MNH - AFYA PODCAST: Fahamu kuhusu Kiharusi (Stroke) na Prof. Mohamed Janabi

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 4. 09. 2024
  • MNH - AFYA PODCAST: Fahamu kuhusu Kiharusi (Stroke) na Prof. Mohamed Janabi akielezea zaidi Kuhusu Chanzo, sababu na namna unaweza kuepukana na Kiharusi, ungana na Prof. Janabi episode ijayo ya AFYA PODCAST kufahamu juu ya tiba ya kiharusi.

Komentáře • 52

  • @GodlivenMaximillian-ot7mg
    @GodlivenMaximillian-ot7mg Před 8 měsíci +22

    Profesa Janab yuko vizuri sana. Moja kati ya madaktari waalimu Kwa kuwa amejikita sana katika kufundisha. Wale wanaoelewa watakubaliana nami kwamba this guy is a good teacher.

  • @allykinyaga6060
    @allykinyaga6060 Před 8 měsíci +8

    Ahsante sana Prof. Ninakuelewa sana na ninafuata ushauri wako prof. Miezi mitatu iliyopita nilikua na 87Kg, jana nimepima nina 81Kg na bado sijaanza mazoezi hapo nimecontral kula tu, Nimepunguza kula Sukari na wanga, pia kutafuniza nimeacha kabisa milo yangu ni miwili pekee nakula saa tatu asubuhi na saa moja usiku. Mwenyezimungu akubariki professor, pia aibariki Hospitali yetu ya Mhimbili...Aaamin

  • @DamasNyoka
    @DamasNyoka Před 2 měsíci

    Mungu akupe nguvu zakutosha katika utendaji mzuri wa kazi yako

  • @amrimtiti9054
    @amrimtiti9054 Před 8 měsíci +6

    Tunanufaika sana na mwendelezo wa masomo unayofundisha Dkt.Allah akujaalie umri mrefu

  • @muhimbilitv847
    @muhimbilitv847  Před 8 měsíci +7

    Ungana na Prof. Mohamed Janabi episode ijayo ya AFYA PODCAST kufahamu juu ya tiba ya kiharusi.

  • @sameonesample4548
    @sameonesample4548 Před 2 měsíci

    Shukran, kwa somo zuri,

  • @adellahchipanyanga5107
    @adellahchipanyanga5107 Před 8 měsíci +2

    Mungu akubariki wewe pamoja na uongozi wote wa hospital yetu muhimbili kwa kutuelimisha kuhusu afya kwa ujumla mnafanya kazi nzuri mungu atawalipa

  • @ramadhanichuma8877
    @ramadhanichuma8877 Před 8 měsíci +4

    Daktari Tunashukuru kwa somo zuri na tunajifunza ahsante usituchoke!! 🙏

  • @adobertmugyabuso247
    @adobertmugyabuso247 Před 8 měsíci +3

    tunashukuru sana kwa muda unaotoa kutuelewesha mambo haya ya msingi sana...asnte sana Dr. Janabi

  • @abuuramadhan8093
    @abuuramadhan8093 Před 8 měsíci +2

    Tulichelewa wap kumpata Prof janab Tanzania

  • @user-nj2ut3gm8n
    @user-nj2ut3gm8n Před 8 měsíci +3

    Shukrani sana prof kwa Mafunzo mazuri 🥰👏🙏

  • @charlesngwembele4541
    @charlesngwembele4541 Před 8 měsíci +1

    Dr mwenye passion ya kazi yake nchi izalishe watu werevu zaidi kuliko hivi sasa

  • @elibarikimeela2761
    @elibarikimeela2761 Před 8 měsíci +1

    Kaka Janabi Asante Sana kwa kujali maisha ya binadamu wenzako.
    Mungu aendelee kukutunza.

  • @johnbahati478
    @johnbahati478 Před 8 měsíci +1

    Hii elimu iendelee,ni nzuri sana

  • @hedayakatembo7421
    @hedayakatembo7421 Před 6 měsíci

    Mwenyezi Mungu Akujaalie Dr . Tunanufaika na elimu yako. Diet na mazoezi ndio Afya ya Mwanadaam. Shukran.

  • @theophilwhiteheart1997
    @theophilwhiteheart1997 Před 4 měsíci

    Mwenyez Mungu akujaalie umri mrefu mzee🙌🏽😇

  • @osoromageta3381
    @osoromageta3381 Před 8 měsíci +1

    Maisha ya binadamu nimafupi mno tumuombe Mungu atusaidie sana miisho yetu iwe mizuri

  • @barakajao4594
    @barakajao4594 Před 8 měsíci +1

    Elimu nzuri, Kinga ni bora kuliko dawa

  • @bakariissa6559
    @bakariissa6559 Před 8 měsíci +3

    Wizara ya Afya inatakiwa: 1.Kuenzi na kuendeleza Ubunifu huu; 2. Kuwezesha Hospitali kuwa na Tvs na kuonesha maudhui haya kwa wagonjwa kwa Hospitali zote.
    HONGERA PROF KWA UBUNIFU NA ELIMU UNAYOITOA KWA UMMA.

  • @khadejakhadeja9713
    @khadejakhadeja9713 Před 8 měsíci +1

    Aliye gunduwa.tuletewe madctr mntantaoni mungu ampe afya.njema zamani ilikuwa hakuna mpaka uwende ukamuone pfessar. Janabbi❤❤❤❤❤❤

  • @homeboybeyondtheborders4935
    @homeboybeyondtheborders4935 Před 8 měsíci +1

    Mimi nimebadilisha sana mtindo wangu wa kula ila imenipa faida nyingi sana,Kuna jamaa yangu bonge yaani mnene kupita kiasi ananiambia yeye anaishi na akipata ugonjwa wowote mungu amepanga.

    • @ambrose_vevo137
      @ambrose_vevo137 Před 6 měsíci

      Hahahaha anaakili lakn Amekosa Maarifa....😅

  • @stevenmwaiko801
    @stevenmwaiko801 Před 8 měsíci

    Shukrani sana Prof.Janabi kwa somo hili muhimu, Stroke imekuwa ni tatizo sana huku mtaani

  • @saadajahadhmy3819
    @saadajahadhmy3819 Před 8 měsíci

    SHUKRAN JAZAKA'LLAH KHAIR

  • @gracekagoma3231
    @gracekagoma3231 Před 8 měsíci +2

    Remain blessed Dr.prof Janabi.

  • @lambosalum6299
    @lambosalum6299 Před 8 měsíci +1

    Good presentation Mr Janabi❤

  • @mozasawafy694
    @mozasawafy694 Před 8 měsíci

    Allah akupe umri mrefu kwa kutoa elimu hii ni sadaka kwako

  • @shubemponda5470
    @shubemponda5470 Před 8 měsíci

    Asante sana kwa elimu hii doctar

  • @niriacatering172
    @niriacatering172 Před 4 měsíci

    Shukrani sana

  • @limoghasia321
    @limoghasia321 Před 8 měsíci

    Thanks Prof Janab

  • @ahz6907
    @ahz6907 Před 8 měsíci +2

    Doctor janabi unaupiga mwingi mnoooo....

  • @annamagesa3031
    @annamagesa3031 Před 8 měsíci

    Mungu akubariki❤❤❤

  • @amosijohnmanota4472
    @amosijohnmanota4472 Před 8 měsíci

    Congratulations prof.

  • @khadejakhadeja9713
    @khadejakhadeja9713 Před 8 měsíci

    Asante pfess Janab❤❤

  • @benjaminalex3058
    @benjaminalex3058 Před 8 měsíci

    Shukrani sana kwa mafunzo

  • @Wanisimbula
    @Wanisimbula Před 8 měsíci

    Asante Daktari kwa elimu hii..

  • @prosperjuma905
    @prosperjuma905 Před 8 měsíci

    Thanks prof🙏

  • @kelvinthomasi2908
    @kelvinthomasi2908 Před 8 měsíci

    Live long janabi

  • @salimseleman4552
    @salimseleman4552 Před 8 měsíci +1

    📝

  • @promachemicals6459
    @promachemicals6459 Před 8 měsíci

    Endelee Prof Dr M Janabi. Wengi hawajapata hii awareness kufuatilia.

  • @ankaldally2734
    @ankaldally2734 Před 5 měsíci

  • @mussamjeda2073
    @mussamjeda2073 Před 6 měsíci

    ❤❤❤

  • @drackshad2995
    @drackshad2995 Před 4 měsíci

    🤝

  • @user-wb4is6ry1p
    @user-wb4is6ry1p Před 8 měsíci +1

    Following

  • @user-er1nf9nh3e
    @user-er1nf9nh3e Před 8 měsíci

    📝📝📝

  • @drtamarasaidali8449
    @drtamarasaidali8449 Před 8 měsíci

  • @DamasNyoka
    @DamasNyoka Před 2 měsíci

    Dr nahitaji kuonana nawewe kwa maelezo ya kiafya nipo mwaisela wodi 6 flow yapili

  • @chrismwanjalika9892
    @chrismwanjalika9892 Před 8 měsíci

    Thanks, profesa. Could you tell us about maji ya kunywa ya chupa toka kiwandani.

  • @MaryBrayn
    @MaryBrayn Před 6 měsíci

    🫡