USO WAKO - JINSI YA KUSAFISHA KABLA HUJAENDA KULALA, MUHIMU SANA.

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 6. 09. 2024
  • #Awarded #vipeleusoni #chunusi #ngozi
    Wapendwa wangu, hakuna kitu muhimu kama Utunzaji wa Ngozi zetu. Backteria ambao wanaleta Chunusi, Vipele na uwasho wengi wanatokana na uchafu, kutokula kwa Afya na kutotunza Ngozi zetu. Karibuni sana na msisahau kuwaita hata wengie ili wafaidike kama wewe. Karibuni sana.
    Pure Heal's Porenreiniger - www.amazon.com...
    MISSHA Vita C Plus - kbeautyhouse.d...
    Super Potent Serum by Dior - www.dior.com/d...
    Firming & Wrinkle-Correcting Creme by Dior - www.dior.com/d...
    Firming & Wrinkle-Correcting Eye Cream by - Dior www.dior.com/d...
    Ila kabla hujaendelea na video hii kumbuka, video hii na video zangu zote ujue kuwa, kila nachosema ni kile ambacho mimi nafanya, Jaribu au acha ni uamuzi wako mwenyewe, Sikulazimishi wala kuhimiza, bali fanya hivyo kwa uamuzi wako. Sipingi na sishauri Umpinge au kuacha matibabu yako uliyoandikiwa na Dr. wako. Kwa tatizo lolote litakalotokea, madhara au chochote kila ni ulikuwa uamuziwako mwenyewe. asante..
    .
    Nifuateni Pia katika Instagram kwa Jina hili:
    INSTAGRAM: @siriyamwanamkemkakamavu
    EMAIL Adr: siriyamwanamkemkakamavu@gmx.de

Komentáře • 25

  • @siriyamwanamkemkakamavu
    @siriyamwanamkemkakamavu  Před 2 lety +6

    Wapendwa je, mngependa kwamba niwaletee Video nyingi kuhusu Ngozi, na Uso, Vipele ? Niandikieni hapa chini nijue ili niwe nawaletea kile kinachowasaidia. Asante.

  • @neemakyando
    @neemakyando Před 9 měsíci +2

    Majina ya hizo product msaada tafadhali

  • @BarakaKilumile
    @BarakaKilumile Před 3 měsíci +1

    Naomba unitumie majina ya hivyo vipodozi

  • @TumaMollel-qp4dx
    @TumaMollel-qp4dx Před 11 měsíci +2

    Asante dada nimependa masomo yangu

  • @aselina5862
    @aselina5862 Před 2 lety +3

    SHALOM mrembo. Asante kwa video tafadhali naomba majina izo product kusafishia uso yaani hiyo cream

    • @siriyamwanamkemkakamavu
      @siriyamwanamkemkakamavu  Před 2 lety +1

      ASANTE Shalom, angalia nimeweka hapo juu kwenye Page . najaribu kuweka website ili mvipate

  • @AnesiaKamuntu-kr6qg
    @AnesiaKamuntu-kr6qg Před 3 měsíci +1

    Aminaaa

  • @evamahande8770
    @evamahande8770 Před 4 měsíci +1

    Naomba jina la hizo product tafadal

  • @sweetjohn6258
    @sweetjohn6258 Před 2 lety +2

    Shalom dear asantee kwa somo zuri niko na dry skin nisaidie products za kutmia

    • @siriyamwanamkemkakamavu
      @siriyamwanamkemkakamavu  Před 2 lety +2

      Asante, kwa dry skin unahitaji kunywa pia maji mengi, ila nitajitahidi kuweka video mpya hususu hilo. Karibu sana

  • @daphne_kem
    @daphne_kem Před 2 lety +2

    Please link the small towels pink and white… also facials cleansers

    • @siriyamwanamkemkakamavu
      @siriyamwanamkemkakamavu  Před 2 lety +2

      Asante, Facials cleansers angalia nimeweka hapo juu. Vitambaa nitapost wapi ununue kama unavihitaji. bado vinatengenezwa.
      - I will send soon as possible, am still designing the website for everything i show you you will be able to purchase directly. Thank you .

  • @fatmazullu4933
    @fatmazullu4933 Před rokem +2

    Asante kwa ushauri mzuri, ila nina ombi kuhusu hizi black heads sijui ndio visunzua, vidoti vyeusi vinanisumbua mno! Naomba ushauri jamani uso na shingo vimejaa

    • @siriyamwanamkemkakamavu
      @siriyamwanamkemkakamavu  Před rokem +1

      Asante, sasa nipo katika Kupungua uzito Topics, nikimaliza nitajaribu hat kutoa zawadi kwa follower wangu. Nitaangalia nafanyaje.

    • @RachelRachel-zx6dx
      @RachelRachel-zx6dx Před 11 měsíci

      ​@@siriyamwanamkemkakamavuduuuu upo nilikumiss sana jamani nilikuwa nakutafuta unatumia Jina gani aisee Leo nimekupata

  • @pamelavicent2728
    @pamelavicent2728 Před 2 lety +2

    Asante kwa mafundisho mazuri izo cream nazipataje au hapa Tanzania tunazipataje

    • @siriyamwanamkemkakamavu
      @siriyamwanamkemkakamavu  Před 2 lety +1

      Asante, Kwa Tanzania sidhani kama zipo, ila nitawaambieni wapi mzinunue. nipo mda kidogo.

  • @user-ib3qx2kr4t
    @user-ib3qx2kr4t Před 18 dny +1

    Mlokole huy

  • @user-gs7gm8ry9c
    @user-gs7gm8ry9c Před 6 měsíci +1

    Ss mm napnda urembo ila sn hela dda angu😢😢

  • @umutesisheilla2140
    @umutesisheilla2140 Před 2 lety +2

    🤗

  • @nahoolalbosaidi6665
    @nahoolalbosaidi6665 Před 2 lety +2

    Dada mmependa mafundisho yako!! But naomba unisaidie mwenzio dawa ya kutoa makovu usoni yan nahangaikaa kutumia vitu mbalii mbali lkn siponiii😥😥😥nisaidie plzz hata ushaur tuh

    • @siriyamwanamkemkakamavu
      @siriyamwanamkemkakamavu  Před 2 lety +1

      Asante, usiwe na hofu mpendwa katika kila jambo kuna uwezekano. nipe wiki moja nitatengeneza Video mpya ya jinsi ya Kuondoa makovu usoni.

    • @user-vz9te8ox8e
      @user-vz9te8ox8e Před 2 měsíci

      Nataka unisaidie dada uso wangu upo kama mzee makunyaz meng hata cream hainisaidii