ALICHOUFANYIA UISLAM SHK MSABBAH AKIWA NA MAGWANDA YA CCM "LAANATULLAH, LAANATULLAH"

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 12. 08. 2023
  • #riyadhTvZnz #zanzibar

Komentáře • 32

  • @osamaally1704
    @osamaally1704 Před 10 měsíci +1

    Maaa Shaaa Allah. Namuomba Allah awawekee Hai na Awape Umri Wenye Kheri ili tuzidi Kupata Kheri za Allah kutokana na nyinyi. Nawapenda Sana Wanazuoni wangu kwa Ajili ya Allah❤

  • @nasibmbuguni5613
    @nasibmbuguni5613 Před 11 měsíci +5

    Sheikh Allah akuifadhi kwa kutetea dini hayo uliyosema kwa wanawake sahihi kabisa

    • @cath-ef7wd
      @cath-ef7wd Před 11 měsíci

      Amin

    • @aliabdalla5964
      @aliabdalla5964 Před 29 dny

      Bbbbbbbnññññjnmmññlkkmmmnjj0ml 6:41 6:41 bb​@@cath-ef7wdjgjhbbbbbb

  • @abuusalum928
    @abuusalum928 Před 11 měsíci +1

    Ma shaa Allah

  • @jumamajid7557
    @jumamajid7557 Před 11 měsíci +8

    Katika hazina kubwa tulizo nazo Tanzania🇹🇿 ni huyu shekhe

  • @dr_a_she_a
    @dr_a_she_a Před 11 měsíci +1

    "We Badru unajuilikana kwa ubishi"😂😂😂

  • @AhmadaTahir-cu8se
    @AhmadaTahir-cu8se Před 11 měsíci +1

    Inabidi hao Makadhi wakumbushwe au hawajafahamu Khului ni nini? Na hukmu yake nini?

  • @AhmadaTahir-cu8se
    @AhmadaTahir-cu8se Před 11 měsíci +2

    Na wapotayari kurejesha mahari yao!!

  • @MohammedAli-ud8so
    @MohammedAli-ud8so Před 11 měsíci +1

    Mm nashauri ivo vichwa vya habari muandike vitu muhimu kma hv vya ndoa vilozungumzwa

  • @omaryramadhani6664
    @omaryramadhani6664 Před 4 měsíci +1

    Kichwa cha Habari kina udanganyifu kama vichwa vya Habari vya TV za makafiri,au matapeli au wanafiki,au majaahil.
    Na kama hawa waweka vichwa vya habar ni waislam basi ni majinga miongni mwa majinga mengi ya watu wa bidaa.

  • @user-cj6pw8zd4e
    @user-cj6pw8zd4e Před 11 měsíci

    Nimejifunza kitu kumbe si mahari tu duuuh

  • @AhmadaTahir-cu8se
    @AhmadaTahir-cu8se Před 11 měsíci +1

    Baadhi ya Mashekhe wanasema kua Khului ni mpaka Mume akubali yeye kuacha,jee ni kweli?

  • @madamaisha1641
    @madamaisha1641 Před 10 měsíci

    Shekhe ubwabwa

  • @YalkinAlkindy-nt2hf
    @YalkinAlkindy-nt2hf Před 11 měsíci +1

    Msikiti gani

  • @elhabsy8483
    @elhabsy8483 Před 11 měsíci

    Sas vp kuhusu chakula alicholishwa mwanamke uyo alofai khuluu pia kinadaiwa au vp

  • @AhmadaTahir-cu8se
    @AhmadaTahir-cu8se Před 11 měsíci

    Mboni hao Makadhi hawatowi talaka kwa wanawake wanaotaka kufanya hiyo khuluwi hatakama waume zao wanashida kubwa mnooo

    • @ahmadseif7241
      @ahmadseif7241 Před 10 měsíci

      Kila jambo linakua na taratbu zake, acha kucomment ujinga

  • @cath-ef7wd
    @cath-ef7wd Před 11 měsíci

    Mimi hata leo hii mke wangu ameniambia hanitaki anataka kujivua kwenye ndoa ila nimemuwekea ngumu

    • @abdulmohd6880
      @abdulmohd6880 Před 10 měsíci +3

      Duh!!! Pole sn ndugu yangu ila ktk jambo ambalo unatakiwa ushukuru n mwanamke kukwambia hivyo mana vyenginevyo n kukufanyia ushenzi lkn akikwambia hivyo shukuru na ikiwa yupo sirias na hilo muache ila kumuwekea ngumu akurudishie mahari c jmb baya..

    • @alzawahirabdallah2299
      @alzawahirabdallah2299 Před 10 měsíci

      Mpe talaka yake atakuja kukupikia sumu bure

  • @YalkinAlkindy-nt2hf
    @YalkinAlkindy-nt2hf Před 11 měsíci

    Izi darsa zipo msikiti gani

  • @mashaurimvungi2232
    @mashaurimvungi2232 Před 11 měsíci

    Hebu elezea ulivyokua CUF