MNH - AFYA PODCAST: PART ONE na Prof. Mohamed Janabi (KUFUNGA KWA KULA MLO MMOJA au MIWILI)

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 4. 09. 2024
  • MNH - AFYA PODCAST: PART ONE na Prof. Mohamed Janabi, Mkurugenzi Mtendaji wa Hospitali ya Taifa Muhimbili akielezea kuhusu unavyoweza KUFUNGA KULA MLO MMOJA au MIWILI (Intermittent Fasting)

Komentáře • 39

  • @emmanuelburchard3153
    @emmanuelburchard3153 Před rokem +13

    Jembe hilo. Dr Janabi ahsante kwa programme hii itatusaidia wengi.Kwa hiyo part 1 tayari nimeshachota mengi. Mungu akubariki Jembe la Tanzania.

  • @JosureWilium-c9m
    @JosureWilium-c9m Před 2 měsíci

    I love afya

  • @jonathanmlinda2580
    @jonathanmlinda2580 Před 11 měsíci +3

    Mimi napenda tu prof anavozungumza kwa sauti ya utaratibu na upole

  • @SifaSinigirira
    @SifaSinigirira Před měsícem

    Nashukulu sana kwa elimu unatupa kabisa.ila mimi naomba niwe mgonjwa wako ili nipate kupunguza uzito kwa ninashida kubwa kwasababu yauzito nakuomba sana

  • @seifhafidhsuleiman3643
    @seifhafidhsuleiman3643 Před rokem +6

    Shikran Dr Allah akupe maisha marefu upate kutoa elimu kwa Kina

  • @kuyonza94
    @kuyonza94 Před 11 měsíci +6

    Profesa naomba ufundishe kuhusu mafuta ya kupikia Polyunsaturated Fat Acids (PUFAS)

  • @ndimamsuya9709
    @ndimamsuya9709 Před 10 měsíci +1

    ASANTE SANA PROF. Elimu muhimu sana kwa kipindi hiki.

  • @annamwijage3964
    @annamwijage3964 Před 10 měsíci +1

    Asante sana Daktari hii nilikuwa naitafuta sasa nimeipata na umeelezea vizuri sana.

  • @hassanhancha1413
    @hassanhancha1413 Před 8 měsíci +1

    Huyu Dr Janabi ni chuma aisee 🫡

  • @radhiambwana3353
    @radhiambwana3353 Před 6 měsíci

    Tunashkur sana kwakutup Elim mapema tunahtaj ma Dkt waain hii Nchin.

  • @user-it9xy7ki3p
    @user-it9xy7ki3p Před 11 měsíci +1

    Shukrani kwa elimu Daktari, naomba kujua endapo inafaa kufunga kwa watu wanaofanya mazoezi sana.

  • @zuenamsonga5274
    @zuenamsonga5274 Před 11 měsíci +1

    Mashallah Mwenyezi Mungu akulipe kwa mafundisho

  • @mariamrajabu9940
    @mariamrajabu9940 Před 5 měsíci +1

    Shani dkt Sana

  • @user-em9gt1cs9i
    @user-em9gt1cs9i Před 10 měsíci +1

    Thanks Prof. Nimeanza kupata matokeo na naendelea kuona mabadiliko through fasting. Tumbo linaisha kwa kasi though kgs zinapungua polepole. -3.4Kgs per 1 month

  • @isaacksusuma3855
    @isaacksusuma3855 Před 11 měsíci +1

    Very informative.
    Others they fast in order
    To save money
    Spiritual factor

  • @joramsengi9123
    @joramsengi9123 Před 10 měsíci +1

    Thank you Prof

  • @trillhappybeautypoint9874
    @trillhappybeautypoint9874 Před 6 měsíci +1

    Asnte doctor

  • @gracekagoma3231
    @gracekagoma3231 Před 11 měsíci +1

    KEEP ON TEACHING OUR FELLOW TANZANIAN NATION.REMAIN BLESSED .

  • @stanslausmteme8455
    @stanslausmteme8455 Před 8 měsíci

    Asante sana Prof

  • @deogratiasdastan
    @deogratiasdastan Před 6 měsíci

    Asante sana Dr

  • @khadejakhadeja9713
    @khadejakhadeja9713 Před 8 měsíci

    Asantee .profs.Janaab❤❤❤

  • @salamaoman8133
    @salamaoman8133 Před 10 měsíci

    asante sana Dr nimeoata mafunzo sana

  • @masoudjibaba1394
    @masoudjibaba1394 Před 3 měsíci

    Je doctor Mimi nikila matunda mara kwa mara kitakacho hifadhiwa ni mafuta au ni vitamini Moja kwa moja

  • @gracekagoma3231
    @gracekagoma3231 Před 11 měsíci +1

    Thank you very much❤

  • @wahidakisingo3588
    @wahidakisingo3588 Před 6 měsíci

    Naomba kuuliza doctor,,,,nikiwa nimefunga masaa 12,,,nisahihi kuanza kutumia mtindi kabla ya kula chocchote

  • @Juke995
    @Juke995 Před 8 měsíci +1

    Mie nahitaji kujua ratiba ya doctor ya chakula i want to follow it 😊

  • @vivianmshomi9975
    @vivianmshomi9975 Před rokem +1

    Very helpful information. Asante Prof.

  • @fatmasoud
    @fatmasoud Před 11 měsíci

    Asante sana Dr umenisaidia sana

  • @rukiaahmed1291
    @rukiaahmed1291 Před 11 měsíci

    Mungu akulipe kheri kwa elimu

  • @emmaturealloyce9017
    @emmaturealloyce9017 Před 11 měsíci +1

    Vipi kuusiana na madonda ya tumbo doctor ina husiana na kutokula muda mrefu

  • @almasially6509
    @almasially6509 Před 11 měsíci

    Asante prof.

  • @billyruita8155
    @billyruita8155 Před rokem

    Very informative

  • @officielyamndile3634
    @officielyamndile3634 Před 11 měsíci

    I want to be like you

  • @mundhirkhatib8293
    @mundhirkhatib8293 Před rokem

    Ahsante dr mola akupe nguvu na uzidi kuelimisha jamii, kila ulichokisema ni mia juu ya mia na mm naongezea kitu kimoja tu ikiwa mtu anahisi yupo katika state ya hyperinsluminia na anataka kuanza intermittent fasting ni vyema aache kula mikate au chochote kilichotumia unga kutengenezwa na ale vyakula vya asili vizima ili kupunguza insulin resistance na utufundishe chakula gani tufungulie saum zetu.

  • @user-yk6vx9wz6d
    @user-yk6vx9wz6d Před 6 měsíci

    Duu.nina urefu 150 cm-100=50😂Ina maana niwe na kilo 50.saiz Nina 80.ngoja nikaxane

  • @mohamedseifpaz3248
    @mohamedseifpaz3248 Před 11 měsíci

    Naomba kuuliza hivi tunaweza kupata wap izi slides za Dr

  • @user-ud1jd2nv7t
    @user-ud1jd2nv7t Před rokem +1

    Je ni sawa kwa mgonjwa wa vidonda vya tumbo kufunga?

    • @mundhirkhatib8293
      @mundhirkhatib8293 Před rokem

      Mgonjwa wa vidonda vya tumbo mara nyingi hukonda kwa kutoweza kula vizuri na kuchagua nn ale, kwa maana hiyo taka ushauri kwa specialist wako wa stomach ulcer.