Vyakula vya Wanga ni Hatari | Unaharibu Kizazi Chako| Vipimo Milioni 8

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 25. 08. 2024
  • Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete ( The Jakaya Kikwete Cardiac Institute ) iliyoko katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili jijini Dar es salaam.Profesa Janabi, ambaye pia ni daktari Mkuu Binafsi wa Rais Mstafu Mhe. Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete ametoa athari zitokanazo na matumizi ya chakula cha wanga kupita kiasi.

Komentáře • 73

  • @euniestherwilliam1513
    @euniestherwilliam1513 Před 2 měsíci +3

    Prof Janabi nashukuru kwa elimu yako. Uliyoyasema yote ni kweli, nilipoacha tumia wanga kwa miezi 5 niliona matokeo mazuri sana. Nilikuwwa nikila matunda, mayai na samaki.
    Ahsante sana Prof

  • @renataraymond8988
    @renataraymond8988 Před 5 lety +7

    Hatari sana,hasa watu Wa mijini maofisini.Elimu inatakiwa!

    • @Deojames98
      @Deojames98 Před 2 lety +1

      Kweli kabisa kazi za maofisini kama mtu asipokuwa na ratiba ya mazoezi ni hatari sana

  • @msetikebwasi7270
    @msetikebwasi7270 Před 5 měsíci +6

    Sisi tunataka kujua tule nini,,siyo ukosoaji tu.

  • @NardhisMhagama-sy3eq
    @NardhisMhagama-sy3eq Před 5 měsíci +1

    Kawa ambie Wasukuma wanao kula sana

  • @user-nh9pp8xe2g
    @user-nh9pp8xe2g Před 5 měsíci +2

    Mbishi huwa hafaidi chagua mwenyewe ule nini halafu uende kwake akakuzibue moyo.Tunabisha lakini matokeo tunaona jinsi watu wanavyoteseka.kula lakini kwa kiasi na mazoezi

  • @stevenclaud6648
    @stevenclaud6648 Před 6 měsíci +1

    Ahsante prof kwa elimu naomba nikushauri zingatia lishe kula vizuri acha ubahili huo si mwili wako ahsante

  • @olivamatama590
    @olivamatama590 Před rokem +2

    Mungu atatulipia siku moja.

  • @salumjuma6073
    @salumjuma6073 Před rokem +6

    Prof.Mohammed tunaomba uanzishe CZcams Channel ili kutuelimisha zaidi kuhusu magonjwa ya moyo na vyakula

  • @dietrihs9264
    @dietrihs9264 Před 3 lety +7

    Kufa siku ni moja na mungu akikupa ugonjwa amekupenda,
    Ule vyakula vya wanga usile utakufa hio hio siku moja 😁😂😂😂

    • @luthernicholaus
      @luthernicholaus Před rokem

      Pia magojwa wanachosha sana jamii na familia. Ni mateso sana kwa mtu binafsi na jamii kwa ujumla

    • @binhussain3445
      @binhussain3445 Před rokem

      Huyo Mungu amesema tuchukue tahadhari

    • @RamadhaniLukambuzi
      @RamadhaniLukambuzi Před 11 měsíci +2

      Tunatakiwa kula kidogo bila kujaza tumbo ili ibaki nafasi ya hewa na maji,shida iliyopo kwetu tunakula hadi matumbo yanatuna mwingine mpaka anashindwa kupumua.Chochote kile kinahitaji kutumia kidogo hata mapenzi ukifanya sana matokeo yake ni uhalibifu;kila kitu inatakiwa iwe wastani.Mtu mwingine anakula chakula cha mchana saa 11 jioni na usiku anakula saa 3 tena pilau na nyama au wali mweupe;anategemea nini hapo?

    • @noelashoo6043
      @noelashoo6043 Před 8 měsíci

      Dada God Is Love unatakiwa kuwa Na Kiasi Katika Maisha Hasa Kula Bila Kubebesha Lawama Mungu kakupa Ugonjwa.
      Hii part Achana Nayo mana huna Ushahid ww wala Mm cha Muhimu wajibika kutunza afya yako kwa Garama Yoyote ikibid Kuacha Kula vitu vya Ajab bila Masaa

    • @amjudith
      @amjudith Před 6 měsíci

      A very sad way of thinking 🤔🤔

  • @hamzakimaro3764
    @hamzakimaro3764 Před rokem +5

    MADK MARA NYINGINE MNATUTISHA SANA!!!

    • @ahz6907
      @ahz6907 Před 7 měsíci

      Kama anakutisha fanya utakayo.😂

  • @joniajohn4716
    @joniajohn4716 Před 4 lety +2

    Ahsante Prof

  • @Newage.Construction
    @Newage.Construction Před 5 měsíci +2

    Swali, tule nini ambacho hakina wanga?

  • @kwisa4899
    @kwisa4899 Před 6 měsíci +2

    Masomo haya kafundishe kijijini kwenu

  • @hamzamakame-fy6yp
    @hamzamakame-fy6yp Před 4 měsíci

    Tutakula ivo ivo tu twamuamin mungu hatuachi tule tu

    • @ephraimkyando6744
      @ephraimkyando6744 Před 18 dny

      huyo Mungu ndio aliumba na Bangi..Sasa kwanini hauvuti?
      Tuzingatie yanayofundishwa maana Mungu hutumia mtu yeyote kutusaidia.

  • @user-xo5ch3yl5s
    @user-xo5ch3yl5s Před 5 měsíci +1

    Unatushauri tule NN doctor

  • @jamilarumisha7031
    @jamilarumisha7031 Před 5 lety +7

    Mm niliacha wanga kwa miez 11 kiukweli changamoto za ki afya nilizokuanazo zikaisha wanga na sukar ni hatar sn

  • @solomonsebo2691
    @solomonsebo2691 Před rokem +4

    Professor naomba utuambie tule nini na wewe unakula vyakula gani?Asante

  • @gastorjohn5308
    @gastorjohn5308 Před 5 lety +1

    Msos Jaman

  • @NardhisMhagama-sy3eq
    @NardhisMhagama-sy3eq Před 5 měsíci +1

    Wanao PATA magojwa ya hivyo wengi ni wanakula vitu vya dhurma hata ally haph aliongea akiwa mkuu wa mkoa tabora mnadhulumu viwanja mashamba nyumba Hela mnatesa watu mnafunga watu saingine hawana hatia magojwa lazima yawarudie wenyewe

  • @elizabethleonce1089
    @elizabethleonce1089 Před měsícem

    Waandishi wetu bana wanachekacheka tu kwenye vitu vya msingi

  • @kipsjr3664
    @kipsjr3664 Před 2 lety +2

    ukiwasikiliza madaktari unaweza usile chakula

  • @ramadhanimtetu3656
    @ramadhanimtetu3656 Před 11 měsíci

    Daktari kuzungumza bila kutoa miongozo ya Nini kifanyike Sasa
    Wapi na kwa watu wa namna gani hujasaidia

  • @vengageorge6574
    @vengageorge6574 Před 5 měsíci

    Nguvu watapata wapi

  • @ramadhanimtetu3656
    @ramadhanimtetu3656 Před 10 měsíci +2

    Dr Janabi Hujasema tule Nini

  • @hanifamziray277
    @hanifamziray277 Před 6 měsíci

    Samsasali tulia hapo husomi magazet msikilize doct punguza lishe

  • @magrethdaniel8441
    @magrethdaniel8441 Před 6 měsíci

    Bakini tu na vipimo vyenu maan kwa hiyo bei 😮 ngumu

  • @CharlesNdaki-mb5kt
    @CharlesNdaki-mb5kt Před 16 dny

    Sasa useme tule nini sasa et

  • @georgebundala1915
    @georgebundala1915 Před 5 měsíci

    Unatuongezea hofu,je maisha yanatakiwa kuwa na muelekeo mmoja?Tuteketeze mahindi na mchele na mihogo yote

  • @radhiambwana3353
    @radhiambwana3353 Před rokem +3

    Tumekulia ugali wa Dona mboga na maziwa mgando huko nymbn tena unapg kisufuria mtu mmoja😂sema tulikuwa tunatembea kwnd shamba kuchnga na shuke ni kilometer 3, sasa hivi wanetu wanakula huku wamekaa nitatzo kwakwel Asante kwa elim

    • @ephraimkyando6744
      @ephraimkyando6744 Před 18 dny +1

      Haikuwa na shida kwasababu ulikuwa unafanya KAZi na dicho dokta kasema. Ila ukila hivyo halafu ukaenda darasani kusoma ndio shida inaanzia hapo😅

  • @deodadeo2016
    @deodadeo2016 Před 5 měsíci

    Huyu jamaa alivyo mjuvi ataishi milele

  • @SaimonTanganye
    @SaimonTanganye Před 6 měsíci

    Huyu mtu ni muongo tuwe makin nae.kila siku ana hili mara hili tusile wanga tutakula nn. Kusoma ni mhim ila kusoma ili kuelimika ni mhim zaidi . Lakn why professor kila siku mtandaon au unataka teuzi. Maisha yetu anajua mungu wengne ni uongo uongo tu mara tusile sukar mara wanga sasa tule nin na uwezo wetu ndo huo wa wanga .

  • @murattywamuratty9778
    @murattywamuratty9778 Před 5 měsíci

    Sasa tule nini jaman?

  • @bakarikayugwa3295
    @bakarikayugwa3295 Před 3 lety +4

    Kwenda zako kama ugonjwa unao ni wako tuu mimi toka nazaliwa chakuka kikuu ni ugali na uji vyoote ukibadili ni wali nao unakula siku ya skukukuu tu eiza pasaka klismasi ndo tunakula wali usitutishe

    • @godloveorio8029
      @godloveorio8029 Před 10 měsíci

      Aseme tule nini sasa maana ugali na wali ndo vime tukuzia hadi sasa.

  • @praygodmtui1407
    @praygodmtui1407 Před 7 měsíci +1

    Dada acha wenge

  • @user-sj4ur9zk9e
    @user-sj4ur9zk9e Před 9 měsíci

    Huyo alijinenepea 😂😂😂😂anapumulia gesi hta aibu hna

  • @user-pp7ug2bc1y
    @user-pp7ug2bc1y Před 6 měsíci

    Kizazi which?

  • @kainimkini2073
    @kainimkini2073 Před 5 měsíci

    Aongee tule nini sasa sisi hatuna shida tutafanya kile kinachotakiwa anaongea mengi mno huyo doctor au tuache kula kabisa

  • @lightnesscharlse2281
    @lightnesscharlse2281 Před 3 lety

    Tule nn jamani

    • @mwanjinzara8009
      @mwanjinzara8009 Před 9 měsíci

      Tule vyote kwa wakati ila.kidogo sukali ikiwezekana tusiguse bia mwisho mbili nazo unywe saa.mbili au tatu chakula cha jion mwisho kula saa moja maxoezi tusisahau pia😅😅

  • @emiliananaombakulizanimeot3658

    Docta Jamaica je Watton wakila mate kila siku inakuwaje

  • @ramadhanmazije3882
    @ramadhanmazije3882 Před 6 měsíci

    Na wewe Dr kutwa kucha unatutisha sasa tule nini? Utaepukaje vitu hivyo?

  • @emmanuelmpaliyenutritionist

    Huyu kazingua, akale shule upya. Vyakula vya msingi kula Ni vya wanga. Wazazi wamekuwa wakila vyakula hivyo vya wanga, (viazi, mihogo, ugali, maharage n.k) magonjwa hayakuwasumbua Kama Sasa. Tatizo he should backup with scientific evidence. Bongo tunakwama wap🤾🤾🤾

    • @radhiambwana3353
      @radhiambwana3353 Před rokem

      Nikwel lkn walikuwa wanaenda shamba pia kuchunga mifugo chkula kinatumika tatzo Sasa hivi tunakula tumekaa Mungu tusaidie

    • @emmanuelmpaliyenutritionist
      @emmanuelmpaliyenutritionist Před rokem

      @@radhiambwana3353 hakana anayekula akiwa amekaa vi ginevyo nikiwete. Lakini pia mjini tunakula kwa kupima, utashangaa Mtu asubuh amekula mandazi matatu au matano na chai. Mjini hatuli Kama watu wa vijijini. Na siku hizi watu wanafanya jogging. So kuna mengi. Point ya kwamba walienda shamba ni soft sana.

  • @suzanejeremiah3463
    @suzanejeremiah3463 Před 3 lety

    Ana rangi Kama roho yake

  • @mohamedkisalala4523
    @mohamedkisalala4523 Před 5 lety +1

    Tule nini sasa

  • @faizaomary2036
    @faizaomary2036 Před 5 lety

    Tule nn docta