FAHAMU KUHUSU UGONJWA WA GANZI, DALILI NA MATIBABU YAKE.

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 5. 11. 2023
  • FAHAMU UGONJWA WA GANZI, DALILI NA MATIBABU YAKE

Komentáře • 126

  • @EditaTairo-sv1ls
    @EditaTairo-sv1ls Před 6 měsíci +14

    That's my Doctor. Dr. Brighton Mushengezi mwenye maakili yake na customer care nzuri sana. I really appreciate

    • @ManaseBuhanza-cl1lc
      @ManaseBuhanza-cl1lc Před 6 měsíci

      Magoshwa wa corona kuingia africa kwa matokea kwenye hali ya kuungua dharula na nk

    • @ManaseBuhanza-cl1lc
      @ManaseBuhanza-cl1lc Před 6 měsíci

      Ufaransa takiribani wananchi 197500 kupatwa na COVID(19) tamuko lasmi raisa atoa angalizo kwa wananchi

    • @faithfaith-zr6gz
      @faithfaith-zr6gz Před 5 měsíci

      Nimekuelewa Sana dokta,Dah! Maana hii ganzi inanisumbua mpk nahisi kuchanganyikiwa.

    • @faithfaith-zr6gz
      @faithfaith-zr6gz Před 5 měsíci

      ​@@ManaseBuhanza-cl1lcwe nawe vp? Atukuelewa mbn?!

    • @MariaSengo-cn5bx
      @MariaSengo-cn5bx Před 4 měsíci

      Editha kama una namba yake tafadhali nupatie

  • @Mundi-oz7os
    @Mundi-oz7os Před 6 měsíci +4

    Somo zuri sana limetolewa na wataalamu wanaojua kazi yao. Hongereni sana

  • @user-yw1ld7jf6c
    @user-yw1ld7jf6c Před 19 dny +1

    vp naitaji musa ada wenu mungaga mama yang iko nawungojwa wagazi yakicwani musaidiye nambiye dawa yenye atatumiya

  • @fawzialmaashari9857
    @fawzialmaashari9857 Před 6 měsíci +2

    Asante docta kwa kutufundisha vzr,,,ubarikiwe sana

  • @joycekomba9476
    @joycekomba9476 Před 6 měsíci +1

    My brother.....Asante kwa elimu nzuri sana best.

  • @user-vd5xr8je8u
    @user-vd5xr8je8u Před 6 měsíci +2

    Dr asnte kwa darasa lako Zurich mimi ni muathirika wa stroke ambayo baadae imeniachia ganzi upended ambao stroke ilipotoke yaani upended wa kulia hili nalo koje dr

  • @lilybalama6770
    @lilybalama6770 Před 6 měsíci +2

    Asante sana Dr. Brighton umekuwa msaada sana kwenye maisha yangu toka nimeanza kutibiwa na wewe nina improvement kubwa sana Mungu akuweke

  • @JosephatJoseph-eo8xj
    @JosephatJoseph-eo8xj Před 6 měsíci

    Naomba sawa doctor

  • @victorsamaytu3487
    @victorsamaytu3487 Před 6 měsíci +2

    Good teaching material, continue teacher

  • @julianapatrick7911
    @julianapatrick7911 Před 6 měsíci

    Blessed dr

  • @Nahdiya-nr3de
    @Nahdiya-nr3de Před 6 měsíci +1

    Asanteni sana kwakunifahamisha

  • @annambele789
    @annambele789 Před 5 měsíci

    Asante kwa somo la ganzi.

  • @alexkomba3100
    @alexkomba3100 Před 6 měsíci +1

    I appreciate

  • @leahenockmrina5381
    @leahenockmrina5381 Před 6 měsíci

    Asante Dactari na mtangazaji

  • @bas2823
    @bas2823 Před 6 měsíci +2

    THANKS FOR SHARING👌GOD BLESS U N ALL OF US CREATIONS OF GOD👍AMEEN🤲

  • @user-us2lu7fn9e
    @user-us2lu7fn9e Před 10 dny

    Mimi nimepata ganzinikiwamjamzito nimejifungua ilatatixo bado nifanye nn

  • @annambele789
    @annambele789 Před 5 měsíci

    Dr. Tunaomba na somo la misuli kukamaa na kupata maumivu

  • @gracekagoma3231
    @gracekagoma3231 Před 6 měsíci

    Ahsante sana Dr.Ninakuombea upate nafasi zaidi ya kwenda kusoma zaidi ktka nchi za wenzetu ili uongeze ujuzi wako WA neurology uzidi kutusaidia 🎉

  • @maryammadodo8837
    @maryammadodo8837 Před 6 měsíci +1

    Ahsante sn Doctor kwa kutuletea somo hili .Mm binfsi naumwa hu ugonjwa inafika miaka 7 ila saivi umezidi sn zaidi nikalala usiku vidole vinaniuma sn km vitoke .na nikishika simu au kitu chochote kwa muda mrefu basi napata maumivu sn .Natesrka sn na ugoonjwa hivyo nitakuja hapo kwa ushauri na matibabu zaidi

    • @marysospeter2789
      @marysospeter2789 Před 6 měsíci

      Yaan wew ndo mimi kabisaa unatesaaa sana huu ugonjwa

  • @gabriellusinde9263
    @gabriellusinde9263 Před 18 dny

    Doctor Mimi ninaganzi zaidi ya miaka mitatu nawapataje ili nipate msaada kwako

  • @mommywarda5529
    @mommywarda5529 Před 6 měsíci

    Asante Sana Niko Kenya Mombasa nawezaje kupatamatibabu huko ya ganzi

  • @user-gy5wc4co6h
    @user-gy5wc4co6h Před 6 měsíci +1

    Mimi nilipata baada ya kujifungua mwaka wa sita inaipungua taratibu

  • @ChristerShao
    @ChristerShao Před 6 měsíci +1

    Dr tunashukuru kutuelimisha.Tusaidie tupone.

  • @magrethrhobi7494
    @magrethrhobi7494 Před 6 měsíci +1

    Miaka yangu 47 Uzito wangu 122kg nina ganzi kwenye vidole vya
    Mkono wa kulia kwenye kucha..

  • @saumuabdallah198
    @saumuabdallah198 Před 6 měsíci

    doctor plz naomba nijib... mm miguu yang hua inapata baridi wakat mwngn ganzi inayoambatana na maumivu makali xn kwa miaka mng xx... lkn umri wng ni 26tu nn xhida tafadhali?????

  • @user-nt3yd2gx2t
    @user-nt3yd2gx2t Před měsícem

    Naomba namba dr

  • @OsmundaJonas
    @OsmundaJonas Před 6 měsíci

    Asante docta kwa Somo nzur mimi ninasumbuliwa na ganzi kwa miaka mitano sasa ilinipata nikiwa mjamzito ilipata mwili mzima nilipata matibabu ikaisha isipokuwa miguu mpaka Leo bado inaganzi na maumivu kwenye mifupa he naweza kupata matibabu ya kupona kabisa

    • @MUHIMBILI_MLOGANZILATV
      @MUHIMBILI_MLOGANZILATV  Před 6 měsíci +1

      Karibu Hospitali ya Taifa Muhimbili Mloganzila ukutane na wataalamu kwa uchunguzi zaidi
      Asante

  • @user-tn7ic2ky3i
    @user-tn7ic2ky3i Před 6 měsíci

    Docta mimi naitji matibabu nilianza kusikia ngazi leo naanza kusikia moto mwilini na kizunguzungu ila nilipimwa sukari mwilini 5%

  • @user-ps3oy3nx3k
    @user-ps3oy3nx3k Před 6 měsíci

    Tunaomba nmb ya dr kwa tulio mikoani .ahsante kea somo zuri ubarikiwe sana na wabarikiwe zaidi ni wazazi wako.wewe ndo maana halisi ya udaktari wako,ubarikiwe.

  • @user-dg8iw1gq3h
    @user-dg8iw1gq3h Před 28 dny

    Docta mimi napata Gazi miguuni nakweny vidole vyamikono naaikai kwamudamlefu inatoweka nanimeenda hosptali vimefanya vipmo mbalimbali inaonekana hakunashida kwenyehivyo vipimo kilakitu kikosawa ikiwemo hayo unayoyaelezea ambayondoyanaweza yakaperekea kupatata ganzi tafazari naomba unisaidie

  • @user-dg7wf6fg2j
    @user-dg7wf6fg2j Před 5 měsíci

    Dr unasema jasho linatoka mwili mzima au sijakuelewa naomba ufafanuzi

  • @Nahdiya-nr3de
    @Nahdiya-nr3de Před 6 měsíci

    Mm niko nao huo ugonjwa lkn sjajua kilicho nnsababisha iko kwnye mko wangu ndani y vidole viwili ndo vina ganzi

  • @user-dk3ss9ts7n
    @user-dk3ss9ts7n Před 6 měsíci +1

    Utoe namba

  • @gracekagoma3231
    @gracekagoma3231 Před 6 měsíci +1

    Kutokana NI kisukari miguu hukatwa Kwa sababu ya neuropathy ya miguu 😢😢

  • @cutebronca3517
    @cutebronca3517 Před 5 měsíci

    Mimi tokea ninamimba imenitokea ganzi na kidole cha kati kinaganda kabsa hospitalin nilienda wakaniambia litaisha ila mbaka leo ni miaka minne sasa bado nasumbuliwa na hilo tatizo

  • @ChristopherMhagama-ls9zd
    @ChristopherMhagama-ls9zd Před 7 měsíci

    Asante sana kwa elimu nzuri na nyepesi nimeongeza maarifa hapa nitazidi kufuatilia kipindi

  • @user-yw1ld7jf6c
    @user-yw1ld7jf6c Před 19 dny

    sasa munipenidawa nimusayidimama

  • @PaulinaSemindu-ob3de
    @PaulinaSemindu-ob3de Před 6 měsíci

    Jmn hata mm nimejifungua lkn na ganz mikonon tu shida nb dokta

  • @MariaSengo-cn5bx
    @MariaSengo-cn5bx Před 4 měsíci

    Dr tafadhali tuwekee namba yako ya simu tuwasiliane

  • @amostimoth2373
    @amostimoth2373 Před 6 měsíci +1

    Wale ambao wamerithi huwa mnawasaidiajee

  • @user-yo8lb3wf6m
    @user-yo8lb3wf6m Před 6 měsíci

    Naomba ushauri umu ndani Jamani nna tatizo la ganzi katika meno kinywa kizima naitaji dawa wapi ntapata ,mana tyr dawa natmia ila sjui feki au vp

  • @marthadominick2212
    @marthadominick2212 Před 5 měsíci

    Mko sehemu gani nasumbuliwa na ganzi ya mguu mmjoja

  • @user-dk3ss9ts7n
    @user-dk3ss9ts7n Před 6 měsíci +1

    Sema daw

  • @ExcitedOyster-bs9mx
    @ExcitedOyster-bs9mx Před 24 dny

    Daktari naomba mnisaidie niko oman ninashida mikono yangu inakufa ganzi haswa vidole nashindwa hata kufanya kazi nilipima kiskar nikaambiwa sina jaman nateseka naomba mniandikie dawa inayo weza kutuliza au kama kunauwezekano wa kunitumia dawa huku nchini oman naomben jamani

  • @FatumaMata
    @FatumaMata Před měsícem

    Namber tafadhali

  • @user-be3gf5vm9c
    @user-be3gf5vm9c Před 6 měsíci

    Nisaidie doctor naphtali shida

  • @zaidarashid8649
    @zaidarashid8649 Před 6 měsíci

    .Mimi inanzia begani Hadi vidoleni 15:40

  • @benterkioko7168
    @benterkioko7168 Před 6 měsíci

    Pia mimi ninangojea tiba la gesi na tiba yake please doc na ganzi pia

  • @RHOIDAKALUKWA-bw4jo
    @RHOIDAKALUKWA-bw4jo Před 6 měsíci

    Naomba mawasiliamo ya dokta tutampataje

  • @julianapatrick7911
    @julianapatrick7911 Před 6 měsíci

    😢

  • @GregoryMnyakasha-yk7zo
    @GregoryMnyakasha-yk7zo Před 6 měsíci

    Naomba namba ya Dr please

  • @user-wv3jf2de5r
    @user-wv3jf2de5r Před 6 měsíci

    Nina mtoto wa kiume mwenye umri wa miaka7 anatatizo la ganzi nifanyeje

  • @ZawadyKilume
    @ZawadyKilume Před měsícem

    Ri

  • @user-of3dr6th3x
    @user-of3dr6th3x Před 7 měsíci +3

    Unapatikana wapi no yako

  • @ceciliagilbert973
    @ceciliagilbert973 Před 6 měsíci +1

    Nisaidie dk Mimi vidole.vya mikono napata gazi

  • @user-qy5yi6tm7d
    @user-qy5yi6tm7d Před 6 měsíci

    Pia mimi niko nalo nikilala mikono napata ganzi.naomba usaidizi.tunaomba no.ya Dr.

  • @sofiaoman5901
    @sofiaoman5901 Před 6 měsíci

    Dactar mm nina Dalglish za ugnwa wa ganzi mkono wa kulia kuanzi began mpaka viganjani mara nying huhisi ganzimuda wa usiku mrefu kalibia na Alfajili naomba ushauli wako mm nipo Omani toka n8anze kuhusi ganzi yapat miezi 2 sasa

  • @niceadolph1154
    @niceadolph1154 Před 6 měsíci

    Mbona wengine wanasema tatizo ni uzito kwa sababu unakuta mtu hana tatizo lolote la ki afyab

  • @user-zv2lt8zk5k
    @user-zv2lt8zk5k Před 6 měsíci

    Dawa yake nini dk mimi napata ganzi mikono mizima nikilala lala na wala sina tatizo lolote kati ya uliyosema

  • @hadijasharifu1463
    @hadijasharifu1463 Před 6 měsíci

    Nikishika cim ndo naskia gazi nikiacha ganzi inaisha tatizo linamiez 6 sasa naachaga hata mwez nakua mzima nikishika tu ganzi

  • @komboruga4271
    @komboruga4271 Před 6 měsíci

    Za daktar

  • @zainabuhamisi576
    @zainabuhamisi576 Před 6 měsíci +1

    Mimi ganzi inanisumbua Miko na miguu naomba jipatie dawa

  • @divine9779
    @divine9779 Před 6 měsíci +1

    Naitaji mawasiliano ya doctor

  • @user-gq4wm9gj4l
    @user-gq4wm9gj4l Před 7 měsíci +2

    Nahitaji matibabu

  • @pilikafuku5468
    @pilikafuku5468 Před 7 měsíci +3

    Naomba utoe somo la gesi tumbon na dawa yake

  • @ZawadyKilume
    @ZawadyKilume Před měsícem

    J e

  • @gracekagoma3231
    @gracekagoma3231 Před 6 měsíci +1

    Neuropathy 😢

  • @freefromhunger
    @freefromhunger Před 6 měsíci

    Shule inaongea

  • @user-of2qt8nk7w
    @user-of2qt8nk7w Před 6 měsíci +2

    Dawa ya ganzi,ni ipi?

    • @evaamon1360
      @evaamon1360 Před 5 měsíci

      Hakuitaja dawa. Akikujibu uniambie

  • @user-gq4wm9gj4l
    @user-gq4wm9gj4l Před 7 měsíci

    Mnapatikana wapi?

    • @MUHIMBILI_MLOGANZILATV
      @MUHIMBILI_MLOGANZILATV  Před 6 měsíci

      Tunapatikana Hospitali ya Taifa Muhimbili Mloganzila ipo Mkoa wa Dar es Salaam wilaya ya Ubungo
      Karibu

  • @user-ht2ze2kd3o
    @user-ht2ze2kd3o Před 7 měsíci

    Habari ,huduma ya kutoa makovu inapatika?

    • @MUHIMBILI_MLOGANZILATV
      @MUHIMBILI_MLOGANZILATV  Před 7 měsíci +1

      Ndio inapatikana Karibu tukuhudumie

    • @user-ht2ze2kd3o
      @user-ht2ze2kd3o Před 7 měsíci

      @@MUHIMBILI_MLOGANZILATV asante Sana ni bei gn

    • @nasrafadhili7408
      @nasrafadhili7408 Před 7 měsíci

      Dokta namazoezi ukifanya wakati ujaumwa yanaweza kusaidia usipate

    • @user-gd8cx2ig9p
      @user-gd8cx2ig9p Před 7 měsíci

      Doctor mimi nasumbuliwa na ganzi kwenye mikono, mfano nikiegemeza mkono sehemu Kama dk 10 mkono unapata ganzi, tafadhali nisaidie, niko chalinze

    • @emmanuelmwakyoma5746
      @emmanuelmwakyoma5746 Před 7 měsíci

      Namba yako ya simu tafadhari

  • @davidlelo6192
    @davidlelo6192 Před 7 měsíci

    Tunaomba no mimi nikila nyama naphtali gazi kidole gumbachamkono namagoti miguu inawaka moto

  • @annakattoa7502
    @annakattoa7502 Před měsícem

    Nadhani mngeweka number ya dokta maana wengine tuko
    Mbali ili tupate msaada zaidi tu ateseka kwakweli
    Sie wakujifungua ganzi za mikono na vidoleee why ??

  • @luganomwaigomole7441
    @luganomwaigomole7441 Před 6 měsíci +1

    DAKTARI VIPI KUHUSU MATUMIZI YA KARAFUU..

    • @evaamon1360
      @evaamon1360 Před 5 měsíci

      Je wanasema karafuu nodaea ua ganzi?

  • @NeemaJohn-vs5ik
    @NeemaJohn-vs5ik Před 7 měsíci +1

    Thanks.kwamafundisho.ila.tunaomba.namba.zenu

  • @morjanoman5181
    @morjanoman5181 Před 7 měsíci

    Mnapatikana wapi?

    • @WinfridaKalinga
      @WinfridaKalinga Před 7 měsíci

      Doctor naomba namba yako tafadhali

    • @MUHIMBILI_MLOGANZILATV
      @MUHIMBILI_MLOGANZILATV  Před 6 měsíci +1

      Tunapatikana Hospitali ya Taifa Muhimbili Mloganzila ipo Mkoa wa Dar es Salaam wilaya ya Ubungo.

    • @felixndereba3695
      @felixndereba3695 Před 6 měsíci

      Am in Kenya doctor, please give your contact for consultation or treatment.. please.

    • @mohamedisalimu
      @mohamedisalimu Před 6 měsíci

      Dr hujaongelea kwa upande wa wajawazito..
      hali hii inawatokea sana

    • @selinajoakim2773
      @selinajoakim2773 Před 6 měsíci

      Jaman dr mawasiliàno