Prof. Habari za kazi. Mimi ni mfuatiliaji mzuri Wa mafundisho yako. Kila kipindi unachorusha najifunza zaidi. Wewe kwanza umbo lako liko sahihi. Hapo ulipo una umri wa miaka mingapi. Na uzito wa kilo ngapi. Maana nakuona uko very super active!!! Natanguliza shukrani kwa majibu ya maombi hayo
Allh akulipe si rahisi kwa mtu mwenye cheo kama chako kuandaa vipindi na kutuelewesha hii ni kwa sababu unaona hatari iliyopo na unataka tujikinga. Ahsante sanna
Habari hii tv sikujua kama ipo hongera prof Jababi elimu nzuri umetoa..Ila mm ni kijana umri wangu 32yrs nina tatizo ambalo hospitali wameshidwa kujua tiba yake wala chanzo naomba mwenye namba ya simu ya Prof Jababi anisasidie guys nateseka sana almost miaka 8 sàsa ....Msada wakuu
Saana nidhanu ndio kila kitu. Ukikuta mtu anafukia nyama choka kilo moja na bia, akidhani huna hela ya kula , ila siku atakua anafanya dialisis atalia kama nyau 😊
Naamimi kuna Media Kubwa kama Clouds Media au Wasafi Tv wataingia mkataba na hii Channel ili haya Maudhui yawe yanawafikia wengi ambao kuifia CZcams ni ngumu!
Tunaomba mtoe darasa la namna ya kuacha vileo..Kiukweli watu wengi wanaurahibu wa pombe ila kwakuwa inauzwa kihalali tunaona kama ni sehem ya maisha na sio urahibu.Asante
Mungu wangu linda afya yangu sayansi ni bora ila wewe ni bora zaid✊
Prof. Habari za kazi. Mimi ni mfuatiliaji mzuri Wa mafundisho yako. Kila kipindi unachorusha najifunza zaidi.
Wewe kwanza umbo lako liko sahihi. Hapo ulipo una umri wa miaka mingapi. Na uzito wa kilo ngapi. Maana nakuona uko very super active!!! Natanguliza shukrani kwa majibu ya maombi hayo
Asante sana Dr . Imeeleweka mungu akupe maisha malefu huna baya na mtu Dr janabi
Simple and best explanations. Congrats Prof. Mohamed Janabi.Anajua kuelimisha sana.
Unatoa elimu nzuri sana Prof. Mohamed
Allh akulipe si rahisi kwa mtu mwenye cheo kama chako kuandaa vipindi na kutuelewesha hii ni kwa sababu unaona hatari iliyopo na unataka tujikinga. Ahsante sanna
Sana huyu baba anaiimani. anahuruma na binaadam wenzie
Kweli kabisa
Habari hii tv sikujua kama ipo hongera prof Jababi elimu nzuri umetoa..Ila mm ni kijana umri wangu 32yrs nina tatizo ambalo hospitali wameshidwa kujua tiba yake wala chanzo naomba mwenye namba ya simu ya Prof Jababi anisasidie guys nateseka sana almost miaka 8 sàsa ....Msada wakuu
Jitahidi uende jkci. Pale muhimbili kitengo cha moyo. Utampata.
Nenda Muhimbili ndio suluhisho..
Yesu Kristo anaweza kukuponya. Mpe Yesu nafasi. Kwa msaada zaidi unaweza kunifuata nitakushauri na tutaomba na utapona
@@barnabasmboya7688 😂😂😂 Wacha utapeli
we kichwa yako mbovu @@barnabasmboya7688
Ahsante, Mungu akupe maisha marefu uzidi kutuelimisha
We jamaaa unaafya ya aqiri iliyo strong sana
Me binafsi sijutii kukufaham kwakweli
Tuko pamoja Dr. Nakufuatilia kila siku na kila somo lako.
NASHUKURU SANA DOKTA.
NAOMBA KILA. KADA YA DAKTARI BINGWA TAIFA, ITOE MADA YAO HUKU, ILI TUJIEPUSHE NA HATARI HIZI.
Shukran doctor Allah akulipe kwa unachokitoa kwa jamii
Asante sana kwa Elimu ya afya Dr. Janabi. Mungu akuzindishie wingi wa siku
Mzee amenyooka,...ila maisha yanahitaji nidhamu kubwa
Hakıka mzee amenyooka mpaka... Nıdhamu kubwa katıka maısha haya nı muhımu sana. 🙏🙏
Asante sana doctor ubarikiwe
Saana nidhanu ndio kila kitu. Ukikuta mtu anafukia nyama choka kilo moja na bia, akidhani huna hela ya kula , ila siku atakua anafanya dialisis atalia kama nyau 😊
@@officialyohanamalisa1873 maisha yana mwisho, usimdharau na kumnyanyapaa anayekula kilo nyama choma. Duniani tunapita.
Nimekuelewa doctor.mungu akuzidishie kutupa elimu napia .akuingize peponi amin
Elimu nzuri sana. Elimu ya kujitambua bado inahitajika sana. Magonjwa mengi yangeweza kuepukika kwa kubadilisha tu mfumo wa maisha
Aksnate sana professor Janaby kwa elimu nzuri sana
Mungu akutie nguvu utupe elim naelimika sana sana asante
Maashaallah Allah akulipe heri Dr. JANABI
Prof apewe muhimbili kwa miaka 100 ameibadilisha san Hospital ya Taifa
Shukrani doctor Allah akulipe
Ubarikiwe sana prof
Thank you Dr
Asante dr kwa somo
Mungu akubariki somo zuri xana hili
hongera profesa janabi nakufuatilia
Thank You Prof.
Asant sana doctor mungu akulinde
Dr janabi Mungu akupe maisha marefu
Asante sana kwa elimu
Asante doctor
Asante dr
Ahsante Kupata Elimu hii
Asante sana kwa elimu nzur
Asante sana prof🎉
6:09 Hii nzuri sana, ongera sana dr
Doctor asante kwa somo zuri,
Asanteee pfrs Jana bi❤❤❤❤ kwa somo
Shukran kwa mafunzo yenye kutujenga kiafya
Thanks Dr
Hongera sana DR🎉🎉
Shukrani 🙏🙏🙏
Asante kwa somo zuri
Shukran sana professor MJ
Nimekupata janabi mungu aliki kwasomo rako
Good Job Prof Janabi🤝
Asante sana Prof. Janabi kwa elimu ya afya kwa umma.
Shukrani sana
Asante Prof. Kwa Elimu
uko vizuri sana Prof . Janabi
Asante Prof. Barikiwa sana....nakufata toka DRC
Asante sana kiongozi Mungu akubaliki
Thanks and be blessed🙏🙏🙏
Ubarikiwe sana My Role Model
Asant san Dr
Ubarikiwe kiongoz
Hongera Sana prf. Hiv kukojoa mara kwa mara unawezakukuweka hatarini pia
Hongera sana Dr. Mungu akuzidishie umri
Asante sana kabisa from 🇨🇩
Nashukuru kuwafahamu nitaendelea kuwa fuatilia
Dr upo vizur
Thanks for class
Shukran prof janabi hakika kinga ni bora kuliko tiba
Thanks you ❤
Kulinda afya yako
safi sana dr nashukur Kuifahamu hii chanel inayofundisha mambo muhimu ktk maish yetu
Prof Janabi..huwa nafuatilia sana session zako...
Tuko pamoja Dr
Imeeleweka doctor
Doctor tunaomba mjibu coment zetu
Umesahau utumiaji wa vipodozi vyenye kemikali kali
Asante
Asante sana doctor lakini pia nina maswali jenaweza kuuliza
Tunaomba Dr mfanyie utafiti Sawa zetu za asili tulizotimia huko nyuma na zikatusaidia
Naamimi kuna Media Kubwa kama Clouds Media au Wasafi Tv wataingia mkataba na hii Channel ili haya Maudhui yawe yanawafikia wengi ambao kuifia CZcams ni ngumu!
Alishaenda wahi kwenda clouds sema ....
Thank you so much for your consideration 🙏🏿🙏🏿
Dr mo janabi unipa somo nimetoka na kitu kimojahapo,msaliimie bingwa mwenzio hapo dialysis mgumi na ness mnyenyekevu asie na mawaa HAJIRA ###
Asante sana Dr Janabi kwa kutuelimisha. Je, juice ya miwa ni salama kwa figo?
👏👏
MUHIMBILI#Afya bodcast# naomba mnisaidie mawasiliano ya Prof.Janabi nina maswali mengi sana
Sio lahisi hivo kupata
🤝
Assalam alaikum, dr janabi naomba utuelezee maradhi gesi na namna ya kujikinga . Insha Allah
❤❤❤
Good
🙏🙏
Hakika MUNGU akubariki Sana wewe kweli ni msomi
Shikamoo pro kwenye pombe ongeza ata mbili mkubwa 😂😂😂
Heeeeee
Tunashkur kwkuwa tunapata Elim ya mapema.
Ningependa aweke nambayake jamani
Sasa mimi ninae kunywa wine zaid ya moja mungu nisaidie nimeogopa
Nani kaniambia niangalie hii daaah 😢😢
Janab
Our body when having too much acid ....can be reduced by eating alkaline foods ...ie all vegy and fruits
Huyu jamaa anajua kutupa madini na anajua kuchambua
Hapa kwenye ulaji wa pombe kupitiliza ningependeza useme watu wasitumie pombe kwasabab hata hio glass moja inaleta athar ndan ya mwili
Asante sana baba
Najua hii itanifanya niwe maarufu sana 😢😢😂
Janabi chawi siku hizi kila nikita kununua soda naiona picha ya janabi , chap naghair
MAMBO YA AFYA HAYA,MWISHOWE MTATUAMBIA HADI KULALA NA FENI KUNASABABISHA FIGO KUFELI,,SASA USINGIZI ASKARI HAWALALAGI KABISA KUMBE NI HATARI
Wewe utabisha mpka kifo chako
Mzaha kwenye ukweli ni mzaha uliouzoea kwenye maisha yaki jitafakari ndg
@@abdallahmmary8591 angalia Figo zako sio zangu
Nani kakwambia askari halalagi kabisa, acha kukariri. Kwamba mda wote anakuwa kazini
@@abasilihundu200 kwani Dr kasema tulale mda wote?au kukosa mda mwingi wa kulala?we unaelewa bs
Tunaomba mtoe darasa la namna ya kuacha vileo..Kiukweli watu wengi wanaurahibu wa pombe ila kwakuwa inauzwa kihalali tunaona kama ni sehem ya maisha na sio urahibu.Asante
Aimbie tu serikali ipige marufuku wa pombe ,viwanda vyote vifungwe
Na kodi je utanipa wewe
@@lilianfelix5143 Nenda kijijini kalime 😀