Fuatana na Prof. Mohamed Janabi ili kufahamu NJIA SITA ZA KUPUNGUZA UPANDAJI WA SUKARI KWENYE DAMU#*

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 4. 09. 2024
  • Fuatana na Prof. Mohamed Janabi ili kufahamu NJIA SITA ZA KUPUNGUZA UPANDAJI WA SUKARI KWENYE DAMU#*

Komentáře • 61

  • @anithasemwano8276
    @anithasemwano8276 Před 5 měsíci +11

    Watu wengine wanabeza ,Dr.kiukweli unafanya kazi ya kiimani Mungu akupe umri mrefu tuendelee kunufaika na elimu yako.

  • @allykinyaga6060
    @allykinyaga6060 Před 5 měsíci +8

    Ahsante Muhumbili TV, Ahsante prof kwa Elimu hubwa hii uliyopatia bure

  • @MrDaoud-il9nt
    @MrDaoud-il9nt Před 3 měsíci +4

    Dr. Tunakuelewa ila hali ya maisha ndio inatupeleka huko

  • @MabelKaaya-hl2je
    @MabelKaaya-hl2je Před 5 měsíci +4

    Asante sana kwa maarifa haya muhimu Doctor Janabi. Mungu Akutunze.

  • @user-ts9qj7bg1i
    @user-ts9qj7bg1i Před 5 měsíci +3

    Wakae sehemu ambao haina makelele mbona mie namsikia vizuri sana Mungu ambariki sana huyu Dokta jamani

  • @tumainielmaruwa3148
    @tumainielmaruwa3148 Před 5 měsíci +4

    Prof Janabi Mungu akupe umri refused sana. Wewe ni Lulu kwa watanzania

  • @bernardmarcelline7623
    @bernardmarcelline7623 Před 5 měsíci +17

    Itapendeza akitumia mifano zaidi ya vyakula tunavyokula waswahili wa kawaida huku mtaani na kwa majina tunayotumia huku mtaani. Vitu kama chips kuku, ndizi maharage, kande, chai kwa magimbi au mihogo nk. Hii itatusaidia zaidi. Sisi wengine kuku, nyama na samaki kwetu ni kitoweo tu kilichopatikana siku hiyo mara nyingi sisi ni mchicha, kisamvu, majani ya maboga, mlenda, matembele ndio mboga zetu.

    • @khaledeponera6070
      @khaledeponera6070 Před 4 měsíci

      Usituongelee watanzania wote....huyo ni wewe na umasikini wako

  • @nazirsulaiman8352
    @nazirsulaiman8352 Před 5 měsíci +3

    Asante sana doctor,
    Umefafanua vizuri,
    Mwenyezi Mungu akubariki,
    Tunanufaika na elimu Yako big up.

  • @sindabahabwoyaanacret660
    @sindabahabwoyaanacret660 Před 5 měsíci +20

    Wanao lalamika sauti ipo chini nipende tuu kusema madaktar huwa hawapayuki

  • @faridali4313
    @faridali4313 Před 4 měsíci +1

    Tunashukuru sana kwa Elimu ya afya unayotupa... Ila sauti ni ndogo haisikiki vizuri.

  • @jacobnduya798
    @jacobnduya798 Před 5 měsíci +5

    Nimegundua darasa zuri sana tena la bure. Asante sana professor nimependa sana mafundisho yako. 🙏 God bless you and keep you safe.
    Mwisho naomba niulize swali, je nikila wanga asubuhi na jioni na kufanya mazoezi ya kukimbia mara tatu kwa wiki je bado niko hatarini kupata kisukari?

    • @leahogutu9818
      @leahogutu9818 Před 2 měsíci

      Dr Janabi Mungu akutunze wewe ni tunu kw wa Tanzania nimekuelewa sanaaa

  • @shukranjulius9526
    @shukranjulius9526 Před 5 měsíci +1

    Mashaallah, shukrani sana Doctor

  • @GetrudeMngulwi
    @GetrudeMngulwi Před 4 měsíci

    Asante. Mungu aendelee kukutumia kwa vipindi hivyo.

  • @user-wh9zj7kf7h
    @user-wh9zj7kf7h Před 5 měsíci +1

    Asante doctor mimi nimejitahidi nimepungua lakini nasumbuliwa gas,pengine cjafahamu vzur jinsi ya kupangilia

  • @ashrafurwegoshora4227
    @ashrafurwegoshora4227 Před 5 měsíci +2

    Inasikika vizuri sana

  • @mohamedhajj9881
    @mohamedhajj9881 Před 5 měsíci +8

    Dadeki kumbe kiporo kina lika kitaalam

  • @johnmsokulu7726
    @johnmsokulu7726 Před 5 měsíci +1

    Namuomba ajitahid kutumia kiswahili pale inapowezekana mfno hvyo vyakula wengi utawaacha hawataelewa better atumie kiswahili, asante

  • @charlesmoshi1983
    @charlesmoshi1983 Před 4 měsíci +1

    Kumbe vipolo fresh sana eeh havina shida kama tulivyokua tunadhan

  • @niriacatering172
    @niriacatering172 Před 4 měsíci

    Shukrani sana Dr

  • @octaviantito
    @octaviantito Před 5 měsíci +3

    Kuweza kujizuia kula vyakula vya sukari na wanga usiku itakusaidia sana kupunguza ongezeko la sukari kwenye damu.

  • @LizyKinabo
    @LizyKinabo Před 18 dny

    😂😂ma dr hawapayuki kweli

  • @christinekirigini5963
    @christinekirigini5963 Před 3 měsíci +1

    Dr nimekuwa mfuasi wako na naamini nitapungua na kumaintain baada ya hapo

  • @jacklinelyimo7407
    @jacklinelyimo7407 Před 4 měsíci

    Asante

  • @leahogutu9818
    @leahogutu9818 Před 2 měsíci

    Nimesikia Dr unazungumzia viazi naomba kujua ni viazo Ulaya au viazi vitamu tafathali tujuze Asante

  • @AminiMsellem-gk3yy
    @AminiMsellem-gk3yy Před 5 měsíci +3

    PIGA KELELE KWA WAPENDA VIPOROOOO😂😂😂

  • @RevocatusSebastian-c8o
    @RevocatusSebastian-c8o Před 17 dny +1

    Dokta vip kwa anaekula matunda usiku kisha akanywa maji nakulala je, anahatari kupata kisukari maanna matunda yanasukari pia

  • @vanywilson4142
    @vanywilson4142 Před 5 měsíci

    Dr jenabi umetusaidia sana masomo yako ni mazuri sana kwa jamii

  • @Selemlaki132
    @Selemlaki132 Před 5 měsíci +2

    Sauti Iko chini sana

  • @user-wh9zj7kf7h
    @user-wh9zj7kf7h Před 5 měsíci +1

    Doctor je hyo vineger kwa wenye vidonda vya tumbo?

  • @selemanimasatu2421
    @selemanimasatu2421 Před 5 měsíci

    Isingekuwa sauti kuwa chini leo tena nisingekula ila now sijakusikia acha nijivinjali.

  • @MaryamSeif-x5z
    @MaryamSeif-x5z Před měsícem

    Viyazi vitamu haviongezi unene

  • @jamesimanwel5089
    @jamesimanwel5089 Před 5 měsíci +1

    Sauti iko chini sana

  • @nicksonngogo7904
    @nicksonngogo7904 Před 4 měsíci

    🎉🎉🎉

  • @renatusblandes1131
    @renatusblandes1131 Před 5 měsíci

    Yaani hapa Dr tuambie tule chakula gani sisi watu wa Hali ya chini maana tumezoea mchana ugali jioni mahalagwe?na vitu vingine Bei yake hipo juu

  • @neliusgosbertbaguma8693
    @neliusgosbertbaguma8693 Před 5 měsíci +1

    Viazi vitamu vipi havina sukari?

  • @abdallahbahadadi7172
    @abdallahbahadadi7172 Před 4 měsíci

    Prof. Kuna kitu hatari kuliko blood sugar nacho ni INSULIN resistance. Hapa kwetu kuna baadhi ya madaktari hawajawahi kusikia vipimo vya insulin test au HOMA IR.

    • @dorothymbise3427
      @dorothymbise3427 Před 3 měsíci

      Hiii unatest wapi.

    • @abdallahbahadadi7172
      @abdallahbahadadi7172 Před 3 měsíci

      Insulin test nimepima TMJ Mikocheni. Hospital nyingine hata kusikia kipimo hicho hawajakisikia.
      Kujiandaa:Asubuhi hauli kitu. Vipimo ni viwili 1 Fasting Insulin (shs 70000) 2 Fasting Glucose ( 5000).Ili kupata HOMA IR kuna ukokotozi. Zipo online

  • @holyboy_midwife7596
    @holyboy_midwife7596 Před 3 měsíci +1

    Zote n carbohydrates

  • @user-mb3wi4ui6m
    @user-mb3wi4ui6m Před 4 měsíci

    Mimi.huwa.napenda.sana.kula.malemau.na.maganda.yake.je.kunamadara

  • @user-wl9ry9tk7p
    @user-wl9ry9tk7p Před 5 měsíci

    Sauti ndogo ?

  • @mahmoudmtanga8448
    @mahmoudmtanga8448 Před 3 měsíci

    mdundo mkubwa sauti ndogo

  • @buberwaaligaesha1779
    @buberwaaligaesha1779 Před 5 měsíci

    Ongeza sauti ya simu yako inasikika vizuri

  • @OswardWilson-gx2hy
    @OswardWilson-gx2hy Před 5 měsíci

    Asante