Hayo wanayoyafanya yakaitwa ni KI MILA nadhani haifai kuitwa hivyo bila kuwapo tamko la ufafanuzi kama kusema ni Mila ya kijahili vile au ya kipagani.... kwa sababu Uislamu ni Mila pia lakini ya Mtume Ibrahim. Kwa hivyo, kuna Mila hii yaani Dini ya Uislamu na ambayo ni njia pia (ya kumpelekea Mtu kwenye kufaulu kukubwa katika maisha ya milele). Na kunayo mila hiyo ambayo ni njia potofu ya kupelekea mtu kuwa Mushrik...... Kwa hivyo, tunazungumzia Mila mbili tofauti na moja yao ni tukufu na Allah ndiye ameitaja kuwa ni Mila ya Ibrahimu. Kwa hivyo, itakuwaje hiyo nyengine kuitwa tu Mila na mambo yake kuitwa ya ki mila...atajuaje mgeni au aliyepotoka kwamba hiyo inayoitwa kwamba ni mila ni upotofu (ule mkubwa)? Tuweni na lugha ya kueleza mambo, yenye ufasaha isiyokuwa na Shaka
@@assdfettassaewq8604 unajaribu tu kunididimiza lakini huwezi. Kitabu cha Qur'an tayari kumefasiriwa kwa Kiswahili, watu wanakielewa kiasi kizuri. Hebu jaribu uelimishe hilo jambo ijulikane mambo yalivyo. Usipoteze muda kwa kuongea madharau.
Sheikh salum msabaha njia unayo enda ya kuamini akili yako na falsafa zako utapotea jaribu kukaa chini kwa wanazuoni wa kisalafy Ahlulsunnati waljamaa utaepukana na fikra zako izo za kifalsafa wallahulmustaan 🤲🤲
Ndugu yangu hyo naenda soma Madina kwenye hao masalafi gogo...Sasa cjui akasime wapi kwengne kunakomasalaf Zaid ya huko....shida munataka ufahamu wenu ndio ufuatwe kila mtu anaakiki yake na anajua la kuchukua na la kuacha... Vijana wengi wnaoenda Soma Saudia wanapotea kwa sabbu makwao wanatoka Hali yakua hawana elimu ya dini na ndio maana wakifika huko wanachopewa wanachukua Ila msabaha na mfano wake wameenda kusoma Saudia Hali ya kua tayar walikua na elimu ya dini na ndio maana akaweza kuchanganua Cha kuacha na Cha kuchukua.wale wasio weza kuchanganua ndio Kama nyinyi munachopewa mwachukua ndio ikawa zakhma mtaaaani na ndio maana wew huna elimu hata zero kwa salum sahaba lkn ndio wa kwnza kumkosoa tfta hist yake ya kielimu.....bachu sheikh mkubwa sana east Africa na ni shekh wa kisalafi Ila hapo amepiga goti....tfta hst ucwe na mihemko ya kiwahabi.....
@@aliomar5589 Alhamdulillah umewaleza vyema...Al Marhoum sheikh Nassor Bachu akisoma hapo...sasa sjui huyu ALI KHAMIS ( Ijumaa) anasemaje!!...Yaani wao wapo kuharibu dini tu na kuleta mifarakano kwny uislamu...Jengine umewapa cheo wamesoma MADINA...😃😃😃😃....Hakuna amesoma Madina hata 1 kati ya hao salafi but huenda labda Kenya au Tanga kuhifadhi Quran wakirudi ni wazuri na wamebobea kwa MATUSI na RADDI😃😃😃😃 ila kutekeleza dini zero....sasa kama hapo hawakuskia aliyoyasema Sheikh Mswabaha na ni neema tupu wallah na mawaidha tosha na amenukuuu aya na hadithi...sasa sjui wanataka nn hawa SALAFI!...Kwani SALAFI na UISLAMU ni dini sawa au tofauti... !!..Ila pia naomba watwambie aya iliyosema karne ya 21 kutakuja kundi la kihuni liitwalo SALAFI
@@ahmadzubeir3363 waweza kusoma madina ukarudi ukawa hizbi mkubwa au jisufi kubwa au khawarij kubwa muhimu wakati tunatafuta elimu tumuombe Allah atupe thabati katika elimu na atupe elimu yenye manufaa elimu ambayo ni ile ile aliyoifundisha mtume Muhammad sala na salam zimweendee na maswahaba zake na umuombe Allah akuongoze katika kufuata njia ya wema waliotangulia
Allah atakufanyia sahal sheikh wetu
MashaAllahu sheikh jazzakh Allahu
Shukran
جزاكم الله خيرا و احسن الجزء شكرا
Alhamdulillah...
Wakati wa mtume pia ilitokea mtu akapatwa na jini halagu kuna mtu alimtibu akapona .
M/mungu akulinde kwa kilashari
Asante
Hapo ndipo ulipoanza wazimu pole sana Sheikh
Huna adabu
Nice
😂 comedian sufi sheikh...
Kuwa na adabu Kwa watu wazima
Zanzibar hakuna vinyozi??
Hiyo hadith vp usahihi wake
Nilisikia ulikua unapiga ganja nikweli
Kuwa na adabu
Hayo wanayoyafanya yakaitwa ni KI MILA nadhani haifai kuitwa hivyo bila kuwapo tamko la ufafanuzi kama kusema ni Mila ya kijahili vile au ya kipagani.... kwa sababu Uislamu ni Mila pia lakini ya Mtume Ibrahim. Kwa hivyo, kuna Mila hii yaani Dini ya Uislamu na ambayo ni njia pia (ya kumpelekea Mtu kwenye kufaulu
kukubwa katika maisha ya milele). Na kunayo mila hiyo ambayo ni njia potofu ya kupelekea mtu kuwa Mushrik...... Kwa hivyo, tunazungumzia Mila mbili tofauti na moja yao ni tukufu na Allah ndiye ameitaja kuwa ni Mila ya Ibrahimu. Kwa hivyo, itakuwaje hiyo nyengine kuitwa tu Mila na mambo yake kuitwa ya ki mila...atajuaje mgeni au aliyepotoka kwamba hiyo inayoitwa kwamba ni mila ni upotofu (ule mkubwa)? Tuweni na lugha ya kueleza mambo, yenye ufasaha isiyokuwa na Shaka
Uyo shekhe aliezungumza anajua lugha vizur sana
Wewe hujuwi kitu bado ni mdogo saana kwenye fani hii na dini ya kiislam
@@assdfettassaewq8604 unajaribu tu kunididimiza lakini huwezi. Kitabu cha Qur'an tayari kumefasiriwa kwa Kiswahili, watu wanakielewa kiasi kizuri.
Hebu jaribu uelimishe hilo jambo ijulikane mambo yalivyo. Usipoteze muda kwa kuongea madharau.
@Saleh Kyambo umeongea vizuri kabisa.Nimekuelewa ndugu yangu...
Umeelezea vizuri.. Lkn sijaelewa haswa ni nini has a unataka watu waelewe. Funguka!
Sheikh salum msabaha njia unayo enda ya kuamini akili yako na falsafa zako utapotea jaribu kukaa chini kwa wanazuoni wa kisalafy Ahlulsunnati waljamaa utaepukana na fikra zako izo za kifalsafa wallahulmustaan 🤲🤲
Ndugu yangu hyo naenda soma Madina kwenye hao masalafi gogo...Sasa cjui akasime wapi kwengne kunakomasalaf Zaid ya huko....shida munataka ufahamu wenu ndio ufuatwe kila mtu anaakiki yake na anajua la kuchukua na la kuacha... Vijana wengi wnaoenda Soma Saudia wanapotea kwa sabbu makwao wanatoka Hali yakua hawana elimu ya dini na ndio maana wakifika huko wanachopewa wanachukua Ila msabaha na mfano wake wameenda kusoma Saudia Hali ya kua tayar walikua na elimu ya dini na ndio maana akaweza kuchanganua Cha kuacha na Cha kuchukua.wale wasio weza kuchanganua ndio Kama nyinyi munachopewa mwachukua ndio ikawa zakhma mtaaaani na ndio maana wew huna elimu hata zero kwa salum sahaba lkn ndio wa kwnza kumkosoa tfta hist yake ya kielimu.....bachu sheikh mkubwa sana east Africa na ni shekh wa kisalafi Ila hapo amepiga goti....tfta hst ucwe na mihemko ya kiwahabi.....
@@aliomar5589 Alhamdulillah umewaleza vyema...Al Marhoum sheikh Nassor Bachu akisoma hapo...sasa sjui huyu ALI KHAMIS ( Ijumaa) anasemaje!!...Yaani wao wapo kuharibu dini tu na kuleta mifarakano kwny uislamu...Jengine umewapa cheo wamesoma MADINA...😃😃😃😃....Hakuna amesoma Madina hata 1 kati ya hao salafi but huenda labda Kenya au Tanga kuhifadhi Quran wakirudi ni wazuri na wamebobea kwa MATUSI na RADDI😃😃😃😃 ila kutekeleza dini zero....sasa kama hapo hawakuskia aliyoyasema Sheikh Mswabaha na ni neema tupu wallah na mawaidha tosha na amenukuuu aya na hadithi...sasa sjui wanataka nn hawa SALAFI!...Kwani SALAFI na UISLAMU ni dini sawa au tofauti... !!..Ila pia naomba watwambie aya iliyosema karne ya 21 kutakuja kundi la kihuni liitwalo SALAFI
Hahahahaaaa...hata sikucheki
@@ahmadzubeir3363 waweza kusoma madina ukarudi ukawa hizbi mkubwa au jisufi kubwa au khawarij kubwa muhimu wakati tunatafuta elimu tumuombe Allah atupe thabati katika elimu na atupe elimu yenye manufaa elimu ambayo ni ile ile aliyoifundisha mtume Muhammad sala na salam zimweendee na maswahaba zake na umuombe Allah akuongoze katika kufuata njia ya wema waliotangulia
Wanazuni wa Kisalafi ndio akina nani Akhii
Ulijuaje km umerogwa
Kuna ugonjwa wa kuona kuku mwnyew duniani ? Maswali mengne kutaka kujifnya mchamungu sana
kakate kucha kwnz
kamwmbie baba yako akate yeye kwanza hizo kucha asije kumuumiza mama yako
Nyundo yako butu wachawi wakubwa nyiye
Allah s.w ndiye mkubwa zaidi!
hujatuelezea jinsi ulivyotekwa ulipokuwa mbunge
Nfate kwake akuelezee
@@rashidkhamis2801 Wewe mtoto huna adabu hata kidogo.Umeulizwa wewe?pilipili usoila ya kuwashia nini?
Akishakukueleza wewe utapata faida gani?
@@ummukamillah mwenzio bangi nishaacha kuvuta sijui mwenzangu
Hasbiyallahu waneemal wakeel ili iweje ?upate nini ??watu km nyie ndio mahaasid ktk ulimwengu.hamufurahii mnapoona mazuri kwa wenzenu.
Badohujafikiadarajayamwanazuoni
Ni kweli ,,lakini wewe ushafika lakini hujijui tu.
Hahahhaha jawabu Zurich sana