Ushauri Wa Dhahabu Kwa Vijana: Misingi 5 Ya Mafanikio
Vložit
- čas přidán 15. 11. 2023
- Ushauri Wa Dhahabu Kwa Vijana: Misingi mitano Ya Mafanikio
.
LIKE - COMMENT - SUBSCRIBE - SHARE
.
NUNUA KOZI YA SPEAKING SKILLS:
Tuma neno KOZI au COURSE kwenye whatsapp
WhatsApp: wa.me/255759191076
Bei ya punguzo: 10,000 TZS tu.
.
NUNUA VITABU:
Click hapa uje whatsapp moja kwa moja kisha andika neno VITABU
WHATSAPP: wa.me/255759191076
.
OUR SPONSOR’S DETAILS:
Al-Rahmah Schools
Location: Mkuranga
Phone: 0673-52-66-44
IG: / alrahmahschools
.
JIUNGE NA GROUP LETU LA WHATSAPP (BURE):
Ingia moja kwa moja kwa kubonyeza Link hii:
chat.whatsapp.com/JxOUqZBdf35...
.
WASILIANA NA EZDEN JUMANNE
Voice-over Talent | Content Entrepreneur | Speaker
Instagram: / ezdenjumanne
Twitter: / ezdenjumanne
Facebook: / ezdenjumanne
WhatsApp: wa.me/255759191076
.
SUBSCRIBE Kwenye channel zetu nyingine:
.
HAMASA YA LEO👇🏽
/ hamasayaleo
.
JE WAJUA?👇🏽
/ @jewajua5506
.
VOICE-OVER CHANNEL👇🏽
/ voiceovertanzania
.
KWA MATANGAZO KWA BIASHARA:
- Kuweka tangazo lako kwenye channel hii.
- Unahitaji Voice-over (English & Swahili).
- Kutengenezewa tangazo zuri
Tuwasiliane kwa taarifa hizi hapa chini:
CALLS: (+255) 759 191 076
WHATSAPP: wa.me/255759191076
EMAIL: ezdenjumanne@gmail.com
.
.
#Each #One #Teach #One
Umeongea vitu vya uhakika kabisa kila kijana atakae ufuata ushauri wako hawezi kua na uzee wenye majuto shukrani Allah akuzidishie elimu ili nasi utuelimishe🙏
Asante Brother kwa ushauri mzuri, ntakuja kukutembea ofisini In Shaa Allah
Nakupenda brother napata elimu kupitia wewe respect
Asalaam Aleykhum kaka shukrani somo la leo nimelipenda sana Allah akuifadhi kaka tuzidi kuelimishana hasa tunao jitafuta umuhimu sana kuzingatia haya hakika hii ndio ramani ya kutufikisha kwenye mafanikio kingine msimamo na uaminifu bila kuzingatia haya tutazalisha jamii na taifa lisilo na watu wema.
Barikiwa sanaaa kk.. najifunza mengi sanaaa kupitia wewe
asante sana my brother kwa ushauri wako.
Oooooooh just good brother ezden
Thank u bro God bless u 2 do wonder every day
Asante sana coach nimejifunza vitu vingi
Asalaam Aleykhum kaka jamii na taifa inaitaji vijana wanao jitambua vijana ndionguvu kazi ya taifa mimi mwenyewe bili kua na haya ulio yaorodhesha nisingefika huku nilipo niko Oman kikazi tabia ya yangu nzuri ndio imenifikisha uku.
Kuongeza maarifa (elimu) nimeipenda sana maana elimu ndyo chimbuko la maarifa yote ikiwemo afya, malengo, nk
Kaka Kuna swala lanjinsi ya KUFIKIRI kiusahihj. kaka hili ni jambo Muhimu sanaaaa. Sikuhizi tumekuwa wavivu sana KUFIKIRI. Tukikabiliwa na changamoto kidogo tuna give up. Jingine SAFARI ya mafanikio Ina hitaji sanaa imani. Ni vyema sanaa kuwa na IMANI sana na MUNGU. la sivyo utageuka mteja WA waganga WA jadi. Maana bila IMANI utateseka sana na malengo
Shukran sana na mm naomba nikupe faida kubwa sana kwenye maisha yako naomba fatilia channel ya AHLU ATHAR naamini utakuja kunishukuru in shaa Allah ima hapa dunia au kesho akhera
Nashukuru sana ngoja niicheki...
Each one Teach One .. Ubarikiwe Sana Kaka
ushauri wa aina tano😂😂😂kaka
yeah kingine ni ibada Allah a2fishe huk aminii
Hongera kwa kazi nzuri..nasaidika sana..still waiting jinsi ya kuanzisha mkutano ukiwa moderator wa kikundi cha kanisa. Asante
Asant
Shukran pointless
Yeah iy0 nzur
Aha kaka mimi kuowa naona ni kujipa magumu bila kupta pesa
❤
Nishawashtwa Wana mzigo umeingia.
Asante sana brother
Karibu sana
❤❤❤❤😂😂
😂😂