UMUHIMU WA KUPUUZIA UKIKOSEWA NA MTU
Vložit
- čas přidán 5. 08. 2023
- Fahamu umuhimu wa kupuuzia pale mtu anapokukosea katika maisha yako. Ungana na Ezden Jumanne akichambua hili kwa undani.
.
LIKE - COMMENT - SUBSCRIBE - SHARE
.
NUNUA KOZI YA SPEAKING SKILLS:
Tuma neno KOZI au COURSE kwenye whatsapp
WhatsApp: wa.me/255759191076
Bei ya punguzo: 20,000 TZS tu.
.
OUR SPONSOR'S DETAILS:
Al-Rahmah Schools
Location: Mkuranga
Phone: 0673-52-66-44
IG: / alrahmahschools
.
JIUNGE NA GROUP LETU LA WHATSAPP (BURE):
Ingia moja kwa moja kwa kubonyeza Link hii:
chat.whatsapp.com/JxOUqZBdf35...
.
WASILIANA NA EZDEN JUMANNE
Voice-over Talent | Content Entreprenuer | Speaker
Instagram: / ezdenjumanne
Twitter: / ezdenjumanne
Facebook: / ezdenjumanne
WhatsApp: wa.me/255759191076
.
SUBSCRIBE Kwenye channel zetu nyingine:
.
HAMASA YA LEO👇🏽
/ hamasayaleo
.
CZcams COURSE CHANNEL👇🏽
/ @youtubepesa255
.
VOICE-OVER CHANNEL👇🏽
/ voiceovertanzania
.
KWA MATANGAZO KWA BIASHARA:
- Kuweka tangazo lako kwenye channel hii.
- Unahitaji Voice-over (English & Swahili).
- Kutengenezewa tangazo zuri
Tuwasiliane kwa taarifa hizi hapa chini:
CALLS: (+255) 759 191 076
WHATSAPP: wa.me/255759191076
EMAIL: ezdenjumanne@gmail.com
.
.
#Puuzia #Pindi #Ukikosewa
Mwenye nguvu ni yule mwenye kusamehe wengine na dhaifu ni yule mwenye kulipiza kisasi.
Yaan ni MUNGU amenileta hapa ndo sasa hv nagombana na mtu kanifanyia fitna bas ghafla nikajikuta nimeshika sm nikaingia u tube nikaona hii nlikuwa na hasira ya juu sana lkn alhamndulillah baada ya kuskiliza najiona nmempuuzia na moyo wangu umekuwa na amani mno ....Allah akulipe kheri
Umenipa funzo kubwa Sana maana ndio Hali ninayopitia wakati huu
Kweli ndugu na Mimi yamenikuta ahsantee kwa ushauri mungu akubariki sana🙏
Daa kusamehe pia inahitaji moyo na moyo ndo somo letu leo ❤❤❤
Mungu akubariki sana nimekua mpya, kama umetumwa kwangu vile, sitaki tena mtu anizoee kama ni undugu tukutane penye ulazima
Nimependa hili somo mungu akubaliki tuwendele kubaki na ww Kila siku
Nishawai patana na watu Kama hao wemenikosea wanifanya nipotease muda mwingi kufikiria vitu za upuzii lakini katika hii video nimejifuza jinzi ya kupuzia watu Kama hao asante sana kwa hii mafudizo Yako nijifuza vitu mingi kwa maisha yangu ya Kila siku mungu akubariki
Daah somo zuri kweli.
Shukran kaka kwa nasaha zako za kujenga moyo natamani ningekujua kitambo ila itoshe kusema Alhamndulillah kwa kukufafamu nimefaulu kibadili mwenendo wangu❤
Upo sahihi kabisa Kaka nimejifunza kikubwa ni kukataa kuishi na machungu Asante Sana
Waooh iko poa nimeipenda
Nashukur sana kwa kunipa mwongozo wakat kuna mgogo mungu akufungurie akili zako na kuongza kujuzi mbalimbl ✍️🤳🙏🙏🙏🙏🙏
Km umerudia zaidi ya mala 4 km mim na like kwaajili ya teacher ezden
Shukrani sana
Ni kweli kabisa mimi yalimkuta nilitumia sana na yamenisababishia matatizo makubwa lau ningepata ushauri kama huu nadhani ningepata amani lakini nishajifunza
Sauti yako ez ni nzuri Sana ais
Masha allah ujumbe mzuri sana.
Amazing content.....
Kaka jumanne asantee kwa makala yako nzuri Sana mimi ni mara yangu ya kwanza kukufatilia kilicho nivutia kwanza ni kichwa cha habari yenyewe nashukuru pia umeielezea vizuri hii makala Mimi nashukuru Mungu Naishi katika hayo ulioyaelezea na faida zake nimeziona cha kwanza mda wote nakuwa amani ya moyo na akili kwasababu yote ninayo pitia nayachambua mwenyewe kiundani baada ya hapo nayapuuuza ko nabaki na amani yangu nashukuru umenipa nguvu mpya ..!
Karibu sana na nashukuru sana Kwa mrejesho wenye uwazi na umakini. Usisite kuwashirikisha wengine na kuniambia jambo lolote ukiona lina faa katika kuongeza thamani. Stay blessed
Nimejifunza kitu kikubwa sana 🙏🙏
NimekuelewA kaka yangu asante sana
Asante MUNGU, Kwa ajili yako.
N imejifunza kitu kikubwa sana kwako
Thenk s you my brother for everything good God bless you 🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿
Shukrani nimejifunza kitu leo
Pointi inayosema kwamba itakusaudia kuondoa stress kwenye maisha hii kwangu mimi naona inanifaa zaidi kaka Mungu aendelee kukujalia afya njema maana hali hii imeshanitokea na linikua najisika vibaya sana hasa nikikutana na mtu aliyenikwaza kipindi fulani
Mungu akubariki sana kaka kiukweli nimejifunza kitu hapa
Thanks very much ezden yaan umenijenga ubarikiwe kaka.
Sintokuja kumuamini yoyote yule kwenye maisha yangu yote nakuapia
Ukweli mtupu bro
Asante somo lako ni zuri tumefaidika
nimeshabonyeza alama ya kengere kaka✍️✍️✍️
Powerful lecture...this is exactly what I am taking about , you're absolutely right brother..may Allah increase your knowledge Ameen...🙏🙏
My brother God bless you, jioni ya leo kuna mtu ameniambia maneno ya kunifunja moja, but sikuweza kumshow kuwa nimekasirika lakini nilikuwa nimeamua kesho ni mkomeshe but nimeacha kabisa asante sana kwa mafuzo mema nitajirekebisha sana na nimejifunza kunyamaza
Good one...thank a lot broo
Asante kwa somo zuri.
Nachelewa lakin sio kama sipo 😮 hapana npo hapa shafii maua yangu hii sim sio yang nimempula mtu hapa ila nipe tuu
Kaka Ezeden asante sana kwa makala yako ya aminikuta ayapa
Karibu
Nawe Asante Kwa kunifuatilia
Ahsante Sana✊🏽💯
Upo sawa kaka
Mm wamenikwaza wengi tena wangi wamenionea ana,nimekuwa mtu wa kujiuliza nn nimewakosea.lkn waliishia pabaya bila hta mm kulipiza kisasi.
Asante sana kaka
Ahsant
Natamani aje mtu mmoja asikilize hii kitu
Big up broo👍
Asante sana
Karibu sana
Dah! Broh hii kitu imenikuta wakati nikiwa o level, nilikuw nina rafiki yangu wa karibu kabisa alinikuwa akinichafulia jina kwa wanafunzi shule nzima mpaka nilitamani niache shule, ikafika hatua wanafunzi wote wakaamini maneno ya yule mjinga, nikaamua nianze kuishi peke yangu bila rafiki kwa sababu wote waliamin maneno ya yule mtu, kuna wakat mpak uwezo wng kitaaluma ukapungua ila mungu si athuman, pamoja na changomoto zile nilifaulu vzuri mtihan wang wa mwisho😢😢
Pole Kwa changamoto lakini pia hongera sana Kwa kuvuka vyema
Kweli kabisa
8:Inachochea Matatizo kutoendelea Ukipuuzia Mana Atajua Ameshinda yeye.
9:Badae Atajifunza kitu kupia Wewe.
10:Hajua Kama Wewe Unatumia kwa Jambo ilo itamfanya asijue Madhaifu yako haku Yani Hukomesheki kwanjia iyo
Nililutana naosana lakini nacheka nao
💯🤞
Nimekutana na changamoto nyingi sana lakini ilinilazimu nusamehe japokuwa moyoni naumia mno.
Jaman kama MTU unamsalimia hapokei umpotezee au uendeleee Tu?
Mengi nmejifunza
Naitaji.nmbayako.ninashida
Ninaomba.namba.yako.
But siwekagi kitu moyoni nawaigno
Inaathiri akili inadumaza akili Kila jambo uongo unafokewa
Nilisha wahi kusingiziwa uyo mlengwa sasa akawa ananinuni na Mimi sikua na Amani kwa sababu kabula tulikuwa marafiki lilipo tokea Hilo akutaka ukalibu tena kwa iyo nilikosa Amani nikamuakikishia kuwa sijafanya Ila akuamini Basi mwisho wa siku nikamuomba Mungu anipe utulivu wa moyo ata nipokutana nae namuonyesha tabasabu namsalimia Jampo mwanzo alikuwa anaitikia kiunyonge Ila saivi namsalimia anaitikia vizuli Ni baada yamimi kusaau nakujipa Amani ya moyo kwaiyo upo sahihi kaka Mungu akutunze kupitia wewe tunajifunza mengi Asante
Kaka nipe email yako et