SHK MSABBAH AFICHUWA SIRI YA MAISHA YAKE | "MIMI NILIPIGWA NDUMBA KISA SIASA TU" | MIAKA MI 5 NIHOI

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 29. 08. 2021
  • #RiyadhTvZnz #Zanzibar #Shkmsabbah

Komentáře • 69

  • @ummukamillah
    @ummukamillah Před 2 lety +4

    Allah atakufanyia sahal sheikh wetu

  • @Saidamwaka1
    @Saidamwaka1 Před 2 lety

    MashaAllahu sheikh jazzakh Allahu

  • @iddijumaali7192
    @iddijumaali7192 Před 2 lety +2

    Shukran

  • @rahimasaid6721
    @rahimasaid6721 Před 2 lety

    جزاكم الله خيرا و احسن الجزء شكرا

  • @millenniumoiltanzanialimit1265

    Alhamdulillah...

  • @yusufmohamed9843
    @yusufmohamed9843 Před 2 lety +5

    Wakati wa mtume pia ilitokea mtu akapatwa na jini halagu kuna mtu alimtibu akapona .

  • @sammoses7479
    @sammoses7479 Před rokem

    M/mungu akulinde kwa kilashari

  • @nurdinomary3933
    @nurdinomary3933 Před 2 lety

    Asante

  • @mwanaishazain7985
    @mwanaishazain7985 Před rokem +1

    Hapo ndipo ulipoanza wazimu pole sana Sheikh

  • @aluteonlinemedia5574
    @aluteonlinemedia5574 Před 2 lety

    Nice

  • @omaryabduli7328
    @omaryabduli7328 Před rokem +1

    😂 comedian sufi sheikh...

  • @salimalkhanbashy4512
    @salimalkhanbashy4512 Před rokem

    Zanzibar hakuna vinyozi??

  • @abuuuthaymeen7049
    @abuuuthaymeen7049 Před 9 měsíci

    Hiyo hadith vp usahihi wake

  • @abdulkareemseif1892
    @abdulkareemseif1892 Před 2 lety +1

    Nilisikia ulikua unapiga ganja nikweli

  • @mutomubaya
    @mutomubaya Před 2 lety +6

    Hayo wanayoyafanya yakaitwa ni KI MILA nadhani haifai kuitwa hivyo bila kuwapo tamko la ufafanuzi kama kusema ni Mila ya kijahili vile au ya kipagani.... kwa sababu Uislamu ni Mila pia lakini ya Mtume Ibrahim. Kwa hivyo, kuna Mila hii yaani Dini ya Uislamu na ambayo ni njia pia (ya kumpelekea Mtu kwenye kufaulu
    kukubwa katika maisha ya milele). Na kunayo mila hiyo ambayo ni njia potofu ya kupelekea mtu kuwa Mushrik...... Kwa hivyo, tunazungumzia Mila mbili tofauti na moja yao ni tukufu na Allah ndiye ameitaja kuwa ni Mila ya Ibrahimu. Kwa hivyo, itakuwaje hiyo nyengine kuitwa tu Mila na mambo yake kuitwa ya ki mila...atajuaje mgeni au aliyepotoka kwamba hiyo inayoitwa kwamba ni mila ni upotofu (ule mkubwa)? Tuweni na lugha ya kueleza mambo, yenye ufasaha isiyokuwa na Shaka

    • @rashidkhamis2801
      @rashidkhamis2801 Před 2 lety +2

      Uyo shekhe aliezungumza anajua lugha vizur sana

    • @assdfettassaewq8604
      @assdfettassaewq8604 Před 2 lety +1

      Wewe hujuwi kitu bado ni mdogo saana kwenye fani hii na dini ya kiislam

    • @mutomubaya
      @mutomubaya Před 2 lety

      @@assdfettassaewq8604 unajaribu tu kunididimiza lakini huwezi. Kitabu cha Qur'an tayari kumefasiriwa kwa Kiswahili, watu wanakielewa kiasi kizuri.
      Hebu jaribu uelimishe hilo jambo ijulikane mambo yalivyo. Usipoteze muda kwa kuongea madharau.

    • @arafatbarissa8392
      @arafatbarissa8392 Před 2 lety

      @Saleh Kyambo umeongea vizuri kabisa.Nimekuelewa ndugu yangu...

    • @shamisfahiye9628
      @shamisfahiye9628 Před 2 lety

      Umeelezea vizuri.. Lkn sijaelewa haswa ni nini has a unataka watu waelewe. Funguka!

  • @alikhamis6326
    @alikhamis6326 Před 2 lety +4

    Sheikh salum msabaha njia unayo enda ya kuamini akili yako na falsafa zako utapotea jaribu kukaa chini kwa wanazuoni wa kisalafy Ahlulsunnati waljamaa utaepukana na fikra zako izo za kifalsafa wallahulmustaan 🤲🤲

    • @aliomar5589
      @aliomar5589 Před 2 lety +4

      Ndugu yangu hyo naenda soma Madina kwenye hao masalafi gogo...Sasa cjui akasime wapi kwengne kunakomasalaf Zaid ya huko....shida munataka ufahamu wenu ndio ufuatwe kila mtu anaakiki yake na anajua la kuchukua na la kuacha... Vijana wengi wnaoenda Soma Saudia wanapotea kwa sabbu makwao wanatoka Hali yakua hawana elimu ya dini na ndio maana wakifika huko wanachopewa wanachukua Ila msabaha na mfano wake wameenda kusoma Saudia Hali ya kua tayar walikua na elimu ya dini na ndio maana akaweza kuchanganua Cha kuacha na Cha kuchukua.wale wasio weza kuchanganua ndio Kama nyinyi munachopewa mwachukua ndio ikawa zakhma mtaaaani na ndio maana wew huna elimu hata zero kwa salum sahaba lkn ndio wa kwnza kumkosoa tfta hist yake ya kielimu.....bachu sheikh mkubwa sana east Africa na ni shekh wa kisalafi Ila hapo amepiga goti....tfta hst ucwe na mihemko ya kiwahabi.....

    • @hamadsuleiman5177
      @hamadsuleiman5177 Před 2 lety +2

      @@aliomar5589 Alhamdulillah umewaleza vyema...Al Marhoum sheikh Nassor Bachu akisoma hapo...sasa sjui huyu ALI KHAMIS ( Ijumaa) anasemaje!!...Yaani wao wapo kuharibu dini tu na kuleta mifarakano kwny uislamu...Jengine umewapa cheo wamesoma MADINA...😃😃😃😃....Hakuna amesoma Madina hata 1 kati ya hao salafi but huenda labda Kenya au Tanga kuhifadhi Quran wakirudi ni wazuri na wamebobea kwa MATUSI na RADDI😃😃😃😃 ila kutekeleza dini zero....sasa kama hapo hawakuskia aliyoyasema Sheikh Mswabaha na ni neema tupu wallah na mawaidha tosha na amenukuuu aya na hadithi...sasa sjui wanataka nn hawa SALAFI!...Kwani SALAFI na UISLAMU ni dini sawa au tofauti... !!..Ila pia naomba watwambie aya iliyosema karne ya 21 kutakuja kundi la kihuni liitwalo SALAFI

    • @ahmadzubeir3363
      @ahmadzubeir3363 Před 2 lety

      Hahahahaaaa...hata sikucheki

    • @alikhamis6326
      @alikhamis6326 Před 2 lety +1

      @@ahmadzubeir3363 waweza kusoma madina ukarudi ukawa hizbi mkubwa au jisufi kubwa au khawarij kubwa muhimu wakati tunatafuta elimu tumuombe Allah atupe thabati katika elimu na atupe elimu yenye manufaa elimu ambayo ni ile ile aliyoifundisha mtume Muhammad sala na salam zimweendee na maswahaba zake na umuombe Allah akuongoze katika kufuata njia ya wema waliotangulia

    • @ahmadzubeir3363
      @ahmadzubeir3363 Před 2 lety

      Wanazuni wa Kisalafi ndio akina nani Akhii

  • @coyancodavao4004
    @coyancodavao4004 Před rokem

    Ulijuaje km umerogwa

    • @ahmadsalim4417
      @ahmadsalim4417 Před 11 měsíci

      Kuna ugonjwa wa kuona kuku mwnyew duniani ? Maswali mengne kutaka kujifnya mchamungu sana

  • @suleimanali307
    @suleimanali307 Před 2 lety +1

    kakate kucha kwnz

    • @hamadsuleiman5177
      @hamadsuleiman5177 Před 2 lety

      kamwmbie baba yako akate yeye kwanza hizo kucha asije kumuumiza mama yako

  • @mohammedjuma1693
    @mohammedjuma1693 Před 2 lety

    Nyundo yako butu wachawi wakubwa nyiye

  • @abuyunusmohamed6961
    @abuyunusmohamed6961 Před 2 lety +5

    hujatuelezea jinsi ulivyotekwa ulipokuwa mbunge

    • @rashidkhamis2801
      @rashidkhamis2801 Před 2 lety +4

      Nfate kwake akuelezee

    • @abuyunusmohamed6961
      @abuyunusmohamed6961 Před 2 lety +2

      @@rashidkhamis2801 Wewe mtoto huna adabu hata kidogo.Umeulizwa wewe?pilipili usoila ya kuwashia nini?

    • @ummukamillah
      @ummukamillah Před 2 lety +1

      Akishakukueleza wewe utapata faida gani?

    • @abuyunusmohamed6961
      @abuyunusmohamed6961 Před 2 lety +1

      @@ummukamillah mwenzio bangi nishaacha kuvuta sijui mwenzangu

    • @shamsahaji6202
      @shamsahaji6202 Před 2 lety +3

      Hasbiyallahu waneemal wakeel ili iweje ?upate nini ??watu km nyie ndio mahaasid ktk ulimwengu.hamufurahii mnapoona mazuri kwa wenzenu.

  • @ibrahimsuleiman1644
    @ibrahimsuleiman1644 Před 2 lety +1

    Badohujafikiadarajayamwanazuoni