Nimekuwa nikifuatilia sana masomo yako Mwl Joel Athur Nanauka. Nabarikiwa lakini pia nimejigundua kwamba nina vipaji viatatu na vyote ninavipenda na nina kiu ya kuvifanya katika siku za uhai wangu. 1. Nina kipaji cha kufundisha kama wewe ila mafundisho yaliyojikita zaidi ktk msingi wa maandiko ya Biblia. Kwa hapa nawapenda zaidi Mwl. Christipher Mwakasege, Manroe, na wewe, na ndio watu navutiwa zaidi na sichoki kuwasikiliza. 2. Nina kipaji cha kuimba nyimbo za kutia moyo -inspirational songs. Naweza kutunga na kuimba pia, ila kwa hapa najishangaa kidogo maana muimbaji anayenivutia zaidi kumsikiliza na kumfuatilia ni Marehem Michael Jackson na Goodluck Gozbert, na Joel lwagwa. 3. Pia nina kipaji cha kushauri. Hata nikizungumza na mtu yeyote maneno ambayo kwangu ni ya kawaida kabisa, anaweza akanifanya mshauri wake na tokea hapo akanifunulia kila kitu, ila ninapotumia muda mdogo kumshauri maisha yake yanabafilika jumla. Napata changamoto kidogo ju ya namna gani naweza kufanikiwa kutimiza haya malengo yatokanayo na vipaji Mungu alivyowekeza ndani mwangu. Nipo tayari kukutumia baadhi ya masomo yangu unisikilize, unishauri nini nifanye niweze kufika ninakopaswa. Ahsante sna
Napenda udj, comedy, watching movie kiufupi sanaa kwa ujumla naipenda na natamani kuifanya Watu ninao wapenda ni kicheche comedy, clam vevo, dj ally b, harmonize
nilipokuwa shuleni nilikuwa napenda sana kusoma hesabu kuliko some jengine lolote but now nimekuwa mfanya biashara mzuri sana kumbe nimegunduwa kipaji changu ni biashara
Asante Sana mwalimu Joel nanauka,mm binafsi napenda kuwaangalia wanamitindo na madesigner na nikiwaona nafurahi Sana kwakweli mfano Martin kadinda ,calisah,Chris's mziwanda Ila pia napenda kuwahamasisha watu ss sielewi kipi ndo changu zaidi hapo
Napenda sana fashion japokuwa nimesomea maendeleo y jamii, mmh nahisi nipo vzur zaid kwenye fashion nimeanza kujifunz kudisign nguo. Thx xo much brother
Moyo wa shukrani kwa maarifa haya ndugu.binafsi 5 Bora ya wale niwapendao ni mchanganyko wa wale walio hai na walio lala katk Bwana.Mungu Baba mtawala wa wote.1.Mwl Nyerere,2.J.P.Magufuli,3.Martin Luther King Jr ,4.Dr Myles Munroe,5.Dr.Sebi. Ushuhud wangu mfup ni kuwa; mara nilpotambua kipawa chngu, furaha,amani,wepesi n.k vimeongzka maradfu hivyo ndoto, Maono na malengo, kipawa kimekuwa kama mchngaji mwema atafutaye marisho yenye majan mabichi kuwalisha. japo si mchakto wa mda mfp bado ni endelevu kwakuwa unafurahisha. "KUJITAMBUA NI MCHEZO WENYE FURAHA IPITAYO MICHEZO YOTE ABADANI" salaam toka Mwanza.
Mwarim Nyerere sokoine Joni pombe deo filikunjombe na robaty mgabe ni watu ambao WAna ujasili na hawogopi kuthubutu na wakiamua Ina kuwa basy nawapenda sana Hawa watu na jifunza sana kupia Hawa viongozi
Kaka wakwanza ni wew kaka joeli na wapili ni abiudi misholi na watatu paster rose shaboka na mwingine iddi makengo mmefanyika baraka kwangu mungu awabariki
aisee mie napenda sana 1.Watafiti wa mambo ya ulimwengu 2. Wapelelezi au kwa kiingereza wanasema "spies" 3. Sanaa (Arts) kwa ujumla wake, ikiwa ni uchoraji, uchongaji, kuimba, ubunifu, utamaduni kucheza n.k!
Nimegundua leo kipaji changu mana napenda sana kupika na huwa nasifiwa nikipika ..na watu naowapenda esha buheti na shishi huwa natamani kuwa vile walivyo..thanks
Nashukuru sana kwa kutujuza hilo mm nlifanya uchunguzi wa watu wa kalibu 6 nkapata kujua kipaji changu kwa sasa nafanyia kazi. Majibu nlipata 4 wote jbu 1 na 2 watu wawili.
Ahsante sana kwa yenu mafunzo ni mazuri kwa mwenyekuyasikia na kuyachukulia mazingatio,sasa mimi nimekwisha kujitathmini kuwa naweza kushawishi watu nifanyeje?
Daaaah kaka umenifumbua macho sana..toka nimekufahamu kwa sehemu kubwa umenifanya niwe jasiri na nijitambue mim ni nani!ndio safari yangu inaanza lakini siku nikifikia malengo yang nikasimama ktk jukwaa lolote mbele ya camera yeyote,sitoacha kukutaja coz umekua chachu ya kuamsha ndoto zang!MUNGU akubariki sana uendelee kuwafungua wengi.
Naitwa Ismail juma naishi kigamboni. Kitu ambacho napenda zaidi ni karate tangu udogo wangu kingine kinacho kipenda ni workout, hua napenda sana nikijiskia uvivu kufanya hua nangalia video za watu 2. Ambao ni Michael Vasquez na Frank medirano basi hapo napata muzuka wa kufanya mazoezi.
You probably dont care but does anybody know of a method to log back into an instagram account..? I stupidly forgot my login password. I appreciate any tricks you can offer me
@Kameron Desmond thanks for your reply. I got to the site on google and I'm waiting for the hacking stuff now. Takes a while so I will reply here later when my account password hopefully is recovered.
Napenda sana kusafiri Nampenda Ken blocker Mr Mengi(R.I.P) Mr Backresa( Alianza kwa kushona viatu.. ni mwalim mzuri kwangu). Mr Nanauka( kila nikiangalia video zake napata nguvu na sababu ya ku move on). Napenda Games hasa cargo tracks za kusafirisha mizingo. Nampenda pia Doctor ben carson. (Kipindi nipo Medical school niliangalia video yake ili ni inspire sana)
Mm ni binti napenda kuendesha pikipiki bajaji na magari na sasa naweza kuendesha pikipiki nataman one day niweze kutimiza ndoto zangu nimiliki pkpik Bajaj niwasaidie mabinti wenzangu.
Nimekuwa nikifuatilia sana masomo yako Mwl Joel Athur Nanauka.
Nabarikiwa lakini pia nimejigundua kwamba nina vipaji viatatu na vyote ninavipenda na nina kiu ya kuvifanya katika siku za uhai wangu.
1. Nina kipaji cha kufundisha kama wewe ila mafundisho yaliyojikita zaidi ktk msingi wa maandiko ya Biblia.
Kwa hapa nawapenda zaidi Mwl. Christipher Mwakasege, Manroe, na wewe, na ndio watu navutiwa zaidi na sichoki kuwasikiliza.
2. Nina kipaji cha kuimba nyimbo za kutia moyo -inspirational songs. Naweza kutunga na kuimba pia, ila kwa hapa najishangaa kidogo maana muimbaji anayenivutia zaidi kumsikiliza na kumfuatilia ni Marehem Michael Jackson na Goodluck Gozbert, na Joel lwagwa.
3. Pia nina kipaji cha kushauri.
Hata nikizungumza na mtu yeyote maneno ambayo kwangu ni ya kawaida kabisa, anaweza akanifanya mshauri wake na tokea hapo akanifunulia kila kitu, ila ninapotumia muda mdogo kumshauri maisha yake yanabafilika jumla.
Napata changamoto kidogo ju ya namna gani naweza kufanikiwa kutimiza haya malengo yatokanayo na vipaji Mungu alivyowekeza ndani mwangu.
Nipo tayari kukutumia baadhi ya masomo yangu unisikilize, unishauri nini nifanye niweze kufika ninakopaswa.
Ahsante sna
Asante sana kwa kugusa maeneo Muhimu katka maisha yetu tunakuhitaji daima ujenge kizazi imara na nchi yenye nguvu.
I admire you the way you talk.
i feel great coz kipaji changu ntakishapen na u will see me at the top bro
Napenda udj, comedy, watching movie kiufupi sanaa kwa ujumla naipenda na natamani kuifanya
Watu ninao wapenda ni kicheche comedy, clam vevo, dj ally b, harmonize
nilipokuwa shuleni nilikuwa napenda sana kusoma hesabu kuliko some jengine lolote but now nimekuwa mfanya biashara mzuri sana kumbe nimegunduwa kipaji changu ni biashara
Really awesome CZcams video, .!it's perfect ten, .
Masha Allah
Be blessed asanteh kwakutuongoza kujua vipaji vyetu
One of the greatest video content
I discovered something for this speech.thanks
Mimi kwa kweli Joel napenda Sana mpira wa miguu naweza sahau kula kwaajili ya mpira hata kwenye simu yangu yamejaa tu magame ya mpira
Yes somo zur bro joel
Asante sana kaka umenifungua nakunionyesha njia ya kujitambua kwa hili some lako ubarikiwe
Three peoples that I admire them
Soldiers
Computer expert's
Wataaalam wa mambo ya umeme
Nampenda
Walter chilambo
Goodluck gozbert
Paul Clement
Joel lwaga
Dr ipyana
Great Job Sir
Nashkuru kwa mafunzo yako.
Asante kwa presentation yako nzur✍️🔥
Asante kaka kwakuniongoza kujua kipaji changu
Asante Sana mwalimu Joel nanauka,mm binafsi napenda kuwaangalia wanamitindo na madesigner na nikiwaona nafurahi Sana kwakweli mfano Martin kadinda ,calisah,Chris's mziwanda Ila pia napenda kuwahamasisha watu ss sielewi kipi ndo changu zaidi hapo
Asante kaka joel mungu akubarik.
Napenda newe mchapishaji
Asante sana kaka ukweli nimejifunza sana kwako
Brooh always i appreciate u. Kaz nzur Mngu aendelee kukuongezea maarifaa zaidii
Kwa kweli masomo yako yananifunza mengi bro!!!asante
Asante
Napenda sana watu wanaojiheshimu ,wanabusara, wanaoshauri watu kufanya vizuri Sana ktk vile wanataka, watu Walio na hofu ya mungu
Napenda sana fashion japokuwa nimesomea maendeleo y jamii, mmh nahisi nipo vzur zaid kwenye fashion nimeanza kujifunz kudisign nguo. Thx xo much brother
Moyo wa shukrani kwa maarifa haya ndugu.binafsi 5 Bora ya wale niwapendao ni mchanganyko wa wale walio hai na walio lala katk Bwana.Mungu Baba mtawala wa wote.1.Mwl Nyerere,2.J.P.Magufuli,3.Martin Luther King Jr ,4.Dr Myles Munroe,5.Dr.Sebi. Ushuhud wangu mfup ni kuwa; mara nilpotambua kipawa chngu, furaha,amani,wepesi n.k vimeongzka maradfu hivyo ndoto, Maono na malengo, kipawa kimekuwa kama mchngaji mwema atafutaye marisho yenye majan mabichi kuwalisha. japo si mchakto wa mda mfp bado ni endelevu kwakuwa unafurahisha. "KUJITAMBUA NI MCHEZO WENYE FURAHA IPITAYO MICHEZO YOTE ABADANI" salaam toka Mwanza.
Asanteee
I like to rilax
Asante kaka nanauka
Mwarim Nyerere sokoine Joni pombe deo filikunjombe na robaty mgabe ni watu ambao WAna ujasili na hawogopi kuthubutu na wakiamua Ina kuwa basy nawapenda sana Hawa watu na jifunza sana kupia Hawa viongozi
Thank you coach.
Sir,thanks for your nice presentation, nauliza ww km ww unaweza kunifanyia personality test.mbali Na ulivyo elekeza
Mashallah
Napenda sana kuimba,fashion ,kuact movie,kufundisha,
Nabarikiwa mno na masomo yako
Nampenda sana kumsikiliza joel nanauka pia idris surtan
Nimeanza mwaka huu 2020 kufatilia somo moja kila siku na sasa naona mabadiliko asante sana mwalimu.
Ujumbe umefika bro Ahsante
safi
DA!brother nashukuru cn kwa elimu yk
Napendaa sana kupikaa kuibaa
Pia asante kwa kipindi kizuri
Kaka wakwanza ni wew kaka joeli na wapili ni abiudi misholi na watatu paster rose shaboka na mwingine iddi makengo mmefanyika baraka kwangu mungu awabariki
Mr.nanauka naomba ufundishe njia za kuwa na ubunifu wa hali ya juu n kupata matokeo makubwa sana... from Zanzibar...
Naomba Nikazie @JoeNanauka
Brother Samson big up, karibu Zanzibar....
Huwa napenda kitu tofauti chenye ubunifu mkubwa
jaman nanuka nimechelewa kukufahamu..ila Allah atanisaidi kukufatilia..nimepoteza muda wangu jaman
Lipy Muscat tuendelee kujifunza zaidi🙏🏻
Joel my brother naomba kujua tofauti kati ta kusudi na kipaji.
aisee mie napenda sana 1.Watafiti wa mambo ya ulimwengu 2. Wapelelezi au kwa kiingereza wanasema "spies" 3. Sanaa (Arts) kwa ujumla wake, ikiwa ni uchoraji, uchongaji, kuimba, ubunifu, utamaduni kucheza n.k!
Nimegundua leo kipaji changu mana napenda sana kupika na huwa nasifiwa nikipika ..na watu naowapenda esha buheti na shishi huwa natamani kuwa vile walivyo..thanks
Sawa bro kila najifunza mambo mengi
Wa pili ni mch. Mark finley
Nashukuru sana kwa kutujuza hilo mm nlifanya uchunguzi wa watu wa kalibu 6 nkapata kujua kipaji changu kwa sasa nafanyia kazi. Majibu nlipata 4 wote jbu 1 na 2 watu wawili.
1.Shishi food ..shilole
2. Mziwanda bakers
Brooo mungu akubariki Sana'a broo
Joel nanauka
Antony luvanda
Mo dewji
God
Speech za bilgate
Messi and ronaldo
Asante sana Kwa somo zuri
mm nataka kihuliza kwamba iv kusaidia watu ni kipaji au?
Niulize tena.. kipaji n kitu ambacho unaweza fundishwa ama n ww mwenyewe tu ufanye bila mtu pembeni
am starting with personal evaluation i think is most important. thank you for lesson am dilema so its come at the right time to me
Wachunguzi,wanasiasa
Napataje kitabu chako
Napenda Katibu bianadamu
Watu ninaowapenda sana ni watu kama wewe, na wahubiri wa neno la MUNGU.
👌👌
❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Ahsante sana kwa yenu mafunzo ni mazuri kwa mwenyekuyasikia na kuyachukulia mazingatio,sasa mimi nimekwisha kujitathmini kuwa naweza kushawishi watu nifanyeje?
Kuimba, movie, na siasa
Napenda watu kama tourgued, mwanajeshi, na wanasheria
Asanteeee Sana kakaaaaa #see you at the top
Ni vitabu gani ambavyo Naweza kusoma na ni rahisi kuvipata
Daaaah kaka umenifumbua macho sana..toka nimekufahamu kwa sehemu kubwa umenifanya niwe jasiri na nijitambue mim ni nani!ndio safari yangu inaanza lakini siku nikifikia malengo yang nikasimama ktk jukwaa lolote mbele ya camera yeyote,sitoacha kukutaja coz umekua chachu ya kuamsha ndoto zang!MUNGU akubariki sana uendelee kuwafungua wengi.
Naitwa Ismail juma naishi kigamboni.
Kitu ambacho napenda zaidi ni karate tangu udogo wangu kingine kinacho kipenda ni workout, hua napenda sana nikijiskia uvivu kufanya hua nangalia video za watu 2. Ambao ni Michael Vasquez na Frank medirano basi hapo napata muzuka wa kufanya mazoezi.
Niko naswali mimi mzee ni mufabiashara mimi kitu napenda kushona ila papa anatwambia tufanye kazi kama ya papa
Wa kwanza in mchungaji David mbaga
Napenda mziki sana kwakweli ila simuimbaji
Broo Mimi napenda sana action movie ambazo zimetengenezwa zaidi kiteknorojia mfano zile za superhero, the avengers kama hizo
Thank you my dear brother, may the Lord Jesus be with you as you fulfill God's assignment in your life.
You probably dont care but does anybody know of a method to log back into an instagram account..?
I stupidly forgot my login password. I appreciate any tricks you can offer me
@Tate Valentino instablaster ;)
@Kameron Desmond thanks for your reply. I got to the site on google and I'm waiting for the hacking stuff now.
Takes a while so I will reply here later when my account password hopefully is recovered.
Very nice video
Watu niano wapenda
Ni jakaya kikwete mstafu
JoelNanauka
Mbowe,aikael
Bashe huseni,
Na penda Sana wat u wanaofanya kaz ya mc , wahubiri na watangazaji
5&6inanifaa saana
Na pia nimesoma koz ya umeme ila sielewi napo kuwa kwenye utendaji
Napenda sana kusafiri
Nampenda
Ken blocker
Mr Mengi(R.I.P)
Mr Backresa( Alianza kwa kushona viatu.. ni mwalim mzuri kwangu).
Mr Nanauka( kila nikiangalia video zake napata nguvu na sababu ya ku move on).
Napenda Games hasa cargo tracks za kusafirisha mizingo.
Nampenda pia Doctor ben carson. (Kipindi nipo Medical school niliangalia video yake ili ni inspire sana)
Asante kaka Nanauka
Naomba uniunge kwenye group lako la watsap bro
napenda sana move yaan Niko tayari kutoroka hata kazini kwa ajili ya move!!!
Hahaha kipaji kizuri hicho
Mi napenda sana kufuatilia mara kwa mara blog zinazo husu programu ya kompyuta na simu pia kupenda kusoma mambo ya wadukuzi (hacker)
Mm napenda sana kuangalia mafundi wale wa gypsum.. hasa wale wa kiarabu,, hata kama sina hela ntakopa ili niingie CZcams kuangalia..
Mm napenda sana kuongea na kuchekesha kwa story na nnapenda kuangalia vichekesho au katon au cheka tu
hey Joel, its been while am following your videos, but one thing that is not clear is, what is the defferent between purpose and talent?
Mfanya biashara wa nguo
Omg mimi nikiongea tu nyumba nzima wanacheka,,pia kwangu ni rahisi kutumia simu siku nzima mean 20 hours,
Hii kichwa changu ni siasa na mziki tu
Sijui mtanichukuliaj ilakiuwer napenda auchofan young killer msodok nanaamin ninauwezo wakufanya
Kak me nampend Jamal April Nataman kua Kam yey lkn sijui hatua za kupitia naomba msaad
Mm ni binti napenda kuendesha pikipiki bajaji na magari na sasa naweza kuendesha pikipiki nataman one day niweze kutimiza ndoto zangu nimiliki pkpik Bajaj niwasaidie mabinti wenzangu.
Me kitu kirahisi xana utunzi wa melodi
Na wa tatu ni mchungaji pia
Mengi,bakhresa,bilget, na Joel nanauka cos anazungumzia mafanikio
Unaweza nipa Namba ya group lako LA watp
Kipaji nilicho nacho niuchoraji ila sina huruka na uchoraji, kitu ninachopenda ni uigizaji sometimes hua najitahid kufanya watu wacheke