IDEA 5 ZA MAFANIKIO ZA KUISHI NAZO | Ezden Jumanne
Vložit
- čas přidán 29. 08. 2022
- Jifunze idea hizi tano (5) za mafanikio za kuishi nazo kila siku katika maisha yetu. Fuatana na Ezden Jumanne mwanzo hadi mwisho wa somo hili zuri.
.
Tuandikie kwenye comments nini umejifunza katika somo hili kuhusu mafanikio na kama kuna mifano inayoendana na somo hili tafadhali tushirikishe na sisi tujifunze toka kwako, Each One Teach One! Karibu sana.
.
LIKE - COMMENT - SUBSCRIBE - SHARE
.
WASILIANA NA EZDEN JUMANNE
Voice-over Talent/ Content Entreprenuer
Instagram: @ezdenjumanne
Twitter: @ezdenjumanne
Facebook: Ezden Jumanne
Phone: (+255)759 191 076
Website: tinyurl.com/voiceovertanzania
.
SUBSCRIBE Kwenye channel zetu nyingine:
.
HAMASA YA LEO👇🏽
/ hamasayaleo
.
JE WAJUA?👇🏽
/ @youtubepesa255
.
VOICE-OVER CHANNEL👇🏽
tinyurl.com/matangazo
.
.
#idea #tano #mafanikio
Asantee sana Kama ezden nimejifunza yakuwa minimushindi kuanzia sasa nabadili mtazamo mungu akijalia neema yake
safiii
Nimeku kubali Sana Kaka Yussuph kutoka Mozambique tuko pamoja, Estamos junto meu Irmão
You are the best MR eziden
Brother Ezden umeongea Mambo mengi ya msingi sana ila nashukuru sikukosa neno lango!!! God bless you mwalimu
Nzuri sana broo
Mungu akubariki sana kk🙏
Amiin
Asante sana kwa elimu naamini kunufaika kupitia mafunzo yako, maan ndyo kwanza najiunga kufatilia video zako🙏
Somo zur sana na ni njia pia alioitumia boss wangu kuniamin had kunpatia mtaji
Nakukubal sana kaka nimetumi masomo yako vzul asaiv mashaallh
Brother nimekuelewa sana ,Nimebarikiwa sana
Thanks brother, my life has changed positively because of your inspiration. Allah bless you.
Jumanne Uko Vizuri Sana Kuelimisha Taifa la Mungu . Tupo Pamoja Endelea hivyo hivyo Kaka!
Nazielewa sana video zako naona mafanikio kupitia ezden
Hakika nimebarikiwa sana Mungu akubariki kaka nime jifunza jambo kubwa hapa🙏
Asante sana kaka nimejifunza sana
Mungu akubariki maisha marefu ili uzidi kutukomaza kitafakari
Shukran sana ndugu yangu
Fantastic ideas. Somebody from Al rahmah schools
Mafunzo yako yananibariki sana
Asante sana kaka yangu mimi ni mmoja wapo na nufaika na mafundisho yako
Nashukuru sana kusikia hivyo Nabila
Bro umenifungua sana nahakika mda mfupi ujao ntakupa kile nlichokipata kupitia wewe mungu akubariki sana bro uzidi kutupa madini
Shafii tena
Nakubali mr ezden
Asante love from🇧🇮🇧🇮🇧🇮
Asante sana brother nimejifunza mengi
Wahooo!
Great idea , thanks be blessed
Thank you my brother
Nimeipenda sana hii shukran sana bro
Ahsante
Shukran san kwakuwa mbunifu nakuutumia mda wako kuielewisha jamii thank soomoch
Karibu sana Gilbert
Kiukweli kaka eziden kwanza hongela sana kwaelimu nzur unayotoa kwajamii pili umipushi kifikira nimepata nguvu tene mungu akutunze nakukupa miaka100
Asante kwa masomo yako naamini nitafanikiwa
Thank you brother ,nimejifunza kuwa na mtazamo ,lkn piah kuamin kuwa mm ni mshindi !!
Shukran jazila kaka,napata vitu vizuri Toka kwako
Kweli kbs Brother mafunzo yako ni Bora sana. Thank you very much brother.
Shukran sana kaka
Umenigusa Sana kaka mungu akubaliki🙏🙏🙏
Nashukuru sana ndugu. Karibu sana
Kweli. Kila mtu ni mshindi na pia anaweza Shinda kwenye maisha
Ukiamini na kufanya kazi inawezekana kabisa
Ezden you doing something great in this universe
Maa Shaa Allah
Shukran sana kaka
Mungu Akubariki...
Good work SPN
Mtu wangu wa nguvu💪
Shuqran jareeza
Vip nambye
@@elimika7ayo nikwambie nini!
Hongera sana Muumba akuinue zaidi Bajeti kubwa ipo ktk ujenzi wa Hospitali badala ya kutoa Elimu nzuri watu wasiathiriwe na misongo ya akili
Nimeamini kuwa Mimi nibarikiwa na Mungu kwa uwepo tu pia nikifanya jitihada ktk KAZI zangu na kumwomba Mungu aweke ulinzi nafanikiw .Asante sana kwa mafundisho.
Mungu akubalik kaka
shukrani sana
Binafsi nmnufaika wa mafunzo yako pia toka nianze kikusikiliza na kufanyia kazi leocna biashara 3 tofaut na nyumba 4 tena za maana japo ni sehem ya mwanzo. Nawashauri vijana wenzangu kutenga mda wa kusikiliza mafunzo haya kuliko kuhangaika kuangalia udaku usio na mana
nashukuru sana, tuwasiliane tafadhali kwa whatsapp 0759191076. Nitumie huo ujumbe wako wa ushuhuda
Mashalla mashalla mashalla mashalla mashalla mashalla mashalla mashalla mashalla
❤❤ asante bro
nashkru sana bwana Ezden
Karibu
Asante sana kaka Allah akuzidishie ufahamu kwani unatoa elimu kubwa sana kwakweli mimi saa nyingine nakata tamaa lkn nikiziangalia clip zako napata matumain kwamba siku moja ndoto zangu zitafanikiwa inshaallah be blessed more brother.
Everyone anakile kitu ambacho yupo nacho specifically kwa ajili yake yeye.. But n vile tu unaweza kusema Start ndio inakua issue but all in all let we go no matter what around us
That is great bro 👌
Napenda sana mafundisho yako brother mungu azidi kukubariki
Aisee bro this re active me especially with the example of an egg
nashukuru sana...
Am on this level bro I feel like giving up 😭
Nabarikiwa sana na mafundisho yako kaka Mungu akubariki
Nipo tanzania kaka asante bana
Mungu akubariki Sana unanibariki
Ahsante kwa ushauri wako
Ubarikiwe Kwa mafunzo br
An bro Abt voice uko good san❤
Nashukuru sana Pascal
You are de best bro! Sijutii kuwa hapa!! 💪💪
Uko vzr sn kamanda.
Thanks bro
Daah noma sana
Shukran
Asante kaka nakuelewa sana kwa elimu hii
SoMo liko poa sana
Umenifungua akili(sijutii kufatilia channel hi💪)
Sawa brooo nakupata sana
Weel
Naitwa elia, Kaka Mimi leo ndio siku yakwanza kuukufuatilia huu uelimishaji wako, lakini umenisaidia kitu kikubwa Sana zaidi ya pesa, hivyo Nina hakika muda mchache Sana ujao nitakupa shuhuda ya matokeo ya kile nilichojifunza kwako Leo tarehe 1/9/2022
Umenifundisha vituvingi sana
🥰
Kaka tangu nianze kukusikiliza nimefanikiwa kubadili mutazamo wangu wa maisha Kwa asilimia kubwa sana
Big up sana kaka nimekuekewa
🔥
Mtazamo chanya uko je
mtazamo chanya ni ule wa kuona mambo kwa njia nzuri, kuamini kwamba kuna fursa na uwezekano wa mafanikio, na kuwa na matumaini katika mazingira tofauti. Ni njia ya kuangalia pande nzuri za maisha na kutafuta suluhisho bora katika changamoto.
Mimi shafii sina sim lakin nikimkamata mtu yeyote mweny cm kubwa naanglia hii channel
Asante lan
DARASA HURU
MUNGU AZID KUKUBARIKI
Shukrani sana kaka
Somo zuri
Karibu
big up bro
Nimependa SaNa
Niliangalia video hii taree 1.mwezi wa 1 mwaka 2024🎉🎉
👌🏿👌🏿👌🏿😚
I catch you
Ukweli mtupu,unaongea
Kaka nakubalina na mafundisho yoko kaka mm Julius Elias arusha kisogo
Na akufanikishie kila jema utakalo
Kaka nimekupata nikubali
Kaka nimejifunza kujiamini
Safi sana
Endelea kufuatilia Chanel yetu uzidi kujifunza mengi zaidi
Usisahau kuwaalika ndugu jamaa na marafiki watembelee Chanel yetu wajifunze pia.
Kizuri kula na nduguyo
Sory bro Ezden naitaji no yako yasim kwamazungumzo zaidi please bro
Mbona namba yangu ipo hapo kwenye description kaka....
Brother nko na swal nataka kuuliz ivi alama ya M kiganjani inamana gan
Asante sana🙏🙏
Na Mimi ndo naanza kujifunza mwalimu
hujachelewa...
Nimeelewa mtaji wa kwaza niwazo au mawazo yako
Ni ukweli mtupu kwa uliosema. Kuna jamaa nilimuona kama anajihangaisha kutaka kujifundisha kazi inayofanywa na watu waliosoma wakati yeye hajui English, lakini jamaa hakukata tamaa hadi akaweza kuifanya ile kazi kwa kipindi kirefu na sasa amechaguliwa kua in charge wa workshop. Nilishika kichwa. Mtu hutakiwi kukata tamaa kama fursa zipo tusiziache kwa kufikiri hizi kazi ni za watu fulani tu.
Kaka mung akusaidie
Bro Mungu akubaliki Sana Mi Naitwa HANCE RAMADHANI nipo Tanga mjini mkwakwani nipo katika Biashara kubwa Sana lakini nashindwa kutangaza Zaidi Kwa mitandao Nipo katika maduka ya MSUYA USED FROM UK ✍️☝️ ni ni maharufu Sana maduka yapo gapa Frem za CCM MKWAKWAN CHINI YA JUKWAA LA COUST UNION BRO natamani saina kuitangaza kuwa maalufu Zaidi kuliko 🙏🙏🙏🙏 Msaada bro