Maaa Shaaa Allah. Namuomba Allah awawekee Hai na Awape Umri Wenye Kheri ili tuzidi Kupata Kheri za Allah kutokana na nyinyi. Nawapenda Sana Wanazuoni wangu kwa Ajili ya Allah❤
Kichwa cha Habari kina udanganyifu kama vichwa vya Habari vya TV za makafiri,au matapeli au wanafiki,au majaahil. Na kama hawa waweka vichwa vya habar ni waislam basi ni majinga miongni mwa majinga mengi ya watu wa bidaa.
Duh!!! Pole sn ndugu yangu ila ktk jambo ambalo unatakiwa ushukuru n mwanamke kukwambia hivyo mana vyenginevyo n kukufanyia ushenzi lkn akikwambia hivyo shukuru na ikiwa yupo sirias na hilo muache ila kumuwekea ngumu akurudishie mahari c jmb baya..
Maaa Shaaa Allah. Namuomba Allah awawekee Hai na Awape Umri Wenye Kheri ili tuzidi Kupata Kheri za Allah kutokana na nyinyi. Nawapenda Sana Wanazuoni wangu kwa Ajili ya Allah❤
Sheikh Allah akuifadhi kwa kutetea dini hayo uliyosema kwa wanawake sahihi kabisa
Amin
Bbbbbbbnññññjnmmññlkkmmmnjj0ml 6:41 6:41 bb@@cath-ef7wdjgjhbbbbbb
Ma shaa Allah
Katika hazina kubwa tulizo nazo Tanzania🇹🇿 ni huyu shekhe
"We Badru unajuilikana kwa ubishi"😂😂😂
Inabidi hao Makadhi wakumbushwe au hawajafahamu Khului ni nini? Na hukmu yake nini?
Na wapotayari kurejesha mahari yao!!
Mm nashauri ivo vichwa vya habari muandike vitu muhimu kma hv vya ndoa vilozungumzwa
Umeongea sahihi
Kichwa cha Habari kina udanganyifu kama vichwa vya Habari vya TV za makafiri,au matapeli au wanafiki,au majaahil.
Na kama hawa waweka vichwa vya habar ni waislam basi ni majinga miongni mwa majinga mengi ya watu wa bidaa.
Nimejifunza kitu kumbe si mahari tu duuuh
Baadhi ya Mashekhe wanasema kua Khului ni mpaka Mume akubali yeye kuacha,jee ni kweli?
czcams.com/users/shortsWtljPxJwEG4?feature=share
Shekhe ubwabwa
Msikiti gani
mchangani - znz
Mchangani kwa aliyani
Sas vp kuhusu chakula alicholishwa mwanamke uyo alofai khuluu pia kinadaiwa au vp
Hakidaiwi maana hakuna Sheria hiyo
Mboni hao Makadhi hawatowi talaka kwa wanawake wanaotaka kufanya hiyo khuluwi hatakama waume zao wanashida kubwa mnooo
Kila jambo linakua na taratbu zake, acha kucomment ujinga
Mimi hata leo hii mke wangu ameniambia hanitaki anataka kujivua kwenye ndoa ila nimemuwekea ngumu
Duh!!! Pole sn ndugu yangu ila ktk jambo ambalo unatakiwa ushukuru n mwanamke kukwambia hivyo mana vyenginevyo n kukufanyia ushenzi lkn akikwambia hivyo shukuru na ikiwa yupo sirias na hilo muache ila kumuwekea ngumu akurudishie mahari c jmb baya..
Mpe talaka yake atakuja kukupikia sumu bure
Izi darsa zipo msikiti gani
Ktk msikiti wa mchangani
Mchangani kwa aliyani
Mara nyingi ni msikiti wa mchangan siku ya ijumaa na jumamosi baada ya magharib
@@mohamedsuleiman2785 na jumapili
Hebu elezea ulivyokua CUF