KUNA MTU KAKUTA MAKOSA 30 YA KITABU CHA MAULIDI, TUSITUKANANE, KUWAOMBEA DUA MAITI - SHEKH MZIWANDA

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 14. 08. 2023
  • Follow Us On:
    INSTAGRAM: / miladu_tv
    FACEBOOK: / babdeo miladu/
    TIKTOK: www.tiktok.com/@miladu_tv?lan...
    CZcams: / @babdeomiladu
  • Zábava

Komentáře • 200

  • @saidsheha-wn4qw
    @saidsheha-wn4qw Před 9 měsíci

    Mashaallah, sheikh umeeleweka vizuri sana.

  • @hajinachembe4310
    @hajinachembe4310 Před 9 měsíci +1

    Daaa!! Shekhe Muhammad bachu, Mwenyezi mungu amuhifadhi maaana naona masufii woote wameungana kutetea ushurikina, wanatetea kitu ambacho mtume s.a.w. hakukifanya waala hajakizungumzia popoote pale, nandiomaana hata watetezi wa bidaa ya mauridi wanapata sheeda saaana kuhalalisha kwasababu hakuna lilipo thibi.

  • @IddiNkupe-no8lh
    @IddiNkupe-no8lh Před 9 měsíci +1

    Shekh mziwanda uko na hali mbaya sana tatizo unatumia akili yako kuliko dalili,mashaallah Allah amekupa kauli nzuri ya ushawishi ila napenda kukutanabahisha usipende kuitumia akili yako kuliko dalili kila kitu kipo kwenye kitabu wanazuoni wamevibainisha vyote angalia sana maneno yako utakuwa mas'uula

    • @saidalhinai1131
      @saidalhinai1131 Před 9 měsíci

      Wewe mjinga tofauti haitaondoka mpaka siku ya kiam

  • @abdallahshelufumo4602
    @abdallahshelufumo4602 Před 11 měsíci +3

    Maa Sha Allah
    Allah akujaalie umri mrefu sheikh Mziwanda wenye kheri na baraka.
    Umeeleza vyema sana Maa Sha Allah

  • @hawrajehan2398
    @hawrajehan2398 Před 10 měsíci

    Shkh nimekuelewa vizur sana na Allah azid kukuoa kheir ya kunielimisha

  • @alhilaltvonline
    @alhilaltvonline Před 11 měsíci +3

    MaashaaAllah. Ahsante Kwa Darasa kubwa. Atakayetaka kufahamu atafahamu ila atakayesikiliza kiushabiki na kimsimamo - hawezi kukuelewa Sheikh.

  • @user-nz3se8es3x
    @user-nz3se8es3x Před 9 měsíci

    manshaalah

  • @ahmadmadaai1357
    @ahmadmadaai1357 Před 10 měsíci +1

    Shekh upo sahihi kabisa nakupnd sn una fani na elimu

  • @yussuphsultan1400
    @yussuphsultan1400 Před 10 měsíci +3

    Siku hizi wnasema, " Hii imeenda", jazakallah sheikh!!!

  • @user-gl6ep3xp9s
    @user-gl6ep3xp9s Před 11 měsíci

    Asante Sana

  • @ahmedsalim9463
    @ahmedsalim9463 Před 10 měsíci

    Masha All’wa skh mziwanda

  • @rashidsalum4689
    @rashidsalum4689 Před 11 měsíci +1

    Mashaallah Mashaallah Sheikh mziwanda mola akuzidishie.

  • @mustafaismail5622
    @mustafaismail5622 Před 10 měsíci

    Hongera kaka umemikosha kweli kweli mashaallwa

  • @2003hintay
    @2003hintay Před 11 měsíci +1

    Masha'Allah Sheikh hata Mimi nisiosoma nakuelewa Inshallah Allah akupe umri mrefu na afya

    • @IddiNkupe-no8lh
      @IddiNkupe-no8lh Před 9 měsíci

      Soma dini yako akhy usipelekwe pelekwe kama gari bovu

    • @MaalimYussuf-qy9ic
      @MaalimYussuf-qy9ic Před 9 měsíci

      Wew umesoma ndugu

    • @IddiNkupe-no8lh
      @IddiNkupe-no8lh Před 9 měsíci

      @@MaalimYussuf-qy9ic elimu yangu ndogo akhy ila katk masaail ya dini haijuzu mtu kutumia akili yake wakati dalili ipo mfano ukisema kumtangaza mtume s.a.w ni kufanya maulid jee?alifundisha wapi yeye mwenyew) au ukiwa unampenda mtume ndyo kufanya maulid dalili ya haya maneno umeitoa wap na kwenye vitabu gan?na wanachuon wameyaeleza wap hayo mambo?

    • @MaalimYussuf-qy9ic
      @MaalimYussuf-qy9ic Před 9 měsíci

      Ukitaka Dalila mbona kumambe mengi 2 watu wanafanya mtume hajafanya

  • @suuahmed71
    @suuahmed71 Před 10 měsíci

    Maskini Mahabi Mulidi yanawekera kweli kweli. Basi unakuja mwezi wa kuwakera. Mukajinyonge hasaaa tupumue roho zetu na taafrani zenu. Poleni saanaaa

  • @RamadhanOmar-ow1ki
    @RamadhanOmar-ow1ki Před 10 měsíci +1

    Mashaallah sheikh wangu Allah akuhifadhi na akupe umri mrefu

  • @muhsiniabeid
    @muhsiniabeid Před 10 měsíci

    Mziwanda sikuzote haqi haiwi chini inakuwagajuu leoumekiri kunamakosa ndani ya barzanje ilaumeyaona nimachache ukilinganisha na ukuwa wa kitabu.alhadulillah,mziwanda nduyangu kosanikosa hatalikiwamoja,sasaje unawaambiaje mashekh wenzako wakingao vifua etiyalesimakosa

  • @iddswalehomar1323
    @iddswalehomar1323 Před 11 měsíci +3

    Shekhe usiendelee tumeelewa na wamekuelewa

  • @rushu1232
    @rushu1232 Před 9 měsíci +1

    Mashaallah Sh.Mziwanda hizo dakika ulizotumia kwa watu wenye akili wasomi umesomesha ilmu kubwa sana Mwenyeezi Mngu akupe umri uzidi kuelimisha watu.

  • @mikekhalifaali7510
    @mikekhalifaali7510 Před 10 měsíci +2

    Zile nyundo 19 mumejibu hata moja?

  • @suleymansalim5732
    @suleymansalim5732 Před 11 měsíci +4

    😂MKILALA BACHU MKIAMKA BQCHU😂😂VIKAO VIMEKUA VYA MOTO KABADILI AGENDA SIO KSIFU MTUME TENA SASA KILA IKIFIKA MFUNGO 6 NI KUMTETEA BARZANJE😂😂KWA BACHU

  • @user-uo3oz6nt4g
    @user-uo3oz6nt4g Před 11 měsíci +6

    Jaman huyo mtoto wa bachu kachafua Hali ya hewa 😂😂 Amepiga kwenye mshono

    • @fatibra7768
      @fatibra7768 Před 11 měsíci +3

      Kawagusa ndipo

    • @matanohassan9667
      @matanohassan9667 Před 11 měsíci

      Hajagusa Mtu kajigusa mwenyewe Wala babaiko hamna nyie ndio Muna wasi wasi maulidi yatasomwa Hadi mwisho wa Dunia Na hayatawachwa Ati bachu kaongea waliongea wengi Na waliacha wakaondoka bachu akimaliza kupayuka maulidi yatasomwa

    • @zanzibarspice8686
      @zanzibarspice8686 Před 11 měsíci

      ​@@matanohassan9667jibuni hoja mnaonesha mapenz

    • @baltoboy6079
      @baltoboy6079 Před 10 měsíci

      Sio kapiga kwenye mshono... Tatizo anaprovock Dini nasih.... Na sio kupigana na kukashifiana kwa ihtalaf ndy maana masheikh wanamalizia kusema ALLAH ya kwakuwa tunajua kabisa sis tunajua machache tu kuhusu Dini....kuwataja masheikh na kusema Huyu kufar Huyu kufar... Nipe hadithi au Aya ambayo mtume anamsema Fulani Ni kafir au kumlaan mtu ispokuwa anabainishiwa na ALLAH kwenye Quran

    • @kisomekiguwa3706
      @kisomekiguwa3706 Před 10 měsíci

      Wewe usie ropoka tujuze ujuwalo

  • @WorldView24hrs
    @WorldView24hrs Před 7 měsíci

    ❤❤❤❤❤

  • @omarymakange8449
    @omarymakange8449 Před 11 měsíci

    Allah atuepeushe na Uwahabi pandikizi la wamagharibi..

    • @khamisjuma8813
      @khamisjuma8813 Před 10 měsíci +1

      Masheikh wenu wameshakupandikisheni imani ya kuwa aliyekuwa hasomi maulid basi hampendi Mtume, na mawahabi ni pandikizi la Wamagharibi na Mayahudi. Hivi tujiulize, Wamagharibi na Wayahudi wanafata Qur ani na Sunna? Angalia masufi
      Manasara husherehekea kuzaliwa kwa Yesu kila mwaka ikifika tarehe 25/12 miladiya wakati masufi husherehekea kuzaliwa kwa Mtume Mohammad (Sala na salamu ziwe juu yake) kila mwaka ikifika tarehe 12 mfunguo 6.
      Manasara hupiga minanda na kuimba na kucheza ktk kumsifu Yesu wakati Masufi hupiga minanda na midufu na kuimba ktk kumsifu Mtume.
      Manasara huitakidi Yesu hutokea ktk hadhara yao wakati masufi huitakidi Mtume huhudhuria ktk hadhara ya maulid.
      Sasa kwa nukta hizi walionazo masufi, nani kati ya masufi na wahabi wanaofanana na Wamagharibi na Mayahudi? Tusichukulie ushabiki, nukta 19 hazijibiki ktk Qur an na Sunna. Na ndo mana watu wanapata tabu mpk leo hawajajibu ila hubarausha barausha tu.

    • @omarymakange8449
      @omarymakange8449 Před 10 měsíci

      @@khamisjuma8813 Aisee, kwahiyo hizo ndo umeona ni nukta za kielimu kabisa..!!?? Endeleeni kupinga na kutukana, Itikadi zenu mbovu Sana.. mbona tawheed 3 Hujaitaja, tena tawheed sio sera.. Ninyi kwenu Mtume ni Kama Mimi na wewe tu.. Allah atuepushe na Uwahabi pandikizi la wamagharibi

    • @khamisjuma8813
      @khamisjuma8813 Před 10 měsíci

      @@omarymakange8449 tujitahidi kusoma na kuelewa. Mtume ni binaadam kama sisi ila yeye cheo chake ni chengine kabisa. Cheo chake hakifanani na mwanadamu mwengine kwa sababu yeye ni mbora wa daraja. Lakini usije ukasema kuwa Mtume si kama sisi, qur an ishathibisha hivyo. Sisi tunafata yaliothibiti kutoka ktk Qur an na sunna sahihi, lkn masufi huongeza na yao, kwa mfano Qur an ishasema kuwa Mtume ni mtu kama sisi basi masufi wanasema hapana Mtume si mtu kama sisi. Qur an ishasema kuwa Allah yupo mbinguni lkn masufi wanasema hapana Allah yupo kila mahali. Hadithi sahihi ishasema tujiepushe uzushi ktk dini kwa sababu kwa ushahidi wa Qur an dini ishakamilika lkn masufi wanasema kuna bidaa hasana na kama kushuka kwa aya ile kuwa ndiyo dini ilikuwa ishakamilika kwa nini zikashuka aya nyengine baadae na haikuwa ya mwisho. Jamani hivi hawa mawahabi na masufi wepi waliotumwa kuvuruga dini? Dalili nilizokupa za masufi zinazofanana na za manasara hujatetea bd umekuja ktk tawheed na vigawanyo vyake. Huku ni kupana sana na kunahitaji darsa hasa ya kukuelewesha. Swali la msingi ndugu yangu ktk hiyo Barzanj, zile nukta 19 kapatikana sheikh yeyote wa kujibu angalau nukt moja kielimu? Lkn masufi walivyomezeshwa kuwa mawahabi hawajaelewa, sasa huyu alieelewa aeleweshe basi na kama kashindwa ujue ule ni uzushi ambao haukukuwepo karne 3 bora. Kuwa na akili ndugu yangu, sisi tulikuwa huko huko ulipo wewe lkn baada ya kuyajua haya na tafsiri zake tukaamua kuachana nayo. Nyinyi munahifadhishwa kitu bila ya tafsiri na dalili na munachukuwa tu kwa kuwa sheikh wenu kasema.

  • @zakiamudi4507
    @zakiamudi4507 Před 11 měsíci +2

    Kuwaombea dua sio lazima mpike wali na kucheza pale mnapocheza mnafurahia nn badala ya kusamehewa alla anakasirika zaidi hizo hela zenu changeni halafu nunuweni mazulia na kujenga misikiti ili swadaka hiyo iwafikie hao mnaowakusudia acheni bidaa

  • @mohamadmaulidngava1510
    @mohamadmaulidngava1510 Před 11 měsíci +2

    Kama niyakweli mkae meza moja na Shekh Bachu mfundishane ili waislamu wajifunze.

    • @tyronemofekeng7152
      @tyronemofekeng7152 Před 10 měsíci

      Bachu hataki kusoma. Ataka kubishana.

    • @mohamadmaulidngava1510
      @mohamadmaulidngava1510 Před 10 měsíci +1

      Hujamuelewa Bachu,,,,,msikilize vizuri utamuelewa,,,,ni Shekh mzuri sana anafundisha hakki,,,,acha ushabiki ndugu kumbuka kuna kesho mbele ya Allhwa.Ighidiluu akkorabu huwalitakkuwaaaa.

    • @walidsaid7807
      @walidsaid7807 Před 9 měsíci

      Huyu Bachu ni nani ?nabii

  • @user-xw8vk5jt6i
    @user-xw8vk5jt6i Před 10 měsíci +1

    Mashaallah sheikh

  • @suleimanabdul-karim1212
    @suleimanabdul-karim1212 Před 9 měsíci

    Jubini masuwali 19 ya Sheikh Muhammed bachu acheni kupotosha watu kwa masilahi ya matumbo yenu

  • @MohammadJumah-qk2xc
    @MohammadJumah-qk2xc Před 11 měsíci +1

    Maalim mziwanda hakk iko wazi na batil iko waz , ibada zetu zooot twachukua kwa mtume na kwa maswaha tuuu

    • @user-lp3gi5wd4e
      @user-lp3gi5wd4e Před 10 měsíci

      Unaongea ukweli,Mbona sheik ibnu Baaz alisema ukipiga mihayo inatakiwa useme audhubilah minasheitwani rajiim,Hi ameitolea wapi!?.

    • @MohammadJumah-qk2xc
      @MohammadJumah-qk2xc Před 10 měsíci

      @@user-lp3gi5wd4e nduguu kama halijathibit hatuwez kulichukua na yey kama kkosey allaah amsamehe

    • @AishaHamisi-tl9ek
      @AishaHamisi-tl9ek Před 9 měsíci

      Mziwanda je wanyama waliongea kiarabu baada ya mimba ya mtume ukiweza nakupa milioni 10

  • @AndulHida-hs5py
    @AndulHida-hs5py Před 11 měsíci

    Barak Allah feeq, Jazzak Allah kheri.

  • @ashooraashoora1180
    @ashooraashoora1180 Před 11 měsíci

    Allahuma maswali waswali male
    Jazzakumllah Khery

  • @sabraham5308
    @sabraham5308 Před 9 měsíci

    Mtihani mkubwa huu

  • @MuhdharMuhammad-qv3zl
    @MuhdharMuhammad-qv3zl Před 9 měsíci

    Shukran Sana Sheikh Wetu Allah akupe umri mrefu na Maisha mazuri hapa duniani na Kesho akhera ALLAH Akuingize peponi kabla hujafa shukran sana

  • @harrishussein6992
    @harrishussein6992 Před 10 měsíci +1

    Kwani wali ukipikwa wewe unaumia nini hasaa kuwapa watu wali inakukera nini acheni ushabiki wakupinga kila kitu ndungu zangu mwalim Allah akuhifadhi shekhe unaelewesha vizuri Sana binafsi nimefurahi kwa elim nzuri unayotoa

  • @auazenafusse134
    @auazenafusse134 Před 10 měsíci +1

    Sawa Kabissa mwalimu kuelewa nitatiizo, Allah akupe afya na maicha mazuri

  • @jumasalim6126
    @jumasalim6126 Před 10 měsíci

    Hoja ni COVID 19 zijibiwe kumsema Bachu ni utoto wa masheikh. Jibuni hoja.

  • @swalehabdulrahman4118
    @swalehabdulrahman4118 Před 11 měsíci

    حفظك الله يا شيخنا

  • @saydouside9468
    @saydouside9468 Před 9 měsíci

    wazee tuwe naimani..kuna maisha mbele..Allah yupo..leo tumeona makosa ya Barzanj..kama ameyaona Bachu.mtoto..peke.yake Baba yake na Bachu..kayaona na kuyasema..kigogo wa quran..Chifu kadhi wa kenya.mtafsiri wa masaf.kwa kiswahili Ameishi huko kenya .kwa huyo fidhuli pacha na mzee Yusuf.kayaona na kukataa..hakuna hata mmoja alie wahi kumpinga..leo Mtoto WaBachu..kanukuu..mishehena kibao...Tupo tayari kuchangia na yeye atoe tafsiri ya kiswahili.ili muumbuke zaidi..maana mkiambiwa aya.mnakimbilia matini..matalai..vunjeni hoja tujuwe.kama kasema uongo..usahihi ni upi mpokimyaaaaaa...mtoto hana adabu ..tupeni usahihi wazeeee

  • @jumaajunior7914
    @jumaajunior7914 Před 9 měsíci

    😂Swadact shegh mziwanda

  • @fadhilimusa9732
    @fadhilimusa9732 Před 11 měsíci

    Mashallah .ila wahabi hawezielewa maskioyao yanapamba mioyo imepigwa mihuri .hawajajaaliwa uelewa allah awape ufahamu

    • @jumasalum2677
      @jumasalum2677 Před 9 měsíci

      Hapo hakuna Cha uwelewa
      Bali unatetewa uongo TU
      Ndio maana kubishana na ukweli
      Ushaambiwa toa ushahid wanyama waliongea wakati mimba ya mtume imeingia uonekane kweli wewe ni mkweli

  • @user-qg1bc6db1e
    @user-qg1bc6db1e Před 11 měsíci +1

    Ni mashabiki bendera tu ndio hawatakuelewa tu mziwanda

  • @sabraham5308
    @sabraham5308 Před 9 měsíci

    Mohammad Bachu Radhiallahu anhu,Sheikh Abdulla Saleh Farsi aliyapinga sana,lakini shetani kawazidi hawa wenye hawaa zao binafsi,wanatoa kila sababu.

    • @HamadiabubakaliAbubakalimhamed
      @HamadiabubakaliAbubakalimhamed Před měsícem

      Siyo RADWIALLAHU ANHU maswahaba ndio twapaswa kuwatamkia hivyo lakin hyu bachu ni RAHIMAHULLAH au HAFIDHWAHULLAH , nimekutanabaisha tu kipenz ktk imaan

  • @mohdhilaly7900
    @mohdhilaly7900 Před 9 měsíci +5

    Sisi ndio mambo yetu maulidi mashehe waliotufundisha maulid ndio wametufundisha qur-an na hadith sasa tuwavunjie heshima kisa maulid hilo haliwezekani

    • @user-rf2zs4kk1v
      @user-rf2zs4kk1v Před 9 měsíci +1

      Kwaiyo kumvunjia heshima shekhe wako na kumvunjia heshima muungu wako lip kubwa, kwaiyo unamheshimu sheikh kuliko yule aliekuumba? Huyo sheikh atakuja kukutetea wakati unaadhibiwa?

  • @saidalhinai1131
    @saidalhinai1131 Před 9 měsíci

    Sio lazima kwako mjingA usie na elimu kasome baadae utoe makosa unafuata mkumbo

  • @user-fj3dp2xe4q
    @user-fj3dp2xe4q Před 9 měsíci

    Maalim mziwanda napenda sana malezo yako ila mimi maulidi naipinga siiamini nsomba unisaidie kuhusu hao wanyama walizungumza wakapashana khabari khabari mda wa kutunga mimba ya mtume muhammad s.a.w nifahamishee nijue

    • @dullahsaleh8507
      @dullahsaleh8507 Před 9 měsíci

      Kwa hiyo hao viumbe hawakujua ujio wa Mtume Muhammad SAW?

  • @yahyaibrahim4731
    @yahyaibrahim4731 Před 11 měsíci +3

    Nyinyi mnamuchokonowa bachu akiwajibu mnasema hana adabu

    • @rjqaasam4587
      @rjqaasam4587 Před 11 měsíci +1

      Jifunze Elimu ya Maneno ili ukielewe vizuri kile kinachosemwa

    • @AbuuOthman
      @AbuuOthman Před 11 měsíci +1

      Huna Adabu ww Huwez kuwaambia Masheikh Maneno hayo

    • @rogertuga007
      @rogertuga007 Před 11 měsíci

      ​@@AbuuOthmanhao masheikh si ni wanadamu au Malaika hawafanyi makosa?

    • @AbuuOthman
      @AbuuOthman Před 11 měsíci

      @@rogertuga007 kwahyo wakiwa Ni wanadamu Ndy Uwakosee Adabu Half pia watakiwa Ujifkirie Ww Na huyo Sheikh Muharram Mziwanda Ninan Nani Yan Ww hvyo ulivyo Unaweza kusimama Na Sheikh Muharam mziwanda Au unaropoka Tu hapa kwenye Coment

    • @amouromar6943
      @amouromar6943 Před 10 měsíci

      ​@@rogertuga0071à

  • @zanzibarspice8686
    @zanzibarspice8686 Před 11 měsíci

    Utafauti upo tunaposema kama mtume ni sababu ya sisi kufutiwa dhambi na yy ni mfuta dhambi ni tafaut...... Katika Lugha kuna Kisababishi na kitendeshi....

  • @abdurahimabdulkadir3926
    @abdurahimabdulkadir3926 Před 10 měsíci

    Mtu wa maulidi kuongea mbele za watu wanaweza vizuri sana atatoa hadithi hii na ile lkni akiitwa kwa mjadala siku fichi huwa hawezi ongea vile akiongea mfano sabas alijibiga kifua lkni alipoingia katika mjadala alibakia mdomo wazi ooh majazi

  • @mgeninaima9866
    @mgeninaima9866 Před 10 měsíci +1

    Ndio toeni hadithi sahihi ambayo yasema maulidi si haramu kelele nyingi

    • @mohdhilaly7900
      @mohdhilaly7900 Před 9 měsíci

      Na wewe toa hadithi sahihi kua maulidi ni haramu porojo wewe

  • @abdulkarimukusaga3617
    @abdulkarimukusaga3617 Před 11 měsíci +1

    Wee mzee unachanganikiwa sasa kwani suna nini acha pelepeche acha bidaa

  • @w4058
    @w4058 Před 10 měsíci

    Kwendeni huko anachokolewa nini ukweli ndio huo hamuutaki hamjaitwa hamhalazimishwa hamtaki na nyie kuwasikiliza wasomi wengine heshima iwepo Bachoo kwani kasoma peke yake kafahamu peke yake ni ushindani tu na kutokuwa Allaah amhidi amtanabahishe achokonolewe kwani yeye pweza

  • @nassor6333
    @nassor6333 Před 11 měsíci

    Mtu kua na ufasaha wa kusema haimaanishi yupo sahihi. Uzushi ni uzushi hata useme kwa ufasaha.

  • @fredrickgitonga1972
    @fredrickgitonga1972 Před 9 měsíci

    Je Muhammad yuko wapi sai

    • @nassoramour7174
      @nassoramour7174 Před 9 měsíci

      Amefariki kama walivyofariki mitume wengine! Ulitaka kusemaje?

  • @mokitaa8750
    @mokitaa8750 Před 11 měsíci +1

    𝑴𝒂𝒔𝒉𝒂𝒂𝒍𝒍𝒂𝒉

  • @TheAmadoni
    @TheAmadoni Před 11 měsíci

    Sheikh Mziwanda , ikiwa kuna makosa, wajibu ni kuyakubali , hapo hamna kesi. But kue na makosa kisha mukatae.. tetesi zaanza hapo

    • @allylassuh4947
      @allylassuh4947 Před 10 měsíci

      Makosa yako wp bro hapo kapiga mfano hajakwambia kma kwly kuna makosa 30 waelewa kiswahili lkn

  • @saadallah6287
    @saadallah6287 Před 9 měsíci

    Maelezo meeengi mbwembwe nyiiingi
    Jibu maswali yafuatayo
    Mauridi ni ibada?
    Kama imada zipi ngozo zake au shurutwi zake?
    Na km ni uzushi mnafanya kwa mafundisho yapi?

  • @bongotvonline4883
    @bongotvonline4883 Před 9 měsíci

    Sasa kuhusu kusoma Quran si kuna aya inasema tusome Quran. Hapo kwenye Hitama na Maulid kuna aya ipo au hadithi?!
    Kuhusu mfumo na namna ya kufanya sawa Ibadatun Mujmala ni lazima isemwe kwanza kuwa hiyo ni ibada kisha ndio mfumo wa kuifanya tuamue.

  • @muftiahmadimahmudulemba1918
    @muftiahmadimahmudulemba1918 Před 9 měsíci

    Elimu ndogo nisumu
    Wafundishe wasio taka kusoma

  • @omarmsomall3809
    @omarmsomall3809 Před 11 měsíci

    Nimekukubali sana uliposema kua nyinyi hayo ndo mambo yenu midomo inawawasha mnaona mnaharibiwa kuwa mtakosa kujaza ubwabwa wa mfunguo sita 6 katika matumbo yenu Mcheni mola acheni Porojo duh wewe umetoa mfano wa swala ya jeneza wakati IPO na imewekewa sheria jibu hoja 19 usibwabwaje tu.

  • @Muhamed_mo
    @Muhamed_mo Před 10 měsíci

    Mashllah Mashllah waelimishe hao kila kitu haram haifai .wasomi wao tu uuu.Allah tufunguo nyoyo zetu tujue jema na baya .Ameen

  • @fauznuhu9981
    @fauznuhu9981 Před 11 měsíci

    Mawahabi shekhe kama huyu na hekima yake na tawadhuh yake mtapata wapi?asante kwamaneno ya dhahabu.

  • @user-qm4qd8yk2x
    @user-qm4qd8yk2x Před 11 měsíci

    samahani hapo chini nekusudia DHUNUUB sio DHUUB

  • @seifrashid2064
    @seifrashid2064 Před 10 měsíci +1

    Allah azidi kutuwekea wanazuoni kama hawa na sio wale wenye kutugawa na kujaza chuki miongoni mwetu

  • @AbuuManyama-cc1so
    @AbuuManyama-cc1so Před 10 měsíci

    Huladhimishi kusikiliza bwana ww

  • @stanleymanya438
    @stanleymanya438 Před 11 měsíci

    Waislam mnatuchosha sisi tulio njee yenu, Kama ilikua ni moja mbele maturudisha hatua 10 nyuma kwakuto kua na misimamo ninyi Kwa ninyi kwakuhitilafiana kwenye.

    • @baltoboy6079
      @baltoboy6079 Před 10 měsíci

      Ihtalaf ndy Dini yenyewe....Dini Ni mapokezi na sisi Ni binaadam hatuelewi Kama anavyoelewa Mtume S.A.W

  • @suleymansalim5732
    @suleymansalim5732 Před 11 měsíci +7

    Acheni kubadilisha mambo eti makosa kana kwamba ni makosa ya uchapishaji. Hizo ni itikadi mbovu za kiimani uongo na Ushirikina. Hajatukanwa mtu hapo kimesemwa kitabu lkn nyinyi mnamshambulia mtu badala ya kutetea hoja kwenye kitabu

  • @abdurahimabdulkadir3926
    @abdurahimabdulkadir3926 Před 11 měsíci

    S mumpe dalili

  • @adilzakir8536
    @adilzakir8536 Před 11 měsíci +1

    Na huyo ni Bachu tu
    Je wakija majembe ya kisunna hapa. Masheikh wa ki bidaa mnakazi sana kulaimisha bidaa zenu

    • @AhmadaTahir-cu8se
      @AhmadaTahir-cu8se Před 11 měsíci

      Tokea dunia ianze hakuna Wahabbi yoyote aliyewahi kukilembea Kitabu Cha Barzanji kwakua pamoja na uwahabni wao,pamoja na usunna wao hawakuwahi kutupa Kitabu hata baba yake Bachu tumesoma kwake Marehemu sheikh NASSOR Bachu hakuwahi kukilembea chini Kitabu Cha Barzanji pamoja na kwamba hakua akikubali Maulidi

    • @AhmadaTahir-cu8se
      @AhmadaTahir-cu8se Před 11 měsíci

      Yeye Muhammad Bachu kapata wapi uhodari ule kama si ujinga mkubwa uliomtawala kichwani na kutaka kuonesha Itikadi yake ya Kiwahabbi?

    • @adilzakir8536
      @adilzakir8536 Před 11 měsíci

      @@AhmadaTahir-cu8se je mwaitaka haki ama watu
      Nikupe mawili tu kutoka kwa hadithi za RassuliLlah 1. "al halaala bayyinu wa haraama bayyinu". 2."Bada'al Islama ghariba wasayau'udu ghariiban kamaa bada'a. Fatuubu lili ghurabaa"
      Additionally muqaddima maarufu kabisa ambao hata masheikh wenu wa bidaa wanausoma ila wanaukimbia sehemu hii "kullu bidaa dhwalala, wa kullu dhwalaala fi nnar".
      Waulizeni je wanapokimbia eneo hili ni kwamba Mtume wetu hajui kuliko wao ama wao ni bora zaidi yake ama je RassuliLlah alitudhulumu katika ufikishaji wa dini ya Allah nao ndio wanaojua zaidi yake. Mnakomaa na bidaa lakini hamjui kwa nini inapingwa? Kiasi mmojitoa akili ati. Omba Allah akufanyie wepesi kujua yaliyo sahihi ndugu yangu katika imani.

    • @adilzakir8536
      @adilzakir8536 Před 11 měsíci

      @@AhmadaTahir-cu8se ndugu yangu kushikilia mambo ambayo hayapo wala hayana ushahidi wa Sunna, wala Qur-an je ni sahihi na je kuyafanya hayo inamaanisha RassuliLlah alitudhulumu kwenye kufikisha kwake kwa yale aloteremshiwa na Allah? Ama je Allah ametuhadaa kutuambia ameshaikamilisha dini? Na je kwa kuwa dini imekamilika huoni kuwa kuongeza kitu katika dini ni uzushi na dhulma kubwa. Tumrejee Allah kwa usahihi ndugu yangu nakusihi

    • @rogertuga007
      @rogertuga007 Před 11 měsíci

      ​@@AhmadaTahir-cu8sehuo utakua ujuha Sasa kushikilia jambo ambalo mtu alishaomba Msamaha na kutoa ufafanuzi wake. Jambo la msingi ni hoja tu zijibiwe na sio porojo nyingine

  • @hajinassor6369
    @hajinassor6369 Před 10 měsíci

    Yaan TU eti kisa mtu kaongea kifasaha ndio bidaa itabadilika kua haki? Bidaa itabaki kua bidaa t

  • @mwendamwenda7998
    @mwendamwenda7998 Před 10 měsíci

    KUNA MUNAQASHA UNAANDALIWA MOMBASA INGEKUWA VIZURI KAMA UNGEENDA NA WEWE UKAYAELEZE HUKO ILI UWAOKOE WENZAKO WA MAULID SIO UNASEMASEMA VICHOCHORONI

  • @eddieeddie2755
    @eddieeddie2755 Před 11 měsíci +5

    Kumbe mnajua makosa yamo ktk Barzanji??? alhamdulillah kwa kudhihirisha Bachu alikua sahihi.

    • @iddswalehomar1323
      @iddswalehomar1323 Před 11 měsíci +3

      Fata haki usifate ushabiki Rudi kusikiliza vzr utafaidika

    • @KassimLukanza-wp6xn
      @KassimLukanza-wp6xn Před 11 měsíci +1

      Sikiliza kwa kutaka kuelewa... usifanye dini kama ushindan wa ccm na chadema, au Yanga na Simba

    • @Kingkongchuma
      @Kingkongchuma Před 11 měsíci +1

      Siku watu wakianza kutoa makosa kwenye vitabu munavo fuata mtakimbia mitandaoni

    • @rjqaasam4587
      @rjqaasam4587 Před 11 měsíci

      Acha Ushabiki na Ushakunaku katika Dini
      Kaa chini usome

    • @eddieeddie2755
      @eddieeddie2755 Před 11 měsíci

      @@rjqaasam4587 nikikubali barzanji tayari elimu ninayo,ukikataa huna elimu.

  • @FarahJey
    @FarahJey Před 11 měsíci

    Kama ni kuhusu kutawasali mutawasali vile mtume alivyo fundisha na vile maswahaba walivyo fanya na kuelewa,mukifanya kinyume ta hivyo,hio ndio inaitwa bidaa,taani jambo mumelifanya,ilihali mtume na maswahaba hawakufanya na walikua wanaweza kulifanya,mpaka walipo wata kufanya ni kwamba halina nafasi katika dini,hivi nyinyi mwajua zaidi munazua mambo ambao,walivyo mjua mtume zaidi pamoja na kumfuata hawakufanya,eti nyie mwajua sana.
    Tahadhari na hizo bidaa

    • @hawrajehan2398
      @hawrajehan2398 Před 10 měsíci

      Kma wao wanafanya wwe fanya alivyofundisha Mtume km maulid ni ya kwao wwe hayakuus nenda peponi pekeyako

  • @AbuuManyama-cc1so
    @AbuuManyama-cc1so Před 10 měsíci

    HUYO BACHU NA WATU WAKE NI MASHOGA HAO MSIPATE taabu nao

    • @AbdoulAmour-rr7th
      @AbdoulAmour-rr7th Před 10 měsíci

      Akhy hatakm anakuker ila isifike hatua yakutoa shutm Kam hizo utaend kuulizw juu ya ulilolisem

    • @auroxenterprises8003
      @auroxenterprises8003 Před 10 měsíci

      Dawa imesha kungia tubu ndugi yangu ila kma utakufa na itikadi hiyo jiandaeee

  • @jumasalum2677
    @jumasalum2677 Před 9 měsíci +1

    Oya mzee ukitaka kuitetea maulidi na barazenji uwe na ushahid sio unatupotezea bando
    Wewe SEMA TU
    Wanyama waliongea na miti ilisugeleana kuambizana habari ya juingia mimba ya mtume.
    Kwa ushahid wa maandiko hadithi sahihi za mtume,Quran au maswahaba dalili.
    Sio unatupotezea muda kama wenzio
    SAWA
    Sisi ndio wafuasi wa sheikh Mohammed bacho (SIMBA) HATA wewe unamuogopa kukutana nae.

    • @jumasalum2677
      @jumasalum2677 Před 9 měsíci +1

      Simba kiunguruma
      Msitu wote una tetema

  • @FarahJey
    @FarahJey Před 11 měsíci

    Hayo makosa ambao ni kidogo,munao sema yapo baso yaondosheni,musiendelee kufanya kosa baada kuwa mushalijua nikosa,hayo ndio ambao munapingwa

    • @allylassuh4947
      @allylassuh4947 Před 10 měsíci

      Yako wp hem tuambie

    • @allylassuh4947
      @allylassuh4947 Před 10 měsíci

      Kisha kasema albany alihdhwafisha hadithi swahih bc pia msitumie zitoweni mbn hujasema kma shekh kasema

    • @fikafikan8484
      @fikafikan8484 Před 10 měsíci

      Ww hujamuelewa shekhe ndio mana hamuelewi na bachu wenu hajasema kuna makosa rudia tena usikize na uwelewe ndugu ikili zenu zitulize mukiskiza maneno

    • @fikafikan8484
      @fikafikan8484 Před 10 měsíci

      Makosa gani ww hujaelewa tuliza bongo unapo sikiza mawaidha

  • @pavillioncry5241
    @pavillioncry5241 Před 11 měsíci +2

    Sina mda mchafu wa kuskiliza mijitu ya bidaaa kama hiiii

    • @binaamour318
      @binaamour318 Před 11 měsíci

      Et huyu na n mtu w suna Hilo Jina t pavilion linakusuta kusema n mtu wa suna unaambiwa hakuna kitabu chochote kic chokuwa na kasoro unachokic Kia ww I'm pokuwa kur aan vitabu vmetungwa na wanachuoni nilazima kunatafsiri amepatia na nyingine amekoc ea kwa alwah Ana malipo Mara mbili akipatia na akikocea Mara moja kw jitahada zake acheni ushabik w matuc utakwenda kukutana na alwah na mutatafuta majibu y matuc ynu!

  • @zakiamudi4507
    @zakiamudi4507 Před 11 měsíci +2

    Kiigizo chetu ni mtume wapi mtume alifanya maulidi acheni kuwadanga watu mtakuja juta

  • @allylassuh4947
    @allylassuh4947 Před 10 měsíci

    Mawahabi kusoma wanapiga chenga

  • @IjumaaIjumaa
    @IjumaaIjumaa Před 9 měsíci

    Shekhe kama huyu SI wa kumsikiliza ni katika makundi 73 yeye yumo kwendi 72 SI wa kufata waislam tusome tuache ushabik nusura yetu kw alla kitabu na sunna maulidi SI sunna na mtu akizaliwa ni hakinka hihi mtume mohamad sw kafa ndo tunasherekea huku ni kujinasibisha na mayahudi na manaswara

    • @omariabeid2897
      @omariabeid2897 Před 9 měsíci

      Je wewe umesoma?

    • @IjumaaIjumaa
      @IjumaaIjumaa Před 9 měsíci

      Ukiona mtu kakosolewa uliza upate faida SI kufata mkumbo baranza inje Haina dalili ndo maana inagawa waislam na SI ibada Tena na ukishiriki unapata mazambi

  • @ibniabdalla4817
    @ibniabdalla4817 Před 11 měsíci +2

    Maulidi ni bidaa kesho mutaenda kumueze mwenye zimungu mumeitowa wapi hii ibada ya Maulidi acheni bidaa itakuigizeni kwenye moto

    • @user-gl6ep3xp9s
      @user-gl6ep3xp9s Před 11 měsíci +1

      Wacha kuingiza wenzako moto ww

    • @HajiJuma-dc2ev
      @HajiJuma-dc2ev Před 11 měsíci

      Wemwenyew bidaa

    • @latifaayoub6126
      @latifaayoub6126 Před 11 měsíci

      We ibnabdalla .. skiliza vizuri .. shekhee ashamaliza hapo hayo ndo mambo yetu .. we mwenyewe unasema maulidi bid3ah bachu mwenyewe hajasema maulidi hayafai ... shekhe kauliza hapo kma 30 tu ndo makosa mazuri ni mangapi hehehe nyie ongeeni huku maulidi twasoma ...

  • @YussufSaid-ok4pu
    @YussufSaid-ok4pu Před 11 měsíci

    Mziwanda usitafte uchochoro km ww unahoja uwanja upo wazi njoo zamu yako

    • @rogertuga007
      @rogertuga007 Před 11 měsíci

      😅😅😅😂Kwani hana akili timamu umeona

    • @iddimasero6567
      @iddimasero6567 Před 9 měsíci

      Mashallah, shekh Mziwanda ninaomba siku moja ufike hapa kwetu Tarime.

  • @mohamedrashid7864
    @mohamedrashid7864 Před 11 měsíci

    Mawahabi mtapata tabu sana

  • @maalimhamad1297
    @maalimhamad1297 Před 11 měsíci

    Acha uwongo wewe barzanj sote tunajua nimuongo na huyo albani unamjua leo kama ni mwanachuoni mbona mukimtukana hamsemi

    • @ahmadmadaai1357
      @ahmadmadaai1357 Před 10 měsíci

      Chuki zko huyo bachu kasom wp anarembea kitabu wahabi mtakufa vinywa wazi ndmn nutmru hmn wala uchamungu mpo na machuki tu tutasom barzanji mpk kufa kwetu hatuwez kukufa ten nyie mazombi majuha

  • @shehemrefu283
    @shehemrefu283 Před 11 měsíci

    Hata wewe mziwanda humuogopi allah unasimama unatetea vitu ambavyo unajua sio dini wala sio ibaada kwa ajili ya njaa zako iyogope siku amboyo kwake utarudishwa utaenda kujibu nini wewe

  • @AbuuManyama-cc1so
    @AbuuManyama-cc1so Před 10 měsíci

    KAPIGA KWENYE MSHONO W MAMAKO AKILI HUNA NA MTABAKI HVYOHVYO NASISI hatuachi kusoma maulidi

  • @user-qm4qd8yk2x
    @user-qm4qd8yk2x Před 11 měsíci

    kitabu Cha barzanji kinasema YAA MAHIYADHDHUUB ewe mwenye kufuta madhambi hakijasema YAA SABABU MAHIYADHDHUUB. enyi masufi wacheni urongo

    • @user-qm4qd8yk2x
      @user-qm4qd8yk2x Před 11 měsíci

      samahani hapo chini nimekusudia DHUNUUB sio dhuub

    • @omariomari132
      @omariomari132 Před 11 měsíci +1

      ​@@user-qm4qd8yk2x kufuta madhambi ndio kazi ya mitume wote sio tu Muhammad alaihi salaam. Wamekuja kuipiga vita dhambi .. huku ni kufuta dhambi.
      Mnachanganya kusamehe dhambi na kufuta dhambi.. acha tu hiyo Allah amempa nafasi mtume kuwaombea watu msamaha pale wanapomuendea

    • @omariomari132
      @omariomari132 Před 11 měsíci +1

      وَمَآ أَرْسَلْنَا مِن رَّسُولٍ إِلَّا لِيُطَاعَ بِإِذْنِ ٱللَّهِ ۚ وَلَوْ أَنَّهُمْ إِذ ظَّلَمُوٓا۟ أَنفُسَهُمْ جَآءُوكَ فَٱسْتَغْفَرُوا۟ ٱللَّهَ وَٱسْتَغْفَرَ لَهُمُ ٱلرَّسُولُ لَوَجَدُوا۟ ٱللَّهَ تَوَّابًا رَّحِيمًا

    • @omariomari132
      @omariomari132 Před 11 měsíci +1

      Na hatukumtuma Mtume yeyote ila at'iiwe kwa idhini ya Mwenyezi Mungu. Na lau pale walipo jidhulumu nafsi zao wangeli kujia, wakamwomba Mwenyezi Mungu msamaha, na Mtume akawaombea msamaha, hapana shaka wangeli mkuta Mwenyezi Mungu ni Mwenye kupokea toba na Mwenye kurehemu.

  • @IddiNkupe-no8lh
    @IddiNkupe-no8lh Před 9 měsíci

    Shekh mziwanda uko na hali mbaya sana tatizo unatumia akili yako kuliko dalili,mashaallah Allah amekupa kauli nzuri ya ushawishi ila napenda kukutanabahisha usipende kuitumia akili yako kuliko dalili kila kitu kipo kwenye kitabu wanazuoni wamevibainisha vyote angalia sana maneno yako utakuwa mas'uula

    • @MaalimYussuf-qy9ic
      @MaalimYussuf-qy9ic Před 9 měsíci

      Wew ulo na dalili hemu tuambie wew utakuwa unajuwa zaidi na huyo mziwamda hajasoma upo wapi nije kusoma kwako

    • @IddiNkupe-no8lh
      @IddiNkupe-no8lh Před 9 měsíci

      @@MaalimYussuf-qy9ic assalaam alykum warhmtllah wabarkt akhy njoo tanga Daarul ssalafiyya markaz ya pongwe kwa kasim mafuta

    • @IddiNkupe-no8lh
      @IddiNkupe-no8lh Před 9 měsíci

      @@MaalimYussuf-qy9ic kwani kwa hakika hii elimu ni dini basi angalien munaichukuwa kwa wakina nani dini yenu (elimu yenu )karibu upate elimu sahihi na maarifa sahihi kwa dalili za wema waliwotangulia ili hawa mashekh wenye kuzifuata hawaa za nafsi zao tuwanasihi waweze kurud darasan au kukaa katk njia ya sawasawa