mashia wanaitakidii kuwa Muhammad SAW hakustahiki kuwa Mtume Bali Ali ndie Mtume mashia wanasujudia udongo unatoka Karbala

    • @user-yj5on8cz3e
      @user-yj5on8cz3e Před 3 měsíci

      Asa si bora na hilo je wanaposema tupu ya mtume itakwenda motoni sababu mtume aliwangilia wanawake wqwili washirikina aiysha na afsa et kwakuwa aisha na afsa kwa itikadi zao mashia Hawa ni makafiri wanamakubwa zaidi ya wanayodhihirisha

  • @aooshosho4255
    @aooshosho4255 Před 3 měsíci

    Wanipa Raha duniani wallahi Raha ya elimu, ni elimu ya baatwili na elimu ya haki zikikutana tena bila kupendelea side yeyote na Allah akupe uwelewa pande zote,, yaani Mimi kaa mtafuta elimu hapa Shia amepigwa kumi bila na cha zaidi ni kwamba aliezama kabisaa Kwa hii kitabu ni sheikh Mohamed ila Shia mantiki uliotumia imekufedheesha Kwa wenye kuelewe elim si Bora kusikiza Tu.

  • @NassirSaidmassoud
    @NassirSaidmassoud Před 3 měsíci

    Muhamedi usteteh ukafri

  • @NassirSaidmassoud
    @NassirSaidmassoud Před 3 měsíci

    😢muhamedi uyu kunawatu walimpi nga ibni taymia kwaiyo alinukuhu ktk vitabu wewe nikafiri Kama ibntaymia

  • @YahyaYahya-vp2pp
    @YahyaYahya-vp2pp Před 3 měsíci +1

    Dah wachuoni walifanya jitihada sana emu angalie huo ufafanuz wa hadith moja tu kisha mtu anakuja kuwatukna wanachuoni.

  • @mwamudmohamed5566
    @mwamudmohamed5566 Před 3 měsíci +1

    sipendi kuona waislamu wakibishana mambo ya ushia na usunni ilhali sote ni waislamu......sahi maadui zetu wanawauwa waislamu uko Gaza na maeneo mengine....mbona hawasemi uyu ni mshia ama ni msunni....tutumieni akili majamaaa...tuungane sote kama waislamu dhidi ya maadui zetu ambao ni makafiri

  • @AbdulRahmani-xb8dp
    @AbdulRahmani-xb8dp Před 3 měsíci

    Hichi kitato cha bachu kikafiri kweli

  • @Abuushawkan
    @Abuushawkan Před 3 měsíci

    Shekh mohammad naamin huyo golo shia atakimbia hawezi pambana na haqi hata siku moja kama hajakimbia atavua kilemba na miwani atatoa وقل جاء الحق وزهق البطل ان البطل كان زهوقا

  • @AllyAhmad-zg2yp
    @AllyAhmad-zg2yp Před 3 měsíci

    Mashia eidha hawamuelewi ibun taymiyya AU wanapindisha tu maneno

  • @OmarAlly-iz8ot
    @OmarAlly-iz8ot Před 3 měsíci +1

    Ndugu zangu iskizeni mwanzo hadi mwisho muone uovu wa huyu shia golo, na uongo wake, na khiana yake!!!
    😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
    Nilimwambia na namwambia tena golo umeingia choo chakike!
    😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂.
    Wallaahi Wabillaahi Watallaahi huwezi kua mtu wa bidaa na shirki khalafu ukataka kushindana na wasomi wa wana Sunnah ispokua utafedheheka tu na kudhalilika, na mwisho wako utakwama tu, hautakua na upenyo wa kupenyea.
    Baaraka Allaahu fiika yaa Shaykh Muhammad.

    • @saadasaleh3177
      @saadasaleh3177 Před 3 měsíci +1

      😅😅😅😅😅 umefurahi moyon hasa Maashaa Allah. Washakipata walokitafuta elim hawana lkn ayo malemba makubwaaaaaa

  • @medinaser9712
    @medinaser9712 Před 3 měsíci

    Mohamed bachu...tuwache yote...nakuomba tuichambu hiyo khaditi ni sahihi au laa

  • @rashidjuma9169
    @rashidjuma9169 Před 3 měsíci

    Mtanange mawahabi wote wanajuwa mashia ni makafiri na mashia wote wanajuwa mawahabi ni makafiri

    • @saidimkwinzu9106
      @saidimkwinzu9106 Před 3 měsíci

      Na masufi wote mawahabi wanajua ni majaahil

    • @MB-yq3ty
      @MB-yq3ty Před 3 měsíci

      Usalama zaidi ni kusema Shia Ithnasharia ma ghulaat waliofikiwa na hoja kisha wakabakia kule ndo Makafiri.

    • @idisaidi287
      @idisaidi287 Před 3 měsíci

      Na masufi wote ni ??

  • @mfalmenajjash2128
    @mfalmenajjash2128 Před 3 měsíci

    Jamani tusomeni unaweza kujiona ww ni Ahlu sunna kumbe ww nijishiya lililopeya kabsaaaa

  • @Khatib-xp6fp
    @Khatib-xp6fp Před 3 měsíci

    Eti golo

  • @amyassyassin7909
    @amyassyassin7909 Před 3 měsíci

    hawa mashia wajanja wajanja na ukitaka kuwaumbua usijadiliane nao kupitia vitabu vya Ahlu sunna. Hawaviamini vitabu vya Kisunna wala hawapendi wanachuoni wa Sunna. Wanavitumia kuwavuta masufi waingie kwa ushia, kwasababu tayari washawapandikizia ubida. Kujadiliana na mashia, watolee majanga kutoka vitabu vyao, uone watavyopagawaa

  • @SugowFarah-up3db
    @SugowFarah-up3db Před 3 měsíci

    Amekimbia munaaqsha kuhusiana na Ibn Taimiya na kwa sasa amekuja kwa sheikh Barbahari😂😂😂
    Shia amejipata pabaya !!!!! hakutarajia

  • @usudfi100.
    @usudfi100. Před 3 měsíci

    Mimi Ahlu sunnah sufi ibn taymia ana itikadi ya kikafiriiiiiiii huwezi kumteteaaa hata kidogo kiddogoooo

  • @twahamkasi-gn1lo
    @twahamkasi-gn1lo Před 3 měsíci +1

    ،sinzani KAMA atarudi tena shia ngolo

  • @RachidaIacine
    @RachidaIacine Před 3 měsíci

    Golo na vijishia wenzako. Umelewa vitabu jinsi vinavosma?..sasa utasilimu au

  • @user-wh3et9pu3h
    @user-wh3et9pu3h Před 3 měsíci

    kuna habari imetufikia shia golo baada ya kupata raddi hii kapanda pressure hoi bin taabani

  • @NassirSaidmassoud
    @NassirSaidmassoud Před 3 měsíci

    Muhamedi wewe nimuhongo 19:30

  • @mdathirhassan2187
    @mdathirhassan2187 Před 3 měsíci

    Mshia muongo mkubwa

  • @Athumaniomari-ge2gs
    @Athumaniomari-ge2gs Před 3 měsíci

    Shia atakimbia tu najua maan kajiingza sehem ambayo han uwzo wa kujitetea

  • @user-xi4le1hp4y
    @user-xi4le1hp4y Před 3 měsíci

    Wee shia golo njoo fuata man haji ya haki .au lau kama ci hivyo jibu nondo hizo wee kichaa

  • @philosophyandlogic2235
    @philosophyandlogic2235 Před 3 měsíci

    Sheikh huyu shia hajamkufurisha ibn taymiyyah tuuh amemtusi sahaba muawiyah, tafadhali raadi hio ndio muhimu zaidi

  • @usudfi100.
    @usudfi100. Před 3 měsíci

    Na huyo Shafiiiii sio shia ni sufi muneamua mumchafuee ibn taymia kafiri

  • @abuujibriltv5233
    @abuujibriltv5233 Před 3 měsíci +1

    مع أننا لا نتفق مع الوهابية فى العقيدة لأنها فرقة التفكير وعقيدتها ضالة لاكن لانكفر أهلها من أنهم أهل لا إله إلا الله محمد رسول الله

    • @MB-yq3ty
      @MB-yq3ty Před 3 měsíci

      Hueleweki unaonge kitu gani yani

    • @warshysaid8564
      @warshysaid8564 Před 3 měsíci

      ​@@MB-yq3tycyo haeleweki Bali hajielewi

  • @rashidjuma9169
    @rashidjuma9169 Před 3 měsíci

    M Baki hivyo hivyo ukitukana mashekhe wa wenzenu na wenu pia watatukanwa hishimu mashekhe wa wenzenu nao wenu watahishimiwe .

    • @saidimkwinzu9106
      @saidimkwinzu9106 Před 3 měsíci +1

      Shehe wenu yupi katukanwa

    • @muhammadkarama9996
      @muhammadkarama9996 Před 3 měsíci +2

      Pumbavu wewe kama shekhe lako. Kuna tofauti ya kukosolewa na kusingiziwa. Sasa wewe ulivo pumbavu kama shekhe lako hujui kutofautisha

    • @Khatib-xp6fp
      @Khatib-xp6fp Před 3 měsíci +1

      Hakutukanwa shekhe someni vijana

    • @saadasaleh3177
      @saadasaleh3177 Před 3 měsíci +1

      Kwa kumchafua Mtume Muhammad Swalla Llahu Alayhi Wasallam na kumzulia kisha tukae kimy mtasahau

    • @saadasaleh3177
      @saadasaleh3177 Před 3 měsíci +1

      Wanajali Shekhe hawamjali Mtume wao atukamwe shehe zogo akitukanwa Mtume wakae kimya ivi mnaakili nyinyi

  • @husha6372
    @husha6372 Před 3 měsíci

    Bachu ANGALIA kiboko YAKO Sheikh Said Alshirazy kutoka MAMBRUI
    czcams.com/video/2SHPHN6bgbk/video.htmlsi=-M-G_p9rBHMxfmlC

    • @saadasaleh3177
      @saadasaleh3177 Před 3 měsíci +1

      Km kiboko mbona hakujibu kabaki mm nipo hapa hapa haendi mbele nyinyi kula inawasumbua lkn mtajuta ipo sku

    • @MB-yq3ty
      @MB-yq3ty Před 3 měsíci

      Saidi Aliongea uwongo sana atubie czcams.com/video/Taj7CziAWHM/video.htmlsi=9TGJBhfT3dgTsL8P

    • @MB-yq3ty
      @MB-yq3ty Před 3 měsíci

      Makosa kama haya hatujamwona akitubia hadharani kama alivyopotosha hadharani ni ujasiri wa ajabu sana kukaa kimya. Hii itamdhuru
      czcams.com/video/Taj7CziAWHM/video.htmlsi=9TGJBhfT3dgTsL8P mkumbushe huyo Sheikh wako.

    • @idisaidi287
      @idisaidi287 Před 3 měsíci

      Njoo kwa Bachu akusomeshe
      Maana sufi na shia damu moja

    • @Sheba4651
      @Sheba4651 Před 3 měsíci

      Kiboko mpiga mnanda? Dj

  • @NassirSaidmassoud
    @NassirSaidmassoud Před 3 měsíci

    Shafi ni msuni sio Shia ww nimuhongo

    • @UwesuJumanne
      @UwesuJumanne Před 3 měsíci

      sio muhongo asee hh😂😂 muhongo ndio nini😅😅 kiswahili tu kuandika mtihani...na wewe ni shia golo 2 maana mishipa yakutoka kumtetea golo mwenzio😅😅

    • @alkashaaiy9722
      @alkashaaiy9722 Před 3 měsíci +1

      huyo Shaafi ni jahmiyya na jahmiyya na shia na ibadhi ni wale wale katika Aqyida

  • @KhamisBakar-ge4sp
    @KhamisBakar-ge4sp Před 3 měsíci +1

    Sasa wewe Muhammad Bachu mbona unasema kuwa Barzanji ni Muongo ilhali na yeye amenukuu Hadithi ya wanyama walitamka katika vitabu vya Maimamu walio mtangulia Karne za nyuma, akina Abuu Nuaim,?
    Ndo Maan lile suali la Ustadh Saudi hukuweza kulijibu kwa sababu Abuu Nuaim huwezi kumuita nayeye kuwa ni Muongo

    • @babatidaawa6550
      @babatidaawa6550 Před 3 měsíci +1

      Wewe nawe ni muongo mtu wa maulid wewe acha kumtoa kasoro sheikh letu bachu

    • @saidimkwinzu9106
      @saidimkwinzu9106 Před 3 měsíci +1

      Muhammad bacho katoa dalili juu ya hayo unayosema kuhusu barzanji na mlishindwa kutetea Kwa hoja mana kasema barzanji ni muongo na katoa hoja zake na hamjajibu hata Moja hadi Leo zaidi ya porojo mnazotoa masufi

    • @MaulidiNyau
      @MaulidiNyau Před 3 měsíci +2

      Allah Azidi Kukujaza Kheri

    • @assalaafiiabuusalafi
      @assalaafiiabuusalafi Před 3 měsíci +1

      Wewe acha porojo. Acha Sheikh Muhammad bacho atupe faida. Allah akulinde

    • @saadasaleh3177
      @saadasaleh3177 Před 3 měsíci +1

      Ushajua kwanza kupiga gitaa hahaha

  • @AbdallahMzonge-pg9il
    @AbdallahMzonge-pg9il Před 3 měsíci +1

    Mashallah