Video není dostupné.
Omlouváme se.

Raddi adabishi kwa Jaafar Al-wi Saggaf _Acha kuwakufurisha Waislamu!!_ Sheikh Khalfan Tiwani

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 19. 08. 2024

Komentáře • 74

  • @user-qm9js5rq2r
    @user-qm9js5rq2r Před 3 měsíci +2

    Qur'an ni katika elimu ya Allaah kwahiyo Allaah alikuwa hana elimu ndio aka umba elimu subhaanallaahh Allaah aku hifadhi ustadh wetu mufty sharif jaafar saggaf haya maswala aliulizwa pia imam ahmad so nyinyi munao jiita mashekhe khabar zenu tunazo shenz zenu

  • @user-cy1od5xr8x
    @user-cy1od5xr8x Před 3 měsíci +2

    Sheikh Shafii hii Chanel Yako Sasa unaiboresha Masha Allah safi sana

  • @salmaali7080
    @salmaali7080 Před 3 měsíci

    Mijjittuu mizima hamuoni hsyya kukosowana mitandaoni kwa massiffa nyingi, allah hakutufundisha nyi mashekhe mwapotezza umma c weee c bahero c m bachu nyote nimassiffa

  • @user-un9cg9ty6r
    @user-un9cg9ty6r Před 3 měsíci

    "Ma Shaa ALLAH" SHK Khalfan Altiwani, Umemuweka Sawa Huyu Bwana Saggaf Wala Haujamkufurisha,, Tatizo Nyinyi IBADHI Madhahib Yenu Haikuenea Sana,,,, Hapa Kenya Mwapatikana kweli ?

    • @almarwazyahaythamy4905
      @almarwazyahaythamy4905 Před 3 měsíci

      Maibadhi.wana taqiyya..hawawakubal baadh ya maswahaba..humkut ibadhi akaitwa othmaan

    • @fiqhktkDini
      @fiqhktkDini Před 3 měsíci

      Itikadi sahihi ndugu ni kuwa Quraan sio kiumbe bali ni maneno ya allaah
      hii itikadi ya kuwa Quraan ni kiumbe hakuwa nayo Mtume wetu wala maswahaba wala wanafunzi wa maswahaba wala maimamu wa madh hebu manne makubwa hawakuwa na itikadi hiyo
      Ibadhi ni miongoni mwa makundi potevu bali ibadhi ni katika makhawaarij
      ALLAH ATUONGOZE KWENYE KUIFAHAMU HAQQ NA KUIFATA

    • @saba-gv3mj
      @saba-gv3mj Před 3 měsíci

      @user-un9cg9ty6r hajamuweka sawa hata dalili hajatoa ustadh jaffar sagaf yuko sawa quran ni maneno ya mungu na anae sema quran ni kiumbe huyo amekufuru katika madhebu ya ahlusuna wajama upande wa matwarika na yy amenuku ila huyu anae radi hata sababu hajatoa kuongea tu mwambie akasome alafu ajee akae na ustadh jaffar sagaf asomeshwe

    • @abiabi9353
      @abiabi9353 Před 3 měsíci

      ​@@almarwazyahaythamy4905wewe jahili kweli.Nani alokwambia kutowakubali baadhi ya maswahaba ndiyo taqiya

    • @abiabi9353
      @abiabi9353 Před 3 měsíci

      ​@@fiqhktkDiniToa dalili kama ushahidi unao

  • @RamaNassry
    @RamaNassry Před 3 měsíci

    SWALI:1.JE KUFUATA QUR'AAN,SUNNAH KWA UFAHAMU ULE WA WEMA WALIOTANGULIA{MTUME,MASWAHABA NA WALIOWAFUATIA}NI MAKOSA???
    2.KUACHA MAMBO YA BID'AA NA KUFUATA YALIYOTHIBITI TU,NI MAKOSA???{MAJIBU YATOKE KWENYE QUR AAN NA SUNNAH SAHIHI }

  • @mansulesuleyman6217
    @mansulesuleyman6217 Před 3 měsíci

    Ukiona umekuuma khalfan Jua ujumbe umefika

  • @hassanal-husseiny9144
    @hassanal-husseiny9144 Před 3 měsíci

    Ahsant, huyu Sheikh wa Kiibadhi hakufurishi watu.

  • @saba-gv3mj
    @saba-gv3mj Před 3 měsíci +2

    Huna ulichosema hata dalili moja hujatoa yakumpinga ustadh jaffar

    • @abiabi9353
      @abiabi9353 Před 3 měsíci

      Wewe ni jahili kweli.Huyo jaffari wako katoa ushahidi gani kwa aliyo yasema

  • @mansulesuleyman6217
    @mansulesuleyman6217 Před 3 měsíci

    Bwana Khalfan .. nakuuliza je Quran ni Makhlooq

  • @adamcity9441
    @adamcity9441 Před 3 měsíci +1

    Wacha kumzulia Mtume kuhusu Masahaba wa Nahrawan , kamuulize Ibn Abbas kuhusu Masahaba wa Nahrawan.
    Mmkaririwa na tawala za bani Umayya na mahadithi yenu ya kutunga mpaka mkaona waislam wa Nahrawan sio Masahaba.

  • @BushDoctor-dw8el
    @BushDoctor-dw8el Před 3 měsíci

    Shida ni kuwa mumeachana na Qur'an na kufuatilia vitabu vya viumbe katika msimamo wa dini na imani. Ndipo mukagawanyika makundi makundi kila kundi linaona ni bora kuliko mengine.
    Surat ar-rum aya 28-35.
    Na surat Al a'raaf aya 2-3.
    Wakati Allah kaamrisha tufuate mila moja tu.
    Sura Al Imran aya 95.
    Sura an-nisaa aya 125
    Sura Al an'aam aya 165
    Sura an nahl aya 123
    Na surat Al hajj aya 78.
    Hebu rudini kwa kitabu cha Allah na muachane na vitabu potofu.
    Sura Al furqan aya 30.

  • @AbuSaeed-pz2kb
    @AbuSaeed-pz2kb Před 3 měsíci +1

    Wewe ibadhi wacha kuruka ruka leta hoja nadalili
    Je anaeitakidi kuwa Quran ni kiumbe ni kafiri??

    • @abiabi9353
      @abiabi9353 Před 3 měsíci

      Huyo jaffari wako ndo alitakiwa kutoa dalili za kuwakufurisha wanapsema Quran ni makhluq

  • @user-dn3jh6oz8s
    @user-dn3jh6oz8s Před 3 měsíci +1

    Huyu sagafy itakuwa ni mla Gomba

  • @adamcity9441
    @adamcity9441 Před 3 měsíci +2

    Wanaosema Qurani si kiumbe wao ndio wamefaninisha Qurani na Muumba kwasababu hakuna kitu cha tatu , kuna Muumba na Kiumbe.

    • @saba-gv3mj
      @saba-gv3mj Před 3 měsíci

      Quran maneno yamungu

    • @saba-gv3mj
      @saba-gv3mj Před 3 měsíci

      Quran sikiumbe ni manono ya Allah

    • @abiabi9353
      @abiabi9353 Před 3 měsíci

      ​@@saba-gv3mjJe maneno ya Allah ni sifa za Allah au ni athari ya sifa? Kama maneno ya Allah si sifa za Allah basi ni makhluk.kwasabubu athari zote ni makhluki

    • @saba-gv3mj
      @saba-gv3mj Před 3 měsíci

      @@abiabi9353 nyinyi mawahabi wapotoshaji sana na kumzushia mtume s a w quran maneno ya Allah utake usitake ndio hivo

  • @KASSIMFUNDSIMU
    @KASSIMFUNDSIMU Před 3 měsíci

    Mjomba huku jibu allaah anaeza ifikisha hakki hata kwa mtu muovu asa ungejibu kua nyinyi hamuiiti quran kua nikiumbe alaf akawazushia au kama mnaiita bas mnaita kwadalili kadhaa kadhaa sio hata waliopokea hadith walikua mashia hiyo ni njia ya hakki kupita sio hoja

  • @user-kr1rh2ij7i
    @user-kr1rh2ij7i Před 3 měsíci +1

    Toa Dalili wacha mbwembwe nyingi toa Dalili wacha kelele

  • @OmarAhmed-eg8qw
    @OmarAhmed-eg8qw Před 3 měsíci

    Mushaanza tena na raddi raddi zenu
    Tieni Akili mtumie mulicho kusoma kufaidisha umma ya muhimu

  • @Al.habeebAl.habaaib
    @Al.habeebAl.habaaib Před 3 měsíci

    MASHIA NI MAKAFIRI
    NAWEWE UNAEJIITA SHAFI SHIA MTOTO

  • @hassanal-husseiny9144
    @hassanal-husseiny9144 Před 3 měsíci

    Huyu Jaffar badili ya kusoma zaidi na kufanya baath juu ya kuumbwa Quran yuwakufurisha watu.

  • @abiabi9353
    @abiabi9353 Před 3 měsíci

    Mimi ni wape muongozo kidogo tu kwa akina jaffari na wenzake wanaodai Quran si makluq. Niwaulize je maneno ya Allah ni sifa za Allah au ni athari ya sifa za Allah. Kama maneno ya Allah ni sifa za Allah basi Quran si makhluki na kama maneno ya Allah si sifa bali ni athari ya sifa basi Quran ni makhluki.Mimi naamini maneno ya Allah si sifa zake bali athari ya sifa ya yakusema.kwa mantiki hiyo Quran ni mkhluki bila shaka yoyote

    • @yazidumussa3144
      @yazidumussa3144 Před 3 měsíci

      Pumbavu wewe umeshiba kande kalale ujambe usku kucha

    • @abiabi9353
      @abiabi9353 Před 3 měsíci

      @@yazidumussa3144 Haha mijahili wakiwahabi safari hii hawatoki

  • @khalidhemed9209
    @khalidhemed9209 Před 3 měsíci

    Kueni na adabu na mashekhe

  • @medinaser9712
    @medinaser9712 Před 3 měsíci

    Hii mada ni yawatu wenye elmu na mashekhe wetu wa kisuni kinacho wia vigumu kutokusoma madhbu ningime ndoi mana madhhebu ningie yanakuwa kushinda usunn .....na hakula kisicho na kasoro kinacho tafsiriwa na mwanaada

  • @rayaalhabsi1725
    @rayaalhabsi1725 Před 3 měsíci +1

    Eti ana sema wamanga yaani nini maana yake.

    • @sleemhamoud4394
      @sleemhamoud4394 Před 3 měsíci

      Jahid Huyu jamaa muislam wa kwanza kusema Qur'an kiumbe ni Abu Hanifa na ni imaam wa kwanza Ahlu sunna

    • @HumeidKimazi01
      @HumeidKimazi01 Před 3 měsíci

      @@sleemhamoud4394Wengine walisemaje

  • @bagalucha
    @bagalucha Před 3 měsíci

    Tatizo hapa ni asili ya upinzani na ulwa na kibri,na kila mpotoshaji ,hawi salama binafsi,
    Aliyoyaamrisha Allah ukayakiuka na kutengeneza yako,itakuwa umezalisha dhambi,ama kubwa au ndogo.
    Huko nyuma manasara,wakamzushia Issa Alayh salam,ni mtoto wa Mungu,Allah akatubainishia kwa maneno yake,kufuru hii kubwa ya manasara,na Allah katubainishia wa wazi,kwamba hakuzaa wala hakuzaliwa,wala hana mshirika katika ghaibu ya ufalme wake.
    Je hawa wapotoshaji,wanaoifanya Quran ni kiumbe chake ,kilichobeba siri zake,hawaoni kwamba wamemshirikisha Allah ya kuwa na kiumbe msaidizi/mshirika aliyebeba Siri zake,hii si kufru????.
    Manasara wana utatu,je hawa wenye asili ya ukhawarij wa Nahrawan,kama mtume alivyowatahadharisha masahaba,kwa hadithi yake sahihi makhususi ya kuwazungumzia hawa,na yakatokea katika vita alivyopigana Sayidna Ali,na katika vita hivyo zikabainika alama alizozielezea mtume,
    Ndugu zetu wa kiibadhi kipi kimekusibuni,
    Hamuoni kwamba hayo ni makosa na kufru kubwa mnaitamka??,nani aliyekuelekezeni mtamke hayo?
    Hamkua mkiswali sala ya ijumaa kwa takribani miaka 1400,hilo halikukujieni katika elimu yenu kabla?
    Alhamdulillah miaka hii ya karibuni mmerudi na kusali sala hiyo.
    Na hili la Quran ni kiumbe,ndugu zangu wa kiibadhi ni kosa kubwa na ni kumkufurisha Allah,kwamba ana mshirika kiumbe katika utukufu wake.

    • @adamcity9441
      @adamcity9441 Před 3 měsíci

      Nini maana ya KIUMBE?

    • @user-pu2uw2ib5y
      @user-pu2uw2ib5y Před 3 měsíci

      Kumbe na wewe ni muwahabi? Ila ujue tu km mawahabi ni wakristo no 2,,, mimi nlikuwa najua km Allah ni mmoja tu,,, na na duniani na akhera kuna Allah na viumbe vyake tu hakuna cha tatu yake,,, kumbe nyinyi ndio mna utatu mtakatifu? Halaf tena mnawaambia wenzenu km wana utatu mtakatifu!!!!! Sasa mimi nasema km Qur'an ni kiumbe, kabla ilikuwa haipo halaf Allah akaiumba ikawepo sasa sasa wewe niambie km Qur'an si kiumbe ni kitu gani? Au wewe unasema Qur'an ni Allah? Au unasema Qur'an ni kitu gani?
      Halaf makhawaarij ni maswahaba pia usiwatukane mana nyinyi mawahabi (wakristo no 2) nasema km maswahaba wote ni waadilifu haifai kiwasema hata mle wanamoteleza sasa hapa mnawatukana makhawaarij vipi? Ikiwa ni kauli za mtume nyinyi hamziheshim, kwa sababu mtume alimwambia Omar ibnu yaasir.... Utauliwa ni kikundi cha waovu.... Na omary ibnu yaasir aliuliwa ni kikundi cha Muawiya ila sasa Muawiya akitajwa vibaya mnakasirika ilhali kuna hadithi za mtume ambazo zimemtaja!

    • @bagalucha
      @bagalucha Před 3 měsíci

      @@adamcity9441 Lete maana yako kwa mtazamo wako

  • @bishingwemaxime3655
    @bishingwemaxime3655 Před 3 měsíci

    Sheikh shafi naomba no yako tafadhali

    • @bakarisalimu8421
      @bakarisalimu8421 Před 3 měsíci

      Huyo bwana hawezi kukupa namba maana ajua hana alijualo

  • @ZahorSaid-ff8cf
    @ZahorSaid-ff8cf Před 3 měsíci

    yan awo wanao itwa mashehe vhereher km wa maulid au wanao jali wali t wakaacha hak

  • @rushu1232
    @rushu1232 Před 3 měsíci

    Hukutufahamisha vipi Quraan ni makhluuk yeye amesema simakhluuk hayo masaala ya takfiir ilikua mpaka ipatikane hoja kwanza.

    • @abiabi9353
      @abiabi9353 Před 3 měsíci

      Jaffar wako pia hakatoa dalili kwanini Quran si makhluki

    • @rushu1232
      @rushu1232 Před 3 měsíci

      @@abiabi9353 kwa hivyo wote wamekosea lakini yule alioradd ndio afaa kufahamisha vizuri sababu ameradd makosa ya Jaafar.

  • @user-dm2uy3un5q
    @user-dm2uy3un5q Před 3 měsíci

    Hajakosea shekh jafaar tafuta lakuongea ndugu hata hujaongea chochote chenye faida fujo tu kisha wajifanya waongea sanaa

    • @Silay1034
      @Silay1034 Před 3 měsíci

      Wacha kuingilia masiala ya kielim wakat we ni jahil murakkab wacha kukariri dini dini siushabiki

    • @awadhawadh5895
      @awadhawadh5895 Před 3 měsíci

      Hyo Jafar ndo kabisa hajaongea chenye maana labda kukufurisha waislamu wenzake

  • @saalimlubeya4236
    @saalimlubeya4236 Před 3 měsíci

    Wewe umepata wapi kujiita MUIBADHI NA JE MTUME NA MASWAHABA WALIKUWA MAIBADHI?.

    • @ibnuabdallathabit142
      @ibnuabdallathabit142 Před 3 měsíci +1

      Na hao wsnaijiita اھل السنة والجماعة wamepata wapi je mtume na maswahaba walijiita hivo.. wacha upuuzi..

    • @user.-_5943
      @user.-_5943 Před 3 měsíci

      ​@@ibnuabdallathabit142 Soma Hadith ya Tafriiqul Ummah

    • @awadhawadh5895
      @awadhawadh5895 Před 3 měsíci

      Na wewe umeipata wapi kua mtume alijiita salafi?

  • @saba-gv3mj
    @saba-gv3mj Před 3 měsíci

    Ww wataka usome mwanzo alafu ukimaliza kusoma alafu tukueke miza moja na ustadh jaffar alafu uzuri wa ustadh jaffar sagaf yuwakupa na dalili ww waongea hata dalili huna

    • @awadhawadh5895
      @awadhawadh5895 Před 3 měsíci

      Hyo kukufurisha wenzake kaipata wapi

    • @saba-gv3mj
      @saba-gv3mj Před 3 měsíci

      @@awadhawadh5895 hakukufurisha wenzake asema kimadhebu yao ya ahlusuna wajamaa twarika ukisema hivo ww ni kafir hajakufurisha waisilamu na katoa na dalili msikize vizuri ustadh jaffar utamuelewa huyu mtu wa kurad yuwaongea na hana dalili ustadh jaffar hajakufurisha amenukuu kwenye hadithi quran ni maneno ya mungu sio kiumbe uwahabi wenu wacheni na kuzusha tauhid tatu

  • @ZauliyuRamadhani
    @ZauliyuRamadhani Před 3 měsíci

    Kw sayyid jaafari Bado hamjafikia kbs hyo sayyid jaafari ni bahari ya elmu Kwa radd yenu hyo mshafel

    • @adamcity9441
      @adamcity9441 Před 3 měsíci

      Labda elimu ya Bahari chafu kwani mwenye elimu hawezi kukufurisha waislam.

    • @user-pu2uw2ib5y
      @user-pu2uw2ib5y Před 3 měsíci

      Uyo Jaafari wako teyari keshakufuru

    • @ZauliyuRamadhani
      @ZauliyuRamadhani Před 3 měsíci

      Hakuna tusi hata Moja hapo na kama matusi ni naqla katoa Kwa ufinyo wenu wa elmu mtakaa kijadili watu na wakina sayyid jaafari wanazid kusomesha nyie masheikh wa mitandao bakini humu

    • @ZauliyuRamadhani
      @ZauliyuRamadhani Před 3 měsíci

      Siku zote ukibishan na fala na ww utakua fala 🤣

    • @baarutmazrui5186
      @baarutmazrui5186 Před 3 měsíci

      ​@@ZauliyuRamadhaninyie endeleeni kumsaidia ibilisi kazi yake ya kufarakanisha waisilam mpaka shekh anakufurisha maibadhi kwa jambo ambalo linakhitilafu tokea huko huu ni mtihani sana Allah atujalie kuwa wema