MAAJABU YA UBONGO KWA MAFANIKIO YAKO

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 30. 01. 2021
  • Kila kiumbe hai huwa kinazaliwa na nguvu za asili zinazokiwezesha kuishi na kukabiliana na mazingira yake binafsi. Kwa binadamu kitu hicho ni ubongo au brain. Karibu ujifunze unawezaje kuutumia ubongo wako kwa faida na mafanikio yako.
    .
    Kujiunga na group la SPN BOOKS CLUB
    Tuma whatsapp text : SPN BOOKS CLUB kwenda 0759191076
    .
    Channel yangu yenye video fupifupi ( EZDEN SHOT CLIPS)
    Click hapa: / channel
    .
    Usiache ku SUBSCRIBE na kuacha mawazo yako kwenye COMMENTS, LIKE na SHARE pia kwa wengine.
    .
    TUFUATE INSTAGRAM:
    SPN CHANNEL: / successpath_network
    EZDEN JUMANNE: / ezdenjumanne
    .
    BIASHARA, MATANGAZO NA VITABU:
    EMAIL: successpathnetwork@gmail.com
    WHATSAPP : (+255)759191076
    .
    TAZAMA ZAIDI KUTOKA KWETU:
    ⚫️ EZDEN JUMANNE: • EZDEN JUMANNE
    ⚫️ VITABU: • JE, TEKNOLOJIA INADUMA...
    ⚫️ VICTOR MWAMBENE: • TUMIA WATU KWA NJIA HI...
    ⚫️ HAMASA YA LEO: • SOMO LA MAISHA | Hamas...
    ⚫️ NDOA: • JIFUNZE MAMBO MANNE (4...
    ⚫️ AFYA: • Njia Salama za Kutoa S...
    #Maajabu #Ubongo #Kitabu

Komentáře • 45

  • @successpathnetwork
    @successpathnetwork  Před 3 lety +1

    KUPATA KITABU HIKI:
    Tafadhali tuma ujumbe wa kawaida au whatsapp wenye jina la kitabu katika namba 0759191076 popote ulipo.
    Bei: 20,000 TZS.
    .
    Kujiunga na group la SPN BOOKS CLUB
    Tuma whatsapp text : SPN BOOKS CLUB kwenda 0759191076

  • @bundukitv1322
    @bundukitv1322 Před 3 lety +11

    Ezden Jumanne.
    Hua nikikuangalia naiona nuru ya mwangaza wa dini katika paji lako. Hongera sana Allaah akuongoze sana ndugu yangu.
    Umewasaidia wengi mno.
    May Allaah bless us🙏🙏🙏

  • @bethymathew788
    @bethymathew788 Před 3 lety +5

    Siku yangu imeanza n wewe kilamara najifunza kitu kutoka kwako,,, mungu akubless

  • @FotiusPhilido
    @FotiusPhilido Před 19 dny +1

    Asante kwa somo nimejifunza ili kufanya maajabu inabidi kutengeneza kumbukumbu kwanza na kufanya maamuzi sahii

  • @ajaxjunior4151
    @ajaxjunior4151 Před 3 lety +2

    Mr. Ezden ubarikiwe sana na mwenyezi Mungu katika kila jambo maana nipo na pia tupo tunajifunza vitu vingi sana. May Allah be with you and bless you more

  • @FotiusPhilido
    @FotiusPhilido Před 19 dny +1

    Ningependa kujua njia za kutumia ili kujikwamua kwenye mawazo

  • @karimabdoul7619
    @karimabdoul7619 Před 3 lety +1

    MashaaAllah somo zuri sana
    Content : upe ubongo kitu cha sukari pale tu unapo kuwa umechoka.

  • @user-qv3eo5pb3g
    @user-qv3eo5pb3g Před 10 měsíci +1

    Mashaallah

  • @Muka_26
    @Muka_26 Před 3 lety +1

    Power of mind Ol the way from ruvuma

  • @BigZhumbe
    @BigZhumbe Před 3 lety +2

    Sasa nimeelewa ubongo wangu kias maana sometimes hua sielewi how things work

  • @franksahahi6359
    @franksahahi6359 Před 2 lety

    Asante 🙏 sana kaka speech zako zimebadili sana fikra zangu.

  • @user-ct7xf9ox3m
    @user-ct7xf9ox3m Před 10 měsíci +1

    Ndio Asante

  • @BigZhumbe
    @BigZhumbe Před 3 lety +1

    Great class 🙏🏾🙏🏾🙏🏾

  • @melkizedekikalanga3349
    @melkizedekikalanga3349 Před 3 lety +2

    Brother unaweza, sasa naomba jambo moja, weka mwendelezo wa hii mada ya namna ubongo wa binadamu unavyofanya kazi,,, NB: Kumbuka kuweka mwendelezo wa mada mara tu baada ya kwisha kwa sehemu ya hiyo mada, hii itasaidia kupata wafuatiliaji wa kudumu wa mada zako... Zingatia tafadhali...

  • @SAMRASSIC
    @SAMRASSIC Před 3 lety +1

    Its great lesson bro ezdem

  • @badfety6822
    @badfety6822 Před 2 lety +1

    asant

  • @kabobamchiz5173
    @kabobamchiz5173 Před 3 lety +1

    Ujumbe mpana

  • @fadhilibrahim3480
    @fadhilibrahim3480 Před 3 lety +4

    Nakushukuru sana nimepata elimu nzuri sana kuhusu ubongo wangu

    • @gracesizya6777
      @gracesizya6777 Před 3 lety +1

      Nimeipebda Elimu hii.Endelea kutupa mwanga.Be blessed abundantly!

    • @abduliskambi4014
      @abduliskambi4014 Před 3 lety

      Nzuri hii brother ila kwangu mimi inahitaji niisikilize zaidi ya mara tatu mana kila ulichosema ni madini tupu

  • @khadijakhamis5604
    @khadijakhamis5604 Před 3 lety

    Ukweli nakukubali saana nina mda mchache saana nimeanza kufakusikiliza lakini nimepata faraja saana kwa busara na hekma ya maneno yako na elim ulio jaliwa na allh mwenyezi mungu akuhifadhi na azidishie elim zaidi na zaidi yaa rabbiy

  • @khadijakhamis5604
    @khadijakhamis5604 Před 3 lety

    Nafikilia kweli na kusema moyoni mwangu subhanna llah watu wangeza kukufatia wewe kupata elim ulio jaliwa na Allah nahisi nafsi za watu zingepata mafunzo bora na dunia ingepata utulivu na wangeweza kutumia akili zao kwa ufasaha zaidi mungu akuhifadhi nakuombea una kipaji J4 mungu alinde saana

  • @salemlashoumber3393
    @salemlashoumber3393 Před 3 lety +1

    Exclusive

  • @africanmoneychannel2067
    @africanmoneychannel2067 Před 3 lety +1

    Great great content....

  • @user-jg1oq7gh2q
    @user-jg1oq7gh2q Před 7 měsíci

    Umetisha

  • @othmanmuhammad1650
    @othmanmuhammad1650 Před 3 lety

    It's really really outstanding video!,.I'm craving to the next video I can't wait to hear that,.I can feel like I just beginning to take all control of my brain in every dos and don'ts already!..it was utterly astounded video and please make sure you terminate what you started brother, most of us are eager for what's next !.,.

  • @isakayolam
    @isakayolam Před rokem +1

    Bikers gave you

  • @user-jj9fx4yz7m
    @user-jj9fx4yz7m Před 9 měsíci +2

    Hii video imenifanya niwe naingalia kwa makini kila siku

  • @mohammedshali6926
    @mohammedshali6926 Před 2 lety

    Mashala

  • @shaibuhamisi7742
    @shaibuhamisi7742 Před 3 lety +2

    Mkubwa nakuaminia sana ira naswli sijuwi nitakulizia wapi na mm mgeni

  • @jonfx1330
    @jonfx1330 Před 3 lety

    Pole na majukumu bro"" plz tafadhali tunaomba muendelezo wa hii.

  • @issayamasalu9506
    @issayamasalu9506 Před 3 lety +1

    Ujumbe mzur

  • @ramadhanjuma5526
    @ramadhanjuma5526 Před 3 lety +1

    "Kuwa na uwalisia kwenye Jambo unalo fkria na chukua hatua"
    "elewa ubongo wako, hili usiwe kikwazo kwenye maisha yako"

  • @isakayolam
    @isakayolam Před rokem +1

    Ahahaha Yani nasikiliza mpaka nafulai sana Mungu akujalie mafanikio mema kwako

  • @jaystar1004
    @jaystar1004 Před rokem

    🙏🙏🙏

  • @lucku5336
    @lucku5336 Před 3 lety

    Sasa

  • @sedeckmtafya2375
    @sedeckmtafya2375 Před 3 lety

    Asante sana ila kuna wakati nikifikiria vitu ambavyo sijawahi kufanya kichwa kinauma kwa muda kidogo kaka

  • @nulujackson44
    @nulujackson44 Před 3 lety

    Hili somo nimelikubali sana Fanya lipatikane mapema kaka tunasubili

  • @djramsoyusuph9661
    @djramsoyusuph9661 Před 3 lety

    kiukwel ALLAH akulinde ili uendelee

  • @omarimadiva5352
    @omarimadiva5352 Před 3 lety +1

    Ujumbe mtamu umbao unanikumbusha kitabu nikipendacho cha werevu mno Ama wajinga mno cha salim boss

  • @lucku5336
    @lucku5336 Před 3 lety

    Ñ