Kisa cha kweli cha Bibi Mchamungu na Mjukuu wake siku ya ndoa - Ukht Fatma Mdidi

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 28. 11. 2023

Komentáře • 39

  • @user-wt8ek1yf7x
    @user-wt8ek1yf7x Před 8 měsíci +8

    Mashallah mungu akupe maisha marefu uendelee kuwapa nasaha watu 🤝😟

  • @salmoomorefeelingproductio1744
    @salmoomorefeelingproductio1744 Před 8 měsíci +3

    Kosa ni la wanazuoni ,kazi nzuri kwa kuyasema

  • @sweetylove9918
    @sweetylove9918 Před 8 měsíci +2

    Mashallah Allah akulipe kheri kwamafunzoyako shukran

  • @mwanzegelekalu7092
    @mwanzegelekalu7092 Před 8 měsíci +2

    MaashaaAllah ukhti fatma.. baarakallahu fiiqa inshaAllah.

  • @abdulragmababdulsalam5107
    @abdulragmababdulsalam5107 Před 8 měsíci +3

    Mashaallah shukran ❤❤❤

  • @feiruzahmed7524
    @feiruzahmed7524 Před 7 měsíci +1

    May ALLAH bless you for all your efforts.

  • @eshasalim5496
    @eshasalim5496 Před 8 měsíci +1

    SUBHANA ALLAH! ALLAH Atusamehe Ya Rabb. Jazzaka Allahu Kheir. AMIIN

  • @MorganOyuech-wh9fz
    @MorganOyuech-wh9fz Před 7 měsíci +1

    ALLAH ☝️akubariki ...

  • @hassanmpemba5747
    @hassanmpemba5747 Před 8 měsíci

    dah mtihani sana sisi binaadam mungu atusaidie

  • @Ibrahhaji
    @Ibrahhaji Před 4 měsíci

    Mashaallh

  • @faizunmohd9839
    @faizunmohd9839 Před 8 měsíci

    Shukran sana kutu fundisha

  • @bentybenty2343
    @bentybenty2343 Před 8 měsíci +2

    SUBHANALLAH 😢

  • @AnasiAlly-oh8wb
    @AnasiAlly-oh8wb Před 7 měsíci

    Mashaallah

  • @maryammdoe5801
    @maryammdoe5801 Před 7 měsíci +1

    Subhanallah 😢

  • @sihammohamedthabit9832
    @sihammohamedthabit9832 Před 7 měsíci

    Mashallah

  • @bintsalimalbimany287
    @bintsalimalbimany287 Před 7 měsíci

    Subhanallah

  • @bakariomari4251
    @bakariomari4251 Před 8 měsíci

    Mashaallha

  • @zaerajuma9159
    @zaerajuma9159 Před 7 měsíci

    Tuta kualika Burundi 🇧🇮 kwetu

  • @mohamedsaidalhabsi7862
    @mohamedsaidalhabsi7862 Před 8 měsíci

    Dada kuna ambao wemeolewa kabla hajaachika wamesha funga ndoa mwanamke anasubiri talaka kwa mume wa kwanza anangojea akipewa talaka leo kesho ana hamia kwa mume mpya

  • @lordenoughforme4417
    @lordenoughforme4417 Před 8 měsíci +1

    Maustadha wakileo watafuta umaarufu kupitia mitandaoni.Rasul saw atufundisha1) mwanamke akisalimiwa na mwanaume si mahrimu yake hafai pia kuitikia salam kwa sauti na iwe kisiri.2)mwanaume akibisha tia nguo mdomoni ili sauti itoke vibaya 3) na walipokua wakiendewa wake za mtume na maswahaba kuulizwa swali ladini,wikua wakijibu nyuma ya pazia...huyu leo eti auza sura live,sauti ndio hio.fitna tupu hizi.makosa haya,sio mafundisho ya Rasul saw.

    • @mwanashaali1109
      @mwanashaali1109 Před 8 měsíci +4

      Sio Kwa Ubayaa Ilaaa watu wengi Wanapenda Sanah Kuingilia mamboo ya dini,akiongea Mtuu mambo ya dinii,watuuu hutafutaa Kasoroo,tumuachie Allah Atuhukumie

    • @user-ec8rf2bp3b
      @user-ec8rf2bp3b Před 7 měsíci

      Unachuki binafsi km kweli unataka kumkosoa ungemfuata na kumrekebisha,
      Hii ni sms Yako ya pili!!!

  • @asyamgeni9819
    @asyamgeni9819 Před 7 měsíci

    Why bibi asiseme mapema kabla ya kufunga ndoa kasubiri mpaka ishangwa ndoa

  • @mwanashaali1109
    @mwanashaali1109 Před 8 měsíci

    Ukhty ungesema hao mawalii xahihii

  • @lordenoughforme4417
    @lordenoughforme4417 Před 8 měsíci +4

    Basi vaa ninja na sura lako ilo.fitna tu mingi.masheikh wamejaa,kaa utoletee wanawake wenzio darsa,sio kujianika tu

    • @hamidamangara3199
      @hamidamangara3199 Před 8 měsíci +1

      Subhanallah huwezi kumnasihi mtu kwa lugha nzuri

    • @mariamkai2705
      @mariamkai2705 Před 8 měsíci +1

      Acha kumkosoa ,Hana mapambo kabsa huyo

    • @bakariomari4251
      @bakariomari4251 Před 8 měsíci +1

      Kwanza ukute yeye mkewe yupo wazi hadi kichwa wanafki tu hawa eti elimu mitandaoni fanya kwako.

    • @faizunmohd9839
      @faizunmohd9839 Před 8 měsíci +1

      Subhanallah Allah atakuongoza

    • @zaharangonyani2206
      @zaharangonyani2206 Před 8 měsíci +1

      Tumia lugha nzuri ndugu yangu bi fatma ni mzuri sana kama hujui hana makeup na mtu mzima lkn kama bint wa miaka 20 ana nuru tangu duniani haya ww mwenzangu ?mche Allah