Bajeti ya Hela, Ratiba ya Chakula -- Sehem ya Kwanza
Vložit
- čas přidán 22. 05. 2020
- Mambo ya Nyakati 7;14-16
Zaburi ya 51.
Basi wapendwa wa mimi, Leo nimeongelea mambo ya Bajeti , Utunzaji wa fedha, Ratiba ya Chakula , hii ni sehem ya kwanza. Wakaribishe na wengine wajifunze kitu. asanteni.
Ila kabla hujaendelea na video hii kumbuka, video hii na video zangu zote ujue kuwa, kila nachosema ni kile ambacho mimi nafanya, Jaribu au acha ni uamuzi wako mwenyewe, Sikulazimishi wala kuhimiza, bali fanya hivyo kwa uamuzi wako. Sipingi na sishauri Umpinge au kuacha matibabu yako uliyoandikiwa na Dr. wako. Kwa tatizo lolote litakalotokea, madhara au chochote kila ni ulikuwa uamuziwako mwenyewe. asante. - Zábava
Yaani nemekuelewa Sana ubarkiwe Sana 🙏
viema, sana dada kwakumtanguliza mungu, mana yeye ndo kilakitu.
Dada asante kwa somo zuri
Asante Dada kwa kutufundisha nidhamu ya fedha
Ubarikiwe dada❤
Ubarikiwe dada
Dadaang nakupenda sana kwa kua mcha mung ubalikiwe dada
Asante Dia, umenikumbusha kitu kizuri
Shukran kwa ushauri much thanks
Asante saana dada
Ratiba ya chakula ni muhimu sana nikitu nimezoa kufata miaka mingi sana
Asante Mpendwa, karibu,
Shukrani dada ubarikiwe
Asante dada
Big up San mama wanawak tujfnze
Asante sana kwa ushauri😊
napenda unavovaa, unapendeza mnoo, natamani ungekuwa rafiki yangu haha
Thanks alot kama Mimi sina mipango kabisa na pesa,Mungu awe nawe Kenyan love
Amen Karibu sana
Uwiiii sijui ntafanyaje nichukie kununua viatu na handbags 🥺🥺
🙏🙏
❤️
Mimi NAKUPENDA mbena mwenzangu uwiiii.
Asante sana dadangu naisubiri kwa hamu hiyo ratiba
Inakuja, inakuja asante
@@siriyamwanamkemkakamavu dada asante
Wewe ni super women ,mama yangu alinifundisha hivyo kipato changu si kikubwa ila kwa sababu ya Time table nakula ,naweka akiba na navaa
Hi dear, mbona sipati notification zako. Leo nimeona kimya kingi ndio nimekutafuta.
Asante sana Dada , nitakuja, nilikuwa kwenye stress kidogo. sasa nipo tena,
@@siriyamwanamkemkakamavu Pole, Mungua akufanyie wepesi
❤️