RC CHALAMILA AVAMIA DANGURO MWANANYAMARA, AWAFUKUZA MADADA POA

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 6. 09. 2024

Komentáře • 710

  • @RamadhaniLukambuzi
    @RamadhaniLukambuzi Před 10 měsíci +34

    Safi sana kwa kukemea uchafu huo Mkuu Rc Chalamila!👏👏

  • @angelinasendwa8633
    @angelinasendwa8633 Před 10 měsíci +23

    Tumuombe sana huyu mkuu wa mkoa na.hakika ni Mungu Baba ndani yake ..shukrani kuu ikufunike na wote wanaolitakia mema Taifa hili....Madaraka halali ni kusudi la Muumbaji wetu..ndiyo maana Mungu Baba aliye hai huyafuta machafu kupitia aliyemkusudia..🙏🙏🙏

    • @user-bx3kl4hn6j
      @user-bx3kl4hn6j Před 10 měsíci +1

      Siasa2 hakuna lolote hata bashite alifanya ivi lakini hakuna kilichoendelea

    • @user-zc1qh6ti2p
      @user-zc1qh6ti2p Před 10 měsíci

      Uongozi niwatu Sasa Kama hamumpi ushilikiano atafauruje?
      Acha ujinga tuungane kumuombea kwa jambo hili jema.

    • @user-bx3kl4hn6j
      @user-bx3kl4hn6j Před 10 měsíci

      @@user-zc1qh6ti2p ushirikiano upi sasa hapo unaoutaka yy mwenyewe fisadi anajipatia pesa kwa dhulma

  • @pispaakim5123
    @pispaakim5123 Před 10 měsíci +5

    Ubarikiwe Mkuu wa mkoa, Mungu mtunze mtumishi wako chalamila, bado wanaotembea na shumizi barabarani

    • @pispaakim5123
      @pispaakim5123 Před 10 měsíci

      Bado wanaotembea nusu uchi barabarani

  • @batashqiraa9936
    @batashqiraa9936 Před 10 měsíci +2

    Asante mkuu wa mkoa umewaokoa watoto wetu wadada na wamama kwa kweli mambo haya yanashusha hadhi ya wakinamama

  • @johnbilusha8522
    @johnbilusha8522 Před 10 měsíci +18

    Be blessed mkuu 🙏🙏 maana hakuna DINI yyte inayoruhusu biashara halaamu hiyo...

  • @salumally663
    @salumally663 Před 10 měsíci +7

    Safiii sanaa...naombaa ujeee hata huku Toangoma sheli.mungu akulinde

  • @user-hf2kk9xx6t
    @user-hf2kk9xx6t Před 10 měsíci +4

    mimi nashangaa watu wengine wanatetea ,eti walikuwa wanatapa riski, sasa kwan wasiponunuliwa tuseme mtakufa njaa, RC chalamila umewaokoa dunian na mbinguni, big up

  • @abuahmad6432
    @abuahmad6432 Před 10 měsíci +22

    Hatuna cha kukulipa ila tunakuombea kwa mwenyezi mungu akulipe mema kwa kazi hii ya uadilifu kiongozi wetu

  • @ramadhanjuma610
    @ramadhanjuma610 Před 10 měsíci +3

    Uyu mkuu Mungu amlinde jamani ivi kwanini serekali amzui uchafu kama huu dar mkuu Nina Imani imani yako ime kufanya ufanye ivi Mungu akulinde Amina 😭😭

  • @AsumaniYohana
    @AsumaniYohana Před 10 měsíci +7

    Ongera sana kiongozi kwa kazini zuri.unaposwa kuongezewa cheo❤❤❤❤

  • @nestorymuhoja3779
    @nestorymuhoja3779 Před 10 měsíci +4

    Nimefurahishwa sana na hatua za kijasiri sana alizozichukua Mh. Chalamila mkuu wa mkoa wa DSM. Mambo haya aliyaanza kuyatekeleza Mh. Paul Makonda, lakini wakosoaji wakaingilia kati na kufanikiwa kudhoofisha operation hii nzuri. Uchangudoa siyo biashara lakini ni kugandisha akili kwenye deli la ascrm na baada ya muda mfupi shida na, malazi, umasikini, uvivu na ujinga hurudia asili yake. Mungu akutie nguvu Mh mkuu wa mkoa, CCM ina viongozi bado mahili sana lakini wanahaki za binadamu na waliozoea kula bila jasho watalaani na kuingilia kati kazi hii nzuri, msitokee hata mmoja, halipo tàifa linalofanikiwa bila kuchapa kazi za kufa na kupona. CCM oyeee!, Chalamila chapa kazi brother, umenifurahisha sana!!!

  • @morrisairo8267
    @morrisairo8267 Před 10 měsíci +7

    Heko sana RC Chalamila!
    Nimevutiwa na msimamo wako, huu ujinga ukomeshwe!!

  • @maruhe1958
    @maruhe1958 Před 10 měsíci +20

    Mungu akutie nguvu mkuu, asante kwa kuamua kulivalia njuga safisheni dsm yote, kwa nini watu hawataki kimtafuta Mungu?

  • @osodowilberforce2321
    @osodowilberforce2321 Před 10 měsíci +11

    Na huyu ni Mkuu Wa Mukoa kweli.Haya niliyaona wakati wa Hayati Mzee Jomo Kenyatta miaka ya sitini na sabini kwetu hapa Kenya.Mungu awasaidie ndugu na dada zangu na majirani wazuri Tanzania.

  • @RoseJumanne-yo3ls
    @RoseJumanne-yo3ls Před 10 měsíci +4

    Mungu akutangurie kukemea dhambi ni kufanya kazi ya Mungu

  • @paulajohn7901
    @paulajohn7901 Před 10 měsíci +2

    Mwenyezi Mungu ameanza kutuinulia watu wa kuiokoa Tanzania yetu.Barikiwa Mama Samia na viongozi wako wenye uzalendo

  • @jafarinauma6798
    @jafarinauma6798 Před 10 měsíci +2

    Mungu akubariki mnooo RC wetu endelea kufanya kazi sisi tupo nyuma yako ili ni jambo kubwa sana umefanya wameshindwa wengi kukemea hili wewe ni shujaa

  • @aminaomary5567
    @aminaomary5567 Před 10 měsíci +1

    Kweli Rc kazi nzuri sana na DC,Meya na watendaji wote.Yaan hii tabia ikomeshwe kwa sababu bila kubomowa nyumba hizi hataludi tena humo.Bomoa kabisa.

  • @berthasamwel9955
    @berthasamwel9955 Před 10 měsíci +1

    Namshukuru MUNGU kwa jambo hili kumtumia mkuu wa Mkoa, wengine tulipita mitaani kukemea kwa sura ya dini, sasa MUNGU Ameitumia serikali. Barikiwa sana kwa hili

  • @aishakamuli2541
    @aishakamuli2541 Před 10 měsíci +15

    Kwa kweli nakuunga mkono kwa kile unachokisema hata kina mpendeza mwenyezi Mungu ❤❤❤❤

  • @hono1232
    @hono1232 Před 10 měsíci +38

    Sasa shughurikieni pia watu wa mapenzi ya jinsia moja pia !

    • @abdallahrenatus6677
      @abdallahrenatus6677 Před 10 měsíci +1

      Hili ni muhimu zaidi.

    • @godlistengodlisten7552
      @godlistengodlisten7552 Před 10 měsíci

      @@abdallahrenatus6677 WAPUUZI WENGINE NI VIONGOZI WA NCHI HII NDIO WANAWATUMIA MASHOGA.

    • @MrA24G
      @MrA24G Před 10 měsíci

      Tena shughulikieni sasa ya jinsia moja mashoga na wasagaji jtahdini Kwa hao maana hao mpk haki za binadam sasa hviii wanawalinda chalamila deal na mashoga na wasagaji maana hiyooo ni laana kbsaaà hata Kwa taifa.

    • @suleseif2678
      @suleseif2678 Před 10 měsíci

      Safi

  • @valenakomba9218
    @valenakomba9218 Před 10 měsíci +5

    Tanzania, Asante mkuuu wa mkoa. Mungu akubariki Sanaa.

  • @Mudymnyama-xp5ou
    @Mudymnyama-xp5ou Před 10 měsíci +7

    Mashallah Allah Allah akuongozee kwa kazi zk kiongozi mwadilifu❤

  • @hadijarajabu7198
    @hadijarajabu7198 Před 10 měsíci +5

    Mungu akutangulie baba, hakika hili ni tatizo kubwa sana kwa vizazi vyetu

  • @dullahtechtz3422
    @dullahtechtz3422 Před 10 měsíci +1

    Hongera sna muende na sugar ray temeke tandika na sinza ambiance

  • @johakhimu.mgembe.3297
    @johakhimu.mgembe.3297 Před 10 měsíci

    Hapo Safisha,lakini wasaidieni kiuchumi Wabadirike kiakili na kiuchumi.na Ugumu wa maisha Tz. Siasa ziwe huduma kiuchumi Wasaidieni jamii kuwawekezea kiuchumii.Watu upenda maendereo. na Siasa porojo,hongera.M/Mkoa.upongezwe, kwa hilo.

  • @husseinbigga8021
    @husseinbigga8021 Před 10 měsíci +4

    uyu mwamba anaongea.. hii speech ni km amendikiwa sem flan imepangika.. King Chalamila himself💪💪✌

  • @edinafaustinez8514
    @edinafaustinez8514 Před 10 měsíci +6

    Umefanya vzr sana mkuu wa mkoa ..na mungu akurindee 🙏

  • @AmeenaTanzania
    @AmeenaTanzania Před 10 měsíci +1

    Mungu akulinde Kila atuwa unayo piga kwa kutetea taifa linapotea nguvu kazi inaangamiya yani watoto wetu mpaka wakiume jamani ili nijanga kwa kweli mungu tusaidie

  • @OmanOman-dd5qk
    @OmanOman-dd5qk Před 10 měsíci +1

    Mkuu bado la tandika dabokibini wapo kabomoe nako mungu akulindenamahasidi uposahihi majalibio mbande zipo nyampopo na mikumi fuatilia

  • @skjjsj1889
    @skjjsj1889 Před 10 měsíci +1

    Mkuu wa mkoa shikamoo
    Mungu akubariki kwa kweli huo uchafu na njia mbaya kabisaa umelikemie na kuwafukuza ahsante sn

  • @promaInvestment01
    @promaInvestment01 Před 10 měsíci +2

    Big Up...
    Uishi Miaka Mingi umeongeza Maneno Kuntu.. Mashaa Allah.

  • @azizimasenga3893
    @azizimasenga3893 Před 10 měsíci +1

    Mwenyezi mungu,msimamie huyu Mja wako kwakukemea Mambo ya kishetwan,Na umpe umri mrefu wenye baraka pamoja na famiria yake.

  • @fatmasalim8293
    @fatmasalim8293 Před 10 měsíci +15

    Vizuri sana brother dini yoyote haikubali mambo machafu mungu akulinde brother ameen

  • @DelphinaCharles
    @DelphinaCharles Před 10 měsíci +11

    Baba mungu akubariki kwa uamuzi huko

  • @PatrickKalinga-yw6kl
    @PatrickKalinga-yw6kl Před 10 měsíci +2

    Tunakuelewa sana mhehemwenzetu unafanyakazi vizuri sana ubarikiwe saaana🙏

  • @hafidhbarau9981
    @hafidhbarau9981 Před 10 měsíci +2

    Hongera, Mungu akuhifadhi na wenye chuki na wewe, Mungu akukweze kwenye cheo cha juu

  • @chinischinis6371
    @chinischinis6371 Před 10 měsíci +3

    Hongera sana mkuu wa mkoa,kwa mara ya kwanza leo ndo nimekuona ukiongea kana mkuu wa mkoa kazi nzuri

  • @hamisikigomba7721
    @hamisikigomba7721 Před 10 měsíci +8

    M/MUNGU awabariki sana viongozi wetu

  • @halimamfaume1925
    @halimamfaume1925 Před 10 měsíci +5

    Safi kabisa ❤ Mungu akubariki na akutie nguvu

  • @godlistengodlisten7552
    @godlistengodlisten7552 Před 10 měsíci +2

    HONGERA NA WAKATI WALIKUA HAPO MPAKA NYUMBA ZIMEZEEKA KAMA NI KUSAFISHA SAFISHENI NA HUKO SERIKALINI MUANZIE VIONGOZI WOTE WEZI ILI NCHI HII IWE SAFI,KWA KUWA MMEYATAKA WENYEWE,KUSHIKILIA NAFASI ZOTE ZA KAZI SERIKALINI,HAMUAJIRI BALI MMEZISHIKILIA NYIE.

  • @user-ud5oq3ki4m
    @user-ud5oq3ki4m Před 10 měsíci

    Mueshimiwa mungu akutie nguvu ili zoezi lizunguke tanzania nzima maadili yetu na utamaduni wetu urudi,,komesha na mavazi ya wadada wasio na adabu wanao poromosha maadili

  • @kayombotv9758
    @kayombotv9758 Před 10 měsíci +6

    Hilo ni jambo njema sana hayo ni machukizo sana mbele za Mungu, Baba wa mbinguni atakulipa pasipo shaka. Mungu akubariki sana.

  • @GwebeChief-ee2oh
    @GwebeChief-ee2oh Před 10 měsíci

    Mkuu safi sana dangulo lingine liko temeke mwisho nalo lisafishwe mkuu tusiangamie kwa kusa maarifa

  • @swahilitherapytv3846
    @swahilitherapytv3846 Před 10 měsíci +7

    Hongera sana , ametupunguzia laana

  • @amanihussein6148
    @amanihussein6148 Před 10 měsíci +4

    Safi sana Allah akupe maisha marefu mkuu wa mkoa

  • @veronicafisoo997
    @veronicafisoo997 Před 10 měsíci

    Tunamuona Mungu ktk hili kwakweli!!Mungu akutunze mkuu wa mkoa wa Dar,kwa hili umeonyesha"ushujaa"haswa ubarikiwe Sana,wengine waige kwako.

  • @SamweliMuhabwa-dr7bd
    @SamweliMuhabwa-dr7bd Před 10 měsíci +3

    Mkuu wa.....Mungu akubariki sana pamoja na Mama yetu Mama samia

  • @masakamgalla9273
    @masakamgalla9273 Před 10 měsíci +2

    niko proud sana na kazi ya Mwalimu wangu. mkuu wa mkoa. hongera sana

  • @harunarashid1650
    @harunarashid1650 Před 10 měsíci +2

    Ongera mkuu mungu akulipe

  • @AlfredSenkondo-mi3wf
    @AlfredSenkondo-mi3wf Před 10 měsíci +4

    God bless mama Samia God bless Chalamila

  • @owenswai2104
    @owenswai2104 Před 10 měsíci

    Hongeraa mnooo mkuu wa mkoa uko vizuri

  • @miriamdavis3893
    @miriamdavis3893 Před 10 měsíci +2

    Ubarikiwe mkuu wa mkoa wewe na uzao wako wa kike na wakiume ,Mungu wa mbinguni akubariki.

  • @user-wk2bg8zf3l
    @user-wk2bg8zf3l Před 10 měsíci +8

    hatari sana, mungu ibariki Tanzania 🇹🇿 🙏

  • @rajabuvumbi7926
    @rajabuvumbi7926 Před 10 měsíci +3

    Mkuu wa mkoa hongera kwa maelezo hayo, kuna vijana wanasema hawawezi kuoa kwa vile Madada poa wapo. Mambo haya sehemu nyingi mpaka vijijini muheshimiwa sio Dar. tu.

  • @user-ep2cm5xo3k
    @user-ep2cm5xo3k Před 10 měsíci

    Hongera mkuu wa mkoa kwajitiada za kutokomeza biashara aramu.

  • @skjjsj1889
    @skjjsj1889 Před 10 měsíci +1

    Mkuu wa mkoa oyeeeeeee
    Ahsante kwa hilo😊

  • @user-vx8zi2dl4h
    @user-vx8zi2dl4h Před 9 měsíci

    Asante Sana apo umesema yani nakupa big up jamani nafanyie kazi na hao mashoga ukinipa ruksa niwauwe miwakwanza manna wanatuchafulia nchi yetu mkuu yani minatamani wafe wote Mana wanaume wanazalilika kupitia uchafu wao

  • @user-ww3hb5md3v
    @user-ww3hb5md3v Před 10 měsíci

    Hongera sn rc ongezen kasi

  • @tumainimwampashi6662
    @tumainimwampashi6662 Před 10 měsíci

    Safi kiongozi MUNGU akutunze uko vizuri uovu unanajisi taifa wanaleta Lana hao kwenye nchi ....Safi nimekuelewa kiongozi

  • @lyegojaphet1964
    @lyegojaphet1964 Před 10 měsíci +1

    Mungu akibariki baba pga kaz

  • @user-jk1nb7mu2e
    @user-jk1nb7mu2e Před 10 měsíci +2

    Safi sana wewe ndio mkuuu mwenye fact zako mungu akutie nguvu naafya mkuu wamkoa good job

  • @nasmasanga1902
    @nasmasanga1902 Před 10 měsíci +11

    Safi Sana mungu akusimamie

  • @rachellaiza7779
    @rachellaiza7779 Před 10 měsíci

    Jambo zuri ienee tz nzima tabia hii inadhalilisha sana sana tanzania nzima ienee

  • @rizikiallie3266
    @rizikiallie3266 Před 10 měsíci +3

    Nakupongeza sana mkuu wa mkoa Chalamila Kwa hili Allah azidi kukupa maono

  • @fidemikaeli8145
    @fidemikaeli8145 Před 10 měsíci +6

    Safi sana Mungu akutangulie

  • @TwazihirwaJosam-vr1ph
    @TwazihirwaJosam-vr1ph Před 10 měsíci

    Big up kamamndaas💪💪💪💪💪 hiii iko pw sanaaa mwenyezi akutangulieee

  • @selemansombe4177
    @selemansombe4177 Před 10 měsíci +2

    Mola akulinde sana ndugu RC

  • @AlthMavika
    @AlthMavika Před 10 měsíci +1

    Asante Mh.Mkuu wa Mkoa wa DSM Kwa kuwapambania wa Tanzania

  • @user-ud5oq3ki4m
    @user-ud5oq3ki4m Před 10 měsíci

    Safi sana nakubali kazi yako ubarikiwe sana umeongea point sana yani kweli wew ni mzazi bora unaeiyokoa tanzania yetu

  • @festinamwakipale3919
    @festinamwakipale3919 Před 10 měsíci +1

    Mungu akulinde.charamila.tuikomboe.Tanzania barikiwa

  • @yohanekopilato-wn3lo
    @yohanekopilato-wn3lo Před 10 měsíci +1

    Kwa mwendo huu Dar itanyookaa sana Blessed

  • @user-fo1my5xq4g
    @user-fo1my5xq4g Před 10 měsíci

    hongera sana kiongoziwetu kaziiendelee

  • @lakisuleimani9112
    @lakisuleimani9112 Před 10 měsíci +1

    Safi Sana Asante sana mkuu wa mkoa kaka yetu chalamila

  • @josephfrank4446
    @josephfrank4446 Před 10 měsíci +7

    Hongera mzee❤❤

  • @MohamedChilllo-ru8vg
    @MohamedChilllo-ru8vg Před 10 měsíci

    Safi sana Mkuu wa Mkoa naona Serikali ipo kazini ,huko mmeanza ongezeni bidii kusambaratisha uvunjaji wa maadili mpaka uvaaji wa nguo fupi umezidi mitaani maadili yanapotea ila viongozi mkisimama kama hivyo ,aaaah nasikia raha sana kwa watendaji wa Mama Samia Mungu awalinde

  • @charlesrongo3615
    @charlesrongo3615 Před 10 měsíci +1

    UBARIKIWE SANA MKUU WA MKOA NA VIONGOZI WOTE

  • @MBARAKAKHAMISI-qj1em
    @MBARAKAKHAMISI-qj1em Před 10 měsíci +1

    Mbona hapa nchini Kuna zulma nyingi kwanini mmeanza naao wananchi mgeanza na serikali polisi viongozi mpaka serikali za mitaa mkaeka Sheria Kama mzee magufuli halafu ndo mkaja na wanannchi uwonevu tu

  • @jtheophil5499
    @jtheophil5499 Před 10 měsíci

    Aasante sa Rc mungu akuongoze iwe operation ya dsm nzima.Ukibomoa hapo wanaamia kwingine.Kote na iwe operation ya nchi nzima.

  • @HassanFaki-ko9wk
    @HassanFaki-ko9wk Před 10 měsíci

    Hongera mkuu wa mkoa Allah akupe kilala heri kwa kazi unayoifanya hivi ndivyo inavyotakiwa lazima kama kiongozi uondoe uchafu wa zinaaa.

  • @hamoudyahya7635
    @hamoudyahya7635 Před 10 měsíci +10

    Tumshukuru Mungu kwa kutupa raisi kama Mama Samia. Mama katuletea Chalamila.

    • @salaita2829
      @salaita2829 Před 10 měsíci

      Sasa mama samia kaingiaje hapa

  • @madamuhimu9354
    @madamuhimu9354 Před 10 měsíci +2

    Buguruni MADENGE MHESHIMIWA njoo na huku

  • @shebatimathayo8471
    @shebatimathayo8471 Před 10 měsíci

    Hongera chalamila nimekuelewa keepup Mungu akubariki.

  • @user-eh7bq5vy8p
    @user-eh7bq5vy8p Před 10 měsíci

    WAkuu was mikoa waige maamuzi ya huyo mwamba Yuko sawa hatutaki umalaya kabisa komesha ujinga mkuuu safi sana

  • @FatimaAli-of4gh
    @FatimaAli-of4gh Před 10 měsíci +1

    Tusafishie na wanaotembea uchi wanawatamanisha wanaume wanabakabaka ovyo mkuu

  • @kitotohassan9858
    @kitotohassan9858 Před 10 měsíci

    Ubarikiwe baba mm nimeachwa na mume wangu kwa ajili ya Malaya hao baba

  • @NeemaIssa-pj9yj
    @NeemaIssa-pj9yj Před 10 měsíci

    Mkuu nakupongeza kwa ilo mungu atazidi kukupa hekima na busara

  • @paciencemaumba7022
    @paciencemaumba7022 Před 10 měsíci +2

    Mkuu umechukua uamuzi mzuri sanaaa.
    Hongera

  • @muchunguzisimon7846
    @muchunguzisimon7846 Před 10 měsíci +1

    Mungu akubariki kiongozi

  • @user-zh5kn2my4w
    @user-zh5kn2my4w Před 10 měsíci

    Daaa hongeera saana Mh.Mkuu wa Mkoa ,kiukweli inasikitisha saana tulipo fikia na natamani saana MIKOA YOTE

  • @christaoman8890
    @christaoman8890 Před 10 měsíci +1

    Safi sana mkuu wa mkoa wa.dar.es salaam piga kazi big up

  • @user-mc3du2rz8l
    @user-mc3du2rz8l Před 10 měsíci +3

    Barakha zoteee tunakupa... well done.

  • @nelsonandrew2638
    @nelsonandrew2638 Před 10 měsíci +2

    Hongera sana mkuu wa mkoa wa Dar-es laam

  • @Fear_Allah394
    @Fear_Allah394 Před 10 měsíci +1

    Na wanaojiweka mitandaoni na mavazi ya ovyo nao washughulikiwe mana wanajiuza indirect.

  • @kiliannesphorylaurence826
    @kiliannesphorylaurence826 Před 10 měsíci

    Tupo nyuma yako. Mkuu wa Mkoa wetu. Mungu akulinde sana kazi njema.. sana san.. hakika d thawabu yako ipo.. mbinguni

  • @mangeraalbert7982
    @mangeraalbert7982 Před 10 měsíci +1

    Kauri njema ❤, Rc japa kazi ❤❤🇰🇪🇶🇦💯🙏

  • @valenakomba9218
    @valenakomba9218 Před 10 měsíci

    ASANTE CHALAMILA. WEWE NI MTOTO WA MUNGU. MUNGU AKUONGEZEE IMANI .

  • @wamoyothenumberone4356
    @wamoyothenumberone4356 Před 10 měsíci +8

    Kweli baba asante baba mkuu wetu wa mkoa

  • @user-ru4ix4tc4u
    @user-ru4ix4tc4u Před 10 měsíci

    Mashallah mkuu m/mungu akulinde na mahasdi❤❤❤❤

  • @user-jl1hs9ju6w
    @user-jl1hs9ju6w Před 10 měsíci +5

    Maashaa Allaahu baaraka Allaahu fiika