Ushauri Wa Dhahabu Kwa Vijana: Misingi 5 Ya Mafanikio

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 15. 11. 2023
  • Ushauri Wa Dhahabu Kwa Vijana: Misingi mitano Ya Mafanikio
    .
    LIKE - COMMENT - SUBSCRIBE - SHARE
    .
    NUNUA KOZI YA SPEAKING SKILLS:
    Tuma neno KOZI au COURSE kwenye whatsapp
    WhatsApp: wa.me/255759191076
    Bei ya punguzo: 10,000 TZS tu.
    .
    NUNUA VITABU:
    Click hapa uje whatsapp moja kwa moja kisha andika neno VITABU
    WHATSAPP: wa.me/255759191076
    .
    OUR SPONSOR’S DETAILS:
    Al-Rahmah Schools
    Location: Mkuranga
    Phone: 0673-52-66-44
    IG: / alrahmahschools
    .
    JIUNGE NA GROUP LETU LA WHATSAPP (BURE):
    Ingia moja kwa moja kwa kubonyeza Link hii:
    chat.whatsapp.com/JxOUqZBdf35...
    .
    WASILIANA NA EZDEN JUMANNE
    Voice-over Talent | Content Entrepreneur | Speaker
    Instagram: / ezdenjumanne
    Twitter: / ezdenjumanne
    Facebook: / ezdenjumanne
    WhatsApp: wa.me/255759191076
    .
    SUBSCRIBE Kwenye channel zetu nyingine:
    .
    HAMASA YA LEO👇🏽
    / hamasayaleo
    .
    JE WAJUA?👇🏽
    / @jewajua5506
    .
    VOICE-OVER CHANNEL👇🏽
    / voiceovertanzania
    .
    KWA MATANGAZO KWA BIASHARA:
    - Kuweka tangazo lako kwenye channel hii.
    - Unahitaji Voice-over (English & Swahili).
    - Kutengenezewa tangazo zuri
    Tuwasiliane kwa taarifa hizi hapa chini:
    CALLS: (+255) 759 191 076
    WHATSAPP: wa.me/255759191076
    EMAIL: ezdenjumanne@gmail.com
    .
    .
    #Each #One #Teach #One

Komentáře • 28

  • @mwanaishakama3381
    @mwanaishakama3381 Před 8 měsíci +10

    Umeongea vitu vya uhakika kabisa kila kijana atakae ufuata ushauri wako hawezi kua na uzee wenye majuto shukrani Allah akuzidishie elimu ili nasi utuelimishe🙏

  • @allymfaume8707
    @allymfaume8707 Před 8 měsíci +6

    Asante Brother kwa ushauri mzuri, ntakuja kukutembea ofisini In Shaa Allah

  • @SalumMicko
    @SalumMicko Před 3 měsíci +1

    Nakupenda brother napata elimu kupitia wewe respect

  • @zainabuzainabu4160
    @zainabuzainabu4160 Před 8 měsíci +3

    Asalaam Aleykhum kaka shukrani somo la leo nimelipenda sana Allah akuifadhi kaka tuzidi kuelimishana hasa tunao jitafuta umuhimu sana kuzingatia haya hakika hii ndio ramani ya kutufikisha kwenye mafanikio kingine msimamo na uaminifu bila kuzingatia haya tutazalisha jamii na taifa lisilo na watu wema.

  • @ImmaMassawee
    @ImmaMassawee Před 8 měsíci +2

    Barikiwa sanaaa kk.. najifunza mengi sanaaa kupitia wewe

  • @user-vm4ep8lw2r
    @user-vm4ep8lw2r Před 8 měsíci +2

    asante sana my brother kwa ushauri wako.

  • @robertmgori8165
    @robertmgori8165 Před 8 měsíci +1

    Oooooooh just good brother ezden

  • @abubakarkibwana8505
    @abubakarkibwana8505 Před 6 měsíci +1

    Thank u bro God bless u 2 do wonder every day

  • @thabitnjovu9358
    @thabitnjovu9358 Před 8 měsíci +2

    Asante sana coach nimejifunza vitu vingi

  • @zainabuzainabu4160
    @zainabuzainabu4160 Před 8 měsíci +2

    Asalaam Aleykhum kaka jamii na taifa inaitaji vijana wanao jitambua vijana ndionguvu kazi ya taifa mimi mwenyewe bili kua na haya ulio yaorodhesha nisingefika huku nilipo niko Oman kikazi tabia ya yangu nzuri ndio imenifikisha uku.

  • @salumyussuf2140
    @salumyussuf2140 Před 8 měsíci +2

    Kuongeza maarifa (elimu) nimeipenda sana maana elimu ndyo chimbuko la maarifa yote ikiwemo afya, malengo, nk

  • @daudhabona8897
    @daudhabona8897 Před 8 měsíci +1

    Kaka Kuna swala lanjinsi ya KUFIKIRI kiusahihj. kaka hili ni jambo Muhimu sanaaaa. Sikuhizi tumekuwa wavivu sana KUFIKIRI. Tukikabiliwa na changamoto kidogo tuna give up. Jingine SAFARI ya mafanikio Ina hitaji sanaa imani. Ni vyema sanaa kuwa na IMANI sana na MUNGU. la sivyo utageuka mteja WA waganga WA jadi. Maana bila IMANI utateseka sana na malengo

  • @babuujamal9949
    @babuujamal9949 Před 8 měsíci +1

    Shukran sana na mm naomba nikupe faida kubwa sana kwenye maisha yako naomba fatilia channel ya AHLU ATHAR naamini utakuja kunishukuru in shaa Allah ima hapa dunia au kesho akhera

  • @afrosonicaudiostation6567
    @afrosonicaudiostation6567 Před 8 měsíci

    Each one Teach One .. Ubarikiwe Sana Kaka

  • @irakozeshela1809
    @irakozeshela1809 Před 8 měsíci +2

    ushauri wa aina tano😂😂😂kaka

  • @user-qd9qt7ro6b
    @user-qd9qt7ro6b Před 8 měsíci +1

    yeah kingine ni ibada Allah a2fishe huk aminii

  • @njeriilucia4515
    @njeriilucia4515 Před 8 měsíci +1

    Hongera kwa kazi nzuri..nasaidika sana..still waiting jinsi ya kuanzisha mkutano ukiwa moderator wa kikundi cha kanisa. Asante

  • @ramadhaniferuzi
    @ramadhaniferuzi Před 8 měsíci +1

    Asant

  • @zahrakitchen5880
    @zahrakitchen5880 Před 8 měsíci +1

    Shukran pointless

  • @user-fe1ct8yl1u
    @user-fe1ct8yl1u Před 8 měsíci

    Yeah iy0 nzur

  • @YerimiaMsigwa
    @YerimiaMsigwa Před 8 měsíci +1

    Aha kaka mimi kuowa naona ni kujipa magumu bila kupta pesa

  • @philipomashaka
    @philipomashaka Před 8 měsíci +1

  • @madabababesh6020
    @madabababesh6020 Před 8 měsíci +1

    Nishawashtwa Wana mzigo umeingia.

  • @user-oj2cu9oy1z
    @user-oj2cu9oy1z Před 3 měsíci

    Asante sana brother

  • @user-tw9zd5yf8p
    @user-tw9zd5yf8p Před 5 měsíci

    ❤❤❤❤😂😂

  • @saumusanjiama6991
    @saumusanjiama6991 Před 3 měsíci

    😂😂