Njia Saba (7) Za Kugundua Kipaji Chako - Joel Nanauka.

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 4. 09. 2019
  • 🔥🔥🔥 Unataka KUJIFUNZA Zaidi? Nenda hapa: joelnanauka.selar.co 🔥🔥🔥

Komentáře • 147

  • @salvationministry2496
    @salvationministry2496 Před 4 lety +3

    Nimekuwa nikifuatilia sana masomo yako Mwl Joel Athur Nanauka.
    Nabarikiwa lakini pia nimejigundua kwamba nina vipaji viatatu na vyote ninavipenda na nina kiu ya kuvifanya katika siku za uhai wangu.
    1. Nina kipaji cha kufundisha kama wewe ila mafundisho yaliyojikita zaidi ktk msingi wa maandiko ya Biblia.
    Kwa hapa nawapenda zaidi Mwl. Christipher Mwakasege, Manroe, na wewe, na ndio watu navutiwa zaidi na sichoki kuwasikiliza.
    2. Nina kipaji cha kuimba nyimbo za kutia moyo -inspirational songs. Naweza kutunga na kuimba pia, ila kwa hapa najishangaa kidogo maana muimbaji anayenivutia zaidi kumsikiliza na kumfuatilia ni Marehem Michael Jackson na Goodluck Gozbert, na Joel lwagwa.
    3. Pia nina kipaji cha kushauri.
    Hata nikizungumza na mtu yeyote maneno ambayo kwangu ni ya kawaida kabisa, anaweza akanifanya mshauri wake na tokea hapo akanifunulia kila kitu, ila ninapotumia muda mdogo kumshauri maisha yake yanabafilika jumla.
    Napata changamoto kidogo ju ya namna gani naweza kufanikiwa kutimiza haya malengo yatokanayo na vipaji Mungu alivyowekeza ndani mwangu.
    Nipo tayari kukutumia baadhi ya masomo yangu unisikilize, unishauri nini nifanye niweze kufika ninakopaswa.
    Ahsante sna

  • @citymaxbookshoptanzania2924

    Asante sana kwa kugusa maeneo Muhimu katka maisha yetu tunakuhitaji daima ujenge kizazi imara na nchi yenye nguvu.

  • @user-ks9lf1vu1q
    @user-ks9lf1vu1q Před 10 měsíci +1

    I admire you the way you talk.

  • @peterhyasint8231
    @peterhyasint8231 Před 4 lety +3

    i feel great coz kipaji changu ntakishapen na u will see me at the top bro

  • @officialrapher255
    @officialrapher255 Před 11 měsíci

    Napenda udj, comedy, watching movie kiufupi sanaa kwa ujumla naipenda na natamani kuifanya
    Watu ninao wapenda ni kicheche comedy, clam vevo, dj ally b, harmonize

  • @iddikhamis3309
    @iddikhamis3309 Před 4 lety +2

    nilipokuwa shuleni nilikuwa napenda sana kusoma hesabu kuliko some jengine lolote but now nimekuwa mfanya biashara mzuri sana kumbe nimegunduwa kipaji changu ni biashara

  • @othmanmuhammad1650
    @othmanmuhammad1650 Před 4 lety +4

    Really awesome CZcams video, .!it's perfect ten, .

  • @samweljames
    @samweljames Před 4 lety +2

    Masha Allah

  • @agnesnoel5144
    @agnesnoel5144 Před 4 lety

    Be blessed asanteh kwakutuongoza kujua vipaji vyetu

  • @teamfocusfunny966
    @teamfocusfunny966 Před 4 lety +2

    One of the greatest video content

  • @frankkikoti9585
    @frankkikoti9585 Před 4 lety

    I discovered something for this speech.thanks

  • @samweljames
    @samweljames Před 4 lety +2

    Mimi kwa kweli Joel napenda Sana mpira wa miguu naweza sahau kula kwaajili ya mpira hata kwenye simu yangu yamejaa tu magame ya mpira

  • @kenedykitwange4925
    @kenedykitwange4925 Před 4 lety

    Yes somo zur bro joel

  • @hasnaalfan8245
    @hasnaalfan8245 Před 3 lety

    Asante sana kaka umenifungua nakunionyesha njia ya kujitambua kwa hili some lako ubarikiwe

  • @pauldabect7828
    @pauldabect7828 Před 4 lety

    Three peoples that I admire them
    Soldiers
    Computer expert's
    Wataaalam wa mambo ya umeme

  • @paschaltimotheo5441
    @paschaltimotheo5441 Před 3 lety +1

    Nampenda
    Walter chilambo
    Goodluck gozbert
    Paul Clement
    Joel lwaga
    Dr ipyana

  • @babalois7240
    @babalois7240 Před 4 lety +1

    Great Job Sir

  • @ussikhamisussi4882
    @ussikhamisussi4882 Před 4 lety +3

    Nashkuru kwa mafunzo yako.

  • @angasyegemwampulo8217
    @angasyegemwampulo8217 Před 4 lety

    Asante kwa presentation yako nzur✍️🔥

  • @joseefaidabutu7294
    @joseefaidabutu7294 Před 4 lety

    Asante kaka kwakuniongoza kujua kipaji changu

  • @philemonfelician8721
    @philemonfelician8721 Před 2 lety

    Asante Sana mwalimu Joel nanauka,mm binafsi napenda kuwaangalia wanamitindo na madesigner na nikiwaona nafurahi Sana kwakweli mfano Martin kadinda ,calisah,Chris's mziwanda Ila pia napenda kuwahamasisha watu ss sielewi kipi ndo changu zaidi hapo

  • @helmanmamai3709
    @helmanmamai3709 Před 4 lety

    Asante kaka joel mungu akubarik.

  • @aminaathumani4156
    @aminaathumani4156 Před 4 lety

    Napenda newe mchapishaji

  • @anithamichael5716
    @anithamichael5716 Před 4 lety

    Asante sana kaka ukweli nimejifunza sana kwako

  • @johnluhwa8342
    @johnluhwa8342 Před 4 lety

    Brooh always i appreciate u. Kaz nzur Mngu aendelee kukuongezea maarifaa zaidii

  • @johnrichard3594
    @johnrichard3594 Před 4 lety

    Kwa kweli masomo yako yananifunza mengi bro!!!asante

  • @williamo.pambila3221
    @williamo.pambila3221 Před 3 lety

    Asante

  • @paschalinasulle6233
    @paschalinasulle6233 Před 3 lety

    Napenda sana watu wanaojiheshimu ,wanabusara, wanaoshauri watu kufanya vizuri Sana ktk vile wanataka, watu Walio na hofu ya mungu

  • @magrethngowi9655
    @magrethngowi9655 Před 4 lety +1

    Napenda sana fashion japokuwa nimesomea maendeleo y jamii, mmh nahisi nipo vzur zaid kwenye fashion nimeanza kujifunz kudisign nguo. Thx xo much brother

  • @kakawamashariki8978
    @kakawamashariki8978 Před 4 lety

    Moyo wa shukrani kwa maarifa haya ndugu.binafsi 5 Bora ya wale niwapendao ni mchanganyko wa wale walio hai na walio lala katk Bwana.Mungu Baba mtawala wa wote.1.Mwl Nyerere,2.J.P.Magufuli,3.Martin Luther King Jr ,4.Dr Myles Munroe,5.Dr.Sebi. Ushuhud wangu mfup ni kuwa; mara nilpotambua kipawa chngu, furaha,amani,wepesi n.k vimeongzka maradfu hivyo ndoto, Maono na malengo, kipawa kimekuwa kama mchngaji mwema atafutaye marisho yenye majan mabichi kuwalisha. japo si mchakto wa mda mfp bado ni endelevu kwakuwa unafurahisha. "KUJITAMBUA NI MCHEZO WENYE FURAHA IPITAYO MICHEZO YOTE ABADANI" salaam toka Mwanza.

  • @augustinomwamasinga2200

    Asanteee

  • @humudikhamis3814
    @humudikhamis3814 Před 3 lety +1

    I like to rilax

  • @matabikasuccessline2068

    Asante kaka nanauka

  • @gabrielmdem4271
    @gabrielmdem4271 Před rokem

    Mwarim Nyerere sokoine Joni pombe deo filikunjombe na robaty mgabe ni watu ambao WAna ujasili na hawogopi kuthubutu na wakiamua Ina kuwa basy nawapenda sana Hawa watu na jifunza sana kupia Hawa viongozi

  • @winnyshayo8812
    @winnyshayo8812 Před 4 lety +1

    Thank you coach.

  • @neemaonesmo7642
    @neemaonesmo7642 Před 4 lety +3

    Sir,thanks for your nice presentation, nauliza ww km ww unaweza kunifanyia personality test.mbali Na ulivyo elekeza

  • @sharifarajabu7255
    @sharifarajabu7255 Před 4 lety +1

    Mashallah

  • @olivermfinanga1268
    @olivermfinanga1268 Před 3 lety

    Napenda sana kuimba,fashion ,kuact movie,kufundisha,

  • @user-tk6ie3xp9y
    @user-tk6ie3xp9y Před 6 měsíci

    Nabarikiwa mno na masomo yako

  • @esterkapinga1336
    @esterkapinga1336 Před 4 lety

    Nampenda sana kumsikiliza joel nanauka pia idris surtan

  • @latifamoshi846
    @latifamoshi846 Před 4 lety

    Nimeanza mwaka huu 2020 kufatilia somo moja kila siku na sasa naona mabadiliko asante sana mwalimu.

  • @manenolugendo6396
    @manenolugendo6396 Před 4 lety

    Ujumbe umefika bro Ahsante

  • @rosemaryzegega6189
    @rosemaryzegega6189 Před 3 lety

    safi

  • @freytone
    @freytone Před 2 lety

    DA!brother nashukuru cn kwa elimu yk

  • @salmazwallo5920
    @salmazwallo5920 Před rokem

    Napendaa sana kupikaa kuibaa

  • @pauldabect7828
    @pauldabect7828 Před 4 lety

    Pia asante kwa kipindi kizuri

  • @catherineshirima9673
    @catherineshirima9673 Před 3 lety

    Kaka wakwanza ni wew kaka joeli na wapili ni abiudi misholi na watatu paster rose shaboka na mwingine iddi makengo mmefanyika baraka kwangu mungu awabariki

  • @abdlhaleem8380
    @abdlhaleem8380 Před 4 lety +8

    Mr.nanauka naomba ufundishe njia za kuwa na ubunifu wa hali ya juu n kupata matokeo makubwa sana... from Zanzibar...

  • @lipymuscat4779
    @lipymuscat4779 Před 4 lety +2

    jaman nanuka nimechelewa kukufahamu..ila Allah atanisaidi kukufatilia..nimepoteza muda wangu jaman

    • @joelnanauka
      @joelnanauka  Před 4 lety +1

      Lipy Muscat tuendelee kujifunza zaidi🙏🏻

  • @monicasantambrogio8996

    Joel my brother naomba kujua tofauti kati ta kusudi na kipaji.

  • @mgallason...5686
    @mgallason...5686 Před 4 lety

    aisee mie napenda sana 1.Watafiti wa mambo ya ulimwengu 2. Wapelelezi au kwa kiingereza wanasema "spies" 3. Sanaa (Arts) kwa ujumla wake, ikiwa ni uchoraji, uchongaji, kuimba, ubunifu, utamaduni kucheza n.k!

  • @fatmahussein4563
    @fatmahussein4563 Před 2 lety

    Nimegundua leo kipaji changu mana napenda sana kupika na huwa nasifiwa nikipika ..na watu naowapenda esha buheti na shishi huwa natamani kuwa vile walivyo..thanks

  • @chrissmalloy9
    @chrissmalloy9 Před 4 lety +1

    Sawa bro kila najifunza mambo mengi

  • @emmasonwilison2431
    @emmasonwilison2431 Před rokem

    Wa pili ni mch. Mark finley

  • @sadysalim9212
    @sadysalim9212 Před 2 lety

    Nashukuru sana kwa kutujuza hilo mm nlifanya uchunguzi wa watu wa kalibu 6 nkapata kujua kipaji changu kwa sasa nafanyia kazi. Majibu nlipata 4 wote jbu 1 na 2 watu wawili.

  • @iizalaw6674
    @iizalaw6674 Před rokem

    1.Shishi food ..shilole
    2. Mziwanda bakers

  • @giftsam8458
    @giftsam8458 Před 4 lety

    Brooo mungu akubariki Sana'a broo

  • @alexmtemi382
    @alexmtemi382 Před 4 lety +3

    Joel nanauka
    Antony luvanda
    Mo dewji
    God
    Speech za bilgate
    Messi and ronaldo

  • @protasbakalemwa7442
    @protasbakalemwa7442 Před 2 lety

    Asante sana Kwa somo zuri
    mm nataka kihuliza kwamba iv kusaidia watu ni kipaji au?

  • @maulidkipanya9930
    @maulidkipanya9930 Před 2 lety

    Niulize tena.. kipaji n kitu ambacho unaweza fundishwa ama n ww mwenyewe tu ufanye bila mtu pembeni

  • @zuhuraabdillah6941
    @zuhuraabdillah6941 Před 4 lety +1

    am starting with personal evaluation i think is most important. thank you for lesson am dilema so its come at the right time to me

  • @emmanuellemalali3034
    @emmanuellemalali3034 Před 3 lety

    Wachunguzi,wanasiasa

  • @kasildalaurent7593
    @kasildalaurent7593 Před 3 lety

    Napataje kitabu chako

  • @aldokibasa5360
    @aldokibasa5360 Před 4 lety

    Napenda Katibu bianadamu

  • @eliasbufula6290
    @eliasbufula6290 Před 4 lety

    Watu ninaowapenda sana ni watu kama wewe, na wahubiri wa neno la MUNGU.

  • @wemamussa480
    @wemamussa480 Před 4 lety

    👌👌

  • @ernestmhilya960
    @ernestmhilya960 Před rokem

    ❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @mtanzamtanza5717
    @mtanzamtanza5717 Před rokem

    Ahsante sana kwa yenu mafunzo ni mazuri kwa mwenyekuyasikia na kuyachukulia mazingatio,sasa mimi nimekwisha kujitathmini kuwa naweza kushawishi watu nifanyeje?

  • @andrewjustine7404
    @andrewjustine7404 Před 3 lety

    Kuimba, movie, na siasa

  • @amanibrand9354
    @amanibrand9354 Před 3 lety

    Napenda watu kama tourgued, mwanajeshi, na wanasheria

  • @edsonlaurencemwagamasasi9074

    Asanteeee Sana kakaaaaa #see you at the top

  • @stevenkambeytz2459
    @stevenkambeytz2459 Před 4 lety

    Daaaah kaka umenifumbua macho sana..toka nimekufahamu kwa sehemu kubwa umenifanya niwe jasiri na nijitambue mim ni nani!ndio safari yangu inaanza lakini siku nikifikia malengo yang nikasimama ktk jukwaa lolote mbele ya camera yeyote,sitoacha kukutaja coz umekua chachu ya kuamsha ndoto zang!MUNGU akubariki sana uendelee kuwafungua wengi.

  • @ismailjuma4626
    @ismailjuma4626 Před 3 lety

    Naitwa Ismail juma naishi kigamboni.
    Kitu ambacho napenda zaidi ni karate tangu udogo wangu kingine kinacho kipenda ni workout, hua napenda sana nikijiskia uvivu kufanya hua nangalia video za watu 2. Ambao ni Michael Vasquez na Frank medirano basi hapo napata muzuka wa kufanya mazoezi.

  • @beckelose5602
    @beckelose5602 Před 2 lety

    Niko naswali mimi mzee ni mufabiashara mimi kitu napenda kushona ila papa anatwambia tufanye kazi kama ya papa

  • @emmasonwilison2431
    @emmasonwilison2431 Před rokem

    Wa kwanza in mchungaji David mbaga

  • @barakamunga5265
    @barakamunga5265 Před 4 lety +1

    Napenda mziki sana kwakweli ila simuimbaji

  • @pauldabect7828
    @pauldabect7828 Před 4 lety +1

    Broo Mimi napenda sana action movie ambazo zimetengenezwa zaidi kiteknorojia mfano zile za superhero, the avengers kama hizo

  • @healinghomeprayercentre
    @healinghomeprayercentre Před 4 lety +1

    Thank you my dear brother, may the Lord Jesus be with you as you fulfill God's assignment in your life.

    • @tatevalentino9331
      @tatevalentino9331 Před 2 lety

      You probably dont care but does anybody know of a method to log back into an instagram account..?
      I stupidly forgot my login password. I appreciate any tricks you can offer me

    • @kamerondesmond942
      @kamerondesmond942 Před 2 lety

      @Tate Valentino instablaster ;)

    • @tatevalentino9331
      @tatevalentino9331 Před 2 lety

      @Kameron Desmond thanks for your reply. I got to the site on google and I'm waiting for the hacking stuff now.
      Takes a while so I will reply here later when my account password hopefully is recovered.

  • @fahadalismaily9370
    @fahadalismaily9370 Před 4 lety +1

    Very nice video

    • @martinemihangwa2265
      @martinemihangwa2265 Před 4 lety

      Watu niano wapenda
      Ni jakaya kikwete mstafu
      JoelNanauka
      Mbowe,aikael
      Bashe huseni,

  • @issacktarimo5585
    @issacktarimo5585 Před 3 lety

    Na penda Sana wat u wanaofanya kaz ya mc , wahubiri na watangazaji

  • @issayaalex1113
    @issayaalex1113 Před 4 lety

    5&6inanifaa saana

  • @maulidkipanya9930
    @maulidkipanya9930 Před 2 lety

    Na pia nimesoma koz ya umeme ila sielewi napo kuwa kwenye utendaji

  • @j-sonlian8053
    @j-sonlian8053 Před 4 lety

    Napenda sana kusafiri
    Nampenda
    Ken blocker
    Mr Mengi(R.I.P)
    Mr Backresa( Alianza kwa kushona viatu.. ni mwalim mzuri kwangu).
    Mr Nanauka( kila nikiangalia video zake napata nguvu na sababu ya ku move on).
    Napenda Games hasa cargo tracks za kusafirisha mizingo.
    Nampenda pia Doctor ben carson. (Kipindi nipo Medical school niliangalia video yake ili ni inspire sana)

  • @costabeatus9492
    @costabeatus9492 Před 4 lety +2

    Asante kaka Nanauka

  • @teoraskasasila696
    @teoraskasasila696 Před 4 lety

    napenda sana move yaan Niko tayari kutoroka hata kazini kwa ajili ya move!!!

  • @bajutaboy7588
    @bajutaboy7588 Před 2 lety

    Mi napenda sana kufuatilia mara kwa mara blog zinazo husu programu ya kompyuta na simu pia kupenda kusoma mambo ya wadukuzi (hacker)

  • @maulidkipanya9930
    @maulidkipanya9930 Před 2 lety

    Mm napenda sana kuangalia mafundi wale wa gypsum.. hasa wale wa kiarabu,, hata kama sina hela ntakopa ili niingie CZcams kuangalia..

  • @ronjakimaraonlentv8662

    Mm napenda sana kuongea na kuchekesha kwa story na nnapenda kuangalia vichekesho au katon au cheka tu

  • @monicasantambrogio8996

    hey Joel, its been while am following your videos, but one thing that is not clear is, what is the defferent between purpose and talent?

  • @aminaathumani4156
    @aminaathumani4156 Před 4 lety

    Mfanya biashara wa nguo

  • @roshiniijezca594
    @roshiniijezca594 Před rokem

    Omg mimi nikiongea tu nyumba nzima wanacheka,,pia kwangu ni rahisi kutumia simu siku nzima mean 20 hours,

  • @DanielMbaulaBenjamin
    @DanielMbaulaBenjamin Před 10 měsíci

    Hii kichwa changu ni siasa na mziki tu

  • @paulonjozi1638
    @paulonjozi1638 Před 3 lety

    Sijui mtanichukuliaj ilakiuwer napenda auchofan young killer msodok nanaamin ninauwezo wakufanya

  • @majaliwacharles1072
    @majaliwacharles1072 Před 3 lety

    Kak me nampend Jamal April Nataman kua Kam yey lkn sijui hatua za kupitia naomba msaad

  • @jamespakara5792
    @jamespakara5792 Před 2 lety

    Mm ni binti napenda kuendesha pikipiki bajaji na magari na sasa naweza kuendesha pikipiki nataman one day niweze kutimiza ndoto zangu nimiliki pkpik Bajaj niwasaidie mabinti wenzangu.

  • @jayshakichampionkiller5959

    Me kitu kirahisi xana utunzi wa melodi

  • @emmasonwilison2431
    @emmasonwilison2431 Před rokem

    Na wa tatu ni mchungaji pia

  • @giftsam8458
    @giftsam8458 Před 4 lety

    Mengi,bakhresa,bilget, na Joel nanauka cos anazungumzia mafanikio

  • @letisiatriphone2965
    @letisiatriphone2965 Před 4 lety +1

    Unaweza nipa Namba ya group lako LA watp

  • @vamo2082
    @vamo2082 Před 4 lety

    Kipaji nilicho nacho niuchoraji ila sina huruka na uchoraji, kitu ninachopenda ni uigizaji sometimes hua najitahid kufanya watu wacheke