MEDICOUNTER - FAHAMU UGONJWA WA USONJI NA MATIBABU YAKE

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 6. 02. 2018
  • Sport

Komentáře • 17

  • @josepaulo3608
    @josepaulo3608 Před 2 lety +2

    Naomba namba maana nataka nimlrte mwanangu umuone

  • @josepaulo3608
    @josepaulo3608 Před 2 lety +2

    Nataka kuktana nawewe doctor

  • @sofiaahmad1926
    @sofiaahmad1926 Před 3 lety +3

    Mtoto nilimzaa na usonji lakini si kujuwa mpaka Sasa Ana miaka 23yrs bado mienendo yake kama ya kitoto, JEE NIFANYE NINI DAKTARI?
    Mtoto wangu ni wa kike.

  • @ibrahimraymond1647
    @ibrahimraymond1647 Před 4 lety +3

    Miaka mitano anaweza kupona?

  • @TofridaKampa
    @TofridaKampa Před 2 měsíci

    Je nn tiba yake?

  • @athumankissoma5640
    @athumankissoma5640 Před 5 lety

    Nashukuru sana kwa.elimu hii maana Mimi mwanangu tayar nshaanza kuona dalili hzo

  • @haikadismas9257
    @haikadismas9257 Před 5 měsíci

    Mko wapi jamani miaka sita nàteseka nimekata tamaa

  • @fridaswai4656
    @fridaswai4656 Před 5 lety +3

    Je kwa mtoto mwenye miaka 5-11 anaweza kupona usonji??

  • @happylakison2938
    @happylakison2938 Před rokem

    Mko sem gaan mama

  • @princess4217
    @princess4217 Před 3 lety +2

    Je mtoto kuwa muoga sana ni tatizo

  • @agnesnsangizyo8198
    @agnesnsangizyo8198 Před rokem

    Jamani naenda hospital gani mwanangu ana dalili zote hizo na ana miaka miwili na nusu nisaidieni jamani

    • @yugakiyumbi9909
      @yugakiyumbi9909 Před rokem

      Dada habari,ukipata matibabu ukaona mabadiliko nikumbuke na Mimi,wangu ana miaka ,3 na nusu

  • @fridaswai4656
    @fridaswai4656 Před 5 lety +1

    Je mtoto mwenye uzito mwenye matendo yake na aibu nyingi ni moja ya dalili za ugonjwa huu??

  • @peterngatunga1527
    @peterngatunga1527 Před 2 lety

    I need more information about autism/ usonji

  • @abdulkilufi9230
    @abdulkilufi9230 Před 4 lety

    Je kwa mtoto mwenye umri wa miaka 5 anaweza kupona?

  • @badriamgeni8273
    @badriamgeni8273 Před 3 měsíci

    Mm nna mtt mwenye autism ana miaka mitatu je anatibika? Naomba nisaidieni nateseka na huyu mtoto

    • @sadaalsheibani7106
      @sadaalsheibani7106 Před 2 měsíci

      Anatitibika mimi wangu miaka mitatu ndio nyanza matibabu sasa