Jinsi Ya Kuacha Uvivu Na Kutimiza Malengo
Vložit
- čas přidán 22. 11. 2023
- Jinsi Ya Kuacha Uvivu Na Kutimiza Malengo:
Kukosa maarifa fulani muhimu kunaweza kuwa sababu ya wewe kufanya vitu ambavyo vinakuangamiza polepole bila kujua sababu hauoni athari zake moja kwa moja. Na uvivu ni moja ya vitu vinavyokuja polepole na matokeo yake yanakuja kuonekana baadaye sana.
Sasa Ezden Jumanne amekuletea somo hili leo ambalo linaweza kuwa msaada mkubwa kwenye suala la kuepuka uvivu na kuweza kutimiza malengo yako kwa haraka zaidi.
.
LIKE - COMMENT - SUBSCRIBE - SHARE
.
NUNUA KOZI YA SPEAKING SKILLS:
Tuma neno KOZI au COURSE kwenye whatsapp
WhatsApp: wa.me/255759191076
Bei ya punguzo: 10,000 TZS tu.
.
NUNUA VITABU:
Click hapa uje whatsapp moja kwa moja kisha andika neno VITABU
WHATSAPP: wa.me/255759191076
.
OUR SPONSOR’S DETAILS:
Al-Rahmah Schools
Location: Mkuranga
Phone: 0673-52-66-44
IG: / alrahmahschools
.
JIUNGE NA GROUP LETU LA WHATSAPP (BURE):
Ingia moja kwa moja kwa kubonyeza Link hii:
chat.whatsapp.com/JxOUqZBdf35...
.
WASILIANA NA EZDEN JUMANNE
Voice-over Talent | Content Entrepreneur | Speaker
Instagram: / ezdenjumanne
Twitter: / ezdenjumanne
Facebook: / ezdenjumanne
WhatsApp: wa.me/255759191076
.
SUBSCRIBE Kwenye channel zetu nyingine:
.
HAMASA YA LEO👇🏽
/ hamasayaleo
.
JE WAJUA?👇🏽
/ @jewajua5506
.
VOICE-OVER CHANNEL👇🏽
/ voiceovertanzania
.
KWA MATANGAZO KWA BIASHARA:
- Kuweka tangazo lako kwenye channel hii.
- Unahitaji Voice-over (English & Swahili).
- Kutengenezewa tangazo zuri
Tuwasiliane kwa taarifa hizi hapa chini:
CALLS: (+255) 759 191 076
WHATSAPP: wa.me/255759191076
EMAIL: ezdenjumanne@gmail.com
.
.
#Each #One #Teach #One
naitwa shela nyumbani ni incini burundi ila kwasasa nipo warabuni cakuongezeya ni kuyaeshim na kuyapenda malengo yako yaani uaangiliy faida na umuhimu wa lengo lako pia siyo vizuri kuya zungumziya malengo yako kwa watu wengin sababu wanao tusapport niwacace wengi wanatukatisha tamaa kwa iyo ukimya ni muhimu na kusali kumuomba mungu lengo lako litimiye❤
Naitaji mbinu zaidi kwani Niko nyuma Sana kimaenfeleo jina ni fides kutoka arusha
Richard byaombe from the united states of America 🇺🇸 EZDEN umekuwa ukitufindisha vyema kila siku ; somo la leo lime nigusa sana ; kwa sababu miezi 8 iliyopita nilikuwa nimejisahau sana ; lakini kwaendelea kufuatilia Chanel yetu success path network
Nimekuwa mfano bora waku higwa ; ninge omba ungusisiye NI NAMNA GANI MTU ANAWEZA AKAJUA KUSUDI LAKE asante sana
Point kwenye maleongo mm Niko uwarabu ili somo nimelielewa asante sana brother
Asante sana mkuu mwenyenzi mungu akuinue zaidi umeandaliwa kulivusha kizazi hiki cha dhahabu! !! Somo limenibeba full and see you value! !
Hii imenilenga Kwa kweli
Wa kwanza watch
Ku workout nayo inaweza ika towa uvivu naya, by the way I was the second person to watch it, Napendaka mafundisho yako.
Thank u my brother...unenifundisha kitu nilicho kuwa nikitafuta kwa miaka mingi..Asante. na mwenyezi Mungu akubariki...Asante
Shukran kaka
Skia skia, kweli bro comfort zone is a killer among our people in Tanzania
Much respect
Kuanzia kesho naanza kuandika matumizi hadi mwisho wa mwezi nione asante sana kwa somo naishi Kinondoni
Karibu sana, nakutakia kila la kheri
Wow! Powerful 🤝
Thank you teacher
Naitwa Meshack, kutoka makuyuni Arusha, nikuwa nikikufuatilia sana kwa ukarubu zaidi🎉🎉🎉
Bravo to Ezden
Kweli kabisa
Kaka ivi Kuna mfanya biasha ambae ametoboa kweli kweli ivi inawezekana kuha na fulaha
Shukrani Sana Kk kwa somo.
Thank you ezden, it's like I requested that topic today, I believe that 'while there life there is hope, my name is aisha home tanzania, but I work outside the country, big up brother, each one teach one.
Imenisa sana
Shukran molaa akulinde maishani
Allahumma ameen 🤲🏽🤲🏽
Much blessed brother ❤
nipo kak nishaanza kufanyia kazi so thanks barikiwe sana🙏🙏
naitwa naomy napatikana arusha kaka toka nianze kufuatilia kwakweli naona mabadiliko makubwa pia huku nikifanyia kazi ,asante kwa somo nzur kaka nimekuelewa ubarikiwe na bwana
Point nimeelewa sana nipo gulf nitayafanyia kz mungu akubariki sana broo❤
Nakuelewa sana kaka
Bro, you really helped me with that graph. Thank you 》 Abshira
Kurudiia Rudia aweza.....(consistency).....
CONSISTENCY....
.
Naaam kaka nimekufuatilia sana tok miaka Kam miwili hivi lakini maelekezo yako mazuri ila mm navujwa moyo sana na familia kila ninachokips wao wanaunza sasa nitafanyaje mwisho nikate tamaa niache kununua na mm niko Oman na mda wa miaka 4 utanisaidia Vip
Mimi nimejifunza kuandika matumizi mwezi mzima ili kujua yaliyo muhimu kuliko mengine na kuacha Yale ambayo siyo ya muhimu.ili kujibana na kuweka akiba
Naitwa cheed ni new subscribe namefurah somo na kujifunza mengi.
Imani bro kitu cha msingi sana
Naam sahihi
Regan: bro uko vizuri pia kuna aina za marafiki pia ni kikwazo
Sana
Mimi, my malengo I have in my brain je ni lazima ni andike kwenye paper?
Mmi natamani kufanya biashala lakini najikuta mambo mengi yana nizonga alafu naona weng wanafanya ko nakata tamaa Ila sina uvuvu
Embu cheki Mimi sasa nimekusikiliza afu nikaona uvivu apa naacha kuangalia nilale tu😩😩😩
Duuuh
Kaka uko bro 1:26
Ni kweli bro
Kusahau ndoo tatizo kubwa mnoo kwangu