SHK.MSABBAH AKIRI HAKUNA WA KUMRITHI SHK.NASSOR BACHU MIMI NIMESOMA KWAKE INASIKITISHA SANA

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 26. 08. 2024
  • #riyadhTvZnz #zanzibar

Komentáře • 67

  • @akbarosman3892
    @akbarosman3892 Před rokem +6

    Allah amrehemu sheikh wetu, sheikh nassor bachoo alikua mja mwema aliyepewa elmu na akaitendea hakki

  • @abubakarmohammed2785
    @abubakarmohammed2785 Před rokem +4

    Allah amrehemu sheikh nassor na Allah akuhifadhi sheikh msabbaha

  • @izhakhassanrajab940
    @izhakhassanrajab940 Před 5 měsíci +2

    Allah awarehemu sheikh said njugu na sheikh nasoor bachu, na amhifadhi sheikh salum msabah

  • @yussufsaid8223
    @yussufsaid8223 Před rokem +20

    Allaah Amrehem Shekh Nassour amsameh amjalie pepo ya Firdaus, Allah akuhufidha shekh Msabbaha

  • @msellemseif3102
    @msellemseif3102 Před rokem +6

    ALLAH azidi kukubariki ilimu na ufahamu

  • @broumaiyyah8018
    @broumaiyyah8018 Před rokem +2

    Barakallahu fiikii.Allah amrehem Almaruhum sheikh Nassor Bachu amjaalie janatul firdaus pamoja na Sheikh Mselem.Hakika viatu vya marehm Sheikh Bachu n vikubwa sna na vnazid kua vikubwa zaid kadri sku znavyokwenda Masheikh wa skuhz mtihan sna wachache mnoo wenye kufundisha dini kama masheiikh wazamn waskuhz n wanafundisha misimamo yao nasio dini

  • @kulthumali7506
    @kulthumali7506 Před 3 měsíci +1

    Kweli kabisa Allah amrehemu shekhar kwetu na maulamaa wote

  • @radhiambwana3353
    @radhiambwana3353 Před rokem +2

    Mashaa Allah mie kwakumsikia tu Shehe Nasoro bachu kichwa nilifunika nanikaswali Imani yangu ilikuwa juu kbs nanakumbk ktk mawaidha Redio Imani alisema Allah ajalie vita ususi iliwajuwe makafri hao Allha nimkubwa atasambaratisha huoubabe wao nilishangaa Sana ilipoonza vita ALLAH amrehemu.

  • @samirhassanlau5000
    @samirhassanlau5000 Před rokem +5

    Masha Alha yaani nikiona tu kichwa cha habari kinamuhusu Sheikh Nasor Bhachu hua nafungua haraka kujua ninj kimeandikwa kuhusu Simba wa MIMBARI
    Kiukweli sijawahi kuona na sidhani kama itatokea mrithi atakaeweza kumrithi sheikh Nasor bhachu
    Namuomba Alha ampe qaul thabiit huko kaburini sheikh wetu SIMBA WA MIMBARI Nasor Bhachu pamoja na Marehemu ote waliotangulia
    Binafsi kila siku mawaidha ya nassor bhachu kwangu yanazidi kua mapya tuu😒

  • @romeoromeo4125
    @romeoromeo4125 Před 3 měsíci +1

    Amiin

  • @muktarkassim6647
    @muktarkassim6647 Před rokem +2

    Allah amrehemu Sh.Nassor Bachu...na hii ndio ni dhamu unapokaa mbele ya sheikh wako anapokupa ilimu ukae kakao kizuri siyo kunyoosha miguu ni madharau hata kama uko upekee yako unasoma Quraan ila kwa dharura tu....

  • @fhyubhhh2881
    @fhyubhhh2881 Před rokem +1

    Masha Allah shkh jazzakallah khair

  • @mwaramimwarami1479
    @mwaramimwarami1479 Před rokem +2

    Baaraka llahu fik MashaAllah

  • @fauziaabdulrahman938
    @fauziaabdulrahman938 Před rokem +1

    جزاك الله خير

  • @amurimzungu-tn4jf
    @amurimzungu-tn4jf Před rokem

    Mola amuhifadhi ila shekh mselem ndio vijana wakasome kwake na inshaAllah Mola anikubalie nia yangu kwake kwani simtukuzi mtu ila ukimsikiliza kwa ghushui basi Allah atakupatia faida kutoka kwake

  • @khamisroro4589
    @khamisroro4589 Před rokem +2

    Mashallah tabarakallah

  • @ziadamtebwa3712
    @ziadamtebwa3712 Před rokem +3

    Kwa kweli hamna kama bachu kidogo shekhe mselem Allah amsamehe dhambi zake

  • @selemankishema5780
    @selemankishema5780 Před rokem +4

    Nikweli kabisa hatuoni mrithi wa bachu kwa sasa inshallah Allah atuletee mwingine.

    • @ibrahimramadhan6076
      @ibrahimramadhan6076 Před rokem

      mrithi kivp apoo

    • @selemankishema5780
      @selemankishema5780 Před rokem +2

      @@ibrahimramadhan6076 alijitolea,hakuchoka,alikinai,alikuwa na kipaji cha kuongea,hakuwa mvivu,alijua thamani ya kazi yake,hakuwa na masikhara,hakudharau wanazuoni,hakukashifu watu,alilenga kufundisha kuliko marumbano,hakupenda pesa,hakuwa mdhulumati na waleo wachache wenye sifa hizo ndio maana tunakwama saana na dawa tunamuombea dua na inshallah hakupoteza nguvu yake sauti itabaki mpaka kiama inshallah.

    • @saadali838
      @saadali838 Před rokem

      Wana jaribu kukivaa kiatu Cha Sheikh Bachu lakini ni kikubwa mno ,
      Wakkivaa wanaanguka , Sh. Bachu hakua kujibizana ovyo na MaSheikh wangine. Allah amweke Pema kwenye wema INSHAALLAH.

  • @Hamidhamid-xe8dz
    @Hamidhamid-xe8dz Před rokem +3

    MashaAllah

  • @khamisali9907
    @khamisali9907 Před rokem +2

    Nyie waandishi mnatudhulumu Allah atanilipia kwa kunidanganya

  • @mzeejumbe900
    @mzeejumbe900 Před rokem +4

    waandishi wa habari, muandike usahihi kichwa cha habari kilingane na maudhui

    • @riyadhtvowner8368
      @riyadhtvowner8368 Před rokem +1

      Kwani kuna tofauti wapi? mbn hayo maneno kayasema na yapo humo

  • @saidkhamis9507
    @saidkhamis9507 Před rokem +1

    Mashaalla sheikh langu

  • @mohamedibrahim7732
    @mohamedibrahim7732 Před rokem

    Sheikh nassir bhachu rahimhullah

  • @ibrahimramadhan6076
    @ibrahimramadhan6076 Před rokem +2

    mbn marecorder na wandishi mnaend kinyume na maudhui au mnatak view nyng Muogopen Allah

    • @RiyadhTvOnlineZnz
      @RiyadhTvOnlineZnz  Před rokem

      yalokwenda kinyume yako wapi?? umetizama video mpaka mwisho??? hatuwezi kuikatisha mada lazma tuiweke alipoanzia mwalim mpaka kikapatikana hicho unachotka weye kukitazama. Si ktk sifa za waumini kuhukumu wengine pasina kujua undani wa kitu chenyewe... tizama mpaka mwisho ukikikosa ulichoandikiwa sasa unaweza kuuliza tena kwa njia nzuri si kuhukumu kuwa unataka view..... unadhaqni kama ingekuwa tunataka views hivi kati ya hki tunachokifanya na mziki na upuuzi mwengine kipi kinaviews?? WAISLAM TUBADILIKE HUO SI UISLAM KUHUKUMU HUKUMU TU NA KULAUMU TUSIYOKUWA HATA NA UFAHAMU NAYO

  • @bakarizaharani142
    @bakarizaharani142 Před rokem

    Kwakua ni Bina damu ana weza kutokea ila kwa Sasa Bado kwa sababu kama uta fungua mawaidha yake kamahujui huamini kama hayuko tena

  • @idrisalimapema2539
    @idrisalimapema2539 Před rokem +2

    Jifundisheni kuzuungusha camera tafadhali mtu kaletwa mbele na bado hatumuoni

  • @omysule7118
    @omysule7118 Před 11 měsíci

    ماشالله،

  • @user-ji2gx9rq1m
    @user-ji2gx9rq1m Před 21 dnem

    Nyh 4:31

  • @matataoneproduction5355

    Kwani watoto wake wote ni wa zinaa?

  • @thegreenkhidhir3705
    @thegreenkhidhir3705 Před rokem +4

    Shekh naomba hadithi inayosema Waraqa ibn Naufal aliacha Taurat na Uyahud na kufata Qur'an na Umma wa waislamu kwa hisani yako!

    • @dulaseif5001
      @dulaseif5001 Před rokem

      Waraq bin naufal hadithi hiyo ipo kweli?
      Bcs bi khadija alipokwenda kwa rasuul alikua ni mzee sana na aliahidi kama mtume engetolewa kutoka makka mpka hapo ni kumuamini mtume s.a.w
      Soma kisa cha mtume utayapata alimuamini mtume kupitia suali la bi khadija

    • @thegreenkhidhir3705
      @thegreenkhidhir3705 Před rokem

      @@dulaseif5001 Nimekusoma ila shekh eti kasema alitoka ktk Uyahudi, huu ni ushabiki wa kuongezeaongezea mambo! Ilitosha kusema kauli yake iyo ndo kumuamini Mtume hata km hakuwahi kufata sharia ya Qur'an au manhaj ya Mtume ya kuswali swala tano n.k

    • @abdullazizi546
      @abdullazizi546 Před rokem

      Katafute mwenyewe iyo hadithi ujumbe ushatufika cc

    • @rayisadesigns2646
      @rayisadesigns2646 Před rokem

      @@thegreenkhidhir3705 Acha usalafi wako, kila kitu mnakosoa. Hapa usichokielewa ni nini kama si ubishi usiokuwa na faida na kuulazimisha umaarufu usiokuwa nao, au unataka uonekane na wewe unajua?! katafute shughuli ya kufanya, kwa i'lmu huyo sheikh ni bahari nyengine!, kahifadhi Qur'an yote na wewe je!

    • @janerouhassanjanerou7933
      @janerouhassanjanerou7933 Před rokem

      ​@@thegreenkhidhir3705 kwa hio unampangia cha kusema?

  • @w4058
    @w4058 Před 11 měsíci

    Ndio siku zote walivyo

  • @ali_ford
    @ali_ford Před rokem +2

    mbona kichwa cha habar kinasema uongo....