TWARIQA WAFEDHEHESHWA NA MUNAQASHA WA SHEIKH SAID.

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 24. 09. 2023
  • #munaqasha #mombasa #shikhbachu #sheikhsaid #maulidi #maulid

Komentáře • 174

  • @binhussein4411
    @binhussein4411 Před 10 měsíci +1

    Alhamdulillah
    WALLAHY ALLAH HUMUONGOZA AMTAKAE. SHUKRAN SHEIKH ALLAH AZIDI KUKUONGOZA NA KUTUONGOZA SOTE. ULIENDA KUTAFTA HAKKI NA UMEIPATA. NA KAUNZIA JUMANNE IJAYO SAA MBILI USIKU SHEIKH BACHU AANA KIPINDI CHA KUELEZEA HIZO HOJA SIKILIZA UULIZE SWALI LOLOTE LINALO KUKERA SHEIKH.
    ALHAMDULILAH SUNNA ZIDUMU

  • @princeabuu8297
    @princeabuu8297 Před 10 měsíci +1

    Masha-Allah akuongoze Allah ndugu yangu na azidi kukufungua bongo lako na uifate haki maana haki haifichiki kama nuru

  • @AbuuAlawi
    @AbuuAlawi Před 10 měsíci +6

    Maa shaa Allah, nimekuelewa vzr ,sana wallah

  • @abughaneem9220
    @abughaneem9220 Před 10 měsíci +1

    MaashaAllah tabarakallah Allah akulipe kila la gheri kwa maneno ya busara

  • @muniraally4091
    @muniraally4091 Před 10 měsíci +2

    Mashaalah!! thuma mashaallah !! Ambae hajaelewa hatakaa aelewe

  • @universitylink
    @universitylink Před 10 měsíci +2

    Mashaallah umeongea kwa inswaaarf ya hali ya juu sana

  • @nusalim3389
    @nusalim3389 Před 10 měsíci +4

    Jazakallahu kheyr akhi,tumekuelewa na umepatia mashallah na huu ndio ukweli na insaaf na uadilifu uliosimamishiwa mbingu na ardhi,na hapa duniani na kesho akhera pia

  • @khamisali5942
    @khamisali5942 Před 10 měsíci +3

    Hilo ndo lengo letu sis hatuhitaji ushindi lengo watu kuwatoa katika baatwili na ushirikina asante sana kaka yetu kuwaacha hawa jamaa

  • @mnolamanyendi4956
    @mnolamanyendi4956 Před 10 měsíci +3

    Alhamdulillahi shekh umeongea vizuri Sana tumehama wengi

  • @muniraally4091
    @muniraally4091 Před 10 měsíci +1

    Al akhii Hilaal shaaban Allah akujaze kheri umesema yanayopaswa kueleweka japo tunajitia uziwi na kungangana na tunayotaka niko paleee ukiambiwa jiambie nakuskiliza shekhe wangu jazzakhallah khair

  • @rahmahsaidomar9111
    @rahmahsaidomar9111 Před 10 měsíci +2

    MashaAllah. Allah azidi kutuongoza sote. Ameen.

  • @iddimohamed254
    @iddimohamed254 Před 10 měsíci +3

    Mashallah maneno mazuri kwa mwenye kufikria mungu akuongoze...wachana na hawa wasioelewa wanafauata mashekhe zao na kuacha haki.

  • @user-ws7fb8ph9q
    @user-ws7fb8ph9q Před 10 měsíci +2

    Mashaallah manenomazuri allah akuhifadhi

  • @slimanshaz7311
    @slimanshaz7311 Před 10 měsíci +1

    Shukrani ustaz wangu kwa maneno mazuri uyo sheikh Said hana lolote mpiga piyano uyo. Hawezi lolote zaidi ya hayooo 😅

  • @RayhanaMohamed-nk2rt
    @RayhanaMohamed-nk2rt Před 10 měsíci +2

    Masha Allah nakubaliana na ww mia kwa mia

  • @allybobsaith
    @allybobsaith Před 10 měsíci +1

    Sawa sawa, umeongea uzuri sana 👌👌👏👏🤛🫂🫂

  • @iddiabdalla7
    @iddiabdalla7 Před 10 měsíci +1

    Uko sahihi mungu tajaliya tuzidi kufahamu

  • @nusalim3389
    @nusalim3389 Před 10 měsíci +6

    Allah amekufedhehesha kw mdomo wako saidi,kuwa mmepanga ubishi huu kabla hamjafika,😀,eti knock out ya kwanza ,kama ni knock round ya kwanza mbona umechukua masaa matatu😀 lkn Huna wasi hata ungegoma masaa 6 huna presha mlishaandaa pilau na vikundi vyenu vya Ngoma,Yani cinema ya wazi kabisa,eti tulikuw twacheka kabla ya kuja,Mimi nawambia wenzangu huyu bachu nitambana swali moja tu hapo atashindwa kwenda la pili ,😀,halafu soma vizuri Kuna ushindi wa kurudi nyuma,SI Kila anaekimbia au kusimamisha vita kashindwa,Bali ni ushindi pia,rejea seera na maghazi uone mtume na maswahaba walifanya mara ngapi kwny vita,dini inapima mafsada na manufaa yapi yatatokea zaidi,big Up ndugu bachu

    • @omarchaijefwa729
      @omarchaijefwa729 Před 10 měsíci

      Mashallah brother Allah atuongoze sote tuwe kwenye haki

  • @nusalim3389
    @nusalim3389 Před 10 měsíci +3

    Alhamdulillah tunamuomba bachu awe na subira,huu pia ni ushindi wa aina yake,pale misingi na elimu na haki ndio imeshinda,na SI watu saidi Wala bachu,ndugu bachu amefanya mawaqif zote za kirijaal kwnz alikuw kwny confidenc kubwa pili aliwafikishw kwny tabia nilidhani atafanya jazba za ujana,tatu amenaribu kupitia mapitio ya elimu na minaqasha,nne amejaribu kuubadilisha mnaqasha Ili watu wapate faida,tano ni kuufunga mnaqasha kwjl haki ni kubwa haiwezi vumilia utahira wa mtu aliekaririshwa,na dini imeletwa kw msingi wa manufaa na kuepusha dhara,hapa amepatia zaidi,lkn kw kuwa watu ni dancers na wacheza kwasakwasa hawakuchelew wajibu wao wa kuanza kukatika viuno,Alhamdulillah kw neema Sunna Wallahi

    • @feysalsalum2018
      @feysalsalum2018 Před 10 měsíci

      Bachu hakuwa na nidhamu ya Mjadala na Ndo Maana alianza maneno yake ya kejeli sijui Firs 11 sijui nn..na Mungu akamfedhehesha Hadi matamshi yake ya kilugha akawaa anakosolewa na Ust Saidi na nyie Nyote mmesikia..Alipaswaa ajibu alichoulizwa" Hadithi Munkar Maana yake ni Uongo"?? Tunajuwa kama anafaham Sanna kama Hadithi Munkar Sio Uongo...ila hakutaka kujibu Kwa sbb aloshayakanyaga huko nyuma kwamba Hadithi Munkar na hadthi Dhaifu ni Uongo mtupu..na hapa Ndo Tunapaswa kujifunze wengine Kabla ya kusema jambo yakupaswa Uwe na Elimu yankutosha..Ust Saidi hakufunua kitabu hata kimoja ...lakin Bwana Bachu kaja na makaratasi mengine kayachapa Kwa kiswahili na mwishowe akavunja mjadala...

  • @abdallahsaid9574
    @abdallahsaid9574 Před 10 měsíci +4

    mashaalla ukweli unapainika sasa Allah amuhifadhi shekhe bachu

  • @nabiljumaothman5912
    @nabiljumaothman5912 Před 10 měsíci +2

    Allah akulipe kheir Bachu.. Umeongea vizuri

  • @fatmasuleiman2710
    @fatmasuleiman2710 Před 10 měsíci +3

    MashaaAllah umesema mambo yakueleweka Allah akujaze kila la kheir.

  • @abughaneem9220
    @abughaneem9220 Před 10 měsíci +1

    Allah akuongoze nasi atuongoze

  • @waliyullahabdallah1652
    @waliyullahabdallah1652 Před 10 měsíci +1

    ماشاءالله

  • @Sautighuna-j2k
    @Sautighuna-j2k Před 10 měsíci +3

    Baaraqallahu fiiika sheikh Allah akufungulie na zaidi na akuhifadhi

    • @binaamour318
      @binaamour318 Před 10 měsíci

      Kama ww una hoja ungeingia mizani she wenu barahiyan aliambiwa aingie mezani Kama anawza itakuwa ww kwa uelewe mada c maulid mada uongo w barazanji halafu tambua vitabu vyote vina kasoro I c pokuwa kur an mnawatukana wat kwa shair za maulid acha story!

    • @Sautighuna-j2k
      @Sautighuna-j2k Před 10 měsíci +1

      Wanivamia mm kwani ndio nliesema mm nimekuja kumpongeza shekhe hapa kama Una hasira nenda kakasirike hukoo mshamba wa CZcams hujui hata kucomment hujui mwenye CZcams channel wala wanao comment 😂😂kakasirikie mbele huko Sunna itatawala milele .....ametaja number zake za simu mpigie kama Una maneno .....kama huna like na upite 😂

  • @bafaaabuu
    @bafaaabuu Před 10 měsíci +3

    Mashaallah kumbe tumefaidika wengi sana kuambiwa zambi heri moja uiyonayo ww ni ibada na ukaiwacha kuliko kuambiwa hiyo heri ni zambi lakin ukabaki nayo kwa ubishi2 ukiogopa fulani atanionaje mwisho umauti ukakufika ukiwa kwenye zambi hio ukakosa cha kujitetea kwa allah wakati ulishaambiwa kipindi cha uhai wako mm pia nilikua mtu wa maulidi lakin kweli mashekh wetu wameshindwa kutetea maulidi najiskia aibu pia

  • @ibnayub2374
    @ibnayub2374 Před 10 měsíci +5

    Hakika nlidharau hii saut mwanzo Allah anisamehe kwa hilo, ukweli ustadh said alikusudia kuharibu munakasha na hakukusudia kuelimisha watu.

    • @khamisali5942
      @khamisali5942 Před 10 měsíci

      Iyo elimu ya kuelimisha watu hana nado akafanya yale

    • @ibnayub2374
      @ibnayub2374 Před 10 měsíci

      @@khamisali5942 huwa wanajifanya viziwi, na upofu ili jambo lao lidumu Ila muelewa wa mambo hapitwi kirahisi.

    • @ibnayub2374
      @ibnayub2374 Před 10 měsíci

      Hakika

  • @japharytwaha8552
    @japharytwaha8552 Před 10 měsíci +1

    Ndugu yangu mashaallah umeweza kuufafanua vizuri sana hii ndiyo kweli shegh Saiid smetuangisha kabisa hafathari Shegh Abbas

    • @chimbaboytv2937
      @chimbaboytv2937 Před 10 měsíci

      ❤🎉

    • @faisaloaljabry6400
      @faisaloaljabry6400 Před 9 měsíci

      Msimlaum Sheikh Said kua amewaangusha amewaelimisha kwa sababu ameshindwa kujibu swali alilo ulizwa jingine alikubali kua hadithi ile ni dhaifu sasa si ilikua inatosha kuonyesha kua si sawa kuisoma Maulid

  • @hishambakar5785
    @hishambakar5785 Před 10 měsíci +1

    Masha Allah

  • @muhamadyabubakary6750
    @muhamadyabubakary6750 Před 10 měsíci +2

    Mashaaah

  • @NasirNasir-yn7ds
    @NasirNasir-yn7ds Před 10 měsíci +3

    ما شا الله

  • @mudiomi3835
    @mudiomi3835 Před 10 měsíci +1

    Nakupongeza kwa summary yako nzur Allah akuhifadhi

  • @DiudaKozi-qu8sl
    @DiudaKozi-qu8sl Před 10 měsíci +4

    Masufi wababaishaji

  • @user-ik8xv2rl9f
    @user-ik8xv2rl9f Před 10 měsíci +2

    ماشاء الله

  • @athmandaba1420
    @athmandaba1420 Před 10 měsíci +4

    Shuk raan sana kwa kulizamia hilo swala kwa undani....huo ndio ukwel uliyopo..hakukuwa na Aya,hadiith wala riwaya kutoka kwa u'lamaa yyte mkubwa....!!

  • @omarsima2763
    @omarsima2763 Před 10 měsíci +2

    Shekh uko vizuri ila kitu kimoja tu mtu yeyote hawezi kutetea maulidi kwa hoja!!!!

  • @abdallahsaid9574
    @abdallahsaid9574 Před 10 měsíci +5

    shekhe sisi wanafunzi tumepata faida tunajua ukweli wote na faida tuliopata na mwanga ukweli kuhusu maulid

  • @user-xd1xy6qi2i
    @user-xd1xy6qi2i Před 10 měsíci +7

    Haqi imeonekana....maulid haifai kabisa.

  • @ebraheeemkibua6273
    @ebraheeemkibua6273 Před 10 měsíci +2

    Sheh wangu mm pia nilikuwa huko maulidi ni shirki kubwa, na kukalfisha nsfsi

  • @user-hx2yq6xy2u
    @user-hx2yq6xy2u Před 10 měsíci +5

    Watu wa maulid ni watu wa balbala hakuna elimu .

  • @abdurahimabdulkadir3926
    @abdurahimabdulkadir3926 Před 10 měsíci +2

    Wallahi mtazamo wako kama wangu ilkua ust said aweke wazi yy afundishe watu sasa hii hadithi ni Munkar lkni yatumika kulingana na maneno hayo wanachuoni wanasema hivi hivi aki walitunyima faida ilkua amejua angekwama

  • @salimbaalwy9388
    @salimbaalwy9388 Před 10 měsíci +1

    ALLAAH YAHFADHK YAA AKHIL HABIYB YAA HILAAL

  • @diagfinamix1861
    @diagfinamix1861 Před 10 měsíci +4

    Nime fuata munaqasha huu kwa chanel tofauti nimegunduwa kama wenye hawakubaliane na maulidi ni wengi sana, inaonekana sheikh Bachu yawezekana kashinda izi niqash zote mbili Niki check comment za watu kwa kila video .

    • @MdNasr-jm8pj
      @MdNasr-jm8pj Před 10 měsíci +1

      Hata Enzi za ujahilia walikua kidogo lkn Allah alileta afuu

    • @abdurahimabdulkadir3926
      @abdurahimabdulkadir3926 Před 10 měsíci +2

      @diagfinamix mjadala ulikua umeanza vizuri kabisa kama hadithi ni Munkar basi ilkua ni juu ya ust said aifafanue kuwa yafaakutumika kulingana na mwanachuoni huyu na huyu katika kitabu chake flani na bachu nae aje nae aeleze hapo watu wangefaidika pakubwa lkni ust said amegomea kwa mtu na hapo sheria waliweka wanajadili maneno hawajadili mtu kwa kweli watu hawakufaidika ila watu wameondoka na neno moja tu Majazi+Munkar ikaishia hapo

    • @abdurahimabdulkadir3926
      @abdurahimabdulkadir3926 Před 10 měsíci

      ​@@MdNasr-jm8pjwatu waache ushabiki ust said ilkua aje afafanue sasa hii hadithi ni Munkar sasa sheria yake yasema hivi na hivi kulingana na mwanachuoni flani katika kitabu flani Kisha bachu aje aeleze lkni yy aligoma pamoja watu wengi ukiwauliza haya bana hadithi Munkar umeelewa nn asilimia 90%watakwambia hatukuelewa kitu tulinyimwa faida katika huo mjadala Tanga ulikwama Majazi KENYA Munkar Bado watu wengi wako kwa mabano

  • @fadhilimatano3213
    @fadhilimatano3213 Před 10 měsíci

    Waislamu hawafaidiki na minaqasha zaidi ni kuugaanya umma.sisi wenyewe twajifedhehesha mbele ya wasiokuwa waislamu.Uchaji Mungu ni moyoni si makundi

  • @abdurahimabdulkadir3926
    @abdurahimabdulkadir3926 Před 10 měsíci +4

    Maneno ni 2 tu yamepatikana Majazi+Munkar=Uzushi

  • @abdisalat1579
    @abdisalat1579 Před 10 měsíci +1

    Don't gain the world and loose your soul wisdom is better than gold and silver

  • @saidabdallah5448
    @saidabdallah5448 Před 10 měsíci +3

    Sheikh wangu hawa watu wa maulid
    Imam shafi alishasema masufi hawana akili.
    Wameshinwa kutetea balzanji

  • @sabrycdy3214
    @sabrycdy3214 Před 10 měsíci +1

    Kwakuw kabulini ntakuw pekeangu na munaqasha nimeufatilia wallah tubadirike dini ilisha kamilika

  • @aminaabdullahi-tp5kn
    @aminaabdullahi-tp5kn Před 10 měsíci +3

    Alhamdulillah...mwenye akili kapata Elmu....thums Alhamdulillah

    • @a65704
      @a65704 Před 10 měsíci

      Wallahi sijui wazungumza nini ndugu yangu. Tulazimishaneni tusome hii ni rai ,maana yaliotokkeya ni elimu na hakuwa sheikh said na ubishi .Angali clip zote kabla ya mjadala na shariya zake? Hilo tatizo uliloliona ndio elimu na haki ndio iliopatikana. Tuwe na ikhlas tuangaliye ya muhimu zaidi maana LGBT sasa ndio ya kujadilana tuhifafhi Dini yetu na maadili yetu😢

  • @aminaabdullahi-tp5kn
    @aminaabdullahi-tp5kn Před 10 měsíci +3

    Tatizo ni twariqa wanataka ushindi...na bachu anataka kuelimisha hapo ndio kulikuwa na tatizo

  • @user-lo5jm1nr8e
    @user-lo5jm1nr8e Před 10 měsíci +1

    Masufi wameshindwa kuitetea barzanjee waongo hao maulid hayafai

  • @DiudaKozi-qu8sl
    @DiudaKozi-qu8sl Před 10 měsíci +5

    Mashia na masufi wote wazushii wa uislamu

  • @faisalyunus4283
    @faisalyunus4283 Před 10 měsíci

    Sikudaganyi kila alo kusifu ni kama wewe mwaoneshwa ndia na kipofu mwatarajiya nini shekh said mungu amuifadhi amzidishiye ilimu na hikima na busara

  • @muniraally4091
    @muniraally4091 Před 10 měsíci +2

    Si pekeako wengi wametanabahi maulid SIIIO

  • @abubakarbakari7042
    @abubakarbakari7042 Před 10 měsíci +1

    Tume kuelewa na lengo lako shukran

  • @husnamohamed9245
    @husnamohamed9245 Před 10 měsíci +1

    Munakasha gani wamemtukana bachu je huko ni elimishana. Watu wanaelimishana kwa kistaarabu heshma lakini kulikuwa na chuki pale hata hapo walipoonza wameanza kwa kijeuri sikupenda hata kidogo bora bachu asingekwenda walikuwa wakimchora mtu hakulolote wala wasingeelewa vichwa vigumu kufahamu.

  • @zahorsuleyman3429
    @zahorsuleyman3429 Před 10 měsíci +3

    Hao hawana dalili ktk hilo ni watu wanaofata matamanio tuu

  • @MdNasr-jm8pj
    @MdNasr-jm8pj Před 10 měsíci +2

    Mm nakwambiaeni kataeni kubalini maulid bidaa leteni hadith sahihi ni ushabiki tuu kundindi la watu

  • @twalibyusuph2145
    @twalibyusuph2145 Před 10 měsíci +4

    1. Maulid, siku aliyozaliwa Mtume s.a.w na kuiadhimishwa.
    2. Maulid, vitabu vya Maulid, vitabu vya Sira Mtume.
    3. Maulid, Hadhara wanazofanya waislamu katika mfungo sita na miezi Mingine.
    Kilichojadiliwa ni nukta moja tu katika nukta alizodai Bachu kuwa ni Uongo tena katika kitabu kimoja cha Maulid cha Barzanji,
    Kumbuka kuna vingine.
    Bachu angediriki kusema Hadith Munkar ni Uongo kwa mujib wa fani ya Hadithi, angelazimika kuwa na Ushahidi.
    Kuonyesha Tawaadhui kwa masheikh na kwa fani ya hadith, aliamua kukaa kimya.
    Namsifu Bachu pengine anaenda rejea.
    Ila akimaliza la Barzanji kuna vitabu vingine vya Maulid,
    Akishamaliza kuna nukta tatu muhimu za juu nilizo anza nazo ndio picha linaisha.
    MTAZAMO WANGU

    • @a65704
      @a65704 Před 10 měsíci

      Shukran sana na hivyo ndivyo mambo yalivyo tokeya. Mimi simuelewi huyu azungumza nini hapa? Azungumza kama hajauelewa munaqasha ulivyo kuwa na ni jambo lakusikitisha sana .

    • @ibnayub2374
      @ibnayub2374 Před 10 měsíci

      Hayo majibu ya hadith na matumizi yake ilifaa anaye tetea maulid ndio ayalete WALA sio Muhammad bacho, na hii ndio kanuni za minakasha anaye tetea jambo ndio wanatakiwa AWEKE WAZI kuhusu ruhusa za kutumia hadith maudhui au dhaifu katika jambo, Ila SAID alitumia mbinu za kivita kukwepa hili akalisukuma kwa mwana wa Bachu,
      NA ndio maana bachu hakulijibu nae akatumia akili kulipisha lipite kiaina hiyo,
      NA mkitaka kuamini hili fatilia minakasha ya sheikh Albani na watu wa maulidi.

    • @Hawanalugha
      @Hawanalugha Před 10 měsíci

      huna akili eti utaelewa nn na bichwa lako tupu

    • @ibnayub2374
      @ibnayub2374 Před 10 měsíci

      @@Hawanalugha Ikiwa watu wa maulidi ndio Wana akili basi hakuna vichaa hapa ardhin.
      Wanaume wanatingsha matako barabaran na wengine kujifanya wamepanda midadi mpaka kuzimia kumbe ni masheitwan yamepanda, halafu waonekane Wana akili!!?

    • @mohdkhatib223
      @mohdkhatib223 Před 9 měsíci

      Yule said hakutaka mjadala bali alishindwa kwa hoja kwasababu katika mnakasha huwezi kusema mimi siwezi kuendelea na mjadala mpaka nijibiwe.
      Yeye angeendelea hata kama anaona swali lake halijajibiwa sisi hadhira ndo tungehukumu kama Bachu hakujibu swali fulani, lakini yule mpumbavu wa kisufi alishindwa kabisa ndio maana alileta ujanja ule wa kiubishi.

  • @yazu3007
    @yazu3007 Před 10 měsíci +3

    Kama kweli nyie mwajielewa tuambieni nyie na makafiri wanao sherekea kizaliwa kwa yesu na nyinyi tafauti yenu ipo wapi mana nyote muna birthday😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 wapuzi mnoo nyie

  • @habibumuhammad730
    @habibumuhammad730 Před 10 měsíci

    Ww ni mzuka hukuelewa kamwe ule munaqasha vzr

  • @omarally6819
    @omarally6819 Před 10 měsíci +2

    Umeongea ukweli, ila kitu kimoja hamja kielewa, dj side na walimu wake wote walikaa kuipanga ile ishu ilio tokea pale, na sbb nikwamba wanamjua vizuri sana Shekh Muhammad Bachu ni nani na ana uwezo gani wa kujenga hoja na kuthibitisha kua kitu hiki kipo au hakipo.
    Sasa walikusudia kumtia kikwazo Shekh Muhammad Bachu kwa kumuliza swali wakidhania ni gumu lkn sio swali na hata lingekua swali sio gumu hata kidogo.
    Na hawakukusudia khasa wazushi kuja kutaja chochote ktk hoja za kutetea urongo uliomo ndani ya barzanji, kwani wanaelewa kua wangefanya hivyo basi wengine wangeli pinduka palepale kwa presha, na ingekua fedheha na kinyaa ambacho hakija wahi tokea ktk historia ya wazushi.
    Wakakwepa hapo kwa kutarajia watamkwamisha kwa swali lao la kizushi Shekh Muhammad Bachu.
    Lakin kwa bakhti mbaya upande wao, walimkuta Shekh Muhammad Bachu kashiba elimu, na ana akili mara tatu zaidi kuliko vile walivyo mdhania, walikuta ana akili kubwa kuliko wao, sasa ikaonekana hakuna njia ya kusalimika ila tulazimishe hivihivi, ili aonekane Shekh Muhammad Bachu kashindwa kujibu, lkn mambo sivyo yalivyo.
    Na walikua wana saidiana kitu walichokua wamekipanga zamani, na kufanya khiana na ubabaishaji ili kuwazuga watu wasielewe nini kinaendelea.
    Lakin Munaaqasha tulikua tuna uzingatia kila nukta.
    Allaah amlinde Shekh Muhammad Bachu, lkn ukweli yuko juu kimaarifa na kiakili kuliko wazushi

  • @KubwaKuliko-dk4bm
    @KubwaKuliko-dk4bm Před 10 měsíci +1

    Sio inavyo onekana alikariri!!hivyo ndivyo ilivyo na mwenyewe alisibitisha hilo alisema pale kama shk wake kamwambia wakifika hapo ndio mjadala uishie hapo ndio akang'ang'ania na akasema hata hao mashk wake wakimwambia basi toka hapo tuendele alisibitisha yeye hapo hatotoka

  • @nabiljumaothman5912
    @nabiljumaothman5912 Před 10 měsíci +2

    Hoja iyo itokee wap kwa watu wa maulid.. Batili haijawahi kushinda

  • @user-lo5jm1nr8e
    @user-lo5jm1nr8e Před 10 měsíci +1

    Huyu Said sijuii kwa nini nikasikiliza huu munaqash hana hata elimu hajui kashikilia suali moja ndio hilo hilo

  • @jumafaki2891
    @jumafaki2891 Před 10 měsíci

    Hadith ilitolewa acha uongo ameitoa bachu na akaikariri said sijui una tatizo gani

  • @abdussalamabdussalam3027
    @abdussalamabdussalam3027 Před 10 měsíci

    tatizo hapa kuna kuchanganya mada kutokana na uelewa uhalali wa maulid na uharamu wa maulid ni mada nyengine na uongo uliopo ktk kitabu cha barzanji ni mada nyengene

  • @wafaumelikolinji7151
    @wafaumelikolinji7151 Před 10 měsíci +1

    saidi kakaririshwa katumalizia MB zetu niafadhari ya sabbas

  • @azizayassin3623
    @azizayassin3623 Před 9 měsíci

    Twendeni Palestinian na gaza wchaneni na maulid 😢

  • @user-bt8wh8cd3g
    @user-bt8wh8cd3g Před 10 měsíci +1

    Ndugu yangu ww unaozungumza hapa ww umejua kua huo mjadala unazungumziwa nini Nadhan ww ulkua hata hujui kunazungumziwa nini kulkua hakuzungumziwi maulid yafaa au hayafai kulkua mjadala ni urongo kwenye barazanji sio maulidi yafaa au hayafai

    • @bafaaabuu
      @bafaaabuu Před 10 měsíci +2

      Pole ndugu wacha kuwaomba maiti maulidi bidaa kubwa mashaallah shehk bachu kawafumbua macho waumini wengi wanaoitaka kuijua haki wale wapishi wapenda ngoma na pilau nendeni ngomani2 Allah tutakutana nae

  • @husseinally5550
    @husseinally5550 Před 10 měsíci +1

    We ni majnuun

  • @luqmanomary3558
    @luqmanomary3558 Před 10 měsíci

    Kimsingi ustadh saidi alikosa majibu lakin akashikilia swali lake hpo hjashindwa bacho bali kilichokuj n debat ya shul ya msingi

  • @rashidkassid-mo9ip
    @rashidkassid-mo9ip Před 9 měsíci

    Ndugu yangu mjadala ulikua wa kielimu .
    Kwa msingi huo pale zilizokua zikitumika Ni fani za kielimu.
    Kwa mfano unapo sema hadithi ni dhaifu , jibu lake litapingwa na fani ya muswtalahul hadihi.
    Sasa apo ukisema unataka Aya , ili hali hakuna Aya inayo thibitishi hadithi sahihi Bali wanachuoni wa mustwalah waseme .
    Mnapo taka Aya kwenye mjadala wa kielimu. ,!!!?
    Shekh Aya Mambo yanatu uruga waislamu kwani mijadala hii niyatoka huko !!!!
    Kikubwa tuvumiliane na tuheshimiane. Ndivyo walivyo ishi waliotutangulia.

  • @rashidmohammed9128
    @rashidmohammed9128 Před 10 měsíci +1

    Ushabiki wacheni

  • @isihakambalawa8088
    @isihakambalawa8088 Před 9 měsíci

    Uwezi kupata aya kwenye kuraani lnayo zungumzia maulid sababu maulid ni uzushi

  • @abdoulahheritier4589
    @abdoulahheritier4589 Před 10 měsíci

    Sasa ma hufadh walio andika Vitabu vya Maulid

  • @faisalyunus4283
    @faisalyunus4283 Před 10 měsíci

    Umesikiliza lakini ukufahamu kuligana na ufahamu wako ni mdogo dio mana umfahamu unavyo taka ww si kwa ufahamu wa wenye ilimu na hikima na busara wewe sikatika wasomi yaonekana ilimu yako ni dogo dio mana hakuna ulicho elewa kincho jadiliwa watarajiya nini kipofu akuelekeze ndia usawa umeulizwa swali ni ujibu kama ujuwi ni useme si juwi si ujiga ujiga ni kujifanya wajuwa na ujuwi kama vile wewe una unacho kijuwa ujiga ni kitu kibaya sana nakuhurumiya maskini polo sana kwa fahamu dogo ulonayo kipofu diye anae kulekeza ndia watarajiya nini pole

  • @shababishababa-db5fs
    @shababishababa-db5fs Před 10 měsíci

    Hukuona riwaya inayo ruhusu mauridi je riwaya inayokataza mairidi umeiona mpaka useme mauridi ni dhambi?

  • @SaidAbdallah-sm1ft
    @SaidAbdallah-sm1ft Před 10 měsíci +1

    Huyu alimuelea bachu

  • @fikafikan8484
    @fikafikan8484 Před 10 měsíci

    Ww mnafik bachu aliuliza swali na akajijibu mwenye hadith ni munkar na shekh said akakubali hadithi ni munkar akamwambia bachu ni thibitishie kwa wanazuoni bachu kashindwa na angejibu bachu watu wangendelea alafu ww mnafik na usionge kitu kama huna ilimu na kuapa kwako

  • @maarufumustwapha3055
    @maarufumustwapha3055 Před 10 měsíci

    dah uwelewa kitu kizuri

  • @JabirBakar-ys8dw
    @JabirBakar-ys8dw Před 10 měsíci

    ni vitu viwili tofauti kumbe wewe unajua mungu yupoje

  • @user-hf4pb7wi1j
    @user-hf4pb7wi1j Před 10 měsíci

    Niko Bujumbura Alla akulipe kila lakheri nilipogundua ahlulbidaa wamesomewa ubishi tu elimu hakuna kabisa😅

  • @fikafikan8484
    @fikafikan8484 Před 10 měsíci

    Mbona kakimbia bachu kashindwa kujibu na kakojoa alikua ajibu swali alafu afundishwe bachu

  • @user-qy2sr6uh4u
    @user-qy2sr6uh4u Před 10 měsíci

    Jamani bachu angesema sijui hpo ilimu ingetolewa lkn kwa kibri chak aliachw hvy hvy

    • @user-ry4kh6fg9j
      @user-ry4kh6fg9j Před 9 měsíci

      Sisi Bachu alikua hatuna haha na yy, SI tulitafuta kujua ukweli kwaiyo Shekhe Said alitakiwa aipe nyoyo zetu furaha baada ya Shekhe Bachu kusema hajawah kuona, sio Shekhe Said ashikilie apo apo tu. Je alitaka Shekhe Bachu nn na alishasema hajaona Mashekhe wa Mustalah Alhadith kuzungumzia Hilo. Sasa mtu anakuambia sajawah ona unasubiri jawab Gani Tena?

  • @user-oc8uo9rl3u
    @user-oc8uo9rl3u Před 10 měsíci +1

    USHAHIDI WA HADIDHI HUU KAMA HUKUUONA
    SHEKHE SAID ALITOA USHAHIDI WA HADITHI THAIFU KUTHIBIBITISHA MANENO YA BIN JAAFAR
    NARUDIA SHEKHE SAID ALITOA USHAHIDI WA HADITHI THAIFU KUTHIBIBITISHA MANENO YA BIN JAAFAR
    HUU USHAHIDI HUKUUSOKIA??
    HADITHI DHAIFU ZIMETUMIWA NA WANACHUONI WENGI WENGI WENGI
    KWAHIYO UKISEMA HADITHI THAIFU HAIFAI BASI VITABU VINGI NA MASHEKHE WENGI WANGEITWA WAONGO
    NDIO MAANA SHEKHE SAID AKAULIZA HILO SUALI JEE MWANACHUONI AKITUMIA HADITHI MUNKAR HUITWA MUONGO JIBU ALIKUA ASEME NDIO AU SIO ILA HAKUTOA JIBU AKAZUNGUUKA
    BACHOU ANGEJIBU NDIO AU HAPANA SIO KUZUNGUUKA HAJAJIBU KUWA NDIO AU SIO
    PIA AKHI HUJUI KUTOFAUTISHA HADITHI MAUDHUI NA HADITHI DHAIFU
    BACHOU ANGESEMA HADITHI MUNKAR ZOOOOTE NI DHAIFU
    WEWE NI WAHABIIIII USITUDANGANYEE
    HATA NA MIMI NAWEZA KUTOA CLIP NIKAJIDAI WAHABI ILA NIMETOKA UWAHABI KWA SABABU BACHU ALISHINDWA KUJIBU ALICHOULIZWA

    • @omarally6819
      @omarally6819 Před 10 měsíci

      Kharashi mkubwa wewe zindiiq, dajjaal, tangulini alieshika haqqi akaachana nayo na kushika batili?

  • @JabirBakar-ys8dw
    @JabirBakar-ys8dw Před 10 měsíci

    jibu swali lililomshinda mwenzio

  • @muhammadmochenje1409
    @muhammadmochenje1409 Před 10 měsíci

    Kwanza juweni kusoma ndio mropoke

  • @allyjuma9669
    @allyjuma9669 Před 10 měsíci +2

    Dalili hawana said jahili mkubwa

  • @zafarmohamed9413
    @zafarmohamed9413 Před 10 měsíci

    Umetumwa we sio mtu wa twarika hatutaki mifano tunataka vitabu viongee acheni porojo

  • @YahyaAbdul-hafidhi
    @YahyaAbdul-hafidhi Před 10 měsíci

    Acha balbala nyingi au naweww inataka munakasha

  • @muhamadyabubakary6750
    @muhamadyabubakary6750 Před 10 měsíci +1

    Saidy munkary hahhahahaha

  • @mohamedimcheni2068
    @mohamedimcheni2068 Před 10 měsíci

    Wewe unaonekana huelewi shida kujibu swali shida sio saidi alimtaka aje mwengine katika kiti bachu akakimbia acha porojo zako wakati wewe unaacha kusoma wenzio wamekesha leo

  • @thepeacemaker2954
    @thepeacemaker2954 Před 10 měsíci

    Asiyejuwa maana haambiwi maana

  • @nyipindamlimited1629
    @nyipindamlimited1629 Před 10 měsíci

    Hajauliza hivyo bana shekh saidi aliuliza hadithi ikiwa dhaifu haifai kutumika au huyo mtu aliendaki hio hadidh huitwa muongo au yaho maneno huwa uwongo
    Jibu ilikuwa ndio au hapana mbona alishindwa kujibu huyo bachu mzee
    Siliza tena kwa usahihi kaka

  • @mussadade5755
    @mussadade5755 Před 10 měsíci

    Wewe mropokaji mwabie bachu atowe video yakusema sijuwi afundiswe shek said yuko tayar kusomesha

  • @naimasheikh3055
    @naimasheikh3055 Před 10 měsíci

    Bongo tv Ungezisikia aya na hadith Bachu angekubali hajui

  • @tanzaniaonmzamiloon8627
    @tanzaniaonmzamiloon8627 Před 10 měsíci

    Aseyee mawahabi leo ndo nimeamini hamjui kitu kabisa kwasababu said kasema kweli Hadith hii ni munkar je Hadith ikiwa munkar ndo yaitwa uongo? Kwamjibu wa wanachuoni au au mnasemaga niuongo Kwa ufahamu wenu finyu je Hadith ikiwa munkar au dhaifu ndo tuseme kitabu hichi kimejaa uongo vitabu vya Hadith vingapi vina Hadith munkar na dhaifu mbona hamjielewi

  • @kassimmgwami
    @kassimmgwami Před 10 měsíci

    Wewe ni wale wale tu ambao mnampinga mtume Muhamad (S.A.W),mbona ziko bidah nyingi tu ambazo nyinyi wenyewe mnazifanya,acheni ukafiri wa kuuvuruga uislam kwa manufaa yenu binafsi kwa viela mnavyopewa na makundi ya kishetani.

  • @yasiniselemani3917
    @yasiniselemani3917 Před 10 měsíci

    Acha ushabiki ule mjadala uliishia pale pale wewe ndo hujaelewa