MAAJABU YA UBONGO KWA MAFANIKIO YAKO
Vložit
- čas přidán 30. 01. 2021
- Kila kiumbe hai huwa kinazaliwa na nguvu za asili zinazokiwezesha kuishi na kukabiliana na mazingira yake binafsi. Kwa binadamu kitu hicho ni ubongo au brain. Karibu ujifunze unawezaje kuutumia ubongo wako kwa faida na mafanikio yako.
.
Kujiunga na group la SPN BOOKS CLUB
Tuma whatsapp text : SPN BOOKS CLUB kwenda 0759191076
.
Channel yangu yenye video fupifupi ( EZDEN SHOT CLIPS)
Click hapa: / channel
.
Usiache ku SUBSCRIBE na kuacha mawazo yako kwenye COMMENTS, LIKE na SHARE pia kwa wengine.
.
TUFUATE INSTAGRAM:
SPN CHANNEL: / successpath_network
EZDEN JUMANNE: / ezdenjumanne
.
BIASHARA, MATANGAZO NA VITABU:
EMAIL: successpathnetwork@gmail.com
WHATSAPP : (+255)759191076
.
TAZAMA ZAIDI KUTOKA KWETU:
⚫️ EZDEN JUMANNE: • EZDEN JUMANNE
⚫️ VITABU: • JE, TEKNOLOJIA INADUMA...
⚫️ VICTOR MWAMBENE: • TUMIA WATU KWA NJIA HI...
⚫️ HAMASA YA LEO: • SOMO LA MAISHA | Hamas...
⚫️ NDOA: • JIFUNZE MAMBO MANNE (4...
⚫️ AFYA: • Njia Salama za Kutoa S...
#Maajabu #Ubongo #Kitabu
KUPATA KITABU HIKI:
Tafadhali tuma ujumbe wa kawaida au whatsapp wenye jina la kitabu katika namba 0759191076 popote ulipo.
Bei: 20,000 TZS.
.
Kujiunga na group la SPN BOOKS CLUB
Tuma whatsapp text : SPN BOOKS CLUB kwenda 0759191076
Thenks
Ezden Jumanne.
Hua nikikuangalia naiona nuru ya mwangaza wa dini katika paji lako. Hongera sana Allaah akuongoze sana ndugu yangu.
Umewasaidia wengi mno.
May Allaah bless us🙏🙏🙏
Siku yangu imeanza n wewe kilamara najifunza kitu kutoka kwako,,, mungu akubless
Asante kwa somo nimejifunza ili kufanya maajabu inabidi kutengeneza kumbukumbu kwanza na kufanya maamuzi sahii
Mr. Ezden ubarikiwe sana na mwenyezi Mungu katika kila jambo maana nipo na pia tupo tunajifunza vitu vingi sana. May Allah be with you and bless you more
Ningependa kujua njia za kutumia ili kujikwamua kwenye mawazo
MashaaAllah somo zuri sana
Content : upe ubongo kitu cha sukari pale tu unapo kuwa umechoka.
Mashaallah
Power of mind Ol the way from ruvuma
Sasa nimeelewa ubongo wangu kias maana sometimes hua sielewi how things work
Asante 🙏 sana kaka speech zako zimebadili sana fikra zangu.
Ndio Asante
Great class 🙏🏾🙏🏾🙏🏾
Brother unaweza, sasa naomba jambo moja, weka mwendelezo wa hii mada ya namna ubongo wa binadamu unavyofanya kazi,,, NB: Kumbuka kuweka mwendelezo wa mada mara tu baada ya kwisha kwa sehemu ya hiyo mada, hii itasaidia kupata wafuatiliaji wa kudumu wa mada zako... Zingatia tafadhali...
Its great lesson bro ezdem
asant
Ujumbe mpana
Nakushukuru sana nimepata elimu nzuri sana kuhusu ubongo wangu
Nimeipebda Elimu hii.Endelea kutupa mwanga.Be blessed abundantly!
Nzuri hii brother ila kwangu mimi inahitaji niisikilize zaidi ya mara tatu mana kila ulichosema ni madini tupu
Ukweli nakukubali saana nina mda mchache saana nimeanza kufakusikiliza lakini nimepata faraja saana kwa busara na hekma ya maneno yako na elim ulio jaliwa na allh mwenyezi mungu akuhifadhi na azidishie elim zaidi na zaidi yaa rabbiy
Nafikilia kweli na kusema moyoni mwangu subhanna llah watu wangeza kukufatia wewe kupata elim ulio jaliwa na Allah nahisi nafsi za watu zingepata mafunzo bora na dunia ingepata utulivu na wangeweza kutumia akili zao kwa ufasaha zaidi mungu akuhifadhi nakuombea una kipaji J4 mungu alinde saana
Exclusive
Great great content....
Umetisha
It's really really outstanding video!,.I'm craving to the next video I can't wait to hear that,.I can feel like I just beginning to take all control of my brain in every dos and don'ts already!..it was utterly astounded video and please make sure you terminate what you started brother, most of us are eager for what's next !.,.
Bikers gave you
Hii video imenifanya niwe naingalia kwa makini kila siku
Mashala
Mkubwa nakuaminia sana ira naswli sijuwi nitakulizia wapi na mm mgeni
Pole na majukumu bro"" plz tafadhali tunaomba muendelezo wa hii.
Ujumbe mzur
"Kuwa na uwalisia kwenye Jambo unalo fkria na chukua hatua"
"elewa ubongo wako, hili usiwe kikwazo kwenye maisha yako"
Ahahaha Yani nasikiliza mpaka nafulai sana Mungu akujalie mafanikio mema kwako
Nashukuru sana Isaka, endelea kufuatilia. Pamoja sana
🙏🙏🙏
Sasa
Asante sana ila kuna wakati nikifikiria vitu ambavyo sijawahi kufanya kichwa kinauma kwa muda kidogo kaka
Daaah
Hili somo nimelikubali sana Fanya lipatikane mapema kaka tunasubili
Na wa fata Tano juu ya Tano! Mimi n'a ishi Congo.
kiukwel ALLAH akulinde ili uendelee
Ujumbe mtamu umbao unanikumbusha kitabu nikipendacho cha werevu mno Ama wajinga mno cha salim boss
Ñ