Sheikh Dedes wa Twariiqa YA QAADIRIYAH ABAINISHA UKWELI Kuhusu Swaum Ya 'Arafah

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 7. 07. 2022

Komentáře • 24

  • @AbdillahisaidSuleiman

    Mashaallah

  • @msabahaali758
    @msabahaali758 Před 2 lety

    Alla akupe umri na afya sheikh Dedes kuisema hakki sio jambo rahis

  • @sadikisemwali4516
    @sadikisemwali4516 Před 2 lety

    Aamiyn sheikh umejivua katika dhimma maana umebainisha ukwele Allah atuongeze

  • @jumaevarist9103
    @jumaevarist9103 Před 2 lety

    Shukran shekh dedes tumekuelewa

  • @kakekofarniture.5375
    @kakekofarniture.5375 Před 2 lety

    Barakallah fiih

  • @alkhalilmussa5633
    @alkhalilmussa5633 Před 2 lety +1

    Aaaaaaa sisi hatukufuati watakufuata wanafunzi wako tu

  • @mdimistudio6041
    @mdimistudio6041 Před 2 lety +1

    Hahahha maelezo hayana adabu ya ikhtilafuuu nisamehe mzee

  • @abubakarhussein2186
    @abubakarhussein2186 Před 2 lety

    Hijja ni pahala pamoja kwa mahujaji sio wafungaji

  • @zakariasuleiman4113
    @zakariasuleiman4113 Před 2 lety +2

    Huyu mwanzo sio mtu wa twarika Hilo la kwanza Mana tafsiri tu ubwaaa then mwamshabihisha na twarika ayumo pmoja na utafiti wake Mana kiongozi wake kamtaja hapo eti Mohamed bachu na twamjua sie mtu wa twarika hhhhh urongo auna mahali kwenye dini

  • @hamadali3231
    @hamadali3231 Před 2 lety

    Nyinyi ni wanafiki wa kubwa.kwakua munawaambia wafuasi wenu wafunge siku watu watao simama Arafa lakin waswali majumbani mwao

  • @jamalsalum8726
    @jamalsalum8726 Před 2 lety

    Mtume amesema tufunge siku ya arafa sio siku watu wanasimama arafa, na siku ya arafa tunaipata baada ya muandamo wa mwezi wa dhulhijja tunahesabu mpk tarehe 9 dhulhijja ndio siku ya arafa, na na kila watu na muandamo wao, na imamu wa Makka anatangaza kisimamo cha arafa sio funga ya arafa.

    • @jamalsalum8726
      @jamalsalum8726 Před 2 lety

      Na ibada zote 2 zinategemea muandamo, haiwezekani Swaumu ya Ramadhani tufuate muandamo hlf swaumu ya arafa tufuate kisimamo, kisipokuwepo hicho kisimamo kw ajili ya dharura tunafanyaje?

  • @hamadali3231
    @hamadali3231 Před 2 lety

    Vp kwani serekali inawakataza watu kumuabudu Allah

  • @abubakarhussein2186
    @abubakarhussein2186 Před 2 lety

    Una tatizo la mafahimu sheikh kwahyo unataka kutuambia waliofunga huko zamni pia walikuwa wanakosea na walikuwa hawalipwi c ndio?

    • @faridithomas4859
      @faridithomas4859 Před 2 lety

      umeelewa lakini alichosema sheikh lakini!??

    • @khamismwadini2169
      @khamismwadini2169 Před 2 lety

      Wewekijana shekhewako kakuambia hiyo ndiyohaki km unaikubali sawa km huitaki iwache ,Allah humuongoza amtakaye

    • @abubakarhussein2186
      @abubakarhussein2186 Před 2 lety

      @@khamismwadini2169 huyo wala si maasum neno lake linaweza kurejeshwa pia kwanza anadai kafanya utafiti wa siku tatu ndo kajua hiloo duuuuh mm siingii kwenye jambo ila kwa dalili zeny kutosheleza ka sitok kwny jambo pia kwa dalili hajanipa dalili zenye kukinaisha kweny hilo

    • @damondhamonaizbadowangu4559
      @damondhamonaizbadowangu4559 Před rokem

      @@abubakarhussein2186 cku ya arafa ni mwez tisa

  • @selemankishema5780
    @selemankishema5780 Před 2 lety

    Hamuaminiki nyie hata siku ukija huku utakuwa kama wajinga wenzio

  • @universitylink
    @universitylink Před 2 lety

    Mashaallah