Njia 16 za Kutoa Sumu Mwilini | Detox na Kuboresha Afya
Vložit
- čas přidán 24. 07. 2024
- Njia 16 za Kutoa Sumu Mwilini Mwako | Detox na Kuboresha Afya Yako:
Unahisi uchovu, uzito? Mwili wako unaweza kuwa umejazwa na sumu! Video hii inakuonyesha njia 16 za asili na salama za kutoa sumu mwilini na kuboresha afya yako kwa ujumla.
.
Wasiliana na Dr. Emmanuel
SIMU: 0688-426-300
.
Tuandikie kile ulichojifunza kwenye comments, gonga “LIKE” pamoja na “ku-share” link ya somo hili kwa wengine. Asante
.
KUWA MZUNGUMZAJI MAHIRI KWA KOZI HII:👇🏼
Boresha uwezo wako sasa wa kuzungumza na utengeneze njia za kuingiza kipato zaidi. Nunua kozi ya “Speaking Skills Course”
Kwa bei ya punguzo ya 20,000 TZS tu!
👇🏼👇🏼
Tuma neno “KOZI” au “COURSE” kwenye whatsapp: 0759-19-10-76
Au bonyeza hapa: wa.me/255759191076
.
NUNUA VITABU:
Nunua kitabu kitakacho kusaidia kukua na kujiongezea thamani.
Kupata orodha ya vitabu tuma neno: “KITABU” au “VITABU”
kwa WhatsApp namba: 0759-19-10-76
Au bonyeza hapa: wa.me/255759191076
.
KOZI YA CZcams CHANNEL MASTERY (BURE):
Ichukue hapa: / @youtubepesa255
.
JIUNGE NA GROUP LETU LA WHATSAPP (BURE):
Ingia moja kwa moja kwa kubonyeza Link hii:
chat.whatsapp.com/JxOUqZBdf35...
.
WASILIANA NA EZDEN JUMANNE
Media Personnel & An Entrepreneur
Instagram: / ezdenjumanne
Twitter: / ezdenjumanne
Facebook: / ezdenjumanne
WhatsApp: wa.me/255759191076
.
SUBSCRIBE Kwenye channel zetu nyingine:
.
HAMASA YA LEO👇🏽
/ hamasayaleo
.
VOICE-OVER CHANNEL👇🏽
/ ezden_voiceover
.
KWA MATANGAZO NA BIASHARA:
- Kuweka tangazo lako kwenye channel hii.
- Unahitaji Voice-over (English & Swahili).
- Kutengenezewa tangazo zuri la video na sauti
Tuwasiliane:
CALLS: (+255) 759 191 076
WHATSAPP: wa.me/255759191076
EMAIL: ezdenjumanne@gmail.com
.
.
Mafanikio, Malengo, Kujitambua, Nidhamu, Kujiamini, Ubunifu, Uwezo, Uongozi, Mipango, Kuhamasisha, Kujiboresha, Ukuaji binafsi, Ushawishi, Uhusiano, Afya ya akili, Afya ya kimwili, Ustadi wa maisha, Falsafa ya maisha, Mafanikio ya kifedha, Biashara, Ujasiriamali, Uwekezaji, Elimu mtandaoni, Mafunzo, Kocha wa maisha, Mzungumzaji wa motisha, kitabu, vitabu, Kiswahili, Tanzania, Ezden Jumanne, Success Path Network, pesa, chaneli ya elimu, mwalimu wa mafanikio, njia za mafanikio, utajiri,
.
.
#Detox #KutoaSumu #Afya
Amina doctor nimebarikiwa na ushauri Bora wa vyakula mungu akutunze maana haujawa mchoyo kutufundisha mungu kakupa Bure na wewe umetowa Bure mungu akupe haja ya moyo wako
Asante doctor nimejifunza mengi nitazidisha kunywa mtindi na matunda Kwa wingi
DAAH. DINI YANGU YA UISLAAM. IMESHA NI KAMILISHIA HAYO YOOTE ULIYO YAELEZEA. PAMOJA NA MAKATAZO YOOTE ULIYO YAKATAZA. ALHAMDULILAAH. HAKIKA UISLAAM NDIO DINI YENYE MFUMO MZIMAAULIO BORA WA MAISHA YA MWANAADAM. SHUKRAAN DOCTOR. KWA UKUMBUSHO. ALLAAH AZIDI KUKUZIDISHIA ELIMU NA AZIDI KUKUBARIKIA KATIKA KAZI ZAKO AAMEENA 🤲🏻🤲🏻🤲🏻
🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Kwahiyo utaishi hapa duniani milele? Hata ungekua na dini boraaaa,,, utakufa tu! Na hata ukaishi miaka mingiiii,,, bado utakufa tu, sisi tunatafuna tu, lete nguruwe, lete beer 🍺, lete soda, viiingi tuna vitwanga tu, YESU wetu aliishi miaka michaaache 33 tu, sisi ni nani tutake kuishi mamia ya miaka, wewe kazana kutoa sumu na uslamu wako ulivokuongoza, watu waje waone kama utaishi milele hapa duniani.
😂😂😂😂😂
Qq11111111111nmmb😊😊nbbbbbnbnbnbnnnnnnnn1Qqqnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnqnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnn1nnnnnnnnqnnnnnnnnnnn1nnnnnnnnq1nnnnnnnnnnnnnn1n1nnnnnnnnnnnnnnqnnnn1nnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnn1nn1nnnnnqnnnnnn1nnn1n1nnnnnnnnnn1nnnnnnnnnnnnnnnnnnnnqnqnnn1nnnnqnnnnnnqnnnnnn1nnnnnnnnnn1nnnn1nnn1nnnnnnnnnqnnnnnnnnnnnnnnnnnn1nnnnnnnnnnnnn1nnn1n1nnnnnnnnnn1nnnnnnnnnnnnnnnnnnnnqnqnnn1nnnnqnnnnnnqnnnnnn1nnnnnnnnnn1nnnn1nnn1nnnnnnnnnqnnnnnnnnnnnnnnnnnn1nnnnnnnnnnnq11❤❤❤❤❤❤❤❤111❤0 q111❤1111111❤01❤111111111111111110111011101110000010001011❤qq1111q1111111111111q1q1q11111q11q1q1qq1q11q11q11q11qq1111111q1q1qq11q1q1q11111q111q1qq11q1qq1qqq1q1q1q111111111111111qqq111q1q1111q1q111qq11111111111q11111111111111q111111111
0000000000000000000000000000000000000😢😢😢😢⁰
000000🎉
Asante sana Kwa mafundisho mazuri Tena ya muimu sana Kwa afia zetu! Ntazigatia sana Tena sana mazoezi na kula vya kula Bora zaidi!
Shukrani mkuu Kwa kweli huu ni ushauri Bora kabiza Kwa kutufunza . Ubarikiwe sana
Asante sana doctor kwa hii video God bless you 🙏🙏🙏🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Shukran Habib
Shukran Sana Allah akuuongezee umbri mrefu.
Uko vzr Dokta. Mungu akubarki kwa kutuelimisha bure.
Aksante Dr. Emmanuel, yote yamenigusa, ubarikiwe sana
Asante diktat somo kote nimekuelewa nitaenda kulifanyia kazi asante sana
Asante doctor kwakutufundisha mm nateseka na matatizo hayo lakini Sasa nimefaham Mungu akubaliki
Asante sana nimenufaika na mafundisho yako
Asante daktari kwa elimu bila malipo sisi wa bongo tumekuelewa Sana ubarikiwe sana
Asante Dactari kwa kunionya.
Six months ago i went to the hospital and I was feeling my body sooo wick... but my doctor told me to be eating maboke na mbegu yake na kutumiya maji mengi na vegetables zaidi sana.
Kwa hivo Mungu akubariki sana.
Asante Doctor nimejifunza mengi Mungu akulinde
Asanteeee Mungu akubariki Sana nitaacha kunywa kahawa na chai ya rangi
Asante Allah akubariki na utafiti wako akuongezee frm kenya
Asante docter tutayafanyia kazi maneno yako
Asante Dr nimejifunza mengi kupitia maelezo Yako.
Thanks so much, ujumbe mzuri sana 🎉🎉🎉
Asante sana mtaalamu nimefarika na mafundisho yako
asant kaka nimejifunza na ntaacha vitu na nitafata hivi saf sana ubarikiwe
Asante yote ameni kusa nita jaribu kkyatenda
Safi sana doctor
Asante sana kipindi hikinipo kwenye mfumo huu wa chakula
Nimefurahi Sana Kukuskia Na Kuvengine Nilikuwa Natumia Vingine Situmiy Kwakujuwa Asante Sana Kwaikimu
Asante kwa ushauru shafi.
Ahsante sana kwa ushauri wako
Asante kwa ushauli wako
Thanks much umeniongezea mengi sana ya ziada 🙏
Enedelia kutupa vitu my bro mungu akubarikií
Ahsante sana Mungu akuzishie siku zako
Asante doctor
Kuacha sigaraa, ila huwa napata sana ganzi miguuni hii ni inasababishwa na nini doctor?
Asante Sana nimejifunza
Thanks my brother
Asante kwa somo zuri nitaanza kulifanyia kazi mara moja naamini nitona matokeo mazuri❤
Bila shaka... Kikubwa anza mchakato
Asante somo zuri
A good lesson
Ahsantee sana
Asante sana kwa ushauri
Uko vizuri ndugu yanyu asilimia tumekimbilia kula vyakula vyakawandani
Shukran
Kwa ushauri
Ubarikiwe sana Doctor
Asante kila kitu kimenigusa nikotayali kupanda mazoezi
Mafundisho yako ni mzuri sana😊
Asante sana mtaalamu mpaka hapo afya zetu zitaimarika.
Thanks for knowledge nyote nimevipenda
Karibu sana
Mm nimejifunza sana mengi nilikuwa cyafamu asante
Mm nilifunga mwezi mzima wa,Ramadhan niliondoa kilo9 hili la kufunga ndo no1 Docta
May Allah grant you more blessings it's an essential lesson bro
Amin
Shukran
Vizr sana mr
asante sana dactar mambo muhimu sana hayo ya kuzingatia afya zetu.
Naam... Nafurahi kuona mnazingatia
Asante sana kwa hii taarifa...inaelimisha vema...❤🎉
Shukran sana ndugu yangu. Karibu sana
Napenda sana mtindi ila sikujua kama una na Kazi hii ahsant kwa kunifumbua macho
Asante sana doc
Asante kwa somo kuanzia kesho nafunga Mara 2 kwa week kumwomba mungu.
Safi sana, itakusaidia sana ukidumu nayo
Barikiwa sana doctr
Asante sana
Doctor yote yamanigusa asante kwa ushauri wako allah akujalie afya njema inshaallah uzidikutusaidia
Amiin
Thanks so very much I will do
I wish you best of luck...
Asant sana doctor
Asanteee nimejifunza mambo mazuri baadhi nilikua siyafahamu🙏
All the best katika kuyafanyia kazi Happy
Shukran ❤
Asante Sana
Barikiwa sana
Nimejifunza kitu kupitia somohili.Shukrani.
Karibu sana
Thanks
Nashukuru sana nitafanya hivyo Mungu akubariki
Amin
Karibu sana
Nimekuelewa sana
Dr samahani nipo nje suala, nauliza je mimi nasumbuliwa na kupata choo kigumu, huwa natumia mbegu za maboga ktk uji, na kutafuna ambazo nimezikaanga.
Safu sana Dr
Nashukuru kwa Somo....
Karibu
Hakika Asante Sana
Ngoja kwanza nimeze glasa kadhaa za maji njomba😂
I love it ❤❤❤
allah akubariki sana kaka ezden❤naacha chai ya rangi nitakunywa maji kwa wingi na kufanya mazowezi
Karibu sana... Best of luck
Somo zuri sana🙏🏽
Asante San
Asante sana doctor 🙏🙏
Safisana begu zaMABOGA
Thank u
Kweli kabisa ❤❤❤❤asantee
Asante
Thank
Docteur tunashukuru sana kW wushari wako ivi ntahanza gutumiya intenté za maboga niwe nakura fruit n'a maji mengi n'a siport asante mungu akuzidishiye
Karibu
Asante kwa ukubusho na elimu
Karibu sana
Shukran San doctor unahitaji zawadi
Shukran sana.... Asante kwa motisha, zinapokelewa zawadi!
Nashukuru Sana kwa ushauri nitakaa mbali na mawazo
Tena mbali sana...😀
Hongera kwa makala
Doctor miguu yangu imevimba sana
Asate sana🎉🎉🎉
Asaasnte sana
Asante kwa kutupatia Elim
Ikiwa mtu Ana sumbuliwa kupata ajakubwa je atumie dawa gani ya asili?
Ameen ❤❤❤Ameen🎉🎉🎉
Asante Kwa mafunzo mazuri
Karibu sana
Asante docta kwa ushauri
Karibu sana sissy
asante sana kaka angu
Shukrani sanaa docktar mengiitu Mimi yamenigusa hasa hiyo chai.ya rangi hatanikinywa chai ya maziwa vipi yaani nahisi Badoo sikunywa chai Hadi ya rangi japo kidogo jee nifanyejee ?niachee chai ya rangi??