Muogopeni ALLAH .....HUU NI USHIRKINA NYIE ....MSIUNASIBISHE NA UISLAM.......ACHENI KUTUKANA DINI HII TUKUFU NYIE WALOZI....NJAAA INAWEPELEKA PABAYA SANA JAMAAAA
Kutoka kwa Hafswa bint Omari bin Khattwabi- Radhi za Mwenyezi Mungu ziwe juu yao- Kutoka kwa Mtume Rehema na Amani ziwe juu yake- Amesema: "Atakayemuendea mpiga ramli akamuuliza kuhusu lolote, akamsadikisha, haitokubaliwa kwake swala yoyote siku arobaini". Sahihi - Imepokelewa na Imamu Muslim
Huyu ni mshenzi au ni sheikh...Sheikh gani anayetaka kuwatia watu kwenye shirki,,,,pumbavu mkubwa huyu...Sheikh wa kweli hajishughulishi na wala hafundishi watu ushirikina kama huu.
Waalykum.msaalam waramatulah wabarakatul. samahani maalim mm sielewi
Naomb nijue
From 🇰🇪 kenya, thank you so much. Mafundisho mazuuuri sana
Acha ushikina soma nguzo za iman
@@nkeshimanamohamed8099 kajifunze kuandika vizuri kwanza
Wewe kilichokufikisha kwa hii chanel ni nini
Most welcome
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 maokoto ayoooo
Subhanallah
Acheni shirki nyie jifunzeni TAWHEED
Muogopeni ALLAH .....HUU NI USHIRKINA NYIE ....MSIUNASIBISHE NA UISLAM.......ACHENI KUTUKANA DINI HII TUKUFU NYIE WALOZI....NJAAA INAWEPELEKA PABAYA SANA JAMAAAA
Mbona hamleti hujja zenu huku +255 713 351781.
aloleta Uchawi ni nani kama sio Allah???
Hakuna hoja hapo ..shirki hiyo
❤
Shekh vip nakupata nashida na wew
Jamani wew nishehe ila unatufundisha ushirikina nin umekusudia
Muogopen mung achen shirk
Waijua SHIRK kilugha na kishria ww!! 🤔
Njoo huku +255 713 351 781
Kutoka kwa Hafswa bint Omari bin Khattwabi- Radhi za Mwenyezi Mungu ziwe juu yao- Kutoka kwa Mtume Rehema na Amani ziwe juu yake- Amesema: "Atakayemuendea mpiga ramli akamuuliza kuhusu lolote, akamsadikisha, haitokubaliwa kwake swala yoyote siku arobaini".
Sahihi - Imepokelewa na Imamu Muslim
Naomba mwendelezo
Nimera ya kwanza kufatiliya chainel yako napenda sana na nakuelewa maana unaeleza kweli
Mm nko tayari
Mimi nimependa kusoma hii ilim
Mm mizani yangu ipo tofauti na yako
Shukran sana mwalim .naomba msaada wako .kama majina yangu ni ....Shaki juma bogoro ,,asili yangu nii IPI .shukran
Hewa
Ok
Nauliza swali .jina la kwanza ni Lile la kupewa ni wazazi ,au la kubatiza .kama vile peter . James .shukran
lile umepewa na wazazi
@@mohammedndirangu6081Shukran ata mie hujiuliza hili swali
Xaw
Asante mwalim natakanielewe
Karibu sana ndg yangu
@@MAALIMishasww
@@MAALIMishasww
Bj je? Namvutaje
Innalillahi wainnaillaihi rajiun
Hlw naomb no ako ya tsup
naomba namba yako.
Naomba namba zako
Naitwa malian nna mpenz anaitw ibrahim je nawezaje kumvuta mpenz wang
Ss huu mshumaa wauchorawapi?nahio herufi nitakayoichora niyangu au niyauyo mpenziwangu?
Hii ni ilmu feki jameni jitahadharini nayo
Jambons baba
Acheni kuleta mambo ya ushirikina katika dini unasema kumvuta mpenzi wako ili iweje,
Mkazini sio au niaje
Kwenye mshumaa naandika jina langu au lake
Nataka kufahamu kuna dada nataka kumuowa nifanyeje
Maalim naomba no
Maalim asalam aleykum warahamatulah wabarakatuh mi naomba utufundishe namna yakujuwa kitu ndicho au sicho samahani kama nimekukwaza
Sawa... Japo njia ndefu mtachanganyikiwa
Mwarim shukuran naomba niwe mwanafunzi wako naomb uniunge
Karibu sana.
+255 713 351781
Mbon haijamlinz
Shekhieh nipe number yako
Huyu ni mshenzi au ni sheikh...Sheikh gani anayetaka kuwatia watu kwenye shirki,,,,pumbavu mkubwa huyu...Sheikh wa kweli hajishughulishi na wala hafundishi watu ushirikina kama huu.
😢
Alieelewa anieleweshe jmn
Jina marsela inamaana gani
Unaongea Sana shehee nenda keenye pwent
Uongo mtupuuuuuuuuuuuuu
Hii video hujamaliza maelezo
Kama wote tuna erufi moja mfano mimi F nae ni F hapo nafanyaje
Utaendelea na hisabu tu.
Somo gumu
Nani alie fanikiwa Kwenye hili anijuze
kbx ni ukweli
Ifanikiwa wew??
Nimeipenda lkn hakuna kitu nimeelewa hata hujasema vile mtu anafanya Yako ni maamdishi tu
😂😂😂
Usipoelewa hapo... Unayo nafasi ya kuuliza.
Japo hapi ndio rahis zaid ww kupaelewa.
Ko naandika kwenye mshumaa katikati au pembeni nanaandika jina moja au yote mawili
Sikiza somo vzuri dada
From Burundi 🇧🇮, thank you but me sijaelewa maelezo video yako ni fupi sana, maelezo hayatosh mwalim!!
Tuko na mimi niwa burundi video ni fupi sana maelozo hayatosh mwalim
Karib sana ndg yangu.
+255 713 351781
Assalaam Aleikum
Namba ya Simu yako
Shukra n kwamafundisho
A,a sijaelewa hiyo ya kuandika kwa mshumaa
Ulipo shindwa kufahamu... Tumia sim kuuliza zaid.
+255 713 351 781.
@@MAALIMish hata mm sijaelewa
J iko kwenye udongo, lakini unasema kwa upepo, umetuacha cjaelewa, 3 na 5 zimetoka wapi?
Tazama darsa sehem zote mbili.
Utaelezwa ndugu
Mukue making nau mutu atabakufulisha munjia musizojua
@@MAALIMish Mimi namwenzangu yeyeH mi nataka kumrudisha nitumie njia zipi?
@@MAALIMish Mimi namwenzangu yeyeH mi nataka kumrudisha nitumie njia zipi?
@@agathawilliamagathawilliam9552 tumia namba hizi Tuwasiliane... 255 713 351 781.
Kunamtu nitamvuta alafu namuacha
Hahaha
Unakichaa ww
@@asiangassa1140 hahahaha
Ulifanikiwa?
Hahahaha Nina mpango huo pia hahahaha
You talk too much 😢
Bj je? Namvutaje
We umeelewa
Kwenye mshumaa naandika jina langu au lake
😅😅😅