IDEA 5 ZA MAFANIKIO ZA KUISHI NAZO | Ezden Jumanne

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 29. 08. 2022
  • Jifunze idea hizi tano (5) za mafanikio za kuishi nazo kila siku katika maisha yetu. Fuatana na Ezden Jumanne mwanzo hadi mwisho wa somo hili zuri.
    .
    Tuandikie kwenye comments nini umejifunza katika somo hili kuhusu mafanikio na kama kuna mifano inayoendana na somo hili tafadhali tushirikishe na sisi tujifunze toka kwako, Each One Teach One! Karibu sana.
    .
    LIKE - COMMENT - SUBSCRIBE - SHARE
    .
    WASILIANA NA EZDEN JUMANNE
    Voice-over Talent/ Content Entreprenuer
    Instagram: @ezdenjumanne
    Twitter: @ezdenjumanne
    Facebook: Ezden Jumanne
    Phone: (+255)759 191 076
    Website: tinyurl.com/voiceovertanzania
    .
    SUBSCRIBE Kwenye channel zetu nyingine:
    .
    HAMASA YA LEO👇🏽
    / hamasayaleo
    .
    JE WAJUA?👇🏽
    / @youtubepesa255
    .
    VOICE-OVER CHANNEL👇🏽
    tinyurl.com/matangazo
    .
    .
    #idea #tano #mafanikio

Komentáře • 121

  • @musadismas9512
    @musadismas9512 Před rokem +3

    Asantee sana Kama ezden nimejifunza yakuwa minimushindi kuanzia sasa nabadili mtazamo mungu akijalia neema yake

  • @yussufoupaulo4940
    @yussufoupaulo4940 Před rokem +4

    Nimeku kubali Sana Kaka Yussuph kutoka Mozambique tuko pamoja, Estamos junto meu Irmão

  • @williamezra6633
    @williamezra6633 Před rokem +3

    You are the best MR eziden

  • @tumainkitundu1015
    @tumainkitundu1015 Před rokem +3

    Brother Ezden umeongea Mambo mengi ya msingi sana ila nashukuru sikukosa neno lango!!! God bless you mwalimu

  • @wilbadiantony3314
    @wilbadiantony3314 Před rokem +3

    Nzuri sana broo

  • @mfaumengangee7856
    @mfaumengangee7856 Před rokem +3

    Mungu akubariki sana kk🙏

  • @janethkomba4787
    @janethkomba4787 Před 10 měsíci +2

    Asante sana kwa elimu naamini kunufaika kupitia mafunzo yako, maan ndyo kwanza najiunga kufatilia video zako🙏

  • @awadhzmussa5265
    @awadhzmussa5265 Před rokem +2

    Somo zur sana na ni njia pia alioitumia boss wangu kuniamin had kunpatia mtaji

  • @yasluhumilemohammed7461
    @yasluhumilemohammed7461 Před rokem +2

    Nakukubal sana kaka nimetumi masomo yako vzul asaiv mashaallh

  • @deogratiusmatata7418
    @deogratiusmatata7418 Před rokem +2

    Brother nimekuelewa sana ,Nimebarikiwa sana

  • @dadimwinyi2860
    @dadimwinyi2860 Před rokem +5

    Thanks brother, my life has changed positively because of your inspiration. Allah bless you.

  • @kainibachungege3430
    @kainibachungege3430 Před rokem +2

    Jumanne Uko Vizuri Sana Kuelimisha Taifa la Mungu . Tupo Pamoja Endelea hivyo hivyo Kaka!

  • @abeidjuma950
    @abeidjuma950 Před rokem +2

    Nazielewa sana video zako naona mafanikio kupitia ezden

  • @leilalusekelo153
    @leilalusekelo153 Před rokem +2

    Hakika nimebarikiwa sana Mungu akubariki kaka nime jifunza jambo kubwa hapa🙏

  • @timamahendo4172
    @timamahendo4172 Před rokem +2

    Asante sana kaka nimejifunza sana

  • @cblood_tz8243
    @cblood_tz8243 Před rokem +2

    Mungu akubariki maisha marefu ili uzidi kutukomaza kitafakari

  • @tibayawaafrica
    @tibayawaafrica Před 10 měsíci +2

    Shukran sana ndugu yangu

  • @zaharanihassan8786
    @zaharanihassan8786 Před 8 měsíci +2

    Fantastic ideas. Somebody from Al rahmah schools

  • @HildaPetro
    @HildaPetro Před 8 měsíci +2

    Mafunzo yako yananibariki sana

  • @nabilajafar180
    @nabilajafar180 Před rokem +3

    Asante sana kaka yangu mimi ni mmoja wapo na nufaika na mafundisho yako

  • @chalresmyamba1071
    @chalresmyamba1071 Před rokem +2

    Bro umenifungua sana nahakika mda mfupi ujao ntakupa kile nlichokipata kupitia wewe mungu akubariki sana bro uzidi kutupa madini

  • @shafiirajabu-or8ds
    @shafiirajabu-or8ds Před rokem +2

    Shafii tena

  • @japhethcharles5791
    @japhethcharles5791 Před rokem +2

    Nakubali mr ezden

  • @habibismael4937
    @habibismael4937 Před rokem +4

    Asante love from🇧🇮🇧🇮🇧🇮

  • @nakietenakiere1768
    @nakietenakiere1768 Před rokem +2

    Wahooo!

  • @yumbujackson869
    @yumbujackson869 Před rokem +2

    Great idea , thanks be blessed

  • @saidisirahe303
    @saidisirahe303 Před rokem +2

    Thank you my brother

  • @hasnajuma5567
    @hasnajuma5567 Před rokem +2

    Nimeipenda sana hii shukran sana bro

  • @bensontemu9356
    @bensontemu9356 Před rokem +2

    Ahsante

  • @gilbertmatambe2435
    @gilbertmatambe2435 Před rokem +2

    Shukran san kwakuwa mbunifu nakuutumia mda wako kuielewisha jamii thank soomoch

  • @mussadismass9306
    @mussadismass9306 Před rokem +2

    Kiukweli kaka eziden kwanza hongela sana kwaelimu nzur unayotoa kwajamii pili umipushi kifikira nimepata nguvu tene mungu akutunze nakukupa miaka100

  • @rajabubakari2635
    @rajabubakari2635 Před 3 měsíci +1

    Asante kwa masomo yako naamini nitafanikiwa

  • @kelyjames5452
    @kelyjames5452 Před rokem +2

    Thank you brother ,nimejifunza kuwa na mtazamo ,lkn piah kuamin kuwa mm ni mshindi !!

  • @IssaTwalbu-fp6ti
    @IssaTwalbu-fp6ti Před rokem +1

    Shukran jazila kaka,napata vitu vizuri Toka kwako

  • @SaidySaidysalum
    @SaidySaidysalum Před měsícem +1

    Kweli kbs Brother mafunzo yako ni Bora sana. Thank you very much brother.

  • @mateosiwale1897
    @mateosiwale1897 Před rokem +3

    Umenigusa Sana kaka mungu akubaliki🙏🙏🙏

  • @abshirohassen5
    @abshirohassen5 Před rokem +3

    Kweli. Kila mtu ni mshindi na pia anaweza Shinda kwenye maisha

  • @jamaljimmy
    @jamaljimmy Před rokem +4

    Ezden you doing something great in this universe

  • @khayraatabdool2286
    @khayraatabdool2286 Před rokem +2

    Maa Shaa Allah
    Shukran sana kaka
    Mungu Akubariki...

  • @harunaathumani1672
    @harunaathumani1672 Před rokem +3

    Good work SPN

  • @ndimiamon7425
    @ndimiamon7425 Před rokem +4

    Mtu wangu wa nguvu💪

  • @inviolataluena8713
    @inviolataluena8713 Před rokem +1

    Hongera sana Muumba akuinue zaidi Bajeti kubwa ipo ktk ujenzi wa Hospitali badala ya kutoa Elimu nzuri watu wasiathiriwe na misongo ya akili

  • @matildakaria1532
    @matildakaria1532 Před 6 měsíci

    Nimeamini kuwa Mimi nibarikiwa na Mungu kwa uwepo tu pia nikifanya jitihada ktk KAZI zangu na kumwomba Mungu aweke ulinzi nafanikiw .Asante sana kwa mafundisho.

  • @avitusjovin
    @avitusjovin Před rokem +2

    Mungu akubalik kaka

  • @solomloganzala678
    @solomloganzala678 Před rokem +7

    Binafsi nmnufaika wa mafunzo yako pia toka nianze kikusikiliza na kufanyia kazi leocna biashara 3 tofaut na nyumba 4 tena za maana japo ni sehem ya mwanzo. Nawashauri vijana wenzangu kutenga mda wa kusikiliza mafunzo haya kuliko kuhangaika kuangalia udaku usio na mana

    • @successpathnetwork
      @successpathnetwork  Před rokem +1

      nashukuru sana, tuwasiliane tafadhali kwa whatsapp 0759191076. Nitumie huo ujumbe wako wa ushuhuda

  • @feisalakbar4759
    @feisalakbar4759 Před 6 měsíci

    Mashalla mashalla mashalla mashalla mashalla mashalla mashalla mashalla mashalla

  • @sadricko
    @sadricko Před 10 měsíci +1

    ❤❤ asante bro

  • @BizimanaBaruwani-xu8rj
    @BizimanaBaruwani-xu8rj Před 3 měsíci +1

    nashkru sana bwana Ezden

  • @nusrasadick3516
    @nusrasadick3516 Před rokem +1

    Asante sana kaka Allah akuzidishie ufahamu kwani unatoa elimu kubwa sana kwakweli mimi saa nyingine nakata tamaa lkn nikiziangalia clip zako napata matumain kwamba siku moja ndoto zangu zitafanikiwa inshaallah be blessed more brother.

  • @elimikatv
    @elimikatv Před rokem +3

    Everyone anakile kitu ambacho yupo nacho specifically kwa ajili yake yeye.. But n vile tu unaweza kusema Start ndio inakua issue but all in all let we go no matter what around us

  • @wilsonmadawa370
    @wilsonmadawa370 Před rokem +2

    That is great bro 👌

  • @user-bx6vm4bh7h
    @user-bx6vm4bh7h Před rokem

    Napenda sana mafundisho yako brother mungu azidi kukubariki

  • @filchesimishirima1301
    @filchesimishirima1301 Před rokem +2

    Aisee bro this re active me especially with the example of an egg

  • @najlaskitchen1572
    @najlaskitchen1572 Před rokem +2

    Am on this level bro I feel like giving up 😭

  • @EuniaRyaga-zd3zx
    @EuniaRyaga-zd3zx Před 7 měsíci

    Nabarikiwa sana na mafundisho yako kaka Mungu akubariki

  • @elimika7ayo
    @elimika7ayo Před rokem

    Nipo tanzania kaka asante bana

  • @hellenakabakama-nz1cw
    @hellenakabakama-nz1cw Před 7 měsíci

    Mungu akubariki Sana unanibariki

  • @JerryJeremiah-co9nv
    @JerryJeremiah-co9nv Před 5 měsíci

    Ahsante kwa ushauri wako

  • @JOHNPAULO-bv8rd
    @JOHNPAULO-bv8rd Před 3 měsíci

    Ubarikiwe Kwa mafunzo br

  • @PascalSongo-qo4xp
    @PascalSongo-qo4xp Před rokem +2

    An bro Abt voice uko good san❤

  • @actonstewart3551
    @actonstewart3551 Před rokem +1

    You are de best bro! Sijutii kuwa hapa!! 💪💪

  • @saidesalimo1497
    @saidesalimo1497 Před rokem

    Uko vzr sn kamanda.

  • @osamaosman6301
    @osamaosman6301 Před rokem +2

    Thanks bro

  • @angelamshama1288
    @angelamshama1288 Před rokem

    Daah noma sana

  • @zahrakitchen5880
    @zahrakitchen5880 Před rokem

    Shukran

  • @user-oo7hf6tv1i
    @user-oo7hf6tv1i Před rokem

    Asante kaka nakuelewa sana kwa elimu hii

  • @user-hp7ni4wq3e
    @user-hp7ni4wq3e Před 4 měsíci

    SoMo liko poa sana

  • @peterpaschal4522
    @peterpaschal4522 Před rokem +2

    Umenifungua akili(sijutii kufatilia channel hi💪)

  • @bahatiyusuphtv487
    @bahatiyusuphtv487 Před rokem

    Sawa brooo nakupata sana

  • @MgombaJunior
    @MgombaJunior Před 9 měsíci +1

    Weel

  • @cblood_tz8243
    @cblood_tz8243 Před rokem +2

    Naitwa elia, Kaka Mimi leo ndio siku yakwanza kuukufuatilia huu uelimishaji wako, lakini umenisaidia kitu kikubwa Sana zaidi ya pesa, hivyo Nina hakika muda mchache Sana ujao nitakupa shuhuda ya matokeo ya kile nilichojifunza kwako Leo tarehe 1/9/2022

  • @-zj2zd
    @-zj2zd Před rokem

    Umenifundisha vituvingi sana

  • @noordynkitynah9435
    @noordynkitynah9435 Před rokem +2

    🥰

  • @user-hg1kg6mp2s
    @user-hg1kg6mp2s Před měsícem

    Kaka tangu nianze kukusikiliza nimefanikiwa kubadili mutazamo wangu wa maisha Kwa asilimia kubwa sana

  • @MosesKilatenga-dy5vi
    @MosesKilatenga-dy5vi Před rokem

    Big up sana kaka nimekuekewa

  • @jessiepeter2819
    @jessiepeter2819 Před rokem

    🔥

  • @user-qq8kc1df5e
    @user-qq8kc1df5e Před 11 měsíci +2

    Mtazamo chanya uko je

    • @successpathnetwork
      @successpathnetwork  Před 11 měsíci +1

      mtazamo chanya ni ule wa kuona mambo kwa njia nzuri, kuamini kwamba kuna fursa na uwezekano wa mafanikio, na kuwa na matumaini katika mazingira tofauti. Ni njia ya kuangalia pande nzuri za maisha na kutafuta suluhisho bora katika changamoto.

  • @ZuberSaleh-ts2rl
    @ZuberSaleh-ts2rl Před rokem +2

    Mimi shafii sina sim lakin nikimkamata mtu yeyote mweny cm kubwa naanglia hii channel

  • @DottoLevocatus
    @DottoLevocatus Před 4 měsíci

    Asante lan

  • @aderiderkihupi7240
    @aderiderkihupi7240 Před rokem +2

    DARASA HURU
    MUNGU AZID KUKUBARIKI

  • @user-eg7up3jo1v
    @user-eg7up3jo1v Před 2 měsíci

    Somo zuri

  • @amidaibrahimu271
    @amidaibrahimu271 Před rokem

    big up bro

  • @user-ot5of3si6y
    @user-ot5of3si6y Před 2 měsíci

    Nimependa SaNa

  • @Perfect-migomigo
    @Perfect-migomigo Před 6 měsíci

    Niliangalia video hii taree 1.mwezi wa 1 mwaka 2024🎉🎉

  • @shidashida6060
    @shidashida6060 Před rokem

    👌🏿👌🏿👌🏿😚

  • @user-qv9cz2wx9q
    @user-qv9cz2wx9q Před 7 měsíci

    I catch you

  • @hashimuliloto8017
    @hashimuliloto8017 Před rokem +3

    Ukweli mtupu,unaongea

  • @JuliasiEliasi-ls1wy
    @JuliasiEliasi-ls1wy Před rokem

    Kaka nakubalina na mafundisho yoko kaka mm Julius Elias arusha kisogo

  • @cblood_tz8243
    @cblood_tz8243 Před rokem

    Na akufanikishie kila jema utakalo

  • @khamisiramadhani9971
    @khamisiramadhani9971 Před rokem

    Kaka nimekupata nikubali

  • @user-eg7up3jo1v
    @user-eg7up3jo1v Před 2 měsíci

    Kaka nimejifunza kujiamini

    • @successpathnetwork
      @successpathnetwork  Před 2 měsíci

      Safi sana
      Endelea kufuatilia Chanel yetu uzidi kujifunza mengi zaidi
      Usisahau kuwaalika ndugu jamaa na marafiki watembelee Chanel yetu wajifunze pia.
      Kizuri kula na nduguyo

  • @abbashassanali4501
    @abbashassanali4501 Před 6 měsíci +1

    Sory bro Ezden naitaji no yako yasim kwamazungumzo zaidi please bro

  • @chrissprince7770
    @chrissprince7770 Před rokem

    Brother nko na swal nataka kuuliz ivi alama ya M kiganjani inamana gan

  • @mugishasine7778
    @mugishasine7778 Před rokem

    Asante sana🙏🙏

  • @user-ji8bc7tv1e
    @user-ji8bc7tv1e Před 4 měsíci

    Na Mimi ndo naanza kujifunza mwalimu

  • @mahmoudmnyamzugu6628
    @mahmoudmnyamzugu6628 Před rokem

    Nimeelewa mtaji wa kwaza niwazo au mawazo yako

  • @AW-vt9pw
    @AW-vt9pw Před rokem

    Ni ukweli mtupu kwa uliosema. Kuna jamaa nilimuona kama anajihangaisha kutaka kujifundisha kazi inayofanywa na watu waliosoma wakati yeye hajui English, lakini jamaa hakukata tamaa hadi akaweza kuifanya ile kazi kwa kipindi kirefu na sasa amechaguliwa kua in charge wa workshop. Nilishika kichwa. Mtu hutakiwi kukata tamaa kama fursa zipo tusiziache kwa kufikiri hizi kazi ni za watu fulani tu.

  • @NuhZakah
    @NuhZakah Před rokem

    Kaka mung akusaidie

  • @Hassan-lv6mf
    @Hassan-lv6mf Před rokem

    Bro Mungu akubaliki Sana Mi Naitwa HANCE RAMADHANI nipo Tanga mjini mkwakwani nipo katika Biashara kubwa Sana lakini nashindwa kutangaza Zaidi Kwa mitandao Nipo katika maduka ya MSUYA USED FROM UK ✍️☝️ ni ni maharufu Sana maduka yapo gapa Frem za CCM MKWAKWAN CHINI YA JUKWAA LA COUST UNION BRO natamani saina kuitangaza kuwa maalufu Zaidi kuliko 🙏🙏🙏🙏 Msaada bro