UFUNDI WA SHEIKH MZIWANDA AKIIELEZEA BID'AA - SHEKH MZIWANDA

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 1. 05. 2024
  • UFUNDI WA Shekh mziwanda akizungumzia bid'aa#twariqa online tv

Komentáře • 26

  • @ramadhanitwahili6837
    @ramadhanitwahili6837 Před 3 měsíci +1

    sheikh mziwanda ulivyo viongea vyote ni vizuri na asiekuelewa uyo atakua mbinafsi.

  • @shabanimwinyiwiwa754
    @shabanimwinyiwiwa754 Před 3 měsíci

    Ufanisi mkubwa sana wa maneno Hamdulillah allah kutupa katika huu umma Shekhe na mlezi wa Masuf

  • @user-zs6qg7ql1i
    @user-zs6qg7ql1i Před 3 měsíci

    Mashaa Allah hakun wahabi alosom zaid yk never ever wote kazi upingaj tu wao n ufitinishaj na malumabn hawana elimu hat moja

  • @seifsalum3018
    @seifsalum3018 Před 2 měsíci +1

    Kwel al imam shafii hakukusea masufi ni mapumbafu hayana akili hata kidogo

  • @rushu1232
    @rushu1232 Před 3 měsíci +2

    Kuwa nailmu nakusoma Macca au Madina haimanishi kuwa ndio munashinda watu waulimwengu wote tafauti ufahamu wenu ni mdogo na haina baraka sikikia ilimu yenye baraka naijaza huyu sheikh Mziwanda.

  • @user-tw4nf6bv8b
    @user-tw4nf6bv8b Před 2 měsíci

    Kwakua hadhira ni tupu uwezo mdogo ktk dini basi anatamba anavyojisikia
    Lkn anachokifanya ni balbala uwongo na khiyana fundi wa kugeuze na kupindua maneno
    Muhim ni hicho cha Hao wenye kukusikiliza wasome nandipo watakapo bainimiwa na Haq hiyo mnayojitahidi kyificha3

  • @shabanabdullaziz9934
    @shabanabdullaziz9934 Před 3 měsíci

    SHEIKH JINGA KABISA HILI - Sasa mmeanza kubadilika ktk qauli zenu.

    • @mhusinigau3231
      @mhusinigau3231 Před 3 měsíci

      Kauli ipi kabadili au ujinga unao ww kwaua huelewi anachokisema. Nadhani unaelewa anachokisema ila ujinga umekutangulia

  • @user-ix3pl1ey6n
    @user-ix3pl1ey6n Před 3 měsíci

    Yan Bado huja muelewa abudu haulla

  • @ramadhanimtetu3656
    @ramadhanimtetu3656 Před 3 měsíci

    Sheikh Mziwanda Rudi katika Haki
    Umri unaenda Acha Kutetea Bid'aa
    Kwa kuzungusha Zungusha Maneno
    Bid'aa ni Bid'aa tu

  • @user-ju1iq1pu3i
    @user-ju1iq1pu3i Před 3 měsíci

    Ikiwa sheikh Hali hiyo ,wanafunzi watakuwaje ,ni aibu Kwa mtu mwenye kujinasibu kuwa na ufasaha wa kusema ,kutetea Bidaaa

  • @huseynmaitaya9002
    @huseynmaitaya9002 Před 3 měsíci

    Muongo we , kwanza sie hatusemi kusoma kwa njia ya marhalah ni ibada tofautisha mambo wewe , wala hatusemi asie soma kwa njia ya marhali ni mkosefu kama mnavyo sema nyinyi katika maulidi kua ni ibada na kukufurisha watu wasio yaadhimasha kama nyinyi

  • @AllyAhmad-zg2yp
    @AllyAhmad-zg2yp Před 3 měsíci

    Kwa iyo natukiazini ktk sala ya jeneza au sala ya idi nisawa mbona nia mzuri tu

  • @allywaziry6419
    @allywaziry6419 Před 3 měsíci

    Sheikh mjanja mjanja..

    • @abdullahmasakata170
      @abdullahmasakata170 Před 3 měsíci

      Namba alishatoa Mwambie Shekh wako Kama anajiweza aandae mnaqasha tuone ukweli upo wapi akhi na elimu itajipambanua yenyewe.

  • @user-bp6fb6wo5u
    @user-bp6fb6wo5u Před 3 měsíci

    Wewe ngoja mzee wa kazi shkh Abuu Khaula Albajuny kiboko yako atume vimondo!!! 😂😂😂😂 ukiskia jina hilo unatetemeka tumbo mziwanda!!! 😅😅😅😅

  • @abuumansoor
    @abuumansoor Před 3 měsíci

    Kalaga bao na ujinga wako....Tunamshukuru Allah kuwa Masalafi...Sisi tunaona unapuyanga!

    • @shabanimwinyiwiwa754
      @shabanimwinyiwiwa754 Před 3 měsíci

      Unaelewa kitu gani sasa

    • @abdullahmasakata170
      @abdullahmasakata170 Před 3 měsíci +1

      @@shabanimwinyiwiwa754 Hawaelewi chochote zaidi ya mawazo yao na itikadi yao tu.

    • @mhusinigau3231
      @mhusinigau3231 Před 3 měsíci

      Wewe mtu mjinga hutamuelewa hao mashehe zako wajinga wanamuelewa anasema Nini ila ww huwezi kumuelewa wkt hao mashehe zako wenyewe wa kiwahabiya ujinga ndio unawasumbua lkn wanamuelewa anasema nini

  • @Harunery
    @Harunery Před 3 měsíci

    Huu ndo ufundi 😂😂😂kashabomolewa kakimbia barazani

  • @Ochuminho
    @Ochuminho Před 2 měsíci

    Mnavyokosea ni kua hua mnatumia akili kuliko nukuu ya kisheria, kama itakua akili haikubali japokua ni sheria hamuikubali... Kukiwa na jambo la kisheria Rudisha sehemu ya sheria lugha peleka sehemu ya lugha... Hem wacheni mambo haya msijifanye mnajua sana lugha wakati mtume alikua fasaha kuliko yeyote.. Sasa mambo ya mafuhumu mukhaalafa mmeanza kujua ninyi leo.

    • @user-ev7dh1np3w
      @user-ev7dh1np3w Před 2 měsíci

      Kwa maelezo hayo bakwata kwenye mwezi wako sawa?

  • @abuunaraimansalumal-shaib9260

    Unaongea vizuri tena kwa vituo na pia unaeleweka lakin kwa mwenye maarifa anajua sasa huendi tena kielimu sasa nahisi unatuabisha sisi tunaochota elimu kutoka kwako mzee

  • @shabanabdullaziz9934
    @shabanabdullaziz9934 Před 3 měsíci

    SHEIKH JINGA HILI KWELI. SWALA SIO MARHALA KUANZISHWA BAADA YA SALAF BALI SWALA NI KUANZISHWA KISHA WAANZISHAJI WAKAITAKIDI NI IBADA. Wewe SHEHE lini utaelewa, akili yako ndogo sana kuliko ya mende. KILA SIKU UNAAMBIWA TOFAUTISHA KUZUSHA WA JAMBO KISHA WATU MKASEMA NI IBADA.