USO WAKO - JINSI YA KUSAFISHA KABLA HUJAENDA KULALA, MUHIMU SANA.
Vložit
- čas přidán 6. 09. 2024
- #Awarded #vipeleusoni #chunusi #ngozi
Wapendwa wangu, hakuna kitu muhimu kama Utunzaji wa Ngozi zetu. Backteria ambao wanaleta Chunusi, Vipele na uwasho wengi wanatokana na uchafu, kutokula kwa Afya na kutotunza Ngozi zetu. Karibuni sana na msisahau kuwaita hata wengie ili wafaidike kama wewe. Karibuni sana.
Pure Heal's Porenreiniger - www.amazon.com...
MISSHA Vita C Plus - kbeautyhouse.d...
Super Potent Serum by Dior - www.dior.com/d...
Firming & Wrinkle-Correcting Creme by Dior - www.dior.com/d...
Firming & Wrinkle-Correcting Eye Cream by - Dior www.dior.com/d...
Ila kabla hujaendelea na video hii kumbuka, video hii na video zangu zote ujue kuwa, kila nachosema ni kile ambacho mimi nafanya, Jaribu au acha ni uamuzi wako mwenyewe, Sikulazimishi wala kuhimiza, bali fanya hivyo kwa uamuzi wako. Sipingi na sishauri Umpinge au kuacha matibabu yako uliyoandikiwa na Dr. wako. Kwa tatizo lolote litakalotokea, madhara au chochote kila ni ulikuwa uamuziwako mwenyewe. asante..
.
Nifuateni Pia katika Instagram kwa Jina hili:
INSTAGRAM: @siriyamwanamkemkakamavu
EMAIL Adr: siriyamwanamkemkakamavu@gmx.de
Wapendwa je, mngependa kwamba niwaletee Video nyingi kuhusu Ngozi, na Uso, Vipele ? Niandikieni hapa chini nijue ili niwe nawaletea kile kinachowasaidia. Asante.
Tunapenda na tunaomba
Habar yako dada nipe no yako nikufate officin kwako
Majina ya hizo product msaada tafadhali
Naomba unitumie majina ya hivyo vipodozi
Asante dada nimependa masomo yangu
SHALOM mrembo. Asante kwa video tafadhali naomba majina izo product kusafishia uso yaani hiyo cream
ASANTE Shalom, angalia nimeweka hapo juu kwenye Page . najaribu kuweka website ili mvipate
Aminaaa
Naomba jina la hizo product tafadal
Shalom dear asantee kwa somo zuri niko na dry skin nisaidie products za kutmia
Asante, kwa dry skin unahitaji kunywa pia maji mengi, ila nitajitahidi kuweka video mpya hususu hilo. Karibu sana
Please link the small towels pink and white… also facials cleansers
Asante, Facials cleansers angalia nimeweka hapo juu. Vitambaa nitapost wapi ununue kama unavihitaji. bado vinatengenezwa.
- I will send soon as possible, am still designing the website for everything i show you you will be able to purchase directly. Thank you .
Asante kwa ushauri mzuri, ila nina ombi kuhusu hizi black heads sijui ndio visunzua, vidoti vyeusi vinanisumbua mno! Naomba ushauri jamani uso na shingo vimejaa
Asante, sasa nipo katika Kupungua uzito Topics, nikimaliza nitajaribu hat kutoa zawadi kwa follower wangu. Nitaangalia nafanyaje.
@@siriyamwanamkemkakamavuduuuu upo nilikumiss sana jamani nilikuwa nakutafuta unatumia Jina gani aisee Leo nimekupata
Asante kwa mafundisho mazuri izo cream nazipataje au hapa Tanzania tunazipataje
Asante, Kwa Tanzania sidhani kama zipo, ila nitawaambieni wapi mzinunue. nipo mda kidogo.
Mlokole huy
Ss mm napnda urembo ila sn hela dda angu😢😢
🤗
Dada mmependa mafundisho yako!! But naomba unisaidie mwenzio dawa ya kutoa makovu usoni yan nahangaikaa kutumia vitu mbalii mbali lkn siponiii😥😥😥nisaidie plzz hata ushaur tuh
Asante, usiwe na hofu mpendwa katika kila jambo kuna uwezekano. nipe wiki moja nitatengeneza Video mpya ya jinsi ya Kuondoa makovu usoni.
Nataka unisaidie dada uso wangu upo kama mzee makunyaz meng hata cream hainisaidii