NO.3: SHEIKH MUHAMMAD ABDUL WAHHABI ALIFUKUZWA KILA NCHI ALIYOKWENDA

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 11. 09. 2024

Komentáře • 176

  • @islander3191
    @islander3191 Před 8 měsíci +2

    Watu wa comment msitie tu mashallah kwa shekhe bila kutafuta ukweli, huyu shekhe ana laana za Allah kwa uzushi, msifate tu, wallahi huyu sheikh ni muongo. We unamzulia mwana chuoni aliopigania njia ya hakki bila la kumuogopa Allah kwa mj wake, ulimi sheikh utakupeleka pabaya kwa uzushi.

  • @jimjam-xg7rv
    @jimjam-xg7rv Před 10 měsíci +1

    Maa shaa ALLAH. sheikh ALLAH akuzidishiye hakima amin amin YARABI amin 🤲 🤲 🤲 🤲

  • @user-it3ee7zq2y
    @user-it3ee7zq2y Před 10 měsíci +5

    Uwahabi Sahi Sio kikundi
    Ni Umma umekubaliwa
    Nawatu wengi kila mahali
    Sio ushia kula pesa Kisha ukalale

  • @manyotamussa1328
    @manyotamussa1328 Před 10 měsíci +2

    Huenda MTU akawa ana elimu lakini hana ufahamu nikiwa na maana huyu mzee ana elimu lakini Allah amemnyima ufahamu na sababu kubwa ni kuendekeza matamanio ya nafsi na hawi mwenye kufanya hivyo ila amepotea umbali was juu kabisa pole sana mzee umechelewa sana na kazi unayoifanya hapo ni sawa sawa na kuzuia upepo usivume

    • @nurdinmfamau3493
      @nurdinmfamau3493 Před 10 měsíci

      Twayibu Inawezekana Nawe Ukawa Hauna Elimu Umebaki Na Ufahamu.

    • @manyotamussa1328
      @manyotamussa1328 Před 10 měsíci

      @@nurdinmfamau3493 bado hujaelewa na huwezi kunielewa

  • @makhanguwakhutu2408
    @makhanguwakhutu2408 Před 10 měsíci +3

    Sheikh Mohammed abdulwahaab Mimi namukubali Kwa kuondoa bida na shirik Sasa saa hii kila mosq ingekuwa ina makaburi

  • @msabahaali758
    @msabahaali758 Před 10 měsíci +5

    kazi kubwa aliifanya sheikh umebaki t kumchikia bila ya sababu bakinna chuki zako ewe muabudu makaburi

    • @user-pe6rf1en1u
      @user-pe6rf1en1u Před 9 měsíci

      Ni vema na wewe upinge hoja hizo kwa ushahidi, au sivyo Sheikh Hamis attendeea kuwa sahihi.

  • @DiudaKozi-qu8sl
    @DiudaKozi-qu8sl Před 10 měsíci +8

    Tunajua kuwa unalipwa na bakwata Kwa ajili ya kupotosha waislamu kweli

    • @lilianmakwati5228
      @lilianmakwati5228 Před 10 měsíci +1

      Mbona mnateseka

    • @DR.SAIFILLAH.5363
      @DR.SAIFILLAH.5363 Před 10 měsíci

      Pokea ukweli acha ushabiki haki ikikufikia ipokee
      Wewe tazama SAUDIA saivi anavyo udhalilisha uislamu

  • @Ahbabrasulintegratedacad-ok7uh
    @Ahbabrasulintegratedacad-ok7uh Před 10 měsíci +2

    Mashallwha shekhe shukran sheikh twakufwatiliya vema sanaa na twafaidika Sanaa usiwache kuelimisha uma uma wahitaki kujuzwa

  • @user-es6db6gk4w
    @user-es6db6gk4w Před 10 měsíci +2

    Shekhe muogope ALLAH Uyo unamuongelea vibaya ni mwanachuoni mkubwa sana ALLAH akufahamishe

  • @mohamedmichonjo5077
    @mohamedmichonjo5077 Před 10 měsíci +1

    Jazaka llahu kheiri mungu akupe nguvu kwa kutufungulia tusiyoyajua

  • @abdallahsiraji9919
    @abdallahsiraji9919 Před 10 měsíci +5

    A.alaykum warahmatullah wabarakaatuh...
    Comments zenu nyingi hapa zimejaa HASIRA ,CHUKI ,KEJELI na MATUSI. Je ,lugha hizi chafu na mbaya mnadhani ni SUNNA ya Nani ?
    Tabia hizi za Hasira ni Matunda ya Mafundisho ya Nani?
    Aqida hii ya watu mnaotusiana waislam baina yenu ni Aqida ya wapi?
    Jiulizeni hapa wote waliotoa Matusi ni wafuasi wa Nani na dhehebu gani? Kama wengi waliotoa Hasira na Matusi ni MASUFI au MASHIA au MAIBADHI au MAWAHABI basi majibu yawe watu hao asili au msingi wa Aqida na Madhehebu yao ni Mbovu na hauna uhusiano na SUNNA ya MTUME s.a.w......
    Jitafakarini sana
    Allah atusamehe na atuongoze ktk njia ya Haki Aamin

    • @AllyAhmad-zg2yp
      @AllyAhmad-zg2yp Před 10 měsíci +2

      Je kuwasemea uongo na kuwatukana maulamaa ni sunna ya nani

    • @AllyAhmad-zg2yp
      @AllyAhmad-zg2yp Před 10 měsíci

      Anaonesha wazi kua huyu mwenye kidev kama balbu ni adui mkubwa wa dola ya saudia wakiwamo mashia wenzake ila kufeni kwa chuki zenu

    • @MizaniOnlinetv
      @MizaniOnlinetv  Před 10 měsíci +1

      @@AllyAhmad-zg2yp Uongo UPI. Hukusikia nukuu za vitabu ambavyo ndani yake yamechukuliwa Maelezo hayo.

  • @abuubaya7614
    @abuubaya7614 Před 10 měsíci +2

    Hatusikilizi masufi wachonga ndevu wavaa maisbaal lazma mumchukie shaiykh mana mpo mbali na Sunnah za mtume saw

    • @mafiatv5479
      @mafiatv5479 Před 10 měsíci

      mbn wakoment? km huskilizi we hujielewi kumbe

    • @Muhammadshaka-wj4rk
      @Muhammadshaka-wj4rk Před 10 měsíci +1

      😂😂😂😂😂

    • @mafiatv5479
      @mafiatv5479 Před 10 měsíci

      Wewe zako zipo karibu ziwapi, kifuga ndevu ndo dini? kuna watu wafuga ndevu lkn washenzi km wewe na wenzio. hata mbwa mzuri ana afadhali kuliko nyie .
      na kuvaa visuruali vifupi ndo sunna za mtume mnazojua,,,, sindo mnazojua? nikuulize kuna sunna za mtume ngapi? nyie mwakamilisha? acha simu hy usiingie mitandaoni, mtume haijui hata simu, wewe waijua aimu, mtume kakwambia utumie simu? huo usenge wako tutolee huo ni ujinga km hujielewi kaa pembeni

  • @RASHIDBAKARI-rl9cd
    @RASHIDBAKARI-rl9cd Před 10 měsíci +2

    MUOGOPE ALLAH.... HATA MASWAHABA WALIPIGANA VITA NA KUUA MAKUFAR NA WASHIRIKINA...

  • @user-uc5py2ll5n
    @user-uc5py2ll5n Před 10 měsíci

    Sheikh Allah akuhifadhi nimepata kuufaham vizuri uwahabi na nimeridhika kua uwahabi ni tatizo kubwa ktk uislam haufai.

  • @Ibrahim-st3uo
    @Ibrahim-st3uo Před 10 měsíci +2

    Si kwiti muongo lkn wallaahi naapa unazungumza uongo

  • @zainabmahmoud2522
    @zainabmahmoud2522 Před 10 měsíci +1

    Huyo sheykh Allah marehemu alikuwa kiboko ya washirikina kitambo mpaka sasa nasisi waislam tunajua ata wewe unajua nivile huwezi acha kuabudu makaburi ndomana wafanya bidii kumuchafuwa sheykh wetu

    • @AbdallaMwagora-sm1rj
      @AbdallaMwagora-sm1rj Před 10 měsíci +1

      Umechanganyikiwa ww jiulize Imani yako upo tayari kupigana na mzazi wako Kwa sababu ya Imani ambayo hujaisoma vizuri na kuilewa ,huyo abdulwahabi alipiga babaake akapiga kaka ake .jiulize wahabi wasasa mbona hawatafuti washirikina wanatafuga waislaamu wenzao na kuwagawa kimadhehebu .mungu atawashinda.

  • @muhamedihamis2571
    @muhamedihamis2571 Před 8 měsíci

    Allah akupe ufaham mzuri wa kuielewa dini maana umeielewa zaidi siasa din bado hujaielewa vzr

  • @thamani5842
    @thamani5842 Před 10 měsíci

    Jazakallahu lkheir Shekh. ALLAH akupe mazuri Duniani na akhera

  • @FarajiMaulidi-qe5jf
    @FarajiMaulidi-qe5jf Před 10 měsíci +7

    Ukiwa ni mtu wa matamanio utamchukia ty abdul wahab. Tumesha msoma tumemjua alhamduli lah,,,,..mlikuwa mnatupotosha sana ..mnapenda shirki na kutukuzwa nyie

    • @ahmadmzoa74
      @ahmadmzoa74 Před 10 měsíci

      Shekhe umri umekwenda acha vinyongo na mifundo. Hao walishapita iangalie akhera yako wewe ipo vizuri. Kwani huyo marehemu Shaykh Muhammad alikufanya nini mpaka unafikia kusema uongo?

    • @jumamnemo8383
      @jumamnemo8383 Před 9 měsíci

      ​@@ahmadmzoa74haki ikikufikia na ukiikanusha ni juu yako endelea kuwasaidia Waengereza kufikia malengo yao ya kuwafarakanisha Waislam.

  • @ahmadmzoa74
    @ahmadmzoa74 Před 10 měsíci +2

    Mpaka leo huyu mzee hajajuwa Dini? Kuna dalili zikithibiti kwa mtu hujulisha Hutu mtu hajui Dini hata kama atakuwa mfasaha kiasi gani.

    • @ahmadmzoa74
      @ahmadmzoa74 Před 10 měsíci

      1995 alikuwa mwanasiasa. Hajaacha ubabaishaji.

  • @Ibrahim-st3uo
    @Ibrahim-st3uo Před 10 měsíci +3

    Wewe shehe ALLAAHU atakukutanisha na Sheikh Muhammad halafu utakwenda sema hizo porojo zako

  • @user-oe8nv2tw7w
    @user-oe8nv2tw7w Před 10 měsíci +2

    Maarifa yako madogo sana mzee

    • @MizaniOnlinetv
      @MizaniOnlinetv  Před 10 měsíci +2

      Tuelimishe wewe na maarifa mengi uliyobarikiwa juu ya kutambua historia ya Sheikh Mohammed Bin AbdulWahhabi iliyo tofauti na hii.

  • @eshematran7206
    @eshematran7206 Před 10 měsíci +2

    Hiyo picha ya sheikh Muhammad رحمه الله umeitoa wapi

  • @ABDINURA-hb9ky
    @ABDINURA-hb9ky Před 10 měsíci +3

    We Mzee mwogope na uumche Allah soma na ufwate kitabu cha Allah na sunnah

  • @user-kw3pg9cx9p
    @user-kw3pg9cx9p Před 10 měsíci +1

    Huyu anazungumza kama wanavyozungumza MASHIA

  • @eidallyeidally5093
    @eidallyeidally5093 Před 10 měsíci +2

    Uzur shekhe anajitahid ila hatoi ushuhuda kwemy vitabu vya shekhe mwenyewe nahii siyo radi yakuelimu poroja nyingi

  • @ndevumbili7117
    @ndevumbili7117 Před 10 měsíci +2

    Kusomaitima na kuabu makaburi nyinyi mnasoma maurid

  • @nurdinikisoma5452
    @nurdinikisoma5452 Před 10 měsíci +2

    Iyoo pichaa yake mmeipata wapi wakati. Zamazake picha akuna

  • @zawiyatanzaniatraders8449
    @zawiyatanzaniatraders8449 Před 7 měsíci

    فلا تزكوا أنفسكم هو أعلم بمن تقي MSIZITUKUZE NAFSI ZENU YEYE ALLAH NDIE ANAEMJUA ANAE MUOGOPA TUMUOGOPE ALLAH ACHENI PROPAGAMDA ZA KISHIA

  • @abdullahmasakata170
    @abdullahmasakata170 Před 10 měsíci

    Kama haya anayoyasema ni uongo leteni huo ukweli na uhalisia wakwenu, Achene matusi, jibuni hoja kwa hoja za kielimu sio maneno ya mitandaoni yasio na yakini ila hisia na mapenzi na umadhehebu hatuwezi wote kuwa na uelewe mmoja na mlengo mmoja.

  • @rashidsaid9409
    @rashidsaid9409 Před 10 měsíci +2

    Kila mtu utakaemsikia anawaongelea kwa ubaya mashekhe hawa :Shekh Muhammad ibni Abdul wahhaby"Shekh Mohammad nassurddin Albany"Sheikhul Islam Ibnu Taimiyya. Allah taala awarehemu. Basi mtambue mtu huyo {ni mtu wa matamanio ya nafsi jitu la bidaa). Huyu kapotoshwa ńa anataka kupotosha watu.ki Kweli kabisa ukitaka kuwatambua vizuri watu hawa someni vitabu vyao. Ńa Alhamdulilĺah vitabu vyao vipo nawatu hivi sasa wanavisoma kwa wingi ńa watu wanaondoka katika ujinga Alhamdulilĺah. Wewe ndevu zimekushinda kiasi umchukie maana shekh Muhammad ibni abdl wahhaby alikuwa anawalingania WAISLAMU juu ya laailaha ill Allah. Ńa sivyengine. Watu kama wewe wanaofuata matamanio ya nafsi zao bida} wameshagundua tayari wa Islam. Ayo yako ńa wenzio. Zilipendwa.

    • @jumamnemo8383
      @jumamnemo8383 Před 9 měsíci

      Huo ni ufaham wako finyu huyo Abdul Wahhabi hakuwa Swahaba wa mtume bali alisoma kwa mashekh wake,na ukimuona mwanafunzi anatengwa na mashekh zake ujue huyo ni khazab.

  • @ndevumbili7117
    @ndevumbili7117 Před 10 měsíci +2

    Nyinyi waha budu makaburi

  • @bagalucha
    @bagalucha Před 9 měsíci

    Mtasema sana lakini mtume keshasema,Miji mitakatifu makka na madina,namtume keshasema ilimu ipo makka na madina,wewe utabaki na uzindiq wako,naAllah atakupukutisha kwa uwongo wako na fitna na upotoshaji katika diniYa Allah Subhana wataalla

  • @makhanguwakhutu2408
    @makhanguwakhutu2408 Před 10 měsíci +2

    Mtaongea story mingi lakini sisi tunangalia umuhim na juhudi yake yakuondoa bidaa na shiriki na akurudisha watu katika uislam original Sasa hii ingekuwa tumejaza bidaa kila kona

  • @user-pe6rf1en1u
    @user-pe6rf1en1u Před 9 měsíci

    Tawhidi tatu za MAHHABI na Tawhidi ya Wakristo inayosema (baba, mwana na roho) zote ni shirk. MAWAHABI sio Waislam. Mungu wao ana mikono miwili tu. Nyie MAWAHHABI ogopeni Siku ya Kiama kuna kazi!!! Msichezee tawhidi, ALLAH Hasamehi dhambi ya shirk, Anasamehe dhambi nyinginezo, someni Quran mtaona.

  • @abuuabdirrahmaan4132
    @abuuabdirrahmaan4132 Před 10 měsíci +3

    KUMBE HUYU MJINGA BADO YUPO????

    • @jumamnemo8383
      @jumamnemo8383 Před 9 měsíci

      Hoja uvunjwa kwa hoja na sio matusi si tabia za kiislam kwani uislam ni hoja.

  • @abdirashidmohammed-qn7xw
    @abdirashidmohammed-qn7xw Před 8 měsíci

    Alifikuzwa Kila nchii kwa sababu diinii daawa aliyofanya ni daawa mtume Mohammad SAW aliyoifanya na nivigumu watu wakubali aqiida ya towhid kama haswa nyinyi masufii

  • @user-mi3cs9lc6y
    @user-mi3cs9lc6y Před 10 měsíci +4

    Mawahab kwenye ukafir mpo karib na ktk iman mpo mbali japo hamjijui Kama walokole zinduken!!!

  • @zainabmahmoud2522
    @zainabmahmoud2522 Před 10 měsíci +2

    Mtume wetu (S.a.w) alipoanza dawa ya tawhiid washirikina walianza kumutukana matusi mbali mbali mpaka kumufukuza mujini maka nahii ndohali sisi mawahabi kama tunavyoitwa nahawa wabudu makaburi tunaoyo pambana nayo

    • @yohana1242
      @yohana1242 Před 10 měsíci +1

      Saw ila mtume alikua akitukwan akilengw mawe na makafiri sio waislamu ila nyinyi mawahab munakataliw na waislamu wenzenu kwa uposhaji munaoufanya

  • @selemankishema5780
    @selemankishema5780 Před 10 měsíci +2

    Mzee endelea kutomboka tu uhuru unao lakini wallahi kama hutotubia juu ujinga huu subiri mwenye hii dini yupo

  • @Ibrahim-st3uo
    @Ibrahim-st3uo Před 10 měsíci +3

    Kidevu cheupe kama papai

  • @muniramtoy8280
    @muniramtoy8280 Před 10 měsíci +2

    Huyu Mzee ni muislanu au
    Mbona anapingana na hata Alama za uislamu?

  • @Ibrahim-st3uo
    @Ibrahim-st3uo Před 10 měsíci +1

    Mropokaji wewe ALLAAHU akuongoze unazungumza uongo wa hali ya juuuu

  • @user-fj3dp2xe4q
    @user-fj3dp2xe4q Před 10 měsíci +4

    Acha uongo mzee wewe wewe ni mzushi ila allah anakuona

  • @zainabmahmoud2522
    @zainabmahmoud2522 Před 10 měsíci +2

    Bilashaka washirikina hawa watafedheheka wao kama wanzao wakitambo warivyo fedheheka mbere ya mtume s.a.w mzee hakuna kitu unaambia ummat wakislam nichukitu zidi yawatu wa sunnah na tawhiid bilashaka wa islam wengi wanajua haki ila wale wachache unao wapotosha ogopa Allah wacha kuuza dini yako kwakipato kidogo cha dunia

  • @JumaChilwele
    @JumaChilwele Před 10 měsíci +1

    Ww nipumba tu.

    • @JumaChilwele
      @JumaChilwele Před 10 měsíci +2

      Meneno unayoyatumia yakowazi kua nimjinga wawajinga hauna sifa elimu.soma kwaza alafu ulinganie

  • @AbassShabani
    @AbassShabani Před 9 měsíci +1

    Ndo kama nyinyi mnavyolipwa Na Mayahudi nduguzake mawahabi

  • @abuushakiraddausiy8666
    @abuushakiraddausiy8666 Před 10 měsíci +1

    Sass huyu kichaa Mzee mzima hovyoo ,,,,,,,mwamsikiza kichaaa huyu mchochezi....

  • @bagalucha
    @bagalucha Před 9 měsíci

    Bismillah Rahman Rahim
    Haya mengi anayosimulia huyu msimulizi hayana ukweli,kwanza hakuna mfuasi au dhehebu linaloitwa wahabi,alikuwapo huyu ulamaa akiitwa Muhammad Ibn Abdulwahab,katika nchi ya Saudi Arabia,kuna historia yake aliyoiacha ya kupigania jihadi ya kuiondosha shirki,ambayo ilishaanza kushamiri baina ya karne ya 17/18,watu walikuwa tayari wakifanya ibada kishirikini za kuabudu mizimu ya miti na mapango,katika sehemu mbali mbali za Saudia,mtume Muhammad alilipinga na aliliondoa hilo,watu walianza kurudia mila za kutambika na kadhalika,kwa kweli Muhammad Ibn Abdulwahab hakulipenda hilo,na alipigana na wapinzani wengi katika kuliondoa jambo hilo,kuna historia ya uwongo ambayo ilitungwa katika vitabu vya kishia na kighurafi/kisufi,zinazoipotosha historia halısı,haswa baada ya tawala zilizokiwepo wakati huo, kushindwa na Muhammad Ib Abdulwahab kushinda,vita hivi dhidi ya makundi yaliyounga mkono ushirikina huu,vita hivyo havikusita hapo,hata baada ya yeye kufa viliendelea,kwa mfano Makka na Madina zilizokuwa zipo chini ya utawala uliojinasibu wa kisharifu/kissufi/kighurafi kwa wakati huo,uliachia upotofu mkubwa katika msikiti mtukufu wa Makka,uliacha Uislamu ugawike kimadhehebu,kinyume na mafundisho ya mtume Sallallahu alayh wasalam,kwa mfano sala za jamaa zilizozunguka katika Kaaba ya msikiti mtukufu Makka ,zikifanyika kimadhehebu,kwa wakati mmoja iliweza kufanyika jamaa nne kuzunguka Kaaba,kwa alama za mistari iliyogawa makundi tofauti ya kimadhehebu kwa kupishana wakati wa sala za jamaa,na kuongozwa na maimamu tofauti kwa kufuata madhehebu,kulikuwa makamun shafi,maliki,hambali,Hanafi na kadhalika,mtume Muhammad aliuacha uislamu mmoja,muislamu ni ndugu wa muislamu,huu ulikuwa udhaifu mkubwa na upotofu,utengano uliosababishwa na nasaba za kimadhebu,na hili ni moja ya jambo lilipingwa na wafuasi wakeMuhammad Ibn Abdulwahab ndio likapelekea wengi kumuunga mkono na kuuondosha utawala uliokuwepo,ama kwenye kupingana lazima kuwepo na vita,wewe msimulizi unapendelea msikiti mtakatifu urudi katika hali ile iliyokuwepo kabla,ya sala za jamaa za kimadhehebu,kukimu kwa sala tano tofauti katika Kaaba moja,historia hii wapotoshaji wa kishia/ kissufi mapote yenye kulingania upotofu,hivyo kweli watu walizunguke Kaaba na kucheza ngoma za kasida na maulidi katika msikiti huu mtukufu?,hili alilifunza mtume??,utukufu wa Allah upo wapi kwa hili???,sasa hilo ndilo wanalopigania wapotoshaji wa kisufi,watu wa bidaa nzuri,ikiwa dini aliikamilisha kwa kujua madhara yatakayokuja kutokea ikiwa mtaingiza mambo mapya,ambayo mengi yao ndiyo njia unayompa shetani iblisi,njia ya kuipotosha dini ya Allah,kuna dalili za huyu msimulizi kutumika kueneza uwongo,kutumika na kueneza propaganda za kishia na kighurafi dhidi ya Uislamu ulioachwa na mtume Muhammad Sallallahu alayh wasalam,kama hili la kuyazunguka makaburi na kutaja majina ya wanazuoni kwa nia ya kujikurubisha kwa Allah,Allah hana mshirika katika kuombwa,kuabudiwa,hili halikuwepo,wala si katika mafunzo ya mtume,hata lisisitizwe vipi,huu ni upotofu,ambapo mtume hakuliamrisha hili.
    KWA WALE WAABUDU MAKABURI
    Suratuz Zumar 3: "Na wale wanaowafanya wenginewe kuwa ni walinzi, husema; sisi hatuwaabudu hawa, bali tunafanya hivi ili wapate kutuweka karibu na Allaah. Hakika Allaah atahukumu baina yao katika wanayo khitalifiana. Hakika Allaah hamwongoi alie muongo kafiri.
    Sutatu Yunus 17-19: "Nao, badala ya Allaah, huabudu wasiowadhuru wala hawawanufaishi, na hunasema; hawa ndio waombezi wetu kwa Allaah. Sema uwaambie; je! Mnamwambia Allaah asiyoyajua ya Mbinguni na ardhini!? Subhanahu wa Taa'la! Ametakasika na ametukuka na hao wanao mshirikisha naye. 18
    Mtume Swallallaahu alayhi wasallam aliomba dua kwa kusema: "Ewe Allaah, usijaalie kaburi langu kuwa ni pahala pa ibaada. Namuomba Allaah awalaani watu wanaoyafanya makaburi ya mitume/viongozi wao kuwa ni pahala pa ibaada."
    [Musnad imaam Ahmad (12/314)]
    Kama kweli unaipenda haki ifuate haki,achana kufuata na misimamo ya kishia,kisuffi/kighurafi,ambayo imeingiza ibada nyingi kwa hawaa zao,katika dini ya Allah,ambayo tayari mtume Muhammad Sallallahu alayh alishaikamilisha,Masufi wanaona wanaimarisha,kumbe wanayazidisha mambo katika dini yanayoharibu,lolote lile utakaloliingiza katika ibada za dini ya Allah ambalo halikuthubutu kwenye Quran ujumbe wa Allah na sunna za mtume/mjumbe wake wa mwisho

  • @JumaChilwele
    @JumaChilwele Před 10 měsíci +2

    Huyu Sufi mjinga sanns

  • @hamzakimaro3764
    @hamzakimaro3764 Před 10 měsíci +1

    HUYU KHALIFA KHAMIS NI WAKALA WA MASHIA HAPA TANZANIA!!

  • @sheikhzaidu4790
    @sheikhzaidu4790 Před 10 měsíci

    الله المستعان

  • @AbuSaeed-pz2kb
    @AbuSaeed-pz2kb Před 10 měsíci

    Hata Mtume Muhammad alifukuzwa Makkah na akapigwa mawe ndani ya Thaif
    Ina maana Mtume Muhammad
    Alikuwa hayuko katika haqi???
    Nabii Musa na Issa na ibrahim na Yusuf wote hao walifukuzwa
    Umetangaza vita na mwanachuoni
    Na nyama ya mwanachuoni ni sumu

  • @amadeomarsaide5023
    @amadeomarsaide5023 Před 10 měsíci

    KILA ANAYE TETEA TAUHEED ILIO SAHIIHI LAZIMA UCHUKIWE NA WASHIRIKINA NA WAFANYE PROPAGANDA ILI USIKUBALIWE. LAKINA KAWAIDA YA ALLAH HUSIMAMIA WATANGAZA HAQQ.

  • @salimfaraj5509
    @salimfaraj5509 Před 10 měsíci +1

    Wewe sheikh ubwabwa tunakujua kitambo ni mtu wa tamaa huna dini wala chochote.

  • @sirajramadhan7542
    @sirajramadhan7542 Před 10 měsíci +2

    Huyu mzee kwawanaomjua alishawahikua kiongozi wa msikiti wamtoro hebumulizeni nini kilimtoa kwenye uongozi nawaibiasiri aliiba mabati nanondo navifaa vingine ambavyo nimaliya msikiti akaenda kujenga kilekigorofa chake palemagomeni sasahivi kanunuliwa namashia Huyu njaainamsumbua shekh hawikamahuyu huyunimwehu

    • @MizaniOnlinetv
      @MizaniOnlinetv  Před 10 měsíci +2

      Akili za kuambiwa changanya na zako.

    • @uwesundembo5147
      @uwesundembo5147 Před 10 měsíci

      😢😢😢 mzee mche Allah acha njaaa

    • @HusseinSalum-il6bz
      @HusseinSalum-il6bz Před 5 měsíci

      We tahira na wew kaibe nondo na mabati umbeya umekujaa eti nawaibia siri kama hadija kopa bwana😂😂😂😂😂

  • @mohamedjackson5593
    @mohamedjackson5593 Před 10 měsíci

    Shida sio kufukuzwa kila sehemu bali ni msimamo wake wa kuondoa Shirki na Bidaa zilizokua zimejaa

  • @ramadhanimtetu3656
    @ramadhanimtetu3656 Před 10 měsíci +2

    Huyu ni Mshia Lazima Azungumze ujinga Wake
    Bado Hujasema - Zungumza lkn wewe Halifa hamisi ukumbuke uliondoshwa Masjidi Mtoro Kwa Tabia zako mbaya mbaya za Umbea Unbea na Ulongo

    • @MizaniOnlinetv
      @MizaniOnlinetv  Před 10 měsíci +1

      Propaganda yenu ya kufanya sie Sunni tuungane na nyie MAWAHHABI katika vita yenu dhidi ya mashia imefeli. Sasa mmeona mmuite na sheikh wetu shia mkiamini KWA kufanya hivyo siri za upotovu wa Dini yenu ya kikufurishaji ya KIWAHHABI zitasalimika. Ni nyie pekee mnaokufurisha waislamu wote na kujiona peke yenu ndio mlioandikiwa pepo.

    • @Jambo693
      @Jambo693 Před 9 měsíci

      @@MizaniOnlinetv kwahiyo mashia walikuwa wanakubaliana na masunni kabla ya kuja sheikh Muhammad Abdullwahab?!

  • @muniramtoy8280
    @muniramtoy8280 Před 10 měsíci

    Wewe Mzee unajuwa kuwa baada ya kuondoka mtumie hii dini ilinajisiwa.

  • @mrafm7285
    @mrafm7285 Před 10 měsíci

    Vita yoote anayopigwa sheikh Mohammed abdulwahhab ni kupinga mawlid na khitma

  • @user-ql2om7qj3v
    @user-ql2om7qj3v Před 10 měsíci +1

    Ushawahi somesha kitabu chake.wewe na babako aliyekuzaa hamuwezi toa makosa hata moja. Ila washirikina watakubaliyana nawewe lakini aliyeshikana na sunnah za mtume hawezi kukusikiza wewe mpiga ramli

  • @dizomapenzi
    @dizomapenzi Před 10 měsíci

    Kama ni hivo dah

  • @ABUUSHURAIM
    @ABUUSHURAIM Před měsícem

    Ili sheikh ongo kweli

  • @zawiyatanzaniatraders8449
    @zawiyatanzaniatraders8449 Před 7 měsíci

    Sk wacha uchochezi تلك أمة قد خلت لها مكست ولكم ما كسبتم ولا تساون عن ما كانوا ىعملون Tafsiri ya hii ni kwamba HAO NI WATU AMBAO WAMESHATANGILIA WAO WANAYAO WALIYOYACHUMA NA NYINYI MNA YENU MLIYOYACHUMA WALA HAMTAULIZWA WALIYOFANYA WAO mwisho wa tafsiri wacha kuwasema masheikh

  • @yusufntamila541
    @yusufntamila541 Před 10 měsíci +1

    Darsa kubwa sana wengi hawayajui haya wanafata mkumbo

  • @abuuseifanaabdulqaadir1124
    @abuuseifanaabdulqaadir1124 Před 10 měsíci +1

    HAO WATRUKI AKINA ALI BASHA WALIWACHINJA MAWAHABI MIAKA YA KARIBUNI NA KUWATEKA HISTORIA HIYO HUJAONA

  • @medimisi6930
    @medimisi6930 Před 10 měsíci +1

    Abdul wahabi, alipinga bidaa na bidaa alianza mtume kukemea ndio maana kama nyinyi mnamkataa. hata ibrahim aligombana na baba yake kwaiyo akawa ktk haki hata dunia nzima wakikuchukia ila akikupenda allah tu inatosha. halafu shida ya mashekh wa bidaa hadi hadithi dhaifu wao wanatumia kama alivosema shekh said kusapoti kuongea wanyama mimba ya mtume ilipotungwa, alithibisha kua ni hadithi dhaifu ila maulid anasoma na anatangaza kusomwa na anajua kua ni hadithi dhaifu.

  • @mirajimrumbi7300
    @mirajimrumbi7300 Před 10 měsíci

    Huyu mzee anajifanya Sufi wakati ni Shia,
    Anawahadaa masufi na ndio kawaida ya mashia hutumia "Taqiya."
    Na wewe Sufi kama utamuona yupo sawa unganeni ktk kuwatukana Maswahaba wa Mtume rehma na aman ziwe juu yake halafu mtakutana na Allah siku ya mwisho

  • @ghalibhemedsaid9306
    @ghalibhemedsaid9306 Před 3 měsíci

    Vitabu vya Muhammad abdulwahab viko vengi sana, sasa mm nataka utuelezee ni katika kitabu gani umeona hayo ww waongea? Aqeeda ya Muhammad bin abdulwahab twaijua kupitia vitabu vyake ..tuoneshe kosa hata moja kupitia vitabu vyake.

  • @sirajramadhan7542
    @sirajramadhan7542 Před 10 měsíci +2

    Huyu mzee nimwehu kinachompeleka mbio ninjaatu huyuanalipwa namashia ndiomaana unamuona anahangaika hukunakule yotenjaatu mtumsomi hawezikuzungumza utumbokama wahuyu njaakali

    • @MizaniOnlinetv
      @MizaniOnlinetv  Před 10 měsíci +1

      Sifa ya muislamu ni umakini. Yeye anaongea KWA data. Wewe unazungumzia habari ya njaa yake. budget ya nyumbani kwake umeifahamu vipi?

    • @taratibu
      @taratibu Před 8 měsíci

      Huwezi kuchangia kwa adabu, hekima na busara mpaka umtusi mtu... Sisi niwafuatiliaji wa mawaidha ya wanazuoni na tunafuatilia na vyanzo vingine vya elimu...Sasa kwako tufuatilie Matusi na kebehi ulizo toa....kama una hata chembe ya Facts ziwasilishe utakuwa umesaidia

  • @abuuseifanaabdulqaadir1124
    @abuuseifanaabdulqaadir1124 Před 10 měsíci +2

    UMENYOA NDUVU KAMA BIBI HARUSI MAELEZO YAKO KUIFUPISHO NI HASAD JUU YAMALI WALIO NAO WASUUDI NA HASIRA YAKUWA WATOI MALI ZAO KUWAPA KULA MPUNGA MFUNGO SITA

    • @abdallahsiraji9919
      @abdallahsiraji9919 Před 10 měsíci

      Matusi yako ndio matunda ya UWAHABI...
      Mawahabi hamna upendo wala kauli nzuri kwa wasiokua MAWAHABI...
      Dini yenu ya UWAHABI haina Athari ya Sunna ya Maneno Mazuri ktk Daawa ya Mtume s.a.w...

  • @YusuphuYahya
    @YusuphuYahya Před 10 měsíci

    Mtu kutetea sunnah ndio mbaya sio kweli na kupiga vita shiriki du mim sina elimu lakin nimemjua shek mohumad cha alithul tharath kasome ndio utamjua huyo .pia quran inatwa alfurqan pia ujuwe kwa jina lingine

  • @AbuuAbdillah-hb8li
    @AbuuAbdillah-hb8li Před 10 měsíci

    Muulize hicho kitabu anachosoma ni kitabu gani kama si cha kishia au cha kisufi masufi waliochupa mipaka

  • @AbuuAbdillah-hb8li
    @AbuuAbdillah-hb8li Před 10 měsíci

    Huyu mzee ni katika wanafiki ni ni katika watu waovu wapingaji mafunzo sahihi ya mtume swalallahu aleihi wasallam swala la kufukuzwa sio dalili kama mtu ni muovu kwani hata mtume swalallahu aleihi wasallam alifukuzwa maka na twaifu na akapigwa hadi damu zikamtoka kwahiyo kufukuzwa sio alama Ya uovu huyu mzee ni kama ibilisi ni mtu muovu hana dini bali unafiqi umemjaa na haya anayoyasema ni uongo mtupu

  • @DiudaKozi-qu8sl
    @DiudaKozi-qu8sl Před 10 měsíci +1

    Wewe Mzee wa kishia Acha uongo na ujinga Kwa mashia na masufi.

    • @mafiatv5479
      @mafiatv5479 Před 10 měsíci

      na wewe shoga wa abdulhabi acha ujinga

  • @bagalucha
    @bagalucha Před 9 měsíci

    Jamaa muwoongo huyu

  • @ayyamirubba5226
    @ayyamirubba5226 Před 10 měsíci +1

    Ninyi ni Ubbadul'qubuur..na hamyapimi mambo kwa karne 3 zilizo bora...kama wewe twakuelewa vema.

  • @zuberkasim7150
    @zuberkasim7150 Před 10 měsíci

    Mtu wa haki hapendwi ukijiona hupendwi jua umekuwa mchamungu.

  • @shazyahya4121
    @shazyahya4121 Před 9 měsíci

    Njaa tu bakwata wamemjima kibarua mtaani njaa kali ndio maana anatapatapa youtube kutafuta Riziki 😅

  • @DiudaKozi-qu8sl
    @DiudaKozi-qu8sl Před 10 měsíci

    Wewe Mzee Acha uzushiii na upumbavu na ujinga.Acha kudanganya watu ipo siku utajutia .Ambayo ni siku kiama

    • @komkya_Nexus
      @komkya_Nexus Před 10 měsíci

      Anachokisema Shekh yupo sahihi soma kitabu kinaitwa Dolat al Saudia

  • @AhmedSeif-il1xx
    @AhmedSeif-il1xx Před 2 měsíci

    Huyu hana hata ushehe

  • @MohamedAhmed-yi1yf
    @MohamedAhmed-yi1yf Před 10 měsíci +1

    Watu wa bida wakikosolewa sababu ni wahabi

  • @ibrahimmsabah440
    @ibrahimmsabah440 Před 9 měsíci

    Sio hoja wala dalili kua alifukuzwa kwenye kila nchi.mbona mitume mingi tu ilifukuzwa katika nchi zao? Acha chuki zako kwa watu wema.

  • @CharafimalisalimoAli-qw3hk
    @CharafimalisalimoAli-qw3hk Před 10 měsíci +1

    KWA MAWAHABI HAPA MNACHOJOLEWA NGUOZENU ATA ZANDANI. NYINYI MFUATENI SHEEWEENU KUWAKUFURISHAWATU NA KUWAUWA WAISLAMU BILAHATIA NAKIPORA MISIKITI YAWENGINE, HII NI HISTORIAYENU INAJIRUDIARUDIA.

  • @allymahaba3425
    @allymahaba3425 Před 10 měsíci

    Allah (SWT) Akujaze kila la kheri Sheikh Halifa. Huu ndio ukweli ambao tunaufahamu. Lakini Mawahhabi hawautaki.

    • @masanjalaissa1660
      @masanjalaissa1660 Před 10 měsíci

      Uyu ni punda wa shia mtu faraka we unamsapoti umjui itakua

    • @allymahaba3425
      @allymahaba3425 Před 10 měsíci

      @@masanjalaissa1660 Maneno yake ni sahihi. UWAHHABI ni balaa kwa Waislam. Tumuogope Allah, Siku ya Kiama haiko mbali. Sikiliza vizuri maneno haya ili Allah Akuongoze, usiufiche ukweli kwa kimtuhumu eti Shia. Maneno ya kweli hata yakisemwa na Kafiri pokea mradi yana ukweli ndani yake.

  • @ndevumbili7117
    @ndevumbili7117 Před 10 měsíci +1

    Auna fati chuki tu

  • @OmarAlly-iz8ot
    @OmarAlly-iz8ot Před 10 měsíci

    Jasusi huyu, na kibaraka wa bakwata, yani uislamu huu ulio nao wewe ndio nasisi tuwe hivi?
    Khatari ya ajabu ya zama hizi Wallaahi, wenye elimu na wenye ukweli ktk Dini ndio wanao hujumiwa na mijitu mipumbavu mijinga eti ndio wanaokaa kuwakashifu wasomi na kuwazulia urongo, na watu wanaamini ujinga huu

  • @barzaqtradingcompany8541
    @barzaqtradingcompany8541 Před 10 měsíci +6

    Tawhid ishaenea na hamwezi kuzuia na bidaa zenu

    • @swalehkhatibu5451
      @swalehkhatibu5451 Před 10 měsíci +1

      Haswaaaaaaaaaaaa

    • @abdikadirshariif5311
      @abdikadirshariif5311 Před 10 měsíci +1

      Huyo ni pembe ya sheytani wa kutoka Najdi. Kulingana na hadisi ya mtume.

    • @rayisadesigns2646
      @rayisadesigns2646 Před 10 měsíci +1

      TAWHEED YA MUNGU ANA MIKONO AU VIPI?!

    • @jumafaki2891
      @jumafaki2891 Před 10 měsíci +2

      Kuigawa tauhidi ni shirki sawasawa na Imani ya kikristo hajaifundisha mtume Wala masahaba Wala itifaki ya wanavuoni tauhidi ni moja tu nayo ni لا الله الا الله واشهد ان محمد رسول الله Sasa mawahabi Wana mungu mwengine si mungu wa waislamu na Wana tauhidi zao ndio hizo tatu

    • @barzaqtradingcompany8541
      @barzaqtradingcompany8541 Před 10 měsíci

      @@jumafaki2891 limegawa tawhidi na medebehu la ashaira masufi wanao fwata masufi soma
      قسَّم بعض السادة الأشاعرة رحمهم الله تبارك اسمه التوحيد إلى ثلاثة أقسام: توحيد الذات، وتوحيد الصفات، وتوحيد الأفعال. أَيّ اعتقاد أنّه لا يوجد ذات مثل ذاته، ولا صفات لغيره مثل صفاته، وأنّه المتفرد بخلق الأشياء وإيجادها وليس لغيره من ذلك شيء. أمّا توحيد الذات فمأخوذ مِنْ قوله تعالى {قل هو الله أحد} [الأخلاص /1]. وتوحيد الصفات فمأخوذ من قوله تعالى {ليس كمثله شيء} [الشورى/11]. وتوحيد الأفعال فمأخوذ مِنْ قوله تعالى {الله خالق كل شيء} [الزمر / 62]، وقوله {والله خلقكم وما تعملون} [الصافات /96]، إلى غيرها مِنَ الآيات الكريم

  • @rushu1232
    @rushu1232 Před 10 měsíci

    Mbona mawahabi unachukia haqqi hiyo historia iko International sio TZ tu kuna kitabu cha itwa the British spy ulaya kimieleza hiyo historia.

  • @ndevumbili7117
    @ndevumbili7117 Před 10 měsíci

    Ww unatofauti na shia

  • @abuuiqrimah1125
    @abuuiqrimah1125 Před 10 měsíci

    Ww ni zindiki

  • @rushu1232
    @rushu1232 Před 10 měsíci

    Hiyo ndio historia yakweli uhawabi hakuna anaemchukia ila nifitina kubwa alioingiza duniani alipoacha ilmu nakufuata hawaa za nafsi yake.

    • @suodymmbaga6583
      @suodymmbaga6583 Před 10 měsíci +2

      Ndugu yangu kama ww una muohopa Allah na siku ya mwisho embu nenda kasome kitabu cha shekh Muhammad Abdulwahab, usulu,thalatha, alafu ukimaliza uje umtukane tena,unaongea kwa muhemukoa,

    • @rushu1232
      @rushu1232 Před 10 měsíci

      @@suodymmbaga6583 hakuna anemtukana wala anaesema sio alim lakini alifuata hawaa nakutaka kuwa ndio sheikh mkubwa mpaka kukosana na baba yake na kaka yake nakuuwa watu kudai wanafanya shirki someni historia doll ya saudia ilisimama vipi.