MAOMBI YA USIKU WA MANANE by Innocent Morris
Vložit
- čas přidán 12. 06. 2023
- MAOMBI YA USIKU WA MANANE by Innocent Morris
Haya ni maombi ambayo unaweza kuomba usiku na pia hata kama umelala unaweza kuyaweka tu ukalala yakawa yanaendelea. Tambua kwamba kuna nguvu katika maombi.
Ubarikiwe sana.
Innocent Morris
+255652796450 (WhatsApp)
Instagram Page: holyspiritconnect
Facebook Page: Holy Spirit Connect
Instagram Link:
/ holyspiritconnect
Facebook Link:
/ holyspiritconnect
CZcams Link:
/ holyspiritconnect
BWANA YESU ...MFALME WA NAZARETH Jina lako ni jina KUU, Utukufu wako ...ni wa Milele ...Ufalme wako hauna mwisho...Unijalie ...Amani, ushindi ktk vita na watesi wangu, afya , vipato ,imani , na upendo kwa wote ukadhihirike mbele ya wote ...walio hai. KWA JINA LAKO lishindindalo Majina yote MFALME...
Hakuna kina linguine yesu kina lako nitamu nizuli kila alitajae hupona hakuna kama wewe kwa wanangu hakuna kama wewe Jehovah jile johova nisi hakuna kama wewe Amen 🙌🙏🙏🙏 najiweka mikononi mwako
Hakuna kama wewe mungu wewe ujibue maombi Amen 🙏🙏🙏🙏🙌🙏🙌🙏 mungu ujibue maombi naomba ujibu maombi ya haja ya moyo wangu
Amen 🙏🙌 Amen 🙏🙏 Amen 🙌🙌 Amen 🙏🙏 bwana yesu ni wewe mwenye baraka na heshima baraka zinawewe bwana yesu Amen 🙏🙌🙏 hakuna kama wewe bwana yesu bwana yesu utukufu una wewe
Mungu anisaidie niweze kuwa na kiu ya maombi na roho mtakatifu aingie ndani yangu
RECEIVE IT
Amen
Mungu nisaidie kwa maana wewe ni kila kitu kwangu
Mungu baba nakushukiru kwa zawadi niliopata kutoka kwako,, naomba unifungie katika maisha yangu,,, Amina
Ameen
ASANTE yesu kwa neema yako amen
Asante Yesu kwa rehema na huruma kwenye maisha yangu na watu wote wanaonizunguka.na familia yangu
BWANA YESA HAKUNA KAMA WEWE NAOMBA UNITOE KWENYE HAYA MISHA MAGUMU NINAYO ISHI MUNGU NISAIDIE
Asante mungu hakuna jambo linaloshindikana kwako jehova ameen
Eeeh! Mungu Unirehemu nataka unifungue Masikio ya nisikie na kuongea vizuri🙏🧎🙇😭🙌
We mungu uknisamehe makosa yangu na familia yangu nkuja mbele zako usiniache
Huduma uliyonipa nuponyaji❤
Asante mungu kwa neema yako na upendo
BWANA YESU unirehemu.
Amena bwana yesu asifiwe
Eeemungunihurumie nashukuru kwakuni inua nakusifu hakuna kama wewe Asantesana utendae makuu ni wewe uniponye mfalme wa wa wafalme unishindie majaribu
Ameen ameeen
Ee mungu unijibu maombi yangu
Naomba rehema kwa inchi ya Kenya na viongozi wa Kenya pamoja na ulimwengu wote
Mungu vni mwemaa
Ee..Mungu ukaisikie sauti yangu unisamehee...Na nisiwe mwenye shingo ngumu🙏🙏🙏
Mungu ni mwema sana
Mni ombeye aleluya
Amina sanaaa
Amina baba kwa maombi yako mazuri
Naomba rehema juu ya Kila eneo ya maisha yangu
Naomba maobezi ya biashara yanga yaspare famili yanga uchum afya nyumban watoto wangu shule tupate ada Kwa jina la YESU christo amen
AMEN AMEN AMEN AMEN AMEN AMEN AMEN AMEN AMEN
Asante roho Mtakatifu🙏🙏
Amen mungu asante
Asante yesu🙏🙏
inua huduma yangu na uponyaji❤😅
Amen mungu nomba ukajibu maombi yangu
Amen
Ameen
Amen! Maana we ni Mungu Mwenye enzi uliyehai unayejibu maombi
Ameen
Hallelujah hallelujah Amen 🙏
Asante yesu
Aminaaa Mungu sikia kuomba kwetu
😭🙏🧎♀️ good bless me from my life
Emeeeee ❤
🙏🙏
Niomba nipone tumbo lauzazi niwena bebamimba ziwezinakaahad mdawa kujifungua miezi 9 amen
Mungu nakuomba toto mwenye afya njema naomba afya njema ya damilia nutuepushe na maadui zetu utupiganue vita na utushindie utatufiche na vioo vya kuzimu
Amina yeah napokee
Nakuhimidi yeah nakuabudu
Ameni kubwa
AMEN AMEN AMEN AMEN AMEN AMEN AMEN AMEN AMEN AMEN AMEN AMEN AMEN AMEN AMEN AMEN AMEN AMEN AMEN AMEN BABA NAPOKEA KWA JINA LA YESU christo amen
Namshukuru Mungu kupitia maombi haya nimejikuta na nene kwa lugha barikiwa mtumishi
Bwana tusamehe
Ameeeen Mungu nakukabidhi maisha ya watoto wangu.
Amen 🙌🙌🙏🙏
Naomba rehema kila eneo la maisha yangu pamoja na familia yangu katika jina la Yesu kristo amen
Asante Yesu kwa uponyaji
Sintakufa bali nitaishi nami nitayasimulia matendo ya Mungu
Mungu aniponye na magonjwa yote yanayo niandama na wale wote wanao umwa mungu awaponye wote
Naomba katika maisha yangu nifanikiwe nimalize nyumba nyangu
Naomba kufunguliwa uckie kuomba kwetu we yesu wangu napokea
Barikiwaaa
Ninakutamani sana Mungu wangu! Nisaidie ninapokaukiwa!!!
Amen ukweli Amen 🙏🙏🙏
Amen Eheee Mungu Usikie Kuomba Kwetu sawa na Zaburi 86:6. 🙏
Ameen
TUREHEMU MWANA WA DAUDI
Amina mtumishi kwa maombi mazuri Roho yu juu yangu naona wokovu upo kwanggu
Ameen
Mungu nisaidie nijazwe roho mtakatifu
ZMungu nilinde na nguvu za wachawi .Mungu nipe njia ya kujikinga
Eee mungu unisamehe makosa yangu ambayo nayafahamu nanisiyo yafahamu
Mungu naomba kupitia maombi haya nipate kibali Cha kuolewa
Amen 🙏 🙏 🙏 🙏 🙏 🙏 🙏 🙏
BWANA YESU wewe ni MUNGU unajibu maobi
Ee Mungu tunashukuru kwa ajili ya mtumishi wako!
Bwana yesu fungua milango yangu iliyofungwa amina
Mungu kupitia maombi haya nipate kibali Cha kupata kazi
Mungu ni samehee dhambi zangu na unirehemu
AMINA ubalikiwe sana mtumishi wa MUNGU Bwana niwewe tu
Mungo naomba utusikie ktk ucku wAleo
BWANA YESU wewe ni MUNGU ujibiwe maobi
Bwana yesu fungua milango yangu iliyo fungwa
Ubarikiwe
Amen and amen ee yesu mwema nakuomba ukanijibu maombi yangu 12 yakatimie bwana ktk jina la yesu kristo kayajibu na kuyabariki. Mungu wangu kama ulivyo umba mbingu bila nguzo bwana na leo yajenge na kuyajibu maombi yangu kwangu bwana
Ameen ❤
Amenmunguwewe peke Yako ndy unaejibu maombi ninaimani katikajina layesukristo
Amen amen
Bwana Yesu ni wewe peke yako utendayo makuuuu
amina mtumishi mung akulinde umeniongoza katika maomb ya uck
Aminaaaaa 🙏🙏🙏🎉 that's Awesome congratulations pastor 🙏
Amina
Asante Mungu kwa rehema na huruma yako
Amen Mungu ni mwema kwangu
Amina naomba uibariki familia ya ngu nauwalinde dhidi ya maombi haya
Bwana YESU okowa inci ya Gabon 🇬🇦
Ameen
Asante Mungu wng utukufu una wewe🙌
Ee mungu sikia maombi haya,,,ameeen
Naomba rehema kwenye kila Ebro la maisha yng
Mungu uskie saut yangu usku huu
Amen mungu wewe utendae makuuu
Amen 🙏
Asante Baba Wewe Ndio Unsyejibu Maombi Uliju Maombi Ya Ayubu Ukajibu Maombi Ya Ana Maombi Ya Maombi Ya Yule Mwanamke Aliye Toka Damu.Assnte Mumgu Umejibu Katika Jina La Yesu.
Asante Sana Bwana Yesu Umasitahiri Sifa.Amina.
Mimi Mimi Niko Msumbiji Maputo Nimepokea Utukufu Na Heshima VinaWewe Baraka Zote Zina Wewe.
Amen 🙏🙏
Mungu uñjibu maom bi yañgu
Amiiina
🙏🙏🙏
Asante Yesu kwa neema ya maombi
Amen mtumishi,🙏🙏
Ameen
Napokea kwa damu ya Yesu
Napokea katika
Jina la yesu
Ameeen🙏🏼🙏🏼🙏🏼
Bwana Yesu niwewe unaweza katika Jina la yesu kristo Amen
Ameen
Zab 86:5