JINSI YA KUJENGA UJASIRI NA KUJIAMINI
Vložit
- čas přidán 14. 03. 2023
- Jinsi ya kujenga ujasiri na kujiamini:
Je, unapata ugumu katika kujiamini na kuwa na ujasiri wakati unapokabiliana na hali ngumu au changamoto? Ikiwa ndivyo, basi hii ndio video sahihi kwako! Katika video hii, tutajifunza jinsi ya kujenga ujasiri na kujiamini kwa kujielewa na kuchukua hatua za kufikia malengo yako.
Katika video hii, utajifunza njia mbalimbali za kujenga ujasiri na kujiamini, ikiwa ni pamoja na kujenga upendo wa ndani, kubainisha nguvu na udhaifu wako, kuepuka kujisifu, kushirikiana na watu wenye maoni sawa, kujifunza kutoka kwa makosa na kukubali mafanikio yako.
Pamoja na maelezo ya kina na mifano halisi, utajifunza jinsi ya kutumia njia hizi kujenga ujasiri na kujiamini na kufikia malengo yako katika maisha yako ya kila siku. Hivyo, ikiwa unataka kuboresha maisha yako kwa kuwa na ujasiri na kujiamini zaidi, usikose video hii! Tazama sasa ili ujifunze jinsi ya kujenga ujasiri na kujiamini!
.
LIKE - COMMENT - SUBSCRIBE - SHARE
.
NUNUA KOZI YA SPEAKING SKILLS:
Tuma neno KOZI au COURSE kwenye whatsapp
WhatsApp: wa.me/255759191076
Bei ya punguzo: 20,000 TZS tu.
.
OUR SPONSOR’S DETAILS:
Al-Rahmah Schools
Location: Mkuranga
Phone: 0673-52-66-44
IG: / alrahmahschools
.
JIUNGE NA GROUP LETU LA WHATSAPP (BURE):
Ingia moja kwa moja kwa kubonyeza Link hii:
chat.whatsapp.com/JxOUqZBdf35...
.
WASILIANA NA EZDEN JUMANNE
Voice-over Talent | Content Entreprenuer | Speaker
Instagram: / ezdenjumanne
Twitter: / ezdenjumanne
Facebook: / ezdenjumanne
WhatsApp: wa.me/255759191076
.
SUBSCRIBE Kwenye channel zetu nyingine:
.
HAMASA YA LEO👇🏽
/ hamasayaleo
.
JE WAJUA?👇🏽
/ @jewajua5506
.
VOICE-OVER CHANNEL👇🏽
/ voiceovertanzania
.
KWA MATANGAZO KWA BIASHARA:
- Kuweka tangazo lako kwenye channel hii.
- Unahitaji Voice-over (English & Swahili).
- Kutengenezewa tangazo zuri
Tuwasiliane kwa taarifa hizi hapa chini:
CALLS: (+255) 759 191 076
WHATSAPP: wa.me/255759191076
EMAIL: ezdenjumanne@gmail.com
.
.
#Jinsi #Kujenga #Kujiamini
Namuomba Mungu aniongezee ujasiri na kujiamini
Dah yani brother wewenikama mwalimuwangu❤❤❤❤❤❤
Asante umenitibu
Kuna wengine machozi yapo karibu sana tutafanyaje kitu kidogo tu machozi
Ahsantee kaka angu,Mungu akubariki sanaa 🙏🙏
Thanks
Exact
Bro Ezden let God bless You More Tunabarikiwa Sana Bro i wish wote au wengi wakielewa mafundisho haya tunaweza tukapata tz na ulimwengu wa mafanikio Na Amani pia
Shukran. Umeniamsha.
Brother Be blessed
Thnks broo have get a new thing today🙏💪so have walk up agein
Sensible advice
Shukran
Asante sana kak kwa kutufunguwa
Niseme zaid ya asante si asante tu zadi bro mungu akulipe
asante sana kaka
🙌🙌🙌
Kaka aiseee najifunza sana kutoka kwako.
Brother ezden tunashkuru kwa somo tumerud rasmi kwako insha Allah
Assante jumanne kwa katika haya , kiukweli unatufunua akili ili tuyajenge mafanikio
Nakusikiliza kaka
imenifungua kaka hii makala
Naomba namba yako mkuu ninajambo.
Kaka naomba namba yako plz
Chukua hapo kwenye description
Mm sijihamini mpk ninywe pomb nateseka sana nekuw mtu wa kujilaum sana 😔
Mmh😢
Mhh😢😢
Sorr
Kuanzia sasa nitanza kujiamini na nijipe moyo kuwaa ninaweza bila ya kufanya hivo kila siku nitakuwa mtumwa wa wahindi wakiendelea kuniburuza. NIMECHOKA JAMANI 😭🙆
Good,but Fanya kaz kwa malengo