WASOMA MAULIDI WANAJUWA KUKATA MBUNO TU SHEIKH SALUM MSABAH

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 5. 10. 2023

Komentáře • 67

  • @omarsima2763
    @omarsima2763 Před 10 měsíci +10

    Shekh wewe ni phylosofer mzuri na msomi mzuri wa kufuatwa. Allah sw akujalie uzidi kutuelimisha.

  • @MohamedMohamed-ge8fi
    @MohamedMohamed-ge8fi Před 9 měsíci +1

    AL hamdulillah hayo ndio Mawaidha Insha Allah akuzidishe Elimu zaidi

  • @shebbythespyro5393
    @shebbythespyro5393 Před 9 měsíci +5

    Uislamu ilikwepo tangu adam(A.S) ila uliwafikia wa kwanza kwa wakati wao ni bi khadijah(R.A)

  • @user-rf3mg3bh9j
    @user-rf3mg3bh9j Před 9 měsíci +2

    Mwanachuni mzuri na msomi sana mashalllah

  • @HijasSaidy-ke2tm
    @HijasSaidy-ke2tm Před 9 měsíci +2

    Sheikh hao unaewapa ilmu hii, wametia Pamba ktk masikio, wamechificha kwenye dini,

  • @user-xk8yt7lg4f
    @user-xk8yt7lg4f Před 9 měsíci

    Shukran Sheikh Musabah kwa kuwapa maneno wajue... Siasa iliingzwa katika Dini

  • @SamsungA14-wz4fg
    @SamsungA14-wz4fg Před 9 měsíci +1

    Sisemi hivi kwa Majigambo lkn muhimu Tusiwazugushe waislamu..wakawa wanabeb ufahamu usio sahihi..Allah s.w atusamehe tunapokosea..

  • @IssaSalimu-gi7zz
    @IssaSalimu-gi7zz Před 3 měsíci

    Mungu akubariki wemkweli ☝️☝️☝️❤️❤️❤️✌️

  • @abdulkhalfan8586
    @abdulkhalfan8586 Před 10 měsíci +1

    MASHAALLAH

  • @muktarkassim6647
    @muktarkassim6647 Před 9 měsíci

    Shukran sheikh kwa kuhimiza watu wasome

  • @rashid3562
    @rashid3562 Před 9 měsíci +2

    Huyu ni genius

  • @fay9687
    @fay9687 Před 9 měsíci +1

    Sijui kama kitana kinaingia kwenye hizo nywele subhanallah unaonekana kama chokoraa fulani

    • @ameirmanzi2684
      @ameirmanzi2684 Před 9 měsíci +1

      Iyo subuhanawah ya nn apo wakati wewe umemchunguza wakat nikosa kuchunguzana

    • @elhelaaltraders7233
      @elhelaaltraders7233 Před 4 měsíci +1

      Chokoraa ni wew usiejielewa

  • @imranihussen5764
    @imranihussen5764 Před 10 měsíci +2

    👏👏

  • @ramadhankheir4793
    @ramadhankheir4793 Před 9 měsíci +3

    Maulid uzushi tu tusizungushane sana

    • @aliabdalla9297
      @aliabdalla9297 Před 9 měsíci

      Hujalazimishwa

    • @ramadhankheir4793
      @ramadhankheir4793 Před 9 měsíci

      @@aliabdalla9297 ata ww pia hujalazimishwa kuacha ww endelea kufuata

    • @mombasa0076
      @mombasa0076 Před 9 měsíci

      AKILI HUNA WEWE.
      MTUME HAKUPANDA GARI MBONA WEWE UNAPANDA.

  • @user-lt1bi5nr1x
    @user-lt1bi5nr1x Před 9 měsíci +2

    Duh mashehe wengi sikuizi

  • @imraniqbal00765
    @imraniqbal00765 Před 10 měsíci +3

    Kwa wanawake muislam wa kwanza ni mama khadija na kwa mwanamume ni abubakar

  • @feisalhanafi7332
    @feisalhanafi7332 Před 9 měsíci +1

    Kwa komedi upo vizuri.

  • @showshowtv1854
    @showshowtv1854 Před 9 měsíci

    Ww sheikh wangu sio vzur sheikh kuwa na manywele kama hio

    • @BTVBATTAWY
      @BTVBATTAWY  Před 9 měsíci

      kama ulikuwa hujuwi mtume alikuwa na nyewele yeye zake alizilaza

  • @abuusaid3297
    @abuusaid3297 Před 9 měsíci +1

    Wakati unasom kwa mashekhe wengi, mengine unasema unawaachia wenyewe unapoon wanakudanganya hii qauli niyasawa hii, waliokua wana kusomesh walikua nasifa gani mpak uchukua uamzi huo!!

  • @WajihiAbdalla
    @WajihiAbdalla Před 9 měsíci +1

    Asalamu alaikum sheh umeshapima kati ya nashid na maulid jeep nashid sio uzushi

  • @SamsungA14-wz4fg
    @SamsungA14-wz4fg Před 9 měsíci +1

    kwanza kawatovekea adabu walimu wake..kw kusema kua anajua kua anaburuzwa kw hivo anawasikiliza kisha anawaachia wenyewe..hii sio adabu..la pili anajidhihirish zaidi kua kasoma kwa watu sio wenye elimu za uhakika..ndio mana kawez kusema :NAWACHIA WENYEWE MENGINE MAZURI ANAYACHUKUA..hivo ata yeye hawezi kuaminiwa kua Ana elimu iliyo sahihi.ndio mana akawa anafetuwa akipatia sawa .hakupatia aachiwe mwenyewe..Huu ndio mtihan wa KUTOKUSOMA KWA WANAZUONI .

    • @omadal1
      @omadal1 Před 9 měsíci

      Yaani weyee katika hili darasa umeona kasoro tu hujapata manufaa yoyote? Tuwache tabia za kukosowa wakati hatujamfahamu Kwa sababu ya ukosefu wa elimu

    • @IsmailIsmail-ix1yd
      @IsmailIsmail-ix1yd Před 9 měsíci

      ALKAMALU LLAHI WAHDAHUU. TAFUTA ELIMU UTUMIE NA MAARIFA.

  • @HusseinOmar-lx2wt
    @HusseinOmar-lx2wt Před 3 měsíci

    hamtaki kuambiwa ukweli

  • @SamsungA14-wz4fg
    @SamsungA14-wz4fg Před 9 měsíci +1

    leo ndio nimemjua huyu salum msabbah kua Porojo analo jingi kichwani

    • @mrfix6596
      @mrfix6596 Před 9 měsíci

      Unamaanisha hujamuelewa au umemuelewa sana?

  • @HusseinOmar-lx2wt
    @HusseinOmar-lx2wt Před 3 měsíci

    shida hamtaki kuambiwa ukweli

  • @muhsinsalim6257
    @muhsinsalim6257 Před 9 měsíci

    Kanye nywele zako kwanza zimejaa chawa huna ilimu yoyote ww fujo tu mm naona kama ww kabla yakuzungumz unavutabangi

  • @mamlomamlo9064
    @mamlomamlo9064 Před 9 měsíci

    Huyu ni Naga bawa wa india

  • @JK-um6op
    @JK-um6op Před 9 měsíci +1

    Mwalimu songa rasta bora.. 😂😂😂

  • @asiahsaidsaid1388
    @asiahsaidsaid1388 Před 9 měsíci

    Kumbeeee niwale wale

  • @JK-um6op
    @JK-um6op Před 9 měsíci +1

    Angalau sisi marasta tuwe na shehe wetu.. Songa rasta shehe 😂😂😂

    • @hamisisalimu6908
      @hamisisalimu6908 Před 9 měsíci

      Fanya Adabu na masheikh zetu

    • @showshowtv1854
      @showshowtv1854 Před 9 měsíci

      Afu ww kuwa na adab

    • @user-cf9zy5xr1j
      @user-cf9zy5xr1j Před 9 měsíci

      Hhhhhhhhhhhh

    • @JK-um6op
      @JK-um6op Před 9 měsíci

      @@user-cf9zy5xr1j aaaa kusema shehe asonge rasta ni kukosa adabu..? Eeeeh jamani mbona siwa fahamu..? shehe wangu namfwata darsa zake mbona..

  • @user-fq6iw1pb7q
    @user-fq6iw1pb7q Před 10 měsíci +1

    Sio 40 miaka ya mama khadija bali 38 ndo sahihi zaid

    • @sautikuu212
      @sautikuu212 Před 9 měsíci

      Hata 38 sio sahihi, usahihi ni kati ya miaka 29 na 31

    • @saidsobongo912
      @saidsobongo912 Před 9 měsíci

      ​@@sautikuu212qawli enye nguvu 28

    • @sadiqselengu4197
      @sadiqselengu4197 Před 9 měsíci

      Nyie mbona mnang'ang'ania vitu ambavyo mwanachuoni wamegongana kimawazo na kimapokeo...
      Nyie ndo mnaoleta FUJO katika dini...
      Hayo majibu kila mtu yupo sahihi katika mapokeo

    • @saidsobongo912
      @saidsobongo912 Před 9 měsíci

      @@sadiqselengu4197 hyo nisawa akhy hakuna alio pinga mtu akisema 28 saw akisema 40 saw lkn hua kna qawli enye imezungumzwa na wanachuoni wengi ndio hua enye ngvu akhy lkn hkn kubishana

    • @sadiqselengu4197
      @sadiqselengu4197 Před 9 měsíci +1

      @@saidsobongo912 Changamoto inakuja unamwambia mtu MUONGO ukizingatia ni sheikh na msomi huo ni ukosefu adabu kama mtu unajua ni ikhtilafu kila mtu anayo anayoitegemea KWAHYO TUHESHIMIANE ndio dini inavyotakiwa

  • @mombasa0076
    @mombasa0076 Před 9 měsíci

    Unasema GONGO HALIKO KTK UTARATIBU. MTUME ALIKUWA ANAPIGA PASI NGUO. MBONA NYINYI MNAPIGA PASI

  • @sautikuu212
    @sautikuu212 Před 9 měsíci +1

    Ama kweli uongo ukizungumzwa kwa muda mrefu hatimaye huonekana kanakwamba ni ukweli. Ukweli ni kwamba mtume anapomuoa bibi Khadija hakuwa na miaka 40,

    • @sadiqselengu4197
      @sadiqselengu4197 Před 9 měsíci

      Nyie mbona mnang'ang'ania vitu ambavyo mwanachuoni wamegongana kimawazo na kimapokeo...
      Nyie ndo mnaoleta FUJO katika dini...
      Hayo majibu kila mtu yupo sahihi katika mapokeo

  • @abuusaid3297
    @abuusaid3297 Před 9 měsíci

    Aisee huu kweli mtihani, mbona wewe hujulikan ukowap, watu wamaulidi unawaponda, wanaopinga maulidi unawaponda,

    • @mwarabuwamafia5590
      @mwarabuwamafia5590 Před 9 měsíci

      Yupo upande wa wafuga nywele Na kucha

    • @BTVBATTAWY
      @BTVBATTAWY  Před 9 měsíci

      kufuga nywele ni sunna hata mtume alikuwa na nywele ndefu alizilaza kuhusu kucha huyu alipokuwa anakunywa pombe figo zilikaribia kufeli hivyo kuweka kucha ni moja ya matibabu ya figo zikioza kucha figo linakuwa na tatizo

  • @user-fq6iw1pb7q
    @user-fq6iw1pb7q Před 10 měsíci +1

    At hathibitishi wala hapingi 😅😅😅😅

  • @fay9687
    @fay9687 Před 9 měsíci

    Jamani uislaam ni nadhifu mbona hata nywele huchani tobaa

  • @AllyNgale
    @AllyNgale Před 9 měsíci

    Huyu Shekh kashindwa kuwafundisha haki jamii balialichokionahaki ni kuwatusi Watu wa Maulidi eti ni wakata mbuno hayawewe lako ni lipi mbonayaonyesha wewe hatakujiswafisha hujui na ushekh wako? Maana minyweli
    كأنك الشيطان
    Mtume hakua hivyo

    • @medimisi6930
      @medimisi6930 Před 9 měsíci

      ni kweli wa maulidi ni wakata viuno ndio maana mtume akasema BIDAA zote maisho wake ni upotevu na akakemea sana juu ya bidaa.

    • @aliabdalla9297
      @aliabdalla9297 Před 9 měsíci

      ​@@medimisi6930kinachokukera ni hayo maulid tu huna jengine utasingizia kila baya

    • @ismailgumbo289
      @ismailgumbo289 Před 9 měsíci +2

      Ww wamtusi muislam tena msomi wadin kama huyo wamuita shetan kwasababu yanywele zake alizofuga? Hakika ww nimuovu namajibu yako utayabata kwa Allah kwakumtusi msomi.

    • @HappyAlpineVillage-rt2jw
      @HappyAlpineVillage-rt2jw Před 8 měsíci

      Kijana ukitaka kumuhukumu mtu Kwanza jua ukweli wake. Shauri yako

    • @medimisi6930
      @medimisi6930 Před 8 měsíci

      @@HappyAlpineVillage-rt2jw mh, na ww ni wa kukata mbuno nini, tufuate haki ishallah