Profesa JANABI ataja sababu WATU kuzeeka mapema ''TUNZA afya ikusaidie UZEENI siyo FEDHA''

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 20. 02. 2024
  • track.pari-tz.com/dc83e7da-03...
    Mkurugenzi Mtendaji wa Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH), Profesa Mohamed Janabi amesema asilimia kubwa ya watu wanatunza fedha ili ziwasaidie uzeeni na kusahau kutunza afya zao.
    Janabi amesisitiza tofauti na kutunza afya hakuna kitu kitakachokuwa na manufaa uzeeni kama afya imetetereka ikiwamo fedha.
    "Nafikiri ungetunza afya ikusaidie uzeeni kwa sababu fedha hizi zitakuja kukusaidia kulipia matibabu ya magonjwa hospitalini. Unafanya kazi miaka, unahangaika mjini miaka yote ili ukipata fedha uanze kuja kulipia betri za moyo nafikiri hiyo sio nzuri," amesema Profesa Janabi.
    Janabi amesema hayo alipofanya mahojiano na vyombo vya habari Jijini Dar es Salaam, huku akisema hajawahi kuwakataza watu wasile chakula, bali wasile ovyo na kula kwa wastani ili kuepuka magonjwa yasiyo ya lazima.
    "Tunashauri kupunguza vyakula vya wanga na vyenye sukari.”
    “Pia tunakataza ulaji wa vyakula vya kusindika, kwa sababu ili vikae muda mrefu kwenye shelfu lazima viwekwe kemikali, chumvi na sukari," amesema Profesa Janabi.
    Ili kufahamu zaidi alichozungumza Profesa Janabi, usikose Jarida la Afya Februari 23, 2024 pia endelea kufuatilia gazeti la Mwananchi na mitandao yake ya kijamii.

Komentáře • 218

  • @Mwananchidigital
    @Mwananchidigital  Před 5 měsíci +5

    Cheza sasa kupiti shorturl.at/jqzU6 na ushinde

    • @restitutamallya-pk5dr
      @restitutamallya-pk5dr Před 5 měsíci

      Hongera Dr Kwa somo zuri.... keep it up.... achana na hao wanatoa kweli.

  • @user-ls2uj3fl1o
    @user-ls2uj3fl1o Před 4 měsíci +15

    Binadamu bwana baba wawatu katuelimisha kama hujamuelewa acha endelea kuishi maisha yako hakulazimishi lakini siyo kumvunjia heshima siku ukuendea pale afya imegoma ndipo utajuwa umuhimu wake tujaribu kuwa na heshima jamani

    • @NdeshaPaul-uz9bw
      @NdeshaPaul-uz9bw Před 20 dny

      Sawa sana daktari ila ukumbuke Kuna kukosasa na inakula chochote unachoata. Hali za maisha kwa Sasa hata kutunza afya ni vigumu labda isile

    • @rosemarysulle9288
      @rosemarysulle9288 Před 16 dny +1

      Huyu dr mi namkuli mno na namfuatilia sana,tatizo la watz wanapenda mno kula sijui kwnn

  • @SalumYasinichambo-fk7lx
    @SalumYasinichambo-fk7lx Před 20 dny +1

    Mungu akupe umri mrefu DK wetu, Na Allah ampe moyo wa huruma zaidi mama yetu mpenzi mh .rais samia she luhu Hassan kukupa kazi bora zaidi

  • @allyfutto8763
    @allyfutto8763 Před 5 měsíci +12

    mashaAllah this is the best education that we need to understand the most.

  • @patrickKitambo
    @patrickKitambo Před 5 měsíci +8

    Baada ya kusikiliza hii maisha yangu yamepata mwanga mpya sana.. Ubarikiwe sana daktari kwa haya maarifa mimi ninafanyia kazi, kiukwel afya ndio mtaji wa kwanza ukichezea afya leo utaaabika sana kesho utatumia gharama kubwa sana

  • @raphaelkessy7360
    @raphaelkessy7360 Před 5 měsíci +10

    Mangu aku bariki sana sana kwa elimu na maelekezo yako afya yangu ni bora kabisa yani nime pona kabisa Dr

  • @stafordchamgeni8430
    @stafordchamgeni8430 Před 5 měsíci +9

    Watanzania tusiwe wabishi faida za kuwa na maprofesa ni hizo tujivunie kuwa na wasomi wetu wenye mioyo ya kutuelim8sha. Na mambo ya ubishi juu ya maisha yetu siyo tija kabisa.

  • @jasminomary8754
    @jasminomary8754 Před 4 měsíci +11

    Pr janabi yaani elimu yako mimi naifutilia sana na inanisaidia sana mungu akubaliki akulinde uzidi kutupa elimu

  • @frankkulwa3981
    @frankkulwa3981 Před 5 měsíci +10

    Safi sana Professor, unaelimisha sana.

  • @user-yf6kn9cr6z
    @user-yf6kn9cr6z Před 4 měsíci +4

    Asante dr.janabi kwa elimu nzuri mimi nimekuelewa sana mungu akubariki.

  • @desderipatrick8392
    @desderipatrick8392 Před 5 měsíci +5

    Mwenyezi Mungu akubariki sana Prof kwa elimu unayotoa ingawa wengine wanachukulia kama mzaha.

  • @tumainielmaruwa3148
    @tumainielmaruwa3148 Před 5 měsíci +10

    Mungu akulinde Prof Janabi. Wewe unaupendo wa kweli kwa wa Tz

  • @Nyanda_Jr
    @Nyanda_Jr Před 5 měsíci +12

    Clouds mmemsikia Daktari acheni mambo yenu ya kufanya dhihaka mnapotosha jamii

  • @twahaayubu8686
    @twahaayubu8686 Před 4 měsíci +10

    Hizo Mada Zako ni Nzuri Nakuomba Tunga Kitabu ch Kiswahili itakuwa Umeacha Urithi Mzuri Kizazi na Kizazi Mwenyezi MUNGU akubaariki

    • @gloriachristian1470
      @gloriachristian1470 Před 4 měsíci +1

      Watanzania wengi hatusomi vitabu acha atuambie kwa mdomo tunamuelewa kuliko kuandkiwa kitabu acha mambo ya kiAmani

    • @user-un5bo6ks1q
      @user-un5bo6ks1q Před 4 měsíci

      Comment makini kuliko zote 🤝

    • @tunkuh661
      @tunkuh661 Před 4 měsíci +1

      Yeap kwa faida ya vizazi vijavyo itapendeza hizo nondo ziwekwe kwenye docomentary

  • @EmmanuelNyinyigwa
    @EmmanuelNyinyigwa Před 5 měsíci +14

    Ukiwa bado huna panapo kuwasha Unaweza jua huyu mtaalam ana chekesha usiombe yakukute ya sikie kwa jilani yako. Fata maelekezo

  • @alexwilla4260
    @alexwilla4260 Před 5 měsíci +3

    Hongera sana Prof Tbs wamerelax sana hata hawajiangaishi na maisha ya watanzania wapo kimya tunakula na kunywa ving TBs wapo kimya dawa nazo zinapitishwa kinyemela'mafuta ya kula nayo hayapimwi ma tbs kazi kwelikweli

  • @fridamwakyambiki3255
    @fridamwakyambiki3255 Před 4 měsíci +3

    Mungu akubariki. Dr

  • @allyfutto8763
    @allyfutto8763 Před 4 měsíci +8

    Janabi yupo sawa mlo mmoja kwa siku ni kitu kinacho fuatwa na wengi waliohamka mimi ni mmojawao kwa miaka7 na tangu hapo sijawahi kurudi hospitality nashangaa watu wanamuona kama kituko wataofaidika ni watakaomfuwata na elimu ya LISHE ni Dhahabu 🇹🇿

    • @consolataaloycemgumba3735
      @consolataaloycemgumba3735 Před 4 měsíci +1

      Tatizo mazoea

    • @OchoaHomeDecor_
      @OchoaHomeDecor_ Před 2 měsíci

      Kwenda hospital ni swala la Mungu kakaa
      Shukuru sana Mungu kwa kutokufika huko
      Kunawatu hata mlo mmoja kuupata ni kipengele lakini wanaumwa kila siku...
      Wanashindia matembele yasiyo na mafuta matunda na vyakula kama hivyo lakin wanaumwa kila siku

  • @paulmaingi9246
    @paulmaingi9246 Před 4 dny

    Prof.Daktari thanks soo much for the wisdom..You are a God Inspired Doctor..

  • @dalilahmubago5131
    @dalilahmubago5131 Před 4 měsíci +2

    Barikiwa Dr. kwa kutuelimisha

  • @mkanotimmass4691
    @mkanotimmass4691 Před 4 měsíci +4

    Very true Dr Janab.Mwenyezi Mungu azidi kukupa maisha marefu, tunajifunza mengi kutoka katika mada zako.

  • @juliethmallya6821
    @juliethmallya6821 Před 4 měsíci +1

    Nilijifunza zaidi kwenye vyakula vya wangaa, kekiii kweli cjui tena, asante Baba Mungu akulinde.

  • @odettevianney3026
    @odettevianney3026 Před 4 měsíci +3

    Prof nimefuatisha mawaidha yako yamenisaidia sana mfano intermittent fasting, kupunguza sukari yaani hata kuzeeka kumepungua! Nakupa maua yako Prof. Ubarikiwe sana

  • @euniestherwilliam1513
    @euniestherwilliam1513 Před 2 měsíci

    Mungu akubariki sana Prof. Janabi. Nimebadili mfumo wangu wa maisha. No soda, no wali, no ugali. No ngano, no Juice.
    Nimeona mabadiliko makubwa ktk maisha yangu
    Mungu ATUSAIDIE.

  • @selinalawala2270
    @selinalawala2270 Před 5 měsíci +3

    Dr asante Kwa SoMo hili, umesaidia watanzania wengi mno wanaochukua hatua na kubadilika mwenendo wa ulaji kiafya.

  • @nsiamasawe4578
    @nsiamasawe4578 Před 5 měsíci +1

    Asante dr. Kwa ushauri. Mimi nipo tayari kubadilisha lifestyle.

  • @reginas1832
    @reginas1832 Před 5 měsíci +1

    Asante sana Dr. Janabi kwa hii elimu. Mungu akubariki

  • @gloriachristian1470
    @gloriachristian1470 Před 4 měsíci +6

    Apewe maua yake Le professor mm namkubali sana

  • @stevenmwenda3005
    @stevenmwenda3005 Před 5 měsíci +4

    Kweli dokta anatoa elimu nzuri sana sana japo kuna watu wanakejeli elimu anayotoa yaani tunafanya utani kwenye kila kitu inasikitisha utani wa dini mpaka kwenye afya

  • @loisndossi9877
    @loisndossi9877 Před 4 měsíci +5

    Prof.,thank you Sir .My God bless you man of God.

  • @hanspop6961
    @hanspop6961 Před 5 měsíci +2

    Asante Prof kwa Darasa

  • @OswardWilson-gx2hy
    @OswardWilson-gx2hy Před 4 měsíci

    Asante Dr

  • @user-fk8qv4rf5c
    @user-fk8qv4rf5c Před 5 měsíci +1

    Asante Prof kwa ushauli ni nzuri sana na endelea mimi nafuata nadha i na wengi

  • @vibetz9991
    @vibetz9991 Před 4 měsíci +20

    Sikuhizi Kila niki taka kula chipsi au kunywa soda, natokewa na sura ya huyu jamaa😢😢😢

    • @crispakyando8854
      @crispakyando8854 Před 4 měsíci +1

      Mungu tusaidie tu

    • @ramadhanimtetu3656
      @ramadhanimtetu3656 Před 4 měsíci +1

      AISEE tunafakamia tu

    • @BonnyMwajombe-iu7hb
      @BonnyMwajombe-iu7hb Před 4 měsíci +1

      Aisee kama ulikuwepo hata mimi hivohivo, afu nikimwona mtu anakunya soda namhurumia sana na nikiona mtu anakula chumvi ile ya pemben mwa sahani ya chips au nyama had nashtuka kama vile mtu kaniwekea barafu ktk uti wa mgongo😂😂

    • @user-ol7de5fo7j
      @user-ol7de5fo7j Před 4 měsíci +2

      Hahahaha 😂nimecheka kwa sauti

    • @user-ol7de5fo7j
      @user-ol7de5fo7j Před 4 měsíci +1

      Dr swali langu ni kwamba je tatizo la presha huwa linapona?

  • @awatifalghanim1106
    @awatifalghanim1106 Před 4 měsíci +1

    Kweli 100% tutunze afya yetu itakuja kutusaidia Uzeeni. 👍asante Doctor.

  • @marymremi1051
    @marymremi1051 Před 5 měsíci +1

    Asante ubarikiwe abarikiwe aliekusomesha

  • @dork8749
    @dork8749 Před 4 měsíci +1

    Ubarikiwe Prof.

  • @Kanyawela
    @Kanyawela Před 5 měsíci +1

    Asanten sana je Kahawa tunywe kiasi gani

  • @desderipatrick8392
    @desderipatrick8392 Před 4 měsíci +1

    Afya ni mtaji kwa maisha bora ya sasa na baadae, tukishupaza shingo lazima tutamkumbuka Prof. Janabi tukiwa kitandani.

  • @emmanueljoshua903
    @emmanueljoshua903 Před 5 měsíci

    Golden Star...

  • @susanpetershio3196
    @susanpetershio3196 Před 4 měsíci

    Mungu akubariki Prof. Usichoke kutushauri

  • @OswardWilson-gx2hy
    @OswardWilson-gx2hy Před 4 měsíci

    Dr asantee

  • @reginajoel3785
    @reginajoel3785 Před 5 měsíci +1

    asante kwa masomo,,

  • @user-kg9jt3ry5z
    @user-kg9jt3ry5z Před 5 měsíci +1

    Ahsante sana kwa elimu d.r upo sahihi kabisa ,endelea kuelimisha Jamii ya Watanzania

  • @dinachitungo8795
    @dinachitungo8795 Před 4 měsíci

    Ubarikiwe sana

  • @emmiemmi3861
    @emmiemmi3861 Před 2 měsíci

    Asante

  • @mkilimamoses2311
    @mkilimamoses2311 Před 3 měsíci

    Wananikera sana baadhi ya waandishi wa habari.Badala ya kuongeza msisitizo wataalam wavyo tufundusha wao wanatoa dhihaka.Niliwasikiliza sana hawa clouds,haukua ujinga waliokuwa wakiufanya bali ni upumbavu.Mpo kwaajili ya kutuelimisha na kutuburudisha,ila linapokuja swala la afya zetu hiyo ni elimu tusifanye mzaha.Tusipotunza afya zetu ujanani afya itachezea pesa zetu uzeeni.Bora umewapa kubwa profesa Janabi.Ninakufuatilia sana,Mungu akupe maisha marefu.

  • @EkelyNkanda
    @EkelyNkanda Před 21 dnem

    Elimu nzuri sana

  • @freddykulwa8190
    @freddykulwa8190 Před 21 dnem

    Mungu wangu uwe nasi siku zote amina tanzania 🇹🇿

  • @machongomika1206
    @machongomika1206 Před 5 měsíci +1

    Ubalikiwe sana

  • @teddyhenry2579
    @teddyhenry2579 Před 5 měsíci +1

    Ubarikiwe sana dr kweli kula ovyo kunazeesha unakula masukari mengi mawanga mwisho unakuwa manyama uzembe

  • @leonardmaganga9921
    @leonardmaganga9921 Před 5 měsíci +5

    Zingatia maelezo yake kwa faida yako. Kejeli hazisaidii.

  • @niahmosha4146
    @niahmosha4146 Před 4 měsíci

    Yaani Ur very good hakika unatuelimisja saan

  • @msabahaali758
    @msabahaali758 Před 4 měsíci

    binafsi mzee amebadisha maisha yangu namuelew sana mzee ana nia njema na anatoa sadaka kubwa kwenye jamii

  • @mwanaimamsangi971
    @mwanaimamsangi971 Před 3 měsíci

    Doctor Mungu akuweke nimeacha soda nashukuru Mungu

  • @mbenamdudu7856
    @mbenamdudu7856 Před 5 měsíci +1

    Mzee Yuko sawa ana nyoosha huu kwele japo Kila kifo kina Sababu

  • @mamlomamlo9064
    @mamlomamlo9064 Před 5 měsíci +2

    Allah atulinde na maradhi dr MashaAllah antoa elimu vizuri ,ningefurahi zaidi angelinganisha elimu yake na kitabu kitakatifu cha quran

  • @mpegesaaswile6581
    @mpegesaaswile6581 Před 2 měsíci

    Ahsante sana kwa elimu,siku hizi watu wakiambiwa watembee na mtu mwenye UKIMWI wapewe 5000000[5M] wanakubali.baadaye mambo yakiaza kubadilika wanaanza kujuta.

  • @EliaoleshengEa-pv8fu
    @EliaoleshengEa-pv8fu Před 22 dny

    Umenisaidia sana

  • @priscajoseph261
    @priscajoseph261 Před 5 měsíci +2

    Watu wangu wanaangamia kwa kukosa maalifa ona watu wanavyo dhihaki wakati ni elimu nzuri kabisa.

  • @jamesukombozi5216
    @jamesukombozi5216 Před 5 měsíci +4

    Kwenye kusoma nakuunga mkono profesa, watanzania wengi hatuna uzalendo wa kusoma

  • @jamesgeofrey8692
    @jamesgeofrey8692 Před 5 měsíci +2

    Heavy Talk

  • @annalyimo4143
    @annalyimo4143 Před 4 měsíci +1

    Mungu azidi kukutunza

  • @ChristerShao
    @ChristerShao Před 5 měsíci +2

    Prof,husichoke kutoa elimu,wapo wanaokuelewa,watanzania wanatabia ya kuchukulia mambo mzaha.

  • @gastonkaduma2503
    @gastonkaduma2503 Před 4 měsíci

    Exactly

  • @bakarimusa6297
    @bakarimusa6297 Před 3 měsíci

    Mashaallah mungu atakulipa

  • @abubakarikisuju80
    @abubakarikisuju80 Před 5 měsíci +1

    Yaani watz mna dharau sana"mnapewa elim kwa faida yenu"unamponda kisa mlevi na unavuta sigara

  • @MubinaRoshan
    @MubinaRoshan Před 5 měsíci +5

    Jamani dokta yuko sahihi sasa mnapoleta matan sio sawa

  • @stephenjonas4866
    @stephenjonas4866 Před 4 měsíci

    Prof kama prof

  • @nangatv9218
    @nangatv9218 Před 2 měsíci

    Mukali sana

  • @margaretkapolesya3979
    @margaretkapolesya3979 Před 4 měsíci +2

    NASHUKURU SANA KWA ELIMU UNAYOTUPATIA DR. JANABI. HIDUMA HII NI UONYAJI KAMILI. MWENYE MASIKIO NA ASIKIE

  • @daisyahmed1998
    @daisyahmed1998 Před 4 měsíci

    🙏🙏🙏

  • @user-rz3vi3tm5d
    @user-rz3vi3tm5d Před 4 měsíci

    Doctor naomba kuuliza kula mchele mbichi kunasababiasha unene wa mwili

  • @kibbysaidi7813
    @kibbysaidi7813 Před 5 měsíci +3

    Allow me to give you my humble advice my dear professor. Avoid political issues. Please stay a scientist as is your profession

    • @priscajoseph261
      @priscajoseph261 Před 5 měsíci

      Mmh am not seeing where has spoken political issues we here scientific speech.

    • @kibbysaidi7813
      @kibbysaidi7813 Před 5 měsíci

      @@priscajoseph261 Then you haven't followed his clips properly. A man with his very high qualifications suddenly becomes a man of press conferences then you know something is adrift...he is exposing himself for a political appointment...mark my words

  • @freddykulwa8190
    @freddykulwa8190 Před 21 dnem

    ❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @rogatemsangi6418
    @rogatemsangi6418 Před 4 měsíci +1

    Tatizo Hela tu utazeekaje mapema !?

  • @EliaoleshengEa-pv8fu
    @EliaoleshengEa-pv8fu Před 3 měsíci

    Nimekuelewa

  • @user-ug1rt2ki8d
    @user-ug1rt2ki8d Před 4 měsíci +1

    Maradhi utatunusuru wanaadamu huwaezi bro .

  • @kheriakida3309
    @kheriakida3309 Před 4 měsíci

    Professor anafanya jambo kubwa sana ,Ila kizazi cha ovyo hakielewi, Elimu ya afya ni bora kuliko tiba,na ndio inayotakiwa sio kuongeza kujenga hospital na kuongeza madaktari

  • @magdalenasirikwa517
    @magdalenasirikwa517 Před 4 měsíci

    Dr boazalikuwa sahihi

  • @elirehemaringo188
    @elirehemaringo188 Před měsícem

    Dah watu wanakejeli kwa kuwa hawajakutwa na tatizo ila siku ukibanwa ndo utamkumbuka kwa kejeli

  • @fidelfidel-jz4iw
    @fidelfidel-jz4iw Před 4 měsíci +1

    Upo Sawa anaongea na watu wasiojitambua na upuuzi mwingi umewajaa wasio jua lolote ndio wanaongea mitandaoni watu walioishi vijijini waliishi salaama Sana hata maji kunywa maji tofauti ni hatari Kwa afya maji Yana madini tofauti kulingana na mahali yalipo hilo watu hawaelewi wanatwanga Tu blabla tu.

  • @martinisadru9899
    @martinisadru9899 Před 5 měsíci

    Hawa, na serikali yao wamewatengenezea watanzania mawazo ya uchungu, kwa ufisadi, yanayopelekea watu kuwa na magonjwa sugu,,,, tumeibiwa sana, hadi watu kukata tamaa, kisha kulewa pombe, kuvuta bangi, watu kukosa pesa hadi kushindia soda na andazi. Nyie mungu anawaona! Amini nawaambia

  • @josephlorri431
    @josephlorri431 Před 3 měsíci

    Nimecheka utafikiri mazuri..eti bia kama haiwezi kupanua moyo itawezaje kupanu moyo.

  • @mfalisayo
    @mfalisayo Před 5 měsíci +1

    Prof,Kwa wasio na smartphone wanapataje elimu hii?

  • @makelemohuya2723
    @makelemohuya2723 Před 5 měsíci +1

    Huyu doctor mhhh😢😢😢😢😢

  • @beatricehenry6776
    @beatricehenry6776 Před 4 měsíci

    Ila ilo koti sielewi .roho yangu imeinama

  • @namsamson3443
    @namsamson3443 Před 5 měsíci +3

    Ila hata huyu Doctor anaonekana ana kisukari au kuna ugonjwa unamsumbua

  • @Jafreez
    @Jafreez Před 5 měsíci +1

    Watu wabishi kweli, eti kama imeshindwa kutanuwa chupa itawezaje kutanuwa moyo😂😅

  • @omarinyahegs4539
    @omarinyahegs4539 Před 5 měsíci +1

    Huyu Dr mie ananichosha yeye mwenyewe anazeeka kwa kasi

  • @matukutajuma156
    @matukutajuma156 Před 5 měsíci +2

    PRO WANAKEJELI NAOMBA WANITAFUTE MIE NILIEKUTANA NA WEWE NA DR KISENGE NA DR NYAWAWA HAPO JKC NIWAONYESHE USHAHIDI WA MATESI YA KULAKULA!

  • @elibarikkiakyoo
    @elibarikkiakyoo Před 4 měsíci

    Waandishi wa kibongo Wana jua kushabikia utapeli tuu, oneni umhm wa kuelimisha jamii yenu

  • @BM_Smart2-6
    @BM_Smart2-6 Před 4 měsíci

    Prof kazungumza mambo ya msingi kabisa. Hivi kula sana kuna faida gani? Haya kwa wale wanaokunywa bia kreti vipi ili iweje? na mengine kibao..nimezingatia ushauri wa mazoezi kidogo na kupunguza vyakula vya sukari.

  • @muhambwetvonline
    @muhambwetvonline Před 4 měsíci +1

    Janabi acha ukuda sasa mbona una sura kama una miaka 78 wakati una miaka 53

  • @ChristerShao
    @ChristerShao Před 5 měsíci

    Kweli hatusomi tunabugia tu.

  • @florachogo243
    @florachogo243 Před 5 měsíci +6

    Watanzania wengi tuna dharau ,prof,anaeleza watu wanakejeli

    • @fahadfaraj6474
      @fahadfaraj6474 Před 5 měsíci +2

      Ni nchi iloojaa wajinga wengi mnoo na hizi midia zilizojawa na machawa na watu wapuuzi hao ndio wanaleta post za dhihaka ingawa uzuri kila mtu atayaamini hayo siku yakimkuta visukari na maradhi ya figo yanaongezeka mnoo na hamna anaestuka zaidi tunaleta utani kwenye ushauri wa kitaalamu

    • @judyngowi391
      @judyngowi391 Před 5 měsíci

      Waacheni tu wakejeli, watakutatana nae wodini wakiwa uchi

    • @fahadfaraj6474
      @fahadfaraj6474 Před 5 měsíci

      @@judyngowi391 yani vyombo vya habari Maneno ya Huyu mtaalamu ndio wamegeuza content za kudhihaki

    • @syliviakente9460
      @syliviakente9460 Před 5 měsíci

      Waache wawe wateja wake wa baadae hatusikii mtu ana pressure lakini haachi pombe

  • @teddyhenry2579
    @teddyhenry2579 Před 5 měsíci

    Naomba kuuliza asali sukari yake inamadhara?

  • @maase2023
    @maase2023 Před 3 měsíci

    Kuzeeka sababu ya shida tu nchi za kiswahili hizi

  • @mazikumathew8873
    @mazikumathew8873 Před 5 měsíci +1

    Sawa umetoa elimu nzuri Ila Mimi binafisi sikuamini Wala kukukubali maana uli,,,,,,,

  • @levinalyimo6240
    @levinalyimo6240 Před 4 měsíci

    Hata ukinywa beer moja kwa siku ni mbaya doctor