UMUHIMU WA KUPUUZIA UKIKOSEWA NA MTU

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 5. 08. 2023
  • Fahamu umuhimu wa kupuuzia pale mtu anapokukosea katika maisha yako. Ungana na Ezden Jumanne akichambua hili kwa undani.
    .
    LIKE - COMMENT - SUBSCRIBE - SHARE
    .
    NUNUA KOZI YA SPEAKING SKILLS:
    Tuma neno KOZI au COURSE kwenye whatsapp
    WhatsApp: wa.me/255759191076
    Bei ya punguzo: 20,000 TZS tu.
    .
    OUR SPONSOR'S DETAILS:
    Al-Rahmah Schools
    Location: Mkuranga
    Phone: 0673-52-66-44
    IG: / alrahmahschools
    .
    JIUNGE NA GROUP LETU LA WHATSAPP (BURE):
    Ingia moja kwa moja kwa kubonyeza Link hii:
    chat.whatsapp.com/JxOUqZBdf35...
    .
    WASILIANA NA EZDEN JUMANNE
    Voice-over Talent | Content Entreprenuer | Speaker
    Instagram: / ezdenjumanne
    Twitter: / ezdenjumanne
    Facebook: / ezdenjumanne
    WhatsApp: wa.me/255759191076
    .
    SUBSCRIBE Kwenye channel zetu nyingine:
    .
    HAMASA YA LEO👇🏽
    / hamasayaleo
    .
    CZcams COURSE CHANNEL👇🏽
    / @youtubepesa255
    .
    VOICE-OVER CHANNEL👇🏽
    / voiceovertanzania
    .
    KWA MATANGAZO KWA BIASHARA:
    - Kuweka tangazo lako kwenye channel hii.
    - Unahitaji Voice-over (English & Swahili).
    - Kutengenezewa tangazo zuri
    Tuwasiliane kwa taarifa hizi hapa chini:
    CALLS: (+255) 759 191 076
    WHATSAPP: wa.me/255759191076
    EMAIL: ezdenjumanne@gmail.com
    .
    .
    #Puuzia #Pindi #Ukikosewa

Komentáře • 66

  • @nyambevalentine8293
    @nyambevalentine8293 Před 11 měsíci +6

    Mwenye nguvu ni yule mwenye kusamehe wengine na dhaifu ni yule mwenye kulipiza kisasi.

  • @user-zl5mt6lk4n
    @user-zl5mt6lk4n Před 11 měsíci +4

    Yaan ni MUNGU amenileta hapa ndo sasa hv nagombana na mtu kanifanyia fitna bas ghafla nikajikuta nimeshika sm nikaingia u tube nikaona hii nlikuwa na hasira ya juu sana lkn alhamndulillah baada ya kuskiliza najiona nmempuuzia na moyo wangu umekuwa na amani mno ....Allah akulipe kheri

  • @rashidrashid4618
    @rashidrashid4618 Před 11 měsíci +6

    Umenipa funzo kubwa Sana maana ndio Hali ninayopitia wakati huu

  • @maryjoseph6973
    @maryjoseph6973 Před 11 měsíci +4

    Kweli ndugu na Mimi yamenikuta ahsantee kwa ushauri mungu akubariki sana🙏

  • @DayoDayoDayo-cc5jl
    @DayoDayoDayo-cc5jl Před 10 měsíci +2

    Daa kusamehe pia inahitaji moyo na moyo ndo somo letu leo ❤❤❤

  • @MarianaMwansanga-tz5ho
    @MarianaMwansanga-tz5ho Před 11 měsíci +2

    Mungu akubariki sana nimekua mpya, kama umetumwa kwangu vile, sitaki tena mtu anizoee kama ni undugu tukutane penye ulazima

  • @IdrisaHalfani
    @IdrisaHalfani Před 13 dny +1

    Nimependa hili somo mungu akubaliki tuwendele kubaki na ww Kila siku

  • @mwitijustus8594
    @mwitijustus8594 Před 11 měsíci +2

    Nishawai patana na watu Kama hao wemenikosea wanifanya nipotease muda mwingi kufikiria vitu za upuzii lakini katika hii video nimejifuza jinzi ya kupuzia watu Kama hao asante sana kwa hii mafudizo Yako nijifuza vitu mingi kwa maisha yangu ya Kila siku mungu akubariki

  • @yumbujackson869
    @yumbujackson869 Před 11 měsíci +3

    Daah somo zuri kweli.

  • @fatumaabdallah-ui7pj
    @fatumaabdallah-ui7pj Před 10 měsíci +1

    Shukran kaka kwa nasaha zako za kujenga moyo natamani ningekujua kitambo ila itoshe kusema Alhamndulillah kwa kukufafamu nimefaulu kibadili mwenendo wangu❤

  • @rehemangemela3456
    @rehemangemela3456 Před 11 měsíci +1

    Upo sahihi kabisa Kaka nimejifunza kikubwa ni kukataa kuishi na machungu Asante Sana

  • @fungoamon5858
    @fungoamon5858 Před 11 měsíci +2

    Waooh iko poa nimeipenda

  • @user-sz6qe2ek1b
    @user-sz6qe2ek1b Před 10 měsíci +1

    Nashukur sana kwa kunipa mwongozo wakat kuna mgogo mungu akufungurie akili zako na kuongza kujuzi mbalimbl ✍️🤳🙏🙏🙏🙏🙏

  • @user-md3hr2zs7e
    @user-md3hr2zs7e Před 10 měsíci +1

    Km umerudia zaidi ya mala 4 km mim na like kwaajili ya teacher ezden

  • @user-wp2mm9vq9d
    @user-wp2mm9vq9d Před 11 měsíci +2

    Ni kweli kabisa mimi yalimkuta nilitumia sana na yamenisababishia matatizo makubwa lau ningepata ushauri kama huu nadhani ningepata amani lakini nishajifunza

  • @georgeelias2573
    @georgeelias2573 Před 11 měsíci +3

    Sauti yako ez ni nzuri Sana ais

  • @feisal38
    @feisal38 Před 11 měsíci +3

    Masha allah ujumbe mzuri sana.

  • @youtubepesa255
    @youtubepesa255 Před 11 měsíci +3

    Amazing content.....

  • @jacklinemwamsojo2955
    @jacklinemwamsojo2955 Před 11 měsíci +2

    Kaka jumanne asantee kwa makala yako nzuri Sana mimi ni mara yangu ya kwanza kukufatilia kilicho nivutia kwanza ni kichwa cha habari yenyewe nashukuru pia umeielezea vizuri hii makala Mimi nashukuru Mungu Naishi katika hayo ulioyaelezea na faida zake nimeziona cha kwanza mda wote nakuwa amani ya moyo na akili kwasababu yote ninayo pitia nayachambua mwenyewe kiundani baada ya hapo nayapuuuza ko nabaki na amani yangu nashukuru umenipa nguvu mpya ..!

    • @successpathnetwork
      @successpathnetwork  Před 11 měsíci +3

      Karibu sana na nashukuru sana Kwa mrejesho wenye uwazi na umakini. Usisite kuwashirikisha wengine na kuniambia jambo lolote ukiona lina faa katika kuongeza thamani. Stay blessed

  • @khamissmwakyembe796
    @khamissmwakyembe796 Před 11 měsíci +3

    Nimejifunza kitu kikubwa sana 🙏🙏

  • @AnaLutengano
    @AnaLutengano Před měsícem +1

    NimekuelewA kaka yangu asante sana

  • @romanasilvan2963
    @romanasilvan2963 Před 10 měsíci +1

    Asante MUNGU, Kwa ajili yako.

  • @matildajonasmboya5320
    @matildajonasmboya5320 Před 11 měsíci +3

    N imejifunza kitu kikubwa sana kwako

  • @user-md3hr2zs7e
    @user-md3hr2zs7e Před 10 měsíci +1

    Thenk s you my brother for everything good God bless you 🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿

  • @khadijaally7594
    @khadijaally7594 Před 11 měsíci +1

    Shukrani nimejifunza kitu leo

  • @BestiNasso
    @BestiNasso Před 11 měsíci +1

    Pointi inayosema kwamba itakusaudia kuondoa stress kwenye maisha hii kwangu mimi naona inanifaa zaidi kaka Mungu aendelee kukujalia afya njema maana hali hii imeshanitokea na linikua najisika vibaya sana hasa nikikutana na mtu aliyenikwaza kipindi fulani

  • @danchibomnyama5461
    @danchibomnyama5461 Před 11 měsíci +1

    Mungu akubariki sana kaka kiukweli nimejifunza kitu hapa

  • @ElizabethJosephMakoi
    @ElizabethJosephMakoi Před měsícem

    Thanks very much ezden yaan umenijenga ubarikiwe kaka.

  • @ZainabuAlli-wx5os
    @ZainabuAlli-wx5os Před 2 měsíci

    Sintokuja kumuamini yoyote yule kwenye maisha yangu yote nakuapia

  • @abdallaathumani2064
    @abdallaathumani2064 Před 11 měsíci +1

    Ukweli mtupu bro

  • @veromichael-vc5tr
    @veromichael-vc5tr Před 11 měsíci +1

    Asante somo lako ni zuri tumefaidika

  • @cstephano
    @cstephano Před měsícem

    nimeshabonyeza alama ya kengere kaka✍️✍️✍️

  • @rahmahussein.5635
    @rahmahussein.5635 Před 11 měsíci +3

    Powerful lecture...this is exactly what I am taking about , you're absolutely right brother..may Allah increase your knowledge Ameen...🙏🙏

    • @annmulu934
      @annmulu934 Před 11 měsíci +1

      My brother God bless you, jioni ya leo kuna mtu ameniambia maneno ya kunifunja moja, but sikuweza kumshow kuwa nimekasirika lakini nilikuwa nimeamua kesho ni mkomeshe but nimeacha kabisa asante sana kwa mafuzo mema nitajirekebisha sana na nimejifunza kunyamaza

  • @ameirfaki9277
    @ameirfaki9277 Před 11 měsíci +1

    Good one...thank a lot broo

  • @aginsagins-jf4vz
    @aginsagins-jf4vz Před 11 měsíci

    Asante kwa somo zuri.

  • @user-yh3cv5ru5v
    @user-yh3cv5ru5v Před 11 měsíci +1

    Nachelewa lakin sio kama sipo 😮 hapana npo hapa shafii maua yangu hii sim sio yang nimempula mtu hapa ila nipe tuu

  • @SmilingBabyPenguin-sp9ro
    @SmilingBabyPenguin-sp9ro Před 6 měsíci

    Kaka Ezeden asante sana kwa makala yako ya aminikuta ayapa

  • @theophilwhiteheart1997
    @theophilwhiteheart1997 Před 11 měsíci

    Ahsante Sana✊🏽💯

  • @EdsonKashaija
    @EdsonKashaija Před 11 měsíci

    Upo sawa kaka

  • @rosemarysulle9288
    @rosemarysulle9288 Před 5 dny

    Mm wamenikwaza wengi tena wangi wamenionea ana,nimekuwa mtu wa kujiuliza nn nimewakosea.lkn waliishia pabaya bila hta mm kulipiza kisasi.

  • @javajava3461
    @javajava3461 Před 11 měsíci

    Asante sana kaka

  • @suleim505
    @suleim505 Před 10 měsíci +1

    Ahsant

  • @maryamconstantine2232
    @maryamconstantine2232 Před 11 měsíci

    Natamani aje mtu mmoja asikilize hii kitu

  • @mamahaula499
    @mamahaula499 Před 11 měsíci

    Big up broo👍

  • @MwanaishaHemed-xi6rj
    @MwanaishaHemed-xi6rj Před 11 měsíci +1

    Asante sana

  • @Jumamussa.-gm1eo
    @Jumamussa.-gm1eo Před 3 měsíci

    Dah! Broh hii kitu imenikuta wakati nikiwa o level, nilikuw nina rafiki yangu wa karibu kabisa alinikuwa akinichafulia jina kwa wanafunzi shule nzima mpaka nilitamani niache shule, ikafika hatua wanafunzi wote wakaamini maneno ya yule mjinga, nikaamua nianze kuishi peke yangu bila rafiki kwa sababu wote waliamin maneno ya yule mtu, kuna wakat mpak uwezo wng kitaaluma ukapungua ila mungu si athuman, pamoja na changomoto zile nilifaulu vzuri mtihan wang wa mwisho😢😢

  • @saumusanjiama6991
    @saumusanjiama6991 Před 11 měsíci

    Kweli kabisa

  • @johnmwanjala5951
    @johnmwanjala5951 Před 11 měsíci +1

    8:Inachochea Matatizo kutoendelea Ukipuuzia Mana Atajua Ameshinda yeye.
    9:Badae Atajifunza kitu kupia Wewe.
    10:Hajua Kama Wewe Unatumia kwa Jambo ilo itamfanya asijue Madhaifu yako haku Yani Hukomesheki kwanjia iyo

  • @blushmakeupstudio4789
    @blushmakeupstudio4789 Před 11 měsíci +1

    Nililutana naosana lakini nacheka nao

  • @AbdurahmanMasoud-cq5gy
    @AbdurahmanMasoud-cq5gy Před 11 měsíci +1

    💯🤞

  • @SaidimaulidiMaulidi-lf9de
    @SaidimaulidiMaulidi-lf9de Před 11 měsíci

    Nimekutana na changamoto nyingi sana lakini ilinilazimu nusamehe japokuwa moyoni naumia mno.

  • @MarthaPaul-bb8jg
    @MarthaPaul-bb8jg Před měsícem

    Jaman kama MTU unamsalimia hapokei umpotezee au uendeleee Tu?

  • @EdsonKashaija
    @EdsonKashaija Před 11 měsíci

    Mengi nmejifunza

  • @eliudmwamlima2691
    @eliudmwamlima2691 Před 11 měsíci

    Naitaji.nmbayako.ninashida

  • @eliudmwamlima2691
    @eliudmwamlima2691 Před 11 měsíci

    Ninaomba.namba.yako.

  • @blushmakeupstudio4789
    @blushmakeupstudio4789 Před 11 měsíci

    But siwekagi kitu moyoni nawaigno

  • @bebysheni-gf1zf
    @bebysheni-gf1zf Před 11 měsíci

    Inaathiri akili inadumaza akili Kila jambo uongo unafokewa

  • @EdisaLaurian-gh1op
    @EdisaLaurian-gh1op Před 11 měsíci +1

    Nilisha wahi kusingiziwa uyo mlengwa sasa akawa ananinuni na Mimi sikua na Amani kwa sababu kabula tulikuwa marafiki lilipo tokea Hilo akutaka ukalibu tena kwa iyo nilikosa Amani nikamuakikishia kuwa sijafanya Ila akuamini Basi mwisho wa siku nikamuomba Mungu anipe utulivu wa moyo ata nipokutana nae namuonyesha tabasabu namsalimia Jampo mwanzo alikuwa anaitikia kiunyonge Ila saivi namsalimia anaitikia vizuli Ni baada yamimi kusaau nakujipa Amani ya moyo kwaiyo upo sahihi kaka Mungu akutunze kupitia wewe tunajifunza mengi Asante

  • @emmanuel29824
    @emmanuel29824 Před 11 měsíci

    Kaka nipe email yako et