Njia 16 za Kutoa Sumu Mwilini | Detox na Kuboresha Afya

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 24. 07. 2024
  • Njia 16 za Kutoa Sumu Mwilini Mwako | Detox na Kuboresha Afya Yako:
    Unahisi uchovu, uzito? Mwili wako unaweza kuwa umejazwa na sumu! Video hii inakuonyesha njia 16 za asili na salama za kutoa sumu mwilini na kuboresha afya yako kwa ujumla.
    .
    Wasiliana na Dr. Emmanuel
    SIMU: 0688-426-300
    .
    Tuandikie kile ulichojifunza kwenye comments, gonga “LIKE” pamoja na “ku-share” link ya somo hili kwa wengine. Asante
    .
    KUWA MZUNGUMZAJI MAHIRI KWA KOZI HII:👇🏼
    Boresha uwezo wako sasa wa kuzungumza na utengeneze njia za kuingiza kipato zaidi. Nunua kozi ya “Speaking Skills Course”
    Kwa bei ya punguzo ya 20,000 TZS tu!
    👇🏼👇🏼
    Tuma neno “KOZI” au “COURSE” kwenye whatsapp: 0759-19-10-76
    Au bonyeza hapa: wa.me/255759191076
    .
    NUNUA VITABU:
    Nunua kitabu kitakacho kusaidia kukua na kujiongezea thamani.
    Kupata orodha ya vitabu tuma neno: “KITABU” au “VITABU”
    kwa WhatsApp namba: 0759-19-10-76
    Au bonyeza hapa: wa.me/255759191076
    .
    KOZI YA CZcams CHANNEL MASTERY (BURE):
    Ichukue hapa: / @youtubepesa255
    .
    JIUNGE NA GROUP LETU LA WHATSAPP (BURE):
    Ingia moja kwa moja kwa kubonyeza Link hii:
    chat.whatsapp.com/JxOUqZBdf35...
    .
    WASILIANA NA EZDEN JUMANNE
    Media Personnel & An Entrepreneur
    Instagram: / ezdenjumanne
    Twitter: / ezdenjumanne
    Facebook: / ezdenjumanne
    WhatsApp: wa.me/255759191076
    .
    SUBSCRIBE Kwenye channel zetu nyingine:
    .
    HAMASA YA LEO👇🏽
    / hamasayaleo
    .
    VOICE-OVER CHANNEL👇🏽
    / ezden_voiceover
    .
    KWA MATANGAZO NA BIASHARA:
    - Kuweka tangazo lako kwenye channel hii.
    - Unahitaji Voice-over (English & Swahili).
    - Kutengenezewa tangazo zuri la video na sauti
    Tuwasiliane:
    CALLS: (+255) 759 191 076
    WHATSAPP: wa.me/255759191076
    EMAIL: ezdenjumanne@gmail.com
    .
    .
    Mafanikio, Malengo, Kujitambua, Nidhamu, Kujiamini, Ubunifu, Uwezo, Uongozi, Mipango, Kuhamasisha, Kujiboresha, Ukuaji binafsi, Ushawishi, Uhusiano, Afya ya akili, Afya ya kimwili, Ustadi wa maisha, Falsafa ya maisha, Mafanikio ya kifedha, Biashara, Ujasiriamali, Uwekezaji, Elimu mtandaoni, Mafunzo, Kocha wa maisha, Mzungumzaji wa motisha, kitabu, vitabu, Kiswahili, Tanzania, Ezden Jumanne, Success Path Network, pesa, chaneli ya elimu, mwalimu wa mafanikio, njia za mafanikio, utajiri,
    .
    .
    #Detox #KutoaSumu #Afya

Komentáře • 309

  • @minzaharuni2820
    @minzaharuni2820 Před 2 měsíci +14

    Amina doctor nimebarikiwa na ushauri Bora wa vyakula mungu akutunze maana haujawa mchoyo kutufundisha mungu kakupa Bure na wewe umetowa Bure mungu akupe haja ya moyo wako

  • @universalbodyfitness2803
    @universalbodyfitness2803 Před 2 měsíci +7

    Asante doctor nimejifunza mengi nitazidisha kunywa mtindi na matunda Kwa wingi

  • @rayaali7551
    @rayaali7551 Před 2 měsíci +58

    DAAH. DINI YANGU YA UISLAAM. IMESHA NI KAMILISHIA HAYO YOOTE ULIYO YAELEZEA. PAMOJA NA MAKATAZO YOOTE ULIYO YAKATAZA. ALHAMDULILAAH. HAKIKA UISLAAM NDIO DINI YENYE MFUMO MZIMAAULIO BORA WA MAISHA YA MWANAADAM. SHUKRAAN DOCTOR. KWA UKUMBUSHO. ALLAAH AZIDI KUKUZIDISHIA ELIMU NA AZIDI KUKUBARIKIA KATIKA KAZI ZAKO AAMEENA 🤲🏻🤲🏻🤲🏻

    • @successpathnetwork
      @successpathnetwork  Před 2 měsíci

      🙏🙏🙏🙏🙏🙏

    • @martinisadru9899
      @martinisadru9899 Před 2 měsíci

      Kwahiyo utaishi hapa duniani milele? Hata ungekua na dini boraaaa,,, utakufa tu! Na hata ukaishi miaka mingiiii,,, bado utakufa tu, sisi tunatafuna tu, lete nguruwe, lete beer 🍺, lete soda, viiingi tuna vitwanga tu, YESU wetu aliishi miaka michaaache 33 tu, sisi ni nani tutake kuishi mamia ya miaka, wewe kazana kutoa sumu na uslamu wako ulivokuongoza, watu waje waone kama utaishi milele hapa duniani.

    • @idatonymassawe
      @idatonymassawe Před 2 měsíci

      😂😂😂😂😂

    • @FatumaMwaduga
      @FatumaMwaduga Před 2 měsíci

      Qq11111111111nmmb😊😊nbbbbbnbnbnbnnnnnnnn1Qqqnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnqnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnn1nnnnnnnnqnnnnnnnnnnn1nnnnnnnnq1nnnnnnnnnnnnnn1n1nnnnnnnnnnnnnnqnnnn1nnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnn1nn1nnnnnqnnnnnn1nnn1n1nnnnnnnnnn1nnnnnnnnnnnnnnnnnnnnqnqnnn1nnnnqnnnnnnqnnnnnn1nnnnnnnnnn1nnnn1nnn1nnnnnnnnnqnnnnnnnnnnnnnnnnnn1nnnnnnnnnnnnn1nnn1n1nnnnnnnnnn1nnnnnnnnnnnnnnnnnnnnqnqnnn1nnnnqnnnnnnqnnnnnn1nnnnnnnnnn1nnnn1nnn1nnnnnnnnnqnnnnnnnnnnnnnnnnnn1nnnnnnnnnnnq11❤❤❤❤❤❤❤❤111❤0 q111❤1111111❤01❤111111111111111110111011101110000010001011❤qq1111q1111111111111q1q1q11111q11q1q1qq1q11q11q11q11qq1111111q1q1qq11q1q1q11111q111q1qq11q1qq1qqq1q1q1q111111111111111qqq111q1q1111q1q111qq11111111111q11111111111111q111111111

    • @FatumaMwaduga
      @FatumaMwaduga Před 2 měsíci

      0000000000000000000000000000000000000😢😢😢😢⁰
      000000🎉

  • @mamaafrica399
    @mamaafrica399 Před 2 měsíci

    Asante sana Kwa mafundisho mazuri Tena ya muimu sana Kwa afia zetu! Ntazigatia sana Tena sana mazoezi na kula vya kula Bora zaidi!

  • @user-gz8yg3ee5l
    @user-gz8yg3ee5l Před měsícem +2

    Shukrani mkuu Kwa kweli huu ni ushauri Bora kabiza Kwa kutufunza . Ubarikiwe sana

  • @muenikimeu8460
    @muenikimeu8460 Před 2 měsíci

    Asante sana doctor kwa hii video God bless you 🙏🙏🙏🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @husseinndaro8931
    @husseinndaro8931 Před měsícem +2

    Shukran Habib

  • @mifunga3414
    @mifunga3414 Před 2 měsíci +2

    Shukran Sana Allah akuuongezee umbri mrefu.

  • @gracemosses6030
    @gracemosses6030 Před 2 měsíci +1

    Uko vzr Dokta. Mungu akubarki kwa kutuelimisha bure.

  • @irenalawrence6386
    @irenalawrence6386 Před 2 měsíci

    Aksante Dr. Emmanuel, yote yamenigusa, ubarikiwe sana

  • @asheryhansi349
    @asheryhansi349 Před 2 měsíci

    Asante diktat somo kote nimekuelewa nitaenda kulifanyia kazi asante sana

  • @EditherNjamwano
    @EditherNjamwano Před měsícem

    Asante doctor kwakutufundisha mm nateseka na matatizo hayo lakini Sasa nimefaham Mungu akubaliki

  • @user-vb4jk9jm3g
    @user-vb4jk9jm3g Před 18 dny +1

    Asante sana nimenufaika na mafundisho yako

  • @user-ne4wj9bt3q
    @user-ne4wj9bt3q Před měsícem

    Asante daktari kwa elimu bila malipo sisi wa bongo tumekuelewa Sana ubarikiwe sana

  • @gisellekavira8966
    @gisellekavira8966 Před 2 měsíci

    Asante Dactari kwa kunionya.
    Six months ago i went to the hospital and I was feeling my body sooo wick... but my doctor told me to be eating maboke na mbegu yake na kutumiya maji mengi na vegetables zaidi sana.
    Kwa hivo Mungu akubariki sana.

  • @beatricepeter8386
    @beatricepeter8386 Před 6 hodinami

    Asante Doctor nimejifunza mengi Mungu akulinde

  • @farajaflorence1690
    @farajaflorence1690 Před měsícem

    Asanteeee Mungu akubariki Sana nitaacha kunywa kahawa na chai ya rangi

  • @fauziamussa381
    @fauziamussa381 Před 2 měsíci +1

    Asante Allah akubariki na utafiti wako akuongezee frm kenya

  • @saba-gv3mj
    @saba-gv3mj Před měsícem

    Asante docter tutayafanyia kazi maneno yako

  • @MwinyiAli-bl2fz
    @MwinyiAli-bl2fz Před měsícem

    Asante Dr nimejifunza mengi kupitia maelezo Yako.

  • @judithramadhan8785
    @judithramadhan8785 Před měsícem

    Thanks so much, ujumbe mzuri sana 🎉🎉🎉

  • @MATHAYOMUHULU-jt9sq
    @MATHAYOMUHULU-jt9sq Před měsícem

    Asante sana mtaalamu nimefarika na mafundisho yako

  • @Mlevimedia
    @Mlevimedia Před 2 měsíci +1

    asant kaka nimejifunza na ntaacha vitu na nitafata hivi saf sana ubarikiwe

  • @shadrackmeswo9379
    @shadrackmeswo9379 Před měsícem +3

    Asante yote ameni kusa nita jaribu kkyatenda

  • @AdamElisha-td3pf
    @AdamElisha-td3pf Před 2 měsíci

    Safi sana doctor

  • @user-ub3di7sj6l
    @user-ub3di7sj6l Před 2 měsíci

    Asante sana kipindi hikinipo kwenye mfumo huu wa chakula

  • @muhammadmuhammad5043
    @muhammadmuhammad5043 Před 2 měsíci

    Nimefurahi Sana Kukuskia Na Kuvengine Nilikuwa Natumia Vingine Situmiy Kwakujuwa Asante Sana Kwaikimu

  • @nellykibukila5677
    @nellykibukila5677 Před 2 měsíci

    Asante kwa ushauru shafi.

  • @user-oj6qq8up7f
    @user-oj6qq8up7f Před 2 měsíci

    Ahsante sana kwa ushauri wako

  • @NassorOmar-qi4st
    @NassorOmar-qi4st Před měsícem +1

    Asante kwa ushauli wako

  • @evalinemalole6709
    @evalinemalole6709 Před měsícem

    Thanks much umeniongezea mengi sana ya ziada 🙏

  • @Deedarjuma5
    @Deedarjuma5 Před 3 měsíci +1

    Enedelia kutupa vitu my bro mungu akubarikií

  • @user-sz6ht5wm2g
    @user-sz6ht5wm2g Před 28 dny

    Ahsante sana Mungu akuzishie siku zako

  • @erickmsimbe5424
    @erickmsimbe5424 Před měsícem

    Asante doctor

  • @YusuphKinotta
    @YusuphKinotta Před 20 dny +2

    Kuacha sigaraa, ila huwa napata sana ganzi miguuni hii ni inasababishwa na nini doctor?

  • @ediphonceedwin1482
    @ediphonceedwin1482 Před 2 měsíci

    Asante Sana nimejifunza

  • @kathreen1060
    @kathreen1060 Před 2 měsíci

    Thanks my brother

  • @epifaniakilawe329
    @epifaniakilawe329 Před 2 měsíci +2

    Asante kwa somo zuri nitaanza kulifanyia kazi mara moja naamini nitona matokeo mazuri❤

  • @ahmedhamis
    @ahmedhamis Před měsícem +1

    Asante somo zuri

  • @JOSEPHWANJOHI-no9po
    @JOSEPHWANJOHI-no9po Před měsícem

    A good lesson

  • @user-yu4km9rb1d
    @user-yu4km9rb1d Před 2 měsíci +1

    Ahsantee sana

  • @eunicembarikiwa5Neema
    @eunicembarikiwa5Neema Před 2 měsíci

    Asante sana kwa ushauri

  • @NicoMwakibas
    @NicoMwakibas Před měsícem

    Uko vizuri ndugu yanyu asilimia tumekimbilia kula vyakula vyakawandani

  • @habonimanarehema3657
    @habonimanarehema3657 Před měsícem

    Shukran
    Kwa ushauri

  • @AntoinetteBihamaso
    @AntoinetteBihamaso Před 2 měsíci

    Ubarikiwe sana Doctor

  • @FatmahFatmah-oz2oj
    @FatmahFatmah-oz2oj Před 2 měsíci

    Asante kila kitu kimenigusa nikotayali kupanda mazoezi

  • @JulitaAndrea-nu6pz
    @JulitaAndrea-nu6pz Před 2 měsíci

    Mafundisho yako ni mzuri sana😊

  • @SarahMwaipopo-dl5xe
    @SarahMwaipopo-dl5xe Před 2 měsíci

    Asante sana mtaalamu mpaka hapo afya zetu zitaimarika.

  • @yakoubfaki2026
    @yakoubfaki2026 Před 3 měsíci

    Thanks for knowledge nyote nimevipenda

  • @yemmiarade
    @yemmiarade Před 2 měsíci

    Mm nimejifunza sana mengi nilikuwa cyafamu asante

  • @user-lq4cm4rq6z
    @user-lq4cm4rq6z Před 7 dny +1

    Mm nilifunga mwezi mzima wa,Ramadhan niliondoa kilo9 hili la kufunga ndo no1 Docta

  • @ZainabuMussa-cl1hb
    @ZainabuMussa-cl1hb Před 2 měsíci

    May Allah grant you more blessings it's an essential lesson bro

  • @fatumaabdallah-ui7pj
    @fatumaabdallah-ui7pj Před 2 měsíci

    Shukran

  • @gatsonmatiko8000
    @gatsonmatiko8000 Před 12 dny +1

    Vizr sana mr

  • @GilbertLymo
    @GilbertLymo Před 2 měsíci +1

    asante sana dactar mambo muhimu sana hayo ya kuzingatia afya zetu.

  • @CafePowerBlack
    @CafePowerBlack Před 7 dny +1

    Asante sana kwa hii taarifa...inaelimisha vema...❤🎉

  • @HamidaRamadhan-ti3or
    @HamidaRamadhan-ti3or Před 2 měsíci +1

    Napenda sana mtindi ila sikujua kama una na Kazi hii ahsant kwa kunifumbua macho

  • @ElizabethNyangahu
    @ElizabethNyangahu Před měsícem

    Asante sana doc

  • @user-lz7sd1vd2e
    @user-lz7sd1vd2e Před 2 měsíci +6

    Asante kwa somo kuanzia kesho nafunga Mara 2 kwa week kumwomba mungu.

  • @VickyNyela
    @VickyNyela Před 2 měsíci +1

    Barikiwa sana doctr

  • @hellenngwilla550
    @hellenngwilla550 Před 2 měsíci +1

    Asante sana

  • @khadejarajab844
    @khadejarajab844 Před 3 měsíci +2

    Doctor yote yamanigusa asante kwa ushauri wako allah akujalie afya njema inshaallah uzidikutusaidia

  • @JanetNalianya
    @JanetNalianya Před 2 měsíci +1

    Thanks so very much I will do

  • @hadijambwambo6833
    @hadijambwambo6833 Před měsícem

    Asant sana doctor

  • @happinessemanuel-xm3md
    @happinessemanuel-xm3md Před 2 měsíci +1

    Asanteee nimejifunza mambo mazuri baadhi nilikua siyafahamu🙏

  • @AminaIbrahim-mn9wg
    @AminaIbrahim-mn9wg Před 3 měsíci

    Shukran ❤

  • @user-ty5fh6jc8d
    @user-ty5fh6jc8d Před měsícem

    Asante Sana

  • @irenebeddah6524
    @irenebeddah6524 Před 7 dny

    Barikiwa sana

  • @oswardpeter6179
    @oswardpeter6179 Před 2 měsíci +1

    Nimejifunza kitu kupitia somohili.Shukrani.

  • @esthersimuli9952
    @esthersimuli9952 Před 2 měsíci

    Thanks

  • @magrethmosha2116
    @magrethmosha2116 Před 2 měsíci

    Nashukuru sana nitafanya hivyo Mungu akubariki

  • @FaustineBernady
    @FaustineBernady Před 2 měsíci

    Nimekuelewa sana

  • @user-qt6pj6sn2g
    @user-qt6pj6sn2g Před měsícem +1

    Dr samahani nipo nje suala, nauliza je mimi nasumbuliwa na kupata choo kigumu, huwa natumia mbegu za maboga ktk uji, na kutafuna ambazo nimezikaanga.

  • @biasnamsangi4299
    @biasnamsangi4299 Před 2 měsíci

    Safu sana Dr

  • @simonimagonga6253
    @simonimagonga6253 Před 2 měsíci

    Nashukuru kwa Somo....

  • @user-dh2zb2dm1v
    @user-dh2zb2dm1v Před měsícem

    Hakika Asante Sana

  • @salimabdallah6405
    @salimabdallah6405 Před 2 měsíci +6

    Ngoja kwanza nimeze glasa kadhaa za maji njomba😂

  • @EmmahChepkurui-cq2dy
    @EmmahChepkurui-cq2dy Před měsícem

    I love it ❤❤❤

  • @irakozeshela1809
    @irakozeshela1809 Před 3 měsíci

    allah akubariki sana kaka ezden❤naacha chai ya rangi nitakunywa maji kwa wingi na kufanya mazowezi

  • @theodosiahaule5545
    @theodosiahaule5545 Před měsícem

    Somo zuri sana🙏🏽

  • @LukmanSalum
    @LukmanSalum Před 2 měsíci

    Asante San

  • @Cutephina
    @Cutephina Před 2 měsíci +1

    Asante sana doctor 🙏🙏

  • @AmanaAmos-hv3yz
    @AmanaAmos-hv3yz Před měsícem

    Thank u

  • @khadejakhadeja9713
    @khadejakhadeja9713 Před 2 měsíci

    Kweli kabisa ❤❤❤❤asantee

  • @magdalenalaban8895
    @magdalenalaban8895 Před měsícem

    Asante

  • @syllatidiane4681
    @syllatidiane4681 Před měsícem

    Thank

  • @user-rh9ei6gv1v
    @user-rh9ei6gv1v Před 2 měsíci

    Docteur tunashukuru sana kW wushari wako ivi ntahanza gutumiya intenté za maboga niwe nakura fruit n'a maji mengi n'a siport asante mungu akuzidishiye

  • @shekhissa7880
    @shekhissa7880 Před 2 měsíci +1

    Asante kwa ukubusho na elimu

  • @LukmanSalum
    @LukmanSalum Před měsícem +1

    Shukran San doctor unahitaji zawadi

  • @HildaAkyoo
    @HildaAkyoo Před měsícem +1

    Nashukuru Sana kwa ushauri nitakaa mbali na mawazo

  • @FAMAJUMwalim
    @FAMAJUMwalim Před 2 měsíci

    Hongera kwa makala

  • @user-hn8wo7fw6d
    @user-hn8wo7fw6d Před 2 měsíci +1

    Doctor miguu yangu imevimba sana

  • @SarahAimedy-us7if
    @SarahAimedy-us7if Před 2 měsíci

    Asate sana🎉🎉🎉

  • @PatrickMode
    @PatrickMode Před 22 dny +1

    Asaasnte sana

  • @fatmahemed2189
    @fatmahemed2189 Před 16 dny +1

    Asante kwa kutupatia Elim
    Ikiwa mtu Ana sumbuliwa kupata ajakubwa je atumie dawa gani ya asili?

  • @khadejakhadeja9713
    @khadejakhadeja9713 Před 2 měsíci

    Ameen ❤❤❤Ameen🎉🎉🎉

  • @CarlottaLove-ij9co
    @CarlottaLove-ij9co Před 2 měsíci

    Asante Kwa mafunzo mazuri

  • @MWANAHAMISISALUMU-be2ow
    @MWANAHAMISISALUMU-be2ow Před 2 měsíci

    Asante docta kwa ushauri

  • @rahymeralbusaid
    @rahymeralbusaid Před 3 dny

    asante sana kaka angu

  • @laylayl5166
    @laylayl5166 Před 2 měsíci

    Shukrani sanaa docktar mengiitu Mimi yamenigusa hasa hiyo chai.ya rangi hatanikinywa chai ya maziwa vipi yaani nahisi Badoo sikunywa chai Hadi ya rangi japo kidogo jee nifanyejee ?niachee chai ya rangi??