Mungu wa mbinguni akupe maisha marefu kwani ninachokipata katika mafundisho yako ninaamini nitafika mbali sana na hii ndio ilikuwa kiu ya muda mrefu kupata mafundisho haya asante Mungu kwa kunipa mtumishi wako huyu, barikiwa mtumishi wa Mungu
Mungu akubariki sana mtumishi wa Mungu hakika Mungu anakutumia sawa sawa Mungu wa mbinguni Mungu wa lbrahim lsaka na Yakobo asikupungukie akupa mahitaji yako yote uishi miaka mingi mpaka Mungu atimize kusudi lake juu yetu sisi wanadamu nabarikiwa sana na kuinuliwa kwa amani yangu
Asante mtumishi kwa mafundisho haya Hasa mimi binafsi nachukua note 4 , Kabla sijatamka kwa kinwa changu Mungu wangu alie sirini amekwisha jua, Mungu nisaidie
MUNGU akubariki mtumishi , hakika kuna jambo roho wa MUNGU ameliweka ndani yako, kwa ajili ya ulimwengu wote na kizazi cha baadae . pokea neema ya kuzidi kuinuliwa zaidi kwa jina la YESU KIRISTO amina.
Mchungaji Mtumishi wa Bwana Mungu akupe siku nyingi za kuishi kwaajili ya kusudi aliloweka ndani yako mafundisho ninamshukuru Mungu sana kwa ajili yako mafundisho yako yamenisaidia sana Mungu akubariki Judith silayo
Pastor John, Mungu akubariki sana akutunze na aendelee kukupa maono makubwa.Baba, tangu nimeanza kufuatilia mafundisho yako ukweli ninamuona Mungu akinibadirisha ninahitaji mafundisho mengi zaidi na vifungu vya maombi vya kusimamia kwa kila maombi nitakayo kuwa nayafanya
Ee bwana yesu naomba umtoe mkwe wangu kwenye mateso makubwa ya maradhi anayoyapitia amina.
Mungu wa mbinguni akupe maisha marefu kwani ninachokipata katika mafundisho yako ninaamini nitafika mbali sana na hii ndio ilikuwa kiu ya muda mrefu kupata mafundisho haya asante Mungu kwa kunipa mtumishi wako huyu, barikiwa mtumishi wa Mungu
Mchungaji mungu akuinuwe katika huduma yk nabarikiwa Sana Sana mungu wa mbinguni akuinuwe
Mafundisho yako yameni bariki Sana.
Mungu azidi kukutumia Baba Mchungaji. Nimepokea na nitachukua hatua ktk kuomba. Amen
Asante baba kwa maubiri haya yamenifundisha sana
Mungu akubariki sana mtumishi wa Mungu hakika Mungu anakutumia sawa sawa Mungu wa mbinguni Mungu wa lbrahim lsaka na Yakobo asikupungukie akupa mahitaji yako yote uishi miaka mingi mpaka Mungu atimize kusudi lake juu yetu sisi wanadamu nabarikiwa sana na kuinuliwa kwa amani yangu
Mungu akubariki mtumishi nimejifunza sana hakika neno limekuja kwa wakati
Aki nimeguzwa na mafundisho ya mungu,,waa nimeelewa jinsi ya kuomba
Mm ni mvivu sana kuomba nifanyeje pastor
Yesu kristo nipe mtoto wa kiume atakuwa mtumishi wako,,, Appostle kwa utukufu wako
Nairobi 🇰🇪 listening
Asante mtumishi kwa mafundisho haya
Hasa mimi binafsi nachukua note 4 ,
Kabla sijatamka kwa kinwa changu Mungu wangu alie sirini amekwisha jua,
Mungu nisaidie
MUNGU akubariki mtumishi , hakika kuna jambo roho wa MUNGU ameliweka ndani yako, kwa ajili ya ulimwengu wote na kizazi cha baadae . pokea neema ya kuzidi kuinuliwa zaidi kwa jina la YESU KIRISTO amina.
Asante YESU KRISTO kwa huruma yako kunipa somo hili asante YESU
Asante sana Pastor.
May God bless you
Mungu akubariki sana mtumishi wa Mungu. The message is so powerful
Nijifunza mambo muhimu Sana mtumushi mungu akubariki nitaendelea kujifunza kweli hakika mungu anakutumia sawa sawa na kusudi
Pastor barikiwa Sana mtumishi wa Mungu kwa mafundisho mazuri
Hakika wewe ni zaidi ya pastor,ni mwalimu.
Hakika nimefarijika sana kwa mafundisho haya
Amen nabarikiwa sn naomba tuwe tunaomba pamoj
Ubarikiwe mushungaji
Thank you Lord we are blessed
I just give glory to God for the powerful teaching in spiritual life, more blessings in Jesus mighty name pastor 🙏🙏🙏
Mungu tusaidie
Emen mungu wa mbinguni awe pamoja nawe
Hakika mb zangu haziendi bule asante Yesu nime jifunza nimeelewa
Amen Asante mtumishi wa Mungu.Mungu azidishe neema juu yako
JESUS IS EVERYTHING AMEN😊
Napenda mahubiri yako sana mungu akubariki tena sana
Mungu akulinde Zaidi mtumishi hakika mafundisho Ni mazuri mno.
Asante sana kwa somo hili, nimebarikiwa sana ndani ya somo . Sababu maombi ni uriti wangu
Mchungaji Mtumishi wa Bwana Mungu akupe siku nyingi za kuishi kwaajili ya kusudi aliloweka ndani yako mafundisho ninamshukuru Mungu sana kwa ajili yako mafundisho yako yamenisaidia sana Mungu akubariki Judith silayo
Jina la Bwana Yesu kiristo libarikiwe sana. Asante Mungu BABA
Mungu akubariki sana mtumishi wa Mungu unanifungua sana kwenye ufamu nazidi kumjua Mungu kupitia masomo yako
Baba ubarikwe kwa mafundisho mazuri
Asante Yesu kwa mafundisho mazuri.
Asante nchungaji kwa neno hili kubwa
Ubarikiwe mtumishii kwa mafundisho yako mazuri
God's word will never expire,I thank God for His word it has touched me.
Very powerful massage 🙏🙏🙏🙏
Mungu akubariki Sana Mtumishi mafundisho yako yamenifungua Sana saiz nikiomba napokea kwa Wakat sahihi na nakua na Amani Sana kwa Mungu
Barikiwa mtumishi kwa mafundisho ahsante
ameni kubwa
Haya mafundisho mazuri kweli barikiwa mtumishi ❤
May the Lord Almighty lift you up man of God
Pastor asante sana umeguza roho yangu sana barikiwa and may God's will be done on us in Jesus Name Amen Amen and
mungu akubariki mchungaji sana...nmebarikiwa
Nimebarikiwa,Mungu akuzidishiye maarifa, Amen 🙏🙏🙏🙏
Mungu atusaidie kukua kiroho na Imani ya Mungu ikue ndani yetu
Am blessed with the message ,may the Lord give you strength and Grace to be used by God. May the Lord anable me to grow through this
Ubarikiwe pastor kwa mafundisho ya msingi sana kwa waamini
Umewaanda Watu ktk Maombi Omba Mtu wa Mungu unawaondoa Watu kwenye Uwepo na hawatafiatilia mahubiri Yako yanakosa hitimisho
Sifa na jeshi a ma zimurudilie mungu tu Aliye kuumba Na ku kutuma kwa kazi. Yake ubarikiwe sana
Amina ubarikiwe sana Madurai sana
Amen amen amen amen
Hongera sana mtumie wa mungu mana kazi unaifanya
Napenda mafundisho mchungaji. Napenda mafundisho ya kufungua macho jinsi ya kukaa ndani ya Mungu na kuenenda uweponi mwake. Asante sana!
Napenda mafundisho yake ,je unavitabu ulivyo andika?
Mafundisho yako yanajitosheleza
Amen amen and amen 🙏🙏🙏🧎🧎
Ubarikiwe sana mutumishi wa mungu na FURAHA kwa mafudisho. Na sema. Asante
Ameen🙏 Nabarikiwa Sana Na Mafundisho Yako Mtumishi
Amen Ameeeen nabarikiwa sana na mafundisho pastor.
Mafundisho yananitoa mbali sana
Ameen Baba ubarikiwe sana kwa mafudisho yako mazuri
Shalom shalom shalom from qatar doha 🇶🇦🇶🇦🇶🇦
Shalom shalom 🎉
Aksante sana kwa mafundisha Baba ubarikiwe na Mungu,
Ameen
Hakika nimefarijika sana kwa mafundisho haya❤ 38:12
Yesu wangu naomba unipe ufahamu wa kiroho
Powerful message, God bless you servant of God.
Nimegushwa sana na neno lako pastor George mukabwa
Hakika Mungu akutumie zaidi,na utufundishe kuishi kikristo
Amen huwa nabarikiwa sana na mafundisho yako Mungu akuinue zaidi
Ameen may i God bless you more pastor
Amen from kenya
Asante kwa
Mungu juu ya mtumishi wake endelea kumuinua awe baraka kwa sisi
Be blessed man of God, unanibariki sana na mafundisho yako.
Amen
Mungu aendelee kukutunza mtumwa wa mungu aliye hai
Ameen mtumishi
Napenda sana mtumishi mafundisho yk ningekuwa ukomwanza ningeshafika dalasani
As ante sana mtumishi wa Mung u ubarikiwe❤
Mtu wa Mungu asante kwa mafundisho haya Yanaleta utukufu wa jina lako
Amina
Asante sana kwa Somo Hili zuri mno.Mungu akubariki Sana sana.Asante sana Mchungaji
Ubalikiwe sana mtumishi wa mungu yaani nafurahi sana
👏👏👏👌👌👌👍👍👍 maelezo yako hunifanya nielewe kindani mchungaji,Mungu akubariki,uishi maisha marefu.
Haleluya haleluya mtumishi ubarkiwe sana kwa mafundisho mazur
Imenifungua sana. Mungu akubariki sana mtumishi wa Mungu
Ubarikiwe sana Dady napenda mafundisho yako Kila nikikusikiliza napata hatua zaidi ndani ya BWANA
Amen mtumishi mungu akubariki
Barikiwa sana mtumishi wa mungu, Mungu akupe hatua nyingine zaidi.
Sijawahi pata somo kama hili GOD bless you pastor 🙏
Barikiwa sana mtumish
Asante kunifundisha kurudisha roho ya maombi
Very powerful massage
Mungu aibariki na kuinua huduma yake ndani yako,nabarikiwa sana.
Baba ubarikiwe Kwa neno zuri naona kufunguliwa
Pastor John, Mungu akubariki sana akutunze na aendelee kukupa maono makubwa.Baba, tangu nimeanza kufuatilia mafundisho yako ukweli ninamuona Mungu akinibadirisha ninahitaji mafundisho mengi zaidi na vifungu vya maombi vya kusimamia kwa kila maombi nitakayo kuwa nayafanya
Hakika mungu ni mwema mafundisho mazuri sana
God bless you 🙏 pastor
Asante sana mchungaji kwa mahubiri mazuri jubilate makundi
Ameeen ubarikiwe