Video není dostupné.
Omlouváme se.

KAMA MAJINI WANALETA PESA MBONA MUNAUZA DAWA ZA MITI SHAMBA || Muhammad Bachu.

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 19. 08. 2024

Komentáře • 61

  • @user-cp1ms3cm1o
    @user-cp1ms3cm1o Před 2 měsíci +4

    Mashaallah sheikhe mhammad nasoro bacho nakupenda kwa ajili ya Allah

  • @davidruhasha9670
    @davidruhasha9670 Před 2 měsíci +6

    Woote hao wahadhir bilbia, wamekuwa waganga, ivi kuhubiri dini wamemuachia mazinge pekeake,na tiba zao wengi wao ni za shirki, nyota, pète,majini, vyote hivyo ni haramu, mungu awepe mwesho mwema,bachu endelea kufundisha insha allah

  • @hafidhseif9638
    @hafidhseif9638 Před 2 měsíci +7

    Ndugu yangu sheikh bachu usichoke kufundisha atakae sikia vizur asiye taka ,basi ALLAH ANASEMA SEMA HAKI INAYO TOKA KWA MOLA WAKO ,ANAE TAKA AFUATE ASIYE TAKA MUACHE AKUFURU,LAKINI HAKIKA TUMEMTAYARISHIA MOTO ,NA HATOTOKA HAPO SHIMONI ,NA ATASIKIA KIU ATALETEWA MAJI KAMA SHABA ILIYO YAYUSHWA, AYA INAENDELEA,SURAT AL KAHAF

  • @mohamedkhairudin6418
    @mohamedkhairudin6418 Před 2 měsíci +1

    Masha Allah nimepata elimu kubwa sana kumchana mtu ni vizuri zaidi kuliko kumficha.na nimependa ulivyosema wazi yule MVAA MIPETE mshirikina

  • @nasramusaro
    @nasramusaro Před 2 měsíci

    Shekhe Mohammed Bachu nakupenda kwa ajili ya Allah

  • @abuuaidh6500
    @abuuaidh6500 Před 2 měsíci +2

    Mm namnasihi baba kiluwasha rafiki yangu. Usijiingize kwenye ujinga ujuwe familia nyingi zinakuunga mkono kwenye usaidizi wako wa kuziunga Ndoa. Ikiwa usheikh wako unaunga mkono washirikina akina Sule na wenzake. Ujuwe watu watakuwa hawakuamini Tena.

  • @user-Anasmohammed12
    @user-Anasmohammed12 Před 2 měsíci +4

    شيخ محمد أحبك في الله

  • @husseinqaic5384
    @husseinqaic5384 Před 2 měsíci +2

    جزكا الله

  • @hafidhseif9638
    @hafidhseif9638 Před 2 měsíci +5

    Someni surat jini muone maelezo, ane toa rizki ni Allah peee ,hakuna kumtii au kumtegemea kiumbe shirki tuache

  • @BofuMlanzi
    @BofuMlanzi Před 2 měsíci +2

    Jazakallahu khairan. Waelimishe hao wafuga majini elimu zao ndogo.

  • @MuhammadBAITANI-jh6kl
    @MuhammadBAITANI-jh6kl Před 2 měsíci +1

    باب:العلم قبل القول والعمل.❤

  • @saidjuma4547
    @saidjuma4547 Před 2 měsíci +1

    assalamu alaikum shekh Muhammad Allah akupe kheri mkubwa Sana tunaiona juhudi yako Allah akulinde na Kila shari

  • @omarsirleem7105
    @omarsirleem7105 Před 2 měsíci +3

    Madhara mengine makubwa ni hii itikadi ya makafiri wa zama hizi hasa huku kwetu Kenya,wakristo wengi wana itikadi kuwa waislamu wana majini.....baadae unapombainishia ukweli ndo anajua kumbe ni porojo tu hizo wanazoitakidi na ni idadi kunwa sana ya wakristo wenye kuamini hivo,sasa akitokea Shekhe mpotoshaji kama huyo ndugu yetu Sule inakua tu mtihani anawazidishia wakristo imani yao potofu dhidi yetu 😢 aisee ni jambo la kuskitisha sana.....cha ajabu anaporekebishwa,zile clip zake za kupotosha huwa hazifuti kwa CZcams na mitandao mengine na kukubali kuradiwa,abaki tu kwenye mijadala na makafiri mambo mengine asiyokua na elimu nayo awaachie kina masheikh wetu wapendwa.....Allah akuhifadhi شيخ محمد

    • @RamadanPaul
      @RamadanPaul Před 2 měsíci

      Kutumia majini ni ushirikina ndugu, hata huku Tanzania wakristo hudai eti waislamu wanamajini, lakin qur'an imekataza kutumia majini kunufaishana, sijui sulle hasomi au?.
      Al Quran: Al-An'am/6:128
      ---
      وَيَوْمَ يَحْشُرُهُمْ جَمِيعًا يَا مَعْشَرَ الْجِنِّ قَدِ اسْتَكْثَرْتُم مِّنَ الْإِنسِ ۖ وَقَالَ أَوْلِيَاؤُهُم مِّنَ الْإِنسِ رَبَّنَا اسْتَمْتَعَ بَعْضُنَا بِبَعْضٍ وَبَلَغْنَا أَجَلَنَا الَّذِي أَجَّلْتَ لَنَا ۚ قَالَ النَّارُ مَثْوَاكُمْ خَالِدِينَ فِيهَا إِلَّا مَا شَاءَ اللَّهُ ۗ إِنَّ رَبَّكَ حَكِيمٌ عَلِيمٌ
      Translations:
      ---
      Na ile Siku atapo wakusanya wote awaambie: Enyi makundi ya majini! Hakika nyinyi mmechukua wafuasi wengi katika wanaadamu. Na marafiki zao katika wanaadamu waseme: Mola Mlezi wetu! Tulinufaishana sisi na wao. Na tumefikia ukomo wetu ulio tuwekea. Basi Mwenyezi Mungu atasema: Moto ndio makaazi yenu, mtadumu humo, ila apendavyo Mwenyezi Mungu. Hakika Mola wako Mlezi ni Mwenye hikima, na Mwenye kujua.
      -- Ali Muhsin Al-Barwani.

  • @muhsinkimaro4283
    @muhsinkimaro4283 Před 2 měsíci

    Allah akufanyie wepec ktk harakat hizi, nasmikiliza baba yako hapa na darsa zake

  • @hatibumohamedi3471
    @hatibumohamedi3471 Před 2 měsíci

    جزاكم الله خيرا و احسن الجزء

  • @YahyaYahya-vp2pp
    @YahyaYahya-vp2pp Před 2 měsíci +1

    Shukran sana sheikh muhammad baachu

  • @UlamaaWaUlamaa
    @UlamaaWaUlamaa Před 2 měsíci

    Bachu kamaliza kila tu. Wasipo elewa basi watapata wanachostahili

  • @hafidhseif9638
    @hafidhseif9638 Před 2 měsíci +3

    Hakuna jini anae ingia kwenye kichwa cha mtu akawa mzuri, jini mzuri hanahabari na habari hizo wana muogopa Allah, ukiona jini anashirikiana binadamu huyo analengo baya la shirki, jini ni muongo kupita kiasi, tuwache shirki jamaani,

    • @mwinyijumamwinyi4656
      @mwinyijumamwinyi4656 Před 2 měsíci

      Kwa hiyo nabii Suleiman alikua mshirikina Cox alikua akishirikiana na majini Hadi kutaka kuamrisha miongoni mwao wamletee kiti?
      Kwani hakujua Kama kiti kinakuja kwa nguvu za Allah?
      Mawahabi akili zenu Ni sawa na mavi ya nguruwe.

    • @hafidhseif9638
      @hafidhseif9638 Před 2 měsíci

      @@mwinyijumamwinyi4656 yule ushamwita Nabii suleiman, au na huyo ni nabii sule? NABII SULEIMAN ALIPEWA NA UPEPO WANYAMA, MPAKA ALIKUA AKIONGEA NA WADUDU, SASA UNAKATA KUMFANANISHA NABII NA MTU WA KAWAIDA WEWE VIPI, MTUME MUHAMMAD S,A W, ALIPEW RUHUSA YA KUOA MPAKA WAKE 9 SASA JE WEWE UMEPEWA? USILINGANISHE VITU VYA MANABII NA AKINA SISI WALALA HOI, SOMENI MUACHE SHIRKI ALLAH PEKE YAKE NDIO WA KUMTEGEMEA, SASA KAMA MUNATAKA KUMFANISHA NABII SULEIMAN ,NA NABII SULE MWAMBIENI NAE AONGEE NA SISIMIZI NA AMRISHE UPEPO ,NA ASISAHAU KUONGEA NA KUNGURU , PUMBAVU zenu,

  • @mr_s.m.i.l.e254
    @mr_s.m.i.l.e254 Před 2 měsíci +1

    MaashaAllah

  • @nasramusaro
    @nasramusaro Před 2 měsíci

    Unanifurahisha sana mafundisho yako

  • @mohamedbashir4344
    @mohamedbashir4344 Před 2 měsíci

    Huyu Dr sule nilikuwa namsikiza Sana ila hapo Kwa majini amekufuru sasa sijui alikuwa amekunywa ama lakini amejiweka hadharani yeye ni mshirikina subhanaallah

  • @aslamswalah7852
    @aslamswalah7852 Před 2 měsíci

    Assalam aleykum khui, Tabaraka Allah.usichoke kututoa takataka, Allah azidi kukuwezesha na akupe hekma na ujasiri.Allahumma Amiin

  • @faridaally-jp1gx
    @faridaally-jp1gx Před 2 měsíci

    Allaah Akuhifadhi sheikh toa darsa wanatuchanganya na sisi Allaah Atuongoze

  • @TamimuMshare
    @TamimuMshare Před 2 měsíci

    Mashaalah jazzakallahu haira mwenyezimungu amjalie shehe bachoo dawa zake zimenyooka sana

  • @YusuphAusi
    @YusuphAusi Před 2 měsíci

    Masha Allah, Allah akuhifadhii

  • @user-mk7qi6ti3s
    @user-mk7qi6ti3s Před 2 měsíci

    Asalamaalekum sn elim ila ukiw n elim ukafamika kw elimu ulionayo iwe ndg au y kiwngo y kat .Ukawa unaporosha wsiona elim wakakuami /sapot yoyte iwe y coment ....na ukaw Unaenda kinyume Uovu shirk n ulichokisoma ktk Dini huchukui mda uwov wko utadhirika kw wale uliowaongpea n kukuamin ktk iman kumilik maji mtiani mtt w shulle akiw na jini asomi zvr, iweje unae yafuga upose n uoe mmoja ndoa y mkeka 🙏🙏🙏🙏

  • @abdallahmgaya7521
    @abdallahmgaya7521 Před 2 měsíci

    Nilikuwa namthamini sana Dr. Sure, lakini tokea aseme anapata msaada Kwa Pete na majini, nimempuuza sana na Wala sitaki kusikia madam yake yeyote, ni mshirikina mkubwa aloharibikiwa saaana

  • @AbubakarAlly-th6op
    @AbubakarAlly-th6op Před 2 měsíci

    Sure anafikishiwa analeta kiburi waislamu tujiweke mbali na sure Na mfano wa sure

  • @ameirameir4349
    @ameirameir4349 Před 2 měsíci +3

    Na wengi ya hao wauza dawa ni waongo

  • @imamumohamedmalina6995
    @imamumohamedmalina6995 Před 2 měsíci

    Jazaaka ALLAHU KHAIRAN

  • @RamadhaniMohamed-wt3cq
    @RamadhaniMohamed-wt3cq Před 2 měsíci

    Upo sahihi sheigh

  • @shuwehaharuna6309
    @shuwehaharuna6309 Před 2 měsíci +1

    Dr sule si mwiislam , imagine anasema akikuombea dua ,dua yake haina kizuizi eti inapita mojakwamoja na inakuwa mustajab

  • @babatidaawa6550
    @babatidaawa6550 Před 2 měsíci

    Shukran sheikh

  • @twahakabajemi9716
    @twahakabajemi9716 Před 2 měsíci +2

    Sheikh umefanya vema umenikosha jini haonikani utamjuaje kama ni muisla au la?

  • @ibrahimjumaa538
    @ibrahimjumaa538 Před 2 měsíci +2

    *NAMUULIZIA YULE MSHIA YUPO WAPI?*

  • @kadiriosmam
    @kadiriosmam Před 2 měsíci

    Asalam aleikum warakhmatullah tafadhali tujuze mengi kuhusu subject hii.nimihimu watu wengi wamepotezwa.

  • @esir6667
    @esir6667 Před 2 měsíci

    Hata ww hatukujui kama muislam unaweza ukawa unajiita shekh kumbe unapoteza watu

  • @azizayassin3623
    @azizayassin3623 Před 2 měsíci

    Hii nguvu tungeiweka kwenye ushoga na usagaji na watoto wa zinaa na kupigana na wayahud tungeogopewa na manabii wa mungu walivyokuwa

    • @YahyaYahya-vp2pp
      @YahyaYahya-vp2pp Před 2 měsíci +1

      Ukipigina na ushoga unapigana serekali. Hilo jamb lina mkono mrefu dada angu sio jepes kama unavyofikiria

    • @kassimothman666
      @kassimothman666 Před 2 měsíci

      Ushoga na usagaji NI kupigana na SERIKALI kubwa za kidunia

  • @azizayassin3623
    @azizayassin3623 Před 2 měsíci

    Kenya wako na paybill tayar wamepeka chakula gaza mara tatu hya mkishamaliza michambo muhamasishe kuweka paybill watu wachange na kusaidia ndungo zetu baba kiruwasha

  • @KassimSalim-fi1me
    @KassimSalim-fi1me Před 2 měsíci

    Keshasema hashughulishi na radi zao yeye yke yanamuendea anatembelea Lexa wao waendelee kuvaa ndara mtu wa namna hiyo utamuweza uyo kirwasha na sule wote wachawi

  • @hafidhseif9638
    @hafidhseif9638 Před 2 měsíci +1

    Hakuna aya wala hadith inayo ruhusu kutegemea jini, tuwache ushirikina jamani njaaa itatuangamiza dah,

  • @khamisjuma7616
    @khamisjuma7616 Před 2 měsíci

    naona mambo yako wazi sana hao wanaotetea kushirikiana na majini ni wapenzi tu wa shirki Allah amekataza mashirikiano na viumbe hawa awe muislam awe kafir mana hao wote wana roho za kupenda uasi

  • @yasiniKingazi
    @yasiniKingazi Před 2 měsíci

    Babakiluwasha gani huyo mbona hujambanisha

    • @kassimothman666
      @kassimothman666 Před 2 měsíci

      Baba Kirwasha sio MTU mbaya ila nadhani kateleza lkn atarudi ktk haki

  • @saidjuma4547
    @saidjuma4547 Před 2 měsíci +1

    sule kakosea Sana anastahiki kufundishwa akitaka

  • @mwinyijumamwinyi4656
    @mwinyijumamwinyi4656 Před 2 měsíci

    Nabii suleiman alijengewa miongoni mwa majengo yake na majini,pia aliamrisha miongoni mwao walete kiti cha malkia balqis
    Swali je nabiisuleimsn alikua hajui kama kiti kibgekuja kwa nguvu za allah? Hadi atake kuamrisha miongoni mwa majini walete?.

    • @YahyaYahya-vp2pp
      @YahyaYahya-vp2pp Před 2 měsíci

      Kwanz kijana nabii suleman hakumuamrisha jini alete kiti bali aliuliza nan ataleta kiti jini akasema mm nitakileta kabla ujaka hapa chini na kasema mtu wa kawaida tu mm nitakileta kabla hujafumba macho na kufumbua kwa hivy kiti kililetwa na mtu..
      Pili ucjiilinganish na manabii walipewa vitu vingi ambavy sis hatuna... Na kila kaumu ilipewa mtume kulingana na watu wake.

    • @mwinyijumamwinyi4656
      @mwinyijumamwinyi4656 Před 2 měsíci

      @@YahyaYahya-vp2pp usinifanye mm hko kisa sikijui vijana wa kikijozi mmoja,ww siumesema mtu akijihusisha na majini Ni mshirikina swali nabii Suleiman Ni mtu au Nani? Acha ushabiki hapa

    • @YahyaYahya-vp2pp
      @YahyaYahya-vp2pp Před 2 měsíci

      @@mwinyijumamwinyi4656 hukijui na hukijuii sanaa nambie ni sura gani na aya namba ngapi na fsri uliyoisoma ww imeshereheswa na nani. Suleman aliuliza tu nani atanileta kiti cha enzi nd akaruka jiini mm nitaleta na wala haakuamrisha alite hapa hapo mtu mweny elim ya kitabu tena mtu wakawaida akaleta kiti kama ww ni msomi kidog niambie ni sura gan.

    • @YahyaYahya-vp2pp
      @YahyaYahya-vp2pp Před 2 měsíci

      @@mwinyijumamwinyi4656. Kwanza jua suleman hakua ktk umati Muhammad na kila umati umepewa miujiza yakee sasa suleman kupewa jeshi la majini ni saw kani allah ameshamchagulia hivy.. Hoja hizo lete kwa mtume Muhammad mana ndio kigezo chetu wapi alikua majini ktk mambo yake or maswahaba wake

    • @YahyaYahya-vp2pp
      @YahyaYahya-vp2pp Před 2 měsíci

      @@mwinyijumamwinyi4656 sasa unataka kusema nabii suleiman alimuamrisha jini na jini ndio alekilta kiti?

  • @Captainome
    @Captainome Před 2 měsíci +4

    Maa shaa Allah sheikh Muhammad bachu elimu ni amani, fikisha anaetaka na asikie.