Shekh mziwanda uko na hali mbaya sana tatizo unatumia akili yako kuliko dalili,mashaallah Allah amekupa kauli nzuri ya ushawishi ila napenda kukutanabahisha usipende kuitumia akili yako kuliko dalili kila kitu kipo kwenye kitabu wanazuoni wamevibainisha vyote angalia sana maneno yako utakuwa mas'uula
@@MaalimYussuf-qy9ic elimu yangu ndogo akhy ila katk masaail ya dini haijuzu mtu kutumia akili yake wakati dalili ipo mfano ukisema kumtangaza mtume s.a.w ni kufanya maulid jee?alifundisha wapi yeye mwenyew) au ukiwa unampenda mtume ndyo kufanya maulid dalili ya haya maneno umeitoa wap na kwenye vitabu gan?na wanachuon wameyaeleza wap hayo mambo?
Hajagusa Mtu kajigusa mwenyewe Wala babaiko hamna nyie ndio Muna wasi wasi maulidi yatasomwa Hadi mwisho wa Dunia Na hayatawachwa Ati bachu kaongea waliongea wengi Na waliacha wakaondoka bachu akimaliza kupayuka maulidi yatasomwa
Sio kapiga kwenye mshono... Tatizo anaprovock Dini nasih.... Na sio kupigana na kukashifiana kwa ihtalaf ndy maana masheikh wanamalizia kusema ALLAH ya kwakuwa tunajua kabisa sis tunajua machache tu kuhusu Dini....kuwataja masheikh na kusema Huyu kufar Huyu kufar... Nipe hadithi au Aya ambayo mtume anamsema Fulani Ni kafir au kumlaan mtu ispokuwa anabainishiwa na ALLAH kwenye Quran
Masheikh wenu wameshakupandikisheni imani ya kuwa aliyekuwa hasomi maulid basi hampendi Mtume, na mawahabi ni pandikizi la Wamagharibi na Mayahudi. Hivi tujiulize, Wamagharibi na Wayahudi wanafata Qur ani na Sunna? Angalia masufi Manasara husherehekea kuzaliwa kwa Yesu kila mwaka ikifika tarehe 25/12 miladiya wakati masufi husherehekea kuzaliwa kwa Mtume Mohammad (Sala na salamu ziwe juu yake) kila mwaka ikifika tarehe 12 mfunguo 6. Manasara hupiga minanda na kuimba na kucheza ktk kumsifu Yesu wakati Masufi hupiga minanda na midufu na kuimba ktk kumsifu Mtume. Manasara huitakidi Yesu hutokea ktk hadhara yao wakati masufi huitakidi Mtume huhudhuria ktk hadhara ya maulid. Sasa kwa nukta hizi walionazo masufi, nani kati ya masufi na wahabi wanaofanana na Wamagharibi na Mayahudi? Tusichukulie ushabiki, nukta 19 hazijibiki ktk Qur an na Sunna. Na ndo mana watu wanapata tabu mpk leo hawajajibu ila hubarausha barausha tu.
@@khamisjuma8813 Aisee, kwahiyo hizo ndo umeona ni nukta za kielimu kabisa..!!?? Endeleeni kupinga na kutukana, Itikadi zenu mbovu Sana.. mbona tawheed 3 Hujaitaja, tena tawheed sio sera.. Ninyi kwenu Mtume ni Kama Mimi na wewe tu.. Allah atuepushe na Uwahabi pandikizi la wamagharibi
@@omarymakange8449 tujitahidi kusoma na kuelewa. Mtume ni binaadam kama sisi ila yeye cheo chake ni chengine kabisa. Cheo chake hakifanani na mwanadamu mwengine kwa sababu yeye ni mbora wa daraja. Lakini usije ukasema kuwa Mtume si kama sisi, qur an ishathibisha hivyo. Sisi tunafata yaliothibiti kutoka ktk Qur an na sunna sahihi, lkn masufi huongeza na yao, kwa mfano Qur an ishasema kuwa Mtume ni mtu kama sisi basi masufi wanasema hapana Mtume si mtu kama sisi. Qur an ishasema kuwa Allah yupo mbinguni lkn masufi wanasema hapana Allah yupo kila mahali. Hadithi sahihi ishasema tujiepushe uzushi ktk dini kwa sababu kwa ushahidi wa Qur an dini ishakamilika lkn masufi wanasema kuna bidaa hasana na kama kushuka kwa aya ile kuwa ndiyo dini ilikuwa ishakamilika kwa nini zikashuka aya nyengine baadae na haikuwa ya mwisho. Jamani hivi hawa mawahabi na masufi wepi waliotumwa kuvuruga dini? Dalili nilizokupa za masufi zinazofanana na za manasara hujatetea bd umekuja ktk tawheed na vigawanyo vyake. Huku ni kupana sana na kunahitaji darsa hasa ya kukuelewesha. Swali la msingi ndugu yangu ktk hiyo Barzanj, zile nukta 19 kapatikana sheikh yeyote wa kujibu angalau nukt moja kielimu? Lkn masufi walivyomezeshwa kuwa mawahabi hawajaelewa, sasa huyu alieelewa aeleweshe basi na kama kashindwa ujue ule ni uzushi ambao haukukuwepo karne 3 bora. Kuwa na akili ndugu yangu, sisi tulikuwa huko huko ulipo wewe lkn baada ya kuyajua haya na tafsiri zake tukaamua kuachana nayo. Nyinyi munahifadhishwa kitu bila ya tafsiri na dalili na munachukuwa tu kwa kuwa sheikh wenu kasema.
Kuwaombea dua sio lazima mpike wali na kucheza pale mnapocheza mnafurahia nn badala ya kusamehewa alla anakasirika zaidi hizo hela zenu changeni halafu nunuweni mazulia na kujenga misikiti ili swadaka hiyo iwafikie hao mnaowakusudia acheni bidaa
wazee tuwe naimani..kuna maisha mbele..Allah yupo..leo tumeona makosa ya Barzanj..kama ameyaona Bachu.mtoto..peke.yake Baba yake na Bachu..kayaona na kuyasema..kigogo wa quran..Chifu kadhi wa kenya.mtafsiri wa masaf.kwa kiswahili Ameishi huko kenya .kwa huyo fidhuli pacha na mzee Yusuf.kayaona na kukataa..hakuna hata mmoja alie wahi kumpinga..leo Mtoto WaBachu..kanukuu..mishehena kibao...Tupo tayari kuchangia na yeye atoe tafsiri ya kiswahili.ili muumbuke zaidi..maana mkiambiwa aya.mnakimbilia matini..matalai..vunjeni hoja tujuwe.kama kasema uongo..usahihi ni upi mpokimyaaaaaa...mtoto hana adabu ..tupeni usahihi wazeeee
Hapo hakuna Cha uwelewa Bali unatetewa uongo TU Ndio maana kubishana na ukweli Ushaambiwa toa ushahid wanyama waliongea wakati mimba ya mtume imeingia uonekane kweli wewe ni mkweli
Siyo RADWIALLAHU ANHU maswahaba ndio twapaswa kuwatamkia hivyo lakin hyu bachu ni RAHIMAHULLAH au HAFIDHWAHULLAH , nimekutanabaisha tu kipenz ktk imaan
Maalim mziwanda napenda sana malezo yako ila mimi maulidi naipinga siiamini nsomba unisaidie kuhusu hao wanyama walizungumza wakapashana khabari khabari mda wa kutunga mimba ya mtume muhammad s.a.w nifahamishee nijue
@@rogertuga007 kwahyo wakiwa Ni wanadamu Ndy Uwakosee Adabu Half pia watakiwa Ujifkirie Ww Na huyo Sheikh Muharram Mziwanda Ninan Nani Yan Ww hvyo ulivyo Unaweza kusimama Na Sheikh Muharam mziwanda Au unaropoka Tu hapa kwenye Coment
Utafauti upo tunaposema kama mtume ni sababu ya sisi kufutiwa dhambi na yy ni mfuta dhambi ni tafaut...... Katika Lugha kuna Kisababishi na kitendeshi....
Mtu wa maulidi kuongea mbele za watu wanaweza vizuri sana atatoa hadithi hii na ile lkni akiitwa kwa mjadala siku fichi huwa hawezi ongea vile akiongea mfano sabas alijibiga kifua lkni alipoingia katika mjadala alibakia mdomo wazi ooh majazi
Kwendeni huko anachokolewa nini ukweli ndio huo hamuutaki hamjaitwa hamhalazimishwa hamtaki na nyie kuwasikiliza wasomi wengine heshima iwepo Bachoo kwani kasoma peke yake kafahamu peke yake ni ushindani tu na kutokuwa Allaah amhidi amtanabahishe achokonolewe kwani yeye pweza
Maelezo meeengi mbwembwe nyiiingi Jibu maswali yafuatayo Mauridi ni ibada? Kama imada zipi ngozo zake au shurutwi zake? Na km ni uzushi mnafanya kwa mafundisho yapi?
Sasa kuhusu kusoma Quran si kuna aya inasema tusome Quran. Hapo kwenye Hitama na Maulid kuna aya ipo au hadithi?! Kuhusu mfumo na namna ya kufanya sawa Ibadatun Mujmala ni lazima isemwe kwanza kuwa hiyo ni ibada kisha ndio mfumo wa kuifanya tuamue.
Nimekukubali sana uliposema kua nyinyi hayo ndo mambo yenu midomo inawawasha mnaona mnaharibiwa kuwa mtakosa kujaza ubwabwa wa mfunguo sita 6 katika matumbo yenu Mcheni mola acheni Porojo duh wewe umetoa mfano wa swala ya jeneza wakati IPO na imewekewa sheria jibu hoja 19 usibwabwaje tu.
Waislam mnatuchosha sisi tulio njee yenu, Kama ilikua ni moja mbele maturudisha hatua 10 nyuma kwakuto kua na misimamo ninyi Kwa ninyi kwakuhitilafiana kwenye.
Acheni kubadilisha mambo eti makosa kana kwamba ni makosa ya uchapishaji. Hizo ni itikadi mbovu za kiimani uongo na Ushirikina. Hajatukanwa mtu hapo kimesemwa kitabu lkn nyinyi mnamshambulia mtu badala ya kutetea hoja kwenye kitabu
Tokea dunia ianze hakuna Wahabbi yoyote aliyewahi kukilembea Kitabu Cha Barzanji kwakua pamoja na uwahabni wao,pamoja na usunna wao hawakuwahi kutupa Kitabu hata baba yake Bachu tumesoma kwake Marehemu sheikh NASSOR Bachu hakuwahi kukilembea chini Kitabu Cha Barzanji pamoja na kwamba hakua akikubali Maulidi
@@AhmadaTahir-cu8se je mwaitaka haki ama watu Nikupe mawili tu kutoka kwa hadithi za RassuliLlah 1. "al halaala bayyinu wa haraama bayyinu". 2."Bada'al Islama ghariba wasayau'udu ghariiban kamaa bada'a. Fatuubu lili ghurabaa" Additionally muqaddima maarufu kabisa ambao hata masheikh wenu wa bidaa wanausoma ila wanaukimbia sehemu hii "kullu bidaa dhwalala, wa kullu dhwalaala fi nnar". Waulizeni je wanapokimbia eneo hili ni kwamba Mtume wetu hajui kuliko wao ama wao ni bora zaidi yake ama je RassuliLlah alitudhulumu katika ufikishaji wa dini ya Allah nao ndio wanaojua zaidi yake. Mnakomaa na bidaa lakini hamjui kwa nini inapingwa? Kiasi mmojitoa akili ati. Omba Allah akufanyie wepesi kujua yaliyo sahihi ndugu yangu katika imani.
@@AhmadaTahir-cu8se ndugu yangu kushikilia mambo ambayo hayapo wala hayana ushahidi wa Sunna, wala Qur-an je ni sahihi na je kuyafanya hayo inamaanisha RassuliLlah alitudhulumu kwenye kufikisha kwake kwa yale aloteremshiwa na Allah? Ama je Allah ametuhadaa kutuambia ameshaikamilisha dini? Na je kwa kuwa dini imekamilika huoni kuwa kuongeza kitu katika dini ni uzushi na dhulma kubwa. Tumrejee Allah kwa usahihi ndugu yangu nakusihi
@@AhmadaTahir-cu8sehuo utakua ujuha Sasa kushikilia jambo ambalo mtu alishaomba Msamaha na kutoa ufafanuzi wake. Jambo la msingi ni hoja tu zijibiwe na sio porojo nyingine
Kama ni kuhusu kutawasali mutawasali vile mtume alivyo fundisha na vile maswahaba walivyo fanya na kuelewa,mukifanya kinyume ta hivyo,hio ndio inaitwa bidaa,taani jambo mumelifanya,ilihali mtume na maswahaba hawakufanya na walikua wanaweza kulifanya,mpaka walipo wata kufanya ni kwamba halina nafasi katika dini,hivi nyinyi mwajua zaidi munazua mambo ambao,walivyo mjua mtume zaidi pamoja na kumfuata hawakufanya,eti nyie mwajua sana. Tahadhari na hizo bidaa
Oya mzee ukitaka kuitetea maulidi na barazenji uwe na ushahid sio unatupotezea bando Wewe SEMA TU Wanyama waliongea na miti ilisugeleana kuambizana habari ya juingia mimba ya mtume. Kwa ushahid wa maandiko hadithi sahihi za mtume,Quran au maswahaba dalili. Sio unatupotezea muda kama wenzio SAWA Sisi ndio wafuasi wa sheikh Mohammed bacho (SIMBA) HATA wewe unamuogopa kukutana nae.
Et huyu na n mtu w suna Hilo Jina t pavilion linakusuta kusema n mtu wa suna unaambiwa hakuna kitabu chochote kic chokuwa na kasoro unachokic Kia ww I'm pokuwa kur aan vitabu vmetungwa na wanachuoni nilazima kunatafsiri amepatia na nyingine amekoc ea kwa alwah Ana malipo Mara mbili akipatia na akikocea Mara moja kw jitahada zake acheni ushabik w matuc utakwenda kukutana na alwah na mutatafuta majibu y matuc ynu!
Shekhe kama huyu SI wa kumsikiliza ni katika makundi 73 yeye yumo kwendi 72 SI wa kufata waislam tusome tuache ushabik nusura yetu kw alla kitabu na sunna maulidi SI sunna na mtu akizaliwa ni hakinka hihi mtume mohamad sw kafa ndo tunasherekea huku ni kujinasibisha na mayahudi na manaswara
Ukiona mtu kakosolewa uliza upate faida SI kufata mkumbo baranza inje Haina dalili ndo maana inagawa waislam na SI ibada Tena na ukishiriki unapata mazambi
We ibnabdalla .. skiliza vizuri .. shekhee ashamaliza hapo hayo ndo mambo yetu .. we mwenyewe unasema maulidi bid3ah bachu mwenyewe hajasema maulidi hayafai ... shekhe kauliza hapo kma 30 tu ndo makosa mazuri ni mangapi hehehe nyie ongeeni huku maulidi twasoma ...
Hata wewe mziwanda humuogopi allah unasimama unatetea vitu ambavyo unajua sio dini wala sio ibaada kwa ajili ya njaa zako iyogope siku amboyo kwake utarudishwa utaenda kujibu nini wewe
@@user-qm4qd8yk2x kufuta madhambi ndio kazi ya mitume wote sio tu Muhammad alaihi salaam. Wamekuja kuipiga vita dhambi .. huku ni kufuta dhambi. Mnachanganya kusamehe dhambi na kufuta dhambi.. acha tu hiyo Allah amempa nafasi mtume kuwaombea watu msamaha pale wanapomuendea
Na hatukumtuma Mtume yeyote ila at'iiwe kwa idhini ya Mwenyezi Mungu. Na lau pale walipo jidhulumu nafsi zao wangeli kujia, wakamwomba Mwenyezi Mungu msamaha, na Mtume akawaombea msamaha, hapana shaka wangeli mkuta Mwenyezi Mungu ni Mwenye kupokea toba na Mwenye kurehemu.
Shekh mziwanda uko na hali mbaya sana tatizo unatumia akili yako kuliko dalili,mashaallah Allah amekupa kauli nzuri ya ushawishi ila napenda kukutanabahisha usipende kuitumia akili yako kuliko dalili kila kitu kipo kwenye kitabu wanazuoni wamevibainisha vyote angalia sana maneno yako utakuwa mas'uula
@@MaalimYussuf-qy9ic kwani kwa hakika hii elimu ni dini basi angalien munaichukuwa kwa wakina nani dini yenu (elimu yenu )karibu upate elimu sahihi na maarifa sahihi kwa dalili za wema waliwotangulia ili hawa mashekh wenye kuzifuata hawaa za nafsi zao tuwanasihi waweze kurud darasan au kukaa katk njia ya sawasawa
Mashaallah, sheikh umeeleweka vizuri sana.
Daaa!! Shekhe Muhammad bachu, Mwenyezi mungu amuhifadhi maaana naona masufii woote wameungana kutetea ushurikina, wanatetea kitu ambacho mtume s.a.w. hakukifanya waala hajakizungumzia popoote pale, nandiomaana hata watetezi wa bidaa ya mauridi wanapata sheeda saaana kuhalalisha kwasababu hakuna lilipo thibi.
MashaAllah MashaAllah
Shekh mziwanda uko na hali mbaya sana tatizo unatumia akili yako kuliko dalili,mashaallah Allah amekupa kauli nzuri ya ushawishi ila napenda kukutanabahisha usipende kuitumia akili yako kuliko dalili kila kitu kipo kwenye kitabu wanazuoni wamevibainisha vyote angalia sana maneno yako utakuwa mas'uula
Wewe mjinga tofauti haitaondoka mpaka siku ya kiam
Maa Sha Allah
Allah akujaalie umri mrefu sheikh Mziwanda wenye kheri na baraka.
Umeeleza vyema sana Maa Sha Allah
Shkh nimekuelewa vizur sana na Allah azid kukuoa kheir ya kunielimisha
MaashaaAllah. Ahsante Kwa Darasa kubwa. Atakayetaka kufahamu atafahamu ila atakayesikiliza kiushabiki na kimsimamo - hawezi kukuelewa Sheikh.
manshaalah
Shekh upo sahihi kabisa nakupnd sn una fani na elimu
Siku hizi wnasema, " Hii imeenda", jazakallah sheikh!!!
Asante Sana
Masha All’wa skh mziwanda
Mashaallah Mashaallah Sheikh mziwanda mola akuzidishie.
Hongera kaka umemikosha kweli kweli mashaallwa
Masha'Allah Sheikh hata Mimi nisiosoma nakuelewa Inshallah Allah akupe umri mrefu na afya
Soma dini yako akhy usipelekwe pelekwe kama gari bovu
Wew umesoma ndugu
@@MaalimYussuf-qy9ic elimu yangu ndogo akhy ila katk masaail ya dini haijuzu mtu kutumia akili yake wakati dalili ipo mfano ukisema kumtangaza mtume s.a.w ni kufanya maulid jee?alifundisha wapi yeye mwenyew) au ukiwa unampenda mtume ndyo kufanya maulid dalili ya haya maneno umeitoa wap na kwenye vitabu gan?na wanachuon wameyaeleza wap hayo mambo?
Ukitaka Dalila mbona kumambe mengi 2 watu wanafanya mtume hajafanya
Maskini Mahabi Mulidi yanawekera kweli kweli. Basi unakuja mwezi wa kuwakera. Mukajinyonge hasaaa tupumue roho zetu na taafrani zenu. Poleni saanaaa
Mashaallah sheikh wangu Allah akuhifadhi na akupe umri mrefu
Mziwanda sikuzote haqi haiwi chini inakuwagajuu leoumekiri kunamakosa ndani ya barzanje ilaumeyaona nimachache ukilinganisha na ukuwa wa kitabu.alhadulillah,mziwanda nduyangu kosanikosa hatalikiwamoja,sasaje unawaambiaje mashekh wenzako wakingao vifua etiyalesimakosa
Shekhe usiendelee tumeelewa na wamekuelewa
Allah akubariki
Mashaallah Sh.Mziwanda hizo dakika ulizotumia kwa watu wenye akili wasomi umesomesha ilmu kubwa sana Mwenyeezi Mngu akupe umri uzidi kuelimisha watu.
Zile nyundo 19 mumejibu hata moja?
😂MKILALA BACHU MKIAMKA BQCHU😂😂VIKAO VIMEKUA VYA MOTO KABADILI AGENDA SIO KSIFU MTUME TENA SASA KILA IKIFIKA MFUNGO 6 NI KUMTETEA BARZANJE😂😂KWA BACHU
Jaman huyo mtoto wa bachu kachafua Hali ya hewa 😂😂 Amepiga kwenye mshono
Kawagusa ndipo
Hajagusa Mtu kajigusa mwenyewe Wala babaiko hamna nyie ndio Muna wasi wasi maulidi yatasomwa Hadi mwisho wa Dunia Na hayatawachwa Ati bachu kaongea waliongea wengi Na waliacha wakaondoka bachu akimaliza kupayuka maulidi yatasomwa
@@matanohassan9667jibuni hoja mnaonesha mapenz
Sio kapiga kwenye mshono... Tatizo anaprovock Dini nasih.... Na sio kupigana na kukashifiana kwa ihtalaf ndy maana masheikh wanamalizia kusema ALLAH ya kwakuwa tunajua kabisa sis tunajua machache tu kuhusu Dini....kuwataja masheikh na kusema Huyu kufar Huyu kufar... Nipe hadithi au Aya ambayo mtume anamsema Fulani Ni kafir au kumlaan mtu ispokuwa anabainishiwa na ALLAH kwenye Quran
Wewe usie ropoka tujuze ujuwalo
❤❤❤❤❤
Allah atuepeushe na Uwahabi pandikizi la wamagharibi..
Masheikh wenu wameshakupandikisheni imani ya kuwa aliyekuwa hasomi maulid basi hampendi Mtume, na mawahabi ni pandikizi la Wamagharibi na Mayahudi. Hivi tujiulize, Wamagharibi na Wayahudi wanafata Qur ani na Sunna? Angalia masufi
Manasara husherehekea kuzaliwa kwa Yesu kila mwaka ikifika tarehe 25/12 miladiya wakati masufi husherehekea kuzaliwa kwa Mtume Mohammad (Sala na salamu ziwe juu yake) kila mwaka ikifika tarehe 12 mfunguo 6.
Manasara hupiga minanda na kuimba na kucheza ktk kumsifu Yesu wakati Masufi hupiga minanda na midufu na kuimba ktk kumsifu Mtume.
Manasara huitakidi Yesu hutokea ktk hadhara yao wakati masufi huitakidi Mtume huhudhuria ktk hadhara ya maulid.
Sasa kwa nukta hizi walionazo masufi, nani kati ya masufi na wahabi wanaofanana na Wamagharibi na Mayahudi? Tusichukulie ushabiki, nukta 19 hazijibiki ktk Qur an na Sunna. Na ndo mana watu wanapata tabu mpk leo hawajajibu ila hubarausha barausha tu.
@@khamisjuma8813 Aisee, kwahiyo hizo ndo umeona ni nukta za kielimu kabisa..!!?? Endeleeni kupinga na kutukana, Itikadi zenu mbovu Sana.. mbona tawheed 3 Hujaitaja, tena tawheed sio sera.. Ninyi kwenu Mtume ni Kama Mimi na wewe tu.. Allah atuepushe na Uwahabi pandikizi la wamagharibi
@@omarymakange8449 tujitahidi kusoma na kuelewa. Mtume ni binaadam kama sisi ila yeye cheo chake ni chengine kabisa. Cheo chake hakifanani na mwanadamu mwengine kwa sababu yeye ni mbora wa daraja. Lakini usije ukasema kuwa Mtume si kama sisi, qur an ishathibisha hivyo. Sisi tunafata yaliothibiti kutoka ktk Qur an na sunna sahihi, lkn masufi huongeza na yao, kwa mfano Qur an ishasema kuwa Mtume ni mtu kama sisi basi masufi wanasema hapana Mtume si mtu kama sisi. Qur an ishasema kuwa Allah yupo mbinguni lkn masufi wanasema hapana Allah yupo kila mahali. Hadithi sahihi ishasema tujiepushe uzushi ktk dini kwa sababu kwa ushahidi wa Qur an dini ishakamilika lkn masufi wanasema kuna bidaa hasana na kama kushuka kwa aya ile kuwa ndiyo dini ilikuwa ishakamilika kwa nini zikashuka aya nyengine baadae na haikuwa ya mwisho. Jamani hivi hawa mawahabi na masufi wepi waliotumwa kuvuruga dini? Dalili nilizokupa za masufi zinazofanana na za manasara hujatetea bd umekuja ktk tawheed na vigawanyo vyake. Huku ni kupana sana na kunahitaji darsa hasa ya kukuelewesha. Swali la msingi ndugu yangu ktk hiyo Barzanj, zile nukta 19 kapatikana sheikh yeyote wa kujibu angalau nukt moja kielimu? Lkn masufi walivyomezeshwa kuwa mawahabi hawajaelewa, sasa huyu alieelewa aeleweshe basi na kama kashindwa ujue ule ni uzushi ambao haukukuwepo karne 3 bora. Kuwa na akili ndugu yangu, sisi tulikuwa huko huko ulipo wewe lkn baada ya kuyajua haya na tafsiri zake tukaamua kuachana nayo. Nyinyi munahifadhishwa kitu bila ya tafsiri na dalili na munachukuwa tu kwa kuwa sheikh wenu kasema.
Kuwaombea dua sio lazima mpike wali na kucheza pale mnapocheza mnafurahia nn badala ya kusamehewa alla anakasirika zaidi hizo hela zenu changeni halafu nunuweni mazulia na kujenga misikiti ili swadaka hiyo iwafikie hao mnaowakusudia acheni bidaa
We nimuhuni tuu
Kama niyakweli mkae meza moja na Shekh Bachu mfundishane ili waislamu wajifunze.
Bachu hataki kusoma. Ataka kubishana.
Hujamuelewa Bachu,,,,,msikilize vizuri utamuelewa,,,,ni Shekh mzuri sana anafundisha hakki,,,,acha ushabiki ndugu kumbuka kuna kesho mbele ya Allhwa.Ighidiluu akkorabu huwalitakkuwaaaa.
Huyu Bachu ni nani ?nabii
Mashaallah sheikh
Jubini masuwali 19 ya Sheikh Muhammed bachu acheni kupotosha watu kwa masilahi ya matumbo yenu
Maalim mziwanda hakk iko wazi na batil iko waz , ibada zetu zooot twachukua kwa mtume na kwa maswaha tuuu
Unaongea ukweli,Mbona sheik ibnu Baaz alisema ukipiga mihayo inatakiwa useme audhubilah minasheitwani rajiim,Hi ameitolea wapi!?.
@@user-lp3gi5wd4e nduguu kama halijathibit hatuwez kulichukua na yey kama kkosey allaah amsamehe
Mziwanda je wanyama waliongea kiarabu baada ya mimba ya mtume ukiweza nakupa milioni 10
Barak Allah feeq, Jazzak Allah kheri.
Allahuma maswali waswali male
Jazzakumllah Khery
Mtihani mkubwa huu
Shukran Sana Sheikh Wetu Allah akupe umri mrefu na Maisha mazuri hapa duniani na Kesho akhera ALLAH Akuingize peponi kabla hujafa shukran sana
Kwani wali ukipikwa wewe unaumia nini hasaa kuwapa watu wali inakukera nini acheni ushabiki wakupinga kila kitu ndungu zangu mwalim Allah akuhifadhi shekhe unaelewesha vizuri Sana binafsi nimefurahi kwa elim nzuri unayotoa
Sawa Kabissa mwalimu kuelewa nitatiizo, Allah akupe afya na maicha mazuri
Hoja ni COVID 19 zijibiwe kumsema Bachu ni utoto wa masheikh. Jibuni hoja.
حفظك الله يا شيخنا
wazee tuwe naimani..kuna maisha mbele..Allah yupo..leo tumeona makosa ya Barzanj..kama ameyaona Bachu.mtoto..peke.yake Baba yake na Bachu..kayaona na kuyasema..kigogo wa quran..Chifu kadhi wa kenya.mtafsiri wa masaf.kwa kiswahili Ameishi huko kenya .kwa huyo fidhuli pacha na mzee Yusuf.kayaona na kukataa..hakuna hata mmoja alie wahi kumpinga..leo Mtoto WaBachu..kanukuu..mishehena kibao...Tupo tayari kuchangia na yeye atoe tafsiri ya kiswahili.ili muumbuke zaidi..maana mkiambiwa aya.mnakimbilia matini..matalai..vunjeni hoja tujuwe.kama kasema uongo..usahihi ni upi mpokimyaaaaaa...mtoto hana adabu ..tupeni usahihi wazeeee
😂Swadact shegh mziwanda
Mashallah .ila wahabi hawezielewa maskioyao yanapamba mioyo imepigwa mihuri .hawajajaaliwa uelewa allah awape ufahamu
Hapo hakuna Cha uwelewa
Bali unatetewa uongo TU
Ndio maana kubishana na ukweli
Ushaambiwa toa ushahid wanyama waliongea wakati mimba ya mtume imeingia uonekane kweli wewe ni mkweli
Ni mashabiki bendera tu ndio hawatakuelewa tu mziwanda
Mohammad Bachu Radhiallahu anhu,Sheikh Abdulla Saleh Farsi aliyapinga sana,lakini shetani kawazidi hawa wenye hawaa zao binafsi,wanatoa kila sababu.
Siyo RADWIALLAHU ANHU maswahaba ndio twapaswa kuwatamkia hivyo lakin hyu bachu ni RAHIMAHULLAH au HAFIDHWAHULLAH , nimekutanabaisha tu kipenz ktk imaan
Sisi ndio mambo yetu maulidi mashehe waliotufundisha maulid ndio wametufundisha qur-an na hadith sasa tuwavunjie heshima kisa maulid hilo haliwezekani
Kwaiyo kumvunjia heshima shekhe wako na kumvunjia heshima muungu wako lip kubwa, kwaiyo unamheshimu sheikh kuliko yule aliekuumba? Huyo sheikh atakuja kukutetea wakati unaadhibiwa?
Sio lazima kwako mjingA usie na elimu kasome baadae utoe makosa unafuata mkumbo
Maalim mziwanda napenda sana malezo yako ila mimi maulidi naipinga siiamini nsomba unisaidie kuhusu hao wanyama walizungumza wakapashana khabari khabari mda wa kutunga mimba ya mtume muhammad s.a.w nifahamishee nijue
Kwa hiyo hao viumbe hawakujua ujio wa Mtume Muhammad SAW?
Nyinyi mnamuchokonowa bachu akiwajibu mnasema hana adabu
Jifunze Elimu ya Maneno ili ukielewe vizuri kile kinachosemwa
Huna Adabu ww Huwez kuwaambia Masheikh Maneno hayo
@@AbuuOthmanhao masheikh si ni wanadamu au Malaika hawafanyi makosa?
@@rogertuga007 kwahyo wakiwa Ni wanadamu Ndy Uwakosee Adabu Half pia watakiwa Ujifkirie Ww Na huyo Sheikh Muharram Mziwanda Ninan Nani Yan Ww hvyo ulivyo Unaweza kusimama Na Sheikh Muharam mziwanda Au unaropoka Tu hapa kwenye Coment
@@rogertuga0071à
Utafauti upo tunaposema kama mtume ni sababu ya sisi kufutiwa dhambi na yy ni mfuta dhambi ni tafaut...... Katika Lugha kuna Kisababishi na kitendeshi....
Mtu wa maulidi kuongea mbele za watu wanaweza vizuri sana atatoa hadithi hii na ile lkni akiitwa kwa mjadala siku fichi huwa hawezi ongea vile akiongea mfano sabas alijibiga kifua lkni alipoingia katika mjadala alibakia mdomo wazi ooh majazi
Ndio toeni hadithi sahihi ambayo yasema maulidi si haramu kelele nyingi
Na wewe toa hadithi sahihi kua maulidi ni haramu porojo wewe
Wee mzee unachanganikiwa sasa kwani suna nini acha pelepeche acha bidaa
Kwendeni huko anachokolewa nini ukweli ndio huo hamuutaki hamjaitwa hamhalazimishwa hamtaki na nyie kuwasikiliza wasomi wengine heshima iwepo Bachoo kwani kasoma peke yake kafahamu peke yake ni ushindani tu na kutokuwa Allaah amhidi amtanabahishe achokonolewe kwani yeye pweza
Mtu kua na ufasaha wa kusema haimaanishi yupo sahihi. Uzushi ni uzushi hata useme kwa ufasaha.
Je Muhammad yuko wapi sai
Amefariki kama walivyofariki mitume wengine! Ulitaka kusemaje?
𝑴𝒂𝒔𝒉𝒂𝒂𝒍𝒍𝒂𝒉
Sheikh Mziwanda , ikiwa kuna makosa, wajibu ni kuyakubali , hapo hamna kesi. But kue na makosa kisha mukatae.. tetesi zaanza hapo
Makosa yako wp bro hapo kapiga mfano hajakwambia kma kwly kuna makosa 30 waelewa kiswahili lkn
Maelezo meeengi mbwembwe nyiiingi
Jibu maswali yafuatayo
Mauridi ni ibada?
Kama imada zipi ngozo zake au shurutwi zake?
Na km ni uzushi mnafanya kwa mafundisho yapi?
Sasa kuhusu kusoma Quran si kuna aya inasema tusome Quran. Hapo kwenye Hitama na Maulid kuna aya ipo au hadithi?!
Kuhusu mfumo na namna ya kufanya sawa Ibadatun Mujmala ni lazima isemwe kwanza kuwa hiyo ni ibada kisha ndio mfumo wa kuifanya tuamue.
Elimu ndogo nisumu
Wafundishe wasio taka kusoma
Nimekukubali sana uliposema kua nyinyi hayo ndo mambo yenu midomo inawawasha mnaona mnaharibiwa kuwa mtakosa kujaza ubwabwa wa mfunguo sita 6 katika matumbo yenu Mcheni mola acheni Porojo duh wewe umetoa mfano wa swala ya jeneza wakati IPO na imewekewa sheria jibu hoja 19 usibwabwaje tu.
Mashllah Mashllah waelimishe hao kila kitu haram haifai .wasomi wao tu uuu.Allah tufunguo nyoyo zetu tujue jema na baya .Ameen
Mawahabi shekhe kama huyu na hekima yake na tawadhuh yake mtapata wapi?asante kwamaneno ya dhahabu.
Kwasabu wewe hujielewi ndio unamuona shekh
samahani hapo chini nekusudia DHUNUUB sio DHUUB
Allah azidi kutuwekea wanazuoni kama hawa na sio wale wenye kutugawa na kujaza chuki miongoni mwetu
Naam sahihi kabisa
Huladhimishi kusikiliza bwana ww
Waislam mnatuchosha sisi tulio njee yenu, Kama ilikua ni moja mbele maturudisha hatua 10 nyuma kwakuto kua na misimamo ninyi Kwa ninyi kwakuhitilafiana kwenye.
Ihtalaf ndy Dini yenyewe....Dini Ni mapokezi na sisi Ni binaadam hatuelewi Kama anavyoelewa Mtume S.A.W
Acheni kubadilisha mambo eti makosa kana kwamba ni makosa ya uchapishaji. Hizo ni itikadi mbovu za kiimani uongo na Ushirikina. Hajatukanwa mtu hapo kimesemwa kitabu lkn nyinyi mnamshambulia mtu badala ya kutetea hoja kwenye kitabu
Ulikua umelala?
Kasome
Tatizo hufahamu tu tofauti
Nyie ndo mnamharibu mtt wa wabachu
Shekh nimekuelewa sana na maneno yako yana make sense
S mumpe dalili
Na huyo ni Bachu tu
Je wakija majembe ya kisunna hapa. Masheikh wa ki bidaa mnakazi sana kulaimisha bidaa zenu
Tokea dunia ianze hakuna Wahabbi yoyote aliyewahi kukilembea Kitabu Cha Barzanji kwakua pamoja na uwahabni wao,pamoja na usunna wao hawakuwahi kutupa Kitabu hata baba yake Bachu tumesoma kwake Marehemu sheikh NASSOR Bachu hakuwahi kukilembea chini Kitabu Cha Barzanji pamoja na kwamba hakua akikubali Maulidi
Yeye Muhammad Bachu kapata wapi uhodari ule kama si ujinga mkubwa uliomtawala kichwani na kutaka kuonesha Itikadi yake ya Kiwahabbi?
@@AhmadaTahir-cu8se je mwaitaka haki ama watu
Nikupe mawili tu kutoka kwa hadithi za RassuliLlah 1. "al halaala bayyinu wa haraama bayyinu". 2."Bada'al Islama ghariba wasayau'udu ghariiban kamaa bada'a. Fatuubu lili ghurabaa"
Additionally muqaddima maarufu kabisa ambao hata masheikh wenu wa bidaa wanausoma ila wanaukimbia sehemu hii "kullu bidaa dhwalala, wa kullu dhwalaala fi nnar".
Waulizeni je wanapokimbia eneo hili ni kwamba Mtume wetu hajui kuliko wao ama wao ni bora zaidi yake ama je RassuliLlah alitudhulumu katika ufikishaji wa dini ya Allah nao ndio wanaojua zaidi yake. Mnakomaa na bidaa lakini hamjui kwa nini inapingwa? Kiasi mmojitoa akili ati. Omba Allah akufanyie wepesi kujua yaliyo sahihi ndugu yangu katika imani.
@@AhmadaTahir-cu8se ndugu yangu kushikilia mambo ambayo hayapo wala hayana ushahidi wa Sunna, wala Qur-an je ni sahihi na je kuyafanya hayo inamaanisha RassuliLlah alitudhulumu kwenye kufikisha kwake kwa yale aloteremshiwa na Allah? Ama je Allah ametuhadaa kutuambia ameshaikamilisha dini? Na je kwa kuwa dini imekamilika huoni kuwa kuongeza kitu katika dini ni uzushi na dhulma kubwa. Tumrejee Allah kwa usahihi ndugu yangu nakusihi
@@AhmadaTahir-cu8sehuo utakua ujuha Sasa kushikilia jambo ambalo mtu alishaomba Msamaha na kutoa ufafanuzi wake. Jambo la msingi ni hoja tu zijibiwe na sio porojo nyingine
Yaan TU eti kisa mtu kaongea kifasaha ndio bidaa itabadilika kua haki? Bidaa itabaki kua bidaa t
KUNA MUNAQASHA UNAANDALIWA MOMBASA INGEKUWA VIZURI KAMA UNGEENDA NA WEWE UKAYAELEZE HUKO ILI UWAOKOE WENZAKO WA MAULID SIO UNASEMASEMA VICHOCHORONI
Kumbe mnajua makosa yamo ktk Barzanji??? alhamdulillah kwa kudhihirisha Bachu alikua sahihi.
Fata haki usifate ushabiki Rudi kusikiliza vzr utafaidika
Sikiliza kwa kutaka kuelewa... usifanye dini kama ushindan wa ccm na chadema, au Yanga na Simba
Siku watu wakianza kutoa makosa kwenye vitabu munavo fuata mtakimbia mitandaoni
Acha Ushabiki na Ushakunaku katika Dini
Kaa chini usome
@@rjqaasam4587 nikikubali barzanji tayari elimu ninayo,ukikataa huna elimu.
Kama ni kuhusu kutawasali mutawasali vile mtume alivyo fundisha na vile maswahaba walivyo fanya na kuelewa,mukifanya kinyume ta hivyo,hio ndio inaitwa bidaa,taani jambo mumelifanya,ilihali mtume na maswahaba hawakufanya na walikua wanaweza kulifanya,mpaka walipo wata kufanya ni kwamba halina nafasi katika dini,hivi nyinyi mwajua zaidi munazua mambo ambao,walivyo mjua mtume zaidi pamoja na kumfuata hawakufanya,eti nyie mwajua sana.
Tahadhari na hizo bidaa
Kma wao wanafanya wwe fanya alivyofundisha Mtume km maulid ni ya kwao wwe hayakuus nenda peponi pekeyako
HUYO BACHU NA WATU WAKE NI MASHOGA HAO MSIPATE taabu nao
Akhy hatakm anakuker ila isifike hatua yakutoa shutm Kam hizo utaend kuulizw juu ya ulilolisem
Dawa imesha kungia tubu ndugi yangu ila kma utakufa na itikadi hiyo jiandaeee
Oya mzee ukitaka kuitetea maulidi na barazenji uwe na ushahid sio unatupotezea bando
Wewe SEMA TU
Wanyama waliongea na miti ilisugeleana kuambizana habari ya juingia mimba ya mtume.
Kwa ushahid wa maandiko hadithi sahihi za mtume,Quran au maswahaba dalili.
Sio unatupotezea muda kama wenzio
SAWA
Sisi ndio wafuasi wa sheikh Mohammed bacho (SIMBA) HATA wewe unamuogopa kukutana nae.
Simba kiunguruma
Msitu wote una tetema
Hayo makosa ambao ni kidogo,munao sema yapo baso yaondosheni,musiendelee kufanya kosa baada kuwa mushalijua nikosa,hayo ndio ambao munapingwa
Yako wp hem tuambie
Kisha kasema albany alihdhwafisha hadithi swahih bc pia msitumie zitoweni mbn hujasema kma shekh kasema
Ww hujamuelewa shekhe ndio mana hamuelewi na bachu wenu hajasema kuna makosa rudia tena usikize na uwelewe ndugu ikili zenu zitulize mukiskiza maneno
Makosa gani ww hujaelewa tuliza bongo unapo sikiza mawaidha
Sina mda mchafu wa kuskiliza mijitu ya bidaaa kama hiiii
Et huyu na n mtu w suna Hilo Jina t pavilion linakusuta kusema n mtu wa suna unaambiwa hakuna kitabu chochote kic chokuwa na kasoro unachokic Kia ww I'm pokuwa kur aan vitabu vmetungwa na wanachuoni nilazima kunatafsiri amepatia na nyingine amekoc ea kwa alwah Ana malipo Mara mbili akipatia na akikocea Mara moja kw jitahada zake acheni ushabik w matuc utakwenda kukutana na alwah na mutatafuta majibu y matuc ynu!
Kiigizo chetu ni mtume wapi mtume alifanya maulidi acheni kuwadanga watu mtakuja juta
Mawahabi kusoma wanapiga chenga
Shekhe kama huyu SI wa kumsikiliza ni katika makundi 73 yeye yumo kwendi 72 SI wa kufata waislam tusome tuache ushabik nusura yetu kw alla kitabu na sunna maulidi SI sunna na mtu akizaliwa ni hakinka hihi mtume mohamad sw kafa ndo tunasherekea huku ni kujinasibisha na mayahudi na manaswara
Je wewe umesoma?
Ukiona mtu kakosolewa uliza upate faida SI kufata mkumbo baranza inje Haina dalili ndo maana inagawa waislam na SI ibada Tena na ukishiriki unapata mazambi
Maulidi ni bidaa kesho mutaenda kumueze mwenye zimungu mumeitowa wapi hii ibada ya Maulidi acheni bidaa itakuigizeni kwenye moto
Wacha kuingiza wenzako moto ww
Wemwenyew bidaa
We ibnabdalla .. skiliza vizuri .. shekhee ashamaliza hapo hayo ndo mambo yetu .. we mwenyewe unasema maulidi bid3ah bachu mwenyewe hajasema maulidi hayafai ... shekhe kauliza hapo kma 30 tu ndo makosa mazuri ni mangapi hehehe nyie ongeeni huku maulidi twasoma ...
Mziwanda usitafte uchochoro km ww unahoja uwanja upo wazi njoo zamu yako
😅😅😅😂Kwani hana akili timamu umeona
Mashallah, shekh Mziwanda ninaomba siku moja ufike hapa kwetu Tarime.
Mawahabi mtapata tabu sana
Mawahabi watabatatabu we shamanism?
Mawahabi watapatatabu we ushajijuwa?
Acha uwongo wewe barzanj sote tunajua nimuongo na huyo albani unamjua leo kama ni mwanachuoni mbona mukimtukana hamsemi
Chuki zko huyo bachu kasom wp anarembea kitabu wahabi mtakufa vinywa wazi ndmn nutmru hmn wala uchamungu mpo na machuki tu tutasom barzanji mpk kufa kwetu hatuwez kukufa ten nyie mazombi majuha
Hata wewe mziwanda humuogopi allah unasimama unatetea vitu ambavyo unajua sio dini wala sio ibaada kwa ajili ya njaa zako iyogope siku amboyo kwake utarudishwa utaenda kujibu nini wewe
KAPIGA KWENYE MSHONO W MAMAKO AKILI HUNA NA MTABAKI HVYOHVYO NASISI hatuachi kusoma maulidi
kitabu Cha barzanji kinasema YAA MAHIYADHDHUUB ewe mwenye kufuta madhambi hakijasema YAA SABABU MAHIYADHDHUUB. enyi masufi wacheni urongo
samahani hapo chini nimekusudia DHUNUUB sio dhuub
@@user-qm4qd8yk2x kufuta madhambi ndio kazi ya mitume wote sio tu Muhammad alaihi salaam. Wamekuja kuipiga vita dhambi .. huku ni kufuta dhambi.
Mnachanganya kusamehe dhambi na kufuta dhambi.. acha tu hiyo Allah amempa nafasi mtume kuwaombea watu msamaha pale wanapomuendea
وَمَآ أَرْسَلْنَا مِن رَّسُولٍ إِلَّا لِيُطَاعَ بِإِذْنِ ٱللَّهِ ۚ وَلَوْ أَنَّهُمْ إِذ ظَّلَمُوٓا۟ أَنفُسَهُمْ جَآءُوكَ فَٱسْتَغْفَرُوا۟ ٱللَّهَ وَٱسْتَغْفَرَ لَهُمُ ٱلرَّسُولُ لَوَجَدُوا۟ ٱللَّهَ تَوَّابًا رَّحِيمًا
Na hatukumtuma Mtume yeyote ila at'iiwe kwa idhini ya Mwenyezi Mungu. Na lau pale walipo jidhulumu nafsi zao wangeli kujia, wakamwomba Mwenyezi Mungu msamaha, na Mtume akawaombea msamaha, hapana shaka wangeli mkuta Mwenyezi Mungu ni Mwenye kupokea toba na Mwenye kurehemu.
Shekh mziwanda uko na hali mbaya sana tatizo unatumia akili yako kuliko dalili,mashaallah Allah amekupa kauli nzuri ya ushawishi ila napenda kukutanabahisha usipende kuitumia akili yako kuliko dalili kila kitu kipo kwenye kitabu wanazuoni wamevibainisha vyote angalia sana maneno yako utakuwa mas'uula
Wew ulo na dalili hemu tuambie wew utakuwa unajuwa zaidi na huyo mziwamda hajasoma upo wapi nije kusoma kwako
@@MaalimYussuf-qy9ic assalaam alykum warhmtllah wabarkt akhy njoo tanga Daarul ssalafiyya markaz ya pongwe kwa kasim mafuta
@@MaalimYussuf-qy9ic kwani kwa hakika hii elimu ni dini basi angalien munaichukuwa kwa wakina nani dini yenu (elimu yenu )karibu upate elimu sahihi na maarifa sahihi kwa dalili za wema waliwotangulia ili hawa mashekh wenye kuzifuata hawaa za nafsi zao tuwanasihi waweze kurud darasan au kukaa katk njia ya sawasawa