KAMA MKEO HAIJUI SIRI HII HUNA MKE | SHEIKH IZUDIN

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 20. 02. 2024
  • #AdilTV

Komentáře • 95

  • @khalidalmaawali3019
    @khalidalmaawali3019 Před 3 měsíci +5

    Allah atujaalie tuwe miongon mwawake wema❤

  • @zainabkhamissaid
    @zainabkhamissaid Před měsícem +1

    Mashallah Allah atufanyie wepesi tuwe na mwongozo wa dinj

  • @IzudinAlwyDin
    @IzudinAlwyDin Před 4 měsíci +84

    Ndugu ADIL TV mm sipendelei video zangu mukieka mueke na picha ya mwanamke na nishawahi kuwakataza jambo kama hili . mujue mm siridhii kwa haaya munao fanya kwa kueka picha yangu na na pivha ya mwanamke .

    • @nouraalharthy5509
      @nouraalharthy5509 Před 4 měsíci +2

      Haipendezi hasa kiukweli

    • @user-ru4ix4tc4u
      @user-ru4ix4tc4u Před 4 měsíci +5

      ❤ Mashallah m/mungu akuongoze ww nass kwaujumla❤

    • @halimamfaume1925
      @halimamfaume1925 Před 4 měsíci +2

      Ni kweli sio vizuri sijui wanaweka picha ya mwanamke kwa sababu gani?

    • @azizayassin3623
      @azizayassin3623 Před 4 měsíci +2

      Akuna haja ya picha ya mwanamke naaam

    • @aminaali792
      @aminaali792 Před 4 měsíci +1

      Na kwanini munawwka video za Sheikh bila Ridhaa yake ? Haifai kama kweli munaweka hizi video kwa Ajili ya ALLAH musiwe munafanya uhalifumunajichumia dhambi😡

  • @rukiaabdi9226
    @rukiaabdi9226 Před 4 měsíci +5

    MashaAllah tabarakallah.

  • @AminaOmary-vp8gq
    @AminaOmary-vp8gq Před 18 dny

    Mashaallah Allah akujalie afya njema

  • @habibisimba5081
    @habibisimba5081 Před 4 měsíci +6

    Masha'Allah

  • @Nagmah-gf4lp
    @Nagmah-gf4lp Před 4 měsíci +3

    Mashallah sheikh nasoma mengi kupitia kwako umri taweel ❤yarabbi utuelimishe zaidi,kazi za saudia mawaidha twapata kwa simu zetu tu tena ujime usingizi lakini nikikosa kulala nikisikiza wewe hupata faraja

  • @user-ns8gl7hd5t
    @user-ns8gl7hd5t Před 4 měsíci +3

    Maashallah Allah barik inshaallah

  • @user-pv5xn6vc1w
    @user-pv5xn6vc1w Před 4 měsíci +5

    MashaAllah, Allah akuwezeshe hapo na kwenginenpo nasi tufaidide InshaAllah 🤲

  • @user-te7xl4ln6u
    @user-te7xl4ln6u Před 3 měsíci +1

    Jazzaqah llah kher baadal kher janatul naim

  • @RezaQq-sx5vs
    @RezaQq-sx5vs Před měsícem

    Mungu atujalie tuwe wanawake wema inshaAllah ❤❤❤

  • @fatmasaleh1549
    @fatmasaleh1549 Před 2 měsíci +1

    Mashaklah sheh

  • @user-fb7vo2fh4w
    @user-fb7vo2fh4w Před 4 měsíci +1

    Ishaallaha mungu azidi kukupa ujuzi uzidi kutupa ujuzi

  • @aisharamadhani1948
    @aisharamadhani1948 Před 4 měsíci +2

    Shukran shekh izudin

  • @fatmaabubakar5946
    @fatmaabubakar5946 Před 4 měsíci +3

    Shekhe,Mungu akulipe tunafaidika saaana kupitia hilo

  • @halimamfaume1925
    @halimamfaume1925 Před 4 měsíci +2

    MashaAllah

  • @shanimbaruku2071
    @shanimbaruku2071 Před 4 měsíci +3

    Aamin Aamiin YaaRabbal Alaamiin

  • @user-zr3ks5lq1v
    @user-zr3ks5lq1v Před 3 měsíci

    shekh wetu mwenyezi mungu mwingi wa rehma akupe khery kwa kila hatua yako

  • @alihawaii420
    @alihawaii420 Před 4 měsíci +3

    My fav❤ sheikh n izudin

  • @asmaafamau8307
    @asmaafamau8307 Před 4 měsíci +2

    MASHAA Allah

  • @Qatar-vh5ff
    @Qatar-vh5ff Před 4 měsíci +3

    Mashallah

  • @hshshsshjdjejjejejejej9823
    @hshshsshjdjejjejejejej9823 Před 4 měsíci +2

    Masha Allah

  • @ramadhanisaida003
    @ramadhanisaida003 Před 4 měsíci +2

    Mashaa Allah

  • @hanifahnabakiibi6929
    @hanifahnabakiibi6929 Před 3 měsíci

    JazaakAllahu khair

  • @babuimam550
    @babuimam550 Před 3 měsíci +1

    Jazallah alkhaira shekhe letu

  • @user-ch6ve6me3r
    @user-ch6ve6me3r Před 3 měsíci +1

    Mashallah allah àtufanye tuwe ni wenye kufuata muongozo wake

  • @fatumaali2493
    @fatumaali2493 Před 4 měsíci +1

    Mashaalah Allah akuhifadhi shekhe

  • @AshaHassan-fl8tw
    @AshaHassan-fl8tw Před 2 měsíci

    Ammina inshaallah kheri yaarabbi🤲🏼🤲🏼

  • @jamilahissa8763
    @jamilahissa8763 Před 4 měsíci

    Alhamdulillah

  • @AshaaHamad-qo4sw
    @AshaaHamad-qo4sw Před měsícem

    Amini 🙏🙏

  • @eshasaid3258
    @eshasaid3258 Před 3 měsíci

    Allah akubariki akujazi hero na baraka❤❤❤❤❤❤❤

  • @user-jd6lb1ui3v
    @user-jd6lb1ui3v Před 2 měsíci

    Masha Allah Allah akuhifadhi

  • @user-ft9jy7jg3j
    @user-ft9jy7jg3j Před 3 měsíci

    Mashaallah tabarakaallah

  • @user-fx6nv2cf1y
    @user-fx6nv2cf1y Před 4 měsíci

    Mashaallah

  • @Fatumaathumanichisirima
    @Fatumaathumanichisirima Před 2 měsíci

    MashaAllha

  • @salumseifmwishehe2790
    @salumseifmwishehe2790 Před měsícem

    Masha allah

  • @user-gt3ty8od2k
    @user-gt3ty8od2k Před měsícem

    Maashllh 🙏

  • @user-iz2dw8rp2i
    @user-iz2dw8rp2i Před 4 měsíci

    Ht mimi nachukia sana kuona masheikh wakiwekewa picha na wanawake..

  • @user-kr2yk6gn4q
    @user-kr2yk6gn4q Před 3 měsíci

    Mashaala

  • @HafsaYusuf-co7be
    @HafsaYusuf-co7be Před měsícem

    Amiin tuma Amiin

  • @HadijaHamisi-uf5fn
    @HadijaHamisi-uf5fn Před 4 měsíci

    Maanshaall

  • @AyshaHaj-ys6ex
    @AyshaHaj-ys6ex Před měsícem

    Aamiyn aamiyn aamiyn Kwa sote waislamu

  • @TwahaMpakani-pn4ov
    @TwahaMpakani-pn4ov Před 3 měsíci +8

    Sheikh apa kuna swali nataka kuuliza umesema uislam ulianza wakat mtume akiwa na miaka 40 je mitume walio kua kabla ya mtume muhamad hawakua waislam?

  • @user-dy1jh1sf4l
    @user-dy1jh1sf4l Před 4 měsíci +3

    Yaani sio ombi ata ni inavo bidi weka namba zako kiongozi weee muhimu unah8tajika njiya tofauti tofauti kiongozi

  • @AliMohamed-nn1xk
    @AliMohamed-nn1xk Před 18 dny

    Mungu akulipe kila lakher kwa darasa lako

  • @shadyakimaro8180
    @shadyakimaro8180 Před 3 měsíci

    Asalam alykum sheikh mm naomba dua na jinsi ya kuswali istighara

  • @zalfaAlmas
    @zalfaAlmas Před měsícem

    Aslm alkm...naomba kujua Dua gani ama Aya gani nasoma ili msichana wangu ajaaliwe apate mume mwema

  • @AsiaRamadhani-md6ut
    @AsiaRamadhani-md6ut Před měsícem

    Mung atujalie tuwe miongoni mwa wanawak wema

  • @yia73
    @yia73 Před 3 měsíci

    Hiyo duwa yakufunguwa kikawo siyakawaida 😅😅😅😅😅

  • @yusufabdalla5526
    @yusufabdalla5526 Před 3 měsíci +1

    @izzudin darsa lako lataka mbati hahaha
    Jana al hudaa ulimwambia sheikh mbarak darsa lako lataka mbati kumbe lako lataka mbati zaidi hahahaha

  • @AwinjaMariam
    @AwinjaMariam Před 2 měsíci

    Mm huwa na penda mawaidha yako

  • @mataypanga5262
    @mataypanga5262 Před 3 měsíci

    Wewe muongo eti kusema ukitaka mema ni kwenda tu kuswali msikitini na hakuna gharama.Kwani msikiti umeota
    kama mti pori au ulijengwa kwa pesa.
    Kwa hiyo Alah anataka pesa

    • @ZayyunSaleh
      @ZayyunSaleh Před 3 měsíci

      Kuswal sio lazima mskitin ndug yang ni popote pale kwny ardhai ya Allah ambapo n

  • @aooshosho4255
    @aooshosho4255 Před 4 měsíci

    Hapo wanichanganya sheikh uislam ulianza vipi wakati wa mtume anatumilizwa ila Hali Allah yuasema Katika Qur'an Ibrahim alikuwa muislam,yakobo na kuwausia watoto wake wasife ili wakiwa waislamu, wanafunzi ya ISSA aleisala walikuwa waislamu...sasa ni uislam upi ulianza wakati wa mtume na wa upi uliokuwa na Ibrahim na wenye kuwafata ??

    • @alhimnamussasaid3619
      @alhimnamussasaid3619 Před 3 měsíci

      Hiyo ni kwetu sisi ummati Muhammad saw, au na wewe mtune wako ni IBRAHIM

    • @aooshosho4255
      @aooshosho4255 Před 3 měsíci

      @@alhimnamussasaid3619 pole Ile juwa uislam hakuna cha Uma na kitu ya Kwanza ujuwe uislam hata adamu alikuwa pia waislamu tunamini mitume wote pili Kila mtume alitumilizwa Kwa dini hiyo hiyo ya uislam... mtume aliudhihirisha na kuwakumbusha ummah wake ila akuuwaanzisha yeye ...hivi ndio maana wakristo wanasema eti uislam ulikuja baada na mohamad au ulikuja baada ya ukristo na si ukweli ila watu walizuwa mengi sana ndio uislam ukawa umekuwa kitu hakifahamiki ndio mtume akatenga haki kwa batwiri uislam ukapata sura yake. Mana mtume alikuja kuusafisha ..ndio maana bashira wanadhiira...batwili ikaondolewa haki ikasimama kaa ulivyokuwa mwanzo uislam ukapata nuru yake kaa mwanzo.

    • @KhamisOmar-kt4kz
      @KhamisOmar-kt4kz Před 3 měsíci

      Nilitaka kumjibu hyu Lakin wanaochangia ni ambao sio waislamu na hauliz kutaka Kujua a aunauliza kwa upinzani tu

    • @user-te7xl4ln6u
      @user-te7xl4ln6u Před 3 měsíci

      Kuna zama za nabii Adam hd nabii Muhammad S.A.W

    • @aooshosho4255
      @aooshosho4255 Před 3 měsíci

      @@user-te7xl4ln6u ni Sawa kabisaa ukisema hivyo ila yafa MTU akisema afafanulie watu juu wasiokuwa waislamu watalichukuwa hivyo hivyo, hakuna vile utamuambia yesu alikuwa muislam tena huku anasikia mtume ndio alikuja na uislam ni usawa kusema yeye ndie alieuidhirishaa uislam baada ya uislam ulikuwa si kitu chakutajwa....kama vile mtume alisema uislam ulikuja kaa kitu kipya na kitarudi kuwa hivyo,,saa waona iko waZi japo ulikueko but watu waliona ni kaa kitu kipya amekizuwa mtume.....

  • @user-qv8zq3fy7f
    @user-qv8zq3fy7f Před 2 měsíci

    Mashaallah

  • @user-pq3kg2du2u
    @user-pq3kg2du2u Před 3 měsíci

    Masha Allah

  • @user-wx6ez9jn8s
    @user-wx6ez9jn8s Před 3 měsíci

    Masha.allh

  • @user-jn8nm9kh3m
    @user-jn8nm9kh3m Před 3 měsíci

    Mashallah

  • @zalfaAlmas
    @zalfaAlmas Před měsícem

    Aslm alkm...naomba kujua Dua gani ama Aya gani nasoma ili msichana wangu ajaaliwe apate mume mwema

  • @halimabwana5944
    @halimabwana5944 Před 3 měsíci

    Mashaallah

  • @mamaali8184
    @mamaali8184 Před 2 měsíci

    Mashaallah

  • @user-so9id8rp3u
    @user-so9id8rp3u Před 3 měsíci

    Masha Allah

  • @user-cq8li4kt8q
    @user-cq8li4kt8q Před 3 měsíci

    Mashallah

  • @user-gr7kw8rb6i
    @user-gr7kw8rb6i Před 4 měsíci

    Mashaallah

  • @user-oz6vk5xm1t
    @user-oz6vk5xm1t Před 3 měsíci

    Masha Allah