Video není dostupné.
Omlouváme se.

MADHEHEBU KATIKA UISLAMU (Sunni,Shia,Shafi,Hanafi,Maliki,Hanbali nk) | SH.SALIM SHAMS

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 18. 08. 2024

Komentáře • 11

  • @HabibaAliAlio
    @HabibaAliAlio Před 9 dny

    Mashaallah

  • @salamanauthar5261
    @salamanauthar5261 Před rokem +1

    Wasojijua Kama Mimi wako dhehebu gani' katika Uislam' tujuane kwa like hapa👇

  • @kitaaofficial4119
    @kitaaofficial4119 Před rokem +2

    BASI KAMA MTUME (SAW) HAKUWA NA MADHEHEBU BASI USISEME DHEHEBU FULANI HALIFAI.. HIVYO MADHEHEBU YOTE NI UZUSHI TU! MUHIMU NI KUMUAMINI ALLAH NA MTUME MUHAMMAD (SAW).

  • @abiabi9353
    @abiabi9353 Před 6 měsíci

    Tatizo la mawahabi wameacha njia isiyo na Shaka alowaachia mtume njia ya kufata alhlulbayt wakaamuwa kufata njia yenye Shaka ya maswahaba. Niwazi kuwa maimamu 12 alotuach8a mtume wote wametakaswa kutokana Maelezo ya Quran.kwa hiyo njia yao haina shaka.lkn njia ya maswahaba inashaka kwasababu mtume kasema miongoni mwa maswahaba mna wanafiki,kuna anbao watabadilisha anri za mtume.kwahiyo ukichukua kwamfano hadith kutoka kwasahaba huna uhakika kama swahaba huyo ni miongoni mwa wanafiki au la.

  • @MuhammadShariff-ji9ye
    @MuhammadShariff-ji9ye Před 3 měsíci

    Ungesema madhehebu ya ahlul suna nisita Malik shafi hambal hanafi salafi na answari Sunna hapo tungekuelewa mtu akisema lailaha illala Muhammad rasululla yaani akatimiza nguzo Tano huwezi kumtoa katika uislamu Wacha kubambanya majibu

  • @hamynas
    @hamynas Před rokem +2

    kwa kuwa wewe ni salafi ansarusunna muwahab basi umejipa uhalali kuwa ni muislamu wengine siyo waislamu?
    unajiita salafi ya nini sasa?
    si ujiite muislamu tuu itatosha?
    jambo jingine wewe umejiita salafi lakini ukawakosoa ahlusumna baadae ukajinasibisha na ahlusunna?sheikh mbona hueleweki?

  • @mhusinigau3231
    @mhusinigau3231 Před rokem

    Allah atupe hidaya na tawfiiq, shehe Allah akulipe lkn Kuna sehemu kubwa ktk majibu Yako hujatoa majibu ya kukinaisha Watoto wa mjini wanasema umebambanya.

  • @nyambevalentine8293
    @nyambevalentine8293 Před rokem

    Huyu ndio unamkabidhi mtoto wako amfundishe, Allah atunusuru, swali halijajabiwa hata Kwa 20%

  • @msemasungura5651
    @msemasungura5651 Před rokem

    Kwan answari katika hao maimam wanne wanamfta imam gniii weweeeee acha

  • @mhusinigau3231
    @mhusinigau3231 Před rokem

    Hahahaha hahahaha, umeona haya kusema masalafi ndio wameongoka na lzm tuwe masalafi, lkn sio kuwa mashaafi, kuwa wamaalik, wa wahanafi. Umeona haya kusema Hutakiwi kuwa mshafii au muhanafi ila unatakiwa uwe km msalafi. Allah atuzidishie elimu na atukinge na taasubi mbaya pmj na umakundi

    • @husseinsaid8021
      @husseinsaid8021 Před rokem +1

      Mtume alikua Dhehebu la Salafi?? Tumieni akili ninyi dhehebu Bora ni ahlu sunna waljamaa na umbile aliloumba Allah ni Quran 30:30