JINSI YA KULINDA FURAHA YAKO ISIPOTEE
Vložit
- čas přidán 16. 08. 2020
- JINSI YA KULINDA FURAHA YAKO ISIPOTEE
Furaha inaweza kuwa chanzo cha wewe kufanikiwa. Kwani hata kichwa huweza kufanya maamuzi mengi mazuri katika utulivu ambao furaha yaweza kuuchangia kwa kiasi kikubwa. Unaweza ukawa na furaha, lakini ikawa vigumu sana kudumu na furaha hiyo.
.
Vilevile ni rahisi sana kuipoteza furaha kama ilivyo rahi kuanguka toka mtini lakini ni vigumu sana kuipata furaha furaha kama ilivyo kupanda tena juu ya mti kwa speed uliyoangiuka nayo.
.
Katika somo hili Ezden Jumanne atakufungulia uelewa juu ya namna gani unaweza linda furaha yako isipotee.
.
Usiache ku SUBSCRIBE na kuniachia mawazo yako kwenye COMMENTS, LIKE na SHARE PIA kwa wengine.
.
NIFUATE MITANDAONI
INSTAGRAM: / ezdenjumanne
TWITTER: / ezdenjumanne
FACEBOOK: / ezdenjumanne
LINKEDIN: / ezdenjumanne
.
For Business please send me an email
ezdenjumanne@gmail.com
Or leave a text/ Whatsapp : (+255)759191076
#Linda #Furaha #Isipotee
God bless you sana broo kwa mafundisho yako tangu niijue channel hii I'm so happy na nafanikiwa zaidi nnapoyafanyia kazi uanayoyafundisha hakika Mungu andelee kukufunulia zaidi vitu vipya amen.
Pia kingine ezden kujitambua binafsi na kujua madhaifu yako binafsi Na yawatu wakaribu sana.
Like a communication skills book, business skills and problem solving skills
Mashaalah somo safi sanaaa.nimejifunza mengi.barakallahufik.
Asante kakayangu ndajitaidi na Mina Amini yata ni saidiya Sana, aksanti kwa somo nzuri
Thnx and bless you
ماشاء الله عليك زادك الله علما نافعا إننا نئخذ منك معلومات كثيره 🌹
Asante sana kaka.....nimejifunza kwakweli.
Asanteee kwa somo zuri,
Kaka mungu akusimamie miaka kama yote make kla naposkiliza mafundxho haya nahs kama yamefundishwa leo make hayaishi utam blessed San broo
Thnk you my brother God blesss you 🙏
The SECOND and FOURTH that's Me thanks once again My Brother, definitely you've helped me so much stay blessed Bro🙏🙏🙏
Amazing talk
From Kenya Mimi ni mkongomani lakini fafundisho Yako yamenisaidiya sana.
Be blessed brother
Asante kwa somo zuri, lakini mi naomba unambie ni vitabu vipi vizur kusoma na vimeandikwa kwa lugha ya kiswahili, maana vitabu vingi ni vya lugha ya kigeni na ndo vingi hasa ndo navyosoma lakin kutokana na lugha kidgo tatizo nahisi naacha nyama nyingi kwakwer, naomba list ya vitabu vya kiswahili mbari na vya nanauka kaka, asant kaz njema
Asante sanaaa
"Each one teach one"
God bless u ma brother...
aaah broo uko vzur maan toka nianze kukufwatilia nfanya mengi yanatiki
God bless you
Big up broo🙌🙌
Hapo kwa communication skills ni kweli kabsa kk
Nakuelewa sana kaka
Allah azidi kukuweka kaka ntajitahidi kila video zako niweze kuwa nazifata
Amiin, karibu sana kaka
Hi how do you get the motivation books
nimeipenda hii bro
Nimejifunza kitu, ubarikiwe
Asante kaka kuanzia sasa nakua na mipaka ili niwe na fulaha siku zote
Umenifunza kitu kikubwa San mr ezden
Kweli😢 umenisaidia sana
We ndo mwalimu wangu
Habari kaka Ezden; hongera kwa elimu nzuri unayoitoa. Je nawezaje kupata vitabu mbalimbali kutoka kwako?
🔥🔥🔥
"Jifunze kupuuzia baadhi ya mambo"🙏 asante sana kaka ubarikiwe kwa kutuelimisha
Asante sana Anipha Ima kwa kufuatilia. Endelea kuwa karibu na usisite kutujulisha kama kuna chochote tunahitaji kuboresha. Na nitafurahi sana kama uta-share link za masomo yetu kwa wengine ambao unajua wanahitaji elimu hii. Stay blessed!
🙏🙏🙏🙏
Haswaa hapo kwenye communication skills ni tatizo
📝
Jifuze kuwana masiliano mazuri kiujmla kuwana mdimo. unaotoa. Maneno mazuri
Naam
yote nayahitaji nijifunze kaka
Kweli😢 umenisaidia sana
karibu sana