Njia Rahisi Ya Kujitambua | Nguvu Na Madhaifu Yako
Vložit
- čas přidán 14. 12. 2023
- Njia Rahisi Ya Kujitambua | Nguvu Na Madhaifu Yako
.
ILI KUPATA "EXCLUSSIVE CONTENTS", MASOMO YA ZIADA
YASIYOKUWEPO HAPA CZcams, MASWALI NA MAJIBU
Subscribe katika Channel yetu ya WhatsApp:
Hapa: whatsapp.com/channel/0029VaDD...
.
NUNUA KOZI YA SPEAKING SKILLS:
Tuma neno KOZI au COURSE kwenye whatsapp
WhatsApp: wa.me/255759191076
Bei ya punguzo: 20,000 TZS tu.
.
NUNUA VITABU:
Click hapa uje whatsapp moja kwa moja kisha andika neno VITABU
WHATSAPP: wa.me/255759191076
.
OUR SPONSOR’S DETAILS:
Al-Rahmah Schools
Location: Mkuranga
Phone: 0673-52-66-44
IG: / alrahmahschools
.
JIUNGE NA GROUP LETU LA WHATSAPP (BURE):
Ingia moja kwa moja kwa kubonyeza Link hii:
chat.whatsapp.com/JxOUqZBdf35...
.
WASILIANA NA EZDEN JUMANNE
Voice-over Talent | Content Entrepreneur | Speaker
Instagram: / ezdenjumanne
Twitter: / ezdenjumanne
Facebook: / ezdenjumanne
WhatsApp: wa.me/255759191076
.
SUBSCRIBE Kwenye channel zetu nyingine:
.
HAMASA YA LEO👇🏽
/ hamasayaleo
.
JE WAJUA?👇🏽
/ @jewajua5506
.
VOICE-OVER CHANNEL👇🏽
/ voiceovertanzania
.
KWA MATANGAZO KWA BIASHARA:
- Kuweka tangazo lako kwenye channel hii.
- Unahitaji Voice-over (English & Swahili).
- Kutengenezewa tangazo zuri
Tuwasiliane kwa taarifa hizi hapa chini:
CALLS: (+255) 759 191 076
WHATSAPP: wa.me/255759191076
EMAIL: ezdenjumanne@gmail.com
.
.
#Success #Path #Network
Ezeden Nakuelewa sana mwl
Shukran ❤
New video please please
Naomba ufafanuzi zaid katika mtu akiwa katika hali hyo
Kama ni elimu hii ndio ya msingi, na msingi ukiwa imara unavutia mafanikio. Be Blessed Brother
Asante san broo somo zuri sana nimejifunza vitu vingi sana na napaswa kuvifanyia kazi ili nifanikiwe❤❤🙏🙏🙏🙏🔥
Safi sana Kaka mm nahs pia kuna jambo linatukwamisha baadhi yetu Kwa mfano tunaamua kubadilika Ila tukikutana au tukiongea na wale waliotufelisha au kutukwaza unajihc kama mnyonge na usie na uwezo na wakati huo pengne umeshajpanga na kujusamehe Ila ukikutana na hyo Hali unajiona mnyonge sana Ila la kuongezea ni vyema kuweka mkazo katika mipango yako ya baadae
Exactly brother ezden thanks so much God you
Ooooh waoooohhhhh hy imeniingia🎉 bro
Big up Sir...Allah akuhifadhi
It's a good hope 🤝
Fact
Habari kaka hope you are doing well.
I was raised by a narcissist sister who never allowed me to play or have friends and in my whole life i only remember i never had a best friend expect a good coworker while i was 23 years old "and i she once told me "i have a good heart" because i was good for her.
So my question is how do i know what am good at?
I like Journaling
I like running
I will love one day to be good and have confident in public speaking
And i love helping others
Maashaa-Allah! Tabaarakallah!
Mabrouk my beloved Brother.
Allah azidi kukufungulia Elimu na Maarifa,pia akuruzuku Fahamu.
Allahumma ameen, shukrani sana my brother. tuko pamoja sana
Nilikuwaga sijaelewa wavyosema elimu haina mwisho kaka😢 kumbe ELIMU ndio hii sio kukaa darasan na uniform pekeyake..... asante kaka endelea kupiga kazi
Naam Naam... Elimu inatakiwa ionekane ikimsaidia mwenye nayo na jamii yake isalimike kwa elimu hiyo...
Umeongea point tupu Ezden
🙌🏽
Nimekuelewa kaka ila Mimi huwa Nina hofu ya ndani kabisa ata kutoka mambo ya biashara huwa nakosa ujasiri na kujiamin mfano kuna kitu kinatakiwa kutendeka lakin ata kama nina tatizo kubwa huwa nashindwa kuvumilia natamani nihusike ili nisionekane vibay Ile Hali upande wangu naumia naomba nisaidie apo kaka maana ninashindwa kabisa kujikontrol akati mwingine napata presha kabisa yani najua sielewi
Binafsi kk umewez nip nguvu ya kupambn
Una content nzuri sana jambo kubwa linalokukwamisha kwenda popular ni thumbnail try to improve it na utaona mabadiliko 85% ya clicks comes from cTR so try it NB: najua ninachokizungumza , piece of advice , acha kuweka picha yako weka thumbnail inayoendana na content yako. For other issur you can chek me.
Nashukuru sana kwa ushauri ndugu yangu. Njoo whatsapp tuone kama lipo jambo la kufanya 0759-191-076
Nice nimejifunza kitu
Karibu sana
Kaka umenisitua kak nimejepata
Maa sha Allah...safi sana