Alhamdulillah WALLAHY ALLAH HUMUONGOZA AMTAKAE. SHUKRAN SHEIKH ALLAH AZIDI KUKUONGOZA NA KUTUONGOZA SOTE. ULIENDA KUTAFTA HAKKI NA UMEIPATA. NA KAUNZIA JUMANNE IJAYO SAA MBILI USIKU SHEIKH BACHU AANA KIPINDI CHA KUELEZEA HIZO HOJA SIKILIZA UULIZE SWALI LOLOTE LINALO KUKERA SHEIKH. ALHAMDULILAH SUNNA ZIDUMU
Jazakallahu kheyr akhi,tumekuelewa na umepatia mashallah na huu ndio ukweli na insaaf na uadilifu uliosimamishiwa mbingu na ardhi,na hapa duniani na kesho akhera pia
Allah amekufedhehesha kw mdomo wako saidi,kuwa mmepanga ubishi huu kabla hamjafika,😀,eti knock out ya kwanza ,kama ni knock round ya kwanza mbona umechukua masaa matatu😀 lkn Huna wasi hata ungegoma masaa 6 huna presha mlishaandaa pilau na vikundi vyenu vya Ngoma,Yani cinema ya wazi kabisa,eti tulikuw twacheka kabla ya kuja,Mimi nawambia wenzangu huyu bachu nitambana swali moja tu hapo atashindwa kwenda la pili ,😀,halafu soma vizuri Kuna ushindi wa kurudi nyuma,SI Kila anaekimbia au kusimamisha vita kashindwa,Bali ni ushindi pia,rejea seera na maghazi uone mtume na maswahaba walifanya mara ngapi kwny vita,dini inapima mafsada na manufaa yapi yatatokea zaidi,big Up ndugu bachu
Alhamdulillah tunamuomba bachu awe na subira,huu pia ni ushindi wa aina yake,pale misingi na elimu na haki ndio imeshinda,na SI watu saidi Wala bachu,ndugu bachu amefanya mawaqif zote za kirijaal kwnz alikuw kwny confidenc kubwa pili aliwafikishw kwny tabia nilidhani atafanya jazba za ujana,tatu amenaribu kupitia mapitio ya elimu na minaqasha,nne amejaribu kuubadilisha mnaqasha Ili watu wapate faida,tano ni kuufunga mnaqasha kwjl haki ni kubwa haiwezi vumilia utahira wa mtu aliekaririshwa,na dini imeletwa kw msingi wa manufaa na kuepusha dhara,hapa amepatia zaidi,lkn kw kuwa watu ni dancers na wacheza kwasakwasa hawakuchelew wajibu wao wa kuanza kukatika viuno,Alhamdulillah kw neema Sunna Wallahi
Bachu hakuwa na nidhamu ya Mjadala na Ndo Maana alianza maneno yake ya kejeli sijui Firs 11 sijui nn..na Mungu akamfedhehesha Hadi matamshi yake ya kilugha akawaa anakosolewa na Ust Saidi na nyie Nyote mmesikia..Alipaswaa ajibu alichoulizwa" Hadithi Munkar Maana yake ni Uongo"?? Tunajuwa kama anafaham Sanna kama Hadithi Munkar Sio Uongo...ila hakutaka kujibu Kwa sbb aloshayakanyaga huko nyuma kwamba Hadithi Munkar na hadthi Dhaifu ni Uongo mtupu..na hapa Ndo Tunapaswa kujifunze wengine Kabla ya kusema jambo yakupaswa Uwe na Elimu yankutosha..Ust Saidi hakufunua kitabu hata kimoja ...lakin Bwana Bachu kaja na makaratasi mengine kayachapa Kwa kiswahili na mwishowe akavunja mjadala...
Kama ww una hoja ungeingia mizani she wenu barahiyan aliambiwa aingie mezani Kama anawza itakuwa ww kwa uelewe mada c maulid mada uongo w barazanji halafu tambua vitabu vyote vina kasoro I c pokuwa kur an mnawatukana wat kwa shair za maulid acha story!
Wanivamia mm kwani ndio nliesema mm nimekuja kumpongeza shekhe hapa kama Una hasira nenda kakasirike hukoo mshamba wa CZcams hujui hata kucomment hujui mwenye CZcams channel wala wanao comment 😂😂kakasirikie mbele huko Sunna itatawala milele .....ametaja number zake za simu mpigie kama Una maneno .....kama huna like na upite 😂
Mashaallah kumbe tumefaidika wengi sana kuambiwa zambi heri moja uiyonayo ww ni ibada na ukaiwacha kuliko kuambiwa hiyo heri ni zambi lakin ukabaki nayo kwa ubishi2 ukiogopa fulani atanionaje mwisho umauti ukakufika ukiwa kwenye zambi hio ukakosa cha kujitetea kwa allah wakati ulishaambiwa kipindi cha uhai wako mm pia nilikua mtu wa maulidi lakin kweli mashekh wetu wameshindwa kutetea maulidi najiskia aibu pia
Msimlaum Sheikh Said kua amewaangusha amewaelimisha kwa sababu ameshindwa kujibu swali alilo ulizwa jingine alikubali kua hadithi ile ni dhaifu sasa si ilikua inatosha kuonyesha kua si sawa kuisoma Maulid
Wallahi mtazamo wako kama wangu ilkua ust said aweke wazi yy afundishe watu sasa hii hadithi ni Munkar lkni yatumika kulingana na maneno hayo wanachuoni wanasema hivi hivi aki walitunyima faida ilkua amejua angekwama
Nime fuata munaqasha huu kwa chanel tofauti nimegunduwa kama wenye hawakubaliane na maulidi ni wengi sana, inaonekana sheikh Bachu yawezekana kashinda izi niqash zote mbili Niki check comment za watu kwa kila video .
@diagfinamix mjadala ulikua umeanza vizuri kabisa kama hadithi ni Munkar basi ilkua ni juu ya ust said aifafanue kuwa yafaakutumika kulingana na mwanachuoni huyu na huyu katika kitabu chake flani na bachu nae aje nae aeleze hapo watu wangefaidika pakubwa lkni ust said amegomea kwa mtu na hapo sheria waliweka wanajadili maneno hawajadili mtu kwa kweli watu hawakufaidika ila watu wameondoka na neno moja tu Majazi+Munkar ikaishia hapo
@@MdNasr-jm8pjwatu waache ushabiki ust said ilkua aje afafanue sasa hii hadithi ni Munkar sasa sheria yake yasema hivi na hivi kulingana na mwanachuoni flani katika kitabu flani Kisha bachu aje aeleze lkni yy aligoma pamoja watu wengi ukiwauliza haya bana hadithi Munkar umeelewa nn asilimia 90%watakwambia hatukuelewa kitu tulinyimwa faida katika huo mjadala Tanga ulikwama Majazi KENYA Munkar Bado watu wengi wako kwa mabano
Wallahi sijui wazungumza nini ndugu yangu. Tulazimishaneni tusome hii ni rai ,maana yaliotokkeya ni elimu na hakuwa sheikh said na ubishi .Angali clip zote kabla ya mjadala na shariya zake? Hilo tatizo uliloliona ndio elimu na haki ndio iliopatikana. Tuwe na ikhlas tuangaliye ya muhimu zaidi maana LGBT sasa ndio ya kujadilana tuhifafhi Dini yetu na maadili yetu😢
Munakasha gani wamemtukana bachu je huko ni elimishana. Watu wanaelimishana kwa kistaarabu heshma lakini kulikuwa na chuki pale hata hapo walipoonza wameanza kwa kijeuri sikupenda hata kidogo bora bachu asingekwenda walikuwa wakimchora mtu hakulolote wala wasingeelewa vichwa vigumu kufahamu.
1. Maulid, siku aliyozaliwa Mtume s.a.w na kuiadhimishwa. 2. Maulid, vitabu vya Maulid, vitabu vya Sira Mtume. 3. Maulid, Hadhara wanazofanya waislamu katika mfungo sita na miezi Mingine. Kilichojadiliwa ni nukta moja tu katika nukta alizodai Bachu kuwa ni Uongo tena katika kitabu kimoja cha Maulid cha Barzanji, Kumbuka kuna vingine. Bachu angediriki kusema Hadith Munkar ni Uongo kwa mujib wa fani ya Hadithi, angelazimika kuwa na Ushahidi. Kuonyesha Tawaadhui kwa masheikh na kwa fani ya hadith, aliamua kukaa kimya. Namsifu Bachu pengine anaenda rejea. Ila akimaliza la Barzanji kuna vitabu vingine vya Maulid, Akishamaliza kuna nukta tatu muhimu za juu nilizo anza nazo ndio picha linaisha. MTAZAMO WANGU
Shukran sana na hivyo ndivyo mambo yalivyo tokeya. Mimi simuelewi huyu azungumza nini hapa? Azungumza kama hajauelewa munaqasha ulivyo kuwa na ni jambo lakusikitisha sana .
Hayo majibu ya hadith na matumizi yake ilifaa anaye tetea maulid ndio ayalete WALA sio Muhammad bacho, na hii ndio kanuni za minakasha anaye tetea jambo ndio wanatakiwa AWEKE WAZI kuhusu ruhusa za kutumia hadith maudhui au dhaifu katika jambo, Ila SAID alitumia mbinu za kivita kukwepa hili akalisukuma kwa mwana wa Bachu, NA ndio maana bachu hakulijibu nae akatumia akili kulipisha lipite kiaina hiyo, NA mkitaka kuamini hili fatilia minakasha ya sheikh Albani na watu wa maulidi.
@@Hawanalugha Ikiwa watu wa maulidi ndio Wana akili basi hakuna vichaa hapa ardhin. Wanaume wanatingsha matako barabaran na wengine kujifanya wamepanda midadi mpaka kuzimia kumbe ni masheitwan yamepanda, halafu waonekane Wana akili!!?
Yule said hakutaka mjadala bali alishindwa kwa hoja kwasababu katika mnakasha huwezi kusema mimi siwezi kuendelea na mjadala mpaka nijibiwe. Yeye angeendelea hata kama anaona swali lake halijajibiwa sisi hadhira ndo tungehukumu kama Bachu hakujibu swali fulani, lakini yule mpumbavu wa kisufi alishindwa kabisa ndio maana alileta ujanja ule wa kiubishi.
Kama kweli nyie mwajielewa tuambieni nyie na makafiri wanao sherekea kizaliwa kwa yesu na nyinyi tafauti yenu ipo wapi mana nyote muna birthday😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 wapuzi mnoo nyie
Umeongea ukweli, ila kitu kimoja hamja kielewa, dj side na walimu wake wote walikaa kuipanga ile ishu ilio tokea pale, na sbb nikwamba wanamjua vizuri sana Shekh Muhammad Bachu ni nani na ana uwezo gani wa kujenga hoja na kuthibitisha kua kitu hiki kipo au hakipo. Sasa walikusudia kumtia kikwazo Shekh Muhammad Bachu kwa kumuliza swali wakidhania ni gumu lkn sio swali na hata lingekua swali sio gumu hata kidogo. Na hawakukusudia khasa wazushi kuja kutaja chochote ktk hoja za kutetea urongo uliomo ndani ya barzanji, kwani wanaelewa kua wangefanya hivyo basi wengine wangeli pinduka palepale kwa presha, na ingekua fedheha na kinyaa ambacho hakija wahi tokea ktk historia ya wazushi. Wakakwepa hapo kwa kutarajia watamkwamisha kwa swali lao la kizushi Shekh Muhammad Bachu. Lakin kwa bakhti mbaya upande wao, walimkuta Shekh Muhammad Bachu kashiba elimu, na ana akili mara tatu zaidi kuliko vile walivyo mdhania, walikuta ana akili kubwa kuliko wao, sasa ikaonekana hakuna njia ya kusalimika ila tulazimishe hivihivi, ili aonekane Shekh Muhammad Bachu kashindwa kujibu, lkn mambo sivyo yalivyo. Na walikua wana saidiana kitu walichokua wamekipanga zamani, na kufanya khiana na ubabaishaji ili kuwazuga watu wasielewe nini kinaendelea. Lakin Munaaqasha tulikua tuna uzingatia kila nukta. Allaah amlinde Shekh Muhammad Bachu, lkn ukweli yuko juu kimaarifa na kiakili kuliko wazushi
Sio inavyo onekana alikariri!!hivyo ndivyo ilivyo na mwenyewe alisibitisha hilo alisema pale kama shk wake kamwambia wakifika hapo ndio mjadala uishie hapo ndio akang'ang'ania na akasema hata hao mashk wake wakimwambia basi toka hapo tuendele alisibitisha yeye hapo hatotoka
tatizo hapa kuna kuchanganya mada kutokana na uelewa uhalali wa maulid na uharamu wa maulid ni mada nyengine na uongo uliopo ktk kitabu cha barzanji ni mada nyengene
Pole ndugu wacha kuwaomba maiti maulidi bidaa kubwa mashaallah shehk bachu kawafumbua macho waumini wengi wanaoitaka kuijua haki wale wapishi wapenda ngoma na pilau nendeni ngomani2 Allah tutakutana nae
Ndugu yangu mjadala ulikua wa kielimu . Kwa msingi huo pale zilizokua zikitumika Ni fani za kielimu. Kwa mfano unapo sema hadithi ni dhaifu , jibu lake litapingwa na fani ya muswtalahul hadihi. Sasa apo ukisema unataka Aya , ili hali hakuna Aya inayo thibitishi hadithi sahihi Bali wanachuoni wa mustwalah waseme . Mnapo taka Aya kwenye mjadala wa kielimu. ,!!!? Shekh Aya Mambo yanatu uruga waislamu kwani mijadala hii niyatoka huko !!!! Kikubwa tuvumiliane na tuheshimiane. Ndivyo walivyo ishi waliotutangulia.
Umesikiliza lakini ukufahamu kuligana na ufahamu wako ni mdogo dio mana umfahamu unavyo taka ww si kwa ufahamu wa wenye ilimu na hikima na busara wewe sikatika wasomi yaonekana ilimu yako ni dogo dio mana hakuna ulicho elewa kincho jadiliwa watarajiya nini kipofu akuelekeze ndia usawa umeulizwa swali ni ujibu kama ujuwi ni useme si juwi si ujiga ujiga ni kujifanya wajuwa na ujuwi kama vile wewe una unacho kijuwa ujiga ni kitu kibaya sana nakuhurumiya maskini polo sana kwa fahamu dogo ulonayo kipofu diye anae kulekeza ndia watarajiya nini pole
Ww mnafik bachu aliuliza swali na akajijibu mwenye hadith ni munkar na shekh said akakubali hadithi ni munkar akamwambia bachu ni thibitishie kwa wanazuoni bachu kashindwa na angejibu bachu watu wangendelea alafu ww mnafik na usionge kitu kama huna ilimu na kuapa kwako
Sisi Bachu alikua hatuna haha na yy, SI tulitafuta kujua ukweli kwaiyo Shekhe Said alitakiwa aipe nyoyo zetu furaha baada ya Shekhe Bachu kusema hajawah kuona, sio Shekhe Said ashikilie apo apo tu. Je alitaka Shekhe Bachu nn na alishasema hajaona Mashekhe wa Mustalah Alhadith kuzungumzia Hilo. Sasa mtu anakuambia sajawah ona unasubiri jawab Gani Tena?
USHAHIDI WA HADIDHI HUU KAMA HUKUUONA SHEKHE SAID ALITOA USHAHIDI WA HADITHI THAIFU KUTHIBIBITISHA MANENO YA BIN JAAFAR NARUDIA SHEKHE SAID ALITOA USHAHIDI WA HADITHI THAIFU KUTHIBIBITISHA MANENO YA BIN JAAFAR HUU USHAHIDI HUKUUSOKIA?? HADITHI DHAIFU ZIMETUMIWA NA WANACHUONI WENGI WENGI WENGI KWAHIYO UKISEMA HADITHI THAIFU HAIFAI BASI VITABU VINGI NA MASHEKHE WENGI WANGEITWA WAONGO NDIO MAANA SHEKHE SAID AKAULIZA HILO SUALI JEE MWANACHUONI AKITUMIA HADITHI MUNKAR HUITWA MUONGO JIBU ALIKUA ASEME NDIO AU SIO ILA HAKUTOA JIBU AKAZUNGUUKA BACHOU ANGEJIBU NDIO AU HAPANA SIO KUZUNGUUKA HAJAJIBU KUWA NDIO AU SIO PIA AKHI HUJUI KUTOFAUTISHA HADITHI MAUDHUI NA HADITHI DHAIFU BACHOU ANGESEMA HADITHI MUNKAR ZOOOOTE NI DHAIFU WEWE NI WAHABIIIII USITUDANGANYEE HATA NA MIMI NAWEZA KUTOA CLIP NIKAJIDAI WAHABI ILA NIMETOKA UWAHABI KWA SABABU BACHU ALISHINDWA KUJIBU ALICHOULIZWA
Hajauliza hivyo bana shekh saidi aliuliza hadithi ikiwa dhaifu haifai kutumika au huyo mtu aliendaki hio hadidh huitwa muongo au yaho maneno huwa uwongo Jibu ilikuwa ndio au hapana mbona alishindwa kujibu huyo bachu mzee Siliza tena kwa usahihi kaka
Aseyee mawahabi leo ndo nimeamini hamjui kitu kabisa kwasababu said kasema kweli Hadith hii ni munkar je Hadith ikiwa munkar ndo yaitwa uongo? Kwamjibu wa wanachuoni au au mnasemaga niuongo Kwa ufahamu wenu finyu je Hadith ikiwa munkar au dhaifu ndo tuseme kitabu hichi kimejaa uongo vitabu vya Hadith vingapi vina Hadith munkar na dhaifu mbona hamjielewi
Wewe ni wale wale tu ambao mnampinga mtume Muhamad (S.A.W),mbona ziko bidah nyingi tu ambazo nyinyi wenyewe mnazifanya,acheni ukafiri wa kuuvuruga uislam kwa manufaa yenu binafsi kwa viela mnavyopewa na makundi ya kishetani.
Alhamdulillah
WALLAHY ALLAH HUMUONGOZA AMTAKAE. SHUKRAN SHEIKH ALLAH AZIDI KUKUONGOZA NA KUTUONGOZA SOTE. ULIENDA KUTAFTA HAKKI NA UMEIPATA. NA KAUNZIA JUMANNE IJAYO SAA MBILI USIKU SHEIKH BACHU AANA KIPINDI CHA KUELEZEA HIZO HOJA SIKILIZA UULIZE SWALI LOLOTE LINALO KUKERA SHEIKH.
ALHAMDULILAH SUNNA ZIDUMU
Masha-Allah akuongoze Allah ndugu yangu na azidi kukufungua bongo lako na uifate haki maana haki haifichiki kama nuru
Maa shaa Allah, nimekuelewa vzr ,sana wallah
MaashaAllah tabarakallah Allah akulipe kila la gheri kwa maneno ya busara
Mashaalah!! thuma mashaallah !! Ambae hajaelewa hatakaa aelewe
Mashaallah umeongea kwa inswaaarf ya hali ya juu sana
Jazakallahu kheyr akhi,tumekuelewa na umepatia mashallah na huu ndio ukweli na insaaf na uadilifu uliosimamishiwa mbingu na ardhi,na hapa duniani na kesho akhera pia
Hilo ndo lengo letu sis hatuhitaji ushindi lengo watu kuwatoa katika baatwili na ushirikina asante sana kaka yetu kuwaacha hawa jamaa
Alhamdulillahi shekh umeongea vizuri Sana tumehama wengi
Al akhii Hilaal shaaban Allah akujaze kheri umesema yanayopaswa kueleweka japo tunajitia uziwi na kungangana na tunayotaka niko paleee ukiambiwa jiambie nakuskiliza shekhe wangu jazzakhallah khair
MashaAllah. Allah azidi kutuongoza sote. Ameen.
Mashallah maneno mazuri kwa mwenye kufikria mungu akuongoze...wachana na hawa wasioelewa wanafauata mashekhe zao na kuacha haki.
Mashaallah manenomazuri allah akuhifadhi
Shukrani ustaz wangu kwa maneno mazuri uyo sheikh Said hana lolote mpiga piyano uyo. Hawezi lolote zaidi ya hayooo 😅
Masha Allah nakubaliana na ww mia kwa mia
Mia fil mia
Sawa sawa, umeongea uzuri sana 👌👌👏👏🤛🫂🫂
Uko sahihi mungu tajaliya tuzidi kufahamu
Allah amekufedhehesha kw mdomo wako saidi,kuwa mmepanga ubishi huu kabla hamjafika,😀,eti knock out ya kwanza ,kama ni knock round ya kwanza mbona umechukua masaa matatu😀 lkn Huna wasi hata ungegoma masaa 6 huna presha mlishaandaa pilau na vikundi vyenu vya Ngoma,Yani cinema ya wazi kabisa,eti tulikuw twacheka kabla ya kuja,Mimi nawambia wenzangu huyu bachu nitambana swali moja tu hapo atashindwa kwenda la pili ,😀,halafu soma vizuri Kuna ushindi wa kurudi nyuma,SI Kila anaekimbia au kusimamisha vita kashindwa,Bali ni ushindi pia,rejea seera na maghazi uone mtume na maswahaba walifanya mara ngapi kwny vita,dini inapima mafsada na manufaa yapi yatatokea zaidi,big Up ndugu bachu
Mashallah brother Allah atuongoze sote tuwe kwenye haki
Alhamdulillah tunamuomba bachu awe na subira,huu pia ni ushindi wa aina yake,pale misingi na elimu na haki ndio imeshinda,na SI watu saidi Wala bachu,ndugu bachu amefanya mawaqif zote za kirijaal kwnz alikuw kwny confidenc kubwa pili aliwafikishw kwny tabia nilidhani atafanya jazba za ujana,tatu amenaribu kupitia mapitio ya elimu na minaqasha,nne amejaribu kuubadilisha mnaqasha Ili watu wapate faida,tano ni kuufunga mnaqasha kwjl haki ni kubwa haiwezi vumilia utahira wa mtu aliekaririshwa,na dini imeletwa kw msingi wa manufaa na kuepusha dhara,hapa amepatia zaidi,lkn kw kuwa watu ni dancers na wacheza kwasakwasa hawakuchelew wajibu wao wa kuanza kukatika viuno,Alhamdulillah kw neema Sunna Wallahi
Bachu hakuwa na nidhamu ya Mjadala na Ndo Maana alianza maneno yake ya kejeli sijui Firs 11 sijui nn..na Mungu akamfedhehesha Hadi matamshi yake ya kilugha akawaa anakosolewa na Ust Saidi na nyie Nyote mmesikia..Alipaswaa ajibu alichoulizwa" Hadithi Munkar Maana yake ni Uongo"?? Tunajuwa kama anafaham Sanna kama Hadithi Munkar Sio Uongo...ila hakutaka kujibu Kwa sbb aloshayakanyaga huko nyuma kwamba Hadithi Munkar na hadthi Dhaifu ni Uongo mtupu..na hapa Ndo Tunapaswa kujifunze wengine Kabla ya kusema jambo yakupaswa Uwe na Elimu yankutosha..Ust Saidi hakufunua kitabu hata kimoja ...lakin Bwana Bachu kaja na makaratasi mengine kayachapa Kwa kiswahili na mwishowe akavunja mjadala...
mashaalla ukweli unapainika sasa Allah amuhifadhi shekhe bachu
Allah akulipe kheir Bachu.. Umeongea vizuri
MashaaAllah umesema mambo yakueleweka Allah akujaze kila la kheir.
Allah akuongoze nasi atuongoze
ماشاءالله
Baaraqallahu fiiika sheikh Allah akufungulie na zaidi na akuhifadhi
Kama ww una hoja ungeingia mizani she wenu barahiyan aliambiwa aingie mezani Kama anawza itakuwa ww kwa uelewe mada c maulid mada uongo w barazanji halafu tambua vitabu vyote vina kasoro I c pokuwa kur an mnawatukana wat kwa shair za maulid acha story!
Wanivamia mm kwani ndio nliesema mm nimekuja kumpongeza shekhe hapa kama Una hasira nenda kakasirike hukoo mshamba wa CZcams hujui hata kucomment hujui mwenye CZcams channel wala wanao comment 😂😂kakasirikie mbele huko Sunna itatawala milele .....ametaja number zake za simu mpigie kama Una maneno .....kama huna like na upite 😂
Mashaallah kumbe tumefaidika wengi sana kuambiwa zambi heri moja uiyonayo ww ni ibada na ukaiwacha kuliko kuambiwa hiyo heri ni zambi lakin ukabaki nayo kwa ubishi2 ukiogopa fulani atanionaje mwisho umauti ukakufika ukiwa kwenye zambi hio ukakosa cha kujitetea kwa allah wakati ulishaambiwa kipindi cha uhai wako mm pia nilikua mtu wa maulidi lakin kweli mashekh wetu wameshindwa kutetea maulidi najiskia aibu pia
Hakika nlidharau hii saut mwanzo Allah anisamehe kwa hilo, ukweli ustadh said alikusudia kuharibu munakasha na hakukusudia kuelimisha watu.
Iyo elimu ya kuelimisha watu hana nado akafanya yale
@@khamisali5942 huwa wanajifanya viziwi, na upofu ili jambo lao lidumu Ila muelewa wa mambo hapitwi kirahisi.
Hakika
Ndugu yangu mashaallah umeweza kuufafanua vizuri sana hii ndiyo kweli shegh Saiid smetuangisha kabisa hafathari Shegh Abbas
❤🎉
Msimlaum Sheikh Said kua amewaangusha amewaelimisha kwa sababu ameshindwa kujibu swali alilo ulizwa jingine alikubali kua hadithi ile ni dhaifu sasa si ilikua inatosha kuonyesha kua si sawa kuisoma Maulid
Masha Allah
Mashaaah
ما شا الله
Nakupongeza kwa summary yako nzur Allah akuhifadhi
Masufi wababaishaji
ماشاء الله
Shuk raan sana kwa kulizamia hilo swala kwa undani....huo ndio ukwel uliyopo..hakukuwa na Aya,hadiith wala riwaya kutoka kwa u'lamaa yyte mkubwa....!!
Shekh uko vizuri ila kitu kimoja tu mtu yeyote hawezi kutetea maulidi kwa hoja!!!!
shekhe sisi wanafunzi tumepata faida tunajua ukweli wote na faida tuliopata na mwanga ukweli kuhusu maulid
Haqi imeonekana....maulid haifai kabisa.
haifai kwako ndg
@@mafiatv5479 sasa kwa wewe yanayofaaa kwa hoja gani?tufundishe
Sheh wangu mm pia nilikuwa huko maulidi ni shirki kubwa, na kukalfisha nsfsi
Watu wa maulid ni watu wa balbala hakuna elimu .
Wallahi mtazamo wako kama wangu ilkua ust said aweke wazi yy afundishe watu sasa hii hadithi ni Munkar lkni yatumika kulingana na maneno hayo wanachuoni wanasema hivi hivi aki walitunyima faida ilkua amejua angekwama
ALLAAH YAHFADHK YAA AKHIL HABIYB YAA HILAAL
Nime fuata munaqasha huu kwa chanel tofauti nimegunduwa kama wenye hawakubaliane na maulidi ni wengi sana, inaonekana sheikh Bachu yawezekana kashinda izi niqash zote mbili Niki check comment za watu kwa kila video .
Hata Enzi za ujahilia walikua kidogo lkn Allah alileta afuu
@diagfinamix mjadala ulikua umeanza vizuri kabisa kama hadithi ni Munkar basi ilkua ni juu ya ust said aifafanue kuwa yafaakutumika kulingana na mwanachuoni huyu na huyu katika kitabu chake flani na bachu nae aje nae aeleze hapo watu wangefaidika pakubwa lkni ust said amegomea kwa mtu na hapo sheria waliweka wanajadili maneno hawajadili mtu kwa kweli watu hawakufaidika ila watu wameondoka na neno moja tu Majazi+Munkar ikaishia hapo
@@MdNasr-jm8pjwatu waache ushabiki ust said ilkua aje afafanue sasa hii hadithi ni Munkar sasa sheria yake yasema hivi na hivi kulingana na mwanachuoni flani katika kitabu flani Kisha bachu aje aeleze lkni yy aligoma pamoja watu wengi ukiwauliza haya bana hadithi Munkar umeelewa nn asilimia 90%watakwambia hatukuelewa kitu tulinyimwa faida katika huo mjadala Tanga ulikwama Majazi KENYA Munkar Bado watu wengi wako kwa mabano
Waislamu hawafaidiki na minaqasha zaidi ni kuugaanya umma.sisi wenyewe twajifedhehesha mbele ya wasiokuwa waislamu.Uchaji Mungu ni moyoni si makundi
Maneno ni 2 tu yamepatikana Majazi+Munkar=Uzushi
Don't gain the world and loose your soul wisdom is better than gold and silver
Sheikh wangu hawa watu wa maulid
Imam shafi alishasema masufi hawana akili.
Wameshinwa kutetea balzanji
Kwakuw kabulini ntakuw pekeangu na munaqasha nimeufatilia wallah tubadirike dini ilisha kamilika
Alhamdulillah...mwenye akili kapata Elmu....thums Alhamdulillah
Wallahi sijui wazungumza nini ndugu yangu. Tulazimishaneni tusome hii ni rai ,maana yaliotokkeya ni elimu na hakuwa sheikh said na ubishi .Angali clip zote kabla ya mjadala na shariya zake? Hilo tatizo uliloliona ndio elimu na haki ndio iliopatikana. Tuwe na ikhlas tuangaliye ya muhimu zaidi maana LGBT sasa ndio ya kujadilana tuhifafhi Dini yetu na maadili yetu😢
Tatizo ni twariqa wanataka ushindi...na bachu anataka kuelimisha hapo ndio kulikuwa na tatizo
Masufi wameshindwa kuitetea barzanjee waongo hao maulid hayafai
Mashia na masufi wote wazushii wa uislamu
Sikudaganyi kila alo kusifu ni kama wewe mwaoneshwa ndia na kipofu mwatarajiya nini shekh said mungu amuifadhi amzidishiye ilimu na hikima na busara
Si pekeako wengi wametanabahi maulid SIIIO
Tume kuelewa na lengo lako shukran
Munakasha gani wamemtukana bachu je huko ni elimishana. Watu wanaelimishana kwa kistaarabu heshma lakini kulikuwa na chuki pale hata hapo walipoonza wameanza kwa kijeuri sikupenda hata kidogo bora bachu asingekwenda walikuwa wakimchora mtu hakulolote wala wasingeelewa vichwa vigumu kufahamu.
Hao hawana dalili ktk hilo ni watu wanaofata matamanio tuu
Mm nakwambiaeni kataeni kubalini maulid bidaa leteni hadith sahihi ni ushabiki tuu kundindi la watu
1. Maulid, siku aliyozaliwa Mtume s.a.w na kuiadhimishwa.
2. Maulid, vitabu vya Maulid, vitabu vya Sira Mtume.
3. Maulid, Hadhara wanazofanya waislamu katika mfungo sita na miezi Mingine.
Kilichojadiliwa ni nukta moja tu katika nukta alizodai Bachu kuwa ni Uongo tena katika kitabu kimoja cha Maulid cha Barzanji,
Kumbuka kuna vingine.
Bachu angediriki kusema Hadith Munkar ni Uongo kwa mujib wa fani ya Hadithi, angelazimika kuwa na Ushahidi.
Kuonyesha Tawaadhui kwa masheikh na kwa fani ya hadith, aliamua kukaa kimya.
Namsifu Bachu pengine anaenda rejea.
Ila akimaliza la Barzanji kuna vitabu vingine vya Maulid,
Akishamaliza kuna nukta tatu muhimu za juu nilizo anza nazo ndio picha linaisha.
MTAZAMO WANGU
Shukran sana na hivyo ndivyo mambo yalivyo tokeya. Mimi simuelewi huyu azungumza nini hapa? Azungumza kama hajauelewa munaqasha ulivyo kuwa na ni jambo lakusikitisha sana .
Hayo majibu ya hadith na matumizi yake ilifaa anaye tetea maulid ndio ayalete WALA sio Muhammad bacho, na hii ndio kanuni za minakasha anaye tetea jambo ndio wanatakiwa AWEKE WAZI kuhusu ruhusa za kutumia hadith maudhui au dhaifu katika jambo, Ila SAID alitumia mbinu za kivita kukwepa hili akalisukuma kwa mwana wa Bachu,
NA ndio maana bachu hakulijibu nae akatumia akili kulipisha lipite kiaina hiyo,
NA mkitaka kuamini hili fatilia minakasha ya sheikh Albani na watu wa maulidi.
huna akili eti utaelewa nn na bichwa lako tupu
@@Hawanalugha Ikiwa watu wa maulidi ndio Wana akili basi hakuna vichaa hapa ardhin.
Wanaume wanatingsha matako barabaran na wengine kujifanya wamepanda midadi mpaka kuzimia kumbe ni masheitwan yamepanda, halafu waonekane Wana akili!!?
Yule said hakutaka mjadala bali alishindwa kwa hoja kwasababu katika mnakasha huwezi kusema mimi siwezi kuendelea na mjadala mpaka nijibiwe.
Yeye angeendelea hata kama anaona swali lake halijajibiwa sisi hadhira ndo tungehukumu kama Bachu hakujibu swali fulani, lakini yule mpumbavu wa kisufi alishindwa kabisa ndio maana alileta ujanja ule wa kiubishi.
Kama kweli nyie mwajielewa tuambieni nyie na makafiri wanao sherekea kizaliwa kwa yesu na nyinyi tafauti yenu ipo wapi mana nyote muna birthday😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 wapuzi mnoo nyie
Ww ni mzuka hukuelewa kamwe ule munaqasha vzr
Umeongea ukweli, ila kitu kimoja hamja kielewa, dj side na walimu wake wote walikaa kuipanga ile ishu ilio tokea pale, na sbb nikwamba wanamjua vizuri sana Shekh Muhammad Bachu ni nani na ana uwezo gani wa kujenga hoja na kuthibitisha kua kitu hiki kipo au hakipo.
Sasa walikusudia kumtia kikwazo Shekh Muhammad Bachu kwa kumuliza swali wakidhania ni gumu lkn sio swali na hata lingekua swali sio gumu hata kidogo.
Na hawakukusudia khasa wazushi kuja kutaja chochote ktk hoja za kutetea urongo uliomo ndani ya barzanji, kwani wanaelewa kua wangefanya hivyo basi wengine wangeli pinduka palepale kwa presha, na ingekua fedheha na kinyaa ambacho hakija wahi tokea ktk historia ya wazushi.
Wakakwepa hapo kwa kutarajia watamkwamisha kwa swali lao la kizushi Shekh Muhammad Bachu.
Lakin kwa bakhti mbaya upande wao, walimkuta Shekh Muhammad Bachu kashiba elimu, na ana akili mara tatu zaidi kuliko vile walivyo mdhania, walikuta ana akili kubwa kuliko wao, sasa ikaonekana hakuna njia ya kusalimika ila tulazimishe hivihivi, ili aonekane Shekh Muhammad Bachu kashindwa kujibu, lkn mambo sivyo yalivyo.
Na walikua wana saidiana kitu walichokua wamekipanga zamani, na kufanya khiana na ubabaishaji ili kuwazuga watu wasielewe nini kinaendelea.
Lakin Munaaqasha tulikua tuna uzingatia kila nukta.
Allaah amlinde Shekh Muhammad Bachu, lkn ukweli yuko juu kimaarifa na kiakili kuliko wazushi
Duuh ahsant jazakaAllahu khayran habiib
Sio inavyo onekana alikariri!!hivyo ndivyo ilivyo na mwenyewe alisibitisha hilo alisema pale kama shk wake kamwambia wakifika hapo ndio mjadala uishie hapo ndio akang'ang'ania na akasema hata hao mashk wake wakimwambia basi toka hapo tuendele alisibitisha yeye hapo hatotoka
Hoja iyo itokee wap kwa watu wa maulid.. Batili haijawahi kushinda
Huyu Said sijuii kwa nini nikasikiliza huu munaqash hana hata elimu hajui kashikilia suali moja ndio hilo hilo
Hadith ilitolewa acha uongo ameitoa bachu na akaikariri said sijui una tatizo gani
tatizo hapa kuna kuchanganya mada kutokana na uelewa uhalali wa maulid na uharamu wa maulid ni mada nyengine na uongo uliopo ktk kitabu cha barzanji ni mada nyengene
saidi kakaririshwa katumalizia MB zetu niafadhari ya sabbas
Twendeni Palestinian na gaza wchaneni na maulid 😢
Ndugu yangu ww unaozungumza hapa ww umejua kua huo mjadala unazungumziwa nini Nadhan ww ulkua hata hujui kunazungumziwa nini kulkua hakuzungumziwi maulid yafaa au hayafai kulkua mjadala ni urongo kwenye barazanji sio maulidi yafaa au hayafai
Pole ndugu wacha kuwaomba maiti maulidi bidaa kubwa mashaallah shehk bachu kawafumbua macho waumini wengi wanaoitaka kuijua haki wale wapishi wapenda ngoma na pilau nendeni ngomani2 Allah tutakutana nae
We ni majnuun
Kimsingi ustadh saidi alikosa majibu lakin akashikilia swali lake hpo hjashindwa bacho bali kilichokuj n debat ya shul ya msingi
Ndugu yangu mjadala ulikua wa kielimu .
Kwa msingi huo pale zilizokua zikitumika Ni fani za kielimu.
Kwa mfano unapo sema hadithi ni dhaifu , jibu lake litapingwa na fani ya muswtalahul hadihi.
Sasa apo ukisema unataka Aya , ili hali hakuna Aya inayo thibitishi hadithi sahihi Bali wanachuoni wa mustwalah waseme .
Mnapo taka Aya kwenye mjadala wa kielimu. ,!!!?
Shekh Aya Mambo yanatu uruga waislamu kwani mijadala hii niyatoka huko !!!!
Kikubwa tuvumiliane na tuheshimiane. Ndivyo walivyo ishi waliotutangulia.
Ushabiki wacheni
Uwezi kupata aya kwenye kuraani lnayo zungumzia maulid sababu maulid ni uzushi
Sasa ma hufadh walio andika Vitabu vya Maulid
Umesikiliza lakini ukufahamu kuligana na ufahamu wako ni mdogo dio mana umfahamu unavyo taka ww si kwa ufahamu wa wenye ilimu na hikima na busara wewe sikatika wasomi yaonekana ilimu yako ni dogo dio mana hakuna ulicho elewa kincho jadiliwa watarajiya nini kipofu akuelekeze ndia usawa umeulizwa swali ni ujibu kama ujuwi ni useme si juwi si ujiga ujiga ni kujifanya wajuwa na ujuwi kama vile wewe una unacho kijuwa ujiga ni kitu kibaya sana nakuhurumiya maskini polo sana kwa fahamu dogo ulonayo kipofu diye anae kulekeza ndia watarajiya nini pole
Hukuona riwaya inayo ruhusu mauridi je riwaya inayokataza mairidi umeiona mpaka useme mauridi ni dhambi?
Huyu alimuelea bachu
Ww mnafik bachu aliuliza swali na akajijibu mwenye hadith ni munkar na shekh said akakubali hadithi ni munkar akamwambia bachu ni thibitishie kwa wanazuoni bachu kashindwa na angejibu bachu watu wangendelea alafu ww mnafik na usionge kitu kama huna ilimu na kuapa kwako
dah uwelewa kitu kizuri
ni vitu viwili tofauti kumbe wewe unajua mungu yupoje
Niko Bujumbura Alla akulipe kila lakheri nilipogundua ahlulbidaa wamesomewa ubishi tu elimu hakuna kabisa😅
Mbona kakimbia bachu kashindwa kujibu na kakojoa alikua ajibu swali alafu afundishwe bachu
Jamani bachu angesema sijui hpo ilimu ingetolewa lkn kwa kibri chak aliachw hvy hvy
Sisi Bachu alikua hatuna haha na yy, SI tulitafuta kujua ukweli kwaiyo Shekhe Said alitakiwa aipe nyoyo zetu furaha baada ya Shekhe Bachu kusema hajawah kuona, sio Shekhe Said ashikilie apo apo tu. Je alitaka Shekhe Bachu nn na alishasema hajaona Mashekhe wa Mustalah Alhadith kuzungumzia Hilo. Sasa mtu anakuambia sajawah ona unasubiri jawab Gani Tena?
USHAHIDI WA HADIDHI HUU KAMA HUKUUONA
SHEKHE SAID ALITOA USHAHIDI WA HADITHI THAIFU KUTHIBIBITISHA MANENO YA BIN JAAFAR
NARUDIA SHEKHE SAID ALITOA USHAHIDI WA HADITHI THAIFU KUTHIBIBITISHA MANENO YA BIN JAAFAR
HUU USHAHIDI HUKUUSOKIA??
HADITHI DHAIFU ZIMETUMIWA NA WANACHUONI WENGI WENGI WENGI
KWAHIYO UKISEMA HADITHI THAIFU HAIFAI BASI VITABU VINGI NA MASHEKHE WENGI WANGEITWA WAONGO
NDIO MAANA SHEKHE SAID AKAULIZA HILO SUALI JEE MWANACHUONI AKITUMIA HADITHI MUNKAR HUITWA MUONGO JIBU ALIKUA ASEME NDIO AU SIO ILA HAKUTOA JIBU AKAZUNGUUKA
BACHOU ANGEJIBU NDIO AU HAPANA SIO KUZUNGUUKA HAJAJIBU KUWA NDIO AU SIO
PIA AKHI HUJUI KUTOFAUTISHA HADITHI MAUDHUI NA HADITHI DHAIFU
BACHOU ANGESEMA HADITHI MUNKAR ZOOOOTE NI DHAIFU
WEWE NI WAHABIIIII USITUDANGANYEE
HATA NA MIMI NAWEZA KUTOA CLIP NIKAJIDAI WAHABI ILA NIMETOKA UWAHABI KWA SABABU BACHU ALISHINDWA KUJIBU ALICHOULIZWA
Kharashi mkubwa wewe zindiiq, dajjaal, tangulini alieshika haqqi akaachana nayo na kushika batili?
jibu swali lililomshinda mwenzio
Kwanza juweni kusoma ndio mropoke
Dalili hawana said jahili mkubwa
Umetumwa we sio mtu wa twarika hatutaki mifano tunataka vitabu viongee acheni porojo
Acha balbala nyingi au naweww inataka munakasha
Saidy munkary hahhahahaha
Wewe unaonekana huelewi shida kujibu swali shida sio saidi alimtaka aje mwengine katika kiti bachu akakimbia acha porojo zako wakati wewe unaacha kusoma wenzio wamekesha leo
Asiyejuwa maana haambiwi maana
Hajauliza hivyo bana shekh saidi aliuliza hadithi ikiwa dhaifu haifai kutumika au huyo mtu aliendaki hio hadidh huitwa muongo au yaho maneno huwa uwongo
Jibu ilikuwa ndio au hapana mbona alishindwa kujibu huyo bachu mzee
Siliza tena kwa usahihi kaka
Wewe mropokaji mwabie bachu atowe video yakusema sijuwi afundiswe shek said yuko tayar kusomesha
Bongo tv Ungezisikia aya na hadith Bachu angekubali hajui
Aseyee mawahabi leo ndo nimeamini hamjui kitu kabisa kwasababu said kasema kweli Hadith hii ni munkar je Hadith ikiwa munkar ndo yaitwa uongo? Kwamjibu wa wanachuoni au au mnasemaga niuongo Kwa ufahamu wenu finyu je Hadith ikiwa munkar au dhaifu ndo tuseme kitabu hichi kimejaa uongo vitabu vya Hadith vingapi vina Hadith munkar na dhaifu mbona hamjielewi
Wewe ni wale wale tu ambao mnampinga mtume Muhamad (S.A.W),mbona ziko bidah nyingi tu ambazo nyinyi wenyewe mnazifanya,acheni ukafiri wa kuuvuruga uislam kwa manufaa yenu binafsi kwa viela mnavyopewa na makundi ya kishetani.
Acha ushabiki ule mjadala uliishia pale pale wewe ndo hujaelewa